PAUL MAKONDA: HISTORIA YAKE/NILIBEBA MCHANGA/UKWELI WA JINA LA MAKONDA/ELIMU NA UTAJILI WAKE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 авг 2022
  • #DULLYSANTZ#SANTZMEDIA#paulmakonda
    FUATILIA HISTORIA YA PAULMAKONDA ELIMU YAKE NA NYOTA NA UTAJILI WAKE
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 47

  • @user-bq9me7st6z
    @user-bq9me7st6z Месяц назад +3

    Nakupenda bure makonda

  • @user-yt5ue4vj5b
    @user-yt5ue4vj5b 56 минут назад +1

    Nahis kuwa rahisi uyu jamaa😊

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 7 месяцев назад +3

    Nampe nda Makonda Eewe mwenyezi Mungu mpe wazfa mkubwa serikalin

  • @richardburengengwa6998
    @richardburengengwa6998 6 месяцев назад +4

    Siku moja uyu mzee mweshimiwa atakuwa RAIS wainchi ya Tanzania mimi siyo Tanzania alakini nakuaga namfatilia sana, MUNGU akuwezeshe mzee

  • @safiaothman5175
    @safiaothman5175 3 месяца назад +1

    MWENYEZI MUNGU SUBHAANAHU WATA'ALA AMWONGOZE KATIKA MAJUKUMU YAKE ,AAMIIN YAA RABBAL 'ALAAMIIN.

  • @Hassan_Mengi
    @Hassan_Mengi 4 месяца назад +3

    Mi nilijua jina lake ni Daudi Albert Bashite. Kumbe!

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Месяц назад +1

    Mtani wangu ongera sana.Kumbe ni mwanangu wa kwanza ndio maana nakupenda sana.❤❤❤👍👍By Mngoni .

  • @jonsondsflosa5619
    @jonsondsflosa5619 7 месяцев назад +2

    Kuna baadhi ya vijiji wanajua bado raixi nyerere.

  • @hashimchaoga9566
    @hashimchaoga9566 Месяц назад +1

    Habari zingine ni feki

  • @hashimchaoga9566
    @hashimchaoga9566 Месяц назад +1

    Mtu amalize chuo kikuu halafu achome mkaa na kazi za ajabu miaka ile???!!! Hizi habari zina mashaka .Ina maana Mhe Gwajima alimzingizia mengineyo?

  • @zainabubalama8869
    @zainabubalama8869 Год назад +2

    Tumekumiss ukuu wa mkoa Dar 💯

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 7 месяцев назад +1

    Nampenda makonda na ukoo wake wote mwaaa😍

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  7 месяцев назад +1

      Usiache kutufuatilia Neema mengi mazuli yanakuja

  • @sarahkingunza1516
    @sarahkingunza1516 6 месяцев назад +1

    Hongera makonda Mungu akutunze akupe uhodari zaid

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  6 месяцев назад +1

      Usiache kutufuatilia SAN TZ MEDIA

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 3 месяца назад

      Historian hii ya Makonda sijui kama iko sawa 1998 alitakiwa awe kidato cha pili lakini yeye alikuwa tayari amemali shahada ya awali na ameanza kufanya vibarua?Nina mdogo wangu wa umri kama wake 1998 alikuwa kidato cha pili umri wake ulikuwa miaka 16 yeye makonda alikuwa anasoma sekondari na wakati huo anachimba shahada ya kwanza chuo kikuu basis ndiyo maana anamwakilisha Rais wetu kama mnavyomwona ni MTU pekee katika nchi hii na Africa kwa ujumla

  • @JamesJuma-zy8cn
    @JamesJuma-zy8cn 7 месяцев назад +1

    Wasukuma inaonyesha ndo nguzo ya nchi hii

  • @ekkymumba8566
    @ekkymumba8566 Год назад +1

    Awe kasoma hajasoma mie nampenda hivyo hivyo💯💯✅️

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  Год назад +1

      😂😂 umetisha sana,ila usiache kutazama SAN TZ MEDIA

  • @benjaminbill6727
    @benjaminbill6727 Год назад +2

    Huyu Jamaa nampenda buree 💯💯

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  Год назад +2

      Vzr Endelea kuufuatilia SAN TZ MEDIA

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 7 месяцев назад

    Asante mtangazaji kwa kutuhabarisha,tupe na viongozi wengine.Makonda hoyoooo

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  7 месяцев назад

      Endelea kutufuatilia Amina ahsante kwakuwa nasi karibu sana

  • @mwanyongamama4407
    @mwanyongamama4407 Год назад +1

    Naomba no.ya Poul Makonda tafadhari

  • @AshuraMsangi-dl7ry
    @AshuraMsangi-dl7ry 7 месяцев назад

    Hongera kaka yetu makonda mungu akutunze na kukulinda katika uongezi wako. Malaika wa mungu wakutunze

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  7 месяцев назад

      Endelea kufuatilia SAN TZ MEDIA pia usiache kubonyeza batani nyekundu iliyoandikwa subscribe

    • @user-zd3ds6vt7u
      @user-zd3ds6vt7u 6 месяцев назад

      Wasukuma hawanaga mbamba sababu niwasemakweli hawanatamaa hawatakidhuluma maana wahurumasana

  • @jonsondsflosa5619
    @jonsondsflosa5619 7 месяцев назад +1

    Jaman tuache mahixtoria hixtoria haya tufunduxhane jinxigani ya utaftaji wa pexa nyingi mahixtoria haya wara hayatujengi cho,chote

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  7 месяцев назад +2

      Swala lako zuri tunakuahidi kulifanyia kazi Johnson

  • @mutalemwamarcelventure.mae2058
    @mutalemwamarcelventure.mae2058 6 месяцев назад

    Kwani wanachuo na Wana siasa Wanapatahaje hizo pesa ijapokua hawajawai Fanya kazi siku nyingi jamanii twambiheni na çc

  • @hashimchaoga9566
    @hashimchaoga9566 Месяц назад +1

    Kachoma mkaa Mbezi Luis??!!! Mtu ana digrii halafu achimbe mchanga miaka ile ya zamani?

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  Месяц назад +1

      Kwani kuchimba mkaa ni nini??

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 Месяц назад

      ​@@SantzmediaMkaa huchomwa misituni na Mbezi Luis ni jijini Dar hakuna misitu ya kuchoma mkaa. Mchanga wala hakuchimba kwani miaka ile ukimaliza digrii kazi nje nje. Fake news

  • @JamesJuma-zy8cn
    @JamesJuma-zy8cn 7 месяцев назад +1

    Hata mm nataman kuwa mwanasiasa kama ww

  • @karenstephen8738
    @karenstephen8738 3 месяца назад +1

    Wewe kanjanja wahead unatuletea utopolo tupu

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 Год назад +3

    Vyeti feki hivyo acha kutudanganya.

  • @kivyerabanduka1854
    @kivyerabanduka1854 2 месяца назад +2

    Huu uongo

  • @jonsondsflosa5619
    @jonsondsflosa5619 7 месяцев назад +1

    Hii nchi nimaxkini burudani za nn