Historian hii ya Makonda sijui kama iko sawa 1998 alitakiwa awe kidato cha pili lakini yeye alikuwa tayari amemali shahada ya awali na ameanza kufanya vibarua?Nina mdogo wangu wa umri kama wake 1998 alikuwa kidato cha pili umri wake ulikuwa miaka 16 yeye makonda alikuwa anasoma sekondari na wakati huo anachimba shahada ya kwanza chuo kikuu basis ndiyo maana anamwakilisha Rais wetu kama mnavyomwona ni MTU pekee katika nchi hii na Africa kwa ujumla
@@SantzmediaMkaa huchomwa misituni na Mbezi Luis ni jijini Dar hakuna misitu ya kuchoma mkaa. Mchanga wala hakuchimba kwani miaka ile ukimaliza digrii kazi nje nje. Fake news
Nakupenda bure makonda
Nahis kuwa rahisi uyu jamaa😊
Nampe nda Makonda Eewe mwenyezi Mungu mpe wazfa mkubwa serikalin
Siku moja uyu mzee mweshimiwa atakuwa RAIS wainchi ya Tanzania mimi siyo Tanzania alakini nakuaga namfatilia sana, MUNGU akuwezeshe mzee
👊👊👊
Siku moja atakuja kuwa rais makonda Mungu atupe uhai
MWENYEZI MUNGU SUBHAANAHU WATA'ALA AMWONGOZE KATIKA MAJUKUMU YAKE ,AAMIIN YAA RABBAL 'ALAAMIIN.
Mi nilijua jina lake ni Daudi Albert Bashite. Kumbe!
Mtani wangu ongera sana.Kumbe ni mwanangu wa kwanza ndio maana nakupenda sana.❤❤❤👍👍By Mngoni .
🤝👍
Kuna baadhi ya vijiji wanajua bado raixi nyerere.
Habari zingine ni feki
Mtu amalize chuo kikuu halafu achome mkaa na kazi za ajabu miaka ile???!!! Hizi habari zina mashaka .Ina maana Mhe Gwajima alimzingizia mengineyo?
Tumekumiss ukuu wa mkoa Dar 💯
👊👊👊💌
Nampenda makonda na ukoo wake wote mwaaa😍
Usiache kutufuatilia Neema mengi mazuli yanakuja
Hongera makonda Mungu akutunze akupe uhodari zaid
Usiache kutufuatilia SAN TZ MEDIA
Historian hii ya Makonda sijui kama iko sawa 1998 alitakiwa awe kidato cha pili lakini yeye alikuwa tayari amemali shahada ya awali na ameanza kufanya vibarua?Nina mdogo wangu wa umri kama wake 1998 alikuwa kidato cha pili umri wake ulikuwa miaka 16 yeye makonda alikuwa anasoma sekondari na wakati huo anachimba shahada ya kwanza chuo kikuu basis ndiyo maana anamwakilisha Rais wetu kama mnavyomwona ni MTU pekee katika nchi hii na Africa kwa ujumla
Wasukuma inaonyesha ndo nguzo ya nchi hii
Awe kasoma hajasoma mie nampenda hivyo hivyo💯💯✅️
😂😂 umetisha sana,ila usiache kutazama SAN TZ MEDIA
Huyu Jamaa nampenda buree 💯💯
Vzr Endelea kuufuatilia SAN TZ MEDIA
Asante mtangazaji kwa kutuhabarisha,tupe na viongozi wengine.Makonda hoyoooo
Endelea kutufuatilia Amina ahsante kwakuwa nasi karibu sana
Naomba no.ya Poul Makonda tafadhari
Bashite
Hongera kaka yetu makonda mungu akutunze na kukulinda katika uongezi wako. Malaika wa mungu wakutunze
Endelea kufuatilia SAN TZ MEDIA pia usiache kubonyeza batani nyekundu iliyoandikwa subscribe
Wasukuma hawanaga mbamba sababu niwasemakweli hawanatamaa hawatakidhuluma maana wahurumasana
Jaman tuache mahixtoria hixtoria haya tufunduxhane jinxigani ya utaftaji wa pexa nyingi mahixtoria haya wara hayatujengi cho,chote
Swala lako zuri tunakuahidi kulifanyia kazi Johnson
Kwani wanachuo na Wana siasa Wanapatahaje hizo pesa ijapokua hawajawai Fanya kazi siku nyingi jamanii twambiheni na çc
Kachoma mkaa Mbezi Luis??!!! Mtu ana digrii halafu achimbe mchanga miaka ile ya zamani?
Kwani kuchimba mkaa ni nini??
@@SantzmediaMkaa huchomwa misituni na Mbezi Luis ni jijini Dar hakuna misitu ya kuchoma mkaa. Mchanga wala hakuchimba kwani miaka ile ukimaliza digrii kazi nje nje. Fake news
Hata mm nataman kuwa mwanasiasa kama ww
Wewe kanjanja wahead unatuletea utopolo tupu
Vyeti feki hivyo acha kutudanganya.
😂😂😂😂😂
Huu uongo
Upishi
Hii nchi nimaxkini burudani za nn