Kifo cha Rais wa Iran, Ebrahim Raisi: Ni Ajali ya kawaida ya Helikopta au kilipangwa? Tunachambua

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 май 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
  • Авто/МотоАвто/Мото

Комментарии • 638

  • @user-fx3sk9kh1s
    @user-fx3sk9kh1s 28 дней назад +22

    Mwenyezi mungu anajua jambo kabla alijatokea kama kweli binadamu ameusika mwenyezi mungu atalipa

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 26 дней назад

      Mungu keshalipa kwa juu ya mauaji ya kunnyonga na kuchinja wairani wenzake, alishazoea kufanya kawaida kaka kugusa pabaya 😂😂

    • @festokivuyo7121
      @festokivuyo7121 25 дней назад

      Huyu alie kufa aliuwa watu wengi sana km ni mtu kafanya hifo si mbaya

  • @ggohf7004
    @ggohf7004 28 дней назад +60

    Allah alipanga kifo chake kiwe ktk ajali .Inalilahi wainailayhirajiun..Allah ampe hatma njema

  • @IsayaMwanyajile-iw8jf
    @IsayaMwanyajile-iw8jf 28 дней назад +11

    Mungu awarehemu.

  • @rabomunde3550
    @rabomunde3550 28 дней назад +15

    Innaalillahi wainnaa ilayhir Rajioun mwamba mwendo kaumaliza sisi tulio baki kazi iendelee

  • @humoudali530
    @humoudali530 28 дней назад +11

    Pumzika kwa amani❤❤

  • @traitorzedon5352
    @traitorzedon5352 28 дней назад +24

    Tuombe dua Mungu ampe hatma njema aendako

    • @chikusangalala7759
      @chikusangalala7759 28 дней назад +3

      Waombee ndungu zako duwa hapo ulipo huja wahii kuwaimbea ndungu zako duwa toka watangulie mbere za haki😂

    • @SarahShao-jw1up
      @SarahShao-jw1up 28 дней назад +1

      HATMA njema kwa ukatili wake!!!! Tafuta kazi za kufanya ...achana na comments za kijinga kama hizi!!

    • @abdillahiharuna0029
      @abdillahiharuna0029 28 дней назад

      ​@@SarahShao-jw1upukatiri gani alishaa wahi fanya au nichuki zako binafsi2

    • @SmilingCityMap-xb9md
      @SmilingCityMap-xb9md 27 дней назад

      ​Ukuwa Kwa upanga wauwawa Kwa upanga ​@@abdillahiharuna0029

    • @user-qy7he6cl8w
      @user-qy7he6cl8w 27 дней назад +2

      Baada ya Kufa Hukumu hamna cha Dua wala nini

  • @user-xw5uq4fr8x
    @user-xw5uq4fr8x 28 дней назад +28

    Roho yangu imeuma sana Kwa president Huyu mungu amlaze mahali pema

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 28 дней назад +3

      Inakuuma nini una undugu nae au ndo ule utumwa wa kifikra wewe ukifa mtu gani kutoka Iran ataumia acha izo fikra

    • @abdillahiharuna0029
      @abdillahiharuna0029 28 дней назад

      ​@@ramadhanmahongole9293duh kwer kua uyaone

    • @Official83640
      @Official83640 28 дней назад +2

      ​@@ramadhanmahongole9293 Umetusahau Wabongo kwa shobo za kushobokea Nchi za watu😂😂😂😂😂

    • @daudimichael7338
      @daudimichael7338 28 дней назад +1

      Pole sana, una undugu naye?

    • @josephmwabange9633
      @josephmwabange9633 28 дней назад +1

      Mahala pema , nani kakwambia , soma yohana 14:1... , ukiwa nje ya hapo unafikiri utaenda mbingu ipi

  • @ngendakumanajeanmarrie7490
    @ngendakumanajeanmarrie7490 28 дней назад +35

    Nimesikitika nakifo charais mungu awape nguvu wana nchi lran

    • @FatumaMuya
      @FatumaMuya 28 дней назад +2

      Amiin

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 28 дней назад +1

      Amiiiin🙏

    • @joellongidare8280
      @joellongidare8280 27 дней назад +3

      Mungu wa isiraeli achezewi ebrahimu mbabe alitukana taifa la mungu majmbu ndio hayo

    • @fadhilngalanda7520
      @fadhilngalanda7520 27 дней назад

      ​@@joellongidare8280kwahiyo wewe mbongo Mungu wako ni yupi inaonekana wewe huna Mungu

    • @fadhilimusa9732
      @fadhilimusa9732 27 дней назад

      ​@@joellongidare8280kuna mungu wa israeli? Miungu wako wangapi? Acha ushirikina wa kijinga

  • @user-tf7sp4qe6t
    @user-tf7sp4qe6t 28 дней назад +10

    Mbona mnatoa mawazo ya kufikirika enyi wachambuzi ajali inaweza kumpata mtu yeyote. Tunawapa pole wananchi wa Iran.

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs 27 дней назад +4

    🙌🙌 Siku ikifika ata ulale siku nzima kitandani utasepa 2 😢 kazi ya mungu haina makosa wapumzike kwa amani 🙏🙏🙏

  • @user-rt1wf6se5f
    @user-rt1wf6se5f 28 дней назад +9

    Dj sma upo vzur unasimamisha ukweli usimame na ndio unachokiongea huwa kinakuja vile vile nakufuatilia sana kweny fues simamia ukweli bro usweke uvungu hata siku moja mungu akubariki na aly masubi pia mungu akubarik bila kusahau sky.

  • @user-jj3os9bx6m
    @user-jj3os9bx6m 28 дней назад +10

    Malipo hapahapa islaeli ni taifa la mungu Iran inafadhili hezbola na hammas

    • @KalimagiFeruzi
      @KalimagiFeruzi 28 дней назад +1

      Siokweli

    • @gleadchitela4334
      @gleadchitela4334 27 дней назад

      Kweli kabisa wanafadhiri magaid

    • @user-yn6yu9zl1p
      @user-yn6yu9zl1p 27 дней назад +1

      Sio kweli duniya mzima ni ya MUNGU awo waiziraili wanawauwa watu wasio na hatiya

    • @mohamedally1594
      @mohamedally1594 27 дней назад

      Do not trust the media. Learn to balance issues.
      Try to think for yourself, decide(have a conclusion for yourself)for yourself .
      The world is full of evil.
      What is true can tell you its a lie and vise versa.
      🙏

    • @mozasultan1676
      @mozasultan1676 27 дней назад +1

      Mashoga wenzenu

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 28 дней назад +11

    Kaka Sky . Karibu crown media. Uwe mtangazaji

  • @brianbaltazar6198
    @brianbaltazar6198 27 дней назад +3

    Sky upo vizuri sana nakupa maua yako ww pamoja na dj smaa..

  • @bonifacesauly1909
    @bonifacesauly1909 27 дней назад

    Big up to you guys mmetishaaaa

  • @mkorinto7629
    @mkorinto7629 28 дней назад +4

    SnS mmekua professional sana, nimefurahi kusikia uchambuzi kutoka kwa watu 3 tofauti ukilinganisha na mwanzo.Kudos

  • @halimaramadhan2000
    @halimaramadhan2000 28 дней назад +6

    Inalillah wainnailayhi rajiuun

  • @ibrahimthani6685
    @ibrahimthani6685 26 дней назад +2

    Innalilahi wainna ilahiy rajioun ALLAH awalaze mahala pema peponi Awajaalie pepo ya firdaus

  • @Gerardirankunda2885
    @Gerardirankunda2885 28 дней назад +16

    Sns nawakubali san🇧🇮🇧🇮🇧🇮❤❤🙏🙏

  • @baytom
    @baytom 28 дней назад +4

    Jehovah ndiye Mungu

    • @yohana1242
      @yohana1242 26 дней назад +1

      iyo ni luha tu kiyahudi yehova kwa kizungu God kwa kiswahili mungu kwa kiarabu Allah kwaio mungu ni mmoja tu ndo muumbaji wa kilakitu

    • @yohana1242
      @yohana1242 26 дней назад

      Usituletee udini apa

    • @user-qv3rf9mc7g
      @user-qv3rf9mc7g 25 дней назад

      Jehovah ni mume wa mama yako

  • @user-nb6yh2bn9y
    @user-nb6yh2bn9y 28 дней назад +8

    Hii mbaya saana unajisifu unajua kutengeneza silaha kalii arafu Haujui kujirinda mwenyewe niaibu ilioje wanakuminya tuu Kama kakuku frani Hivi 😞😞😞

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 28 дней назад +1

      Hizo siraha zenyewe wanazounda wa iran, ni wa iran, wenye asili ya Israel. iran atafeli, siku zote,, unategemea raisi ajae atakua na misimamo kama huyu aliekufa? Lazima atakua muoga tu.

    • @godwinkileo7702
      @godwinkileo7702 27 дней назад +1

      😅

    • @SamweliJacob-bm2ij
      @SamweliJacob-bm2ij 26 дней назад

      Acheni ukuma nyie mbuzi mbona magufuli alikufa amkuongea kifo kipo ata wewe utakufa kwan uyu ndo rais wakwanza kufa kwenye mataifa makubwa kama iran? Acheni ushoga nyinyi

  • @aaa64sa13
    @aaa64sa13 28 дней назад +10

    Inalillahi waina ilayhi rajioun.
    Allah amlaze pahala pema kwenye wema.
    Amiin ya Rab 🤲

    • @FatumaMuya
      @FatumaMuya 28 дней назад

      Amiin🤲🤲🤲🤲

    • @SmilingCityMap-xb9md
      @SmilingCityMap-xb9md 27 дней назад

      Kwa hakika hawekwi wala hatalazwa pema popote mungu atamweka anapostahili kulingana na matendo yake

  • @cyriluskaijage4227
    @cyriluskaijage4227 28 дней назад

    @Henry is a very critical analyst 🔥

  • @user-ox5jc6oq6s
    @user-ox5jc6oq6s 27 дней назад +1

    Poleni sana tuko pamoja kwenye maombolezo ya kifo cha Rais tuache vyombo vya usalama vya Iran vitoe taarifa ila zipo sababu za kufanya uchunzi juu ya kifo cha Rais

  • @abdillahchikota4303
    @abdillahchikota4303 27 дней назад +2

    Sns mnaizidi dw wallah..allah awatie nguvu zaidi inshallah

  • @user-im1jg3rm3t
    @user-im1jg3rm3t 28 дней назад +5

    Israel ni Taifa la Mungu

    • @sadikathumani1003
      @sadikathumani1003 28 дней назад

      taifa la Mungu hata tz ni taifa la Mungu itagemea na uelewa wako wa kuchakata mambo binafsi siamini coz Mungu gani huyo anaruhusu kuua watu wasio kuwa na hitia watoto wadogo wamama na wazee huyo sio Mungu wakweli!

    • @aishaarusha894
      @aishaarusha894 28 дней назад

      Atujakataa ni taifa teule la ushoga nauwaji

    • @salimshirr5561
      @salimshirr5561 28 дней назад

      Kama Israel taifa la mungu ,je taifa lako ni lamajini ?

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 28 дней назад

      ​@@sadikathumani1003akuanzae mmalize 😂😂 walianza wao Israel inasafisha! Kwani Kule Israel Hamasi waliua kuku? Waliua raia na watu wasiokuwa na hatia pia.. mama na watoto , wanawake hata wazee.. unapocoment Rudi nyuma ufikir mara mbili, na hao Hamasi ndio waliolianzisha. Israel wakaenda mpaka Asubuhi 😅😅😅😅😅😅😅

    • @sadikathumani1003
      @sadikathumani1003 27 дней назад

      @@annasolomon9855 umejibu kishabiki sana lkn hutumii lojik

  • @user-sj1rf8ij7f
    @user-sj1rf8ij7f 28 дней назад +6

    Raisi pia nae ni binadamu anaweza kupatwa na lolote saa yoyote.. na ajali zimeshatokea nyingi sna. Raisi sio Mungu

  • @SaidyMwajeka-tr7oj
    @SaidyMwajeka-tr7oj 27 дней назад

    Very nice guys

  • @nguyamtwartz5413
    @nguyamtwartz5413 28 дней назад +4

    Innalillah wainailaih rajioun,,
    Sisi niwa mwenyezi mungu nakwake tutarejea,,

  • @gibbs1320
    @gibbs1320 27 дней назад +1

    Pole pole naona Millard Ayo ameanza kupotea kwenye rada.
    SnS ndiyo kila kitu kwa sasa.
    Hii ndiyo shida ya kuwa CHAWA

  • @user-eg1ts2fu9z
    @user-eg1ts2fu9z 28 дней назад +1

    Nakubali sana uchambuzi wenu sns.

  • @Brandina-ub9uo
    @Brandina-ub9uo 28 дней назад +12

    Mungu wa ibrahimu isacka na yakobo

    • @mohamedmanga8391
      @mohamedmanga8391 26 дней назад +1

      Utaelewa vizuri iwapo hao panya wenu wamehusika na yakobo hausikani na hawa wenye kuanzisha uhanisi.

  • @ngokaomary5123
    @ngokaomary5123 28 дней назад +4

    lnna lillahy wainna illahy rajiun ..mbele yake nyuma yetu!!!

  • @YustaMfugale
    @YustaMfugale 26 дней назад +2

    Sorry sky naona mnayapa uzito mataifa ya Europe na Asia but Africa mnaisahau congo tunaomba uchambuzi pia🙏

  • @billskeez92
    @billskeez92 28 дней назад +1

    Combination yakibabe sana🔥👌

  • @abdullahchabukila6686
    @abdullahchabukila6686 27 дней назад

    Dah 😢

  • @KhamisMohd-sj7ij
    @KhamisMohd-sj7ij 27 дней назад +1

    INNALILLAH WAINNA ILAYHI RAJIUN

  • @FestusJchunya-hc3hv
    @FestusJchunya-hc3hv 28 дней назад +4

    Yes wameua ua sana wengine na wao wameuawa!!

  • @GeorgeChitemo-kt8sw
    @GeorgeChitemo-kt8sw 28 дней назад +5

    Safi sana hii huwezi kushindana na Israel ukashinda Israel taifa teule la Mungu

  • @EmmanuelSima-qz1gd
    @EmmanuelSima-qz1gd 28 дней назад +3

    Sns 👊 wachambuz 🔥🔥🔥

  • @saidizuberiissa7286
    @saidizuberiissa7286 26 дней назад

    Dah😢😢😢😢😢

  • @SAM_163
    @SAM_163 27 дней назад +1

    DJ ASMA ANAUMIA NDANI KWA NDANI KWA NAMNA ALIVYOKUWA ANAMSIFIA HUYU JAMAA NA ULINZI WAKE LAKINI LEO AMEKUWA ASSASSINATED TOO EASY 😢

  • @user-vs7vv7xd2f
    @user-vs7vv7xd2f 28 дней назад +2

    Inna lillah waina ilayhi rajiuun

  • @salumadam2862
    @salumadam2862 28 дней назад

    😢😢

  • @mossyfimbo3577
    @mossyfimbo3577 27 дней назад

    Iya Y

  • @user-vd6fu6rv9r
    @user-vd6fu6rv9r 28 дней назад

    Ameen

  • @AMENMUSHI-wt4li
    @AMENMUSHI-wt4li 27 дней назад

    Mmmmm

  • @abuuiqrimah1125
    @abuuiqrimah1125 28 дней назад

    Kaka sky uko sawa

  • @allymohammedfundi584
    @allymohammedfundi584 27 дней назад +1

    Innaalilaah

  • @user-lt9yx2mh9k
    @user-lt9yx2mh9k 28 дней назад +7

    😢😢😢allah awarehem

  • @johnndegwa67
    @johnndegwa67 27 дней назад

    Mungu amurehemu, Allah ampe hatma Yake insha'Allah

  • @mohayussuf2057
    @mohayussuf2057 28 дней назад +1

    Innalillahi waina illahimu rajiun

  • @LastdayJesu4153
    @LastdayJesu4153 28 дней назад +9

    Iran wangejua ndani ya vyombo vyao vya ulinzi wanamayaudi wengi wangetulia

  • @raymrash
    @raymrash 28 дней назад

    Henry nakukubali sana

  • @saddykambonanaungamkonobas2539
    @saddykambonanaungamkonobas2539 27 дней назад +1

    Nmeumia sana KIFO Cha baba ibrahim

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk 28 дней назад +3

    Kila jambo baya au zuri ni mungu wachochezi hawakosekani toka enzi za mitume kikubwa kumuombea dua

  • @RaphaelJickson
    @RaphaelJickson 27 дней назад

    Daaah!! Nimeumia sana mungu amlaze Mahali pema peponi

  • @Gamba177
    @Gamba177 28 дней назад +2

    Mungu awalaze pahala pema aminnn

    • @SmilingCityMap-xb9md
      @SmilingCityMap-xb9md 27 дней назад

      ,mungu sio boy wako hata unamtuma amweke pema yeye mwenyewe anajua wajibu wake anajua makao ya wauaji yalipo

  • @SAMA-jw4fr
    @SAMA-jw4fr 28 дней назад +10

    Nakubali sana DJSma ndio ivo ivo mossad wamefanya yao

    • @BenardZephaniah
      @BenardZephaniah 28 дней назад

      😂😂😂😂😂

    • @user-wr6uz1rx1o
      @user-wr6uz1rx1o 28 дней назад

      😂😂😂😂bado unamin mosad wengewe wanamuogopa hizbullah

    • @user-io8hn1jb4d
      @user-io8hn1jb4d 28 дней назад

      ​@@user-wr6uz1rx1okwani hezibollah kafanya nini rafah inaangamizwa kule mbona hawafanyi hivyo

  • @user-hu4sd7bg8n
    @user-hu4sd7bg8n 27 дней назад +1

    Allah help

  • @rahmahassan7510
    @rahmahassan7510 28 дней назад +1

    Innalillah wainna ilayh rajiuun

  • @SamweliJacob-bm2ij
    @SamweliJacob-bm2ij 26 дней назад +1

    Mungu amlaze mahali pema peponi

  • @khamisjumazume8477
    @khamisjumazume8477 28 дней назад

    Inaa Lilah wainna ilaih Raajiuun

  • @abdulrahimali2639
    @abdulrahimali2639 28 дней назад

    Innalillah wainna ilayrajiun

  • @hamzafishten9560
    @hamzafishten9560 28 дней назад +1

    Inna ilah waina ilah rajuin

  • @Gulfnas1
    @Gulfnas1 28 дней назад +2

    Muda wao kuishi hapa duniani umefika mwisho same to us, muda ukifika tutaondoka pia!! But suspicious zipo kbsaa only time will tell.. poleni sana watu wa Iran, OIC, BRICS, SCO na global south kwa ujumla...

  • @AliNassor-qt6fm
    @AliNassor-qt6fm 28 дней назад +4

    Iran ni dhaifu sana katika intelijensia

    • @awatifsubeit4007
      @awatifsubeit4007 28 дней назад +2

      Kweli kabisa wanauliwa sana na waisrael kwa njia za kijasusi

    • @HusseinSaguti-sj9nh
      @HusseinSaguti-sj9nh 28 дней назад

      Kwnn wasema ivyo

    • @HusseinSaguti-sj9nh
      @HusseinSaguti-sj9nh 28 дней назад

      ​@@awatifsubeit4007kwahiyo watanambia hapo israel imehusika?

    • @missp1814
      @missp1814 28 дней назад +1

      Kabisa...... Wanauliwa sana,wangeweza kuwekeza kwenye intelejensia, alafu walipize kisasi kikubwa.... Israeli na marekani wangewaheshimu sana..... Huzuni sana

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 28 дней назад

      ​@@missp1814wameshindwa miliki helicopter ya kisasa ya rais hayo makubwa zaidi wanaweza?

  • @fadhilisule
    @fadhilisule 28 дней назад +1

    Atollah aminey achukue iyo nchi haraka sana

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 28 дней назад

    👊✌👍.

  • @muhammedwakif6216
    @muhammedwakif6216 28 дней назад +1

    Innalilah wainnailahi Rajiun

  • @ZabronMarko
    @ZabronMarko 24 дня назад

    Polen Sana kwa kifo cha Rais wa Iran mungu awatangulie katika hich kipnd kigum RIP

  • @FrankMushi-cs5js
    @FrankMushi-cs5js 28 дней назад +5

    Alimwambia nanii aigusee Israel amini usiami Israeli itawapa tabu sanaaa ilo ni taifaaa teule la MUNGU jamini msije mkashindana naloo basi

  • @awatifsubeit4007
    @awatifsubeit4007 28 дней назад +4

    Waangalie vizuri inteligence yao huenda mnawasiliti

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 28 дней назад

      Ndani ya serikali ya iran, mabingwa wa technology mbalimbali, Ni wa iran wenye asili ya Israel, mababu zao walihamia miaka mingi sana, ndio maana myahudi anaifahamu vizuri iran, kuliko iran anavoifahamu Israel. Na tukumbuke kua! Mkuu wa majeshi wa Israel, daniel hagar, alisema Israel watalipiza kisasi cha juu! Kwa wakati sahihi, yale mashambulizi walofanya Israel ndani ya iran, ilikua danganya toto tu! Shambulizi lenyewe ni hilo, na bado mengine yanakuja.

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 28 дней назад

      Hakuna wasaliti ni ujinga raisi mzima kusafiri Kwa helicopter ya miaka ya 70 huko ,hao watengenezaji wenyewe walishaacha zitumia muda ,Tena unapita kwenye hali mbaya ya hewa ,taifa kubwa lakini hata helicopter za kisasa hakuna

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 28 дней назад

      ​@emma😂😂😂dora7848

    • @Rey_D669
      @Rey_D669 27 дней назад +1

      @emmadora7848 umeongea katka uharisia kaka

    • @hamidamussa-sy4fm
      @hamidamussa-sy4fm 27 дней назад

      Kweli kabisa

  • @moseskulola6913
    @moseskulola6913 28 дней назад +4

    Mimi ni mucristo sina hata matadiso na we Eslam nakupa siku Mimi nawaombea mungu sana dungu zangu wa Eslam..tangu Jana usiku bilipoigine nyumbani kwangu mke wangu alikuwa naagalia TV CNN live nikaona ..nilistuka sana Mimi Raisi kamahle alli .alikuwa .alikuwa mdomoni kwangu sana tangu zamani ...here's mungu turumihe

    • @JoalAlma-ci1hi
      @JoalAlma-ci1hi 27 дней назад

      Safi saaan hii ndo maan ya ukristo ubinadamu amani safi saan umeuonyesha mfano wa zehebu ya kikristo

    • @mohamedally1594
      @mohamedally1594 27 дней назад

      Maturity/ukomavu.
      Usilazimishwe na watu juu ya tabia ya mtu.
      Mwenyezi Mungu katupa akili ya kujua baya na zuri.
      Ni sisi kuitumia kujua mbaya nani na mzuri ni nani

    • @ibnhamduun3173
      @ibnhamduun3173 27 дней назад

      Hao Mashia Wairan sio waislamu

  • @hanifa9153
    @hanifa9153 28 дней назад

    Innalillah wainna ilayh rajioun 😢😢😢

  • @officialkamdudu
    @officialkamdudu 28 дней назад

    innalillahi wa innailayhi rajiun

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 28 дней назад +3

    Hii dunia ina shida sanaa ukweli huwa hakuna blabla tu hiyo helicopter sio ndogo hata kuna hali ya hewa mbaya itakujulisha hali ya hewa ni hatari hilo tulijue sawa na baharini utajulishwa hali mbaya .

  • @MagrinZellah-tm1ng
    @MagrinZellah-tm1ng 27 дней назад +1

    Lakini kumbukeni "MUNGU " aliwaambia Israel kupitia Musa wakati anawatoa mikononi mwa Farao,"BWANA" atawapigania ninyi, nanyi mtanyamaza kimya

  • @user-qq6mv6vh3e
    @user-qq6mv6vh3e 28 дней назад +2

    Apumzike kwa amani

  • @chachajulius4481
    @chachajulius4481 28 дней назад

    Duuh 🔥🔥🔥🔥

  • @Brandina-ub9uo
    @Brandina-ub9uo 28 дней назад +4

    Cheza na mungu wa islael

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 28 дней назад

    Innalilahy wainnalilah rajiuun! Mwenyezimungu awajalie kauli thabiti! Poleni Sana Wana Iran wote Mwenyezimungu awasimamie msiba mzito huu, yalitukuta Sisi tuliondokewa na Rais wetu kipenzi cha wengi JPM! Mwenyezimungu awarehemu Marehemu wote awaondolee adhabu ya kaburi! Ameen!

  • @aishabakar3754
    @aishabakar3754 28 дней назад +6

    Innalillah wainnaillah rajiuun Allah ampe kauli thabit na poleni Sana ndugu zetu wa Iran huu ni msiba mzito mungu awape subra

    • @victorgerryson2695
      @victorgerryson2695 28 дней назад

      wew n mwarab?

    • @aishaarusha894
      @aishaarusha894 28 дней назад

      Victor acha chuki wewe na wewe utakufa hivo hivo utakosa wa kukupa pole

    • @ibnhamduun3173
      @ibnhamduun3173 27 дней назад

      Shia ni kafiri si waislam

    • @aishaarusha894
      @aishaarusha894 27 дней назад

      @@ibnhamduun3173 wewe tena hakimu astaghafiruallah mungu ndo mjuzi wa yote allah ampe jana rais wa irani

  • @hamphr3y405
    @hamphr3y405 24 дня назад +1

    Kwenye Kipindi Hicho Kipya tunaomba uchambuzi wa Kifo cha Magufuli 🫢

  • @saidgumbo2529
    @saidgumbo2529 25 дней назад

    Innalilah wainnilah rajiuna

  • @sautisevarino1656
    @sautisevarino1656 28 дней назад +2

    Hii ngumu sana aisee

  • @amosstimamaroba1054
    @amosstimamaroba1054 28 дней назад

    😮😮😮😮

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 27 дней назад +1

    Anawezaje kugombana na israel alisahau kama Israel ni nchi ya ahadi au?!

  • @zaralsham3257
    @zaralsham3257 28 дней назад +4

    hakika wana iran wanapitia kipindi kigumu kuondokewa na raisi wao akiwa madarakani wameumia😥kam sis watz tulivoumia kwa magufuli ,, Allah awaweke anapostahili poleni wana irani hyu jama alikuwa smart sana

    • @chikusangalala7759
      @chikusangalala7759 28 дней назад

      Walicho kitakq wame kipata chezea Israel 🇮🇱 wewe hicho kinaitwa jibu kwa duniani

    • @aishaarusha894
      @aishaarusha894 28 дней назад

      ​@@chikusangalala7759we naye hakuna mtu ambaye hatokufa yeye katangulia nawao watafata mungu ni moja hakika hakuna cha kubakia apa duniani

    • @mohamedally1594
      @mohamedally1594 27 дней назад

      ​@@chikusangalala7759Usiruhusu kuwa manipulated na media.
      Kama mtanzania mwenzangu kilicho bora zaidi ni kuitetea Tanzania na watu wote regardless of their religion.

    • @adolfufedinandi2534
      @adolfufedinandi2534 24 дня назад

      magufuli uliumia wewe

    • @zaralsham3257
      @zaralsham3257 24 дня назад

      @@adolfufedinandi2534 jina lenywe2 adofu nzwala 😂😂Mungu akubariki wew na uzao wa tumbo lako Ameen🙏love youuuu🥰

  • @ibnhamduun3173
    @ibnhamduun3173 27 дней назад +1

    Alhmdulillah, tunamshukuru Allah kwa kufa kafiri muovu wa kishia.
    Mashia ni makafiri kama makafiri wengine.

    • @pvoiceofficialtv7630
      @pvoiceofficialtv7630 27 дней назад

      wewe punguza ukali wa maneno shekh

    • @ibnhamduun3173
      @ibnhamduun3173 27 дней назад

      Mashia ni makafiri tu hata ukichukia​@@pvoiceofficialtv7630

    • @alawikihema8676
      @alawikihema8676 25 дней назад

      Muogope Mwenyez Mungu

    • @ibnhamduun3173
      @ibnhamduun3173 25 дней назад

      ​Mim namuogopa na namuomba Anidumishe ila na wew umuogope ili uache kutetea makafiri wakishia​@@alawikihema8676

    • @ibnhamduun3173
      @ibnhamduun3173 25 дней назад

      ​@@pvoiceofficialtv7630 kumbe kusema kweli ndio ukali wa maneno, sasa kama Mashia makafiri tusiseme, hao ni makafiri tu

  • @mtemiwantobo2967
    @mtemiwantobo2967 26 дней назад

    Sijapenda kabisa uchambuzi kupitia simu sauiti haitoki vizuri kwann msikae wote studio kama zaman shida nini bro

  • @eben_ezer8853
    @eben_ezer8853 28 дней назад +2

    Kutokana na hii ajali na nikiwa katika hizi nchi za hawa watu kama mwafrika nimejifunza Kuna Aina nne za watu,,,, Kuna watu wanaojua kinachoendelea duniani, wale ambao hawajui kabisa kinachoendelea, wale wanaojua na wanajifanya hawajui,, na wale ambao hawajui na wanajifanya kujua,, na wale wanaoendesha kila kinachoendelea,,,,,, ogopa MUNGU, TEKNOLOJIA, na WANADAMU 🤫🤫🤫

  • @khamisshee803
    @khamisshee803 28 дней назад +1

    INNA LILLAHI WAINNA ILAYHI
    AKA BACHUCHU MOMBASA 001
    +254

  • @worldhappiness1181
    @worldhappiness1181 28 дней назад +1

    Dj sma na mwenzie, honest the way mnavochambua hizi habar, mkipewa kitengo cha upelelez maalum wa kivita, 95% mnaimudu, na itakua mathubut

    • @JeanMalilo
      @JeanMalilo 28 дней назад

      Rudi shule, kusifia ujinga tu

  • @jerryndondole1965
    @jerryndondole1965 27 дней назад

    Sma ni bingwa wa ku read between the lines which wachambuzi wengi bongo hawana hiki kitu Sma ni genius

  • @samwelshepa8443
    @samwelshepa8443 28 дней назад +1

    Technology ipo juu sana. Kumbuka hili vuguvugu la kivita linaloendelea na hadi sasa hata mavumbuzi ya silaha ni mengi ambapo zaidi hata ya silaha za mionzi na DNA tracking. Ngoja tusubiri huenda tutasikia mengi.

  • @flowerqq1280
    @flowerqq1280 28 дней назад

    Innalilah wainnailah rajiuun poleni wa iran

  • @user-jj3os9bx6m
    @user-jj3os9bx6m 28 дней назад +1

    Ahadi ya mungu na wanadamu ni kifo

  • @IbrahimGedi-of6zh
    @IbrahimGedi-of6zh 28 дней назад

    Rest in peace our leader

  • @shakilajazla8893
    @shakilajazla8893 28 дней назад

    😭😭😭😭😭😭