Hiki ndicho kinachomfanya Marekani na Israel wamuogope Iran

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 367

  • @ebengapierre8826
    @ebengapierre8826 5 месяцев назад +57

    Ebwana umetafsiri vizuri sn istoria nzuri kweli kumbe iran inanguvu ivyo nawasapoti iran mungu awalinde kilasiku mungu ukaha kwamwenye haki ❤❤❤❤ iran

    • @mussammanga7791
      @mussammanga7791 5 месяцев назад +4

      Ulikuwa hujuwi ilo, kwa waarabu huyo ndie kidume anaeogopewa na nchi za kimagharibi.

    • @Ban-w1u
      @Ban-w1u 5 месяцев назад +4

      Iran sio waarabu

    • @mussammanga7791
      @mussammanga7791 5 месяцев назад +1

      @@Ban-w1u Upertia ni kabila tu, lkn ndio haohao.
      Au kwsbb wanazungumza Kifursi.

    • @NathanielNathan-m4o
      @NathanielNathan-m4o 5 месяцев назад

      Uko na mchezo,angalia ni nchi ngapi ziko na mabomu ya nuclear uone kama Iran ni Moja wao.Nchi ni 9 na Iran haipo kwenye hiyo orodha

    • @awadhsalim2680
      @awadhsalim2680 5 месяцев назад

      ​@@NathanielNathan-m4oiweke ww iwepo mgawaji wa technology 😅😅

  • @zahraalbaloochi2841
    @zahraalbaloochi2841 5 месяцев назад +16

    Mtenda akitendewa!! Yani hii Israel na America ndio chanzo cha balaa kubwa duniani hilo linajulikana!!

  • @abdul-qadirkhamis2518
    @abdul-qadirkhamis2518 5 месяцев назад +10

    MA shaa Allah.. I wish nionane na wewe one day in shaa Allah.... You are genius, again and again, and more than again....

  • @Ibrahim-d3q
    @Ibrahim-d3q 5 месяцев назад +7

    Mashallah unajua history keep it up bro, hizi nchi za kiarabu ni vibaraka tu kukiongozwa na Saudi ile siku watashtuka itakua too late, nawaombea tu Iran mungu awasimamie nawakubali sana hawa

  • @fatimasaid9469
    @fatimasaid9469 5 месяцев назад +15

    Mashallah tabaraqah. Huyu mtaalamu umlete tenna kwa uchambuzi zaid

    • @JoalAlma-ci1hi
      @JoalAlma-ci1hi 4 месяца назад

      Kwasababu anasema iran inaogopwa na marekani na israel😂😂😂😂😂et nawe unaamni et

  • @somoeomar4861
    @somoeomar4861 5 месяцев назад +4

    Shukraan sana leo ndo nimeelewa kila kitu umetueleza vizuri sana thanx alot

  • @allynassor1119
    @allynassor1119 5 месяцев назад +6

    Nimekuelewa pongez kwako mungu akuongoze ktk kazi na maisha yk

  • @dulax2457
    @dulax2457 5 месяцев назад +10

    Broo uko vizur from mombasa twakupata 100%wewe ni professer

    • @revocatusjilala2441
      @revocatusjilala2441 5 месяцев назад +1

      Tanzania tumebobea kwa Tafukuri, kuelezea mambo kwa kina, watanzania wengi ni great thinker kuliko wakenya!! Wakenya kazi Yao ni kubwabwaja

    • @SuperMtani
      @SuperMtani 5 месяцев назад

      Asante

    • @AllyKelemba
      @AllyKelemba Месяц назад

      😅

  • @saidiyusufumuhode3159
    @saidiyusufumuhode3159 5 месяцев назад +27

    Huyu Iran anatisha sanaa Allah aendelee kuwapa ufaham zaidi

  • @MsomaliOmary
    @MsomaliOmary Месяц назад

    Shukran mwalim nimevutiwa na uchambuz wako makin na unautulivu wa hali ya juu zaidi mungu akupe akuongenzee afya zaid ili tupate faid zaid kutok kwako, jina langu msomali omar nipo mwanza mjin.

  • @rk-rp2un
    @rk-rp2un 5 месяцев назад +6

    Hongera sana brother,nimeipenda ushauri ulioutoa,Mungu akubariki sana

  • @snuramushi9612
    @snuramushi9612 5 месяцев назад +5

    Mashallah umeisimulia vizuri sana tunategemea kukuona kwenye historia nyingine Inshaallah,,,kuhusu Iran kufanikiwa kujitengenezea vitu vyao wenyewe hii imesababishwa na ujasiri wao na utayari toka pale walipo uondoa utawala wa kifalme na kuweka utawala wakiislam walishakubali kupambana na lolote mbele yao sasa hawa wenzao bado waoga

    • @StellaKaluwa
      @StellaKaluwa 5 месяцев назад

      MUNGU NDIYE ALIYE IBARIKI ISRAEL NA NDIYE ATAKAE ITETEA ISRAEL MUNGU LINDA MIPAKA YA ISRAEL ADUI WA ISRAEL NI ADUI WA MUNGU TUTAONA MUNGU WAO NA MUNGU WA ISRAEL NANI ZAIDI MUNGU IBARIKI ISRAEL NA MIPAKA YAKE HAKUNA ALIYE NA NGUVU KAMA MUNGU WA ISRAEL

    • @saphinalutaha9077
      @saphinalutaha9077 5 месяцев назад

      ​@@StellaKaluwa😂😂😂😂 mtajpa puresha bure kwaiyo mungu ndo Alie waambia wawe wanachokoza watu😂😂😂😂

    • @Alkaburu
      @Alkaburu 5 месяцев назад

      ​@@StellaKaluwakwa hiyo wewe ni mpagani huna Mungu kama Mungu ni waisraeli?

    • @afrahamohamedi6301
      @afrahamohamedi6301 5 месяцев назад

      ​@@StellaKaluwawewe ni myahudi au 😮😮 ? wayahudi waliasi amri za Mungu ndio maana Yesu hana baba myahudi bali alizaliwa kwa njia tofauti bila manii ya mhuni mwizraeli . waizraeli ni watu washenzi wewe unawa entertain 😢😢 safari hii Izraeli itang'olewa na hata kama watatumia Atomiki bomu au haidrojeni bomu la Amerika au msaada wa urusi hautaleta manufaa yoyote kwa waizraeli

    • @swahibually8349
      @swahibually8349 Месяц назад

      ​@@StellaKaluwaWewe broo ni Chizi sana,hawa Waisraili kiitikadi hawamtambui YESU,wao wanavyomtambua YESU ni kwamba; YESU ni Mtoto wa Zinaa hivyo hafai kua MUNGU wala mwana wa MUNGU na hata kua Mtume pia hafai,je wewe na wao mpo sawa? Pamoja na kwamba nyote mmepotea kiitikadi lakini mmetofautiana pakubwa,wewe unajifanya unamkubali YESU lakini wao hawamkubali kabisaaa,kwa taarifa yako pale Israel Wakristo ni asilimia 5 tuu,

  • @onelinelyrics200
    @onelinelyrics200 5 месяцев назад +4

    Umetema facts! Ukweli Mchungu japo Mataifa ya kiarabu yanasaliti Ummah ikiwemo Suudia - kwa mfumo wa Petro-dolla kwa maslahi binafsi

  • @josephwilliam5813
    @josephwilliam5813 5 месяцев назад +5

    Mchambuzi uko vizuri sana

  • @SiwanaSiwa-f7k
    @SiwanaSiwa-f7k Месяц назад +2

    Taifa la israel halikuanzishwa 1945, israel ilianzishwa zaidi ya miaka 2000 iliyopita na Mungu mwenyewe, 1945 israel walirejezwa kitoka kila pembe za dunia, israel ni taifa la Mungu aliye hai, hadi mwisho wa dunia hakuna atakayeweza kuiondoa israel katika nchi waliyopewa na Mungu mwenyewe, yeyote atakayeilaani israel atalaaniwa na yeyote atakayeibariki israel atabarikiwa, tazama mataifa yote na viongozi wote walioilaani israel taifa la Mungu walipoishia

    • @jofreykilangila4118
      @jofreykilangila4118 Месяц назад

      Soma mathayo 21- 33 ujuwe ni bado taifa la MUNGU au ? Na taifa la MUNGU linalindwa na MUNGU mwenyewe kama hapo kwanza. Taifa la MUNGU Kila siku linamwaga damu halitaki sulusu.

    • @swahibually8349
      @swahibually8349 Месяц назад

      Ikiwa wewe ni Mkristo,basi utakua hujitmbui maana Waisraili hawa unaowasema hawamtambui YESU kama Nabii,bali wao wanamuita ni Mtoto wa Zinaa,hivyo hafai kua Mtume na wala hawezi kua Mwana wa MUNGU,sasa wewe unaesema hilo ni Taifa la MUNGU, yawezekanaje Taifa la MUNGU lisimtambue YESU kama mnavyomtambua nyinyi kua ni MUNGU mara mwana wa MUNGU mara Mtume wa mungu,huoni kwamba nyinyi mnatofautiana pakubwa sana na Waisraili,kiitikadi na hata kidini,au wewe Akili huna?Ni upambe tuu wa kipuuzi ulio nao ila huwajui hawa Jamaa,hawa Jamaa ni kikosi cha Laana ila wewe hujui, pale Wakristo ni wachache mnooo maana ni asilimia 5tuu

    • @MwanahamisHussein-dp2if
      @MwanahamisHussein-dp2if Месяц назад

      Waisraelmashoga AwawezikuwaTaifalamungu

  • @hanspop6961
    @hanspop6961 5 месяцев назад +3

    Umeongea vitu Vizuri vya Mwanga Nimejifunza kitu kizuri sana Uendelee na Uchambuzi 🙏🏾

  • @alibinali_
    @alibinali_ 5 месяцев назад +2

    Thanks kwa uchambuzi mzuri sana kuna watu wanaongea mambo tofauti ila wewe umechambua vizuri na bila ubaguzi na vyombo vingi vyahabari hawaongie ukweli

  • @deusisindwa616
    @deusisindwa616 5 месяцев назад +2

    Asante sana kaka ❤❤
    Wewe nimwana histor mzur sn,,anavitu vingi vya kutufundisha,,ukiashilia wachambuz uchwara,,binafsi nataman ungekuwa na jukwa maarum,,Ili tujifunze kutoka kwako,,Mungu akujalie afya njema ulichokipata nasisi tunufaike nacho❤❤❤💪💪,,

  • @yussufmiraji9408
    @yussufmiraji9408 5 месяцев назад +5

    Toka nianze kufatia siasa za mashariki ya kati ndiyo kwanza nitapate taluma mm nilikuwa najuwa iran ni nchi ya kawaida tu kumbe wana technology kubwa sana kiasi wazungu wamuogope iran irani is the best country in Islam in the world

    • @osmaniidrisa6290
      @osmaniidrisa6290 5 месяцев назад

      Lakini Iran ndio Audi mkubwa WA waislamu

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 5 месяцев назад +1

      ​@@osmaniidrisa6290ALAA SIO MUISRAEL ADUWI WA WAISLAMU???

    • @osmaniidrisa6290
      @osmaniidrisa6290 5 месяцев назад

      @@salimmalaka256 wote ni maadui WA uislamu lakini harari zaidi ni Yule anaejifanya sio Audi kumbe ni adui

    • @jumaali4893
      @jumaali4893 5 месяцев назад

      Unaushahidi wowote wa kuthibitisha ulichokiandika? au huna​@@osmaniidrisa6290

    • @awadhsalim2680
      @awadhsalim2680 5 месяцев назад

      ​@@osmaniidrisa6290Naona bora Iran inaisapoti palestina kuliko Saudia ?!!! Sasa yupi aduwi zaidi ya waislam u ?

  • @HawaBakari-u6q
    @HawaBakari-u6q 5 месяцев назад +11

    Kaka umeeleza vizur sana nimegain kitu kikubwa sana na allah anifanyie wepes inshallah ,Allah akupe maisha marefu na yenye mafanikio

  • @MariamDilla
    @MariamDilla 4 месяца назад

    Mhadhiri umesaidia uchambuzi mzuri na umetupa manufaa sn kuelewa hali ilivyo mashariki ya kati na ht mgogoro wa Israel na Iran.
    Thanks

  • @hilalisaidseif8483
    @hilalisaidseif8483 5 месяцев назад +5

    MashaAllah kumbe bado Tz tunawanahistoria wazuri hivi endelea kutupa elimu

  • @SalimKaporo
    @SalimKaporo 5 месяцев назад +3

    Basi mtu anaeongea vitu vya maana kama huyu huwezi kusikia media zina muhoji hatasikumoja innalilah wainailaih rajiun

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa6415 Месяц назад

    Umeelezea kwa uzuri zaidi 👏

  • @AnthonyGabriel-ou7wz
    @AnthonyGabriel-ou7wz 4 месяца назад +1

    Tuambie imekuwaje Ajali ya Raisi wao?

  • @hassanmsangi4149
    @hassanmsangi4149 5 месяцев назад

    mashallah akhy umetuelewesha vzr sana, hao ndio wairan hao ndio mashia tunaowasema vibaya misikitini

    • @YahayaMilaji
      @YahayaMilaji 5 месяцев назад

      Kaka nimejifunza Asante

  • @senikomanya7223
    @senikomanya7223 5 месяцев назад +3

    Kweli aisee kama iran ingekua inasubir kupewa hakika ingekua imeisha anguka

  • @KhamisiOmar-v3h
    @KhamisiOmar-v3h 5 месяцев назад +6

    Nimekkubali bro mambo unayo yasema yapo na maono makubwa sana.

  • @abdulpagali7476
    @abdulpagali7476 5 месяцев назад

    I appreciate your informed presentation. Shida humfanya mtu kuwa mdadisi, mbunifu na kuwa mwenye uthubutu wa kutenda. Iran imewekewa vikwazo vingi baada ya mapinduzi ya 1979. Suluhisho kwao ni kuwekeza kwenye teknolojia inayowafanya sasa waogopwe. Sisi tumewekeza zaidi kwenye siasa. Walimu, wahandisi na hata madaktari hukimbilia kwenye siasa ambako raslimali nyingi za taifa zimewekezwa huko. Sasa marndeleo tutayapataje kwa kukopi na kipesti kila kitu? Vijana wanasomea vyeti tu na sio utaalam, masrifa wala ujuzi. Je, ubunifu utatoka wapi? Asante mwalimu kwa kunielimisha 🎉🎉🎉.

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme8455 5 месяцев назад +2

    Cuba ndio nchi yenye vikwazo zaid

  • @radjabusuleiman6486
    @radjabusuleiman6486 5 месяцев назад +4

    WA SHIA ni watu hatari Sana, sio kama sisi wa SUNI waoga ule imam wawo khomein akitangaza tuu vita hapatokalika mashariki yakati wanamuamini ule mzee wawo kuliko Ata Wazazi wao akitowa amri hakuna wa kupinga amri yake.

  • @selemanshemea4093
    @selemanshemea4093 5 месяцев назад +9

    Lakini mbona tukio la Iran ndio linazungumzwa Sana?Israel kushambulia ubalozi wa Irani na kuua hilo sitatizo ,kweli dunia SASA IPO mikononi mwa waovu.

    • @suleim505
      @suleim505 5 месяцев назад +3

      Dunia imeshaharibiwa na waharibifu, na ndio wanaounga mkono uharibufu unaofanyika kwa mataifa ya wanyonge

    • @muhamadharun9432
      @muhamadharun9432 5 месяцев назад

      Propaganda za kusahaulisha uovu wa Israel

  • @ShadrackMwikoni
    @ShadrackMwikoni 4 месяца назад

    Teacher big up Sana natamani niwe kama wewe, wewe ni msomi mkubwa Allah akuzidishie ila niombee na mm mwanafunzi wako wa first year

  • @MwazoaMwazoa
    @MwazoaMwazoa 5 месяцев назад +2

    Tanzania inadaiwa deni kubwa sana na iran.Tumekopa tangu wakati wa Marehemu Ali hassan mwinyi akiwa Rais halafu tumeuchuna kama hatujui hatuna kamwe huo mpango wala hata hatujui tutalipa lini.Tunalipa madeni ya dhulma ya Riba ya wazungu na tumeacha kulipa deni lisilo na Riba yoyote.

  • @kokubukoba7510
    @kokubukoba7510 4 месяца назад

    Great analysis, asante

  • @hajimrisholukamba602
    @hajimrisholukamba602 5 месяцев назад

    very knowledgeable, context analysis yako makes a lot of sense

  • @krisantmwaipungu1434
    @krisantmwaipungu1434 4 месяца назад

    Well said brother

  • @ZiadaAmeir
    @ZiadaAmeir 4 месяца назад

    Wallah umenifunz mingi sana amby siikuw nayajua
    Kaka Allah akubarik

  • @SalumMohammed-r8n
    @SalumMohammed-r8n 5 месяцев назад +2

    Hongera brother

  • @HabibuMudhwahir
    @HabibuMudhwahir 5 месяцев назад +4

    اللهم صل على محمد وال محمد

    • @IssaRwechungura
      @IssaRwechungura 5 месяцев назад

      I am the National Chairman of Indiginous Shia Community: Tanzania lthna'ashariyyah Community (T.l.C)

  • @fadhilimnyanga6400
    @fadhilimnyanga6400 5 месяцев назад

    Wapi mr Sebo..mmmh. nice historical facts.

  • @JohnMabustar
    @JohnMabustar 5 месяцев назад +1

    Much respect kakamkubwa technical school ndo msingi

  • @jacksonmsendo3478
    @jacksonmsendo3478 5 месяцев назад +2

    Uchambuzi mzuri sana

  • @nassoromussa2423
    @nassoromussa2423 5 месяцев назад +1

    Ufafanuzi mzuri sana, ila mhadhiri ameacha maswali mengi kwa TZ lkn na Afrika kwa ujumla. Yaani, ni kwa namna gani nchi za Afrika zimeshindwa kuwekeza katika teknolojia?? Shida ni nini hapa! Lakini nini kifanyike...

  • @jumamayonga8914
    @jumamayonga8914 5 месяцев назад +3

    Nakuunga mkono sasa hivi serikali inatakiwa kuwekeza kwenye Teknolojia

  • @makhanguwakhutu2408
    @makhanguwakhutu2408 5 месяцев назад +2

    Irani ni mfano mzuri wa afrika kufata tujifunze technically skills sio kusifiya tu Israel na marekani

  • @GapsonRevoson-bn7nt
    @GapsonRevoson-bn7nt 4 месяца назад

    Nikili wazi napenda history lakin Kwa maelezo yako uliyoyatoa naona ninakazi kubwa kijifunza kutoka kwako ww umesimulia na kutatua Kwa maelezo yaliyonyooka na fact congratulations sana chief

  • @gabrielmdem4271
    @gabrielmdem4271 4 месяца назад +1

    Duu safiii broooo

  • @mohamedsheikh6618
    @mohamedsheikh6618 5 месяцев назад +2

    Mkuu, umejitahidi lakini pia irani wako vizur hata katika matibabu, ukweli irani ni taifa pekee lililobaki duniani kuwa ni huru kutokana na Mataifa ya magharib Iran imebaki kuwa ni kikwazo pekee kwa nchi za magharib na marekani kuitawala mashariki ya kati, nia ya Israel ni kuiburuza marekani iingie katika vita ili wao wa Israel wawe mabwana wa mashariki ya kati

  • @SalamaKhamis-un8vn
    @SalamaKhamis-un8vn 5 месяцев назад +3

    Mhh nimefumbuka mambo mengi Hsante Kaka

  • @NoelNjementi
    @NoelNjementi 3 месяца назад

    Kwer mumeamini kuwa Israel inatisha ee vita inakufa nawatu wengi

  • @KajunaMathayo
    @KajunaMathayo 2 месяца назад

    Naomba sana mungu vita ivi visifike Africa

  • @Mbmaster-os5oi
    @Mbmaster-os5oi 5 месяцев назад +2

    Hongera ndugu

  • @peterokoo7962
    @peterokoo7962 5 месяцев назад +2

    Jamaa akovizuri sana

  • @ShehaHaji-k8t
    @ShehaHaji-k8t 5 месяцев назад +1

    Maashaallah umetufunza

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy7360 5 месяцев назад +3

    Ni vigumu sana ku gundua Marekani na Esraeli ni Nchi moja lakini uki chunguza na kufatilia matukio kwa akili tangu azimio laku anzishwa Taifa hilo na matukio yaliyo fuata hadi leo uta gundua

  • @akidashekue163
    @akidashekue163 5 месяцев назад +4

    Muingeleza na Mmarekani Ndiyo Israel

  • @NoelNjementi
    @NoelNjementi 3 месяца назад

    Naisi tokea afe mlisi wahaminey naisi ujapona vzr kk

  • @YassinAwami-yi8jd
    @YassinAwami-yi8jd 5 месяцев назад

    Tuwekeze kwenye TECHNICAL KNOWLEDGE... That is a point

  • @saidngumbi6222
    @saidngumbi6222 5 месяцев назад +2

    @simulizi na sauti

  • @ramadhanmazije3882
    @ramadhanmazije3882 5 месяцев назад +1

    Hongera broo

  • @mohamedsheikh6618
    @mohamedsheikh6618 5 месяцев назад +2

    Jordan mfalme wake mama ni mzungu so wale ni wajomba zake

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 5 месяцев назад +1

      TENA UFALME ALIKIWA APEWE HAMZA SIO YEYE MAMA MZUNGU WAKAMWEKA KIBARAKA HUYO KIBARAKA.

  • @HaulSidney
    @HaulSidney 4 месяца назад

    Shida Tanzania siasa imetawala na uchawa tu,

  • @NoelNjementi
    @NoelNjementi 3 месяца назад

    Israel iliwambia Italipa kisasi mliona kisasi chake mliona kisasi chakutosha mpaka amtosaau mlivyo fanywa

  • @imanuelnguya9277
    @imanuelnguya9277 5 месяцев назад +1

    Aisee umeongea vzr sana ndg mchambuzi nimekusikiliza kwa umakin sana unaongea kwa utaratibu kabisa ongera bas pokea maua yako na pongezi sana kwa Iran

  • @MohamedKasalama
    @MohamedKasalama 5 месяцев назад +1

    Tuache ushabiki sikiliza point pamoja na vikwazo Iran imejweza ki uchumi na tecnolog tujifunze halafu jitu linaleta ushabiki hongera mchambuzi

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 5 месяцев назад +4

    Ubarikiwe saaana Kiongozi, haya unayosema karb wachambuzi wote wa kivita wametilia mkazo , hasa wanajeshi wastaafu wa Marekani karb wengi wamesisitiza israel awe mpole

    • @georgekimasaofficial1629
      @georgekimasaofficial1629 5 месяцев назад +1

      Nyie endeleeni kudanganyana na kufarijiana badae tutakuja mezani hapa Kwa kauli za kutia huruma

    • @peteremmanuelymatwimatwiem3258
      @peteremmanuelymatwimatwiem3258 5 месяцев назад

      ​@@georgekimasaofficial1629endelea kua mini ivyo

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 5 месяцев назад +1

      ​@@georgekimasaofficial1629MSENGE MWENZAKO KAPIGWA HASARA 1.49 BILION DOLA KITUWO CHA NDEGE ZA ISRAEL KIMEANGAMIZWA CHOTE NA NCHI WANAIKIMBIA NENDA KAWASAIDIE MKUNDU WEWE.

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 5 месяцев назад

      ​​@@salimmalaka256unafirwa kweli wewe, kuma kibuyu. Waliungana mabasha wako wote, inchi zote za warabu mwaka 67, kumpiga simba wa yuda! Walitepeta, na enzi hizo warabu ndio walikua wanaongoza kwa utajiri dunia mzima, ataweza leo iran na vi inchi vake, yemen, lebanoni, Syria. Israel ni simba wa yuda! Mkataba wao na MUNGU hauvunjwi na YESU wala muhamadi, MUNGU alisha mwahidi Israel, hata akibaki mmoja vitani, atashinda vita, na hata dunia yote tuungane tukaipige Israel! Hatutashinda vita hiyo.

    • @georgekimasaofficial1629
      @georgekimasaofficial1629 5 месяцев назад

      @@salimmalaka256 Axa matusi yanini ndugu afu mnataka Allah wenu awasaidie kwenye vita vya ndugu zenu ktk Iman duh au ndiyo allah anaruhusu Waislam kutukana watu? Au matusi ndiyo ushindi wenu? 🙄🙄🙄 mtaendelea kuteseka sana, sisi Wakristo Mungu wetu haturuhusu kutukana mtu.
      Afu pia tu nikukumbushe Israel wakipiga adui yao akafa wanatoa na lipoti kuwa wamemuua nani na kazi yake ilikuwa ni nini yaani wanajuwa kupiga Kwa tageti na panapo uma.😅😅😅😅

  • @MwamadiRajabu
    @MwamadiRajabu 5 месяцев назад +1

    Kweli kaka niwakati wa technology bro! 🎉

  • @PatrickBarnabas-fs4ow
    @PatrickBarnabas-fs4ow 3 месяца назад

    Umetisha

  • @stanslauslawa4777
    @stanslauslawa4777 5 месяцев назад +1

    Bro comment yako juu ya elimu nimeikubali 100%

  • @icclcharters3389
    @icclcharters3389 4 месяца назад

    Hapa mshenzi ni mmarekani

  • @NgamelaYussuph
    @NgamelaYussuph 5 месяцев назад +2

    Hivyo Vikundo Vimezuia Miaka Kumi Na mbili Marekani Kumuangusha Rais wa Siria

  • @abdulkasukari5481
    @abdulkasukari5481 4 месяца назад

    Good Presentation

  • @issakawaya8315
    @issakawaya8315 5 месяцев назад +1

    Mashallah

  • @shabaniramadhan6751
    @shabaniramadhan6751 5 месяцев назад +1

    Ume eleza hali alisi vizuri. Wale walio Kalia eti dini dini,taifa teule walewe kwamba kule ni iporaji wa rasili mali. Usipo jisalimisha kama nchi zetu za Afrika unaitwa gaidi, tishio la dunia.

  • @jafariHabibu-jc9zf
    @jafariHabibu-jc9zf 5 месяцев назад +1

    Nakushukuru sana bro nimekupata vyema

    • @jumamohammed2748
      @jumamohammed2748 5 месяцев назад

      Mashallah mwalimu wangu Mr Mtani, nimekuelewa sana.

  • @thadeombani7869
    @thadeombani7869 Месяц назад

    Nimependa jinsi ulivyo maliza kwa kuishauri serikali maana bado imelala sana

  • @le-grandimmoimmo977
    @le-grandimmoimmo977 4 месяца назад

    Wewe ujui unasema nini bwana ujaenda kwa ngome zote za america.

  • @fadhilimnyanga6400
    @fadhilimnyanga6400 5 месяцев назад

    Nice work broo..nakusoma mjomba

  • @zahraalbaloochi2841
    @zahraalbaloochi2841 5 месяцев назад +3

    Iran fumua nuclear hao mazayuni na huyo mmarekani

  • @RamadhanmwidiniUdulele
    @RamadhanmwidiniUdulele 4 месяца назад

    My love teacher % fact

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 Месяц назад

    Wamuogope kwa lipi yani sijakuelewa yani marekan amuogope iran?

  • @babuuosama8752
    @babuuosama8752 4 месяца назад

    Hamna nguvu kwa wazayuni Waisraeli kilichoko ni Wamerikani Mwingereza na Mfaransa na mjerumani Wanao mdhibiti kwa silaha na pesa Bila hawa Israeli sichochote mbele ya iran 🇮🇷 pamoja nao baado iran 🇮🇷 ina uwezo mkubwa kijeshi kulikoni Israeli Ukweli ndio huu ! Iran+ BRICS na Israeli + NATO Kidume nani....? Jibu Jijibu mwenyewe .

  • @sameerbaksh98
    @sameerbaksh98 5 месяцев назад +1

    Tatizo watanzania huwa hatatuk kupata elimu kila kitu tufata ushabik please ongezen elimu kusoma bila kutumia din wala ushabik

  • @noelnjementi8511
    @noelnjementi8511 5 месяцев назад +1

    Ilo Co tatizo kuingia sirya wara rebanoni shida apo kuingia China au kuingia urusi au kuingia Korea

  • @Inbrajabtv
    @Inbrajabtv 5 месяцев назад

    Ebanaeeh we uk vzr ahsant saana

  • @ramadhanmazije3882
    @ramadhanmazije3882 5 месяцев назад +2

    Tatizo ukijaribu tuu kuwekeza kwenye elimu itakayoikomboa nchi west wataleta figisu na hatuziwez figisu zao kwa kuwa uchumi wetu ni tegemez

  • @saiddarrus6400
    @saiddarrus6400 5 месяцев назад

    Hats off brother

  • @SaidiChinduli
    @SaidiChinduli 5 месяцев назад +3

    Elimu sahihi wakati sahihi pokea🎉🎉🎉🎉🎉 yako.

  • @mapromovichege6997
    @mapromovichege6997 5 месяцев назад +1

    Soma historia marekani imrepigwa na wasomali tu hahaha

  • @EligiusRichardGoldenboy
    @EligiusRichardGoldenboy 4 месяца назад

  • @othmanshabani5856
    @othmanshabani5856 5 месяцев назад +2

    Umeongea point tupu kk

  • @elishandalaShandala
    @elishandalaShandala 5 месяцев назад +1

    Anaejua anajua tu
    Hongera umetufumbua macho

  • @issackmfeti6708
    @issackmfeti6708 4 месяца назад

    Mtu kama huyu ni msaada sana kwa nchi, ama kweli ni mchambuzi nimemuelewa vizuri sana

  • @safarichui8551
    @safarichui8551 5 месяцев назад

    Iran ni Noma 🔥 ana makombora kyasi kwamba hao majamaa hawanaidadi au ufahamu ndo mana wamemnangania tokea 1979

  • @ZaharaniHaifai
    @ZaharaniHaifai 5 месяцев назад +1

    ZAO LA PROFESA JUMA

  • @AnthonyGabriel-ou7wz
    @AnthonyGabriel-ou7wz 4 месяца назад

    Kaka povu limekitoka sana juu ya kutueleza jinsi Akili yako inavyofikiria.lakini Hilo halipo hivyo.umesifia sana Hawa uliowapenda lakini hawana Uwezo huo siraha ni Moja ya nyenzo ktk vita unaweza kuwa na siraha kama aliekufundisha lakin huwezi kumezidi Mwalimu

  • @musasabuu2808
    @musasabuu2808 5 месяцев назад

    Mwenyezi mungu ibaliki iran

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 5 месяцев назад +1

    Mchambuzi nakushukuru sana

  • @bakarimusa6297
    @bakarimusa6297 5 месяцев назад +3

    Duh kumbe Iran mbabe