Mashallah unajua history keep it up bro, hizi nchi za kiarabu ni vibaraka tu kukiongozwa na Saudi ile siku watashtuka itakua too late, nawaombea tu Iran mungu awasimamie nawakubali sana hawa
Shukran mwalim nimevutiwa na uchambuz wako makin na unautulivu wa hali ya juu zaidi mungu akupe akuongenzee afya zaid ili tupate faid zaid kutok kwako, jina langu msomali omar nipo mwanza mjin.
Mashallah umeisimulia vizuri sana tunategemea kukuona kwenye historia nyingine Inshaallah,,,kuhusu Iran kufanikiwa kujitengenezea vitu vyao wenyewe hii imesababishwa na ujasiri wao na utayari toka pale walipo uondoa utawala wa kifalme na kuweka utawala wakiislam walishakubali kupambana na lolote mbele yao sasa hawa wenzao bado waoga
MUNGU NDIYE ALIYE IBARIKI ISRAEL NA NDIYE ATAKAE ITETEA ISRAEL MUNGU LINDA MIPAKA YA ISRAEL ADUI WA ISRAEL NI ADUI WA MUNGU TUTAONA MUNGU WAO NA MUNGU WA ISRAEL NANI ZAIDI MUNGU IBARIKI ISRAEL NA MIPAKA YAKE HAKUNA ALIYE NA NGUVU KAMA MUNGU WA ISRAEL
@@StellaKaluwawewe ni myahudi au 😮😮 ? wayahudi waliasi amri za Mungu ndio maana Yesu hana baba myahudi bali alizaliwa kwa njia tofauti bila manii ya mhuni mwizraeli . waizraeli ni watu washenzi wewe unawa entertain 😢😢 safari hii Izraeli itang'olewa na hata kama watatumia Atomiki bomu au haidrojeni bomu la Amerika au msaada wa urusi hautaleta manufaa yoyote kwa waizraeli
@@StellaKaluwaWewe broo ni Chizi sana,hawa Waisraili kiitikadi hawamtambui YESU,wao wanavyomtambua YESU ni kwamba; YESU ni Mtoto wa Zinaa hivyo hafai kua MUNGU wala mwana wa MUNGU na hata kua Mtume pia hafai,je wewe na wao mpo sawa? Pamoja na kwamba nyote mmepotea kiitikadi lakini mmetofautiana pakubwa,wewe unajifanya unamkubali YESU lakini wao hawamkubali kabisaaa,kwa taarifa yako pale Israel Wakristo ni asilimia 5 tuu,
Taifa la israel halikuanzishwa 1945, israel ilianzishwa zaidi ya miaka 2000 iliyopita na Mungu mwenyewe, 1945 israel walirejezwa kitoka kila pembe za dunia, israel ni taifa la Mungu aliye hai, hadi mwisho wa dunia hakuna atakayeweza kuiondoa israel katika nchi waliyopewa na Mungu mwenyewe, yeyote atakayeilaani israel atalaaniwa na yeyote atakayeibariki israel atabarikiwa, tazama mataifa yote na viongozi wote walioilaani israel taifa la Mungu walipoishia
Soma mathayo 21- 33 ujuwe ni bado taifa la MUNGU au ? Na taifa la MUNGU linalindwa na MUNGU mwenyewe kama hapo kwanza. Taifa la MUNGU Kila siku linamwaga damu halitaki sulusu.
Ikiwa wewe ni Mkristo,basi utakua hujitmbui maana Waisraili hawa unaowasema hawamtambui YESU kama Nabii,bali wao wanamuita ni Mtoto wa Zinaa,hivyo hafai kua Mtume na wala hawezi kua Mwana wa MUNGU,sasa wewe unaesema hilo ni Taifa la MUNGU, yawezekanaje Taifa la MUNGU lisimtambue YESU kama mnavyomtambua nyinyi kua ni MUNGU mara mwana wa MUNGU mara Mtume wa mungu,huoni kwamba nyinyi mnatofautiana pakubwa sana na Waisraili,kiitikadi na hata kidini,au wewe Akili huna?Ni upambe tuu wa kipuuzi ulio nao ila huwajui hawa Jamaa,hawa Jamaa ni kikosi cha Laana ila wewe hujui, pale Wakristo ni wachache mnooo maana ni asilimia 5tuu
Thanks kwa uchambuzi mzuri sana kuna watu wanaongea mambo tofauti ila wewe umechambua vizuri na bila ubaguzi na vyombo vingi vyahabari hawaongie ukweli
Toka nianze kufatia siasa za mashariki ya kati ndiyo kwanza nitapate taluma mm nilikuwa najuwa iran ni nchi ya kawaida tu kumbe wana technology kubwa sana kiasi wazungu wamuogope iran irani is the best country in Islam in the world
I appreciate your informed presentation. Shida humfanya mtu kuwa mdadisi, mbunifu na kuwa mwenye uthubutu wa kutenda. Iran imewekewa vikwazo vingi baada ya mapinduzi ya 1979. Suluhisho kwao ni kuwekeza kwenye teknolojia inayowafanya sasa waogopwe. Sisi tumewekeza zaidi kwenye siasa. Walimu, wahandisi na hata madaktari hukimbilia kwenye siasa ambako raslimali nyingi za taifa zimewekezwa huko. Sasa marndeleo tutayapataje kwa kukopi na kipesti kila kitu? Vijana wanasomea vyeti tu na sio utaalam, masrifa wala ujuzi. Je, ubunifu utatoka wapi? Asante mwalimu kwa kunielimisha 🎉🎉🎉.
WA SHIA ni watu hatari Sana, sio kama sisi wa SUNI waoga ule imam wawo khomein akitangaza tuu vita hapatokalika mashariki yakati wanamuamini ule mzee wawo kuliko Ata Wazazi wao akitowa amri hakuna wa kupinga amri yake.
Tanzania inadaiwa deni kubwa sana na iran.Tumekopa tangu wakati wa Marehemu Ali hassan mwinyi akiwa Rais halafu tumeuchuna kama hatujui hatuna kamwe huo mpango wala hata hatujui tutalipa lini.Tunalipa madeni ya dhulma ya Riba ya wazungu na tumeacha kulipa deni lisilo na Riba yoyote.
Ufafanuzi mzuri sana, ila mhadhiri ameacha maswali mengi kwa TZ lkn na Afrika kwa ujumla. Yaani, ni kwa namna gani nchi za Afrika zimeshindwa kuwekeza katika teknolojia?? Shida ni nini hapa! Lakini nini kifanyike...
Nikili wazi napenda history lakin Kwa maelezo yako uliyoyatoa naona ninakazi kubwa kijifunza kutoka kwako ww umesimulia na kutatua Kwa maelezo yaliyonyooka na fact congratulations sana chief
Mkuu, umejitahidi lakini pia irani wako vizur hata katika matibabu, ukweli irani ni taifa pekee lililobaki duniani kuwa ni huru kutokana na Mataifa ya magharib Iran imebaki kuwa ni kikwazo pekee kwa nchi za magharib na marekani kuitawala mashariki ya kati, nia ya Israel ni kuiburuza marekani iingie katika vita ili wao wa Israel wawe mabwana wa mashariki ya kati
Ni vigumu sana ku gundua Marekani na Esraeli ni Nchi moja lakini uki chunguza na kufatilia matukio kwa akili tangu azimio laku anzishwa Taifa hilo na matukio yaliyo fuata hadi leo uta gundua
Ubarikiwe saaana Kiongozi, haya unayosema karb wachambuzi wote wa kivita wametilia mkazo , hasa wanajeshi wastaafu wa Marekani karb wengi wamesisitiza israel awe mpole
@@georgekimasaofficial1629MSENGE MWENZAKO KAPIGWA HASARA 1.49 BILION DOLA KITUWO CHA NDEGE ZA ISRAEL KIMEANGAMIZWA CHOTE NA NCHI WANAIKIMBIA NENDA KAWASAIDIE MKUNDU WEWE.
@@salimmalaka256unafirwa kweli wewe, kuma kibuyu. Waliungana mabasha wako wote, inchi zote za warabu mwaka 67, kumpiga simba wa yuda! Walitepeta, na enzi hizo warabu ndio walikua wanaongoza kwa utajiri dunia mzima, ataweza leo iran na vi inchi vake, yemen, lebanoni, Syria. Israel ni simba wa yuda! Mkataba wao na MUNGU hauvunjwi na YESU wala muhamadi, MUNGU alisha mwahidi Israel, hata akibaki mmoja vitani, atashinda vita, na hata dunia yote tuungane tukaipige Israel! Hatutashinda vita hiyo.
@@salimmalaka256 Axa matusi yanini ndugu afu mnataka Allah wenu awasaidie kwenye vita vya ndugu zenu ktk Iman duh au ndiyo allah anaruhusu Waislam kutukana watu? Au matusi ndiyo ushindi wenu? 🙄🙄🙄 mtaendelea kuteseka sana, sisi Wakristo Mungu wetu haturuhusu kutukana mtu. Afu pia tu nikukumbushe Israel wakipiga adui yao akafa wanatoa na lipoti kuwa wamemuua nani na kazi yake ilikuwa ni nini yaani wanajuwa kupiga Kwa tageti na panapo uma.😅😅😅😅
Ume eleza hali alisi vizuri. Wale walio Kalia eti dini dini,taifa teule walewe kwamba kule ni iporaji wa rasili mali. Usipo jisalimisha kama nchi zetu za Afrika unaitwa gaidi, tishio la dunia.
Hamna nguvu kwa wazayuni Waisraeli kilichoko ni Wamerikani Mwingereza na Mfaransa na mjerumani Wanao mdhibiti kwa silaha na pesa Bila hawa Israeli sichochote mbele ya iran 🇮🇷 pamoja nao baado iran 🇮🇷 ina uwezo mkubwa kijeshi kulikoni Israeli Ukweli ndio huu ! Iran+ BRICS na Israeli + NATO Kidume nani....? Jibu Jijibu mwenyewe .
Kaka povu limekitoka sana juu ya kutueleza jinsi Akili yako inavyofikiria.lakini Hilo halipo hivyo.umesifia sana Hawa uliowapenda lakini hawana Uwezo huo siraha ni Moja ya nyenzo ktk vita unaweza kuwa na siraha kama aliekufundisha lakin huwezi kumezidi Mwalimu
Ebwana umetafsiri vizuri sn istoria nzuri kweli kumbe iran inanguvu ivyo nawasapoti iran mungu awalinde kilasiku mungu ukaha kwamwenye haki ❤❤❤❤ iran
Ulikuwa hujuwi ilo, kwa waarabu huyo ndie kidume anaeogopewa na nchi za kimagharibi.
Iran sio waarabu
@@Ban-w1u Upertia ni kabila tu, lkn ndio haohao.
Au kwsbb wanazungumza Kifursi.
Uko na mchezo,angalia ni nchi ngapi ziko na mabomu ya nuclear uone kama Iran ni Moja wao.Nchi ni 9 na Iran haipo kwenye hiyo orodha
@@NathanielNathan-m4oiweke ww iwepo mgawaji wa technology 😅😅
Mtenda akitendewa!! Yani hii Israel na America ndio chanzo cha balaa kubwa duniani hilo linajulikana!!
MA shaa Allah.. I wish nionane na wewe one day in shaa Allah.... You are genius, again and again, and more than again....
Mashallah unajua history keep it up bro, hizi nchi za kiarabu ni vibaraka tu kukiongozwa na Saudi ile siku watashtuka itakua too late, nawaombea tu Iran mungu awasimamie nawakubali sana hawa
Mashallah tabaraqah. Huyu mtaalamu umlete tenna kwa uchambuzi zaid
Kwasababu anasema iran inaogopwa na marekani na israel😂😂😂😂😂et nawe unaamni et
Shukraan sana leo ndo nimeelewa kila kitu umetueleza vizuri sana thanx alot
Nimekuelewa pongez kwako mungu akuongoze ktk kazi na maisha yk
Broo uko vizur from mombasa twakupata 100%wewe ni professer
Tanzania tumebobea kwa Tafukuri, kuelezea mambo kwa kina, watanzania wengi ni great thinker kuliko wakenya!! Wakenya kazi Yao ni kubwabwaja
Asante
😅
Huyu Iran anatisha sanaa Allah aendelee kuwapa ufaham zaidi
Shukran mwalim nimevutiwa na uchambuz wako makin na unautulivu wa hali ya juu zaidi mungu akupe akuongenzee afya zaid ili tupate faid zaid kutok kwako, jina langu msomali omar nipo mwanza mjin.
Hongera sana brother,nimeipenda ushauri ulioutoa,Mungu akubariki sana
Mashallah umeisimulia vizuri sana tunategemea kukuona kwenye historia nyingine Inshaallah,,,kuhusu Iran kufanikiwa kujitengenezea vitu vyao wenyewe hii imesababishwa na ujasiri wao na utayari toka pale walipo uondoa utawala wa kifalme na kuweka utawala wakiislam walishakubali kupambana na lolote mbele yao sasa hawa wenzao bado waoga
MUNGU NDIYE ALIYE IBARIKI ISRAEL NA NDIYE ATAKAE ITETEA ISRAEL MUNGU LINDA MIPAKA YA ISRAEL ADUI WA ISRAEL NI ADUI WA MUNGU TUTAONA MUNGU WAO NA MUNGU WA ISRAEL NANI ZAIDI MUNGU IBARIKI ISRAEL NA MIPAKA YAKE HAKUNA ALIYE NA NGUVU KAMA MUNGU WA ISRAEL
@@StellaKaluwa😂😂😂😂 mtajpa puresha bure kwaiyo mungu ndo Alie waambia wawe wanachokoza watu😂😂😂😂
@@StellaKaluwakwa hiyo wewe ni mpagani huna Mungu kama Mungu ni waisraeli?
@@StellaKaluwawewe ni myahudi au 😮😮 ? wayahudi waliasi amri za Mungu ndio maana Yesu hana baba myahudi bali alizaliwa kwa njia tofauti bila manii ya mhuni mwizraeli . waizraeli ni watu washenzi wewe unawa entertain 😢😢 safari hii Izraeli itang'olewa na hata kama watatumia Atomiki bomu au haidrojeni bomu la Amerika au msaada wa urusi hautaleta manufaa yoyote kwa waizraeli
@@StellaKaluwaWewe broo ni Chizi sana,hawa Waisraili kiitikadi hawamtambui YESU,wao wanavyomtambua YESU ni kwamba; YESU ni Mtoto wa Zinaa hivyo hafai kua MUNGU wala mwana wa MUNGU na hata kua Mtume pia hafai,je wewe na wao mpo sawa? Pamoja na kwamba nyote mmepotea kiitikadi lakini mmetofautiana pakubwa,wewe unajifanya unamkubali YESU lakini wao hawamkubali kabisaaa,kwa taarifa yako pale Israel Wakristo ni asilimia 5 tuu,
Umetema facts! Ukweli Mchungu japo Mataifa ya kiarabu yanasaliti Ummah ikiwemo Suudia - kwa mfumo wa Petro-dolla kwa maslahi binafsi
Mchambuzi uko vizuri sana
Taifa la israel halikuanzishwa 1945, israel ilianzishwa zaidi ya miaka 2000 iliyopita na Mungu mwenyewe, 1945 israel walirejezwa kitoka kila pembe za dunia, israel ni taifa la Mungu aliye hai, hadi mwisho wa dunia hakuna atakayeweza kuiondoa israel katika nchi waliyopewa na Mungu mwenyewe, yeyote atakayeilaani israel atalaaniwa na yeyote atakayeibariki israel atabarikiwa, tazama mataifa yote na viongozi wote walioilaani israel taifa la Mungu walipoishia
Soma mathayo 21- 33 ujuwe ni bado taifa la MUNGU au ? Na taifa la MUNGU linalindwa na MUNGU mwenyewe kama hapo kwanza. Taifa la MUNGU Kila siku linamwaga damu halitaki sulusu.
Ikiwa wewe ni Mkristo,basi utakua hujitmbui maana Waisraili hawa unaowasema hawamtambui YESU kama Nabii,bali wao wanamuita ni Mtoto wa Zinaa,hivyo hafai kua Mtume na wala hawezi kua Mwana wa MUNGU,sasa wewe unaesema hilo ni Taifa la MUNGU, yawezekanaje Taifa la MUNGU lisimtambue YESU kama mnavyomtambua nyinyi kua ni MUNGU mara mwana wa MUNGU mara Mtume wa mungu,huoni kwamba nyinyi mnatofautiana pakubwa sana na Waisraili,kiitikadi na hata kidini,au wewe Akili huna?Ni upambe tuu wa kipuuzi ulio nao ila huwajui hawa Jamaa,hawa Jamaa ni kikosi cha Laana ila wewe hujui, pale Wakristo ni wachache mnooo maana ni asilimia 5tuu
Waisraelmashoga AwawezikuwaTaifalamungu
Umeongea vitu Vizuri vya Mwanga Nimejifunza kitu kizuri sana Uendelee na Uchambuzi 🙏🏾
Thanks kwa uchambuzi mzuri sana kuna watu wanaongea mambo tofauti ila wewe umechambua vizuri na bila ubaguzi na vyombo vingi vyahabari hawaongie ukweli
Asante sana kaka ❤❤
Wewe nimwana histor mzur sn,,anavitu vingi vya kutufundisha,,ukiashilia wachambuz uchwara,,binafsi nataman ungekuwa na jukwa maarum,,Ili tujifunze kutoka kwako,,Mungu akujalie afya njema ulichokipata nasisi tunufaike nacho❤❤❤💪💪,,
Toka nianze kufatia siasa za mashariki ya kati ndiyo kwanza nitapate taluma mm nilikuwa najuwa iran ni nchi ya kawaida tu kumbe wana technology kubwa sana kiasi wazungu wamuogope iran irani is the best country in Islam in the world
Lakini Iran ndio Audi mkubwa WA waislamu
@@osmaniidrisa6290ALAA SIO MUISRAEL ADUWI WA WAISLAMU???
@@salimmalaka256 wote ni maadui WA uislamu lakini harari zaidi ni Yule anaejifanya sio Audi kumbe ni adui
Unaushahidi wowote wa kuthibitisha ulichokiandika? au huna@@osmaniidrisa6290
@@osmaniidrisa6290Naona bora Iran inaisapoti palestina kuliko Saudia ?!!! Sasa yupi aduwi zaidi ya waislam u ?
Kaka umeeleza vizur sana nimegain kitu kikubwa sana na allah anifanyie wepes inshallah ,Allah akupe maisha marefu na yenye mafanikio
Mhadhiri umesaidia uchambuzi mzuri na umetupa manufaa sn kuelewa hali ilivyo mashariki ya kati na ht mgogoro wa Israel na Iran.
Thanks
MashaAllah kumbe bado Tz tunawanahistoria wazuri hivi endelea kutupa elimu
Basi mtu anaeongea vitu vya maana kama huyu huwezi kusikia media zina muhoji hatasikumoja innalilah wainailaih rajiun
Umeelezea kwa uzuri zaidi 👏
Tuambie imekuwaje Ajali ya Raisi wao?
mashallah akhy umetuelewesha vzr sana, hao ndio wairan hao ndio mashia tunaowasema vibaya misikitini
Kaka nimejifunza Asante
Kweli aisee kama iran ingekua inasubir kupewa hakika ingekua imeisha anguka
Nimekkubali bro mambo unayo yasema yapo na maono makubwa sana.
I appreciate your informed presentation. Shida humfanya mtu kuwa mdadisi, mbunifu na kuwa mwenye uthubutu wa kutenda. Iran imewekewa vikwazo vingi baada ya mapinduzi ya 1979. Suluhisho kwao ni kuwekeza kwenye teknolojia inayowafanya sasa waogopwe. Sisi tumewekeza zaidi kwenye siasa. Walimu, wahandisi na hata madaktari hukimbilia kwenye siasa ambako raslimali nyingi za taifa zimewekezwa huko. Sasa marndeleo tutayapataje kwa kukopi na kipesti kila kitu? Vijana wanasomea vyeti tu na sio utaalam, masrifa wala ujuzi. Je, ubunifu utatoka wapi? Asante mwalimu kwa kunielimisha 🎉🎉🎉.
Cuba ndio nchi yenye vikwazo zaid
WA SHIA ni watu hatari Sana, sio kama sisi wa SUNI waoga ule imam wawo khomein akitangaza tuu vita hapatokalika mashariki yakati wanamuamini ule mzee wawo kuliko Ata Wazazi wao akitowa amri hakuna wa kupinga amri yake.
Lakini mbona tukio la Iran ndio linazungumzwa Sana?Israel kushambulia ubalozi wa Irani na kuua hilo sitatizo ,kweli dunia SASA IPO mikononi mwa waovu.
Dunia imeshaharibiwa na waharibifu, na ndio wanaounga mkono uharibufu unaofanyika kwa mataifa ya wanyonge
Propaganda za kusahaulisha uovu wa Israel
Teacher big up Sana natamani niwe kama wewe, wewe ni msomi mkubwa Allah akuzidishie ila niombee na mm mwanafunzi wako wa first year
Tanzania inadaiwa deni kubwa sana na iran.Tumekopa tangu wakati wa Marehemu Ali hassan mwinyi akiwa Rais halafu tumeuchuna kama hatujui hatuna kamwe huo mpango wala hata hatujui tutalipa lini.Tunalipa madeni ya dhulma ya Riba ya wazungu na tumeacha kulipa deni lisilo na Riba yoyote.
Great analysis, asante
very knowledgeable, context analysis yako makes a lot of sense
Well said brother
Wallah umenifunz mingi sana amby siikuw nayajua
Kaka Allah akubarik
Hongera brother
اللهم صل على محمد وال محمد
I am the National Chairman of Indiginous Shia Community: Tanzania lthna'ashariyyah Community (T.l.C)
Wapi mr Sebo..mmmh. nice historical facts.
Much respect kakamkubwa technical school ndo msingi
Uchambuzi mzuri sana
Ufafanuzi mzuri sana, ila mhadhiri ameacha maswali mengi kwa TZ lkn na Afrika kwa ujumla. Yaani, ni kwa namna gani nchi za Afrika zimeshindwa kuwekeza katika teknolojia?? Shida ni nini hapa! Lakini nini kifanyike...
Nakuunga mkono sasa hivi serikali inatakiwa kuwekeza kwenye Teknolojia
Irani ni mfano mzuri wa afrika kufata tujifunze technically skills sio kusifiya tu Israel na marekani
Nikili wazi napenda history lakin Kwa maelezo yako uliyoyatoa naona ninakazi kubwa kijifunza kutoka kwako ww umesimulia na kutatua Kwa maelezo yaliyonyooka na fact congratulations sana chief
Duu safiii broooo
Mkuu, umejitahidi lakini pia irani wako vizur hata katika matibabu, ukweli irani ni taifa pekee lililobaki duniani kuwa ni huru kutokana na Mataifa ya magharib Iran imebaki kuwa ni kikwazo pekee kwa nchi za magharib na marekani kuitawala mashariki ya kati, nia ya Israel ni kuiburuza marekani iingie katika vita ili wao wa Israel wawe mabwana wa mashariki ya kati
Mhh nimefumbuka mambo mengi Hsante Kaka
Kwer mumeamini kuwa Israel inatisha ee vita inakufa nawatu wengi
Naomba sana mungu vita ivi visifike Africa
Hongera ndugu
Jamaa akovizuri sana
Maashaallah umetufunza
Ni vigumu sana ku gundua Marekani na Esraeli ni Nchi moja lakini uki chunguza na kufatilia matukio kwa akili tangu azimio laku anzishwa Taifa hilo na matukio yaliyo fuata hadi leo uta gundua
Muingeleza na Mmarekani Ndiyo Israel
Mmmhhhh pole bhana
NDIO WAO WOTE HAO LAKINI ZAO ZIMEFIKA.
Naisi tokea afe mlisi wahaminey naisi ujapona vzr kk
Tuwekeze kwenye TECHNICAL KNOWLEDGE... That is a point
@simulizi na sauti
Hongera broo
Jordan mfalme wake mama ni mzungu so wale ni wajomba zake
TENA UFALME ALIKIWA APEWE HAMZA SIO YEYE MAMA MZUNGU WAKAMWEKA KIBARAKA HUYO KIBARAKA.
Shida Tanzania siasa imetawala na uchawa tu,
Israel iliwambia Italipa kisasi mliona kisasi chake mliona kisasi chakutosha mpaka amtosaau mlivyo fanywa
Aisee umeongea vzr sana ndg mchambuzi nimekusikiliza kwa umakin sana unaongea kwa utaratibu kabisa ongera bas pokea maua yako na pongezi sana kwa Iran
Tuache ushabiki sikiliza point pamoja na vikwazo Iran imejweza ki uchumi na tecnolog tujifunze halafu jitu linaleta ushabiki hongera mchambuzi
Ubarikiwe saaana Kiongozi, haya unayosema karb wachambuzi wote wa kivita wametilia mkazo , hasa wanajeshi wastaafu wa Marekani karb wengi wamesisitiza israel awe mpole
Nyie endeleeni kudanganyana na kufarijiana badae tutakuja mezani hapa Kwa kauli za kutia huruma
@@georgekimasaofficial1629endelea kua mini ivyo
@@georgekimasaofficial1629MSENGE MWENZAKO KAPIGWA HASARA 1.49 BILION DOLA KITUWO CHA NDEGE ZA ISRAEL KIMEANGAMIZWA CHOTE NA NCHI WANAIKIMBIA NENDA KAWASAIDIE MKUNDU WEWE.
@@salimmalaka256unafirwa kweli wewe, kuma kibuyu. Waliungana mabasha wako wote, inchi zote za warabu mwaka 67, kumpiga simba wa yuda! Walitepeta, na enzi hizo warabu ndio walikua wanaongoza kwa utajiri dunia mzima, ataweza leo iran na vi inchi vake, yemen, lebanoni, Syria. Israel ni simba wa yuda! Mkataba wao na MUNGU hauvunjwi na YESU wala muhamadi, MUNGU alisha mwahidi Israel, hata akibaki mmoja vitani, atashinda vita, na hata dunia yote tuungane tukaipige Israel! Hatutashinda vita hiyo.
@@salimmalaka256 Axa matusi yanini ndugu afu mnataka Allah wenu awasaidie kwenye vita vya ndugu zenu ktk Iman duh au ndiyo allah anaruhusu Waislam kutukana watu? Au matusi ndiyo ushindi wenu? 🙄🙄🙄 mtaendelea kuteseka sana, sisi Wakristo Mungu wetu haturuhusu kutukana mtu.
Afu pia tu nikukumbushe Israel wakipiga adui yao akafa wanatoa na lipoti kuwa wamemuua nani na kazi yake ilikuwa ni nini yaani wanajuwa kupiga Kwa tageti na panapo uma.😅😅😅😅
Kweli kaka niwakati wa technology bro! 🎉
Umetisha
Bro comment yako juu ya elimu nimeikubali 100%
Hapa mshenzi ni mmarekani
Hivyo Vikundo Vimezuia Miaka Kumi Na mbili Marekani Kumuangusha Rais wa Siria
Good Presentation
Mashallah
Ume eleza hali alisi vizuri. Wale walio Kalia eti dini dini,taifa teule walewe kwamba kule ni iporaji wa rasili mali. Usipo jisalimisha kama nchi zetu za Afrika unaitwa gaidi, tishio la dunia.
Nakushukuru sana bro nimekupata vyema
Mashallah mwalimu wangu Mr Mtani, nimekuelewa sana.
Nimependa jinsi ulivyo maliza kwa kuishauri serikali maana bado imelala sana
Wewe ujui unasema nini bwana ujaenda kwa ngome zote za america.
Nice work broo..nakusoma mjomba
Iran fumua nuclear hao mazayuni na huyo mmarekani
My love teacher % fact
Wamuogope kwa lipi yani sijakuelewa yani marekan amuogope iran?
Hamna nguvu kwa wazayuni Waisraeli kilichoko ni Wamerikani Mwingereza na Mfaransa na mjerumani Wanao mdhibiti kwa silaha na pesa Bila hawa Israeli sichochote mbele ya iran 🇮🇷 pamoja nao baado iran 🇮🇷 ina uwezo mkubwa kijeshi kulikoni Israeli Ukweli ndio huu ! Iran+ BRICS na Israeli + NATO Kidume nani....? Jibu Jijibu mwenyewe .
Tatizo watanzania huwa hatatuk kupata elimu kila kitu tufata ushabik please ongezen elimu kusoma bila kutumia din wala ushabik
Ilo Co tatizo kuingia sirya wara rebanoni shida apo kuingia China au kuingia urusi au kuingia Korea
Ebanaeeh we uk vzr ahsant saana
Tatizo ukijaribu tuu kuwekeza kwenye elimu itakayoikomboa nchi west wataleta figisu na hatuziwez figisu zao kwa kuwa uchumi wetu ni tegemez
Hats off brother
Elimu sahihi wakati sahihi pokea🎉🎉🎉🎉🎉 yako.
Soma historia marekani imrepigwa na wasomali tu hahaha
❤
Umeongea point tupu kk
Anaejua anajua tu
Hongera umetufumbua macho
Mtu kama huyu ni msaada sana kwa nchi, ama kweli ni mchambuzi nimemuelewa vizuri sana
Iran ni Noma 🔥 ana makombora kyasi kwamba hao majamaa hawanaidadi au ufahamu ndo mana wamemnangania tokea 1979
ZAO LA PROFESA JUMA
😂😂
Kaka povu limekitoka sana juu ya kutueleza jinsi Akili yako inavyofikiria.lakini Hilo halipo hivyo.umesifia sana Hawa uliowapenda lakini hawana Uwezo huo siraha ni Moja ya nyenzo ktk vita unaweza kuwa na siraha kama aliekufundisha lakin huwezi kumezidi Mwalimu
Mwenyezi mungu ibaliki iran
Mchambuzi nakushukuru sana
Duh kumbe Iran mbabe