Hiki ndicho kinachomfanya Marekani na Israel wamuogope Iran

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 фев 2025

Комментарии • 546

  • @abdul-qadirkhamis2518
    @abdul-qadirkhamis2518 9 месяцев назад +27

    MA shaa Allah.. I wish nionane na wewe one day in shaa Allah.... You are genius, again and again, and more than again....

  • @abdullahiramadhan5779
    @abdullahiramadhan5779 3 месяца назад +1

    MashaAllah Taba'araka Allah...shukran kaka Kwa ufafanuzi huu ....Allah akuafikie kheri...nlikuwa nafuatilia Sana hii show ....shukran naitwa Abdallah kutoka Kenya

  • @ebengapierre8826
    @ebengapierre8826 9 месяцев назад +72

    Ebwana umetafsiri vizuri sn istoria nzuri kweli kumbe iran inanguvu ivyo nawasapoti iran mungu awalinde kilasiku mungu ukaha kwamwenye haki ❤❤❤❤ iran

    • @mussammanga7791
      @mussammanga7791 9 месяцев назад +7

      Ulikuwa hujuwi ilo, kwa waarabu huyo ndie kidume anaeogopewa na nchi za kimagharibi.

    • @YehudabanYerushailēm
      @YehudabanYerushailēm 9 месяцев назад +4

      Iran sio waarabu

    • @mussammanga7791
      @mussammanga7791 9 месяцев назад +2

      @@YehudabanYerushailēm Upertia ni kabila tu, lkn ndio haohao.
      Au kwsbb wanazungumza Kifursi.

    • @NathanielNathan-m4o
      @NathanielNathan-m4o 9 месяцев назад +1

      Uko na mchezo,angalia ni nchi ngapi ziko na mabomu ya nuclear uone kama Iran ni Moja wao.Nchi ni 9 na Iran haipo kwenye hiyo orodha

    • @awadhsalim2680
      @awadhsalim2680 9 месяцев назад

      ​@@NathanielNathan-m4oiweke ww iwepo mgawaji wa technology 😅😅

  • @allynassor1119
    @allynassor1119 9 месяцев назад +12

    Nimekuelewa pongez kwako mungu akuongoze ktk kazi na maisha yk

  • @MsomaliOmary
    @MsomaliOmary 5 месяцев назад +2

    Shukran mwalim nimevutiwa na uchambuz wako makin na unautulivu wa hali ya juu zaidi mungu akupe akuongenzee afya zaid ili tupate faid zaid kutok kwako, jina langu msomali omar nipo mwanza mjin.

  • @zahraalbaloochi2841
    @zahraalbaloochi2841 9 месяцев назад +24

    Mtenda akitendewa!! Yani hii Israel na America ndio chanzo cha balaa kubwa duniani hilo linajulikana!!

    • @HajiJuma-xw7vh
      @HajiJuma-xw7vh 3 месяца назад +1

      Kabisa

    • @mwalimulee2493
      @mwalimulee2493 3 месяца назад

      A isa

    • @MishoAdeMahanyu
      @MishoAdeMahanyu 2 месяца назад

      Lakini bado wewe mwenyewe ukiambiwa uchague kwenda kuishi Iran au Marekeni bado utachagua kwenda kuishi Marekani. Kwanini ni kwasababu Marekani unajua kumeendelea na kuna uhuru wa watu kutoa maoni yao kuliko hao unaowatetea. Sasa sijui unafiki huu wa kuichukia Marekani tutauacha lini.

  • @lukmanalmazrui2565
    @lukmanalmazrui2565 3 месяца назад +2

    Nice finalization,Good message to Gov't .
    May Allah bless you

  • @mohamedjakaya5355
    @mohamedjakaya5355 9 месяцев назад +7

    Maelezo mazuri sana pamoja na ushauri juu ya kuwekeza kwenye elimu ya ujuzi

  • @Ibrahim-d3q
    @Ibrahim-d3q 9 месяцев назад +9

    Mashallah unajua history keep it up bro, hizi nchi za kiarabu ni vibaraka tu kukiongozwa na Saudi ile siku watashtuka itakua too late, nawaombea tu Iran mungu awasimamie nawakubali sana hawa

  • @hanspop6961
    @hanspop6961 9 месяцев назад +4

    Umeongea vitu Vizuri vya Mwanga Nimejifunza kitu kizuri sana Uendelee na Uchambuzi 🙏🏾

  • @somoeomar4861
    @somoeomar4861 9 месяцев назад +4

    Shukraan sana leo ndo nimeelewa kila kitu umetueleza vizuri sana thanx alot

  • @snuramushi9612
    @snuramushi9612 9 месяцев назад +6

    Mashallah umeisimulia vizuri sana tunategemea kukuona kwenye historia nyingine Inshaallah,,,kuhusu Iran kufanikiwa kujitengenezea vitu vyao wenyewe hii imesababishwa na ujasiri wao na utayari toka pale walipo uondoa utawala wa kifalme na kuweka utawala wakiislam walishakubali kupambana na lolote mbele yao sasa hawa wenzao bado waoga

    • @StellaKaluwa
      @StellaKaluwa 9 месяцев назад

      MUNGU NDIYE ALIYE IBARIKI ISRAEL NA NDIYE ATAKAE ITETEA ISRAEL MUNGU LINDA MIPAKA YA ISRAEL ADUI WA ISRAEL NI ADUI WA MUNGU TUTAONA MUNGU WAO NA MUNGU WA ISRAEL NANI ZAIDI MUNGU IBARIKI ISRAEL NA MIPAKA YAKE HAKUNA ALIYE NA NGUVU KAMA MUNGU WA ISRAEL

    • @saphinalutaha9077
      @saphinalutaha9077 9 месяцев назад

      ​@@StellaKaluwa😂😂😂😂 mtajpa puresha bure kwaiyo mungu ndo Alie waambia wawe wanachokoza watu😂😂😂😂

    • @Alkaburu
      @Alkaburu 9 месяцев назад

      ​@@StellaKaluwakwa hiyo wewe ni mpagani huna Mungu kama Mungu ni waisraeli?

    • @Mohamedi.12
      @Mohamedi.12 9 месяцев назад

      ​@@StellaKaluwawewe ni myahudi au 😮😮 ? wayahudi waliasi amri za Mungu ndio maana Yesu hana baba myahudi bali alizaliwa kwa njia tofauti bila manii ya mhuni mwizraeli . waizraeli ni watu washenzi wewe unawa entertain 😢😢 safari hii Izraeli itang'olewa na hata kama watatumia Atomiki bomu au haidrojeni bomu la Amerika au msaada wa urusi hautaleta manufaa yoyote kwa waizraeli

    • @swahibually8349
      @swahibually8349 5 месяцев назад

      ​@@StellaKaluwaWewe broo ni Chizi sana,hawa Waisraili kiitikadi hawamtambui YESU,wao wanavyomtambua YESU ni kwamba; YESU ni Mtoto wa Zinaa hivyo hafai kua MUNGU wala mwana wa MUNGU na hata kua Mtume pia hafai,je wewe na wao mpo sawa? Pamoja na kwamba nyote mmepotea kiitikadi lakini mmetofautiana pakubwa,wewe unajifanya unamkubali YESU lakini wao hawamkubali kabisaaa,kwa taarifa yako pale Israel Wakristo ni asilimia 5 tuu,

  • @IJUMAABOI
    @IJUMAABOI 9 месяцев назад +6

    Very good mr for this story and i believe that one day you will be a big man in this world in term of revolutionilist

    • @0diraWilson
      @0diraWilson 8 месяцев назад

      Unazungumzia Ujinga usio ujua. ISRAEL ni Taifa ambalo MUNGU wa IBRAHIM alimpa. Sasa hizo ni historia za kijinga haisaidii kitu ni porojo za mchana, hujui lolote.

    • @sultanbakary4292
      @sultanbakary4292 7 месяцев назад +1

      ​@@0diraWilsonMungu wa Israel ni marekan na ndio mungu wako pia

    • @salminisaleh9249
      @salminisaleh9249 3 месяца назад

      ​@@0diraWilson Huna Unachojua Subiri Mume Uolewe Ufirwe Kama Papa Alivyowaambia Muoane Subiri Mume Uolewe Ufirwe

    • @MishoAdeMahanyu
      @MishoAdeMahanyu 2 месяца назад

      Hicho kiingereza chako nakushauri tumia kiswahili tu lugha yetu mama.

    • @MishoAdeMahanyu
      @MishoAdeMahanyu 2 месяца назад

      @@sultanbakary4292 hata wewe mwenyewe hapa unamuabudu Marekani bila kujua. Unadhani hii RUclips amegundua huyo bwana wako IRAN?

  • @rk-rp2un
    @rk-rp2un 9 месяцев назад +7

    Hongera sana brother,nimeipenda ushauri ulioutoa,Mungu akubariki sana

  • @deusisindwa616
    @deusisindwa616 9 месяцев назад +3

    Asante sana kaka ❤❤
    Wewe nimwana histor mzur sn,,anavitu vingi vya kutufundisha,,ukiashilia wachambuz uchwara,,binafsi nataman ungekuwa na jukwa maarum,,Ili tujifunze kutoka kwako,,Mungu akujalie afya njema ulichokipata nasisi tunufaike nacho❤❤❤💪💪,,

  • @dulax2457
    @dulax2457 9 месяцев назад +15

    Broo uko vizur from mombasa twakupata 100%wewe ni professer

    • @revocatusjilala2441
      @revocatusjilala2441 9 месяцев назад +1

      Tanzania tumebobea kwa Tafukuri, kuelezea mambo kwa kina, watanzania wengi ni great thinker kuliko wakenya!! Wakenya kazi Yao ni kubwabwaja

    • @SuperMtani
      @SuperMtani 9 месяцев назад

      Asante

    • @AllyKelemba
      @AllyKelemba 5 месяцев назад

      😅

  • @HawaBakari-u6q
    @HawaBakari-u6q 9 месяцев назад +13

    Kaka umeeleza vizur sana nimegain kitu kikubwa sana na allah anifanyie wepes inshallah ,Allah akupe maisha marefu na yenye mafanikio

  • @alibinali_
    @alibinali_ 9 месяцев назад +3

    Thanks kwa uchambuzi mzuri sana kuna watu wanaongea mambo tofauti ila wewe umechambua vizuri na bila ubaguzi na vyombo vingi vyahabari hawaongie ukweli

  • @ONESMODOMIMICUS
    @ONESMODOMIMICUS 3 месяца назад +1

    Hongera san nmejifunza sana niliyokuwa siyajui

  • @SeuriMollel-im5yw
    @SeuriMollel-im5yw 4 месяца назад

    Tunawapata sana ndugu zetu kwa kutupasha habari za ulimwenguni kwa ujumla mungu awabariki wote

  • @makhanguwakhutu2408
    @makhanguwakhutu2408 9 месяцев назад +4

    Irani ni mfano mzuri wa afrika kufata tujifunze technically skills sio kusifiya tu Israel na marekani

    • @saltechnologiesco.ltd.2377
      @saltechnologiesco.ltd.2377 4 месяца назад +1

      Huo uwezo wa kufikiri haya mawazo yako wengi hawana walishazama kwenye utumwa wa kifikra

    • @MishoAdeMahanyu
      @MishoAdeMahanyu 2 месяца назад

      Kwenye Sayansi huwezi kuibua kitu chako bila kuwa na reference na watu waliokutangulia. Hata hao IRAN unaowasema wao wanachofanya ni kutumia teknolojia tu ambazo hao Marekani, Nchi za Magharibi na Israel wameshafanya siku nyingi. Rejea kulipuka kwa zile Device za Pager ambazo Iran walizinunua kutoka Korea Kusini na kuzipeleka Hezbollah bila kujua kuwa Israel tayari wanazijua siku nyingi.
      Halafu kitu kingine ni kwamba ukija kwenye uvumbuzi Teknolojia ya Kisasa huwezi kumtoa Myahudi ndani. Na hapo ndipo shida ilipo. Unapozungumzia hiyo Urusi ambayo ndio inayompa Irani Teknolojia bado wengi wa Wanasayansi wao ni Wayahudi.
      Hivyo kuongea ni rahisi lakini huwezi kuwatoa Marekani na Waisrael kwenye teknolojia yako wewe unayotegemea kuianzisha.

  • @yussufmiraji9408
    @yussufmiraji9408 9 месяцев назад +7

    Toka nianze kufatia siasa za mashariki ya kati ndiyo kwanza nitapate taluma mm nilikuwa najuwa iran ni nchi ya kawaida tu kumbe wana technology kubwa sana kiasi wazungu wamuogope iran irani is the best country in Islam in the world

    • @osmaniidrisa6290
      @osmaniidrisa6290 9 месяцев назад

      Lakini Iran ndio Audi mkubwa WA waislamu

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 9 месяцев назад +1

      ​@@osmaniidrisa6290ALAA SIO MUISRAEL ADUWI WA WAISLAMU???

    • @osmaniidrisa6290
      @osmaniidrisa6290 9 месяцев назад

      @@salimmalaka256 wote ni maadui WA uislamu lakini harari zaidi ni Yule anaejifanya sio Audi kumbe ni adui

    • @jumaali4893
      @jumaali4893 9 месяцев назад

      Unaushahidi wowote wa kuthibitisha ulichokiandika? au huna​@@osmaniidrisa6290

    • @awadhsalim2680
      @awadhsalim2680 9 месяцев назад +1

      ​@@osmaniidrisa6290Naona bora Iran inaisapoti palestina kuliko Saudia ?!!! Sasa yupi aduwi zaidi ya waislam u ?

  • @kokubukoba7510
    @kokubukoba7510 8 месяцев назад

    Great analysis, asante

  • @fatimasaid9469
    @fatimasaid9469 9 месяцев назад +16

    Mashallah tabaraqah. Huyu mtaalamu umlete tenna kwa uchambuzi zaid

    • @JoalAlma-ci1hi
      @JoalAlma-ci1hi 8 месяцев назад

      Kwasababu anasema iran inaogopwa na marekani na israel😂😂😂😂😂et nawe unaamni et

    • @AlhajiIssa-jb9hr
      @AlhajiIssa-jb9hr 3 месяца назад +1

      ​@@JoalAlma-ci1hiHakuna la kuchekesha hapo😮

    • @MishoAdeMahanyu
      @MishoAdeMahanyu 2 месяца назад

      @@JoalAlma-ci1hi Yaani Marekani amuogope Iran ikiwa Israel tu amtoa jasho hahahahahhahahahhah

  • @jafariHabibu-jc9zf
    @jafariHabibu-jc9zf 9 месяцев назад +1

    Nakushukuru sana bro nimekupata vyema

    • @jumamohammed2748
      @jumamohammed2748 9 месяцев назад

      Mashallah mwalimu wangu Mr Mtani, nimekuelewa sana.

  • @fadhilimnyanga6400
    @fadhilimnyanga6400 9 месяцев назад

    Wapi mr Sebo..mmmh. nice historical facts.

  • @AziziSalimini
    @AziziSalimini 2 месяца назад

    🎉🎉excellent

  • @jacksonmsendo3478
    @jacksonmsendo3478 9 месяцев назад +2

    Uchambuzi mzuri sana

  • @hajimrisholukamba602
    @hajimrisholukamba602 9 месяцев назад

    very knowledgeable, context analysis yako makes a lot of sense

  • @GapsonRevoson-bn7nt
    @GapsonRevoson-bn7nt 9 месяцев назад +1

    Nikili wazi napenda history lakin Kwa maelezo yako uliyoyatoa naona ninakazi kubwa kijifunza kutoka kwako ww umesimulia na kutatua Kwa maelezo yaliyonyooka na fact congratulations sana chief

  • @saidiyusufumuhode3159
    @saidiyusufumuhode3159 9 месяцев назад +30

    Huyu Iran anatisha sanaa Allah aendelee kuwapa ufaham zaidi

  • @JohnMabustar
    @JohnMabustar 9 месяцев назад +2

    Much respect kakamkubwa technical school ndo msingi

  • @saidngumbi6222
    @saidngumbi6222 9 месяцев назад +2

    @simulizi na sauti

  • @SalamaKhamis-un8vn
    @SalamaKhamis-un8vn 9 месяцев назад +3

    Mhh nimefumbuka mambo mengi Hsante Kaka

  • @mohamedsheikh6618
    @mohamedsheikh6618 9 месяцев назад +3

    Mkuu, umejitahidi lakini pia irani wako vizur hata katika matibabu, ukweli irani ni taifa pekee lililobaki duniani kuwa ni huru kutokana na Mataifa ya magharib Iran imebaki kuwa ni kikwazo pekee kwa nchi za magharib na marekani kuitawala mashariki ya kati, nia ya Israel ni kuiburuza marekani iingie katika vita ili wao wa Israel wawe mabwana wa mashariki ya kati

    • @MishoAdeMahanyu
      @MishoAdeMahanyu 2 месяца назад

      Mpaka sasa mbona Israel tayari ni Mabwana wa Mashariki ya Kati. Kwanza unafahamu kwamba asilimia kubwa ya Wairani wenyewe hawakubaliani na utawala dhalimu uliopo?

  • @bakarimusa6297
    @bakarimusa6297 9 месяцев назад +3

    Duh kumbe Iran mbabe

  • @MwamadiRajabu
    @MwamadiRajabu 9 месяцев назад +1

    Kweli kaka niwakati wa technology bro! 🎉

  • @KhamisiOmar-v3h
    @KhamisiOmar-v3h 9 месяцев назад +6

    Nimekkubali bro mambo unayo yasema yapo na maono makubwa sana.

  • @abdulmalikhajji9615
    @abdulmalikhajji9615 3 месяца назад

    Shukran sana kwa ushauri wako juu ya serikali yetu kuitaka iendane na halii halisi ya dunia katika kukuza teknoloji ya kileo katika uimara wa taifa kama ambavyo mataifa makubwa yalivyo fanya haswa Iran na China na Korea ya kusini na Urusi

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy7360 9 месяцев назад +6

    Ni vigumu sana ku gundua Marekani na Esraeli ni Nchi moja lakini uki chunguza na kufatilia matukio kwa akili tangu azimio laku anzishwa Taifa hilo na matukio yaliyo fuata hadi leo uta gundua

    • @salminisaleh9249
      @salminisaleh9249 3 месяца назад

      Sahihi Kabisa Ili Liko Wazi . Marekani Anajificha Kwenye Kivuli Cha Uyahudi. Ila Kiundani Kulikua Na Siri Kubwa Sana Kuanzisha Taifa Juu Ya Taifa Jengine. Na Imeanzishwa Kwa Maslahi Ya Kiuchumi na Ndomana Wanawekeza Pesa Nyingi Sana Na Silaha Pale Yote Kwa Yote Wanataka Kui Control Middle East

  • @mohamedsheikh6618
    @mohamedsheikh6618 9 месяцев назад +2

    Jordan mfalme wake mama ni mzungu so wale ni wajomba zake

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 9 месяцев назад +1

      TENA UFALME ALIKIWA APEWE HAMZA SIO YEYE MAMA MZUNGU WAKAMWEKA KIBARAKA HUYO KIBARAKA.

  • @imanuelnguya9277
    @imanuelnguya9277 9 месяцев назад +2

    Aisee umeongea vzr sana ndg mchambuzi nimekusikiliza kwa umakin sana unaongea kwa utaratibu kabisa ongera bas pokea maua yako na pongezi sana kwa Iran

  • @hashimhashim1756
    @hashimhashim1756 3 месяца назад

    Uko sahihi. Mwalimu. Hongera Sana. Serikali na vijana wapate Mia ko Hugo wa kuingia kwenye eliminated Za ufundi zaidi. Kumiko Kusaka. PHD Za vyuo Na Kumekawa vyeti nyumbani tu. Tukiwekeza Tutankhamen Na sis I ni jamboree la Kumekawa malengo. Mazda ya Miaka michache. Tutafika watu Sana staajabu. Tumewezaje.

  • @josephwilliam5813
    @josephwilliam5813 9 месяцев назад +5

    Mchambuzi uko vizuri sana

  • @Mbmaster-os5oi
    @Mbmaster-os5oi 9 месяцев назад +2

    Hongera ndugu

  • @onelinelyrics200
    @onelinelyrics200 9 месяцев назад +4

    Umetema facts! Ukweli Mchungu japo Mataifa ya kiarabu yanasaliti Ummah ikiwemo Suudia - kwa mfumo wa Petro-dolla kwa maslahi binafsi

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 9 месяцев назад +4

    Ubarikiwe saaana Kiongozi, haya unayosema karb wachambuzi wote wa kivita wametilia mkazo , hasa wanajeshi wastaafu wa Marekani karb wengi wamesisitiza israel awe mpole

    • @georgekimasaofficial1629
      @georgekimasaofficial1629 9 месяцев назад +1

      Nyie endeleeni kudanganyana na kufarijiana badae tutakuja mezani hapa Kwa kauli za kutia huruma

    • @peteremmanuelymatwimatwiem3258
      @peteremmanuelymatwimatwiem3258 9 месяцев назад

      ​@@georgekimasaofficial1629endelea kua mini ivyo

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 9 месяцев назад +1

      ​@@georgekimasaofficial1629MSENGE MWENZAKO KAPIGWA HASARA 1.49 BILION DOLA KITUWO CHA NDEGE ZA ISRAEL KIMEANGAMIZWA CHOTE NA NCHI WANAIKIMBIA NENDA KAWASAIDIE MKUNDU WEWE.

    • @BenjaNetanyahu
      @BenjaNetanyahu 9 месяцев назад

      ​​@@salimmalaka256unafirwa kweli wewe, kuma kibuyu. Waliungana mabasha wako wote, inchi zote za warabu mwaka 67, kumpiga simba wa yuda! Walitepeta, na enzi hizo warabu ndio walikua wanaongoza kwa utajiri dunia mzima, ataweza leo iran na vi inchi vake, yemen, lebanoni, Syria. Israel ni simba wa yuda! Mkataba wao na MUNGU hauvunjwi na YESU wala muhamadi, MUNGU alisha mwahidi Israel, hata akibaki mmoja vitani, atashinda vita, na hata dunia yote tuungane tukaipige Israel! Hatutashinda vita hiyo.

    • @georgekimasaofficial1629
      @georgekimasaofficial1629 9 месяцев назад +1

      @@salimmalaka256 Axa matusi yanini ndugu afu mnataka Allah wenu awasaidie kwenye vita vya ndugu zenu ktk Iman duh au ndiyo allah anaruhusu Waislam kutukana watu? Au matusi ndiyo ushindi wenu? 🙄🙄🙄 mtaendelea kuteseka sana, sisi Wakristo Mungu wetu haturuhusu kutukana mtu.
      Afu pia tu nikukumbushe Israel wakipiga adui yao akafa wanatoa na lipoti kuwa wamemuua nani na kazi yake ilikuwa ni nini yaani wanajuwa kupiga Kwa tageti na panapo uma.😅😅😅😅

  • @selemanshemea4093
    @selemanshemea4093 9 месяцев назад +9

    Lakini mbona tukio la Iran ndio linazungumzwa Sana?Israel kushambulia ubalozi wa Irani na kuua hilo sitatizo ,kweli dunia SASA IPO mikononi mwa waovu.

    • @suleim505
      @suleim505 9 месяцев назад +3

      Dunia imeshaharibiwa na waharibifu, na ndio wanaounga mkono uharibufu unaofanyika kwa mataifa ya wanyonge

    • @muhamadharun9432
      @muhamadharun9432 9 месяцев назад

      Propaganda za kusahaulisha uovu wa Israel

    • @MishoAdeMahanyu
      @MishoAdeMahanyu 2 месяца назад

      Unahisi kwanini Israel iliuvamia ubalozi wa IRAN? Ni kwamba kuna uovu waliuona mapema unakuja na huwa silaha yao kubwa ya kujilinda ya ISRAEL ni uwezo wao wa kujua wabaya wao mapema kabla hawajaleta madhara. Hiyo kazi inafanya na Shirika lao la Ujasusi matata sana lijulikanalo kama MOSAD.

  • @gabrielmdem4271
    @gabrielmdem4271 8 месяцев назад +1

    Duu safiii broooo

  • @ShadrackMwikoni
    @ShadrackMwikoni 8 месяцев назад

    Teacher big up Sana natamani niwe kama wewe, wewe ni msomi mkubwa Allah akuzidishie ila niombee na mm mwanafunzi wako wa first year

  • @benhamza5649
    @benhamza5649 9 месяцев назад +2

    What is your name brother?

    • @SuperMtani
      @SuperMtani 9 месяцев назад +1

      Fadhili Mtani

  • @ShabaniBaibai
    @ShabaniBaibai 3 месяца назад

    Mungu aijalie ilani izidi kuwa tetea mashaliki yakati

  • @ramadhanmazije3882
    @ramadhanmazije3882 9 месяцев назад +1

    Hongera broo

  • @hilalisaidseif8483
    @hilalisaidseif8483 9 месяцев назад +6

    MashaAllah kumbe bado Tz tunawanahistoria wazuri hivi endelea kutupa elimu

  • @HabibuMudhwahir
    @HabibuMudhwahir 9 месяцев назад +6

    اللهم صل على محمد وال محمد

    • @IssaRwechungura
      @IssaRwechungura 9 месяцев назад

      I am the National Chairman of Indiginous Shia Community: Tanzania lthna'ashariyyah Community (T.l.C)

  • @radjabusuleiman6486
    @radjabusuleiman6486 9 месяцев назад +4

    WA SHIA ni watu hatari Sana, sio kama sisi wa SUNI waoga ule imam wawo khomein akitangaza tuu vita hapatokalika mashariki yakati wanamuamini ule mzee wawo kuliko Ata Wazazi wao akitowa amri hakuna wa kupinga amri yake.

    • @MishoAdeMahanyu
      @MishoAdeMahanyu 2 месяца назад

      Hahahahahhahahahhahahhahahahh hivi wewe unamsikiliza huyo jamaa. Anaiweka Hezbollah kweli kama mtetezi wa IRAN ilhali Hezbollah yenyewe ni kikundi tu?
      Huyo jamaa anaongea kwa minajili ya Siasa za Kiislamu tu hana jipya. IRAN ambayo inashindwa kumlinda hta kiongozi wa HAMAS anauawa ndani ya Nchi yake ndio itaiweza ISRAEL.

  • @fadhilimnyanga6400
    @fadhilimnyanga6400 9 месяцев назад

    Nice work broo..nakusoma mjomba

  • @abdulkasukari5481
    @abdulkasukari5481 9 месяцев назад

    Good Presentation

  • @mohamedsheikh6618
    @mohamedsheikh6618 9 месяцев назад +1

    Silaha wanazopewa waarabu hazitakiwi kuzidi uwezo wa Israel

  • @MishoAdeMahanyu
    @MishoAdeMahanyu 2 месяца назад

    Huyu jamaa ni mwongo sana. IRAN inategemea teknolojia hasa kutoka URUSI na uwezo wa kutengeneza silaha kali wenyewe bado sana. Labda assembling tu.

  • @musasabuu2808
    @musasabuu2808 9 месяцев назад +1

    Mwenyezi mungu ibaliki iran

  • @KajunaMathayo
    @KajunaMathayo 6 месяцев назад

    Naomba sana mungu vita ivi visifike Africa

  • @RamadhanmwidiniUdulele
    @RamadhanmwidiniUdulele 8 месяцев назад

    My love teacher % fact

  • @rajabungomile3307
    @rajabungomile3307 9 месяцев назад +1

    Kaka acha tu watufundishe kuwa mtu wa kwanza alikua nyani, Awana mpango na technology Wala nn alafu tunajicfu kuwa nchi yetu ni ya kwanza kupgana vita ya ardhini wakat wao waktaka pgana awaleti watu Bali ndege zsizokua na rubani ksha znawaua wote, daaaah😂😂😂😂😂 technology kwanza jaman

  • @pembemussa2804
    @pembemussa2804 9 месяцев назад +1

    Nchi zenye kufanya maajabu makubwa kama hayo zilijikita na ku invest ktk masomo ya Sayansi
    Sisi Nchi zetu kufikia hizo level sio leo wala kesho kwani tumejikita zaidi kuwaandaa vijana wetu Kuja kua Wana sheria tuna wanasheria wengi mno kazi kujisifia
    WAKILI MSOMI 😂

    • @MishoAdeMahanyu
      @MishoAdeMahanyu 2 месяца назад

      Sasa kama wakibwabwaja ndio wanaonekana ndio wana akili unategemea nini? Nchi zetu hizi mtu unapoongea sana hata kama hakuna chochote unachofanya unaonekana ndio unajua.

  • @saiddarrus6400
    @saiddarrus6400 9 месяцев назад

    Hats off brother

  • @adiaygo8546
    @adiaygo8546 3 месяца назад

    Bro you can't say I will not give you bread time you know I can make myself Iran is power full country 😊

  • @nassoromussa2423
    @nassoromussa2423 9 месяцев назад +1

    Ufafanuzi mzuri sana, ila mhadhiri ameacha maswali mengi kwa TZ lkn na Afrika kwa ujumla. Yaani, ni kwa namna gani nchi za Afrika zimeshindwa kuwekeza katika teknolojia?? Shida ni nini hapa! Lakini nini kifanyike...

  • @senikomanya7223
    @senikomanya7223 9 месяцев назад +3

    Kweli aisee kama iran ingekua inasubir kupewa hakika ingekua imeisha anguka

  • @francofabian6159
    @francofabian6159 3 месяца назад

    Aisee nimekuelewa sana mkuu naomba uishauri serikali

  • @ShehaHaji-k8t
    @ShehaHaji-k8t 9 месяцев назад +1

    Maashaallah umetufunza

  • @omysule7118
    @omysule7118 3 месяца назад

    Saf san brother Mtani

  • @jumamayonga8914
    @jumamayonga8914 9 месяцев назад +3

    Nakuunga mkono sasa hivi serikali inatakiwa kuwekeza kwenye Teknolojia

  • @jumasaidswaiguti4190
    @jumasaidswaiguti4190 9 месяцев назад

    Hongera kwa presentation nzuri na kwa ushauri uliotoa kwa serikali na jamii kuwekeze kwenye technologia badala ya vyuo vikuu.

  • @salimali-rf9er
    @salimali-rf9er 9 месяцев назад +1

    Sadakta maneno yako👍🏻

  • @SirajiZacharia
    @SirajiZacharia 9 месяцев назад +2

    Labbayka Yaa Imam

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji 9 месяцев назад

      Taqiya 😢😢

    • @abdilahmohamed6679
      @abdilahmohamed6679 9 месяцев назад

      Hawa watu me nashangaa hata waislam kuwafurahia Iran ila hawa ni wabaya kuliko hata waisrael na niwatalaam wa propaganda nataman umgewajua kwanza hawa Shia na mipango yao then ndo tuje tuongee wameua watoto Syria,Iraq na yemen na kila wakiua wanaweka vikundi kama hizbullah,IS na hamas ili waweke ushia kama yemen na kuua SUNNI 😢

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji 9 месяцев назад

      @@abdilahmohamed6679 kweli ni movie ya KIHINDI

  • @MohamedKasalama
    @MohamedKasalama 9 месяцев назад +1

    Tuache ushabiki sikiliza point pamoja na vikwazo Iran imejweza ki uchumi na tecnolog tujifunze halafu jitu linaleta ushabiki hongera mchambuzi

  • @elishandalaShandala
    @elishandalaShandala 9 месяцев назад +1

    Anaejua anajua tu
    Hongera umetufumbua macho

  • @PatrickBarnabas-fs4ow
    @PatrickBarnabas-fs4ow 8 месяцев назад

    Umetisha

  • @NgamelaYussuph
    @NgamelaYussuph 9 месяцев назад +2

    Hivyo Vikundo Vimezuia Miaka Kumi Na mbili Marekani Kumuangusha Rais wa Siria

  • @ZiadaAmeir
    @ZiadaAmeir 8 месяцев назад +1

    Wallah umenifunz mingi sana amby siikuw nayajua
    Kaka Allah akubarik

  • @SaidiChinduli
    @SaidiChinduli 9 месяцев назад +3

    Elimu sahihi wakati sahihi pokea🎉🎉🎉🎉🎉 yako.

  • @Inbrajabtv
    @Inbrajabtv 9 месяцев назад

    Ebanaeeh we uk vzr ahsant saana

  • @HizaSebarua
    @HizaSebarua 3 месяца назад

    Nakubali sana nakupata nikiwa Moro town hapa

  • @SalimKaporo
    @SalimKaporo 9 месяцев назад +4

    Basi mtu anaeongea vitu vya maana kama huyu huwezi kusikia media zina muhoji hatasikumoja innalilah wainailaih rajiun

    • @MishoAdeMahanyu
      @MishoAdeMahanyu 2 месяца назад

      Anaongea vitu gani vya maana zaidi ya Udini tu kumjaaa sana. Toka lini Uislamu ukaendana na teknolojia. Ulisikia wapi?

  • @khalidbelhasa2137
    @khalidbelhasa2137 9 месяцев назад +2

    SIO NCHI ZA KIISLAM , NI NCHI ZA KIARABU, HAKUNA NCHI YA KIISLAM

    • @patrickKitambo
      @patrickKitambo 9 месяцев назад

      irani sio warabu

    • @jaffarichimbuvu9409
      @jaffarichimbuvu9409 8 месяцев назад

      Kama akuna nnchi ya kihislamu irani ina itwaje makanisa yenywe amna ujui kitu

    • @MishoAdeMahanyu
      @MishoAdeMahanyu 2 месяца назад

      @@jaffarichimbuvu9409 unachanganya mambo Iran ni nchi ya Kiislamu ndio lakini sio Waarabu bali ni Waajemi. Kuhusu Makanisa ndani ya Iran yapo na kuna Wakristo (wengi wakiwa ni Waarmenia) pia pamoja na kwamba ni nchi ya Kiislamu. Hata hivyo kama Waislamu walivyo na tabia ya kunyanyasa dini nyingine wanapokuwa wengi mahali kwa IRAN ni hivyo hivyo Wakristo wananyanyaswa sana na ukionekana na Biblia hadharani unauawa au kufungwa maisha.
      Duniani nchi ambazo hazina Makanisa ni mbili tu ambazo ni Saudi Arabia na Somalia.

  • @issakawaya8315
    @issakawaya8315 9 месяцев назад +1

    Mashallah

  • @ekimnkande2873
    @ekimnkande2873 9 месяцев назад

    Lets wait

  • @MwazoaMwazoa
    @MwazoaMwazoa 9 месяцев назад +2

    Tanzania inadaiwa deni kubwa sana na iran.Tumekopa tangu wakati wa Marehemu Ali hassan mwinyi akiwa Rais halafu tumeuchuna kama hatujui hatuna kamwe huo mpango wala hata hatujui tutalipa lini.Tunalipa madeni ya dhulma ya Riba ya wazungu na tumeacha kulipa deni lisilo na Riba yoyote.

    • @MishoAdeMahanyu
      @MishoAdeMahanyu 2 месяца назад

      Wacha uongo wako wewe. IRAN mwenyewe ana njaa ndio aikopeshe Tanzania. Achana na akili za mitaaani. IRAN ni nchi masikini sana bado.

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa6415 5 месяцев назад

    Umeelezea kwa uzuri zaidi 👏

  • @akidashekue163
    @akidashekue163 9 месяцев назад +4

    Muingeleza na Mmarekani Ndiyo Israel

  • @amrannjiwa
    @amrannjiwa 8 месяцев назад

    big up

  • @icclcharters3389
    @icclcharters3389 8 месяцев назад +1

    Hapa mshenzi ni mmarekani

  • @YassinAwami-yi8jd
    @YassinAwami-yi8jd 9 месяцев назад

    Tuwekeze kwenye TECHNICAL KNOWLEDGE... That is a point

  • @fidelismasaka2735
    @fidelismasaka2735 4 месяца назад +2

    MIMI NASAPORT IRAN 🇮🇷. KWASABABU ISRAELI...WANAUWA SANA WATU...😢

  • @hassanmsangi4149
    @hassanmsangi4149 9 месяцев назад

    mashallah akhy umetuelewesha vzr sana, hao ndio wairan hao ndio mashia tunaowasema vibaya misikitini

    • @YahayaMilaji
      @YahayaMilaji 9 месяцев назад

      Kaka nimejifunza Asante

  • @ayubunyota5673
    @ayubunyota5673 3 месяца назад

    Waafrika tumepigwa cheni Mobile 📲 chain..Siku tukijitambua Kama Iran hakutakuwa na Umasikini

  • @safarichui8551
    @safarichui8551 9 месяцев назад

    Iran ni Noma 🔥 ana makombora kyasi kwamba hao majamaa hawanaidadi au ufahamu ndo mana wamemnangania tokea 1979

  • @SelemanIsmail-c3z
    @SelemanIsmail-c3z 3 месяца назад

    Wewe ni mchambuzi mzuri sana! Ni kwamba Iran tayari wameshatengeneza mabomu ya nyukilia. Wana vichwa vichache kama 20 au 30 hivi. Na ndio maana wanajiamini sana!

  • @salumjuma3152
    @salumjuma3152 9 месяцев назад +1

    iran kafanikisha kwenye shambulio kwa asilimia 100
    Sababu zake kwanza kajua silaha gani za kuzuia makombora zilizotumika pale israil pia hawakutumia silaha zao zile za siri wametumia silaha ambazo zinajulikana lakini israil walizuia mashambulizi kwa kutumia kila walichonacho

    • @MishoAdeMahanyu
      @MishoAdeMahanyu 2 месяца назад

      Inaonekana kumbe uko ndani ya Jeshi la Israel. Yaani unajua kila silaha waliyonayo jeshi la Israel 🤣🤣🤣.
      Ama kweli kila mtu anaweza kuandika tu anachofikiri kichwani.