WALLAH LOVE❤ MUHAMAD IDDI SHEKH. ALIKUWA AKIMTUMIKIA MKUU MTUFUKUFU WALIYULLAH. WA LIYYI M.MUNGU. KWELI ALIKUWA NIMKWELI WA ALLAH..NDIO MAANA M MKUU WA NCHI KAMZIKA❤ ABUU IDDI 🎉
Yaarabi msamehe shekhe wetu hakika wewe ndio kuombea msaha alie kosewa na shekhe wetu abuu iddi basi nasi tunamuombea msaha kwa wale alio tofautiana nao basi wamsamehe shekhe wetu Allah (s.w) amlaze mahali pema peponi
Allah akurehemu maalim wetu😢 akupe kauli thaabit akukubalie mema yako akusamehe ulipokosea akuingize ktk pepo yake firdaws ameen yaarab, na sisi Allah atujaalie husnul khaatima.😢😢😢😢
Hakika na ndio maana tunaambiwa tuchukue zawadi na zawadi yenyewe ni kufanya hapa duniani kwa juhudi sana ingawaje sisi wanadamu twajifanya wepesi wa kusahau Allah atujaalie tuwe ni wenye kumkumbuka Allah na kumuogopa yeye kwa maslahi yetu sisi
Hilo shuka huwa linafunikwa kwann wakat anaezikwa ni mwanaume? Sasa mazingatio ya umauti ni mawaidha yatapaitkana wapi wakat watu hawaoni maiti analazwa vipi kwenye kabuki?
hakuna kulala uko wewe mtoa post huku ni maisha ya akhera maisha mapya ukiingia tu kaburin bas umeaza maisha mapya kwaiyo kauli za kikafir tusilete hakulala amezikwa na anakwenda akhera maisha mapya Allah ameahamu
@masoudmohammed1148 wew wajielewa lakin muislam gan unaeshangazwa na na kukosoa neno hili hwakuna hata mmoja alenipinga ispokua kunisapot kwel ni makosa kusema amelala ni matamko ya manasara na wasokua waislam sisi waislam tunasema amezikwa ametangua mbele ya hak na sio kulala bas mwamshe km kalala vp wew kwa nmetukana apo alaaa!! em km huna cha kusema tulia
@ummu jauzan kama hujui jambo nyamaza t ndo salama kwako siki kila uonalo lazima ulisemee Mengine utajishusha heshima t kwa kudhihiridha uekewa wako ukoje
WAANDISH I WAHABARI.
KUNAMENGI YAKUSEMWA.MSIWAACHA KINA MAMA WANAMENGI JUU SHEKH MTETEZI WA UMMA OLS KINA MAMA TUNAMENGI YAKUSIMULIA❤
Allah akusamehea sheikh ,dhambi zako zote, akuepushe na moto mkali wa jannam ,akupee mwaangaza katika kaburi lako na akupee pepo
Ameen
WALLAH LOVE❤ MUHAMAD IDDI SHEKH.
ALIKUWA AKIMTUMIKIA MKUU MTUFUKUFU WALIYULLAH.
WA LIYYI M.MUNGU. KWELI ALIKUWA NIMKWELI WA ALLAH..NDIO MAANA M MKUU WA NCHI KAMZIKA❤ ABUU IDDI 🎉
Inna lillahi wa inna ilayhi raajiuun.
Mwenyezi Mungu amrehemu sheikh wetu in shaa Allah
Mwenyezimungu ampe kauli thabiti shekhe wetu na mungu amjaalie mama yetu rais wetu mama Samia Kwa kusimamia jambo hili
Yaarabi msamehe shekhe wetu hakika wewe ndio kuombea msaha alie kosewa na shekhe wetu abuu iddi basi nasi tunamuombea msaha kwa wale alio tofautiana nao basi wamsamehe shekhe wetu Allah (s.w) amlaze mahali pema peponi
Allahu maghfillahu Warhamahu Waaskin fil Janah Yarabbi msamehe mja wako. aAmzizishimie kaburi lake atujaalie sisi waja wake tutakutana na Mtume Wetu Muhamad Swala lah Alahy Wasalama. Amin Amin. Amin Kabuli Bijahi Rasuul kwa Waumiin wote.
Allah amsameh makosa yake na amkubalie mema yake na sisi Allah atujalie mwisho mwema
Allahumma Aamiin
Allah amrehem shekhe Wang Abuu iddy lolimodo wawengi allah Akulipe janaa.
Ameen
AMIIIN ya rabilighami
Innallilah wainalilah rajiuni 😢 shekhe Allah akusamehe makosa yk mwnyezi mungu akulaze mahali pema peponi 😢
Allah amsameh tulimoenda. Shkhe. Wetu allaah. Kampenda said hatuna. Budi tuseme innallillah wanna Allah rajiunii
Allah amrehemu kipenzi chetu na amlaze pamoja na vipenzi vyake. Amin. Hatutomsahau
Allah akurehemu maalim wetu😢 akupe kauli thaabit akukubalie mema yako akusamehe ulipokosea akuingize ktk pepo yake firdaws ameen yaarab, na sisi Allah atujaalie husnul khaatima.😢😢😢😢
Yaayabi msamee shekhe wetu pale alipo kukosea bas pia utuonyeshe njia ilo sahihi yarabbi
Oooh jamani EE MWENYEZI MUNGU Tujalie mwisho Mwema Amina
Allah amrehemu ndugu yetu,sheikh mohamed idi, tangu alipozaliwa mpaka amefariki yupo karibu na ndugu wa familia yetu ya AMTCO na KIZOTA.
Inna Lilaah Wainna Rajioun Allah amsameh makosa yake amzidishie mema yake amjaalie qabri lake liwe njia ya peponi
Allah amuhidadhi shekhe wetu inshallah.
Innalillah wanna ilaihi rajioon, M Mungu ampe kauli thabbit amiina
Allah amjaalie Jannat firdaus
ALLAH S.W. AMWEKE MAHALI PEMA AKHERA NA SIKU YA QIYAMA (SIKU YA MWISHO NA SIKU YA HESABU)...AMIN.
Allah akupe kauri thabiti shekhe mwalimu wa mtoto wangu 😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Allah akuangazie nuru kwenye kaburi lako
Allah Atujaalie khatima njema
Amiin
Site kwa Allah tutarejea,Tunamuombea kheri nyingi na M.Mungu amsamehe madhambi yake
Allha Muweke Marham sheikh idd peppn aamiyna
Huyu Shekh kafanya KAZI kubwa nzuri
Kama ipi
@@ShuwehaOmarylabda tukuulize umezaliwa mwaka gani ndio tukujibu
Asiye macho hawezi kuona@@ShuwehaOmary
Kubwa sana
We unaeuliza kama ipi ni kwamba sio mtanzania ama
Allah mjaalie kauli thabiti inshaallah.
Allah has a good plan for him allahuma rahmahu
YA ALLAH TWAKUOMBA UTUFISHE HALIYAKUWA UMETURUDHIA YA MAJIDU😢 ...... NA TWAKUOMBA YA RABI WAONDOLEE HADHABU YA KABURI WALIOTANGULIA
Adhabu kali za Allaah naam tujitahidini kumuogopa MMungu
ALLAH AKUREHEMU
Mungu amuweke pema nawema AMIIN AMIIN AMIIN
allah amuhifadhi kwa rehma na baraka zake
Naumia sana kwa kweli...Allah ampe kauli thabit
ALLAH akujaalie kauli thabit akujaalie pepo ya firdaus❤
Poleni familia pamoja na waislamu wote kwa ujumla.
Shukran ndug
Allahumma Aamiin
Naam kaka angu Seyyid Muhdhar
Allah tumimiminie naam kweli kabisa Allah atuwezeshe kuubeba
Naam sahihi
Innallilah wainalahi rajiuun
Innalillah wainna ilayhi rajiun Allah subhanahuu wataala amsamehe madhambi yake ampe qauli thabit
NAWAAPIA SIRI YAKUONDOKA ❤ ABUU IDDI.
ALLAH.ANATUPENDA SANA.ILI TUPATE MDA WAKUJIFUNZA ELIMU YAKE KWA HARAKA SANA.HASSA SAFARI YAMAUTI
YATIMA.WAJANE.TALAKA.MASIKINI❤LOVE SHEKH IDDI SALAAM KAULAN MIRABIRAHIM SALAAMUN KAULAN MIRABIRAHIM.AKUPE PEPO UTAKAYO
Inallilah wainailah rajiuna
Yaarabbbi msamehe makosa yake sheikh Mohammad iddi,na umzawadie janna,ewe molawetu mtukufu
Ameen
AMIIIN ya rabilighami
amin 🤲 amin 🤲 YARABI amin 🤲
Amiin yaRabb
Amina ya allah
Yaarabi kwabaraka za sheikh ABUU EIDY Na elim aliyokuwa nayo twakuomba utujaalie mwisho mwema
Innalillaahi wainnaillaayhi raajiuni,pole sana ALLAAH,ni mjuzi zaidi
Allah amsameh makosa yake shekh wetu. Kipenz
Innallillaah wainnaillah rajion mbele yak nyuma yetuu allaah akupe kauli thabit kiongoz wengu allaah akupe pepo yak ya firdaus😢
Innalillah wainna illeyhi rajiun allahuma ghufirlahu warhamhu wasqana fililjannah
Allah akuhifadhi iddy
Allah akujalie kauli thabit babaangu ya allah yaa arahma raahimiin mkinge na adhabu ya kabur yaaarahma rraahimiin
Inna lilah wa inna ilayh Rajiun Allah ampe kauli thabit.
الهم غفر له ورحمه وأسكنه في الجنة
Allah Amrehemu Aaaaamiiin
Mungu wetu mpokee shekh wetu na umsamehe mazambi yake
أللهم اغفر له وارحمه واجعل قبره روضة من رياض الجنة
Amin
Ameen
اللهم اغفر له
allah amjalie kaburi lake liwe la watu wapeponi
Inalillahi wainaylah rajiuna.
Allah amsameh makosa yake
Inna lillah wa Inna illaihy rajiun.Allahu maghfillah warhamhu wamaskanahu fil Janna
Inna lillah wa inna ilaih rajighun Allah yarhamhu ...
Inna lillah wainna ilayh rajeeun Allah mfanyie wepes na sis utupe khatma njema
Allaah atupe khusni khatma waja wake najikuta naliya 😢
اللهم اغفر له ورحمه وسكن فاجن
Ameen
AMIIIN ya rabilighami
Amin
اللهم حفله ورحمه ؤاسنه فلجنن
Allah tujaalie mwisho mwema
Tunakuomba Allah umsamehe makosa yake. Ami
اللهم اغفرله ورحمه ومسكنه في الجنة
Allah ajalie awe.miongoni kwa pepo ya fidaus
Allah tunakuomba umsamehe makosa yake.
ALLAH AMPE KAUL THAABIT SHEKH LETU
Assalamu alaikum warahmatu wabara kathu llahi
KINACHONIUMA ZAIDI,,HATUJUI TUNAPOKWENDA,,,TUTAKUTANA NA NINI 😢😢,,,
Wallahi atujalie kheri ktk makaburi yetu
Wee swali Hilo NI ZITO na linatuhusu vilinyo
Hakika na ndio maana tunaambiwa tuchukue zawadi na zawadi yenyewe ni kufanya hapa duniani kwa juhudi sana ingawaje sisi wanadamu twajifanya wepesi wa kusahau Allah atujaalie tuwe ni wenye kumkumbuka Allah na kumuogopa yeye kwa maslahi yetu sisi
FIRDAUS INSHAALLAH
Mlaze shek wetu mahali pema pepon ya allah
Mi nilinufaika sana na mafunzo yake kwenye chanel 10
Kweli kabisaa shekh
Inna lillahy wainna illaihy rajioun 😢
Inna lillah wa Inna ilaih raajioun..
Inalilah wainah raajiun alalh amsamehe makosa yake
Allahumma Aamiin
Innalilah
Inalillah wainaillah rajiun
Innalilahi wainailahi rajiun
Innalillahi wainnaillaihi rajiun
Innalillahi wainnailayhi rajiuun
😭😭😭😭🤲🤲🤲🤲
Inna lillahi Wainna Ilayhi Raajiun
Poleni sana
Amiin
Hilo shuka huwa linafunikwa kwann wakat anaezikwa ni mwanaume? Sasa mazingatio ya umauti ni mawaidha yatapaitkana wapi wakat watu hawaoni maiti analazwa vipi kwenye kabuki?
😢😢😢😢
😭😭😭😭😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💔💔💔💔💔💔
hakuna kulala uko wewe mtoa post huku ni maisha ya akhera maisha mapya ukiingia tu kaburin bas umeaza maisha mapya kwaiyo kauli za kikafir tusilete hakulala amezikwa na anakwenda akhera maisha mapya Allah ameahamu
Basi amesimamishwa hapo kaburini
Ndugu yangu unajua unachokiongea kweli?@@saidimpako5186
Shida yako kwenye uelewa wa matumizi ya maneno, Kwa hyo hapo alipozikwa amekalishwa?
Na hili pia mnataka kulifanya ni mswada wa kuanza kukhtalifiana sio mpka ukafiri tayri unaanza kuwaingiza wenzio. Nyie mmezidi bhnaa #Salafi
@masoudmohammed1148 wew wajielewa lakin muislam gan unaeshangazwa na na kukosoa neno hili hwakuna hata mmoja alenipinga ispokua kunisapot kwel ni makosa kusema amelala ni matamko ya manasara na wasokua waislam sisi waislam tunasema amezikwa ametangua mbele ya hak na sio kulala bas mwamshe km kalala vp wew kwa nmetukana apo alaaa!! em km huna cha kusema tulia
Innalillah wainna ilaihi raji'un
Alikuwa muogo hapo atajuta kupotosha watu
Upumbavu
Sasa hayo mashahid majani yanini namtakuja kujengea asahivi hapo
Acha nyege wewe kinachokuuma ni nini ukiona hayo majani umeshindwa hata kumuombea dua Sheikh unaandiki ujinga
mtume aliweka alama kaburini shida nin sasa
@ummu jauzan kama hujui jambo nyamaza t ndo salama kwako siki kila uonalo lazima ulisemee
Mengine utajishusha heshima t kwa kudhihiridha uekewa wako ukoje
Hakuna uharamu wa kuweka alama mim sizungumzii kujengea
nyinyi mawahabi ni wajinga
Ujinga ktupu
Ujinga mtupu
Mtu kufa ni ujinga utaishi milele we hufi 😢😢😢😢😢
Sawa mwenye akili
ALLAH AMPE KAUL THAABIT SHEKH LETU