Inalillah Wainnaaillah Rajiiuun Allah akupe Kauli Thabit Akusamehe makosa yko Akuepushie na Adhabu ya Kabrii Maskani yko iwe Pepo Firdaus in shaa Allah na Jamii Muslimii ❤😢
Pepo Iwe Ndio Makazi Yk Upewe Kitabu Chako Kwa Mkono Wa Kulipa Allah Kaburi Lako Liwe Na Nuru Na Harufu Ya Miski Kaburi Lako Liwe Kati Ya Makaburi Mema Ya Peponi Amiin Amiin Amiin
Kauli thabit inakuja na matendo na namna ulivyoishi ktk ulimwengu huu na waislamu wenzio uliwazulia lolote kwa hao wasio waislamu eh Allah atupe sote kauli thabit amini amini amini
Allah Swt akurehmu shekh wtu na akujaalie janatul fridiuas aalyah Bi idhini LLAH na kabur lako liwe kma mabustny y janah na kauli thabithy aaamiin innaa lilah wa innaa lilah rajioon
Alhamdhulillah Allaahumma salii wa saliim Ala Sayyidina Muhammad wala alihi wa Ass habihi wa Salaamu ❤️ Innalilah wa innah ileyh rajiion Allaah Amthabit billi kauli thabit yaa Rabbil Aalamiin 🤲🏾 Allaah awarehemu maiti wetu wooote kwa ujumla 😭
Inshallah amjaalie Kauai tabith.apokee kitabu chake kwa mkono wa kulia.m.nzimngu amsailishie ad habu ya kaburi na amfanyie wepisi kwenye maswali yake na pepo ya fridauss
Allah akupe umri na afya ili uzidi kutukubuxha ka sisi tuliopotea Allah atuongoze akujalie ww husunul mat katujalie kauldhabiti siku ya mwixhow atujalie kuitamka xhahada Axhhadu Alailahailallah wa Axhhadu ana Muhamadu Rasulullah Inxhallah
Innalillahi wainnaailaihi raajiuun allah ampe kauli thaabit sheikh wetu tulikupenda sana lakini allah amekupenda zaidi. Allah aliangazie nuru yenye kung'aa katika kaburi lako. Amyn
Allah atujaalie ummah tukutane peponi inshallah 🤲🤲🙏 wenzetu wanadondoka kila kukicha tunao pumua tujiandae nasi kukutana na Mollah Mlezi wetu 😢 Je kwa maswali tupo tiari na majibu?😭😭
Allah akuujaalie pepo shekhe wetu kwa ukumbusho uliotuachia uwekinga yako kila inapo sikilizwq
Ammiyna yaarabbi,,,
Innalillahi wainnaillah rajoun shekh wetu umetuachia pengo kubwa katika uislamu allah akujaalie upepo
inallah wainaylahi lajinuni.mwenyezimungu akupekauli dhabiti.na sisi tuliokuwa nyuma yako.atujalie mwesho mwema
Allah amrehemu shekh Abuu Eid na amsamehe pale alipokosea amiin
Amiin
Innalillah waiina Lilah rajiiun Allah amsmeh madhamb yak n making n adhab y kabr
Amin. Allah amtilie nurundaniyakaburilake amin
Mola mlezi akufanyie wepesi InshaAllah umetuachia ukumbusho sadaka tul jalia, yaAllah akukumbuke Ameen
Allah atujaalie nashekh wetu huyu tukutane peponi pamoja na mtume wetu inshallah
Allaahumma Ammiyna yaarabbi,,,
Inalillah Wainnaaillah Rajiiuun Allah akupe Kauli Thabit Akusamehe makosa yko Akuepushie na Adhabu ya Kabrii Maskani yko iwe Pepo Firdaus in shaa Allah na Jamii Muslimii ❤😢
InshaaAllah
Amiiin Amiiin Amiiin and Amiiin ya Rabbi
AMEEN YA RABI LAAMIN
Allaah ampokee kwa furaha shekhe wetu Abuu Idd umetuacha na huzni
Inna lillah wainna ilaih raajiun....Allah amrehem sheikh wetu na amfufue haliyakua amemridhia inshallah
Innalillah wainnaillah rajiunh Allah akusameh madhambi yako na akupe kauli thabiti Sheikh wetu
Allah akupe kauli thabith inshallh sheikh wetu❤❤❤😢😢
Allah amsameh Shekh wetu na ampe qauli thaabit amjaalie kabri yke iwe Raudhwa Min Riyaadhil Jannah
Amiii
Ameen
Amiin
Aamiin
Amiin yarabbi
Mwenyenzi mungu akuondolee adhabu ya kabri na akupe kauli dhabit shehe wetu
Ayuko DUNIANI kumbe😭🤣
Kafariki leo
Shehe Idd amefariki@@shamzone388
Amin
Allaah akusamehe na akujalie qauli thabit na akujalie pepo ya firdaus
Inalillah wainaillah rajiun, nilikua nakuelewa sana Sheikh, Mungu akupe kauli than it, hukua mnafiki kwenye ukweli ulikua tayari uchukiwe.
Inasikitisha kweli subuhana allah
Hakika shekhe alikuwa anafanya vizuri kwenye kutupa nasahaa ukimsikiliza lzm utapata mazingatio
Inna lillahi waina illahi rajiun. Allah amjalie firdouse na wote waliyo tangulie mbele
Nasi atujalie khasanu khatima
Ameen Allahumma Ameen
ALLAHUMA AMIIIN THUMA AMIIN
M/Mungu amsamehe dhambi zake ampe kaul thabit Amin.
Innalillah wainna illah rajiun Allah amsamehe madhambi yake shekhe wetu na amlaze mahali pema peponi
Allah akbar mwenyezimungu amleheme shekhe wetu na akupe kauli thabiti inshaallah 🙏
Pepo Iwe Ndio Makazi Yk Upewe Kitabu Chako Kwa Mkono Wa Kulipa Allah Kaburi Lako Liwe Na Nuru Na Harufu Ya Miski Kaburi Lako Liwe Kati Ya Makaburi Mema Ya Peponi Amiin Amiin Amiin
Amin yaa allah
Allahumma amiiiin ya Rabby
nimeumia sana kwahakika shekhe umetuachawengilkn hakunajinc zaidi yakukuombea duwa Allah akurehem inshallah
غفر الله تعالى لك ورحمك وجعلك من الصالحين وثبتك بالقول الثابت
Inalilah wainahilah rajiun Mungu atuhurumie akurehemu akupe kauli thabiti na Mungu akusamehe na akupe Pepo inshallah
Allahumma ighfirlahuu waskinhu fil jannah
Mungu akujaalie uwe mtu wa peponi shekhe wetu
Ameen
Mungu ailaze mwili wa shekhe mwanaharakati waku pambania dini yetu ya islamu pmahali pema
Allah amfanyie wepesi ktk safari yake amsamehe makosa yke ampe kitabu chake kwa mkono wa kulia ameen
Amiin
Allah akuondoshee Adhab yakaburi shekh wetu😭😭😭
Shekhe wangu wamskini wangu masjid mnyamani😭😭😭
Amin yarabi
Inalillah wa inna ilayhi ragiun allah amsamehe yy na wazee wetu wote na ss pamoja na safari hii mzito
😢😢😢 ALLAHU AKIBARU
Allah ampe kauli thabit in sha Allah na amjaalie elimu yake alofundisha iwe sadakatul jaaria yake aliko Yarab
Innalilah wainnailah rajuun mungu akupe kauli thabit akuondoahee adhabu ya qaburi😭😭
Amin
ALLAHUMA AMIINY 😢
Aamin rabil aamin
Allahumma aamin
Kauli thabit inakuja na matendo na namna ulivyoishi ktk ulimwengu huu na waislamu wenzio uliwazulia lolote kwa hao wasio waislamu eh Allah atupe sote kauli thabit amini amini amini
😭😭😭 INNALILLAHI WAINNAA ILAYHI RAJIUN. ALLAH AMSAMEHE MAKOSA YAKE NA AMJAALIE WEPESI KATIKA SAFARI YAKE, MALIPO MEMA YAWE MENGI MNO KWAKE
Allah Swt akurehmu shekh wtu na akujaalie janatul fridiuas aalyah Bi idhini LLAH na kabur lako liwe kma mabustny y janah na kauli thabithy aaamiin innaa lilah wa innaa lilah rajioon
Shaame Sheha Tumbatu Zanzibar
Polen ndugu zetu wa Mkata Tanga waislam na familia ya marehemu
Mimi mkristo lakini nilikua nasikiliza video zake, Acha ubaguzi wa kidini.eti polenta waislam!
Mungu akupe mapokezi mema yaraby
Daah nilikuwa nafatilia sana mawaidha yalo Sheikh
Mwenyeez Mungu Akupe Qauli Thabiti Na Upokelewe Na Malaika Wema Allah Akujaalie Ufufukuwe Karibu Na Waja Wema Allah Kujaliie Jannat Nahim
Kwani kafaliki jamani
😢inna lilahi WA inna ileyhi rajiun Allah ampe kauli thabiti na wepesi wa kaburini sheikh
Inna LiLlahi Wainna ILayhi Rajiun Mungu Amrahamu Amlaze Pema Penye Wema Peponi amkundulie kaburi yake amtilie nuur Ampe Kauli Thabit. Akutilie kwenye Hassanati zako. Shukran kwa ukumbusho.
Amkundulie YAARABB
Allah atujaalie tufuzu sote tupate neema hizo
Kama tunavyo kuombea Wewe sheikh wetu
Allah awamiminie Subra wafiwa na sote
Mungu ailaze Roho ya marehemu pema peponi Amen
Tunakuomba M/Mungu umjaalie shekhe wetu na umpe pepo ya daraja la juu kabisa, Amiina.
Innallillahi wainaillayhi rajioun....Allah amjaalie kaul thabt...Allah atujaalie mwisho mwema
Subhannah Allah Allah s.w atuongoze katika dini yaa Rabbi
Allahu biha bihusnil khatima yarabby akujaalie kaul thabit shekh😢
Mungu msamehe Shekhe makosa yake na umjalie pepo yako In Shaa Allah
Amn
Amin
Allah akulaze palipo pema pepon 🤲🤲🤲🤲
Wallahi hazina zinaenda mungu amlaze mahali pema peponi,jamani roho Zina umia mm binafsi imenigusa sana mungu ammpe janna.
Allah akujalie mionginimwa watu wape peponi inshallah
Mwenyezi mungu amsamehe na amrehemu amuweke pema pmoja na wema Ameen😢
ALLAH akupe qauli thabit
Allah amlipe alipopatia amsamehe alipokosea
Inallilahi wahina hilahi rajioun mungu amjalie na kauli thabit inshallah njia ni Moja Alhamdullilahi
Allah akulaze mahal pema peponi🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Innalilah wainna ilayhiraajiun
اللهم اغفرله ورحمه وعافيه
Allahumma Aamiin
innalilah wainna ilah rajioqh Allah akupe nur katika kaburi lako inshaallah
Alhamdhulillah
Allaahumma salii wa saliim Ala Sayyidina Muhammad wala alihi wa Ass habihi wa Salaamu ❤️
Innalilah wa innah ileyh rajiion
Allaah Amthabit billi kauli thabit yaa Rabbil Aalamiin 🤲🏾
Allaah awarehemu maiti wetu wooote kwa ujumla 😭
اللهم صل وسلم وبارك عل سيدنا ونبينا حبيبنا محمد وعل آله وصحبه وسلم تسليما كثيرا إلى يوم الدين
INALILAHI WAINA ILAIHI RAJIUN ALLAH AKUREHEMU SHEIKH WA JAMII MUSLIM AMIN WASALAHU ALLASAYDA MUHAMAD WASAHABIH WAHAMDINI ALHAMULILAH
Inna lillahi wainna ilayhi rajiuun! Allah akupe qauli thabit na ajaalie kabri yako iwe ni kiwanja cha peponi in shaa Allah!😢😢😢
😭 inna lillah wanna ilaih rajiuun mungu akusahe akuremu na akup jantu firdauth abuu idi Muhammad
Mwenyez mungu aluweke Mahalia pema peppn AMIN
Inna Lilaah Wainna Ilayhi Rajioun Allaah amsameh makosa yake amzidishie mema yake amtangulizie mema yake 😢
Siku hizi hatuoni mawaidha kama haya yakusisimua na ukumbusho mkubwa tukapata mazingatio,😢😢 Allah akulipe kheri zako daima kipenzi chetu,❤❤
Innallah wainaillah rajoon Mwenyeez Mungu akupe kauli thabit
Innalillah wainna illah rajiun mmungu amuzawadie pepo inshsllah
Allah akukinge n adhabu za kabri n akukinge n vituko vya sik y kiama amiiiin inxhaallah shekhe weet
Allahu amsamehe dhambi zake nasi tujiandae naiyo safari 😢😢😢😢😢
Allah amrehem ampe qauli thabit amjalie janat ferdaus yarab Amin
Mungu tujaalie mwisho mwema..Aamin
Innalilah wainailayh rrajuun ALLAH akupe kauli thabit
Subuhanna llaah ewe mola muwashienuru katika kaburi lake
Innalillah wainna ilayh rajiun 😭💔 Allah akuhifadhi janatul firdhaus akupe kaul thabit 🤲
Inshallah amjaalie Kauai tabith.apokee kitabu chake kwa mkono wa kulia.m.nzimngu amsailishie ad habu ya kaburi na amfanyie wepisi kwenye maswali yake na pepo ya fridauss
Nimeumia jamani eti leo 30/1/2025 umetuacha jaman nilikuwa nampenda sana uyu SHEKH
Sema اللهم اغفر له و ارحمه sio umetuacha jamani, moyo unahuzunika , macho yanatoa machozi lakn hatusemi icpokua anayoridhia Allah.
Mtume alisema maneno ayo
@@ahmedAwesu-g8o Innalillah wainnailaih rajioun, ni kweli usemayo ndugu yangu, eti umetuacha kama ana uhakika wa kesho.
Innalillah wainaillah rajuun
Masikitiko makubwa sana Mwenyeezi Mngu amueke pema penye wema ya Rabbi.
Allahu akbar mungu akuwekia janna amin
Allah tupe mwisho mwema utuswamehe madhambi yet maana ss sote tunakukosea yarabb tuongoze njiya ilionyook
Innalillahi waina ilaihi rajiun, Allah amsameh amjaalie pepo
Mungu Akusamehe Madhambi yako shehe
Allah akujaalie maghfirrah na akuingize peponi ya Firdaus
اللهم انفعنا بعلمه،واغفر له وارحمه واجعل قبره روضة من رياض الجنة.امين.
Innalillah Wainna ilayah Rajiun 😭 mwenyezi MUNGU akupumzishe kwa Amani
Allah akupe kauli thabit na akupunguzie na athabu ya kabri
Allah akupe umri na afya ili uzidi kutukubuxha ka sisi tuliopotea Allah atuongoze akujalie ww husunul mat katujalie kauldhabiti siku ya mwixhow atujalie kuitamka xhahada Axhhadu Alailahailallah wa Axhhadu ana Muhamadu Rasulullah Inxhallah
Subhanallah mawaidha mazito. Km sadaqa yake ya kuendelea.
Allah atujaalie nasisi tulio Baki husni l khatima wa jannat l firdaus
Allah amlehemu sheikh wetu hakika ya mauti ndio ndoto ya binadamu yenye kukamilika Allah atujalie mwisho mwema waja wake 🤲😢
Allah akupunguzie adhabu za kabri.. Allah Akbar
Innaalillah wainnaailaih raajighuun Mungu amfanyie wepes INSHALLAH katk safari yake
Allah akufanyie wepesi uko ulipo kwasasa na akusamehe
Allah akujali kaburi lako ikawe busitani Moja wapo katika mabustani ya peponi
Allah akusamehe pale ulipo kosea
Innalilah wainna lilahi rajiun
Innalillah wainna ilayhi raaji'un Allah mpe kauli thaabit Sheikh wetu,, Allahumma Ghufir'lahu Warhamhu
Innalillah wainnailaihi rajiun yarabbi amsamehe makosa yke nasie atupe husnulhatima
Kwani kafaliki jamani
Inalilah wainailahi rajiun Allah amsamehe madhambi Ampe kitabu chake Kwa mkono wakuliya Amin
ALLAH AKUREHEMU MBELEYAKO NYUMA YETU
Yaa Allah tujaalie mwisho mwema🙏🙏
Innalillahi wainnaailaihi raajiuun allah ampe kauli thaabit sheikh wetu tulikupenda sana lakini allah amekupenda zaidi. Allah aliangazie nuru yenye kung'aa katika kaburi lako. Amyn
😭😭😭😭😭
Allah atujaalie ummah tukutane peponi inshallah 🤲🤲🙏 wenzetu wanadondoka kila kukicha tunao pumua tujiandae nasi kukutana na Mollah Mlezi wetu 😢
Je kwa maswali tupo tiari na majibu?😭😭
Innalillah wainaillahi rajiuni. Allah ampe shekh wetu kauli thabit
Inna Lila waina ilaihi rajiun. Allah akueke pema palipo nawema peponi.
Allah amsameh makosa yke amuweke pema peponi. Katangulia tuko nyuma yke mema
Allah akupe malazi mema,❤❤
Allah, akufanyie wepesi katika Safari, amiin