mimi ni mkritu lakini nilivyosikiliza ndani ndani nikajikuta najuwa kuruani nikataka kuandika nikashindwa nimempenda sana huyu mtoto mwenyezi mungu akupe ulinzi mkali mungu anipe kizazi kama hiki❤❤❤
Hiki kipaji kutoka kwa ALLAH yatakiwa tukilinde aendelee kutupa Raha ,Namuomba ALLAH anipe kijana wa Mfano huu dini itasimama na kukonga nyoyo za watu ALLAHUMMA AMIN
Mashaallah allah ajalie vizazi vyetu viwe wenye kheli kma uyu na mungu mzidishie kheli na uhai mlefu wenye manufaa hapa duniani na kesho akhela pia nakupe kwa ajili ya allah
Maashaallaah dogo umepangwa vzr na una kipaji cha kupangika ila wasimamizi wa huyu dogo musimdhulumu wakati wake mpelekeni akasome dini yake kwa mwenendo huu munaonda naye hatosoma na ataishia hivo hivo kupangika mpelekeni mtoto akasome dini yake aje afundishe umma huu wa Muhammad swalla llaahu alayhi wasallam
Hakuna mtoto wa miaka 7 ukaweza kumpanga icho kitu hakuna hususan katka kusoma Aya za Qur'an na kutafsiri hata mtu mzm hawezi hicho ni kipaji kutoka kwa Allah istoshe huyu mtoto still anasoma tambua ilo.
ASALAM ALEY KUM,ALHAMSULILLLAH NAMSHUKURU ALLAH KWAKUA MUISILAM.HII NI NEEMA KUBWA SANA WAIAILAM UNAOENDA KWA MWAMPOSA MNAJISIKIAJE UKIMUONA HUYU MTOTO WA KIIAILAM ALLAH ALIVYOMJALIA KUA NA KIpI CHA HALI YA JUU.ALLAH ANZIHIRISHA KUWA UWIAILAM NI DINI YA HAKI..
Maashaallah, ila sheikh waambie na hao wanawake wajisitiri nyuso zao. Wanaonekana kama wapo kanisani. Yaan hao wooote namuona mmoja tu kajipamba kisheria, Allah amthibitishe
Masha Allah -Tabarakallah.. Mwenyezi Mungu Akuhidadhi na Akuzidishie Ilmu... Anasoma/Amesoma Madrassa Gani huyu Ustadh wetu? Tuna hamu ya kujua na kuleta watoto wetu pia In Shaa Allah
MAshaallah allah akulinde akupe kher n akulipe pepo funian na skhera akuepushe na husda allah akupandishe darja shekhe ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Masha'Allah Allah akuzidishie maisha marefu hapa duniani na kesho Akhera Allah aikuze ilimu Yako akutakabalie akhamali zako na Allah awalinde wazazi wako Asalaam alaykum warahmatulah wabarakatuh
Masha Allah for the beautiful daawah from the young boy. He's really challenged us but Alhamdullilah islam still has people who speak thee truth and defend ALLAH... Please those people giving him money are really distracting and confusing him... They should let him lecture and sort out rhe money issues in a different way... Allahibarik
Mashallah nakapenda haka katoto.... Allah azidi kukuongoza na akulinde na husda mtoto mzuri😘❤❤💝
C katoto km unavyomuona macho I pako, huyu ni Swaheeb lfahama SHEIKH RAMADAN
MashaAllah, Allah akukuze,akuongoze, akulinde ,akukinge na kila shari ya viumbe wabaya.
Allah azidi kukuongoza katika kulingania dini Inshallah Amina 🙏🏻
Amiin
AMEEN
Amin
Aaaaamin thuma amini
Wazazi tuchukue mfano wa mzazi wa huyu mtoto mashaallah allah awajaalie wazazi wa huyu mtoto
aamiin
mimi ni mkritu lakini nilivyosikiliza ndani ndani nikajikuta najuwa kuruani nikataka kuandika nikashindwa nimempenda sana huyu mtoto mwenyezi mungu akupe ulinzi mkali mungu anipe kizazi kama hiki❤❤❤
Amiiin
Allahuma amina 🤲🤲🤲🤲
Mtoto Ana majini 1000
Hiki kipaji kutoka kwa ALLAH yatakiwa tukilinde aendelee kutupa Raha ,Namuomba ALLAH anipe kijana wa Mfano huu dini itasimama na kukonga nyoyo za watu ALLAHUMMA AMIN
Allahumma Aamiin 🤲
Allahumma amiin
Amiin
Amiin
Ameen
Nahitaji mwanangu awe hiv ili nipatae wa kuniombea dua insha-Allah
Insha Allah
In shaa Allah kheyr
Inshallah..Muongoz3 ktk njia ilio kheri naye Allah atamsimamia Inshallah
Inshallah
Amiin in shallah
Mashaallah allah ajalie vizazi vyetu viwe wenye kheli kma uyu na mungu mzidishie kheli na uhai mlefu wenye manufaa hapa duniani na kesho akhela pia nakupe kwa ajili ya allah
Mtoto kumleavyo ndivyo akuwavyo m.a may Allah protect bad evil keep going my brother ❤
Mashaallah shekhe ramadhani allah akulinde na akukinge na watu wabaya na akuongoze vyema inshaallah
Amiin
Maashallah,, Mwenyezi Mungu akujaalie mwisho mwema 🎉🎉🎉🎉
Mimi ni Mkristo nasema mtoto huyu kipaji chake ni kikubwa sana inabidi mupambanie kipaji chake zaidi kwa elimu.Hii ni hazina kubwa ya baadae.
allah akuongoze
Allahu akbar
Alhamdullah mtoto mungu akubariki amin
Alhamdullah mtoto mungu akubariki amin
1:05 1:05
Allah akukuze katika kheri na akulipe mazuri na akukinge na maadui
Masha Allah tabaraq Allah... Mungu nijali mwangu awe kama huyu mwana wa mwenzangu
Amiin
Amin
Amin
Amiin ya rabby 🤲 amiin
Mashallah nlimmis huyu MTT Allah ampe umr mrefuuu wenyeher na Baraka ❤
Mashaallah mashaallah mashaallah anasauti zurii mashaallah mungu amkuze katika imani atujalie heri na sisi watoto wetu waishike dini 🤲🤲🤲
Amiin Thumma Amiin
Mashallah mashallah sheh wetu mungu akupe umri mrefu nakupenda kwa ajiri ya Allah
Maaaashaallha
Mashallah mashallah mashallah mashallah mashallah allah akujalie kila kher Katika maisha yako shekhe wetu
Mungu akulinde na mahanadi akufanyie wepes
mashaallaah mashaallaah nilifurah sana nilivyo kuona live allaah akutuze
Inshallah mwenyezi mungu akulinde azid kukupa maneno ya Allah
Maashaallaah dogo umepangwa vzr na una kipaji cha kupangika ila wasimamizi wa huyu dogo musimdhulumu wakati wake mpelekeni akasome dini yake kwa mwenendo huu munaonda naye hatosoma na ataishia hivo hivo kupangika mpelekeni mtoto akasome dini yake aje afundishe umma huu wa Muhammad swalla llaahu alayhi wasallam
Hakuna mtoto wa miaka 7 ukaweza kumpanga icho kitu hakuna hususan katka kusoma Aya za Qur'an na kutafsiri hata mtu mzm hawezi hicho ni kipaji kutoka kwa Allah istoshe huyu mtoto still anasoma tambua ilo.
Maashallah Allah akuzidishie kipaji ufike mbali akuepushe na mahasidi. Ongereni wazazi wa mtt huyu.
Allah akuzidishie umli wenye manufaa na erimu yenye manufaa
Amin yaribi laalamin
ASALAM ALEY KUM,ALHAMSULILLLAH NAMSHUKURU ALLAH KWAKUA MUISILAM.HII NI NEEMA KUBWA SANA WAIAILAM UNAOENDA KWA MWAMPOSA MNAJISIKIAJE UKIMUONA HUYU MTOTO WA KIIAILAM ALLAH ALIVYOMJALIA KUA NA KIpI CHA HALI YA JUU.ALLAH ANZIHIRISHA KUWA UWIAILAM NI DINI YA HAKI..
Maashaallah Allah akukuze vyema naomba mungu anijalie watt wenye uelewa na kusoma Quani
MashaAllah ❤❤❤ Allah akupe umri mrefu na skulinde
❤::mashaallah tabarakaah::❤
Mungu akupe afya njema Naumri mrefu ❤
Yaarabi mpe mtoto mwisho mwema ❤
Mashallah tabarakalah Allah akuongezee Nuru na baraka inshallah
Maasha Allah, Allah akulinde mtoto wetu
MashaAllah Mungu akongezeye
Ilm namaisha mazuri akurinde
Mashallah Mashallah Barkallahfik Love Frm Kenya❤❤❤🎉
Sheikh and the first 9:41
Mwenyezimungu akuzidishie uwezo said na zaidi tunanufaikasana na mawaidhwa yako
Maashaallah, ila sheikh waambie na hao wanawake wajisitiri nyuso zao. Wanaonekana kama wapo kanisani. Yaan hao wooote namuona mmoja tu kajipamba kisheria, Allah amthibitishe
Wewe ndo hujui stara ya kisheria n ipi
Masha Allah Mola wet u Mlezi. akuzaidishie fahamu
Mashallah ❤❤❤❤mwenyez mungu akuepushe na husda za wanadamu
Mashaaalhaa Mungu Akulinde ❤
Masha Allah -Tabarakallah..
Mwenyezi Mungu Akuhidadhi na Akuzidishie Ilmu...
Anasoma/Amesoma Madrassa Gani huyu Ustadh wetu?
Tuna hamu ya kujua na kuleta watoto wetu pia In Shaa Allah
Mashallah Allah SWT skulinde na kila hassad na husda iwe mbl nawe mwanangu nakupenda kwa ajili ya Allah❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mashaallah allah akuzidishie kipaji cha maneno ya allah na hadidhi za mtume s:a:w
Mwenyezi mungu akukuze vyema na azidi kukupa imani ya kuupigania uislam
Mashaallah ❤❤❤🎉 mung akupe Muir mref na akulinde na hasad za walimweng
MAshaallah allah akulinde akupe kher n akulipe pepo funian na skhera akuepushe na husda allah akupandishe darja shekhe ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mashaallah allah akuhifadhi naatujalie vizazivyetu viwe kamahuyo inshaallah yarabi
Allah akuzikuze naakuzidishiy. Ww pamoj nawtt wetu waangoze ili izid diniyetu yakislam ilitupat kujifunza ilitukakutan namtum wetu muhammad s.w
Mashallah mwenyezi Mungu akupe kher inshallah mm n mkristo Iakn navutiwa San na mahube yakuruhan inshallah ntazd kujfunza🤲
😢Mashallah, Jazakallahu kher Mwanangu, Allah akulipe Jannah 🙏
Masha Allah tabaarakaAllah ALLAH bareek
Allah akubariki na akulinde InshaAllah
🎉Masha Allah, wa jina Allah akukuze na akuongoze na akulinde katika hii DUNIA na akulipe MEMA kesho AKHERA.
Allahumaa Amiin 🤲
Mashalah mungu akujalie uishii miak mingii ❤❤
❤❤❤❤ mimi si musilamu akini huyu kijana anifusa mingi
bola wewe umeongea yamaana
Manshallah huyu mutoto allah subhanah wa'ataa amujalie kiragher rolot hapa dunian n'a aghera yarabii nakuomba nikioa unipee mutoto kama huuyu🤲🤲🤲🤲🤲🤲
Allah akulinde nan hasad azidi kukupa ufahamu
Masha'Allah Allah akuzidishie maisha marefu hapa duniani na kesho Akhera Allah aikuze ilimu Yako akutakabalie akhamali zako na Allah awalinde wazazi wako Asalaam alaykum warahmatulah wabarakatuh
Najua mawaidha yamekuguseni sana lakini mnamshuhulisha huyo kijana kwa kumpa pesa ni bora apatikane mtu au kiongozi amkamatie hizo pesa
Ukwelu kabisa umenena kakangu ❤ Masha Allah Tabarak Allah
Ukweli
Mashallah mung Hanijarie watot zangu wapate nuru kama mtot anayejua Din vzr Inshallah
Ma Shaa Allah 💓💓💓
Mungu amlinde nashar za maaduw nasi mungu atujalie tuzae watoto wema
Manshaallah Allah akukuze na akuongezee elimu yenye manufaa
Masha Allah ❤️❤️❤️
Hii ni taufiq kutoka kwa Allah mashallah kuna wenye wamesoma lakini courage kama hii hawajaliwa
Mashaallah tabarakallah taala
Mashaaalah.eee mwenyezi mungu upe Maisha mazury na marefu.huyu sheehy mtoto.shafii
Mungu akupe umri murefu
Mashaalah allaha.akulinde.na.hasad
Ma nshaa Allah mutoto mi murundi napenda Huo mutoto n'a omba Allah Nami anipe mutoto mwenye kipaji kama hicho
Mashaallaah mashaallaah watabarakaallah allah akuzidie kila la heri ishaallah mtoto mzuri
Allah akupe mwisho mwema Kaz ya daawa iwe ndio maisha yako
Masha Allah big love from kenya my lvly tz brothers and sisters ❤❤❤❤❤❤❤❤
Waalaikumussalam Warahmatu llahi wabarakatuhu Mashallah tabaraka llah 🎉🎉🎉
Mungu hakujariye maisha maref nakuogezee kipaji zaid
Mashaallah ❤❤❤
ALLAHU AKBAR uzidishiwe kheri na fanaka TAKBIIR
Allah akulinde na akuongeeze ilimu
Masha Allah tabaraka Allah 🙏🙏
Mashallah habibi my the grace of Allah be with you🙏
Masha Allah sheikh wetu
Masha Allah Allah akufanyie wepesi lnsha Allah
Mashaallah mashaallah tabarakallahu may Allah bless him and protect him evil eye Allah ma amini thuma amini 🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Maasha Allah Allah akulinde misharii jioni waliisii
Masha Allah for the beautiful daawah from the young boy. He's really challenged us but Alhamdullilah islam still has people who speak thee truth and defend ALLAH... Please those people giving him money are really distracting and confusing him... They should let him lecture and sort out rhe money issues in a different way... Allahibarik
Daa Allah akuzidixhie2 kwakwer upeo uzid kutupa elimu
Mashaallah barakaallah mwanangu atawa hivi inshaallah tujitahidi kulea wanetu Kwa maadili haya
Macha Allah Cheikhs wangu, tupo pamoja tokea Lubumbashi Wantashi DRC CONGO
Ma Shaah Allah
Mashaallah Allah akupe mema yote ya duniani na akhera na akuepushe na shari zote za viumbe waovu Amiin ❤❤❤
Wallah nilikua natamani sana uyu shekhe ramadhan aje kukutana na shekhe firdaus jaman adi raha mabluk❤
Marshalls mwanyazimngu akujaaliye
Mashaallah allah azidi kumpandisha daraja inshiaallah😊
Mungu akulinde na mabaya inshallah.
MASHAALlAH 🥰
Allah akulinde na akujaalie Umri mrefu .na akujaalie mwishomwema na sisipia Amin
Mashaallah....Allah awazidishie umri wazazi wako ln n shaa Allah
Mungu akuzidishe wewe pamoja na wazazi wako mashallah mung atujaalie kizazi chem na ss
Nimekupenda kwa ajil ya Allah nakuombea kwa Allah akuhifadh❤❤❤❤
Kazakhallahu kheriii!..,
Mashaallah, mungu akulinde mtoto mzuri
Maa shaa Allaah
Mashallah..wallah watoto nimejitahd kuwasomesha..lkn Allah ndiye ajuaye
This like another miracle of Allah! go go dogo. Masha Allah
Màashaa Allah
Allah akukuze na akuzidishie elimu.