NI UPI UHARAMU KUCHEZA NA KUANGALIA MPIRA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 фев 2025

Комментарии • 13

  • @AbuuMussa-t2r
    @AbuuMussa-t2r 10 дней назад +1

    Shekh Allah akulupe kila la KHER Leo hii mipila imehalibu watoto wengi San %100 wazazi Ndy wanaendekeza mamb yasio na faida ZAIDI ya hasara Allah awaelekeze katika njia ya haqi ❤

  • @AbdifatahAbdinoor-u6v
    @AbdifatahAbdinoor-u6v Месяц назад +1

    Mashaallah jazzakaallahukheir

  • @FarijaraShemngwa
    @FarijaraShemngwa Месяц назад +1

    Mashaallah

  • @ZajarOne
    @ZajarOne Месяц назад +2

    Allah atulinde na maasia

  • @Abuuhuisma
    @Abuuhuisma 12 часов назад

    Kwaujumla jinsi alivyo eleza Shekhe na jinsi misingi ya mpila ilivyo jengwa jibu ni mpila haramu sababu mpila ukujengwa kwa misingi ya uislamu Na aiwezekani kufuatwa izo Sheria alizo zitaja sababu mpila umejengwa kwa misingi ya ukafiri Kwahiyo jibu ni mpila haramu

  • @hindamir2008
    @hindamir2008 24 дня назад +1

    Hahahahhahahahahahahha hahahahahha dunia imeisha 😢😢😢😢😢mjukuu wamtume ndio alikatwa kichwa kikafanwa mpira leo shikh muogope Allah. Mungu anasema tusiwafuate mayahudi wala manaswara leo wahalalisha jambo amaabalo mpira ulifanywa kichwa cha mjuuu kwa mtume Allah akuongoze

    • @bachila5525
      @bachila5525 4 дня назад

      Sika vizuri hio darsa ya bafana. UTAELEWA

    • @FadhilZaharan
      @FadhilZaharan 3 дня назад

      Sasa wewe unapingana na shekh Kwa elimu Gani uliyokua nayo

    • @Abuuhuisma
      @Abuuhuisma 13 часов назад

      Kwaujumla jinsi alivyo eleza Shekhe na jinsi misingi ya mpila ilivyo jengwa jibu ni mpila haramu sababu mpila ukujengwa kwa misingi ya uislamu Na aiwezekani kufuatwa izo Sheria alizo zitaja sababu mpila umejengwa kwa misingi ya ukafiri Kwahiyo jibu ni mpila haramu

  • @swalehmohamed4849
    @swalehmohamed4849 27 дней назад +1

    Je kuangalia wakiwa uchi wachezaji na pombe yaniwandani ni halali?

  • @KalicKaguz
    @KalicKaguz 16 дней назад +1

    Sheikh kuhusu mapenzi ya mpira usiombe, mpira ni hatari usiombee yakukute we semage hivyoivyo kwa sababu ujuwi athali ya mpira Katika mioyo ya watu mtu anakufa Kwa sababu timu yke imefingwa ni hatari sheeh watu wanaumwa

    • @abubakarsadiki3310
      @abubakarsadiki3310 10 дней назад

      Na ndio maana akatuasa tumuombe Allah atuepushe na hili janga.