UWEZO WA NDACHA KATIKA KUJIBU MASWALI YA HAINA YA MTEGO KATISHA ZAIDI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • WAISILAMU HAWAKUDHANI KAMA NDACHA NI MCHUNGU KIASI HICHI KWA MASWALI MAJIBU NA HOJA ZENYE NGUVU MUNGU AENDELEE KUMLINDA NA KUMVUSHA KATIKA YOTE #Pastor Francis Ndacha #islamic center #Dr Sulue

Комментарии • 171

  • @user-yp3eo4up3l
    @user-yp3eo4up3l 4 месяца назад +10

    Tayari mchungaji ubalikiwe. Bwana yesu asifiwe.

  • @charlesmwangi5834
    @charlesmwangi5834 8 месяцев назад +16

    Ndacha umepewa uwezo huo na roho mtakatifu

  • @user-ct7pc9xw8e
    @user-ct7pc9xw8e 7 месяцев назад +14

    Ndacha niko msumbiji jimbo la caboDelgado nakupenda,napenda na kazi mungu amekupa ubarkiwe

  • @japhetndoro6533
    @japhetndoro6533 5 месяцев назад +10

    Waislmu haiwez hii mada

  • @esthersawiga9979
    @esthersawiga9979 8 месяцев назад +14

    Nakuombea sana Ndacha Mungu aendelee kukupa OPOLE, HEKIMA, BUSARA NA MAARIFA na kuepuka dhihaka zinazofanywa na watu hapa duniani juu ya Mungu. AMINA🙏🙏

  • @McharoMshana-lc8zr
    @McharoMshana-lc8zr 7 месяцев назад +9

    Wakirsto ndacha abarikiwe sana

  • @user-ht2dl4ft6n
    @user-ht2dl4ft6n 8 месяцев назад +19

    Ndacha ubarikiwe wewe nimpambanaji kabisa Mungu akubariki n'a akuzidishiye baraka na elimu bora

  • @henrysizya239
    @henrysizya239 8 месяцев назад +12

    Ubarikiwe sana Mwalimu Ndacha! Unafaa kupewa Honorary PhD ya Theology. Kitu ambacho nimejifunza hapa Mwalimu Ndacha anawaweza kwasababu anasoma pia vitabu vyao hivyo hoja zao kwa mwalimu zinakuwa nyepesi tu.

  • @user-to8on2pj9x
    @user-to8on2pj9x 7 месяцев назад +10

    Kwanza unahoja nzito hakuna anaewez kuvunja hoja zako nahakuna swali ambalo unashindwa kujibu

  • @jasintakendi5939
    @jasintakendi5939 22 дня назад +3

    You are true teacher,, praise God 🙏🙏 waislam hawezi kabisaa

  • @jumanjenga7682
    @jumanjenga7682 Месяц назад +1

    Ndacha entertaining the crowd with twisted words.Cant beat Islam .

  • @user-nw1uk1vr2q
    @user-nw1uk1vr2q 8 месяцев назад +13

    Ndaaaaaachaaaaaa amazing teacher!!!

  • @MichaelDonaldnchingaMichaelDon
    @MichaelDonaldnchingaMichaelDon 24 дня назад +1

    Waislamu mnamihemko kweli amtulii amuwezi elewa

  • @TheodomileNdizeye
    @TheodomileNdizeye Месяц назад +1

    Ndacha mungu akuongeze nguvu n'a elimi Pia ugongane na hao waislam

  • @georgeobegi3687
    @georgeobegi3687 2 месяца назад +2

    Ndacha ubarikiwe na mungu kwa kunena neno la mungu

  • @joabmogusu9708
    @joabmogusu9708 2 месяца назад +1

    Mungu aendelee kukuelimisha

  • @victorgasper7563
    @victorgasper7563 8 месяцев назад +5

    ukweli ushajurikana toctor sule hana elimu ya kupambana na ndacha

  • @WillyAlfred-n4t
    @WillyAlfred-n4t Месяц назад +1

    Hatari saana Waislam

  • @under848
    @under848 8 месяцев назад +9

    Thats. Why they hate him for he knows the truth ndacha tufundishe kabisa

  • @peteremanuel8022
    @peteremanuel8022 8 месяцев назад +4

    Swali rahisi sana kwa mwalimu wangu ndacha

  • @paulduke6712
    @paulduke6712 Месяц назад +1

    MUNGU akubariki mutumishi ndacha

  • @user-xf8ge2uk5w
    @user-xf8ge2uk5w 4 месяца назад +2

    Hongera sana past ndacha

  • @dickson1820
    @dickson1820 8 месяцев назад +11

    Hakuna siku muislamu atashinda mkristo aliye wa rohoni.

  • @user-wg2ht8uo5y
    @user-wg2ht8uo5y 2 месяца назад +1

    Mdacha yesu akulinde sana

  • @user-cf6yw1rn9i
    @user-cf6yw1rn9i 6 месяцев назад +2

    Pastor Ndacha, você é melhor, Dr. sule e Mazinge e outros nunca vão t conseguir.

  • @FrankOsward
    @FrankOsward 4 месяца назад +2

    Siku zote mti wenye matunda ndio unao pigwa mawe,wengi wanaushamburia ukristo na Shetani ameuingilia ukristo ili kuhuaribu mungu atusaidie sana wakristo.

  • @BensonMasai-cd6fv
    @BensonMasai-cd6fv 6 месяцев назад +3

    Pastor Ndacha ako sawa kabisa.naulliza Ndacha anashiriki kanisa gani?Please mtu anijibu

  • @user-ky1rl8mb8s
    @user-ky1rl8mb8s 8 месяцев назад +5

    Wewe ndacha nakuerewa sana

  • @daniellourencojaime
    @daniellourencojaime 2 месяца назад +1

    Ndasha ni kali sana🇲🇿

  • @user-wg2ht8uo5y
    @user-wg2ht8uo5y 6 месяцев назад +2

    Ndacha Mungu akubatiki sana mtumishi 🙏

  • @ss-bw9ef
    @ss-bw9ef 6 месяцев назад +2

    ❤ubarikiwe ndacha

  • @user-nc3ho5zc2b
    @user-nc3ho5zc2b 6 месяцев назад +1

    Ndacha ni mkamilifu kabisa katika neno la Mungu shetani hamuezi

  • @user-wg2ht8uo5y
    @user-wg2ht8uo5y 7 месяцев назад +2

    Ubarikie sana mtumishi ndacha

  • @salimkondo3354
    @salimkondo3354 2 месяца назад +1

    Ndacha aiseee upo vizuri saana yani daar tukupe tuu uwe professor

  • @FranklineRioba-ek8wp
    @FranklineRioba-ek8wp 6 месяцев назад +2

    May God bless you ndacha

  • @barakafondo8090
    @barakafondo8090 8 месяцев назад +5

    Ndacha be blessed

  • @user-jl8cy8nc7u
    @user-jl8cy8nc7u 6 месяцев назад +1

    Nampenda sana huu mtu wa Mungu Hakika Mungu akutie nguvu.

  • @emmyndunge6406
    @emmyndunge6406 8 месяцев назад +2

    Ndacha do mwalimu wao

  • @majaliwamsigwa6206
    @majaliwamsigwa6206 8 месяцев назад +3

    Ndacha ubarikiwe,unauhakika na unaye mtumikia,huwezi babaishwa Wala kukokotwa

    • @abuuhassani497
      @abuuhassani497 8 месяцев назад

      Ndacha nishetani. Anaepoteza watu

    • @martoo539
      @martoo539 4 месяца назад

      Kumbali ukwl broo Uislam.n dini ya Mohammed fuata MUNGU ​@@abuuhassani497

  • @masubukopita7201
    @masubukopita7201 7 месяцев назад +3

    Yesu hoyeeee

  • @BarakaKitosi
    @BarakaKitosi 9 дней назад +1

    Ndacha elimu unayo ya kutosha

  • @georgemwarogo9254
    @georgemwarogo9254 4 месяца назад +1

    Ndacha MUNGU Akubariki sana

  • @fumugora7596
    @fumugora7596 8 месяцев назад +2

    Alhamdullilah najivunia kuuwa Muislamu ni neema kubwa ambyo Allah amewakosesha wegne

    • @hirammbugua7593
      @hirammbugua7593 8 месяцев назад +1

      Allah amewakosesha....nani mbaya

    • @JosephMauki
      @JosephMauki 8 месяцев назад

      Allah sio mungu

    • @jackienico3833
      @jackienico3833 8 месяцев назад

      Na wewe kelele

    • @esthersawiga9979
      @esthersawiga9979 8 месяцев назад

      ​@@hirammbugua7593😅😅Allah amemkoseasha nani? Kwahiyo unataka kuniambia huyo huyo Allah aliyekupa wewe ndo kakosesha wengine ..... hebu tusiongee upuuzi kumuhusu Mungu jamani ......

    • @DINIYAWAMASIHI.
      @DINIYAWAMASIHI. 7 месяцев назад

      duh kwahiyo alla anaupendeleo?

  • @Fedrick-jb8xb
    @Fedrick-jb8xb 3 месяца назад +1

    Mwalimu ndacha mungo akubariki

  • @janepherjackson9693
    @janepherjackson9693 8 месяцев назад +4

    Pastor nimekupa kidole,bwana yesu asifiwe

  • @ChaburumaMkude
    @ChaburumaMkude Месяц назад +1

    Uwislamu nimzigo wamavi tu

  • @adorchmassimba4413
    @adorchmassimba4413 8 месяцев назад +2

    Kubishana na watu kama hawa nisawa na kubishana na Shetani anaepingana na Mungu siku zote

  • @albertkatuga2434
    @albertkatuga2434 8 месяцев назад +2

    Mlicho haribu ni kutuwekea mziki kwenye haya mawaidha, 😢😢😢 hatusikii vizuri tunasikia maneno na makelele

  • @Fedrick-jb8xb
    @Fedrick-jb8xb 3 месяца назад +1

    Mwalim ndacha ubarikiwe

  • @LuisFaustinoLuis
    @LuisFaustinoLuis Месяц назад +1

    Waslam ni majini

  • @harrisonodiwa7248
    @harrisonodiwa7248 8 месяцев назад +1

    Hakuna swali wa waislamu mwalimu Ndacha anawezashindwa kujibu swali nyepesi sana. Jameni bibilia ina vitabu 66 sasa utaulizaje swali kwenye vitabu hatuvitambui kama andiko rasmi ilhali Ndacha anawasomea quaran.

    • @twahahamisi9924
      @twahahamisi9924 8 месяцев назад

      Acha uongo

    • @hirammbugua7593
      @hirammbugua7593 8 месяцев назад

      Ata Mimi nashindwa, eti pastor mkorofi, ni wao wakorofi ama ni huyo pastor Tena anajiita mkorofi???😂😂😂😂

    • @RIO-jf9mo
      @RIO-jf9mo 8 месяцев назад

      @@hirammbugua7593 😩🤣🤣 labda alikua modi ..huyo pastor mkorofi..🤣

  • @godfreydavid6847
    @godfreydavid6847 8 месяцев назад +4

    Kuruani zipo tofauti wewe!!

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m 8 месяцев назад +3

    Waislam hamna Mungu ndo maana mnatafuta tafuta hamna uhakika

  • @WestonMbuba-ff4jk
    @WestonMbuba-ff4jk Месяц назад +1

    Unayesema Qur'uan kwa kiarabh ni moja umepitwa sana na wakati. Kuna zaidi ya Qur'uan 26 tafautitafauti za kiarabu.

  • @mwatimampagama1779
    @mwatimampagama1779 8 месяцев назад +4

    Alafu mbona Awana utulivu .

  • @EdwinOchieng-d3s
    @EdwinOchieng-d3s Месяц назад +1

    Umeulizwa tu umesoma aya gani unakuja na pressure sana

  • @kalebphilip3426
    @kalebphilip3426 8 месяцев назад +3

    Wakatoliki na wakristo Ni vtu viwl tofaut

  • @zuenahassan8882
    @zuenahassan8882 День назад

    Pasta ndacha umeulizwa swali ni kipi kitabu cha mungu umejiumauma mi huwezi nishawishi kuingia kwenye ukristo wako n ushabiki tu kama Manchester na arsenal hauna hoja

  • @npiperito19
    @npiperito19 8 месяцев назад

    Ndacha ana jibu, bibilia inamgongano sana😮😮😮

  • @AbubakarKi
    @AbubakarKi Месяц назад +1

    Wewe na ndacha hamuna elimu toa andiko sahihi

  • @user-fu3cg3gv9g
    @user-fu3cg3gv9g 2 месяца назад +1

    Ndacha kwani kanisa lako liko wapi nije kuanzia leo mi msabato tena wa zaman sio hawa wapya

  • @user-to8on2pj9x
    @user-to8on2pj9x 7 месяцев назад +1

    Ndacha unafichua ukweli w kuruan wakina mwaipopo tanzania waliwonea wachungaji ilala mwaipopo akikutana na wew kwa hizo hoja zako lazima akimbie

  • @mchungajiZachariatv
    @mchungajiZachariatv Месяц назад +1

    ruclips.net/video/X83K3nWdbZ8/видео.htmlsi=NcgncX5kMID9_vhy
    Kanisa limewaka moto
    Mpendwa fuatilia kisa hiki

  • @msemakweli243
    @msemakweli243 7 месяцев назад +1

    Kwanza hakuna kitabu cha mungu usituongopee

  • @ibrahimfarha3853
    @ibrahimfarha3853 8 месяцев назад +1

    Allahu Akbar najivuniya kuwa n'a neemah ya uislam

  • @myself4128
    @myself4128 8 месяцев назад +2

    Shetani anawachezea waislamu!
    wanakwambia hawaamini Biblia halafu kutwa kucha wanaisoma😂😂 na Hapo ndio wanazidi Kuvurugwa sababu wanakula faida...siku ya hukumu watajikuta wana ushahidi kama wote

  • @Abdul-oc1ul
    @Abdul-oc1ul Месяц назад +1

    Sio yesu ni nabii issa kwn nyny wkristo mungu wenu anaitwa nani? Na huyu yesu ni yupi?

  • @user-vo3ni9so7e
    @user-vo3ni9so7e 8 месяцев назад +1

    The truth is the 2 books used the 2 different calendars. One uses Julien calendar that's 25 and the other is Gregorian calender that is eastern calender .

  • @nestarnestar4520
    @nestarnestar4520 7 месяцев назад +1

    Mm niwe muislam mm huyuuu, hata mganga aniroge ninavyouchukia muislam hta dawa za mganga zitaniogopa, hta majini wanishawishi siwezi kua muislam aixeee uislam ni ⚔️⚔️⚔️⚔️⚔️⚔️

  • @Linkythebox
    @Linkythebox 8 месяцев назад +1

    Huyo muhuni tu

  • @user-cp6my5qq3u
    @user-cp6my5qq3u 8 месяцев назад +1

    Mauwa ni ya kwako ndacha unatisha.

  • @abuuhassani497
    @abuuhassani497 8 месяцев назад +1

    Ukristo nikupoteza mudatu

  • @nourlaboratory
    @nourlaboratory 8 месяцев назад +2

    Uislam ndo ulivyo yaani bila maswali ya uongo huwez jibu

  • @user-pl8pn7qb9e
    @user-pl8pn7qb9e 8 месяцев назад +1

    ndacha hoi kujibu swali ameshindwa kati ya 15 na 25 ipi sahihi

    • @hirammbugua7593
      @hirammbugua7593 8 месяцев назад

      Sasa nyinyi mnasoma vitabu zenye wakristo hawaamini eti ni hoja ,mpaka pastor mkorofi?? Wee unaona ni pastor alijiita hivo??????mmetunga kītabu mnaandika yesu alirogwa saabu tunasoma Quran mhmd alirogwa eti ni tit for tat,jinga za mwisho,soma vitabu tunavyokumbaliana navyo,, aaaiiii 😢😢😢😢

    • @victorgasper7563
      @victorgasper7563 8 месяцев назад

      ww umelewa nn mbona ueleweki

    • @user-qh9ei6qi8b
      @user-qh9ei6qi8b 8 месяцев назад

      Ndacha kajibu swali kitambo,nyie mbona kuna quran zilichomwa na hiyo yenye mwatumia pia haieleweki,quran 2:2 kuna utashi kwaio quran pia ni chenga tu😂😂😂😂😂😂

  • @salummbuleti6047
    @salummbuleti6047 8 месяцев назад

    Ndacha Huwa Hana hojo, kitabu anacho kikataa ndicho baadae anakitumia kujenga hoja zake

    • @LovelyComputerChip-cj4wz
      @LovelyComputerChip-cj4wz 8 месяцев назад

      Sasa Kitabu cha mungu kinasura ya majini mungu ana uhusiano gani na majini na shetani🤣🤣

    • @hirammbugua7593
      @hirammbugua7593 8 месяцев назад

      Eeeh wakati sulle anasoma pastor mkorofi unaiona hoja ya msingi saana Hadi unachapa takbir😂😂😂😂

    • @hirammbugua7593
      @hirammbugua7593 8 месяцев назад

      ​@@LovelyComputerChip-cj4wzwee unasema hivo na wanafuga majini,enda mombasa uone, hata Mimi hushangaa Tena shetwani alisilimishwa na mhmd na wanajivunia hiyo😂😂😂😂

    • @user-qh9ei6qi8b
      @user-qh9ei6qi8b 8 месяцев назад

      Mbona quran yenyewe chenga😂😂😂😂😂😂

  • @peteremanuel8022
    @peteremanuel8022 8 месяцев назад +1

    Hiyo ni dalili ya kushindwa waislam mnapokuwa mnapiga kelele

  • @BarazilLwezaula
    @BarazilLwezaula 8 месяцев назад +1

    Siku zote waisalim ni wavurugaji ona wanavwo piga kelele

  • @gabrielkabato9909
    @gabrielkabato9909 8 месяцев назад +2

    Sasa mbona jamaa anauliza kama ugomvi, hii ndio shida ya waislam wao ni vurugu tu

  • @clewis520
    @clewis520 Месяц назад +1


    Waizilamu waliandika Quran kutoka kwa biblia.

  • @suleymanmrutu9498
    @suleymanmrutu9498 8 месяцев назад +1

    Tatizo watunzi wa biblia ni wengi sana

  • @ngugimundia6306
    @ngugimundia6306 8 месяцев назад +2

    Biblia takatifu haina kitabu kama makabayo...waka tobit...haya ni makala ya wakatoliki...si biblia.

  • @profs.a5412
    @profs.a5412 7 месяцев назад +1

    😂😂😂 utasikia Quran ni mojaaaaa

  • @maxgerad5083
    @maxgerad5083 8 месяцев назад

    Hakuna haka ya malumbano hebu ubilini Mungu mmoja swala huyu dini furani na anatumia kitabu furani sizani kama lina maana sana, mmtoka kwenye kutoa mafundisho yenye tija katika jamii mmbaki kutuchanganya na mmekuwa kama wana siasa kila mtu anavutia kwake mwisho tutawaona woote wababaishaji

    • @salummbuleti6047
      @salummbuleti6047 8 месяцев назад

      Ndugu haya Yana msingi sana ,haiwezekani mmoja aende mashariki mwengine magharibi alafu useme wanaenda sehemu moja.

    • @hassanjuma2772
      @hassanjuma2772 8 месяцев назад

      Kuna maelezo yanayotubabaisha halafu hawafundishi ipasavyo ila ni mabishano tu,kwa mfano waislamu wanasema nabii issa as ndio yesu lkn wakiristo wanakataa issa na yesu ni tofauti,waislamu wanasema nabii issa amezaliwa na Mariam,wakiristo wanasema,mariamu wa kwenye biblia sie wa kwenye koran na wakitaka kuweka hoja wanatoa kwenye suratul Mariam,jee hapa tuelewe vp sisi tunaotaka kujifunza?

    • @hirammbugua7593
      @hirammbugua7593 8 месяцев назад

      Toka Kwa hii page uhubiri kikwako boss

  • @Linkythebox
    @Linkythebox 8 месяцев назад +1

    Huyo kijana ndacha hajui kujibu hujajibu hilo swali mbona unazungusha tu

    • @hirammbugua7593
      @hirammbugua7593 8 месяцев назад +1

      Hawezi jibu utakavyo anajibu kulingana na hoja.

    • @RIO-jf9mo
      @RIO-jf9mo 8 месяцев назад +1

      Hasa si anajibu kutumia vitabu. 🤣🤣 ama wamngoja profesa na dokta ..wa kuuza samaki hapo buza...waje waongee..ndo utoe pamba maskioni..😩🤣

    • @esthersawiga9979
      @esthersawiga9979 8 месяцев назад

      😅😅Mlipoulizwa kwamba kama ulevi ulikuwa sio harama kabla ya uisilamu kama Quran ilivyoandikwa na mkasema adamu alikuwa muisilamu ..... mmeulizwa kuwa kabla ya Adamu hao walevi kabla yake walikuwa wakinanani ...... hamjajibu mpaka leo/ Mpaka mnakufa Mnajichekesha tu😂😂

  • @user-mc2xd4eu2p
    @user-mc2xd4eu2p 8 месяцев назад +1

    Ndacha is just a liar quran ni moja wewe unasoma tasfiri tu anawalisha tango pori wasiojua biblia zipo nyingi hakuna nabii aliepewa biblia biblia mara 78 mara 66 mara 72 ndio nini sasa

  • @davidkamando9630
    @davidkamando9630 8 месяцев назад +1

    Ila hao ndugu zetu hao wavaa kobasi maarifa madogo kabisa... Mwalimu ndacha anajibu... Wao takbiiiiriii!! 😅😂 Sasa sijui takbiri ya nini sijui....

    • @callennyabonyi5580
      @callennyabonyi5580 8 месяцев назад +1

      Hao waislamu ni ushabiki tu😊

    • @esthersawiga9979
      @esthersawiga9979 8 месяцев назад +2

      Ndo kawaida yao makelele .... hata ukiwakuta kwenye mashuhuri hadi wanaume wanakata mauno ndani ya kanzu na kucheza taarabu vidole juu ..... tuwazoee tu kiukweli wengi wao hawajaumbiwa utulivu

  • @deepestmathematics1888
    @deepestmathematics1888 8 месяцев назад +1

    Huwa nina sema siku zote. Usione watu wamekunyamazia ukazani uko salama ni vile tu hawatak kuangaika na wew. Quran yenyewe inajichanganya hiyo moja hahahaha haha Quran 2:2 zote ziko tofauti

  • @twahahamisi9924
    @twahahamisi9924 8 месяцев назад +1

    Ukiona mhubiri anaikataa biblia ujuemada hawezi itabidi midahalo mingine muwe mnachagua vitabu kabisa tuwe tunajua madahii hamtumii agano jipya au lakale

    • @deepestmathematics1888
      @deepestmathematics1888 8 месяцев назад

      Hapana wakistro wote ukiwatoa romani katoriki wanatumia yenye vitabu 66 tu hiyo ya makabayo siyo ya wakristo bali ni wakatoriki

    • @hirammbugua7593
      @hirammbugua7593 8 месяцев назад

      Sasa wewe pastor mkorofi ni biblia??? Acheni upastor mkorofi alafu mnatusomea makabayo aiseee hizo hutuzijui, tafuteni hoja Kwa 66 books bible buana😂😂😂

  • @albertkatuga2434
    @albertkatuga2434 8 месяцев назад +1

    Uzuri tuliambiwa wao wana dini yao na sisi tuna dini yetu, ivyo uislam ume yatangulia yoteeeeee, watu hata hawajielewi yani dini moja ila vitabu kibao

    • @hassanjuma2772
      @hassanjuma2772 8 месяцев назад

      Samahani naomba nikuulize,mbona jina lako limekuja la kikiristo au jina ni alama tu

    • @nestarnestar4520
      @nestarnestar4520 8 месяцев назад

      Huna akili Kwan waislam wao wanavitabu vingap? Au unaandika tu hata hujui unachoandika

    • @esthersawiga9979
      @esthersawiga9979 8 месяцев назад

      😂😂😂 UISILAM UMEYATANGULIA MADINI YOTE WAKATITI QURAN IMEANDIKA HAPO MWANZO POMBE/ HAUKUWA HARAMU ALAFU MKASEMA ADAMU ALIKUWA MUISILAMU SASA KABLA YA ADAMU ALIYEKUWA MUISILAMU NA MLEVI ALIKUWA NANI ? WEWE AU?😂😂😂😂

  • @MohamedAhmed-yi1yf
    @MohamedAhmed-yi1yf 8 месяцев назад

    Ndacha atakwepa ukweli mpaka?

    • @esthersawiga9979
      @esthersawiga9979 8 месяцев назад

      Mpaka Mungu atakapompa taji ya kutetea imani yake❤❤❤

    • @user-qh9ei6qi8b
      @user-qh9ei6qi8b 8 месяцев назад

      Na wewe jibu mbona quran yenu pia kumbe chenga😂😂😂😂😂😂

  • @user-ou5pp9yw4k
    @user-ou5pp9yw4k 8 месяцев назад +1

    Ukiwa na uhakka na unachokiamin lazma ufurah nyie

  • @Ramjaane-g7t
    @Ramjaane-g7t 8 месяцев назад

    Ndacha Hana Uwezo Mtoto Mdogo Anajibu Pumba Tu

    • @richardnganya2311
      @richardnganya2311 8 месяцев назад

      Mwenye mchele ni yupi ? Ipo tofauti ya mwezi wa 12 na mwezi uitwao Desemba.

  • @ibnayub2374
    @ibnayub2374 8 месяцев назад +2

    Ndacha Ana akili sana kuruka maswali, Ila kajibu kwa usahihi zipo bibilia katika ukristo hazitambiliki
    Qur'an Iko moja tu haina tofauti.

    • @LovelyComputerChip-cj4wz
      @LovelyComputerChip-cj4wz 8 месяцев назад

      Majini pia Wana akili Sana siku ya hukumu mtakuwa nao motoni Imani moja

    • @ibnayub2374
      @ibnayub2374 8 месяцев назад

      @@LovelyComputerChip-cj4wz kama moto umeumbwa ajili ya wanao muabudu Mungu wa kweli basi hakuna atakaye ingia katika bustani za milele, sabab wachungaji wa wakristu wanakubali kuwa bibilia zipo ambazo hazitambuliki halaf zote ni za wakristu wakiamin ni za Mungu huoni kuwa hii sio dini ya kweli?
      Majini n VIUMBE kama wew na mm wanaabudu kama sisi Wana damu ispokua wapo walio muasi Mungu kama wew unaye jion uko kwenye dini ya kweli.
      Unapo fatilia mambo ya midahalo wacha ushabiki mbembeni kisha elewa nini kinajadiliwa halaf jitahid kuelewa hoja.

    • @igurusitv6553
      @igurusitv6553 8 месяцев назад

      ​@@ibnayub2374mkuu Biblia ni moja tu, yenye vitabu 66, hivyo vitabu vyote alivyosoma muuliza swali ni vitabu vya maelezo tu, na ndio maana bado vinakopi kwenye Biblia takatifu. Wanachokifanya hao waalimu ni kupotosha tu ili washangiliwe, lakini kama kila mtu angesema ukweli tungepata dini nzuri ya kuifuata

    • @hirammbugua7593
      @hirammbugua7593 8 месяцев назад

      Shinda sio Quran mbili shinda ni zenye mlichapa moto.

    • @hirammbugua7593
      @hirammbugua7593 8 месяцев назад

      ​@@ibnayub2374majini ni roho chafu za shetani na ni malaika waliofuata shetani,hakuna jini mzuri acha kutufundisha mapya soma yaliyokuwa kabla ya quran

  • @alexanderhaule7667
    @alexanderhaule7667 8 месяцев назад +2

    Makabayo? Ndo kitabu kipi 😂

    • @hirammbugua7593
      @hirammbugua7593 8 месяцев назад

      Ni waislamu wanajua

    • @abednegokimeu7100
      @abednegokimeu7100 8 месяцев назад

      Maccabees..kwenye bibilia ya katoliki

    • @RIO-jf9mo
      @RIO-jf9mo 8 месяцев назад +1

      Makabayo...😩🤣🤣🤣😒 Duuuh balaa ...mara pastor mkorofi..🤣

    • @esthersawiga9979
      @esthersawiga9979 8 месяцев назад

      Wanatumia vitabu vya kumdhihaki Mungu sijui pastor mkorofi na wanajuwa kabisa kuwa hivyo vitabu sio sahihi ..... hakika wanamkosea sana Mungu tena wanafurahi kwa hilo kifupi hawajamuheshimu Mungu bado .... wanavuka mipaka

  • @TheodomileNdizeye
    @TheodomileNdizeye Месяц назад +1

    Ndacha mungu akuongeze nguvu n'a elimi Pia ugongane na hao waislam

  • @raphaelmuhia8985
    @raphaelmuhia8985 3 месяца назад +1

    Ndacha pongezi🙏