MASWALI NA MAJIBU- NDACHA NAKURU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024

Комментарии • 274

  • @furahinimbise1804
    @furahinimbise1804 4 года назад +12

    Naomba umkaribishe Mazinge kwenye mdahalo, na umbatize aje kwa Yesu

  • @biblianabibliapekee8113
    @biblianabibliapekee8113 4 года назад +8

    Roho yule aliyemuongoza mtume paul sasa yupo kwa paster ndachaaaaaa i love that preach

    • @richardmakweba2292
      @richardmakweba2292 4 года назад

      Huyu pastor mungu amuongezee maisha na hekima maana anamtumia kwa kaz yake

    • @issackabdi7001
      @issackabdi7001 4 года назад

      He is preaching false...

    • @issackabdi7001
      @issackabdi7001 4 года назад

      First christian to preach jesus mother is not marry ....maajabu duniani

    • @issackabdi7001
      @issackabdi7001 4 года назад

      Matayo 24.24

    • @euniceeunice7680
      @euniceeunice7680 4 года назад +2

      @@issackabdi7001 lzm ujue kutofautisha kati ya mwili wa Yesu na roho ya Yesu .....Maria alizaa. Mwili elewa apo lkn Yesu alikuwepo kbl dunia kuumbwa soma yohana 1.....uyo neno alie kua Mungu na akaishi mbinguni na akaja duniani akafanyika mwili na akakaa kwetu .soma ufunuo wa yohana....na Yesu alisemaibrahim ajakuwako yy yuko so soma uelewe maandiko

  • @moseskayan3705
    @moseskayan3705 5 лет назад +12

    Mwalimu kameza bible yote iko kichwani.God bless you mwalimu

    • @maulidkhamis9446
      @maulidkhamis9446 5 лет назад

      Moses Kayan mwambieni akusomeeni Ezekiel 4:9 kama yeye ni mkweli utajua kama ameshakulisha mavi kwamaana ya ule mkate unaokula kule kanisani(mashonde)

    • @charoharry7038
      @charoharry7038 5 лет назад

      @@maulidkhamis9446 uwongo

    • @maulidkhamis9446
      @maulidkhamis9446 5 лет назад

      Charo Harry uongo nini huiamini injili wakati kila neno lenye pumzi ya mungu lafaa kufundisha,aidha waliofaili injili wameongozwa na Roho mtakatifu au sio ,sasa broo ebu soma injili upte kuelewa ,ukristo maana yake ni mpakwa mafuta,au mfalme,hilo ni jina LA kupanga walioitwa na wapagani ,

    • @maulidkhamis9446
      @maulidkhamis9446 5 лет назад

      Moses Kayan soma injili kwa manufaa yako usije kchomwa Mungu hawezi kuomba wala kuabudu,tumieni akili soma ,Ufunuo 1:1 inasema Ufunuo wa Yesu Christ aliopewa na Mungu ....,utajua kua yupo Yesu na Mungu na huo Ufunuo Yesu alipewa na Mungu kwa hio Yesu sio Mungu

    • @1bosscow2
      @1bosscow2 5 лет назад

      @@maulidkhamis9446 this is why it is hard to join Islam. Matusi tu. If you'd teach politely, may be you'd have made some cross over to your isle.

  • @benfordnyabuti1318
    @benfordnyabuti1318 4 года назад +6

    Ndacha waeleze

  • @maxjofrey70
    @maxjofrey70 2 года назад +2

    Mwalimu ndacha umenifanya niwe proud sana nauwa na tumia mafundisho aya kuwaubiliaga wengine Asante sana mwalimu naomba Kama upo na group lamafundisho zaidi naomba unijumuishe katika mafundisho nami naitaji nihifaham Bible zaidi naomba nisaidie mwalimu .

  • @paulothoo
    @paulothoo 5 лет назад +4

    Bro. Ndacha anawasaidia wakristo nawaislamu kuelewa dini kwa njia ya ukweli.Mungu akuzidishie maarifa na nguvu mtumishi.

  • @youngthug604
    @youngthug604 5 лет назад +6

    Napenda maubili yako nazan niwakat wangu wa kuhokoka

  • @sarahwanjala6601
    @sarahwanjala6601 5 лет назад +6

    Hata mimi pia nampenda sana nilikuwa sijui lakini kwa sasa nimejuwa nitafata amuri za Mungu

  • @frankmgendi8985
    @frankmgendi8985 6 лет назад +5

    nampendaa mnoo uyu mwalimu majib akee ikoo stleight of the point kama kuna mwenyee no ake anisaidiee

  • @robenmassawe4125
    @robenmassawe4125 2 года назад +3

    Karibu tanzania

  • @euniceeunice7680
    @euniceeunice7680 4 года назад +1

    Ndacha unaokoa wengi mnoo Mungu wa mbinguni akubariki apa ndo naamini bible maana Yesu alisema watatokea manabii wa uongo watadanganya watu na watatokea manabii wa ukweli kuokoa watu ...sasa we ndo yule wa ukweli Yesu akuweke sana baba wamejitaidi kupinga mpaka police waislam walikuletea lkn bado unasonga mbele tembeza injili baba ili neno lake litimie maana alisema injili itaubiriwa ulimwengu kote baba nakupata apa nikiwa UK....

  • @eliyakyaolang8504
    @eliyakyaolang8504 5 лет назад +7

    asante sana kutupa neno la MUNGU kwakuwajibu wenye mashaka

  • @josephkirimi5453
    @josephkirimi5453 2 года назад

    Nampenda sana mwalimu Ndacha, anajua bibilia sana ila tu yuko kwa ndini wala sio kanisa la Mungu. SDA si kanisa la Mungu bali ni ndini kama singinezo. Hawa ndiyo mafarisayo ambao Kristo alisema juu yao. Wanajua sheria ni ya sabbath na hawaitimishi. Hawa jui ushuunda wa Kristo ni neno lake kutoka Mathayo handi Ufunuo, ndiyo unaona hawatii hata mafundisho ya Paul.

  • @denisngetich1070
    @denisngetich1070 6 месяцев назад

    Asande pastor kwa kazi yako ya kupeana ujumpe wa kweli may God bless you 🙏

  • @isaacnyongesa7586
    @isaacnyongesa7586 Год назад +3

    Ndacha is filled by the spirit of God.......May he reach the whole world.

  • @ngumomessanger5712
    @ngumomessanger5712 4 года назад +1

    Badala ya kuhubiri yesu ni mabishano Kati ya makanisa. Kanisa ni mtu mwenyewe na Kristo ni bwana wa sabatto. Everyday is Sabbath.

    • @ericosoro7617
      @ericosoro7617 3 года назад

      Hiyo ni akili zako toa andiko kila siku ni sabato

    • @daud8785
      @daud8785 3 года назад

      Waislam hawawezi kukuelewa kwa Bwana Yesu asifiwe hazitawatoa huko waliko waujue ukweli.

    • @erastomasaba4154
      @erastomasaba4154 3 года назад

      Toa andiko linalosema kila siku ni sabato

  • @erastusmwanyule1656
    @erastusmwanyule1656 4 года назад +3

    Mungu akubariki sana Ndacha kwa ufunuo ulioko ndani yako,waneno LA Mungu.

  • @amanicarlumehabel7575
    @amanicarlumehabel7575 3 года назад +1

    Hallelujah!!!! This man of God is Elisha of our Time,,,,Peleka injili wote wamjuwe Yesu....God needs men who cannot be bought by silver,,,,Najua waislamu wanang'ang'ana kukununua shikilia Imani Mtumishi

  • @godisgreat1845
    @godisgreat1845 4 года назад +1

    Kristo Mungu halafu mwana wa Mungu naona unajichanganya kujibu maana uongo hakuna kificho Sasa huyu kristo kama yeye ndie Mungu mkuu Nani alimwambia Marian utazaa mwana nae itamwita kristo kwa nini asiwaambie Mariam utanizaa na utaniita kristo

  • @samuelmuiruri4405
    @samuelmuiruri4405 6 лет назад +15

    Tupe neno kabisa ....napenda kukusikiza sana.

    • @maulidkhamis9446
      @maulidkhamis9446 5 лет назад

      Samuel Muiruri soma ufunuo 1:1utajua Yesu sio Mungu

    • @nyatugaokinyi3351
      @nyatugaokinyi3351 5 лет назад

      Mtakufa katika dhambi zenu kama hamwamini yesu ndiye John 8:24

    • @mombasa0076
      @mombasa0076 2 года назад +1

      YESU SIO MUNGU.
      WAKRISTO SOMENI MSIKUBALI KUDANGANYWA HAWA AKINA NDACHA WSNATETEA IMANI YAO KUTOKANA NA KUWA HAWANA ELIMU YA KUTOSHA....... NI WATU WA PROPAGANDA TU

  • @josephkendeiya2010
    @josephkendeiya2010 6 лет назад +34

    Wooow am at a point of attending the right church that is Sabbath and being baptized

    • @BIBLIANURUYADUNIA
      @BIBLIANURUYADUNIA  6 лет назад +4

      Welcome brother at our home SDA .

    • @samuelmussa4809
      @samuelmussa4809 5 лет назад

      joseph Kendeiya you are welcome brother njoo ujifunze biblia taa ya miguu watu wanapotea wanaimba asubuhu hadi jioni nakukaa gizani karibu sana.

    • @abdirazaqgedi1912
      @abdirazaqgedi1912 5 лет назад +2

      Nikupotea unazidi kupotea

    • @edwinkiptum5202
      @edwinkiptum5202 5 лет назад

      Aman bro ua eyes will open to see well

    • @danielfesto9966
      @danielfesto9966 5 лет назад

      joseph Kendeiya welcome on the church of god

  • @mainahuhu9027
    @mainahuhu9027 4 года назад +3

    Mhubiri dacha God bless you.

  • @shafiihssan738
    @shafiihssan738 3 года назад +1

    wonderful pastor,the ndacha kiboko ya uislamu

    • @bakariomari3692
      @bakariomari3692 Год назад

      Atapata tabu sana na waislamu huyo ndacha wenu

    • @bakariomari3692
      @bakariomari3692 Год назад

      Hao wafuasi hata hawaulizi maswali ya maana

  • @gilbertkakokyogilbert1517
    @gilbertkakokyogilbert1517 3 месяца назад

    Sama hani mina uliza chee mkutano ile ya kenya yawa islam wa tanzania vipi, Mimi nimu congomani🇨🇩

  • @erickbyamungu973
    @erickbyamungu973 Год назад

    Ndacha wewe ni mwalimu kbs ❤❤

  • @reaganbaba4vees552
    @reaganbaba4vees552 4 года назад +1

    kama matendo yote aliyoyafanya au maneno yote aliyoyasema Yesu yangaliandikwa katika Bibilia hata ulimwengu haungetoshea, ila haya yameandikwa ili mpate kusadiki.

  • @benardmbaga5193
    @benardmbaga5193 Год назад

    Mengi ya mafundisho yako ni mazuri Lakini kwa habari za sheria Havana
    Sheria imekuja na musa
    Kabla musa Hapana sheria
    Na Ujion wa kristo ni utimilifu wa sheria
    Na hatuko tena Chini ya sharia

  • @edwinchweya3436
    @edwinchweya3436 5 лет назад +3

    Waislam kweli huyu Kaka anawapea dose ya kutosha.Yale machungu wanaropokwa hapa ni dhihirisho tosha,msichali kaka na dada zangu,ukweli kawaida huuma.

    • @user-zh4np7kf5i
      @user-zh4np7kf5i 2 месяца назад

      😅😅kwaio yesu mama yake sio mariamu😊😊

  • @samuelmutava782
    @samuelmutava782 2 года назад

    Hapa nakataa na hili neno la mtumishi ....pia kabisa izi zingine siku ya sabato zinatimiza ...kwa sababu wanafanyaa kazi siku sita na siku ya Saba wanaenda wanaenda kumwabudu mungu...kwa bibilia akuna pahali pameandikwa siku ya kwanza ilikua jumapili ama jumatatu ....akuna mtu ajuae siku ya kwanza ilikua ni gani ....

  • @danielmahela2436
    @danielmahela2436 4 года назад +1

    Upendo ndio sheria yote ukimpenda mungu kwako kila siku Ni sabatho sio mpaka ifike siku hiyo.

  • @chachamwita8350
    @chachamwita8350 6 лет назад +5

    Mwalimu Mungu azidi kukulinda na kuokoa wengi na kujua iliyo kweli

  • @gidombawala3111
    @gidombawala3111 4 года назад +1

    Nashukuru sana kwa mafunuo hayo. Mungu adhidi kubariki na waislamu karibu katika ufunuo 14:12.

  • @furahakonde6259
    @furahakonde6259 4 года назад +1

    Asante iyo injili kweli nakufata sawasawa Niko us

  • @isaiahstadius2383
    @isaiahstadius2383 4 года назад +2

    Safi sana ,pastor naona hapo kuna vitabu nawezaje kuvipata vitabu vyako.

  • @pantaleomchomvu247
    @pantaleomchomvu247 Год назад

    Mungu akubaliki ndacha wape mafunzo hao waislaim wamwamin yesu

  • @godfreymsuyawaukweli4647
    @godfreymsuyawaukweli4647 6 лет назад +7

    nakuelewa sana mwalimu

  • @damsonmywanga4405
    @damsonmywanga4405 5 лет назад +2

    Tangaza tena, Usiogope, sema imeandikwa katika Biblia, injili inaenda popote pale Duniani.

  • @kenidaki8942
    @kenidaki8942 4 года назад +2

    Wonderful.can I have mwalimu wakikristo please

  • @mosesmwasanga4697
    @mosesmwasanga4697 6 лет назад +6

    Aisee!! Safi Sana, Tena Sana!!

  • @josmovertv4813
    @josmovertv4813 Год назад +1

    Hapo ndipo HABARI ndio hiyo👏👏👏👏👏👏

  • @godisgreat1845
    @godisgreat1845 4 года назад +1

    Yessu aluwaambia umsujudie Mungu wako wakristo lini mlimsujudia Mungu

  • @davidwainaina3899
    @davidwainaina3899 2 года назад

    Pastor ndacha Asante sana, God bless you brother and your family, I love you very much Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen 🙏❤️

  • @joshuantongai6418
    @joshuantongai6418 Год назад

    Mwalimu ndancha karibu Meru bana

  • @lisagrace4317
    @lisagrace4317 Год назад +1

    May Almighty Lord bless you for your good teachings of the true gospel

  • @estonmnthali3719
    @estonmnthali3719 5 лет назад +5

    yes i like Bible king James version

  • @pantaleomchomvu247
    @pantaleomchomvu247 Год назад

    Yesu ndiye njia ya ukweli na uzima

  • @wycliffea.okwaro8352
    @wycliffea.okwaro8352 3 года назад +1

    mafundisho mazuri sana

  • @mosesmungai3986
    @mosesmungai3986 5 лет назад +4

    God bless you mtumishi. Tunakuombea zaidi

  • @mombasa0076
    @mombasa0076 2 года назад +1

    Watu kama ndacha walikuwepo tangu enzi za mitume wakipinga UKWELI.
    Si ajabu wakati wa sasa kutokea hayo.
    HATA YESU WALIMPINGA NA KUMTESA. SI AJABU NDACHA NA WENGINE KUSIMAMA KUTETEA HOJA ZISIZO NA MSINGI BALI NI UPOTOSHAJI.
    KILA MTU AMEPEWA AKILI APIME MWENYEWE UKWELI UPO WAPI.
    DINI YA HAKI NI UISLAM

  • @godfreyfrancis8479
    @godfreyfrancis8479 4 года назад +1

    Mungu akubariki mtumishi

  • @BabaAzariYah
    @BabaAzariYah 7 месяцев назад

    I love the knowledge of Dacha ..my only problem with him is following Ellen G the white colonizer's religions..we were in slavery when SDA was made..

  • @maxwellokeyo9831
    @maxwellokeyo9831 4 года назад +4

    Very wonderful. I like this discussion so much may God bless you so much pastor Ndacha

  • @thetruewordt.v6525
    @thetruewordt.v6525 3 года назад +1

    Hapo mwalimu Ndacha kwa sabato umendanganya kabisaa!!

    • @peternduati8877
      @peternduati8877 Год назад

      Anafaa aseme aje nisaidie juu naona kama anasema ukweli?

  • @jonahmburu9738
    @jonahmburu9738 4 года назад +1

    Barikiwa dacha

  • @abcdg1995
    @abcdg1995 3 года назад +3

    Please Teacher Francis Ndasha pray for me to follow your path. .. kindly am lost guys

  • @CharlesOgendo
    @CharlesOgendo Месяц назад

    Je Michael Ni maraika ama Ni yesu

  • @dennispangu3477
    @dennispangu3477 2 года назад

    Mmmmh kristo sio mungu bhana hapa tumepigwa

  • @Jkipsa
    @Jkipsa 3 года назад +1

    This man of God Francis Ndacha is a blessed man.

  • @charlesmerrill771
    @charlesmerrill771 4 года назад +3

    Bwana Ndacha, Hii Video ina mafundisho mazuri sana ila tu haikuweza kumalizika. Kuna uwezekano unaweza ku upload video mzima ili iweze kuwa barak kwetu? Asant

  • @emjey284
    @emjey284 Год назад

    Wewe dacha Sina doubt naww.uko straight sana mungu amekupea ufunuo mkubwa sana

  • @dannyosolo2752
    @dannyosolo2752 4 года назад +1

    Barikiwa sana

  • @timamomuileva107
    @timamomuileva107 11 месяцев назад

    I lov mazingue

  • @janenjenga5639
    @janenjenga5639 5 лет назад +1

    Kwa mungu kuna raha

  • @abcdg1995
    @abcdg1995 3 года назад +2

    Iam a new subscribe here. .This guy has talked so much But I feel like we need to have so much of him. He so humbly and understand what he does in life What a lovely Teacher Francis Ndasha MAY GOD Almighty CONTINUE to cover you under his umbrella You never know who you are inspiring Nothing comes easy in life guys NO success without hardworking No human ix limited Greetings from Santa Monica California American people never learn till they drop dead No gains without pain. .. A candle can not lose it's light by lightening other candles if you are born with a silver spoon it's so easy to judge

  • @wycliffea.okwaro8352
    @wycliffea.okwaro8352 3 года назад

    nduku ako sawa lakini alijanginyikiwa kwa kukosa kujua maneno ya Mungu vizuri

  • @jamilshisia5929
    @jamilshisia5929 4 года назад +3

    Yesu siku atarudi atamutoa mbiyo kwa hizo makanisa zenu zenye hazina mwelekeo, example upande gari alafu uone dere anaendesha gari pia akimwangalia, hiyo gari iyaelekea wapi? Hivo ndio mnafanya

  • @aidarusabubakar5776
    @aidarusabubakar5776 5 лет назад +1

    Mara yesu nabii mara ni mungu aki ww wadanganya watu na unajijua

    • @maulidkhamis9446
      @maulidkhamis9446 5 лет назад +1

      Aidarus Abubakar broo wasomee ufunuo 1-1inasema ufunuo wa Yesu Christ aliopewa na Mungu awasomee aya zake..... sasa kama Yesu Mungu huo ufunuo amepewa na Mungu gani?

    • @maulidkhamis9446
      @maulidkhamis9446 5 лет назад +1

      Aidarus Abubakar broo aidarus wasomee Ezekiel 4-9 waambie waache kulishwa mavi ya wazungu yaani wanakula mavi wanaambiwa mkate kutoka ktk mashonde yatokayo ktk mwili wa mwanadamu .mashonde ni mavi soma maneno magumu ya bibilia ,na hio pia hawaoniiii ,na ndio maana hawa Mara Yesu MTU Mara Mungu Mara mwana Mara kondoo wawe na msimamo

    • @maulidkhamis9446
      @maulidkhamis9446 5 лет назад +1

      Aidarus Abubakar broo bibilia ni uongo kibao ebu kama kuna mkristo anamjua baba yake Mariam mama yake Yesu yaani babu yake Yesu bibilia haijui na makafiri hawajui lakini cc waislamu tunajua kila kitu

    • @aidarusabubakar5776
      @aidarusabubakar5776 5 лет назад

      Nakufahamu Broo..Huyu ndacha mwanzo mrongo mrongo

    • @danielfesto9966
      @danielfesto9966 5 лет назад

      Aidarus Abubakar mnachanganyikiwa nyie msiotaka kuijua kweli maana hamkuitaka ile kweli bali uongo ili mpate kujifurahisha kwa udhalimu sasa kuwa tayari kuutafuta ukweli bila kutanguliza dini yako

  • @godisgreat1845
    @godisgreat1845 4 года назад +1

    Toa ndiko Yessu amejenga kanisa

  • @moseskayan3705
    @moseskayan3705 5 лет назад +7

    Kuna raha kuijua bibilia

    • @maulidkhamis9446
      @maulidkhamis9446 5 лет назад

      Moses Kayan ni kweli ungelijua bibilia usingelikua kafiri Yuda 4-1 soma hio utajua kua kafiri ni nani

    • @moseskayan3705
      @moseskayan3705 5 лет назад +2

      Maulid Khamis sasa were mcristo ama muhislamu? Coz kama were muisilamu kaa mbali nami kaabudu majini huko

    • @maulidkhamis9446
      @maulidkhamis9446 5 лет назад

      Moses Kayan Mimi ni muislamu ila nakusihi soma bibilia uifahamu sio kubishana

    • @maulidkhamis9446
      @maulidkhamis9446 5 лет назад

      ndio nimetumwa kazi asubuhi inatakiwa

    • @lucymwega784
      @lucymwega784 5 лет назад +1

      @@maulidkhamis9446 Yesu ndiye uzima wa milele

  • @davisrotich116
    @davisrotich116 6 лет назад +3

    Amen

  • @mombasa0076
    @mombasa0076 2 года назад +1

    Kwani mtu anaposema EWE BABA MUNGU WANGU NISAMEHE DHAMBI ZANGU. ndio ataitwa mtoto wa mungu ?
    MAMBO MENGINE NI UJINGA TU. MUNGU HANA MTOTO.
    BINAADAMU WOTE WAMEUMBWA NA MUNGU LAKINI SI WATOTO WA MUNGU.
    MUNGU NI MMOJA TU.
    HANA MTOTO
    HAKUZAA
    HAKUZALIWA.
    HANA MFANO WA KITU CHOCHOTE
    Wanao sema mungu ana mtoto adhabu inawasubiri

  • @johnsonoyugi1773
    @johnsonoyugi1773 4 года назад +5

    God bless you brother Ndacha

  • @sabbatariantv8234
    @sabbatariantv8234 4 года назад +1

    Amina

  • @biblianabibliapekee8113
    @biblianabibliapekee8113 4 года назад +1

    AMen pasta ndacho

  • @alexzandaevaristi5842
    @alexzandaevaristi5842 5 лет назад +1

    Wape upon vzr

  • @jumajaffary9698
    @jumajaffary9698 4 года назад +1

    Yohana 2 4 Yesu akamwambia mama, tuna nini mimi nawe? Saa yangu haijawadia.
    .. Yesu kamwita Maryam mama... Ndacha wacha uongo

    • @ramzanqarim4977
      @ramzanqarim4977 4 года назад

      Ndacha anapoteza watu wake kwa tasfiri za kijanja na wanacheka tu.maana amekimbia Ile ya kiswahili akafuata ya kiingereza

    • @kiokomercie4239
      @kiokomercie4239 3 года назад

      Read both English and Swahili version and relate them

    • @daud8785
      @daud8785 3 года назад

      Lazima usome biblia zote , sio unakomaa na bibili moja.

  • @bigmanfish6346
    @bigmanfish6346 10 месяцев назад

    Jiongo kweli

  • @user-ek7ip4tx7i
    @user-ek7ip4tx7i Год назад

    GOD bless you ndacha

  • @samminyori7814
    @samminyori7814 5 лет назад +10

    Wonderful pastor. Where can I get those full teachings online??

  • @chancelinechuchu7333
    @chancelinechuchu7333 5 лет назад +1

    neno ndio uzima wamilele barikiw mcungaji mungu atakulipo

  • @sabbatariantv8234
    @sabbatariantv8234 4 года назад +1

    Ndugu kila siku kunamtu ananisumbua kuhusu wagalatia 4:10 mnashika siku ,miezi na miaka

    • @sabbatariantv8234
      @sabbatariantv8234 4 года назад

      Naomba unisaidie kulifafanua hili fungu maana biblia huwa inajitafsiri yenyewe sasa kunawatu wanaforce itafsiri wanavyo taka

  • @godisgreat1845
    @godisgreat1845 4 года назад +1

    Huyo kijana anakusabanisha ukatae biblia

  • @mfaumemfaume1246
    @mfaumemfaume1246 5 лет назад +1

    Bibilia ziko tofauti duh

    • @priscafuime4031
      @priscafuime4031 5 лет назад

      Mfaume Mfaume utajueje akati upo kwa jabari Na mhamadi

  • @nyatugaokinyi3351
    @nyatugaokinyi3351 5 лет назад +4

    This is the gospel let people choose hell or salvation

  • @amadeuskimey5521
    @amadeuskimey5521 6 лет назад +2

    yani wakristo motoni hamuezi kwenda daah hadi rahaaa

    • @choba7101
      @choba7101 6 лет назад

      Amadeus kimey
      Soma kwanza ndugu

  • @man.uarsenalmanchestercity6563
    @man.uarsenalmanchestercity6563 4 года назад +2

    I never knew mary is not the mother of jesus 🤔

    • @thegospelmessage5039
      @thegospelmessage5039 3 года назад +1

      mary was the mother of jesus in humanity.but divinity has no beginning

  • @sabbatariantv8234
    @sabbatariantv8234 4 года назад +1

    Wakolosai 2:16 ningependa kuongezea yakuwa hilo fungu watu wanalitafsiri vibaya kabisa lakini lilikuwa na maana yakuwa
    Mungu alipola mamlaka ya wanadamu kuhukumu wanadamu wenzao juu ya vyakula, sabato na kadharika kwa sababu kabla yakuja yesu wanadamu kwa wanadamu walikuwa wakihukumiana pale mtu anapo vunja sheria za MUNGU wakati mwanadamu yoyote ni dhaifu ko mamlaka yalichukuliwa na Mungu mwenyewe na yeye ndiye mhukumu na sio mwanadamu tena

  • @emyemy2229
    @emyemy2229 2 года назад

    Ndacha be bless you my pastor

  • @junicnamuwenge6957
    @junicnamuwenge6957 Год назад

    Amina Amina 👏🙌🙌👏👏😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣💃💃💃🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦

  • @markmwau8387
    @markmwau8387 4 года назад +4

    Quoting from "Genesis 3:19">>> death means separation of body and spirit. when Adam sinned he separated from God's presence and providence.

  • @ismailmalimyarow7479
    @ismailmalimyarow7479 6 месяцев назад

    Muna cheka nini huyo ako swa

  • @izoomwenyewe1547
    @izoomwenyewe1547 3 года назад

    Almighty God is so clear in His word. May God bless you Ndasha and your team.

  • @janekariuku8181
    @janekariuku8181 Год назад

    The point is work 4 6 days then itakase siku ya saba .wote wasabatu na wa Sunday hufanya ivyo.hufanya kazi cku sita then kiutakasa siku ya saba .iyo ndo kutimiza maadiko.ingine Ni propagada

  • @mombasa0076
    @mombasa0076 2 года назад

    Wewe ndacha ni msanii na hodari wa propaganda lakini Mungu anakuona kwa jinsi unawadanganya wakristo.
    INGIENI KTK UISLAM MPATE RADHI ZA MUNGU ALIEUMBA KILA KITU

  • @rbagha5280
    @rbagha5280 2 года назад

    Dear viewers. You are my brothers and sisters in the universality of mankind. Wwe have been created by the same God, who in Islam is called Allah and by Jesus as Elaha in the Aramaic language. Look it up if I am lying. There is only ONE GOD. Muslims love Jesus more than lip-service Christians. We keep a beard like Jesus did. He never ate pork, neither do Muslims. He prostrated to God, like Muslims do. Our ladies wear Hijab, a head-cover, like Mother Mary. If by believing that only through Jesus, you will be SAVED, then what about those prophets and good people mentioned in the Bible who came BEFORE Jesus? They will go to hell? Ask yourself: if the Bible was not tampered with, what is the last name those revelations coming through Paul? Of Mathew? John? Luke? Will you be allowed to travel with a passport without your last name to give your name validity? Think without BIAS. We are monotheists. Let not SATAN lead you to hell my dear. I love you for the sake of the ONE GOD. Please seek the correct way to Heaven. Peace! Ray from Canada

  • @samuelomwenga3394
    @samuelomwenga3394 6 лет назад +6

    wonderful

  • @abcdg1995
    @abcdg1995 3 года назад +2

    Praise God Brethrens Greetings Teacher Francis Ndasha keep grinding brother worth it

  • @mombasa0076
    @mombasa0076 2 года назад +1

    HUYU NDACHA NI MTU WA PROPAGANDA NA NI HODARI WA KUKASHIFU NA KUTUKANA.
    🤣ANAWADANGANYA WAKRISTO ILI WAONEKANE KWAMBA WAPO KTK DINI YA KWELI......NI HATARI.
    UISLAM UTAENDELEA KUWA NI DINI YA HAKI KATIKA DUNIA HII. HAYO MENGINE NI MAKELELE TU.
    YESU SI MUNGU.
    YESU SI MUNGU
    YESU SI MUNGU

  • @Maya_arsenal
    @Maya_arsenal 2 года назад

    Injili iendelee

  • @peterdaiman5813
    @peterdaiman5813 2 года назад

    Madhehebu mawili sio kanisa mbili the church of Christ is invisible