wajibiwa maswali yao

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 окт 2024

Комментарии • 102

  • @carolinemwugusi8945
    @carolinemwugusi8945 Год назад +5

    Mwalimu Ndacha Mungu amempa hekima ya maandiko anajibu maswali kama Yesu alivyokuwa anajibu this is so inspiring

  • @samlomnyaki5749
    @samlomnyaki5749 3 года назад +8

    Wee pastor MUNGU akuzidishie NEEMA zaidi na akubariki sana....umefurahisha roho yangu.+.

  • @moseskimani6088
    @moseskimani6088 3 года назад +9

    Mwalimu uko na kazi ngumu

  • @makalajonas
    @makalajonas 10 месяцев назад +1

    Mchungaji Ndacha mungu akubariki sana hao wapo kimwili sana

  • @AllanKarani-t7f
    @AllanKarani-t7f 9 месяцев назад +1

    Great!!! nimesoma leo

  • @mustaphagairo1936
    @mustaphagairo1936 3 года назад +10

    Hyu jamaa hatar, yaan biblia yte ipo kichwani

  • @AmosMbithi-k9m
    @AmosMbithi-k9m 10 месяцев назад +2

    God bless u ndacha

  • @BibliaMwangawaDunia
    @BibliaMwangawaDunia Год назад +1

    Ubarikiwe sanaaaaaaaaa mchungaji

  • @johnlichungu2695
    @johnlichungu2695 3 года назад +4

    Nashukuru Mungu kwa yote Asante sana watumishi hoping that Tanzania meeting will be successful.

  • @saimonjohn1166
    @saimonjohn1166 3 года назад +5

    Mungu azidi kuwabariki

  • @lucykamangu5030
    @lucykamangu5030 3 года назад +3

    Mbarikiwe zaidi mwalimu

  • @lewiskimathi9615
    @lewiskimathi9615 3 года назад +5

    Mungu aendelee kuwajidishia hekima na neema yake

  • @shomariamurihassani1670
    @shomariamurihassani1670 2 года назад +5

    Huyu jamaa ni mkatoliki kabisaaaaa

  • @Earth-Final-Alarms
    @Earth-Final-Alarms Год назад +1

    Mungu akubarik ndacha

  • @nancyabura743
    @nancyabura743 3 года назад +2

    Imenilazimu nirejelee kamusi nione maana ya vua.
    Ubarikiwe sana Mr Ndacha

  • @amanicarlumehabel7575
    @amanicarlumehabel7575 3 года назад +4

    Heheheheeeeeee unacheza Na Ndacha Wewe...... Piga injjili mtumishi mteule

  • @daglassqweed2482
    @daglassqweed2482 Год назад +1

    Mungu akubariki Ndacha

  • @antonymachogu3051
    @antonymachogu3051 3 года назад +2

    Barikiwa saana mtumishi

  • @izoomwenyewe1547
    @izoomwenyewe1547 3 года назад +3

    The grace of our Lord, my Lord and God and saviour is amazingly great.

  • @erickangima970
    @erickangima970 Год назад +1

    Mwalimu Ndacha uko sawa

  • @ArmandMananira
    @ArmandMananira Месяц назад

    Mubarikiwe watumishi

  • @rafaelbern2630
    @rafaelbern2630 3 года назад +3

    Amina sanaaaa Pastor

  • @sdasongswithlyrics3978
    @sdasongswithlyrics3978 3 года назад +5

    Amen amejibiwa na neno lililo hai

  • @stanleymulama7811
    @stanleymulama7811 Год назад +1

    safi mwalimu wangu

  • @dennismajesonlenamunyi7761
    @dennismajesonlenamunyi7761 2 года назад +1

    Always Following you . Francis Ndacha and Paulo

  • @HbStv-el1zf
    @HbStv-el1zf 3 года назад +2

    hallelujah, watu wapashwe habari njema ya wokovu

  • @ThomasMasha-qs2zp
    @ThomasMasha-qs2zp Год назад +1

    Kwani inayoabudu mungu ni roho ama ni siku? John 4:23-24

  • @judithmoturi3402
    @judithmoturi3402 3 года назад +1

    Barikiwa sir mwalimu ndacha

  • @philipkoskei8697
    @philipkoskei8697 Год назад +1

    Ndacha uko kazi ngumu,mungu akuongoze

  • @STEPHENAUNGO
    @STEPHENAUNGO 4 месяца назад

    Anayeuliza swali ana upungufu wa kupuuza maandiko mengine

  • @TonnyKamanga
    @TonnyKamanga 2 месяца назад

    Congrats ndacha

  • @Patrick19909
    @Patrick19909 2 года назад +1

    @mwalimu dacha we want the all video of this

  • @PeterObiri-wj1iz
    @PeterObiri-wj1iz 10 месяцев назад +1

    Kweli Ndacha ni dawanol

  • @JoyceGidion
    @JoyceGidion 20 дней назад

    Mwalimu usife moyo ukonakazi ngumu sana kiukweli unanibadilisha sana

  • @justinmulewa2654
    @justinmulewa2654 Год назад +1

    Habari hizi ziendelee kuhubiriwa pande zote za ulimwengu

  • @justinmulewa2654
    @justinmulewa2654 Год назад +1

    ...na Mungu apewe sifa

  • @samwelilulandala2384
    @samwelilulandala2384 Год назад +1

    Mtumishi mtumishi tuko pamoja

  • @calebleyian2856
    @calebleyian2856 6 месяцев назад

    Mwalimu ndacha naomba ukuje kilgoris siku Moja watu wamepotea uku hawajui neno la kweli

  • @yvonnesarah3534
    @yvonnesarah3534 2 года назад +1

    Sisi wote kama tunge funza watu kama ndacha.aki YESU WETU.huko mbinguni angefurshi saaaaana

  • @lewiskimathi9615
    @lewiskimathi9615 3 года назад +4

    Kwanni waisilam wanapenda kubishana na ukweli?

    • @ustadhfarouq7729
      @ustadhfarouq7729 3 года назад

      Ukweli gani eti kuwa mungu anazaa 🤣🤣🤣 mungu nimuumbaji mungu hazai ww Isaya 64:8

    • @qerysir4410
      @qerysir4410 3 года назад +3

      @@ustadhfarouq7729 Mungu anazaa kwa NENO wala sio kwa Ngono. Mungu anauwezo wa kufanya lolote, ikiwa Allah hana uwezo huo basi ni dhaifu na amepungukiwa!

    • @albassambakili3757
      @albassambakili3757 2 года назад

      Ao wakristo enyewee hawafamiani hhhh

  • @judithmoturi3402
    @judithmoturi3402 3 года назад +1

    😂😂😂hii kazi ni ngumu watu awakubali ukweli 😅😅wanapinga Bible haha 😂 😂😂 God have mercy

  • @alexnshimiyimana5526
    @alexnshimiyimana5526 3 года назад +2

    Amen

  • @chiefmkalikibz1503
    @chiefmkalikibz1503 3 года назад +1

    Hahaaa Baba La WAJINGA.... Leo umepatikana. Yani wakristo wenzako pia wagongana na Wewe kwa ubozo wako

    • @qerysir4410
      @qerysir4410 3 года назад

      Tatizo kila umuonaye barabarani ni mkristo, eti! Mtu yeyote anawezasema ni dini fulani ila Biblia yesema 'utawajua kwa matendo yao'. Hivi wale Al-shabaab ni Waislamu? Kwa matendo yao?!!!! Mbona wewe hujajiunga nao???

    • @charlesmapunda5905
      @charlesmapunda5905 2 года назад

      Huyu anae bisha hana tofauti ya uelewa kama wewe, umemezeshwa na kuburuzwa maneno na kiongozi wako wa Dini toka ukiwa mtoto ndio maana ulipewa muda wa kupevuka na kujitambua na kujua lipi baya na lipi zuri, kama kwako Uislam ndio sahihi! Sasa nikikuuliza kwanini wenye makundi ya mauaji ni waislam haohao? Na wanajitetea Qurani imeruhusu na mnapo Ua lazima mseme Allhakibal na Bismilah na maneno hayohayo unatumia Msikitini. Ndio makundi kama hayo ya Osama bin Ladeen, Alshababu, Boko Haramu, Allzakawi, Libya walomgeuka Gadafi, Saadam Hussein, Magaidi ya Somalia, Wanao jilipua kwa kuvaa Mabomu wote hao ni Waislam, Sasa mbona na wewe aujiungi na hayo Makundi? Umejua kama hawako sahihi ila umeona wapi Makundi ya Wakristo wanajiunga kuua watu? Jitafakari na ubaki na njia ya kweli na uzima

  • @stoispapi2380
    @stoispapi2380 2 года назад +1

    I WISH UNGEKUWA UNATOA ANDIKO MUISLAMU AKIKUULIZA SWALI SIO KUUNGA UNGA VIRAKA HAVINA MWELEKEO.

  • @warningvoiceoflastdays5823
    @warningvoiceoflastdays5823 3 года назад +2

    Mko wapi

  • @chiefmkalikibz1503
    @chiefmkalikibz1503 3 года назад +1

    Wacha urongo Wewe Bonzo... Ati Hakuna and iko Yesu amuita Mariam mama!!!! Yohana 2:1-4😂😂😂

  • @Pixe_lify
    @Pixe_lify 3 года назад +1

    Ati yesu hajawai ita mariamu mama katika bibilia..ai ndacha really WACHA KUDANGANYA WATU...YOHANA 2:1-4

    • @saitotisapiyo9446
      @saitotisapiyo9446 3 года назад +2

      Wapi andiko ina sema mamayangu. Ama toa kwa bibilia ya kizungu. Mimi uwita mwanamke yoyote mama ila si mamayangu

    • @Pixe_lify
      @Pixe_lify 3 года назад

      @@saitotisapiyo9446 ubishi to swali linasema nini

    • @saitotisapiyo9446
      @saitotisapiyo9446 3 года назад

      @@Pixe_lify nkt Mama yangu ama masikiyo huna?😎

    • @john.j.george418
      @john.j.george418 2 года назад

      Ujui kitu unalopokatu ww msahili ungekuwa na hakili unaabudu majin pole ukipata elimu utajuwa unakufa unaenda na majin yako uku 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @priscillamacharia1323
    @priscillamacharia1323 3 года назад +2

    Sauti

    • @mngwaliussi2668
      @mngwaliussi2668 3 года назад +1

      Wewe ndacha pamoja Na hao wapofu wenzako hamukielewi Kiswahili
      Ukisema amebarikiwa katika wanawake maana yake Maria amebarikiwa kuliko mwanamke yeyote duniani wacha.ujinga.wewe.ndacha hujuwi kiswahili

    • @chiefmkalikibz1503
      @chiefmkalikibz1503 3 года назад

      Huyu ampangia siku ili nimfundishe lunga tu lakini nataka nijifanye mbara Kwanza Kisha akione cha moto. Sababu huyu azengua watu wa Bara kwa kuwatafsiria na kueleza Maandiko na maneno ya Kiswahili KI-MCHUZI MIX

    • @qerysir4410
      @qerysir4410 3 года назад

      @@mngwaliussi2668 kwa hiyo mtu akisema 'mimi naishi KULIKO mji huu' itamaanisha 'mimi naishi KATIKA mji huu'???
      Labda iwe kisukuma, msomi wa Kiswahili kweli WEWE!!!!

  • @fredrickmwangangi
    @fredrickmwangangi Месяц назад

    Kila siku ni siku ya kuambudu kama mwalimu yuko sawa hata yeye anapaswa kujua hana Mungu,,,sda wanaamini siku wokofu si siku,,huo mlango ulikuwa wa ekalu jerusalem hata yeye anapotea

  • @IntelligentCreatures
    @IntelligentCreatures 3 года назад +2

    Umesema YESU hajawahi kumuita MARIAM mama yake? Ukitumia njia hiyo kuthihitisha basi pia tumia njia hiyo hiyo kuthihitisha YESU ni Mungu kwa maneno ya Yesu mwenyewe akisema MIMI YESU NI MUNGU la sivyo ni blaa blaa tu.
    Yohana 19:26
    Basi Yesu alipomwona mama yake, na yule mwanafunzi aliyempenda amesimama karibu, alimwambia mama yake, Mama, tazama, mwanao.
    Yohana 2:3
    Hata divai ilipowatindikia, mamaye Yesu akamwambia, Hawana divai.
    Yohana 2:4
    Yesu akamwambia, Mama, tuna nini mimi nawe? Saa yangu haijawadia.
    Yohana 2:5
    Mamaye akawaambia watumishi, Lo lote atakalowaambia, fanyeni.

    • @abednegokimeu7100
      @abednegokimeu7100 Год назад

      KJV John 2:4
      4 Jesus saith unto her, WOMAN, what have I to do with thee? mine hour is not yet come.

    • @abednegokimeu7100
      @abednegokimeu7100 Год назад

      KJV John 19:26
      26 When Jesus therefore saw his mother, and the disciple standing by, whom he loved, he saith unto his mother, WOMAN, behold thy son!

  • @johnmjata2675
    @johnmjata2675 2 года назад +1

    Huyujaa mpumbavu Sana anamaswali yahovyo

  • @kelvinkamau3174
    @kelvinkamau3174 8 месяцев назад

    45 Wewe umebarikiwa kwa kuwa uliamini kwamba Bwana atatimiza yale aliyokuambia.” 46 Mariamu akasema: “Namtukuza Bwana,Luka1:45

  • @evantospear8260
    @evantospear8260 3 года назад +1

    Dacha uko sawa but uko arrogant kimpango

  • @alicemangat3165
    @alicemangat3165 2 года назад +1

    When anyone says unkind things about our Blessed Mother Mary, to me it is clear he is not serving Jesus but other powers. Mary was most favoured with very special blessings which no other woman in this world ever received from Almighty God. God chose her among all women on earth to carry His Son in her precious Woumb! She carried the Word of God. She was put right in the middle of salvation plan. She cared forJesus from infant to adulthood. No other woman has ever received these kinds of blessings. Jesus called her "Woman" to fulfil the prophesy in Genesis. Mary became the New Eve. We do not worship her, she is created like all of us, but she definitely deserve our respect, honour and thankfulness for bearing for all humanity a saviour. I love her because through her I have learned to love and adore her Divine Son more deeply. She is the mother of faith in Jesus and we should follow her example.

    • @BIBLIANURUYADUNIA
      @BIBLIANURUYADUNIA  2 года назад +1

      Wapi Andiiko ndiye muombezo?

    • @BIBLIANURUYADUNIA
      @BIBLIANURUYADUNIA  2 года назад +1

      Wapi Andiko yeye ni muombezi

    • @alicemangat3165
      @alicemangat3165 2 года назад

      @@BIBLIANURUYADUNIA sina haja ya kukupa andiko. Unaijua biblia, na yote nimeyaandika yanafahamika kutokana na maandiko ya biblia tukisoma kwa maakini bila kupuuza.

    • @BIBLIANURUYADUNIA
      @BIBLIANURUYADUNIA  2 года назад +1

      Leta andiko dada plz

    • @josephmwai4535
      @josephmwai4535 Год назад +1

      @@alicemangat3165 confused Catholics, oooooh Catholic

  • @chiefmkalikibz1503
    @chiefmkalikibz1503 3 года назад

    Mungu yuwazaa😂😂😂😂😂😂😂

  • @abdillahmbarak7418
    @abdillahmbarak7418 3 года назад +1

    Ndacha umepatikana sasa kwasababu unapoteza watu sana

    • @moseskimani6088
      @moseskimani6088 3 года назад +1

      We Sugulika na waislamu

    • @charlesmapunda5905
      @charlesmapunda5905 2 года назад

      Nyie mnaopata neema ya kusikia ukweli na bado mnaupinga! basi tambueni hata muda wahukumu ukifika ndio nyie mtakua mnaongozana na kumpokea Mpinga Kristo na Dunia nzima inajua Yesu ndie atakuja Kuuhukumu Ulimwengu ndio maana tunasubiria ujio wa Mpinga Kristo na kila kilichotabiriwa kwenye Biblia kitabu cha zamani kuliko Quran vitu kibao vimesha tokea na vinaendelea kutokea sasa sijui kipi kinawafanya mnakuwa wagumu kuelewa kwa faida ya Roho zenu. Muhamad mwenyewe yupo aridhini nae anasubiria Hukumu na kashasema hajui atafanywa nini siku hiyo ya Hukumu.

  • @vincentasava1529
    @vincentasava1529 2 года назад

    Ukweli ni mchungu

  • @raelmsafiri
    @raelmsafiri 25 дней назад

    Hawa watu ni ubishi tu hawana lolote wanapora tu watu wabatizwe wawe wasabato wajifunze biblia

  • @hemoasna4138
    @hemoasna4138 Год назад

    this guy is asking rhetorical questions....

  • @ireneochieng100
    @ireneochieng100 2 года назад

    Ndacha hapo kwa katika wanawake nimekataana na wewe

  • @abdillahmbarak7418
    @abdillahmbarak7418 3 года назад

    Wakristo wanapambana AllahuAkubaru

    • @qerysir4410
      @qerysir4410 3 года назад +1

      kama vile Shiya na Suni; waislamu wanaopingana. Au ulidhani watu hawajui Waislamu wana madhehebu mbalimbali?!!!

    • @crispuskasanga8487
      @crispuskasanga8487 2 года назад

      Abdullah wasiojua wanapambana kujua hakuna makosa hapa

  • @janekwada6805
    @janekwada6805 3 года назад

    Kama vile nyinyi munatumia history maneno ya watu kwa siku ya saba ni jumamosi, lakini Bible ni siku ya kwanza ya week ambayo ni jumapili, ndiyo siku ya sababu.

    • @qerysir4410
      @qerysir4410 3 года назад

      Wewe umepotoka, jiulize Good Friday ni nini. Hata wakatholiki wanajua Ijumaa ndio siku Yesu alikufa na akazikwa upesi kwa kuwa Sabato ilikua karibu kuingia yaani Jumamosi! Hiyo ni Biblia inasema, vitabu vya historia vinaunga mkono tu! Au wewe unamaandiko yanayothibitisha Yesu hakufa na kuzikwa siku ya Ijumaa?!

    • @saitotisapiyo9446
      @saitotisapiyo9446 3 года назад +1

      Hahaha ati jumamosi ni siku ya kwanza kwa bibilia hahaha hatari sana

    • @janekwada6805
      @janekwada6805 3 года назад +1

      @@saitotisapiyo9446 nani kasema jomamosi soma mandiko siyo history tutaishi kwa neno la Mungu siyo ya wanadamu. Ufunuwo 1 :3

    • @saitotisapiyo9446
      @saitotisapiyo9446 3 года назад +2

      @@janekwada6805 nkt Yesu alifufuka siku ya kwanza ya juma yani jumapili. Wewe una kuja kusema sabato ni siku ya kwanza ya juma yani jumapili 😂😂😂😂duu. History inaendana na bibilia wewe una soma vitabu kweli? Alafu unatoa ufunuo 1:3. Iyo andiko inakusaidia nini wakati ujui siku ya saba ni lini😂😂😂

    • @janekwada6805
      @janekwada6805 3 года назад +1

      @@saitotisapiyo9446 it's like you don't understand what I say. Plz I don't say Sabato is a day no it's meaning it is Luke 23 :56. Plz don't answer what you didn't understand