PASTOR NDACHA ASHINDWA KUELEWANA NA YESU WA TONGAREN || YESU NA WATU WAKE WATUNGA WIMBO WA HUZUNI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • Tafadhali subscribe kwenye channel yetu ya STRAIGHT PATH DAWAH ili uendelee kunufaika kupitia video zetu.

Комментарии • 1,4 тыс.

  • @rutimarlon
    @rutimarlon 6 месяцев назад +16

    Pastor ndacha mungu akupe nguvu maana una kazi kubwa sana

  • @ukashabdi636
    @ukashabdi636 Год назад +21

    Alhamdulilah to proud am Muslim

  • @SafariShangalume
    @SafariShangalume 3 месяца назад +4

    Pasteur ndacha mungu akutiye nguvu maana leo unayo kazi ngumu maana hii ndunia nishinda

  • @yusufmahdi8921
    @yusufmahdi8921 Год назад +20

    Jazaka Allahu Kheyra sheekh Ramathan May Allah bless you Amiin

  • @hurumajobuu9003
    @hurumajobuu9003 Год назад +61

    Mashallah kuwa mwislam Ni Jambo jema nilislimu kwa hiyari yangu nazidi kujifunza elimu ya uislam kwa Amani Sana kabla ya kuslim nilijifunza Kwanza kuptia channel hii straight path tv

  • @noot-oe2mw
    @noot-oe2mw 9 месяцев назад +7

    Mashaallah Alhamdulillah Shekh Ramadhani Allah akupe maisha marefu na afa njema lnshaallah na hakupe pepo ya Filidas inshallah na hakupe kizazi njema na hakusamei makosa yako lnshaallah

  • @ambbabu4122
    @ambbabu4122 Год назад +21

    Ndugu zangu ktk uislam ukweli tukumbatieni dini yetu kama mwenyezi mungu subhana wa taalah ametujalia neema ya uislam tafadhalini tusifanye mchezo na hii dini sababu tunajionea watu wanavyo angamia yani ukisikiza maneno ya marafiki zetu wakristo ukweli n msiba mkubwa sana.
    Alhamdulillah ALLAH SUBHANA WA TAALAH kwa kunijalia kuwa muislam

    • @Yu-jr9uf
      @Yu-jr9uf Год назад +1

      Sahihi mashaallah

    • @khadijanigogo698
      @khadijanigogo698 Год назад

      Mashallah tabarakallah kweli kabisa

    • @benoopa9785
      @benoopa9785 Год назад

      huyo jamaa hajielewi anajiita yesu na hata yesu mwenyewe alikua anajiita mwana wa adamu

    • @zahraabdul9652
      @zahraabdul9652 5 дней назад

      Kweli kabisa Allah subhana wataala awafunguwe 😢

  • @d.abigail.j4127
    @d.abigail.j4127 Год назад +13

    My dear brother in Christ @mr Ndacha i missed you so much because of lost my phone
    Now im si happy to here from you again
    May our savior Almighty God be with you always 🙏🙌🤲

  • @jumanjenga7682
    @jumanjenga7682 Год назад +11

    Masha Allah Ustaz.vizuri kuwajua matepeli WA Bungoma

  • @alzawahirabdallah2299
    @alzawahirabdallah2299 Год назад +45

    Shekh ramadhani mungu azidi kukupa hekima ishallah

    • @StraightPathDawah
      @StraightPathDawah  Год назад +1

      Allahuma ameen 🤲

    • @machoguhameri7757
      @machoguhameri7757 7 месяцев назад

      Yaani Wakristo wa leo wajinga kweli. Ndio maana Kibwetele wa Uganda aliwachoma moto Wakristo wajinga eti wanaenda mbinguni.Mackenzi wa kenya naye aliua Wakristo wajinga wapatao 200 kwa kuwafungisha hadi wakafa. Sasa hivi Ukristo uko katika chekecheo kutenga makapi
      na ngano. Swali la kujiuliza Yesu wa Tongorani kenya na huyu Yesu wa Kilimanjaro wa chanzo halisi aliyepaa mbinguni kutokea Kilimanjaro Tanzania yupi wa kweli (wote waongo) huu ni mhuri wa saba katika ufunuo.Mwisho ukaribu kila mtu akae macho.

  • @papayai882
    @papayai882 Год назад +16

    Namshukulu Allah kwakua nimekua muislamu Sasa tz

  • @jirehgospelministerschanne9308
    @jirehgospelministerschanne9308 Год назад +12

    God bless you Evangelist Ndacha, keep on with Good work, and Shek to for good work , may Allah bless and protect you

  • @noot-oe2mw
    @noot-oe2mw 9 месяцев назад +8

    Sheikh Ramadhani ogera sana unasubira ya hali ya juu Allah akupe kitabu chako kwa mkono wa kulia lnshaallah

  • @Heritier--rwagaza
    @Heritier--rwagaza 8 месяцев назад +4

    (Mathayo 24 )
    ------------
    23Wakati huo mtu akiwaambia, Tazama, Kristo yupo hapa, au yuko kule msisadiki.
    24Kwa maana watatokea makristo wa uongo, na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu; wapate kuwapoteza, kama yamkini, hata walio wateule.
    25Tazama, nimekwisha kuwaonya mbele.

  • @FredrickKamau-sq1hn
    @FredrickKamau-sq1hn Год назад +16

    Ahsante Ramadhan kwa kumpereka Ndacha tongorene

  • @mohamedmithowe3923
    @mohamedmithowe3923 Год назад +17

    Mashallah barakaallah may almighty Allah bless you for spreading dawah

  • @malikdodo5190
    @malikdodo5190 Год назад +8

    Assalam alaikum, shukran for part 2 Ustadh

  • @user-hg2qs4gf8w
    @user-hg2qs4gf8w 8 месяцев назад +40

    Anaeamini kwamba uislamu ni din ya hali agonge like

    • @revocatusmbalazi1697
      @revocatusmbalazi1697 7 месяцев назад +2

      Uisilam ni dini ya majini, waislam wote mtachomwa

    • @kennedymanyonge6170
      @kennedymanyonge6170 6 месяцев назад

      ​@@revocatusmbalazi1697uko na andiko ama unaongea tu?

    • @MACHOYATAI-jk6fu
      @MACHOYATAI-jk6fu 6 месяцев назад +1

      Uislamu ni dini ya mashetani

    • @merygodfrey3709
      @merygodfrey3709 5 месяцев назад

      Mwisho wa dunia tutayaona mengi Mungu apushie mbali.Hayo majadiliano ni kufuru.

    • @HamissAli
      @HamissAli 5 месяцев назад

      Uhakika

  • @alexwanjala8956
    @alexwanjala8956 Год назад +30

    😂😂😂😂😂 I love Kenya where comedy can make you sleep without eat

  • @huseinshedrack6180
    @huseinshedrack6180 Год назад +16

    Ahsant Mungu kwa kunitoa kwenye Giza,amakwel din ya haki ni Uislam, cjutii kuslim aisee

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi1725 Год назад +16

    Subhana Allah ghariba wote ni wa kristo wana soma kitabu kimoja na bado hawa fahamiani. Alhamdulilah Rabbil Aalamiin kwa neema ya Uislam 😂😅

  • @aishahazary4097
    @aishahazary4097 Год назад +94

    Kweli kuna kujifunza na kucheka.Leo nimecheka sana.Mke wa Yesu leo hana raha kabisa kwa kubanwa na maandiko.Alhamdulillah kwa neema ya uislam.

    • @jumahamad9463
      @jumahamad9463 Год назад +7

      ALICHO KISEMA NDACHA SIO UZURI NDACHA NIMUHUBIRI ALITAKIKANA AWE NAHIKIMA YA MAJIBU KAMA WALIVYO MASHEIKH WALIVYO HIKIMA YAKUJIBU

    • @ndikumanainnnocent7796
      @ndikumanainnnocent7796 Год назад +19

      Uwislam nuru allihamdullilah 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw Год назад +5

      ​@@ndikumanainnnocent7796 kabisa

    • @kawtharalbarwani1337
      @kawtharalbarwani1337 Год назад +8

      ​@@ndikumanainnnocent7796ALHAMDULILLAH ❤

    • @sophiajuma6798
      @sophiajuma6798 Год назад +7

      ​@@jumahamad9463 Ndacha akuwa hivyo tena hapa amejaribu sana sjui mbona hawezi kutumia hekma katika mijidala yake yote anakuwa na jazba sana ALLAH amjaalie aamue kusilimu juu ukweli nao anaujuwa.

  • @simonbidio1259
    @simonbidio1259 Год назад +17

    🤣 that's why I love your teaching Ramadan🙏

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi4943 Год назад +24

    Nimempenda Ramadhan na Ndacha kwa maswali mazuri sana ,yesu hajajibu vizuri ni kama maswali huwa hayajibu kwa ufasaha .ni kama anakwepa maswali .ndacha ni mkristo na ameuliza maswali mazuri sana kwa mkristo mwenzie.Ramadhan pia amefafanua sana maswali yake, nimempenda sana.

    • @metrinenyakoe1764
      @metrinenyakoe1764 Год назад +1

      Yenyewe yesu anakwepa maswali

    • @richardnganya2311
      @richardnganya2311 9 месяцев назад

      ​@@metrinenyakoe1764 yesu wa kisasa sana. Maana anazungukwa na mitume na manabii na malaika wapya !!

    • @sandefaraj7696
      @sandefaraj7696 8 месяцев назад

      Shida n kwamba, saa zengine ndacha anapayuka sana😅

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 Год назад +13

    Subhan Allah duniya yasikitisha 😢

  • @SalahAbdullahi-me9bz
    @SalahAbdullahi-me9bz 10 месяцев назад +5

    Alhamdullilah I'm proud of Islam

    • @jacintamuindi
      @jacintamuindi 8 месяцев назад

      Who invited you here?? Each is proud of what he/she believes .

  • @hassadube225
    @hassadube225 Год назад +7

    Kristo mambo yao ni roho roho tu sijui kama wanaona indani ya roho walali hii ni musiba mukubwa alhamdulilah alhamdulilah hii ni musiba

    • @Yu-jr9uf
      @Yu-jr9uf Год назад +2

      Ndio kichaka wanachojifichia wakibanwa hoja

    • @user-ie7yt9db6f
      @user-ie7yt9db6f 5 месяцев назад

      Msiba mkali mno Hadi malaika wako pia tongereni kwa yesu

  • @jasintakendi5939
    @jasintakendi5939 Месяц назад

    Dacha uko na kazi kweli,mungu akutie nguvu

  • @francismuriki7851
    @francismuriki7851 Год назад +10

    Asante Ramathan Kwa kupeleka mwalimu wetu dacha Kwa jesu

  • @bahozisaidiradjab4902
    @bahozisaidiradjab4902 Год назад +2

    Mwenyezi Mungu afunguwe roho za hawa wa ndugu zetu wakristo maana hawataki kuelewa

  • @fatmamsiliwa8485
    @fatmamsiliwa8485 11 месяцев назад +5

    Asalam alaykum warahmatullah kaka Ramadhani, mungu akulipe kila la kheri kwa kazi unayoifanya

  • @pendosamwel1682
    @pendosamwel1682 Год назад +8

    Ndacha, I admire you so much and congratulate you for thebgood work you have been doing. I would like to have your contacts.

  • @huccizohamizo1342
    @huccizohamizo1342 Год назад +16

    Am proud to be a muslim the true religion in the eyes of Allah .....Allah Akbar

    • @rodgersjuma633
      @rodgersjuma633 9 месяцев назад

      Wewe kama ni mwafrica hufai kuwa muislamu, alturmidi 32 Hadidh

    • @marykadenge6286
      @marykadenge6286 8 месяцев назад +1

      😂😂😂wacha nicheke yani nawashangaa nyinyi mnao sema am proud to be a Muslim nani kasema dini ya ki Islam ndio dini ya kweli sisi sote niwamoja tunaabudu mungu mmoja 😂

    • @salimakida95
      @salimakida95 8 месяцев назад

      Nyie simna wa tatu...uislam ndani ya quran inazungumza kuanzia Adam(s.a)mpaka mtume wa mwisho(s.a.w)kila kitu kipo,umeshawahi kusikia muislam anajiita mtume(s.a.w)?umeshawahi kusikia Kuna msikiti wa shekh fulani?muislam umeweka kila kitu wazi km huamini soma quran utaelewa

    • @LovelyComputerChip-cj4wz
      @LovelyComputerChip-cj4wz 8 месяцев назад

      Hata shetani vivyo hivyo😢

    • @rodgersjuma633
      @rodgersjuma633 8 месяцев назад

      @@marykadenge6286 Tafadhali rekebisha lugha Yako! Mungu ya wakristo siye ya waislamu. Allah ameahidi uma ya wahumin / waislamu ndoa ya wanawake 72 mbinguni, Mtume swalaleih wasalam akawahimiza wafwasi wake , zoeni chai hi maana mbinguni , kinywaji ni hiki tangawizi)

  • @dancanomwenga6955
    @dancanomwenga6955 4 месяца назад

    May God continue blessing you for reaching this men the truth

  • @aminashabangonzi4020
    @aminashabangonzi4020 Год назад +29

    Am proud to be Muslim❤ Alhamdulillah

  • @ummabubakar5319
    @ummabubakar5319 Год назад +2

    Allah amtie fahamu,amuongoze INSHALLAH

  • @lodd4024
    @lodd4024 Год назад +25

    The kind of bang that these people smoke in bungoma is on another level

  • @aminajumale6805
    @aminajumale6805 Год назад +2

    Alhamdulillah na Allah ambariki sheikh wetu Ramadan

  • @benin9773
    @benin9773 Год назад +4

    Ndacha mwenyewe ameshangaa ! Allah akuzidishie kila la kheri !umengonganisha wakristo wenyewe ! Wamejiaibisha

  • @chimohassan8499
    @chimohassan8499 11 месяцев назад +1

    MashaAllah shekh ramadhan mungu akuifadi uzidi kuwaelimisha insha Allah 🙏🙏

  • @farajiawadhi8558
    @farajiawadhi8558 Год назад +2

    Maashallah shekh ramadhani

  • @zuenajuma-si7wp
    @zuenajuma-si7wp 8 месяцев назад +1

    Mashaallh sheh wangu kuwafahamisha hao wakrst

  • @aminaaaminatah5737
    @aminaaaminatah5737 Год назад +5

    Mungu awasaidie ndugu zetu wakristo haya yote yanaletwa kwa kuamin miujiza yan wakisikia kuna nabii anafanya miujiza basi watu watajazana hapo na ndo mana kila mkristo akitaka kanisa lake lijae basi anakuja na maajabu yake 😢😢😢😢😢😢😢😢

    • @sylviaecke1772
      @sylviaecke1772 Год назад +1

      😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @khadijanigogo698
      @khadijanigogo698 Год назад +1

      Kabisaaa😂😂😂😂😂😂

    • @maisarah6819
      @maisarah6819 8 месяцев назад +1

      Miujiza ya Mackenzie alifaulu kuuwa watu shakahola,huyu nae pia mda sii mrefu.

    • @aminaaaminatah5737
      @aminaaaminatah5737 8 месяцев назад

      @@maisarah6819 mmmm watu wajifunze kumuamin mwenyezi mungu mmoja na c wanadamu wenzetu nawahurumia sana mana tena wakristo ndo wengi sana dunian hata ukaongea hakuna atakae kusikiliza ila watambue hiyo biblia yangu inasema njia ya mbingun n nyembamba na ya moton n pana na ya mbingun wataingia wachache sana wenye kudharauliwa hapa dunian

  • @rajabdanga8590
    @rajabdanga8590 8 месяцев назад

    Mashallah shekh ramadhan Mungu akuwekeweke maan wewe ni wafaida

  • @MalakMalak-nb9xp
    @MalakMalak-nb9xp Год назад +3

    Allhamdulillah to be a muslim❤

  • @user-zr4vi5ur9r
    @user-zr4vi5ur9r 11 дней назад

    Yesu kristo alisema atakuja kwa ajili ya watu wote duniani ama anakuja kenya jameni ,neema bado ipo ww tongoreni mhofu mungu

  • @halimamohamed4842
    @halimamohamed4842 Год назад +5

    Asalam Aleikum warahmatullahi wabarakatuhu maa shaa Allah shukrn san shekh wetu Allah akulipe khri❤❤

  • @umahmed8273
    @umahmed8273 Год назад

    Ahsantee shekh Ramadhan wao wanashindana hawaelewani. Ila maneno yako wa nashindwa kujibu. Unapata yesu aongee bila ya kufungua bibilia k ulivo sema

    • @toi-memetusais
      @toi-memetusais Год назад

      Sasa waalimu, muulize kwanza uyu anaejiita yesu-kristo... Biblia ime sema iti ; yesu atakapo Rudi kila jicho litamuona , sasa mbona Sisi apa kongo Atukumuona wakati alipo kuja?

  • @dogandmachete
    @dogandmachete Год назад +4

    Pongezi Ramadhani..zidi tutuzidishia Imani inshallah

  • @user-xp8fo5bl9m
    @user-xp8fo5bl9m 6 месяцев назад +1

    Alihamdulilah kwakuwa muislamu

  • @FrereImran
    @FrereImran Год назад +20

    Assalam aleykum. Huyu Yesu wa Tongaren ni jamaa mmoja mkora sana.hao wafuasi wake wote wanamuogopa. hata kwa nyuso zao unawaona kuwa ni mateka tu.inasikitisha sana kuona hawa watu wako ndani ya mtego wa huyu jamaa.these people need to be rescued from the situation they're currently in...these people are manipulated and controlled by this thug, presumably through fear.whenever hao wafuasi wanajibu swali, lazime 'Yesu' aingilie kati ili apige msasa jibu.anakontroli majibu yote.angalia huyo 'malaika Yakobo', hata hana raha, ni kama analazimishwa. hii ni hatari sana.usichoke bro Ramadhan, kumfuatilia huyu mkora...at least hao wafuasi wake kuna wengine nyoyo zao pole pole zinaanza kuingia shaka.jazakallhu khair

    • @lacroquetalacroqueta6813
      @lacroquetalacroqueta6813 Год назад +3

      Huyu Tapeli conArtist, Sijaabu pia anawalala hawa wakina mama😢

    • @sylviaecke1772
      @sylviaecke1772 Год назад

      Wote

    • @mikella-oi5zc
      @mikella-oi5zc Год назад +2

      Kwani ninani hamewabia eti wakubali kundanganywa n mvuta bangi kwani hawasomangi bibilia ama

    • @huccizohamizo1342
      @huccizohamizo1342 Год назад +1

      jazaka-Allah-kher.....Sheik Ramadhan....Mungu akulipe jaza Yako InshAllah

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 8 месяцев назад

      Wacha bwana

  • @user-is6ry5uh3n
    @user-is6ry5uh3n 6 месяцев назад

    Pasteur ndacha mungu akubariki kuja congo kwetu

  • @nevilokuthe398
    @nevilokuthe398 Год назад +8

    May the Lord have mercy upon us.

    • @mwalimukalelijefwa2227
      @mwalimukalelijefwa2227 Год назад

      Mbona huwezi ona muchristo Ana hoji hii maswali waislamu? Tuacheni banana!

    • @nevilokuthe398
      @nevilokuthe398 Год назад

      @@mwalimukalelijefwa2227 Mungu atunee huruma sana. mchezo umekuwa mwingi. Mungu sio wakufanyiwa utani ndugu. hili ni hatari.

  • @user-ci3cv1ut2v
    @user-ci3cv1ut2v 5 месяцев назад

    Mashaallahh shkh wangu allah akupe hkma yadunia napepo ya akhera

  • @mesiabajaka4635
    @mesiabajaka4635 Год назад +8

    Yaarabiii😂😂,Shkh Ramadhan,sina mbavu leo apo pamechimbika nguo kuchanika 😅😅,watu wote wenye kutazama,wanajua uislam ndio haki,alafu uyo dadaangu apo nyuma 😂😂😂 atamuaribia yesu ,ana hasira kma nyuki😅,we ndacha tokaapo,kwana umechanganyikiwa,hapo nimaji makuu,achia waachie Ramadhan,ndio kiboko,ALLAAHU AKBAR

    • @LovelyComputerChip-cj4wz
      @LovelyComputerChip-cj4wz 8 месяцев назад

      Hapo ni habari ya yesu si ISSA,huyo anadai kuwa yesu wa bibilia sio issa

    • @SalmanMughal-lq5lt
      @SalmanMughal-lq5lt 2 месяца назад

      ​@@LovelyComputerChip-cj4wzkweliYesu.wabibliaWapoWenge..nakusurubiwaWamesurubiwakaribuYesuWatatu.kilammojaAnasaa.namdawake.naMavazi.tofauti.Nabii.lSSA.atabaki.nabii.kwawanaWaIzrael

  • @user-dz2si2we9x
    @user-dz2si2we9x 5 месяцев назад +2

    😅😅 thanks for good funny..!

  • @ballpoint0340
    @ballpoint0340 Год назад +5

    SUBHANALLAH 😭😭😭

  • @user-it7ih1it3m
    @user-it7ih1it3m 3 месяца назад

    Mungu ni mmoja mwenye nafsi tatu,,,, yaani baba ,roho na mwana,,
    Mtoto wa nyoka ni nyoka
    Mm pia ni mtoto wa mungu

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 Год назад +27

    😂😂😂amakweli Kiama kimekaribia 😢😢. Ndugu zangu Waislamu tuswalini swala tano farazi kama tulivyo amrishwa na Mwenyezi Mungu na swala za Sunna na kutoa sadaka kwa wingi. Tujitahidini kujiweka mbali na mambo ya Kidunia. Tumuombeni Allah atukutanishe Waislamu wote Jannah ( Paradise ) In shaa Allah.

  • @hassanmpemba5747
    @hassanmpemba5747 Год назад +1

    Asalam alaikum sheikh Ramadan kwa kweli mnatufurahisha Allah awaongoze waujuwe ukweli

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 Год назад +9

    KasukuNdacha Yesu wa Biblia ndio huyo unae live leo 😅😅. Yesu wa Quran Issa Bin Maryam alie zaliwa kwa miujiza ya neno la Mungu na akawa Mtume kwa Wana Waisrael sio huyo hapo. Issa Bin Maryam bado hajarudi.😅😅😅😅.

  • @kutokakutoka8730
    @kutokakutoka8730 Год назад +2

    Yaarab Allah wape imani hawa wakristo waingie kwenye dini yenye imani ya Islamic mapasita wanapoteza waumini wallah ina lilah wa ina lilah rajuuni

  • @aishaarusha894
    @aishaarusha894 Год назад +7

    Inalilah wainailah rajiun muswiba huu kwa yesu wa tongareni😢

  • @mutiembingi-le6kz
    @mutiembingi-le6kz Год назад +1

    Ndacha ubarikiwe sana

    • @miroyojackline9134
      @miroyojackline9134 Год назад

      Nakupenda sana kwa mafundisho yako kweli mungu azidi kumpa nguvu 🙏

  • @Osmanmkomwa91
    @Osmanmkomwa91 Год назад +6

    Hatari napenda sanna daawa

  • @user-ie7yt9db6f
    @user-ie7yt9db6f 5 месяцев назад +1

    Yesu wa tongereni unachi kiongea unajielewa kweli wakati wako huu wa jutubu dhambi zako na uache kuongea uongo hakuna yesu mweusi ww manabii wote ni waarabu utadanganya hao wapotivu wenzio na ipo siku utaongoka ili ukaokoke na moto wa jahannam am proud to be amuslim Allah❤❤❤❤

  • @halimaa9367
    @halimaa9367 Год назад +4

    yesu sio mweusi jaman sio mswahili nomwarabu na mweupè nabii issa

    • @phineasmutethia1349
      @phineasmutethia1349 Год назад +1

      Yesu ni mwarabu😢😢

    • @jumamnemo8383
      @jumamnemo8383 Год назад +2

      Yeah ni mweusi Kama wayahudi wengine wa asili na sio wayahudi hawo waliopo Sasa israil

    • @richardboaz-mashagospel2346
      @richardboaz-mashagospel2346 5 месяцев назад

      Mtumwa wa waarabu wewe. Huyo jamaa sio yesu lakini na wewe umeliwa... 😂😂

  • @Hassanwario1
    @Hassanwario1 Месяц назад

    Subha Allah

  • @malikdodo5190
    @malikdodo5190 Год назад +3

    I have been waiting for part 2

  • @maisaramanangaabedi7175
    @maisaramanangaabedi7175 5 месяцев назад

    Mwenyezi Mungu akulipe sana kaka Ramadhani

  • @mtanzaniahalisi1213
    @mtanzaniahalisi1213 Год назад +5

    Kweli Dunia ina wendawazimu wengi

  • @aminashabangonzi4020
    @aminashabangonzi4020 Год назад +1

    May Allah bless you straight path da'wa

  • @hortenseornella-po8zw
    @hortenseornella-po8zw Год назад +3

    Uyu yesu nihatari. Mungu atupe mwisho muzuri duniya inafika mwesho.

  • @ConfusedHidingCat-fj5eg
    @ConfusedHidingCat-fj5eg 4 месяца назад

    Mashaallah

  • @alzawahirabdallah2299
    @alzawahirabdallah2299 Год назад +5

    Ndacha leo kakutana na amina mapenzi ya baba na kiroho kichwa kinamuuma

    • @Alithoya-qr7di
      @Alithoya-qr7di Год назад

      😂😂😂

    • @chiefmkalikibz1503
      @chiefmkalikibz1503 Год назад

      😂😂😂Mjomba ABUJAHAL LEO AMEINA 7 7 7

    • @zuwwnaramadhan6941
      @zuwwnaramadhan6941 Год назад

      😂😂😂😂😂😂😂

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 Год назад +1

      @@zuwwnaramadhan6941 umeona wao kila wakiulizwa hukimbilia kiroho sasa leo kakutana na kiroho + amina + mapenzi ya baba

    • @zuwwnaramadhan6941
      @zuwwnaramadhan6941 Год назад

      @@alzawahirabdallah2299 yani we acha tu wallahi 😂😂😂😂😂😂

  • @pilimakundalongoilongoi3386
    @pilimakundalongoilongoi3386 Год назад +1

    Tabaraka ALLAH , MAASHALLAH ,

  • @fatmasalad3235
    @fatmasalad3235 Год назад +5

    Masha Allah Allah akujalie umri uweze kutufunza wengi. Na akujalie sawadi yako ewe jannatul fridos ww Na family yako. Kwanza ugemuliza Uyo yesu. Stakufa Tena Kwa Mara ya pili 😂

  • @davidndue7790
    @davidndue7790 Год назад +1

    Kwani Yesu Ako na spokes lady...wanafahamu zaidi kuliko yesu wa tongaren

  • @flicksshow593
    @flicksshow593 10 месяцев назад +3

    Ndacha utakuwa muislamu usikue mbishi 😅,Ramadhan wape daawah ,yesu huyo anajiita ata mtume wetu S.A.W hakusema hivo ,, alhamdulilah

  • @remakyoni5567
    @remakyoni5567 Год назад +1

    Mwalimu ndacha uko na kazi kubwa kweli Mungu akusaidie mtumishi wa Mungu ule fake yesu wa tongareni Eko najivuruka na kujidanganya bure ache kudanganya watu. Yesu wa tongareni tongareni uko natusaidia kujuwa ya kama tunaishi wakati wa Mungu wa mwisho.

  • @wajermajiibceeb
    @wajermajiibceeb Год назад +6

    Wachungaji wanasema hufahamu bibilia Kama huna roho kitakifu ndiyo hiyo NDACHA sasa ni wewe huna roho kitatifu

  • @sudiksulaiman4730
    @sudiksulaiman4730 8 месяцев назад

    M.Mungu akuzidishiyekheri nyingi nabaraka ndugu Ramadhani.unaendesha daawat vizurisana.sisihukutuliko marekani tunafatiliyasana.

  • @alyumar4657
    @alyumar4657 Год назад +7

    Huyo yesu huyo ndacha hao wote wamepotea na kama hawatarud kwa Allah moto unawasubiri masheikh wet washawafikishia ujumbe kwaiyo kaz kwako.

    • @jumamwanza1477
      @jumamwanza1477 Год назад

      Takbiir

    • @peternduati8877
      @peternduati8877 Год назад

      Ndacha hajapotea

    • @SonOfMwangi-gl9so
      @SonOfMwangi-gl9so Год назад

      Moto imo hapa Duniani, hii ni haswa adhabu yoyote unapata kulingana na matendo maovu ..huja kama ajali, maradhi, hivyo ndivyo Utamaduni unaashiria lakini nyie wakristo na waislamu husingizia shetani .

    • @LovelyComputerChip-cj4wz
      @LovelyComputerChip-cj4wz 8 месяцев назад

      Ye hashirikiani na majini wala shetani nyie mna wote msikitini mmepotea wote

    • @LovelyComputerChip-cj4wz
      @LovelyComputerChip-cj4wz 8 месяцев назад

      ​@@jumamwanza1477vaa sketi ama dera takbir ya wanawake bn😂😂

  • @DominicOuru
    @DominicOuru Год назад

    Biblia Nuru ya Dunia pastor ndacha be blessed taji lako limeandaliwa kule Mbinguni🙏

  • @yusufathman2478
    @yusufathman2478 Год назад +11

    ان الدين عند الله الاسلام

  • @MteleShadia-lc6gi
    @MteleShadia-lc6gi Год назад +1

    Mashallah mashallah mashallah ramadhan kuria bin kaguo,,, umefnya vzr kutuletea part two,, Allah akuhifaz sanaa

  • @mohamedthoya7436
    @mohamedthoya7436 Год назад +10

    Bibi ya yesu ako na hasira kweli..

    • @sylviaecke1772
      @sylviaecke1772 Год назад +3

      😂😂😂😂😂😂😂😂yuko kwa Periode

    • @d.abigail.j4127
      @d.abigail.j4127 Год назад

      ​@@sylviaecke1772😂😂😂😂😂😂Yuko kwa siku zake za hedhi 😂😂

    • @khayangajomo7838
      @khayangajomo7838 Год назад

      😂😂😂

  • @singleparent7483
    @singleparent7483 Год назад +1

    Subhanallah Nuh mwanamke

  • @jumahamad9463
    @jumahamad9463 Год назад +4

    SHEIKH RAMADHAN UNGEWAACHA TU WAKAFAHAMIANA WENYEWE NDIO ULE UGOMVI WAO NA MTAFARUKI

  • @user-vb9uc2en4c
    @user-vb9uc2en4c 5 месяцев назад

    Dah!!!Yani rafiki zanguni mko karibu na mungu apo halafu bado hamjaomba kupaa anganiii

  • @denisrukangula2227
    @denisrukangula2227 Год назад +4

    Huyo jamaaa hapo ramadhani
    Aliwaleta hapo ili awaonyeshe wakristo kuwa hawa wanacho kijua

  • @hamadimachiwa5074
    @hamadimachiwa5074 Год назад +2

    Ndugu ndacha kabla ya Kzaliwa lazima uumbwa Alafu uzaliwe Asante

  • @cultureman8563
    @cultureman8563 Год назад +4

    Walahi it's true that ukristo ni dini ya Ajali

  • @joshuaolende
    @joshuaolende Месяц назад

    Asante sana maana wengi leo wamejifunza kuusu makristo wa uwongo mathayo 24 saa
    10:39

  • @serahmuinde7643
    @serahmuinde7643 Год назад +7

    As a Christian today, have grown stronger, i am a true strong believer of God through Jesus.. yaani kumbe hata Quran imesena yesu aliumba ndege akaipatia uhai?.. aiiiii Yesu ni bughaaa ❤

    • @adonsiz9564
      @adonsiz9564 Год назад +4

      Aliumba kwa idhin ya mungu

    • @badmanno.1650
      @badmanno.1650 Год назад +5

      Kwa idhini ya Allah i.e Mungu don't leave that part out 😢

    • @bakarikimaiyo8634
      @bakarikimaiyo8634 Год назад +2

      Aliumba kwa idhini ya mwenyezi mungu sio nguvu zake

    • @zulekhaa6817
      @zulekhaa6817 11 месяцев назад

      Naam
      Kwa sababu zipo aya ktk bibilia n maneno ya mungu na mungu ni mmoja tu nae ni Allah

    • @user-du2fy5sd5u
      @user-du2fy5sd5u 10 месяцев назад

      Akaipa uhai kwa idhini ya mwenyezimungu

  • @hotpotculturaltv
    @hotpotculturaltv Год назад

    nice conversation.Binadam ni mgumu kuelewa.Hawa watu wajue mahali walipo sio mahali pa kawaida.yesu wa bungoma wambie mambo bado.MIMI pia ninao ufunuo wangu.

  • @jamilaomari2444
    @jamilaomari2444 Год назад +8

    Huyu mjenga Safina anavitimbi sana😂

  • @ALFREDYMASUGABONAKANIKWA
    @ALFREDYMASUGABONAKANIKWA 4 месяца назад

    Ndacha nimekuona bukavu Mungu akuongezeye maisha marefu

  • @LilyKangethe-hw2bw
    @LilyKangethe-hw2bw Год назад +3

    Oh my😮 Islam is the only dini that is not complicated Alhamdulilah.❤❤❤ I am surprised by all this... At least Ndacha hueleweka lakini Tongaren at silabi Moja nimeshindwa kuelewa lenyu jameni😂😂😂😂😂 wueeh😮

  • @masala8099
    @masala8099 Год назад +1

    ndugu zetu karibuni ktk uislam tuisimamishe dini ya mora wetu kwa pamoja