"MUNGU HANA MKE." PASTOR NDACHA AKIELEZEA YESU NI NANI.
HTML-код
- Опубликовано: 7 сен 2024
- Tafadhali subscribe kwenye channel yetu @StraightPathDawah . Kumbuka pia kuchangia katika uendeshaji wa vipindi vyetu kupitia mpesa number +254722600533 au Lipa na mpesa till number 558297.(Straight Path Association)
kazi nzuri huyu huyu ndacha ndo alifanya nikasilimu nameombea Allah amuonyeshe pia njia ya haki
ALLAHU AKBAR
@@HamdiNuh umeslimu kujiunga na majini mapepo wachafu mashetani hapo vip ? Toka huko umepotea vibaya mno
Pongezi Alhamdulillahi. Ndacha ni Muongo mzushi. Allah ameeleza wazi jina la Mtume anayeitwa na akina Ndacha eti Yesu ni Isa bin Mariam. Lakini ndacha ajua akitumia jina Isa bin Mariam Ukristo utaporomoka. Kwa hivyo, ili Ukristo upate uhai ni muhimu sana kwao kuzua hilo jina Yesu na kudai eti lilitamkwa na Malaika aliyetumwa kwa Bikra Mariam kumpasha habari ya kumzaa mtoto. Kwani Malaika alikuwa akiongea Kiswahili? Je ni Malaaika ndiye aliyesema, mtoto wa Bikra Mariam ataitwa Yesu?
@prochesernest5439 Acha kuongea uwongo. Majini ni viumbe vya Mwenyezi Mungu kama viumbe wengine. Kuna wema na wabaya. Na wameumbwa ila hawaonekani. Hata Malaika hawaonekani na watu.
@@mutomubaya kazi mnayo waislamu kuwatetea majini mashetani ndungu zenu mnayatete kwasababu ni viumbe mbona shetani ni kiumbe hamtetei mnawatetea wadogo zake shetani majini hayo hayana tofauti na huyo shetani mmedanganywa na Muhammad heti wameslimu wamekuwa waislamu nyie yakumbatieni Cha moto mtakipata sis wakristo hatuna ushirika nayo hayo majini mashetani ndiomaana tunayafukuza Toka huko njoo Kwa Yesu kristo mwokozi wetu hupone jehanamu ipo nakupa Aya quruan 6:128 hona yanavyojivuna njinsi yanavyonufaishana na nyie waislamu wewe hakuna majini mashetani wazuri Toka huko
Barakallah fique, mashallah Sheik Ramadhan mwenyezi mungu akudizishie na akupe maisha marefu uzidi kuwazindua ndugu zetu Hawa. Hakika wako katika kiza!!!
Shukran sana jazakallah heri inshalla ndacha ataslimu tu polepole unampeleka bila fujo sheikh ramadhn Allah awajaze heri na umri mrefu muweze kuwaelimisha kina askofu na ndacha ❤❤❤❤❤❤❤
Ma sha Allah shk ramadhan Allah akupe afva na maisha marefu.pst ndacha naye mwenyezi mungu amwongoze kwa njia ilinyooka.
Mashaalah Ramadhani mwenyezi mungu akuhifhadi una mfahamu ndacha vyema na kumkaba vyema kwa maana yeye ana hepa hepa maswali na kuileta qauli mpya juu yake, sasa suali Rahisi ni kwamba wapi kwa vitabu vyao yesu mwenyewe kasema mimi ni mtoto wa mungu aw mimi mungu bila ya kusemewa na kina paulo aw wengine. ndacha atoe kwa bibilia wapi yesu kwa kinywa chake kasema yeye ni mwana wa mungu.hii ni ukafiri thahiri.
Ndacha your a wonderful teacher!! Grorly to God!!
Shekhe asnt Sana kwa arimu yako ss nime erewa kwa utalatibu mzuli. Mno alla ukupe arimu zaidi na mwisho mwema lakn naomba alla anifishe Hali yakua ni musilim 🎉❤❤❤❤❤❤❤
Kazi nzuri Ustadh Ramadhan kwa kuleta waalimu tofauti tuskie kauli zao.. Naomba Allah akujalie uzidi na hii show 😊. Thanks for hosting Ndacha coz yeye ndio Baba Yao wakikristo lakina baado hawana kauli
Walahi tushukuru Allah kwa kutupa Nuru waislamu 😢
ISAYA 44:24 NATAKA majibu yesu anasema yeye aliyekuwepo na Mungu wakati ISAYA Mungu anakataa alikuwa pekee yake
KITABU CHA MORMONI WANASEMA KILA MWANADAMU ALIKUWEPO KABLA YA KUZAKIWA
@@zahraabdul9652 nuru au giza!
@@zahraabdul9652 hebu nimulikie nuru iliyoko katika uislamu
Yesu baba ake Mungu 😅😅 kweli Mungu azae nasisi viumbe wake tuzae 😢 msiba huu kwa hawa wagalatia. Allah awasamehe wote mnao jiita wakristo kwasababu Wallah nawahurumia.
Wenywe tunawahurumia😊😅😅
@@SiriliNachan hayakuhusu wewe endelea kunywa Divai.
@@nakundwamkubwe7823 sawa ila ndo ivo mungu mwenywe kamwita yesu mungu😂😂
@@SiriliNachanandiko MUNGU anamwita YESU MUNGU!???
Lahaulaa walaa kuwaataaa ilaaa billaaah
Mungu akubariki sana Ndacha kwakuelimisha waeslam wote
Amina
Kazi nzuri ndacha hebu wachambulie biblia wajue Yesu ni mwana wa Mungu kiroho
Kila ilinichekesha ni aliposema huyo pasta yesu ni nabii na bado anaita Mungu.. anajipinga yeye mwenyewe .. Mungu amwongozo wakiristo walio na moyo ya kuona ukweli .. si macho inaona ukweli bali ni mioyo❤
Bibilia inasema hivyo wewe ni nani
@@bitsanjE so mwalimu pia ni mwanafunzi 😂😂. Nyie mnajichanganya sana aisee. Yesu ni Nabii na tena Mungu how nah
@@bitsanjE IMEANDIKWA MINGU HANA MFANO NA HABADILIKI BADILIKI NA HAKUNA ALIYEMUONA MUNGU SO YESU HAWEZI KUA MUNGU MUNGU HAONEKANIKI IPO WAZI HYO
Well done Ndacha good work
Kazi nzuri .mashallah sema ndacha anajua ukweli sema ndo ili abishe ndo awe mkristo.....ubishi kaumbiwa
Ustadh naomba uichambue video hii vizuri umuanike ndacha amejichanganya sana na kusema kauli tofauti tofauti anapoulizwa swali kwa mara ya pili
Hii ni sehemu ya kwanza
Meu pastor ndacha Deus te abensoe ❤❤
Ndacha 4 life and proud to be a Christian ❤❤
Mungu akubariki sana mtumishi ndasha
Sheikh Ramadhani Bin Kuria ... Maashaa Allah 💖 ...
Mafunzo Mazuri .. Tunafahamu Alhamdulillaah
Barakallahu fikum sheikh wetu,,Allah azidi kukupa hekma. Ndacha Allah amuongoze. Musabato
dah! ndacha leo kapata mwamba wke, shekh ramadhan MashALLAHu
Mwamba gani kujipa moyo tu😂
Ndacha is the man of God... He is my guy in one religion.... E truth in you is the light of the world
eti Ndacha ni A man of God usiwachekeshe walio nuna
@@anwarambar6141 a Bible ilikuja kabla Quran haijadika... bible Niya 600Bc bt Quran ni ya 7 century... Waislamu mlicook vitu kutoka kwa bible... Enda kwa historia uone gani ndio ilitanguliq ndio uanze kupingana ...
Look at what the old man is saying, let's come to Islam so that the infidels don't die
@@barutiabuu9492 I can't join dini ya waaasi na kuuwa watu ety mwende mbinguni direct... What is that.... Mjifunze kuwa wema kwa ata...
@@anwarambar6141 bible ilikuja mbele ya Quran na mambo iko kwa bible ndio imefogged to Quran... Mkibwdilisha majina ety yesu khisa.... My friend go back to the root
Kazi nzuri huwenda wakaijuondoa matanga poli wakamjua Mungu wa kweli.
Ndacha neno like ndani yako na umefundisha vizuri
Ndacha akafanya niwe mchristo . Mungu akuzidishiyee
Ulikuwa wa dini gani before
God bless u ndacha.
Assalam Aleikum Warahmatullah Wabarakatuh mashallah sheikh ramadhan Allah akulinde sheikh wangu
Akili ndongo sana Mungu ana zaa kwa neno yani anatamka inakuwa, Au unafili anatanua miguu mtoto anatoka,ii niakili ya kislamu
"Mungu anatamka, inakuwa" .... Hii ndio imani ya Kiislamu.. Karibu kwenye dini ya kweli ❤
Eti Mungu amefanyika mwili. Msiba huu. Mungu haonekani please wala kivuli ya kubasilika ❤
Soma bibilia
Allah Sio Mungu WA kweli huyo ni kiumbe
@@prochesernest5439 na hawaamin ukiwauliza kwann wanasujudia kuelekea al kaaba wanakwambia n umoja
@@prochesernest5439 ongeza volume
Kama jini anaweza kujibadilisha awe mnyama, ndege, binadamu n.k. Mungu muumba wa viumbe vyote yeye hawezi! Sisi tunajua ni Shetani hawezi kubadilika kwa hivyo kama Allah hawezi kubadilika basi yeye si yuko sawa na Shetani. Enyewe hata sifa zake kama Al-Makir, Al-Muzil ni sawa na sifa za Shetani
Mimi maranyingi hua na sema ndacha hoja za kikiristo haziendi isipokua ujisahaulishe maandiko mengine 18:32 hapa ndacha kajisahaulisha andiko la yohana 20:17...naenda kwa baba yangu naye ni baba yenu,kwa mungu wangu nae ni mungu wenu,na andiko la matayo 27:46 mungu wangu mungu wangu mbona unaniacha.Na mengine mengi.
HUU NI UPOTOSHAJI
Eti yesu kwenye bibilia ajasema mungu angu bali anasema baba yangu,mwalimu mzima anaongopa mchana kweupeeeeeee😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣✍️
Kazi nzuri watu waache kuichanganya na kumshirikisha Allah,au kumwekea Allah MSHRIKA,NA YOTE HAYO AMESHAYAKATAZA HADI KATIKA VITABU VYAO ,KWA HIVYO LENGO NI KUJIFUNZA NA KUJUA IMANI YAKO IKO SWAHIH AU LA....ALLAH AWALIPE KILA LA KHERI KWA KAZI YENU NZURI YA USHIRIKIANO KWA nia ya kuwaamsha wengi...
Amri kumi alizopewa Nabii Musa amri ya kwanza ilisema usimshirikishe M.Mungu na kitu kingine ,Mungu watatu anatoka wapi? Tuwafuwafuate vipi wakati nyinyi mnaenda kijume na maandiko yaliyoko ndani ya Bibilia na ,hamuwelewi maana ya mwana kabisaaaaa ,
@passerbyMan-ju8ky Tatizo ni swala la utambuzi tu.
Jiulize swali moja.
Kwanini Yesu hakusema naenda kwa Baba yetu au Naenda kwa Mungu wetu?
Bali alisema kwamba,
Naenda kwa Baba yangu ambae ni Baba yenu, kwa Mungu wangu ambae ni Mungu wenu - jiulieze na uelewe huo utofauti.
Vile vile,
Ni kweli yesu alisema Mungu wangu, Mungu wangu mbona umeniacha.
Lakini kwa kauli hiyo Yesu alikua anakamlisha ufunuo katika kitabu cha Zaburi 22:1
Zaburi 22:1 inasema kama yesu alichokisema - Mungu wangu, Mungu wangu mbona umeniacha?
@@brightzone.Ndivyo mnavyo ongopewa?hapo unataka kumfundusha yesu Cha kusema,maneno Yapo mengi mtuhuchagua neno Gani aseme, Sasa ulitaka aseme naenda kwa baba yetu nae ni baba yenu?😂
Mtu kusema huyu ni baba yangu na ni baba yako wewe,hii ni kauli ya kuonyesha msisitizo ,ama kusema huyu ni baba yetu hii nikauli ya kawaida,kibibilia mungu kuitwa baba amanishi amezaa ni baba kiulezi wa Imani
Na mzaliwa wa kwana ni mzaliwa wa kwanza kiimani,
Na mwana ni mwana kiimani
Na mwana wapekee
Ni mwana wa pekee kiimani.hapo ndipo mlipo feli wakristo,na ndio mana kibibilia ukimwamini mungu unafanyika kuwa mwanae yohan 1:12 hivi munasoma bibilia au munasomewa?poleni😊
@@PasserbyMan-ju8ky umesema vyema. Mungu kuitwa baba kibiblia.
Jinsi tulivyo sisi na alivyo Yesu kwa Mungu Baba ni tofauti.
Sisi ni wana wa Mungu kiimani.
Yesu ni mwana wa Mungu wa kuzaa.
Na ndio maana Yesu akasema naenda kwa Baba yangu ambaye ni baba yenu, Mungu wangu ambae ni Mungu wenu.
Na hiki ndio kitu tofauti na Uislamu.
Allah hawezi kuwa baba kwa namna yoyote ile. Kila muislamu anajua kwamba ni kufuru kumuita Allah Baba.
Niko hapa tujifunze.
Njoo tena tujadiliane ndugu.
Allah awajaliye afya njema na subra wahadhiri wetu
ruclips.net/video/L_iOjl7Pn0s/видео.htmlsi=UjcPhUHJbuHpNhdr
She ramadhan mungu akubarik
May Allah guide him.
mashallah sheikh Ramazani mwenye akiri timamo amesikiya
Allah awajalie mashekhe wetu uwislam tume utupa kwenye hi ibada
Hongereni walimu,nyie mmetulia kila mtu anampa mwenzie kujieleza,Sio kina Mazinge makele tu kama walevi,nyie ni big up kila mtu ameelewa kwa iman yake,Ndacha nakuelewa
Yesu kristo kwani ni jina moja hapo ndipo jibu lilipo kwa maana ya kwamba hukaa ndani yangu nami ndani yake
Masha’allaah Mashekhe wetu Allah azidi kuwapa tawfiq yaarabbal alamin.
I love the maturity in this discussion.
alhamdulillah, maashaallah mwalim
asalam aleykum
ALLAH akuhifadhi sheikh ramadhan
nashauri ndacha awe anaheshimu QUR AN asiwekee simu na aishike kwa nidhamu mzingatie hilo
Jazaka Allah Kheir Sheikh Ramadhan
Jazakumullah khair InshaAllah...
Huyu ndacha ana juwa vizuri sana ukweli ulipo, lakini subhana Allah, bado Allah haja mchaguwa, asa yaarab Allah amhidi na amu ongoze katika njia ya haqi
Haki iko wapi katika uislamu, hebu nielezee vile unaweza kumueleza mtoto mdogo aelewe
@@kennodhiambo fanya utafiti uta ona haki iko wapi
@@rayaalhabsi1725 haki ya uislamu ndiyo hii
Quran 2:191 “Slay the unbelievers wherever you find them.”
Quran 3:28 “Muslims must not take infidels as friends”
Quran 3:85 “Any religion other than Islam is not acceptable”
Quran 5:33 “Maim and crucify the infidels if they criticize Islam”
Quran 8:12 “Terrorize and behead those who believe in scriptures other than Quran”
Quran 8:60 “Muslims must muster all weapons to terrorize the infidels”
Quran 8:65 “The unbelievers are stupid; urge the Muslims to fight them”
Quran 9:5 “Whenever opportunity arises, kill the infidels wherever you catch them”
Quran 9:123 “Make war on infidels living in your neighborhood”
Quran 47:4 “Do not hanker for peace with infidels; behead them when you catch them
jisomee katika lugha utaelewa vizuri hata kama ni kiarabu lugha ya Mungu wenu
Hajuwi vizuri angejuwa angesilimu
@@kennodhiambonitumie namba yako nikununulie qur an uiyone haki
MashaALLAH Ramadhan ALLAH akupe maisha marefu , ndacha mpaka asilimu asitoke hapa
kazi nzuri sana jazakallahu kheir
Asalam alaykum nawapongeza kwa mjadala mm ni abdi nassir ndacha anatumia uwongo kwa mfano 19.71 kurani akasema Wala akunakatika nyinyi ilaniwenye kiifikia jahanam akasema waislam bila.kusoma 69 na 72 iliajue s waislam wanaoambiwa s unaona ujanja huo ogopeni mungu musifurahishe tu watu mm Niko namanga
ongeleni kwa kulitangaz jina la yesu
Baarakallahu fiikum straight path daawah
Yesu angekuja na nguvu zote za mbinguni hakuna mtu angemkalibia so he come like anybody else ili tumkalibie tw😢😢
MASHAALLAH ALLAH S.W.T akuongoze akupe afya na maisha marefu ili uwalete hao wanaoshirikisha ALLAH S.W.T katika njia ilio nyoka (street path )watoke ngiza waje nuruu na dacha ALLAH S.W.T amuongoze amulete nuruu. Dacha anajua ukweli lakini sababu ya pesa hawezi
Masha allah ramadhani kuria kwa kazi yakoo mungu akupea nguvuu
Mshallah kazi nzuri mashkehi wetu na pasta in shaa Allah ata silimu tu
Aamiin Yaa Rabb
Ustadh khalifa hogera umetulia kazi nzuri ma sha Allah
Mungu awajalie mumeongea kwautulivu
Na wahadhili wengine wajigunze kwa Ramadhani Mungu aendelee kukupa hekima namalifa utulivu wa akili
Assalamualaikum warahmatullah wabarakatuh nimependa hiki kipindi ,ALLAH Akulipe Kila lakheri ustadh kwa kuzidi kuipambaniya dini Ya ALLAH ,ila ningependa tu kugusiya pastor ndacha nimewahi kufatiliya mdahalo wako ukihakikishiya Watu kuwa yesu Ni MUNGU ila Leo umeeleza tena kuwa yesu sii MUNGU ni Vizuri Sana kwa kijikosowa kwenye kauli zako
Ramadhan ndiye muhislamu ambaye anapea mtu nafasi ya kuji eleza halafu mwishowe mahali mtu amekosea anamukosoa,mungu azidi kukuweka duniani ili kutuelimisha huenda Kuna wakati nitakuja kusilimu
anamkosoa nn sasa maanake kila kitu mnakosoa kila kitu
@@JamesMoses-jd1yq kitu Gani hicho ambacho tumekikosoa
Kajiunge na shetani
Ndacha hoja zako zina nguvu Mungu azidi kukutmia
Kusilimu ni bure njoni msife makafir mumeona wap mungu akizaa watoto
Aslam alykum cheikh wetu, Aksanti sana kwa kumupa darassa NDAca , Mungu musaidiye asikilize na alewe.
Ndio, Yesu ni Mwana wa Mungu. Ndacha ni mkweli kbs.
Ustadh Ramadan mungu ndeye atakulipa jaza yako kwa mungu
Yesu ni mungu wacha .halikuja kama an expresion of Gods image akafanyika mwili
Mungu wa Waislamu (Allah) hawezi kuzaa kwa sababu hana mke.
Lazima awe n mke ili azae. Maana yake ni kwamba allah ni tegemezi.
Mungu wa wakristo ni yule aiseyegemezi anaweza akawa na mwana bila kutegemea chochote kupata mwana.
Quran 6:101 Allah hawezi kuwa na mwana hadi awe na mke.
Kwa kuwa hana mke na ndio maana hana mwana.
Nyinyi mta chomeka nani kawabia mungu anataka mizani....na mukome mungu mwenye tuna homba ni wetu zote hufai kujanji...na mkome
Akili za Ndacha ziko kwa Yesu Kristo wa Biblia....Ramadhan na mwenzake wanaongea kuhusu yesu copy aitwaye issa bin maryam.....kuelewana kati yao ni ngumu!!
Mngesafisha mazingira ya kutambua tofauti ya Yesu na issa!!
Nyote mko chini sana kwa mada hiyo!!
Ndacha nimekuelewa sana sema hawa waislamu Baazi mungu kashatia vifuniko mioyo yao maana hata ukiwafundisha hawatajua
Kwa mafundisho haya yakufanyika mwili akafanyika nyama? Bado hmjatupata
@@Bahati47 sio kazi yetu mungu ndio atafanya iyo kukutoa uko
Kama Mmungu katutia vifuniko tusiseme Mmungu ana mwana basi namuomba Mmungu atuzidishie vifuniko ili tusiseme km Mmungu ana mwana.❤
Kaka ukisikiliza vizur hii hoja bas hutoweza Hata kumpongeza ndacha kwa alivyo jichnganya shida yenu wa kristo huwa hamtak kusoma zaid yakupiga tu makelele mitaani ila kusoma hamtak mnasomewa tu so kusilimu ni bure kalibuni sana kwenye dini. Ya mungu ili msife makafiri
MASHALLAH SHEIKH RAMADHAN
Yesu ni mwana wa mungu alie juu, na kila Ulimi asemae yesu ni mwana wa mungu ataokolewa
Hakuna muislam anaweza kutetea imani ya kiislamu
naona waota mchana uislamu uo wenyewe unajitetea una msimamo nyie ndo hamuez kutetea ukisto sababu kwanza yesu hakuanzisha ukirsto wala kujenga ama kuingia kanisani hzio ni mbinu za kishetani kupoteza mwanadamu ndio wakaunda bibilia kwa maandiko yao na kutumbukiza baadhi ya maneno ya dini
Allah akuzidishie hekma
mwenyenzi Mungu alijua kuwa hataki wajukuu wala virembwe, ndio maana wachungaji hawaowi ili wasipate watoto, au nimekosea, na ilivyokuwa hakuzaa wala kuzaliwa.
InshaAllah step by step nuru ya Hidaya itakuja kuenea ulimwengu mzima ,kwa hivyo Ndacha pia ni maalumat yameongezeka na kupata kujua kuwa Yesu siyo Mungu,binadamu wote siku zetu zote haziwi sawa ,tuzidi kupanda marhala za juu siku baada ya siku...na Ndacha pia twamuombea Hidaya na wengine wengi kama yeye..
MASHA ALLAH 💚
mchungaji ndacha , mungu akulinde na akupe maisha marefu ili utangaze habari njema duniani kwote na mataifa yote wajuwe ya kwamba yesu nibwana , na mokozi wa dunia
Kazi nzuri ndacha
Wale wana pendana ki dugu hu itana na nzuri sisi wa comment . Tuwe na adabu ya ku sikiza wa. Nduge zetu
Allah amuongeze nguvu amulide ampe afya dawa iendelee kwa neema ya uislamu barikiweni sana sana kwa mafundisho bora Allhamdhillah
Mwalimu Ndacha barikiwa sana kwa kujitolea kuwaelezea ukweli ili na hao waamini Yesu kristo ni mwana wa MUNGU aliyetukufia msalabani ili tukombolewa sisi wenye dhambi ili tumtambue yeye ndo njia ,ukweli na uzima wa milele.
Na yeye ndacha si kasema yesu ni mungu😅😅😅 sasa haeleweki😂😂
Huwa hawaeleweki hawa. Wakibanwa vizuri wanasema bila roho mtakatifu huwezi kuelewa wakati maandiko yako wazi
Hivi nyie mnasikilizaga mjadala kweli?😂 hebu sikilizeni kwa umakini kuanzia 1:18 :01 mpaka walipoishia mtaelewa, acheni kusikiliza huku mkiwa na yenu vichwani sikilizeni kwa kuelewa au nyie mnatumiwaga mijadala mingine tofauti na huu?😂
@@user-rn2fs5jg6n
mfano mmoja mzuri wa muislamu bila Roho Mtakatifu ni Yohana 17:3 amabyo kwa akili zake iko wazi lakini walimu wenu wainaipatia tafsiri ya issa.
1
maashallah umefanya vrz sana shekh
Mashalah ustath
Takbirr❤❤
Mwanzo alisema yesu ndie mungu sasa amekata 😂😂😂😂😂 dah pesa mbaya
Pastor ndacha unaelezea yesu mwenye umjui waislamu assalamu Alaikum warahmatulahi wabarakatuh sii tushukuru Mungu kwa kutujulisha mengi kuhusu mitume wote allihamudulila (tujitahidi kitafuta pepo Isa -bin Mariam karibu anarudi na vile munavyio juwa yeye ndie atakuwa swalisha )hiyo siku 😢 jee Imani mtakuwa Bado nayo ? Allah atusaidie tusipotoshwe 😢🤲🤲🙏
Umepotea wewe...
Umekwishakupotea
@@SiriliNachan nyie mlie kwa ukweli mjuzi lolote Allah awasaidie
@@ronaldmatimbo9691 wewe ulie kwa njia nzuri nakwombea
@@zahraabdul9652 na yesu mwenywe ndo atakuja kutuchukua wafuasi wake😊
ALLAH akuongoze Ndacha usilim kabla ya umauti ili usalimike na moto wa Jehannam.
Kufanyika kwa vituvyote kupitia mwana ni swala la sisi kujua kwamba Mungu alipenda tuishi kwa kushirikiana kama alivyofanya yeye kwakuwa hata mwiliwetu tu unategemeana. Macho miguu mdomo pua sikio kwahiyo ishu ni ubinafsi ila jibu ni mungu aliumba kilakitu
Mchungaji ndacha anaeleza vizuri kabsa,mwenye akili na asikiye,na mbishi aendele kubishi
Ndacha uko sawa kwa kujibu swali lakini huyu (kuria) na mwenzake wajue biblia haitafusiliwi na mwili,.. kama ameshidwa kutabua ulimi wa mtu kwa kiroho ni karamu mahali pengine biblia inasema tuwe kama barua inayosomeka! pole sana shehe,,😮
Waaleikum Salaam warahmatullah wabarakatuh
Subhanallah huyu ndacha ananichangaza sana Kwa sema yesu ni mungu mara ni mungu ni baba ya yesu,,
Mjadaja mzuri sana mashallah.
Ndacha anajuwa ukweli ila anakaushiya tu.
ALLAHUMMA BARIK.
مشأ الله تبارك الله
Mungu wa kweli na wapekee na awape mafunuo zaidi ya uchambuzi na mafundisho ya kweli ili kila.aaminie na kuifuta njia ya kweli ya uzima apate kuyapokea na kuifuta kweli yake
Asalam alaikum barakallahu fiikum asante kumu karibisha Mualim Ndatcha ukweli ungeanza na aya suratul baqar 113 ma yahudi wanapo ansema manaswara hawako kwakitu,na wanaswara husema hivo hivo....mwisho sheikhe akikashfu lazima muwekee ukweli muhamad hakuwa anasoma nakuandika kwahivo hajasoma historia!!pia ndatcha nawenzetu muwaulizeni kwanini mungu aliangamiza Farah,karni zilizopita!!ukweli wanachanganya viumbe vyamungu wapi Musa,namitume wengine wanasema mungu anazaa?mwisho hatuwezi tukabaki kwautawala wa uhuru kinyata hivi niwaruto muhamad ametumwa kwawatu wote yesu kwa bani israeli ndatcha anajuwa vyema tunamuombea kuongoka!!
Hahaaaa waislamu washenzi sana,,kwa hiyo mnaamini mwarabu ndoanajua habari za mbinguni kuliko Musa au
Ndacha anajichanganya Wiki iliyopita alikua anamtetea yesu kua mungu Mbele ya DR sule Leo anasema mungu 1 tu
😂😂😂😂we acha tu
🤣🤣🤣🤣🤣
Masha Allah Sheikh Ramadhani Kwa Mafundisho
Asalaam alykum.allah amuongoze ndacha ktk njia ilionyooka,maana amefunikwa nakitu kizito sana naanatia huruma sana.allah muongozee
Allah amuongoze kwa hayo