"MUNGU HANA MKE." PASTOR NDACHA AKIELEZEA YESU NI NANI.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 сен 2024
  • Tafadhali subscribe kwenye channel yetu ‪@StraightPathDawah‬ . Kumbuka pia kuchangia katika uendeshaji wa vipindi vyetu kupitia mpesa number +254722600533 au Lipa na mpesa till number 558297.(Straight Path Association)

Комментарии • 715

  • @HamdiNuh
    @HamdiNuh Месяц назад +28

    kazi nzuri huyu huyu ndacha ndo alifanya nikasilimu nameombea Allah amuonyeshe pia njia ya haki

    • @WillyQassim
      @WillyQassim Месяц назад

      ALLAHU AKBAR

    • @prochesernest5439
      @prochesernest5439 Месяц назад +2

      @@HamdiNuh umeslimu kujiunga na majini mapepo wachafu mashetani hapo vip ? Toka huko umepotea vibaya mno

    • @mutomubaya
      @mutomubaya Месяц назад +3

      Pongezi Alhamdulillahi. Ndacha ni Muongo mzushi. Allah ameeleza wazi jina la Mtume anayeitwa na akina Ndacha eti Yesu ni Isa bin Mariam. Lakini ndacha ajua akitumia jina Isa bin Mariam Ukristo utaporomoka. Kwa hivyo, ili Ukristo upate uhai ni muhimu sana kwao kuzua hilo jina Yesu na kudai eti lilitamkwa na Malaika aliyetumwa kwa Bikra Mariam kumpasha habari ya kumzaa mtoto. Kwani Malaika alikuwa akiongea Kiswahili? Je ni Malaaika ndiye aliyesema, mtoto wa Bikra Mariam ataitwa Yesu?

    • @mutomubaya
      @mutomubaya Месяц назад +2

      ​@prochesernest5439 Acha kuongea uwongo. Majini ni viumbe vya Mwenyezi Mungu kama viumbe wengine. Kuna wema na wabaya. Na wameumbwa ila hawaonekani. Hata Malaika hawaonekani na watu.

    • @prochesernest5439
      @prochesernest5439 Месяц назад

      @@mutomubaya kazi mnayo waislamu kuwatetea majini mashetani ndungu zenu mnayatete kwasababu ni viumbe mbona shetani ni kiumbe hamtetei mnawatetea wadogo zake shetani majini hayo hayana tofauti na huyo shetani mmedanganywa na Muhammad heti wameslimu wamekuwa waislamu nyie yakumbatieni Cha moto mtakipata sis wakristo hatuna ushirika nayo hayo majini mashetani ndiomaana tunayafukuza Toka huko njoo Kwa Yesu kristo mwokozi wetu hupone jehanamu ipo nakupa Aya quruan 6:128 hona yanavyojivuna njinsi yanavyonufaishana na nyie waislamu wewe hakuna majini mashetani wazuri Toka huko

  • @MwachanguSalim
    @MwachanguSalim День назад

    Barakallah fique, mashallah Sheik Ramadhan mwenyezi mungu akudizishie na akupe maisha marefu uzidi kuwazindua ndugu zetu Hawa. Hakika wako katika kiza!!!

  • @user-ie7yt9db6f
    @user-ie7yt9db6f Месяц назад +10

    Shukran sana jazakallah heri inshalla ndacha ataslimu tu polepole unampeleka bila fujo sheikh ramadhn Allah awajaze heri na umri mrefu muweze kuwaelimisha kina askofu na ndacha ❤❤❤❤❤❤❤

  • @shukrialisaya1578
    @shukrialisaya1578 Месяц назад +9

    Ma sha Allah shk ramadhan Allah akupe afva na maisha marefu.pst ndacha naye mwenyezi mungu amwongoze kwa njia ilinyooka.

  • @suleymanali431
    @suleymanali431 Месяц назад +3

    Mashaalah Ramadhani mwenyezi mungu akuhifhadi una mfahamu ndacha vyema na kumkaba vyema kwa maana yeye ana hepa hepa maswali na kuileta qauli mpya juu yake, sasa suali Rahisi ni kwamba wapi kwa vitabu vyao yesu mwenyewe kasema mimi ni mtoto wa mungu aw mimi mungu bila ya kusemewa na kina paulo aw wengine. ndacha atoe kwa bibilia wapi yesu kwa kinywa chake kasema yeye ni mwana wa mungu.hii ni ukafiri thahiri.

  • @user-nw1uk1vr2q
    @user-nw1uk1vr2q 4 дня назад

    Ndacha your a wonderful teacher!! Grorly to God!!

  • @mussazubery8283
    @mussazubery8283 Месяц назад +3

    Shekhe asnt Sana kwa arimu yako ss nime erewa kwa utalatibu mzuli. Mno alla ukupe arimu zaidi na mwisho mwema lakn naomba alla anifishe Hali yakua ni musilim 🎉❤❤❤❤❤❤❤

  • @trikayoh3684
    @trikayoh3684 Месяц назад +21

    Kazi nzuri Ustadh Ramadhan kwa kuleta waalimu tofauti tuskie kauli zao.. Naomba Allah akujalie uzidi na hii show 😊. Thanks for hosting Ndacha coz yeye ndio Baba Yao wakikristo lakina baado hawana kauli

    • @zahraabdul9652
      @zahraabdul9652 Месяц назад +8

      Walahi tushukuru Allah kwa kutupa Nuru waislamu 😢

    • @HamisAbdallah-cj2sc
      @HamisAbdallah-cj2sc Месяц назад +1

      ISAYA 44:24 NATAKA majibu yesu anasema yeye aliyekuwepo na Mungu wakati ISAYA Mungu anakataa alikuwa pekee yake

    • @HamisAbdallah-cj2sc
      @HamisAbdallah-cj2sc Месяц назад

      KITABU CHA MORMONI WANASEMA KILA MWANADAMU ALIKUWEPO KABLA YA KUZAKIWA

    • @kennodhiambo
      @kennodhiambo Месяц назад

      @@zahraabdul9652 nuru au giza!

    • @kennodhiambo
      @kennodhiambo Месяц назад

      @@zahraabdul9652 hebu nimulikie nuru iliyoko katika uislamu

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 Месяц назад +27

    Yesu baba ake Mungu 😅😅 kweli Mungu azae nasisi viumbe wake tuzae 😢 msiba huu kwa hawa wagalatia. Allah awasamehe wote mnao jiita wakristo kwasababu Wallah nawahurumia.

    • @SiriliNachan
      @SiriliNachan Месяц назад +1

      Wenywe tunawahurumia😊😅😅

    • @nakundwamkubwe7823
      @nakundwamkubwe7823 Месяц назад

      @@SiriliNachan hayakuhusu wewe endelea kunywa Divai.

    • @SiriliNachan
      @SiriliNachan Месяц назад

      @@nakundwamkubwe7823 sawa ila ndo ivo mungu mwenywe kamwita yesu mungu😂😂

    • @OscarGerald-vp9kx
      @OscarGerald-vp9kx Месяц назад +1

      ​@@SiriliNachanandiko MUNGU anamwita YESU MUNGU!???

    • @faridaalwaily-hk4xf
      @faridaalwaily-hk4xf Месяц назад

      Lahaulaa walaa kuwaataaa ilaaa billaaah

  • @GentilKalembire
    @GentilKalembire 13 дней назад +1

    Mungu akubariki sana Ndacha kwakuelimisha waeslam wote

  • @amossaha3932
    @amossaha3932 18 дней назад +1

    Kazi nzuri ndacha hebu wachambulie biblia wajue Yesu ni mwana wa Mungu kiroho

  • @user-fl5jj1sr2h
    @user-fl5jj1sr2h Месяц назад +10

    Kila ilinichekesha ni aliposema huyo pasta yesu ni nabii na bado anaita Mungu.. anajipinga yeye mwenyewe .. Mungu amwongozo wakiristo walio na moyo ya kuona ukweli .. si macho inaona ukweli bali ni mioyo❤

    • @bitsanjE
      @bitsanjE Месяц назад

      Bibilia inasema hivyo wewe ni nani

    • @RamooAli-hr3nv
      @RamooAli-hr3nv Месяц назад +1

      ​@@bitsanjE so mwalimu pia ni mwanafunzi 😂😂. Nyie mnajichanganya sana aisee. Yesu ni Nabii na tena Mungu how nah

    • @thekingdragon8358
      @thekingdragon8358 Месяц назад

      @@bitsanjE IMEANDIKWA MINGU HANA MFANO NA HABADILIKI BADILIKI NA HAKUNA ALIYEMUONA MUNGU SO YESU HAWEZI KUA MUNGU MUNGU HAONEKANIKI IPO WAZI HYO

  • @sporadaud
    @sporadaud 26 дней назад +2

    Well done Ndacha good work

  • @iddyjuma8036
    @iddyjuma8036 Месяц назад +2

    Kazi nzuri .mashallah sema ndacha anajua ukweli sema ndo ili abishe ndo awe mkristo.....ubishi kaumbiwa

  • @muadhellamy2111
    @muadhellamy2111 Месяц назад +5

    Ustadh naomba uichambue video hii vizuri umuanike ndacha amejichanganya sana na kusema kauli tofauti tofauti anapoulizwa swali kwa mara ya pili

  • @franciscomtambakuluca2830
    @franciscomtambakuluca2830 3 дня назад

    Meu pastor ndacha Deus te abensoe ❤❤

  • @IbraahAfrica227b
    @IbraahAfrica227b 12 дней назад +1

    Ndacha 4 life and proud to be a Christian ❤❤

  • @erickbyamungu973
    @erickbyamungu973 9 дней назад

    Mungu akubariki sana mtumishi ndasha

  • @swafiirbulbul819
    @swafiirbulbul819 15 дней назад

    Sheikh Ramadhani Bin Kuria ... Maashaa Allah 💖 ...
    Mafunzo Mazuri .. Tunafahamu Alhamdulillaah

  • @HajiKabacalaf-kv7fd
    @HajiKabacalaf-kv7fd Месяц назад +1

    Barakallahu fikum sheikh wetu,,Allah azidi kukupa hekma. Ndacha Allah amuongoze. Musabato

  • @halidimgonza5945
    @halidimgonza5945 Месяц назад +2

    dah! ndacha leo kapata mwamba wke, shekh ramadhan MashALLAHu

    • @UshindiDavid
      @UshindiDavid Месяц назад +1

      Mwamba gani kujipa moyo tu😂

  • @simonnjenga7173
    @simonnjenga7173 Месяц назад +7

    Ndacha is the man of God... He is my guy in one religion.... E truth in you is the light of the world

    • @anwarambar6141
      @anwarambar6141 Месяц назад

      eti Ndacha ni A man of God usiwachekeshe walio nuna

    • @simonnjenga7173
      @simonnjenga7173 Месяц назад

      @@anwarambar6141 a Bible ilikuja kabla Quran haijadika... bible Niya 600Bc bt Quran ni ya 7 century... Waislamu mlicook vitu kutoka kwa bible... Enda kwa historia uone gani ndio ilitanguliq ndio uanze kupingana ...

    • @barutiabuu9492
      @barutiabuu9492 26 дней назад

      Look at what the old man is saying, let's come to Islam so that the infidels don't die

    • @simonnjenga7173
      @simonnjenga7173 26 дней назад +1

      @@barutiabuu9492 I can't join dini ya waaasi na kuuwa watu ety mwende mbinguni direct... What is that.... Mjifunze kuwa wema kwa ata...

    • @simonnjenga7173
      @simonnjenga7173 26 дней назад +1

      @@anwarambar6141 bible ilikuja mbele ya Quran na mambo iko kwa bible ndio imefogged to Quran... Mkibwdilisha majina ety yesu khisa.... My friend go back to the root

  • @jamalkishangu
    @jamalkishangu Месяц назад +1

    Kazi nzuri huwenda wakaijuondoa matanga poli wakamjua Mungu wa kweli.

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 Месяц назад +3

    Ndacha neno like ndani yako na umefundisha vizuri

  • @jonasmumbere5416
    @jonasmumbere5416 26 дней назад +3

    Ndacha akafanya niwe mchristo . Mungu akuzidishiyee

  • @ngangangara6526
    @ngangangara6526 13 дней назад

    God bless u ndacha.

  • @AliHassanAli-jd9ru
    @AliHassanAli-jd9ru Месяц назад +4

    Assalam Aleikum Warahmatullah Wabarakatuh mashallah sheikh ramadhan Allah akulinde sheikh wangu

  • @MichaelDonaldnchingaMichaelDon
    @MichaelDonaldnchingaMichaelDon 19 дней назад +1

    Akili ndongo sana Mungu ana zaa kwa neno yani anatamka inakuwa, Au unafili anatanua miguu mtoto anatoka,ii niakili ya kislamu

    • @swafiirbulbul819
      @swafiirbulbul819 15 дней назад

      "Mungu anatamka, inakuwa" .... Hii ndio imani ya Kiislamu.. Karibu kwenye dini ya kweli ❤

  • @abduljaffer
    @abduljaffer Месяц назад +5

    Eti Mungu amefanyika mwili. Msiba huu. Mungu haonekani please wala kivuli ya kubasilika ❤

    • @SiriliNachan
      @SiriliNachan Месяц назад

      Soma bibilia

    • @prochesernest5439
      @prochesernest5439 Месяц назад

      Allah Sio Mungu WA kweli huyo ni kiumbe

    • @SiriliNachan
      @SiriliNachan Месяц назад

      @@prochesernest5439 na hawaamin ukiwauliza kwann wanasujudia kuelekea al kaaba wanakwambia n umoja

    • @kennodhiambo
      @kennodhiambo Месяц назад

      @@prochesernest5439 ongeza volume

    • @kennodhiambo
      @kennodhiambo Месяц назад +1

      Kama jini anaweza kujibadilisha awe mnyama, ndege, binadamu n.k. Mungu muumba wa viumbe vyote yeye hawezi! Sisi tunajua ni Shetani hawezi kubadilika kwa hivyo kama Allah hawezi kubadilika basi yeye si yuko sawa na Shetani. Enyewe hata sifa zake kama Al-Makir, Al-Muzil ni sawa na sifa za Shetani

  • @PasserbyMan-ju8ky
    @PasserbyMan-ju8ky Месяц назад +7

    Mimi maranyingi hua na sema ndacha hoja za kikiristo haziendi isipokua ujisahaulishe maandiko mengine 18:32 hapa ndacha kajisahaulisha andiko la yohana 20:17...naenda kwa baba yangu naye ni baba yenu,kwa mungu wangu nae ni mungu wenu,na andiko la matayo 27:46 mungu wangu mungu wangu mbona unaniacha.Na mengine mengi.
    HUU NI UPOTOSHAJI
    Eti yesu kwenye bibilia ajasema mungu angu bali anasema baba yangu,mwalimu mzima anaongopa mchana kweupeeeeeee😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣✍️

    • @muznazahra455
      @muznazahra455 Месяц назад

      Kazi nzuri watu waache kuichanganya na kumshirikisha Allah,au kumwekea Allah MSHRIKA,NA YOTE HAYO AMESHAYAKATAZA HADI KATIKA VITABU VYAO ,KWA HIVYO LENGO NI KUJIFUNZA NA KUJUA IMANI YAKO IKO SWAHIH AU LA....ALLAH AWALIPE KILA LA KHERI KWA KAZI YENU NZURI YA USHIRIKIANO KWA nia ya kuwaamsha wengi...

    • @muznazahra455
      @muznazahra455 Месяц назад

      Amri kumi alizopewa Nabii Musa amri ya kwanza ilisema usimshirikishe M.Mungu na kitu kingine ,Mungu watatu anatoka wapi? Tuwafuwafuate vipi wakati nyinyi mnaenda kijume na maandiko yaliyoko ndani ya Bibilia na ,hamuwelewi maana ya mwana kabisaaaaa ,

    • @brightzone.
      @brightzone. Месяц назад

      @passerbyMan-ju8ky Tatizo ni swala la utambuzi tu.
      Jiulize swali moja.
      Kwanini Yesu hakusema naenda kwa Baba yetu au Naenda kwa Mungu wetu?
      Bali alisema kwamba,
      Naenda kwa Baba yangu ambae ni Baba yenu, kwa Mungu wangu ambae ni Mungu wenu - jiulieze na uelewe huo utofauti.
      Vile vile,
      Ni kweli yesu alisema Mungu wangu, Mungu wangu mbona umeniacha.
      Lakini kwa kauli hiyo Yesu alikua anakamlisha ufunuo katika kitabu cha Zaburi 22:1
      Zaburi 22:1 inasema kama yesu alichokisema - Mungu wangu, Mungu wangu mbona umeniacha?

    • @PasserbyMan-ju8ky
      @PasserbyMan-ju8ky Месяц назад

      ​​@@brightzone.Ndivyo mnavyo ongopewa?hapo unataka kumfundusha yesu Cha kusema,maneno Yapo mengi mtuhuchagua neno Gani aseme, Sasa ulitaka aseme naenda kwa baba yetu nae ni baba yenu?😂
      Mtu kusema huyu ni baba yangu na ni baba yako wewe,hii ni kauli ya kuonyesha msisitizo ,ama kusema huyu ni baba yetu hii nikauli ya kawaida,kibibilia mungu kuitwa baba amanishi amezaa ni baba kiulezi wa Imani
      Na mzaliwa wa kwana ni mzaliwa wa kwanza kiimani,
      Na mwana ni mwana kiimani
      Na mwana wapekee
      Ni mwana wa pekee kiimani.hapo ndipo mlipo feli wakristo,na ndio mana kibibilia ukimwamini mungu unafanyika kuwa mwanae yohan 1:12 hivi munasoma bibilia au munasomewa?poleni😊

    • @brightzone.
      @brightzone. Месяц назад

      @@PasserbyMan-ju8ky umesema vyema. Mungu kuitwa baba kibiblia.
      Jinsi tulivyo sisi na alivyo Yesu kwa Mungu Baba ni tofauti.
      Sisi ni wana wa Mungu kiimani.
      Yesu ni mwana wa Mungu wa kuzaa.
      Na ndio maana Yesu akasema naenda kwa Baba yangu ambaye ni baba yenu, Mungu wangu ambae ni Mungu wenu.
      Na hiki ndio kitu tofauti na Uislamu.
      Allah hawezi kuwa baba kwa namna yoyote ile. Kila muislamu anajua kwamba ni kufuru kumuita Allah Baba.
      Niko hapa tujifunze.
      Njoo tena tujadiliane ndugu.

  • @minaniyasini7834
    @minaniyasini7834 Месяц назад +5

    Allah awajaliye afya njema na subra wahadhiri wetu

    • @YusufAli-gc9cu
      @YusufAli-gc9cu Месяц назад

      ruclips.net/video/L_iOjl7Pn0s/видео.htmlsi=UjcPhUHJbuHpNhdr

  • @HabibuabdiAmiri-xi4fi
    @HabibuabdiAmiri-xi4fi 10 дней назад

    She ramadhan mungu akubarik

  • @adanabdi5249
    @adanabdi5249 Месяц назад +7

    May Allah guide him.

  • @innocentndikumana8928
    @innocentndikumana8928 Месяц назад +2

    mashallah sheikh Ramazani mwenye akiri timamo amesikiya

  • @adilmohamed2117
    @adilmohamed2117 Месяц назад +1

    Allah awajalie mashekhe wetu uwislam tume utupa kwenye hi ibada

  • @deogratiusthobias4322
    @deogratiusthobias4322 3 дня назад

    Hongereni walimu,nyie mmetulia kila mtu anampa mwenzie kujieleza,Sio kina Mazinge makele tu kama walevi,nyie ni big up kila mtu ameelewa kwa iman yake,Ndacha nakuelewa

  • @EmmanuelPaul-l6p
    @EmmanuelPaul-l6p 25 дней назад +1

    Yesu kristo kwani ni jina moja hapo ndipo jibu lilipo kwa maana ya kwamba hukaa ndani yangu nami ndani yake

  • @oldpoultry9341
    @oldpoultry9341 Месяц назад

    Masha’allaah Mashekhe wetu Allah azidi kuwapa tawfiq yaarabbal alamin.

  • @franchise.licensing.institute
    @franchise.licensing.institute 19 дней назад

    I love the maturity in this discussion.

  • @QualityBrand-cc2fn
    @QualityBrand-cc2fn Месяц назад +1

    alhamdulillah, maashaallah mwalim

  • @khatybzuber9744
    @khatybzuber9744 13 дней назад

    asalam aleykum
    ALLAH akuhifadhi sheikh ramadhan
    nashauri ndacha awe anaheshimu QUR AN asiwekee simu na aishike kwa nidhamu mzingatie hilo

  • @alyaqdhan5206
    @alyaqdhan5206 Месяц назад

    Jazaka Allah Kheir Sheikh Ramadhan

  • @muznazahra455
    @muznazahra455 Месяц назад

    Jazakumullah khair InshaAllah...

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi1725 Месяц назад +3

    Huyu ndacha ana juwa vizuri sana ukweli ulipo, lakini subhana Allah, bado Allah haja mchaguwa, asa yaarab Allah amhidi na amu ongoze katika njia ya haqi

    • @kennodhiambo
      @kennodhiambo Месяц назад

      Haki iko wapi katika uislamu, hebu nielezee vile unaweza kumueleza mtoto mdogo aelewe

    • @rayaalhabsi1725
      @rayaalhabsi1725 Месяц назад +1

      @@kennodhiambo fanya utafiti uta ona haki iko wapi

    • @kennodhiambo
      @kennodhiambo Месяц назад

      @@rayaalhabsi1725 haki ya uislamu ndiyo hii
      Quran 2:191 “Slay the unbelievers wherever you find them.”
      Quran 3:28 “Muslims must not take infidels as friends”
      Quran 3:85 “Any religion other than Islam is not acceptable”
      Quran 5:33 “Maim and crucify the infidels if they criticize Islam”
      Quran 8:12 “Terrorize and behead those who believe in scriptures other than Quran”
      Quran 8:60 “Muslims must muster all weapons to terrorize the infidels”
      Quran 8:65 “The unbelievers are stupid; urge the Muslims to fight them”
      Quran 9:5 “Whenever opportunity arises, kill the infidels wherever you catch them”
      Quran 9:123 “Make war on infidels living in your neighborhood”
      Quran 47:4 “Do not hanker for peace with infidels; behead them when you catch them
      jisomee katika lugha utaelewa vizuri hata kama ni kiarabu lugha ya Mungu wenu

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw Месяц назад

      Hajuwi vizuri angejuwa angesilimu

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw Месяц назад

      ​@@kennodhiambonitumie namba yako nikununulie qur an uiyone haki

  • @AbdikadirGarbole-re2xy
    @AbdikadirGarbole-re2xy Месяц назад

    MashaALLAH Ramadhan ALLAH akupe maisha marefu , ndacha mpaka asilimu asitoke hapa

  • @HamdiNuh
    @HamdiNuh Месяц назад

    kazi nzuri sana jazakallahu kheir

  • @NasirKasim-wy5dz
    @NasirKasim-wy5dz Месяц назад +3

    Asalam alaykum nawapongeza kwa mjadala mm ni abdi nassir ndacha anatumia uwongo kwa mfano 19.71 kurani akasema Wala akunakatika nyinyi ilaniwenye kiifikia jahanam akasema waislam bila.kusoma 69 na 72 iliajue s waislam wanaoambiwa s unaona ujanja huo ogopeni mungu musifurahishe tu watu mm Niko namanga

  • @ChumiaThobias-fj3jr
    @ChumiaThobias-fj3jr 2 дня назад

    ongeleni kwa kulitangaz jina la yesu

  • @abdallahmohamed2221
    @abdallahmohamed2221 Месяц назад

    Baarakallahu fiikum straight path daawah

  • @geoffreyobegi1768
    @geoffreyobegi1768 25 дней назад +1

    Yesu angekuja na nguvu zote za mbinguni hakuna mtu angemkalibia so he come like anybody else ili tumkalibie tw😢😢

  • @user-ob3no3tj3n
    @user-ob3no3tj3n Месяц назад

    MASHAALLAH ALLAH S.W.T akuongoze akupe afya na maisha marefu ili uwalete hao wanaoshirikisha ALLAH S.W.T katika njia ilio nyoka (street path )watoke ngiza waje nuruu na dacha ALLAH S.W.T amuongoze amulete nuruu. Dacha anajua ukweli lakini sababu ya pesa hawezi

  • @MohamedMeja
    @MohamedMeja Месяц назад

    Masha allah ramadhani kuria kwa kazi yakoo mungu akupea nguvuu

  • @MejumaaRashid-s8g
    @MejumaaRashid-s8g Месяц назад

    Mshallah kazi nzuri mashkehi wetu na pasta in shaa Allah ata silimu tu

  • @user-rc7oi2hp8l
    @user-rc7oi2hp8l Месяц назад

    Ustadh khalifa hogera umetulia kazi nzuri ma sha Allah

  • @allialfani8195
    @allialfani8195 6 дней назад

    Mungu awajalie mumeongea kwautulivu
    Na wahadhili wengine wajigunze kwa Ramadhani Mungu aendelee kukupa hekima namalifa utulivu wa akili

  • @user-ek7bx6sk6f
    @user-ek7bx6sk6f Месяц назад

    Assalamualaikum warahmatullah wabarakatuh nimependa hiki kipindi ,ALLAH Akulipe Kila lakheri ustadh kwa kuzidi kuipambaniya dini Ya ALLAH ,ila ningependa tu kugusiya pastor ndacha nimewahi kufatiliya mdahalo wako ukihakikishiya Watu kuwa yesu Ni MUNGU ila Leo umeeleza tena kuwa yesu sii MUNGU ni Vizuri Sana kwa kijikosowa kwenye kauli zako

  • @josephobaga8366
    @josephobaga8366 Месяц назад +2

    Ramadhan ndiye muhislamu ambaye anapea mtu nafasi ya kuji eleza halafu mwishowe mahali mtu amekosea anamukosoa,mungu azidi kukuweka duniani ili kutuelimisha huenda Kuna wakati nitakuja kusilimu

  • @isayaogola8733
    @isayaogola8733 Месяц назад +7

    Ndacha hoja zako zina nguvu Mungu azidi kukutmia

    • @barutiabuu9492
      @barutiabuu9492 26 дней назад

      Kusilimu ni bure njoni msife makafir mumeona wap mungu akizaa watoto

  • @RAMATHANI-eu5dk
    @RAMATHANI-eu5dk Месяц назад

    Aslam alykum cheikh wetu, Aksanti sana kwa kumupa darassa NDAca , Mungu musaidiye asikilize na alewe.

  • @alphonseziragora5151
    @alphonseziragora5151 4 дня назад

    Ndio, Yesu ni Mwana wa Mungu. Ndacha ni mkweli kbs.

  • @user-qo7wm7ej2c
    @user-qo7wm7ej2c 28 дней назад

    Ustadh Ramadan mungu ndeye atakulipa jaza yako kwa mungu

  • @CarolyneMutindi-k8k
    @CarolyneMutindi-k8k 11 дней назад

    Yesu ni mungu wacha .halikuja kama an expresion of Gods image akafanyika mwili

  • @brightzone.
    @brightzone. Месяц назад +1

    Mungu wa Waislamu (Allah) hawezi kuzaa kwa sababu hana mke.
    Lazima awe n mke ili azae. Maana yake ni kwamba allah ni tegemezi.
    Mungu wa wakristo ni yule aiseyegemezi anaweza akawa na mwana bila kutegemea chochote kupata mwana.
    Quran 6:101 Allah hawezi kuwa na mwana hadi awe na mke.
    Kwa kuwa hana mke na ndio maana hana mwana.

  • @carolinelucky9199
    @carolinelucky9199 28 дней назад +1

    Nyinyi mta chomeka nani kawabia mungu anataka mizani....na mukome mungu mwenye tuna homba ni wetu zote hufai kujanji...na mkome

  • @chapchap-oz1ou
    @chapchap-oz1ou Месяц назад +2

    Akili za Ndacha ziko kwa Yesu Kristo wa Biblia....Ramadhan na mwenzake wanaongea kuhusu yesu copy aitwaye issa bin maryam.....kuelewana kati yao ni ngumu!!
    Mngesafisha mazingira ya kutambua tofauti ya Yesu na issa!!
    Nyote mko chini sana kwa mada hiyo!!

  • @oscarwilliam8341
    @oscarwilliam8341 Месяц назад +2

    Ndacha nimekuelewa sana sema hawa waislamu Baazi mungu kashatia vifuniko mioyo yao maana hata ukiwafundisha hawatajua

    • @Bahati47
      @Bahati47 Месяц назад

      Kwa mafundisho haya yakufanyika mwili akafanyika nyama? Bado hmjatupata

    • @oscarwilliam8341
      @oscarwilliam8341 Месяц назад

      @@Bahati47 sio kazi yetu mungu ndio atafanya iyo kukutoa uko

    • @Noorein-ws8wk
      @Noorein-ws8wk Месяц назад

      Kama Mmungu katutia vifuniko tusiseme Mmungu ana mwana basi namuomba Mmungu atuzidishie vifuniko ili tusiseme km Mmungu ana mwana.❤

    • @barutiabuu9492
      @barutiabuu9492 26 дней назад

      Kaka ukisikiliza vizur hii hoja bas hutoweza Hata kumpongeza ndacha kwa alivyo jichnganya shida yenu wa kristo huwa hamtak kusoma zaid yakupiga tu makelele mitaani ila kusoma hamtak mnasomewa tu so kusilimu ni bure kalibuni sana kwenye dini. Ya mungu ili msife makafiri

  • @salimjuma9837
    @salimjuma9837 Месяц назад +1

    MASHALLAH SHEIKH RAMADHAN

  • @MaximillaAkai
    @MaximillaAkai 5 дней назад

    Yesu ni mwana wa mungu alie juu, na kila Ulimi asemae yesu ni mwana wa mungu ataokolewa

  • @jimmymatheka2697
    @jimmymatheka2697 Месяц назад +3

    Hakuna muislam anaweza kutetea imani ya kiislamu

    • @thekingdragon8358
      @thekingdragon8358 Месяц назад

      naona waota mchana uislamu uo wenyewe unajitetea una msimamo nyie ndo hamuez kutetea ukisto sababu kwanza yesu hakuanzisha ukirsto wala kujenga ama kuingia kanisani hzio ni mbinu za kishetani kupoteza mwanadamu ndio wakaunda bibilia kwa maandiko yao na kutumbukiza baadhi ya maneno ya dini

  • @ROGUESON-wb2ts
    @ROGUESON-wb2ts Месяц назад +1

    Allah akuzidishie hekma

  • @soudia9084
    @soudia9084 7 дней назад

    mwenyenzi Mungu alijua kuwa hataki wajukuu wala virembwe, ndio maana wachungaji hawaowi ili wasipate watoto, au nimekosea, na ilivyokuwa hakuzaa wala kuzaliwa.

  • @muznazahra455
    @muznazahra455 Месяц назад

    InshaAllah step by step nuru ya Hidaya itakuja kuenea ulimwengu mzima ,kwa hivyo Ndacha pia ni maalumat yameongezeka na kupata kujua kuwa Yesu siyo Mungu,binadamu wote siku zetu zote haziwi sawa ,tuzidi kupanda marhala za juu siku baada ya siku...na Ndacha pia twamuombea Hidaya na wengine wengi kama yeye..

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv Месяц назад

    MASHA ALLAH 💚

  • @FIDELBALUMEJOSEPH
    @FIDELBALUMEJOSEPH Месяц назад +3

    mchungaji ndacha , mungu akulinde na akupe maisha marefu ili utangaze habari njema duniani kwote na mataifa yote wajuwe ya kwamba yesu nibwana , na mokozi wa dunia

  • @gibsonmonari
    @gibsonmonari Месяц назад

    Kazi nzuri ndacha

  • @adrisshagi1255
    @adrisshagi1255 Месяц назад +2

    Wale wana pendana ki dugu hu itana na nzuri sisi wa comment . Tuwe na adabu ya ku sikiza wa. Nduge zetu

  • @josemu870
    @josemu870 Месяц назад

    Allah amuongeze nguvu amulide ampe afya dawa iendelee kwa neema ya uislamu barikiweni sana sana kwa mafundisho bora Allhamdhillah

  • @josephineobure3420
    @josephineobure3420 Месяц назад +1

    Mwalimu Ndacha barikiwa sana kwa kujitolea kuwaelezea ukweli ili na hao waamini Yesu kristo ni mwana wa MUNGU aliyetukufia msalabani ili tukombolewa sisi wenye dhambi ili tumtambue yeye ndo njia ,ukweli na uzima wa milele.

  • @Fardadihd
    @Fardadihd Месяц назад +9

    Na yeye ndacha si kasema yesu ni mungu😅😅😅 sasa haeleweki😂😂

    • @user-rn2fs5jg6n
      @user-rn2fs5jg6n Месяц назад +1

      Huwa hawaeleweki hawa. Wakibanwa vizuri wanasema bila roho mtakatifu huwezi kuelewa wakati maandiko yako wazi

    • @mobutu3884
      @mobutu3884 Месяц назад +2

      Hivi nyie mnasikilizaga mjadala kweli?😂 hebu sikilizeni kwa umakini kuanzia 1:18 :01 mpaka walipoishia mtaelewa, acheni kusikiliza huku mkiwa na yenu vichwani sikilizeni kwa kuelewa au nyie mnatumiwaga mijadala mingine tofauti na huu?😂

    • @jeffmwangemihsc4309
      @jeffmwangemihsc4309 Месяц назад

      @@user-rn2fs5jg6n
      mfano mmoja mzuri wa muislamu bila Roho Mtakatifu ni Yohana 17:3 amabyo kwa akili zake iko wazi lakini walimu wenu wainaipatia tafsiri ya issa.

    • @abuumaryam1922
      @abuumaryam1922 Месяц назад

      1

  • @FarajiSalimu
    @FarajiSalimu Месяц назад

    maashallah umefanya vrz sana shekh

  • @sumbamkali8435
    @sumbamkali8435 Месяц назад

    Mashalah ustath

  • @IsmailJafary-ir8cv
    @IsmailJafary-ir8cv Месяц назад

    Takbirr❤❤

  • @lujjainaKp
    @lujjainaKp Месяц назад +2

    Mwanzo alisema yesu ndie mungu sasa amekata 😂😂😂😂😂 dah pesa mbaya

  • @zahraabdul9652
    @zahraabdul9652 Месяц назад +3

    Pastor ndacha unaelezea yesu mwenye umjui waislamu assalamu Alaikum warahmatulahi wabarakatuh sii tushukuru Mungu kwa kutujulisha mengi kuhusu mitume wote allihamudulila (tujitahidi kitafuta pepo Isa -bin Mariam karibu anarudi na vile munavyio juwa yeye ndie atakuwa swalisha )hiyo siku 😢 jee Imani mtakuwa Bado nayo ? Allah atusaidie tusipotoshwe 😢🤲🤲🙏

    • @ronaldmatimbo9691
      @ronaldmatimbo9691 Месяц назад

      Umepotea wewe...

    • @SiriliNachan
      @SiriliNachan Месяц назад

      Umekwishakupotea

    • @zahraabdul9652
      @zahraabdul9652 Месяц назад

      @@SiriliNachan nyie mlie kwa ukweli mjuzi lolote Allah awasaidie

    • @zahraabdul9652
      @zahraabdul9652 Месяц назад

      @@ronaldmatimbo9691 wewe ulie kwa njia nzuri nakwombea

    • @SiriliNachan
      @SiriliNachan Месяц назад +1

      @@zahraabdul9652 na yesu mwenywe ndo atakuja kutuchukua wafuasi wake😊

  • @aishahazary4097
    @aishahazary4097 Месяц назад

    ALLAH akuongoze Ndacha usilim kabla ya umauti ili usalimike na moto wa Jehannam.

  • @EmmanuelPaul-l6p
    @EmmanuelPaul-l6p 25 дней назад

    Kufanyika kwa vituvyote kupitia mwana ni swala la sisi kujua kwamba Mungu alipenda tuishi kwa kushirikiana kama alivyofanya yeye kwakuwa hata mwiliwetu tu unategemeana. Macho miguu mdomo pua sikio kwahiyo ishu ni ubinafsi ila jibu ni mungu aliumba kilakitu

  • @user-dt5wp5qo4n
    @user-dt5wp5qo4n Месяц назад +1

    Mchungaji ndacha anaeleza vizuri kabsa,mwenye akili na asikiye,na mbishi aendele kubishi

  • @peterwandena8206
    @peterwandena8206 29 дней назад

    Ndacha uko sawa kwa kujibu swali lakini huyu (kuria) na mwenzake wajue biblia haitafusiliwi na mwili,.. kama ameshidwa kutabua ulimi wa mtu kwa kiroho ni karamu mahali pengine biblia inasema tuwe kama barua inayosomeka! pole sana shehe,,😮

  • @muznazahra455
    @muznazahra455 Месяц назад

    Waaleikum Salaam warahmatullah wabarakatuh

  • @edingollow9446
    @edingollow9446 Месяц назад

    Subhanallah huyu ndacha ananichangaza sana Kwa sema yesu ni mungu mara ni mungu ni baba ya yesu,,

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 Месяц назад

    Mjadaja mzuri sana mashallah.
    Ndacha anajuwa ukweli ila anakaushiya tu.

  • @mohammedbadi6757
    @mohammedbadi6757 Месяц назад

    ALLAHUMMA BARIK.

  • @user-du2fy5sd5u
    @user-du2fy5sd5u Месяц назад

    مشأ الله تبارك الله

  • @user-jv8jk7gg8g
    @user-jv8jk7gg8g 28 дней назад

    Mungu wa kweli na wapekee na awape mafunuo zaidi ya uchambuzi na mafundisho ya kweli ili kila.aaminie na kuifuta njia ya kweli ya uzima apate kuyapokea na kuifuta kweli yake

  • @kihimbamushyaibrahim7284
    @kihimbamushyaibrahim7284 Месяц назад +1

    Asalam alaikum barakallahu fiikum asante kumu karibisha Mualim Ndatcha ukweli ungeanza na aya suratul baqar 113 ma yahudi wanapo ansema manaswara hawako kwakitu,na wanaswara husema hivo hivo....mwisho sheikhe akikashfu lazima muwekee ukweli muhamad hakuwa anasoma nakuandika kwahivo hajasoma historia!!pia ndatcha nawenzetu muwaulizeni kwanini mungu aliangamiza Farah,karni zilizopita!!ukweli wanachanganya viumbe vyamungu wapi Musa,namitume wengine wanasema mungu anazaa?mwisho hatuwezi tukabaki kwautawala wa uhuru kinyata hivi niwaruto muhamad ametumwa kwawatu wote yesu kwa bani israeli ndatcha anajuwa vyema tunamuombea kuongoka!!

  • @HappyMunisi-ig6he
    @HappyMunisi-ig6he 19 дней назад

    Hahaaaa waislamu washenzi sana,,kwa hiyo mnaamini mwarabu ndoanajua habari za mbinguni kuliko Musa au

  • @ismailkasim9060
    @ismailkasim9060 Месяц назад +1

    Ndacha anajichanganya Wiki iliyopita alikua anamtetea yesu kua mungu Mbele ya DR sule Leo anasema mungu 1 tu

  • @KhamisJuma-ni1vk
    @KhamisJuma-ni1vk Месяц назад

    Masha Allah Sheikh Ramadhani Kwa Mafundisho

  • @HabibaMussa-mf3ny
    @HabibaMussa-mf3ny Месяц назад

    Asalaam alykum.allah amuongoze ndacha ktk njia ilionyooka,maana amefunikwa nakitu kizito sana naanatia huruma sana.allah muongozee

  • @SaluBadri
    @SaluBadri Месяц назад +1

    Allah amuongoze kwa hayo