WACHUNGAJI WATATU WAKIMBIA HOJA NA KUACHA KONDOO WAO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 сен 2024
  • Please subscribe to STRAIGHT PATH DAWAH channel for more videos.

Комментарии • 290

  • @aminashabangonzi4020
    @aminashabangonzi4020 Год назад +24

    Uzur wa Uislam unajieleza wenyew na hata muwe million mtu mmoja tu atosha kuwaelemisha🥰. Shekh wetu Allah akulinde yn hapo wanataman wakupige🤣🤣 namn ukwel unavyowaingia yn wanatafutan🤣🤣. Alhamdulillah am proud to be Muslim 🥰🥰🥰

    • @jaffarymsofe7070
      @jaffarymsofe7070 Год назад

      Thankx Allah subhannahwataallah

    • @jaffarymsofe7070
      @jaffarymsofe7070 Год назад

      YAA ALHAYU ALQAYUM LAA ILA HAILA ANTA

    • @juliuswaitathu8995
      @juliuswaitathu8995 Год назад

      @Aminashaban gonzi:::Kama Aya moja tu inashida waislamu (Quran 2:97) adui ya jibril mnasema ni jibrill achaneni na wakristo

    • @MohamedKhalifa-mx8ls
      @MohamedKhalifa-mx8ls Месяц назад

      Naomba kuliza isa na yesu ni mtuu Moja au ni wawili maana yesu kazaliwa kwenye zizi la ngombi na isa kazaliwa kwenyemtende namba msaada hpo

  • @samxx411
    @samxx411 Год назад +12

    Sheikh umealikwa nenda tunakuamini na Allah atakusaidia inshallah na atakuzidishia zaidi na zaidi

  • @andallaathman3856
    @andallaathman3856 Год назад +11

    Mashaa llah Simba wetu mungu akuhifadhi tunasubiri party 2

  • @maherzain615
    @maherzain615 Год назад +17

    Allah akuongeze elimu,hekima na ushujaa sheikh Ramadan.

  • @janieali5521
    @janieali5521 Год назад +10

    That was one man show.among a bunch of pastors and in the end they run away.
    MASHAALLAH Sheikh for the good work.

  • @samxx411
    @samxx411 Год назад +8

    Naam sheikh kusemezena katika maandiko ni muhimu sana na ndio kazi ya manabii. Tumeitwa umma bora kwasababu tunaamrishana mema na tunakatazana mabaya ila siku hizi masheikh wameacha hii kazi wapo wanagombana wao kwa wao wameacha kazi tuliyoamrishwa na Allah, Mungu atuongoe sote

  • @zahorsuleyman7617
    @zahorsuleyman7617 8 месяцев назад +1

    Mashallah,yaani dah!! Mungu akupe umri mrefu maana dozi Yako kiboko,Hakuna asiepona unaempa.

  • @maherzain615
    @maherzain615 Год назад +29

    Wachungaji wanamjua yesu zaidi kumshinda yesu mwenyewe.uesu asema ye nibinadamu wao wasema La ww ni mungu. Allah awaongoze

  • @nooroman2535
    @nooroman2535 Год назад +6

    MashaAllah shelkh Ramadhani Allah hakupe afya njema na umuli mrefu lnshaallah

  • @mariamfouziawairimu7991
    @mariamfouziawairimu7991 Год назад +6

    Subhana'Allah! Kwa kweli Mwenyezi Mungu amekupa subra. Akuzidishie na akuneemeshe zaidi Maalim!

  • @herbeebswaleh8428
    @herbeebswaleh8428 8 месяцев назад +1

    Wallahi sheikh ramadhan Allah akujaze subra n ikhlasi kwa kazi unayoifanya. Ama mola ajalie kulainika nyoyo zao waione haqi na kuifata wasilimu 🤲

  • @BASHIR-IBRAHIM
    @BASHIR-IBRAHIM Год назад +13

    Masha Allah sheikh Ramadan
    May ALLAH reward u in this world and here after
    Keep spreading the word of GOD

  • @guenterernst5481
    @guenterernst5481 Год назад +7

    Nasubiri ya kwenda kanisani nimecheka sana Allah awabariki

  • @maherzain615
    @maherzain615 Год назад +7

    لاإله إلا الله محمد رسول الله

  • @aumuelly2909
    @aumuelly2909 8 месяцев назад +1

    Allwah akupe umri mrefu wenye subira na yy Allwah awajaalie wazazi wako awasafishenyozao kwimani zao waukubali uislam ❤❤❤❤❤

  • @ukweliwauislamu9590
    @ukweliwauislamu9590 Год назад +5

    Masha Allah ustadh you are doing great job and please continue doing it JazakAllahu kheyran

  • @user-rc7oi2hp8l
    @user-rc7oi2hp8l 6 месяцев назад +1

    Allah amlinde n watu wabaya walim wetu nawapenda kw ajili y Allah

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Год назад +3

    Maashaallah Tabarakallah mashehe zetu

  • @al-hidayahonlinetv3447
    @al-hidayahonlinetv3447 Год назад +4

    BARAKKA ALLAHU FIIQ@ BIN KAGUO

  • @jamilaomari2444
    @jamilaomari2444 Год назад +5

    MashaAllah tabarkallah,, duu,,kazi upo!

  • @rizikiali328
    @rizikiali328 Год назад +2

    Mashallah sheikh Ramadhan Allah akuhifadhi Kwa kazi ngumu unayo fanya hawa hawajamjua mungu ni Nani hiyo ndio shida yao

  • @omarshaban4735
    @omarshaban4735 Год назад +3

    Masha Allah sheikh ramadhan

  • @hafsakirao398
    @hafsakirao398 Год назад +3

    JazakAllah Kheir. Alie na masikio naasikie, clear as crystal.

  • @tumajunior6080
    @tumajunior6080 Год назад +2

    Mashaallah Allah akulipe ujira mkubwa hapa duniani na kesho akhera kwa kz ngumu ya kuelewesha watu ambao wanaficha ukweli ili watu wazidi kupotea☝🤲🤲🤲🥰🥰👌

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 Год назад +5

    Masha Allah

  • @sulimankarusi8345
    @sulimankarusi8345 Год назад +3

    Mashallah ya sheikh

  • @ahmedashur2994
    @ahmedashur2994 3 месяца назад

    Mashallah ustadh Ramadhan ALLAH AKUHIFADHI na AKUPE nguvu ueneza DAWAA.AMEEN.

  • @hammerandnail7111
    @hammerandnail7111 Год назад +2

    Mashallah Bin Kaguo Allah akuoze wanne!

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 Год назад +5

    Tumuombe الله siku ya mwisho atuletee haya mazungumzo ya leo. Ndo mtajua hamjui, الله awaongoze muione hakki.

  • @sarahmussa7043
    @sarahmussa7043 Год назад +1

    Mwenyezimungu awape afya mashekhe zetu Insha Allah

  • @isseamin2017
    @isseamin2017 Год назад +5

    May Allah Grant sh Ramadan Janah

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 Год назад +6

    Jamani Yesu anakazi ya ziada na hawa watu 🤔. Akili zao zimeblock kabisa. Allah awaongoze.

  • @ndayambajefikirini7252
    @ndayambajefikirini7252 Год назад +2

    Allah atakulipeni tuone elimu yakumjua mungu mmoja wengi hawajui

  • @faridahkavochi8079
    @faridahkavochi8079 Год назад +3

    Mashaallah tabarak Allah

  • @jamaljama1093
    @jamaljama1093 Год назад +3

    Masha Allah sh Ramadhan kazi bado iko jakaranda 😂

  • @stoispapi2380
    @stoispapi2380 Год назад +10

    Wakristo na biblia ni vitu mbili tofauti sana ...
    Wakristo wanaiongoza biblia badala ya biblia kuwaongoza.

  • @zuenajuma-si7wp
    @zuenajuma-si7wp 8 месяцев назад

    Mashaallah sheh unatupatia maneno mazur ya kujua zaid din ya kweli ni ipi

  • @malikdodo5190
    @malikdodo5190 Год назад +3

    Nimeipata sauti. Alhamduli-llah

  • @salihassan4655
    @salihassan4655 Год назад +2

    Allah awape subra ma sheikh wetu na afya manake hii kaz ni ngumu kwa kweli khaa ....ila kuna sehemu unacheka mwanadamu 😁😁😁

  • @PaulineBashange-cm7lw
    @PaulineBashange-cm7lw Год назад +1

    Mash' Allah ... Kazi njema hiyo Allah SW Awalipe malipo makubwa.

  • @omarsulaymanali7380
    @omarsulaymanali7380 Год назад +4

    Masha Allah, My brothers IN Islam May the Almighty, the Creator, The KING Of the Universe Reward you in the day Of Judgment, You Are doing the best job a human being does,

  • @maxozone3762
    @maxozone3762 5 месяцев назад

    Mashallah mungu akuzidishiye elmu ya dini

  • @luqmanalkindi8389
    @luqmanalkindi8389 Год назад +3

    Mungu akubarki

  • @Yu-jr9uf
    @Yu-jr9uf Год назад +1

    Assalaam alykum warahmatullah wabarakatuh! ndugu zangu waislam tunapoona mazungumzo kama haya kwanza tumuombe Allah atuzidishie imani na kisha tutambue neema kubwa kabisa ya uislamu tulionayo na tuitunze kama lulu!!!! wallah Allah ametupa fadhila kubwa sana kwa kutufanya sisi waislam angalia wasiokua waislam walivoipotea njia ya haqqi

  • @salminabuhudhaifa4273
    @salminabuhudhaifa4273 Год назад +3

    masha allah

  • @mosmart4718
    @mosmart4718 Год назад +8

    Wayahudi hawa tambui wajaluo na wa Afrika wengine. If you go to Israel today and tell them I am one of you they would laugh at you guys and deport you because right now they have hundreds of poor African immigrants in jail in the Israel desert.

    • @Sai.Mo69
      @Sai.Mo69 Год назад +1

      True kabisa! The KaMzungus who are the present day 'israelis' will deport these Jaduongs back to Lake Victoria!

  • @ashaomaromar8624
    @ashaomaromar8624 10 месяцев назад

    Masha allah sheik mnafanya kazi nzuri

  • @farhaadkassim4168
    @farhaadkassim4168 Год назад +1

    Subhanallah . Masha allah

  • @zuenajuma-si7wp
    @zuenajuma-si7wp 8 месяцев назад

    Mwenyezimungu akupe subra sheh wangu

  • @junicnamuwenge6957
    @junicnamuwenge6957 Год назад +1

    Amina Amina Amina 🤣🤣🤣🙏🙏🙏🙌🙌🙌🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬 Amen Bwana yesu asifiwe sana sana 🤝

  • @salimbilali5174
    @salimbilali5174 Год назад +3

    Uyo pastor amechoka

  • @AbdulIsmail-ie4hp
    @AbdulIsmail-ie4hp Месяц назад

    Shekhe Allah akulipe khery

  • @daudiitobi8051
    @daudiitobi8051 Год назад +2

    Mashaalla wakubali mungu moja halla akbar

  • @jamamohamednooh5802
    @jamamohamednooh5802 11 месяцев назад

    MASHALLAH sh ramadhan

  • @Ali-nl2du
    @Ali-nl2du Год назад

    Sheikh unajiamini. Maasha allah. Kaza buti, mwendo wako mzuri.

  • @mosmart4718
    @mosmart4718 Год назад +4

    Confusion continues. It’s sad hawana subira. They don’t trust their own book.

    • @janemwangi6932
      @janemwangi6932 Год назад +1

      Exactly Christians care less to study the scriptures like wa Islam study their Koran. Kama hawa ni wachungaji, washirika wako aje

  • @zuenajuma-si7wp
    @zuenajuma-si7wp 8 месяцев назад

    Shehe ramadhan mungu akupe.elim zaid ya hiyo ulio nay ili tupate kujua din ya kweli ni ipi

  • @daudyussuf8180
    @daudyussuf8180 Год назад +1

    Huyo muchungaji ataki kujua ni shuki na Mohamed s aw sisi atuna shuki na mitume wa mwenyezi mungu

  • @khalifaathuman6875
    @khalifaathuman6875 Год назад +5

    Ukristo ni mfumo wa kibinadamu ndio maana hakuna mkristo anayeweza kuutetea ukristo akitumia hicho kitabu cha Biblia kwani Biblia haitambui dini inayoitwa ukristo. Ukristo hutamkwa tu midomoni lakini kwa maandiko hakuna. Nafurahi kuwa Muislamu alhamdulillah.

  • @yajuesasa
    @yajuesasa 6 месяцев назад +1

    tak birrrrrr❤❤❤❤❤❤❤☝️

  • @Salaf12345
    @Salaf12345 Год назад

    Baarka Allah Sheikh Allah aku linde

  • @ahmedsalatbashir4380
    @ahmedsalatbashir4380 Год назад +2

    Keep going bro 🤲🤲🤲

  • @hamisijm8437
    @hamisijm8437 Год назад +1

    Masha allahy

  • @user-rc7oi2hp8l
    @user-rc7oi2hp8l 6 месяцев назад

    Ma sha Allah tabaraka llah

  • @nooor1120
    @nooor1120 Год назад +4

    Wakristo wanahepa suali hlf wanajichanganya.

  • @NoraKedir
    @NoraKedir Месяц назад

    Wakimbiya😂😂❤❤ wakiristo niwashukuru kitu wislam ndo dini

  • @IbrahimAhmed-fv9mv
    @IbrahimAhmed-fv9mv 18 дней назад

    Mashaallah

  • @zulficarbacarsuale6877
    @zulficarbacarsuale6877 Год назад

    Mashaa llah

  • @mosmart4718
    @mosmart4718 Год назад +9

    Ajabu there’s no one time pastors are ready for discussion. They have to consult someone or go to the library.

    • @solomonkuria4922
      @solomonkuria4922 Год назад +1

      Its because these pastors are sychophans....they have been brainwashed....inshort they're very confused.

  • @salmasalim6055
    @salmasalim6055 Год назад +1

    Ustadhi ramadhan leo umewekwa kati mpaka nimeogopa Allah akulinde na shari

  • @aresscompanyltd3131
    @aresscompanyltd3131 Год назад +1

    Mansha, allah

  • @user-mc2xd4eu2p
    @user-mc2xd4eu2p 8 месяцев назад

    Hawa ndugu zetu katika adam wakristo wanapenda shortcut yani wao wasifanye ibada wategemee yesu kuwabebea dhambi mtihani sana

  • @zaidumohammedzaidumohammed1367

    Ustadhi nakubali Kambi popote

  • @manchesterunited6076
    @manchesterunited6076 4 месяца назад

    Mashallah

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 Год назад

    Islam is the best religion,Alhamdullilah

  • @guenterernst5481
    @guenterernst5481 Год назад +4

    Aslkm ATI muisrael 😅

  • @abdallahjuma2608
    @abdallahjuma2608 8 месяцев назад

    Mashaallah ❤

  • @abdulalimellamy3714
    @abdulalimellamy3714 Год назад

    Sheikh Ramadhan Tafadhali kawa Tembelee watu wa Mpeketoni Lamu

  • @nooor1120
    @nooor1120 Год назад +4

    Mimi suala langu ikiwa mmungu kamtoa mwana wake wa pekee kwajili ya kuokoa binadamu wasipotee na ikiwa kamtoa huyo mwana ili wasipotee binadamu mbona wamepotea na dhambi zimezidi na wanauwa viumbe hawana hatia wanaiba, wanalewa wanazini sasa iko vipi hapo mbona dunia haijatulia?

    • @claudiabakisa8052
      @claudiabakisa8052 Год назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @nooor1120
      @nooor1120 Год назад +1

      @@claudiabakisa8052 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @claudiabakisa8052
      @claudiabakisa8052 Год назад

      @@nooor1120 yani nimecheka kweli

    • @nooor1120
      @nooor1120 Год назад +1

      @@claudiabakisa8052 Allah akupe furaha ya kheri ndugu yangu

    • @claudiabakisa8052
      @claudiabakisa8052 Год назад

      @@nooor1120 amiin.

  • @tbwoy216
    @tbwoy216 Год назад +1

    Wachungaji waongo hawaelewi sana..

  • @user-du2fy5sd5u
    @user-du2fy5sd5u 10 месяцев назад

    Allah awaongoze waja wake waliopotea

  • @Wida_de_boss
    @Wida_de_boss 9 месяцев назад

    Ramadhan mungu akuzidishie hekma na iman inshallah ila huyo mrefu amenichekesha ati mm nawawacha 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @zainaal-nabhani9034
    @zainaal-nabhani9034 Год назад

    Kazi ninzito lkn mungu akufanyiye wepesi shehewetu akulinde inshallah

  • @bukharytwaha680
    @bukharytwaha680 7 месяцев назад

    alhamdulilah

  • @florencelou
    @florencelou 7 месяцев назад

    My fellow christians Matthew 7:15
    [15]“Beware of false prophets, who come to you in sheep’s clothing, but inwardly they are ravenous wolves

  • @solomonkuria4922
    @solomonkuria4922 Год назад +1

    Msiwe waalimu wengi,msije mkahukumiwa.

  • @sulehassanshall6140
    @sulehassanshall6140 Год назад

    Mungu Awaongoze wenzetu wakiristo waki Afrika..wazungu waliwapoteza kwa Biskuti naperemende wakapelekwa kanisani kwa Shetani..wazungu wenyewe hawaendi makanisani wanajua kabisa kanisani Kuna mashetani nautapeli naubakaji.

  • @naimaabuualii578
    @naimaabuualii578 Год назад +2

    Part2

  • @nusafriksuk
    @nusafriksuk Год назад

    Allah Akbar

  • @SukainaShujaa
    @SukainaShujaa 2 месяца назад

    ❤❤

  • @charokazungu1655
    @charokazungu1655 Год назад

    Yesu na Isa ni vitu viwili tofauti

    • @user-rc7oi2hp8l
      @user-rc7oi2hp8l 6 месяцев назад

      Yesu n issa mwana wa marium Mtume wa mwenyez Mungu katumw kw Wana waezraeli

  • @eastafrica6858
    @eastafrica6858 Год назад

    Wa aqua ukweli upo ndio wameniambia sadaka watazikosa Wa kisima ukweli Muhammad na isaaa yesu mbinga mitume Wa mmungu mmoja hata yesubalimtabiri na mmungu k kaleta Muhammad saw Wa mwisho ilala wao ma na bee Wa uongo wanajotojeza kila siku mitume woote ni Wa mungu hamna na bee mungu ni ushrikina na uongo

  • @elishapeter2720
    @elishapeter2720 Год назад

    MIMI NAWAWACHA nimechela sawa akika ALLAH atupe mwisho mwema

  • @zenahjacob7773
    @zenahjacob7773 Год назад

    Mungu jina lake ni Yesu hata mkatae mwanzo 1:1 Yohana 1:1Yhana1:14Yohana8:12-19Yahana8:31t

    • @StraightPathDawah
      @StraightPathDawah  Год назад +1

      Unapata faida gani kumfanya MUNGU mtu?

    • @Asiyah2000
      @Asiyah2000 Год назад

      ​@@StraightPathDawah exactly 💯 😂😂

    • @dulividuli5237
      @dulividuli5237 Год назад

      Mungu anazaliwa na binaadam?

    • @user-rc7oi2hp8l
      @user-rc7oi2hp8l 6 месяцев назад

      Mungu anaenda choo, kula na kuchoka.kweli izo si sifa za Mungu astaghfir llah Mungu hana udhaifu

  • @sabrialabri5350
    @sabrialabri5350 Год назад +2

    Sauti

  • @mudrckshaamal-wb9vx
    @mudrckshaamal-wb9vx Год назад

    Wakaidi awo mnakaziy kubwa sana Mungu atakulipeni

  • @Sai.Mo69
    @Sai.Mo69 Год назад +10

    Ai, MaPasta watatu wamem zingira Ustad kama ma Fissii! Na kale ka refu haka siki!
    Hawa watatu wame oneshwa UKWELI, mara nyingi leo, lakini bado wata kwenda kanisani mwao waki DANGANIYA watu, ili wa weze ku ITISHA SADAKA!
    SADAKA, ambao ni haki ya Masikini na Wa Nyonge, ina LIWA na hawa Pastor WARONGO!
    Biblia ili FIKIRIWA sanaaaa, na halafu ku Tungwa from 1604 to 1611AD, kule ENGLAND, na King James!
    Huyo Pastor ame shikilia "Mohammud hayuko katika biblia"!
    CLUE: Biblia ime tungwa na KaMzungu, in 1611AD!

    • @papirumanura7343
      @papirumanura7343 Год назад +1

      Wewe shekhe ni kiboko wa makafiri aise Allah akuripe

    • @user-hy5zd5rn6r
      @user-hy5zd5rn6r 8 месяцев назад

      Biblia ilitungwa halafu Qur'an inathibitisha kwamba Bible is revelation from God.Who is lying between you and your Qur'an? Ama hujui the meaning of "to confirm?"
      Iweje mohamed alivyokua na shaka akaambiwa akaulize wenye kusoma maandiko kabla yeye? (Qur'an 10:94)😂

  • @zuberingoda6432
    @zuberingoda6432 Год назад +2

    Hawaijui bibilia yao masikin

  • @swedijuma-rn4kr
    @swedijuma-rn4kr Год назад

    Wataelewa inshallah

  • @issamasoud7188
    @issamasoud7188 7 месяцев назад

    Kwenye ukweli uongo hujitenga tunaamini ikisema ukweli na tunaamini ikisema uongo yesu ni binaadam na si mungu .Mungu hana kivuli cha kubadilika badilika ss suali langu naomba Majibu waikati yesu hajazaliwa mungu alikuw nani ?