SHEKH MOHAMMED ISSA AIBUKA NA USHAHIDI WA CLIP MZITO ZA MOHAMED IDD ALIZOKUWA ANAWASHAMBULIA WENZIE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024

Комментарии • 125

  • @kassimmanaramalika8592
    @kassimmanaramalika8592 Год назад +1

    Sheikh Mohammed Isa Subhaana llah kosa alilolifanya Mwenzio na wewe umelifanya Mtihani Huu ,Tujitahidi kufata sunna za Mtume kama Sisi WA kwelii Katika matendo yetu ,kwani tukilifanya katika njia ambayo sio basi wenye uwelewa watauona ubaya huwo Na malengo yaliyokusudiwa, Mwenyezi Mungu Atujaalie njia njemaa ya kutatuwa mambo kama alivyokuwa akifanya Mtume WETU Muhammad S.A.W Allahumma Amiin Yaa Rabbi

  • @makameshibli2797
    @makameshibli2797 Год назад +1

    tumugope Mungu jamani tunakosea umoja wa kislamu utasimama lini Kwa hali hii

  • @YunusDaudi
    @YunusDaudi 5 месяцев назад +1

    Ww sheikh muhamed idd umepewa pesa

  • @khamisi_SHILINGI
    @khamisi_SHILINGI Год назад +2

    Hii nidalili ya wazi nandomana Allaàh AZZA WAJALLA akaleta utandawazi kwafaida mbalimbali

  • @hidayasaid5131
    @hidayasaid5131 Год назад +4

    Sheikh Idd innalillahi wainnaa ilahiraajiun , kinachonisikitisha saana ni kwamba eti asiekuwa BAKWATA sii muislam innalillahi wainnaa ilahiraajiun . Tunapelekwa wapi jaman

  • @aminasallumu3324
    @aminasallumu3324 Год назад

    As alkum mashekhee mnavyofanya sio vizuri magomvi yenu kuyaweka mtandaoni ,mnaposigana au yanapotokea magomvi Rudini kwenye adidh na suna ,za MTUME angalieni msije mkaenda motoni ,kwa ajili ya mitandao

  • @c.e.o_abdiroush
    @c.e.o_abdiroush Год назад +6

    Hilo mohamed Idd ni mshenzi na mnafiq

  • @aishabagayo616
    @aishabagayo616 Год назад +1

    Nyie Masheikh wetu, hatutaki magomvi yenu muyalete kwenye mitandao. Sisi tunaweheshimu Saana. Mnatupa mifano gani!!

  • @gulamomar6394
    @gulamomar6394 Год назад +1

    Subhaana llah

  • @sharriffcharo1915
    @sharriffcharo1915 Год назад +2

    Muhammad IDD hana makosa abadan

    • @giltaemi4017
      @giltaemi4017 7 месяцев назад

      Hata kahaba hua anaona biashara anayo ifanya ni sahihi. Na kahaba hawezi kukosolewa na kahaba mwenzake bali kahaba mwenzake ataona ni kitu sahihi

  • @wazirihamisi6484
    @wazirihamisi6484 5 месяцев назад

    Wallahi sasa watu wa bidaa muwe makini mnao fata mkumbo hao ni watu wapo kazini wanalinda ajira zao

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 Год назад +1

    Hatupotoshi na ss tunasoma pia tunakuchambueni masheikh nyote

  • @mohammedomar2865
    @mohammedomar2865 Год назад +1

    Abuu idd njaa inamsumbua aliogombananao wote wamzidi elimi na kipato

  • @salehally1082
    @salehally1082 5 месяцев назад

    Acheni siasa na chuki elimisheni umma wa kiislam kwa mawaidha mazuri

  • @yasiniselemani3917
    @yasiniselemani3917 11 месяцев назад

    Shekhe abu iddi anafundisha hataji wenzeke vibaya au mrangi wewe umeelewaje

  • @khamisi_SHILINGI
    @khamisi_SHILINGI Год назад +1

    Haki sikuzote haijifichi lazima iwekwe wazi ukisema jambo lifichwe asitiriwe kwani hamjui Asattaaru Albaatin kwani ndivyo walivyo wanaafiq nahawapatikani ispokua ndani ya uwisilaam hizo ni dalili za qiyama watu wanashindwa kutatua tatizo kwasababu wao wenyewe wanamatatizo namaradhi ktk nyoyo zao na Allaàh huwaonezea maradhi sijui watajitibu ktk hospital gani kama hawakuridi kwa Allaàh kikwelikweli

  • @malikinjama2587
    @malikinjama2587 Год назад +1

    Shekhe isa nakuunga mkono kabbisa watu hawana ikhlasw

  • @abuutamiimattanzaaniy8676
    @abuutamiimattanzaaniy8676 Год назад +7

    Huwa najiuliza HUO UMOJA WA WAISLAM UNAOLINGANIWA MAWAHABI HAWAHUSIKI? MAWAHABI SI WAISLAM? NA WAKISEMWA VIBAYA MAWAHABI SI UVUNJIFU WA AMANI? WANAOTUKANA MASWAHABA WA MTUME WAKISEMWA, AMANI INAVUNJIKA NA MNALALAMIKIA UMOJA. ACHENI KUWAZUGA WAISLAM, WAISLAM WANA AKILI ZILIZOSALIMIKA, HAWAWEZI KUFUATA PROPAGANDA ZENU ZINAZONUKA UNAFIQI

    • @nassirhamad9407
      @nassirhamad9407 Год назад

      Mashiaaaa wameshamwga helaaaaaa kwa baadhi ya masheikh njaaaa...Umoja gani na watu wanowatukana maswahaba matusi makubwaaa...wanawaita Aisha na Hafs makfiriiii...wanaita Abuu bakar na Umar masanamu wawili...
      MASHIA NI WATU WAOVUUUU... bali kwa matusi yaooo wanatoka katika Uislam...na Ni mashia MARAAAFIFDHWAAA

    • @abuusufian6506
      @abuusufian6506 Год назад

      @@nassirhamad9407 swadaqta

    • @sakinaunderwood
      @sakinaunderwood Год назад +1

      INASIKITISHA SANA,WANAFIQ,TENA WALA HAWANA HOFU YA MUNGU.JAMANI MKIWA MNAHITAJI KITU WALA USIOMBE DUA KWA MASHEHE.FUNGA MWENYEWE,SALI DUA YAKO NI MORE POWERFUL KULIKO YA HAWA WANAFIQ.WATU WAACHE KWENDA KWA MASHEHE KWA DUAA.HAWA NDIO WATU WATAKUFANYIA DUAA ITAFIKA WAPI KWELI.HATA AIBU HAWANA WAMEJIGEUZA KUWA MACHAWA

    • @nassirhamad9407
      @nassirhamad9407 Год назад +1

      @@sakinaunderwood Allah akubarik kwa kuliona hili
      Aniongoze mim na wew katika njia ya Hakki na usaw mpaka tukutane nae hali ameridhiaaa

  • @user-es4tm2yv6t
    @user-es4tm2yv6t 7 месяцев назад

    Mpaka leo umekaliwa na mamuzi ya warab jitambueni

  • @sefoadelino6684
    @sefoadelino6684 Год назад

    Kumbe wapumbavu sana. Kuanzia mashekhe zake

  • @hasaniabdalah6148
    @hasaniabdalah6148 Год назад

    Lima takuluuna ma laatafaaluna. hapa .tunazungumza tusicho kitenda oo nafsi yangu uisilam ni dini yako ya hakki ewe nafsi yangu tubia kwa mola wako.

  • @subiriabdulrahmani2343
    @subiriabdulrahmani2343 Год назад

    Waislamu hawa siwaelewi kwann hawapendani

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Год назад +2

    Abu idi anafuga sharubu ndevu ata moja hana

    • @nassirhamad9407
      @nassirhamad9407 Год назад

      Hahahahahha

    • @ahz6907
      @ahz6907 Год назад

      Ndevu ndio uislamu?

    • @nassirhamad9407
      @nassirhamad9407 Год назад

      @@ahz6907 ni alama kubwa ya kumfata mtume na mafundisho yakeeeee....ambazo haifai kwa muislm kuzikataaaa

    • @Yu-jr9uf
      @Yu-jr9uf Год назад

      @@ahz6907 na pia ni katika sunnah

  • @taurehassan7399
    @taurehassan7399 Год назад +1

    Mengine alosema alisema kweli lazima na ww sheikh upime,kw hili la mashia Katoa maoni ingawa ypo ktk ughafilikaji kidogo lakn kuhusu araf maulid twamuunga mkono

  • @emuthree
    @emuthree Год назад

    Kuonyana mabaya na kuelekezana mema ni sahihi, lakini labda tuangalie ni wapi hayo yafanyike. Huenda tukawa tunajikaanga sisi wenyewe

  • @bakarikaoneka1080
    @bakarikaoneka1080 Год назад

    Mimi nachukia sana namna hii ya kujibishana kwenye mitandao ya kijamii. Aibu tupu. Fedheha tupu

  • @bakarikaoneka1080
    @bakarikaoneka1080 Год назад

    Igeni good practices toka kwenye dini nyingine.

  • @rubeniharuna1874
    @rubeniharuna1874 Год назад

    acheni majungu kaeni mezani myajenge mnadharirika Sana

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Год назад +2

    Abuu iddi anatafuta umufti

  • @amransendoki
    @amransendoki 4 месяца назад

    Huyu. Hajasoma

  • @azizaaziza7996
    @azizaaziza7996 Год назад

    Assalaam allaykum warahmatullah wabarakatu jamani mashekhe wetu Hebe kaeni chini muelewane hivo mnavo endelea waislam rutafika wapi masjdi aqswa vipi uta kombolewa wakati sisi waislam runakuwa hivi kwani hebu kaeni chini mkubaluane hizo hitlafu zipo tangu enzi za mtume mpaka tutakufa ndipo zitaisha

  • @jumaamartin7929
    @jumaamartin7929 Год назад

    sikuzote ukisinamia haki na sheria utachukiwa na utaonekana mbaya.hata ktk familia watoto wakifanya machafu yote.baba akiwa hajali watoto watamita baba yao mngu.ila baba akisimamia haki nidhamu maadili mema.watoto watamwita baba yao mzee mtata.leo haya tunayaona kiogozi akisimamia ukweli haki sheria anaonekana mbaya kwaku msimamo wake unazuia waoovu waiopenda haki.hivi ndivyo ilivyo.

  • @akthammuhammad7844
    @akthammuhammad7844 Год назад

    Sheikh Abuu Eid ni mwanadamu kama wengine kama kakosa atakua amekosea tuuu.Hiyo Hadith unayoitaja wewe mwenyewe huitumi sababu wewe unataja aibu za mwenzio.Wewe naona ni katika Mashehena tuuuu.Enyi Masheikh Mcheni Allah.Sababu wasiofahamu wapo wengi na nyie munawatatiza wengi.

  • @HijaSaid-xd7fg
    @HijaSaid-xd7fg 4 месяца назад

    Angalieni ameacha mustachi, huyu ni s sio sheikh

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 Год назад

    Abuu idi hitilafu hazikuanza leo huna kalima nzuri huna ilimu zaidi ya kilemile

  • @user-cy1od5xr8x
    @user-cy1od5xr8x 7 месяцев назад

    Sheikh wa pesa

  • @bakarikaoneka1080
    @bakarikaoneka1080 Год назад

    Hivi hakuna jukwaabla mawasiliano kwa masheik wetu ila mitandao ya kijamii? Mtapuuzwa hasa na waisilamu wanaojielewa na watu wa imani nyingine. Mnatia aibu sana sana.

  • @womanofsteel1402
    @womanofsteel1402 Год назад +1

    Tatizo la Hawa watu kila mtu Ni mjuaji

  • @husseinhamza4819
    @husseinhamza4819 Год назад +1

    Sheikh iddi anafundisha sio kutoa aibu za watu nyinyi mnaelewaje!?

  • @amransendoki
    @amransendoki 4 месяца назад

    Somavizurihadidhihiyo

  • @user-uy4zy2it4j
    @user-uy4zy2it4j 8 месяцев назад

    Kwan hawezi sheikh wako kukosea au kua na ufahm mbovu

  • @karimambosanga4290
    @karimambosanga4290 7 месяцев назад

    Zaman ilikuwa tabu kuwajuwa mashekh siku hizi kupitia media utawajuwa tu hawaulinganii uislam ila dunia yao

  • @OmaryKhalfani-ko8qx
    @OmaryKhalfani-ko8qx 11 месяцев назад

    njaaa tu inakusumbua

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 Год назад

    Wewe mwisirsm acha siaasa Tanya yako wewe mwisirsm yuremkiristu mfante mwabizane hukohuko sio MPAKA mropoke mitandaoni mnatia aibu mtakwenda motoni

  • @ibrahimusagondo5228
    @ibrahimusagondo5228 Год назад

    Mnatuchanganya na nyinyi, sasa mbona na wewe unamshambulia tena wewe unatumia nguvu

  • @ramadhanijohoiddi2899
    @ramadhanijohoiddi2899 Год назад

    SHEIKH KANYOA NDEVU

  • @osmanabuu7989
    @osmanabuu7989 Год назад +1

    Huyu sheikh sijui hua anajionaga Nani sijui!

  • @ramygichero1016
    @ramygichero1016 Год назад

    Abu idy Elimu ipo hakuna shekhe anae chomoka apo ata moja Adi walimloga mdomo wa Shekhe ukapinda ila Mufti aka mwombea duwa akapona

  • @kadizosea6250
    @kadizosea6250 Год назад

    Ww kelele kwanza mkimbizi

  • @aleyidukury8333
    @aleyidukury8333 Год назад

    Mm nawasiwasi nahuyu shekh mbona Kama myahudi huyu

  • @salimumbaraka272
    @salimumbaraka272 Год назад

    .mbona hamuongelei jihad m naogopa

  • @shabanirashidi2218
    @shabanirashidi2218 5 месяцев назад

    sasa ww sheikh muhammed issa nimecho kiona kwako nikutaka sisi tufate msimamo wako ila kiukweli TUTABAKI NA MUFTI WA TANZANIA TUU BASI

  • @Nufaila442
    @Nufaila442 Год назад

    Mnyamani kuna wavuta bange na wabwiya unga wengi sana ..

  • @sefoadelino6684
    @sefoadelino6684 Год назад

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Tanzaniaaaaa
    Poleni nyie, haki ya mungu.
    Mnaenda wapi? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣😆😆😆😆😆😆😊Nawasikitikia sana

  • @khamisi_SHILINGI
    @khamisi_SHILINGI Год назад

    Wacha wayaweke hadharani tunaweka kumbukumbu ili tuwajue vongoz watakaotufaa baadae

  • @mahamudhadi6781
    @mahamudhadi6781 Год назад +2

    Kakamatwa pabaya😂😂😂 what goes around comes around

  • @albassammusaalbassam7487
    @albassammusaalbassam7487 Год назад

    Abu idd mropokaji tu hajui chochote

  • @hilalkhalfan1452
    @hilalkhalfan1452 Год назад

    SHEKH ABUU IDDI HAKUKATAZA KUSEMANA NA KUHOJIANA. KAKATAZA KUTISHIANA AMANI. LAKINI BINAADAMU KWA KUBADILISHA MAUDHUI NI HATARI. REJEENI TENA KASKILIZENI CLIP ZA ABUU IDDI. LABDA HUYU MUHAMMAD ISSA SIO MFAHAMU KICHWA CHAKE KIBOVU

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Год назад

      WATU WA SKUIZI WANASIKILIZA KWA USHABIKI NA SIO KWA KUFAHAMU. KWAIO ATA LISEMWE LA KWELI BASI ATATAFUTA UJANJA UJANJA. MWENYE AKILI KAMFAHAMU ABUU IDDI KAONGEA KWA UTULIVU NA KAELEWEKA

  • @ramadhaniramadhani3774
    @ramadhaniramadhani3774 Год назад

    😂😂Tuepuke kutoa aibu zawengine sheikh issa Endelea kutupatia daawah

  • @popekatalango9409
    @popekatalango9409 Год назад

    Sheikh Mohammed Issa hizo clip za Mohammed Iddy umezikata sana sijui una lengo gani Mjadala wa Sheikh Kishk na Mohammed iddy tuliziona video zao wote hawa wawili kwaukamilifu wake na tulijua nani ana hoja za mashiko, na kingine mjadala wake na sheikh kilemile pia tulizisikia pande zote mbili kwa ukamilifu tunajua nani alisema nn na nani slijibu nn,lkn kubwa zaidi hayo yote yalishapita na watu waliyaweka sawa wewe unafukua makaburi ya nini hebu tuzungumze curent issue na mtuachie nafasi ya kuchuja

  • @swahibually8349
    @swahibually8349 Год назад

    Wewe pimbi achana na mambo ya kielimu, alichosema Abuu Idi, ni "AIBU ZA KIMAADILI"Elewa alichoongea ABUU IDI, usipotoshe watu kwa kuwakaririsha watu uelewa wako Mbaya. Na hiyo Bakwata ya juzi siyo ya leo, kwahiyo kama Bakwata imeshakaa vizuri ni lazima Ieleweke, wewe ndio hueleweki

  • @ruwaidahamad6598
    @ruwaidahamad6598 Год назад

    Huyu sheh ni mnafiki muoneni anavyoongea Tu mutajua

  • @akthammuhammad7844
    @akthammuhammad7844 Год назад

    Sheikh kilemile amekosea sana.Kubalini makosa yake wacha porojo sheikh wewe

  • @KADALAtv255
    @KADALAtv255 Год назад

    Mchungaji kimaroooooo

  • @akthammuhammad7844
    @akthammuhammad7844 Год назад

    Kwani kishki hashambuliwi ana nini? Yeye kishki amemshambulia masheikh wingi sana.Wacheni porojo kama kuna ukweli ongea tuuu wacha panganga wewe unaongea na ulimwengu mzima zumgumza point.

  • @alliyrubea5731
    @alliyrubea5731 Год назад

    Huyu Muhammad Idd hili jina limekuwa kubwa na yy!

  • @binaisaissa
    @binaisaissa Год назад +1

    Shekhe abuu iddy upo vzr ila kunajambo hawa mashekhe wa Saud ni shida

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 Год назад +1

      Katika jitu la ovyo ni huyo Abu iddi mpumbavu wa kisufu kama masufi wengine

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 Год назад +1

      Kwani mashekh wako wewe walipata elimu wapi?

    • @nassirhamad9407
      @nassirhamad9407 Год назад

      acha TAAASUB hizoooo....

    • @nassirhamad9407
      @nassirhamad9407 Год назад

      Katika uwnja wa elimu humo binaissa issa
      Na hata hujui masuala ya kiakidaaa nakuhisi unafuata mkumbo tuuu na kupend watu kuliko kutetea dini na maslahi ya dini

  • @uledihassan6065
    @uledihassan6065 Год назад

    Mohammed Idd sio mwanachuoni hakusoma na hakuelimika

  • @user-jr7fg6rc1q
    @user-jr7fg6rc1q 5 месяцев назад

    mook

  • @hidayasaid5131
    @hidayasaid5131 Год назад

    Wewe abuu idd kwani unabifu na sheikh kishk ? Kinyume cha mambo hujulikana jambo na kila mwenye ilm yupo aliejuu zaidi yke mimi naona kama unawachongea mashekh serikalini maana unaposema misikiti ni miswala hata jimai waweza manyia mle

  • @grexrabon9938
    @grexrabon9938 Год назад

    Abuu Idd hafai🥱 anajipinga hadi yeye mwenyew🤣🤣🤣 daah jamaa haishi kwa kumbukumbu kabisaaa

  • @saidmilanzi3788
    @saidmilanzi3788 Год назад

    huyu abuu idd ni mbumbumbu jambaz la kibakwata

  • @rizikilukali1558
    @rizikilukali1558 Год назад

    Shekh nilikua nakuheshimu sana wakati ukichambua qur'an na sayansi lakini baada ya kugundua ni wahabi waletaji wa fitna katika uislam heshima yako imeshuka

    • @osmaniidrisa6290
      @osmaniidrisa6290 Год назад +1

      We mwehu kweli umkatae mtu kwa Kia Yuko kwenye haki

    • @Zainabnoor0087-ze
      @Zainabnoor0087-ze Год назад

      Mhhh! Kwa hiyo masahaba wakitukanwa sawa🎯?!huyu riziki anajitambua ???

  • @saidburuji9984
    @saidburuji9984 Год назад +1

    Maalim saimu jitafakar sana ikiwa sheikh amemfanyia mwenzake kitu mbaya halafu na wewe ukasambaza ubaya huo huoni kwamba na wewe unatangaza mabaya

  • @mbaroukkhalfani9244
    @mbaroukkhalfani9244 Год назад +1

    Sheikh idd hanatatizo

  • @stationerykinondoni7241
    @stationerykinondoni7241 Год назад

    Kwamba misikiti ambayo ipo vituo vya mafuta sio misikiti 🤔🤔🤔jinga sana hili sheikh kwani msikiti ni majengo?

    • @shaushishaushi
      @shaushishaushi Год назад

      Jua kutofautisha kati yamswala na msikiti 👂👂👂

    • @stationerykinondoni7241
      @stationerykinondoni7241 Год назад

      @@shaushishaushi nipe tofauti

    • @shaushishaushi
      @shaushishaushi Год назад

      @@stationerykinondoni7241 halafu huwa mnapatwa namatatizo katika maisha bila kujua chanzo chake kwavitu vidogo dogo kama hivi kwanini utukane kisa tu kaongea tofauti na unavofahamu wewe hiyo siovizuri kwenye mambo yadini ni kutoa hoja yakielimu tu nawala siomatusi

    • @shaushishaushi
      @shaushishaushi Год назад

      @@stationerykinondoni7241 muswala nisehem iliotengwa kwaajili yakuswalia swala zavipindi tu bila ijumaa na mwenye sehem hiyo anaweza kupabadilisha muda wowote kuweka maduka nalawa hatokuwa nadhambi lakini musikiti nijengo lililojengwa kwaajili yakuswalia swala zote pamoja na ijumaa pia swala zote tano nilazima ziswaliwe humo

  • @mdoekibai5063
    @mdoekibai5063 Год назад

    wee humuwezi abuu IDD ngoja atakurekebisha mjinga ww

    • @Gamba177
      @Gamba177 Год назад +1

      Wewe fala nenda kafuwe Boksa za Abuu Idi Ubwabwa.

    • @mdoekibai5063
      @mdoekibai5063 Год назад

      @@Gamba177 sawa na unafua chupi za nani vile? Ebu kuwa mkweli

    • @jumakambunga1882
      @jumakambunga1882 Год назад

      Kila penye wajuzi Kuna wanaojua zaidi

  • @binaisaissa
    @binaisaissa Год назад

    Hapo wewe unataja Nini hata wewe jitafakari

  • @user-uy4zy2it4j
    @user-uy4zy2it4j 8 месяцев назад

    Kwan hawezi sheikh wako kukosea au kua na ufahm mbovu

  • @amransendoki
    @amransendoki 4 месяца назад

    Somavizurihadidhihiyo

  • @akthammuhammad7844
    @akthammuhammad7844 Год назад

    Wewe huna naswaha enda kalale na sauti mbaya.

  • @uledihassan6065
    @uledihassan6065 Год назад

    Mohammed Idd sio mwanachuoni hakusoma na hakuelimika

    • @answaryhussein256
      @answaryhussein256 Год назад

      Huyo muhabi hata kusoma hadithi hajui halafu anajifanya anamkosoa Abuu iddy