MISIMAMO YA MASHEIKH DHIDI YA USHIA KUNAKO MANENO YA SHEIKH MZIWANDA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 фев 2025

Комментарии • 173

  • @habibuhaji-j8t
    @habibuhaji-j8t 5 месяцев назад +3

    allah awahifadhini saa na msimamo huo huo mashekh

  • @rauhiaomar977
    @rauhiaomar977 4 месяца назад +2

    Mi nahisi mashia ni washirikina na izo damu wanazomwaga wasilete visingizio kwamba wanamwaga kwa ajili ya sayyid Hussen ila wanamwaga kuwalisha majini zao na wanaokufa kwenye izo harakati zao basi wanaliwa na majini. Kwa sababu kwa akili ya mwanadamu ya kawaida kama sio ushirikina basi kwa hayo wanayoyafanya hayaleti maana yoyote, Allah anisamehe na atusamehe tulipokosea yeye ni mjuzi zaidi lakini huu ni mtihani mkubwa mashekh wetu kazi inabidi ifanyike kwelikweli Allah awalipe kheri inshallah 🤲

  • @saidramadhan4516
    @saidramadhan4516 10 месяцев назад +4

    ALLAH AKUHIFADHI SHEIKH WNG KWA KUTUTAHADHARISHA NA HAWA MASHIA KHATARI KWA CC WAISLAAM

  • @abuuahmad3238
    @abuuahmad3238 3 месяца назад +1

    💯 Truth... Mashia ni 5 stars kuffars...

  • @MatongoPontien
    @MatongoPontien 9 месяцев назад +3

    Allah akulinde uzidi kupiganiya ukweli wa dini.

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 8 месяцев назад +3

    Oooh allah wewe ndie mjuzi na shindana anae taka kushindana nawe mola wangu

  • @RashidAbdalla-pg3dv
    @RashidAbdalla-pg3dv 10 месяцев назад +4

    Mashia laanatu Allah

  • @habibuhaji-j8t
    @habibuhaji-j8t 5 месяцев назад +1

    shia makafiriiiiiiiiiiii laana za allha ziwafikie wote ila watubie

  • @JumaMzungu-w2u
    @JumaMzungu-w2u 5 месяцев назад +2

    Mashia nimakafri laan tulaah

  • @sudisilako5468
    @sudisilako5468 6 месяцев назад +2

    mashia sio waisilam

  • @abdullahmasakata170
    @abdullahmasakata170 6 месяцев назад +1

    Kitu nilicho jifunza katika uislam hata Kama mtu ni mbaya kiasi gani bado hutakiwi kumtenga bali tengeni tabia zao mbaya. Hata mtume MUHAMMAD S. A W alifanyiwa vitimbi vingi lakini hakupaniki wala hakuwafukuza wabaya wake bali aliwatendea wema hadi wakabaki kumshangaa na wengine walisilmu kwasababu ya tabia njema yake. Hongera shekh Muharam Mziwanda unatoa mawaidha mazuri kwa waislam na kwanjia nzuri na shekh Izzudini.

  • @MohamedAhmed-yi1yf
    @MohamedAhmed-yi1yf 2 года назад +4

    Wanaoshirikianao katika maulid na mashia ni masheikh wa kisufi

    • @shazyahya4121
      @shazyahya4121 Год назад

      Yeah ndio wazamini wa maulidi

    • @AhmadWande
      @AhmadWande 8 месяцев назад

      Mnaujua ushia ni nini????

    • @rauhiaomar977
      @rauhiaomar977 4 месяца назад

      ​@@AhmadWandendio ni dini iliotengenezwa na kikundi cha watu na sasa wanatumia pesa za ushirikina kuwashawishi wengine, Allah atulinde na fitna zao

  • @RashidAbdalla-pg3dv
    @RashidAbdalla-pg3dv 10 месяцев назад +2

    Alie wema hawez kumpinga Mtume

  • @hassanmsangi4149
    @hassanmsangi4149 9 месяцев назад +3

    SHEKH IZUDIN NAOMBA ANIJIBU SWALI LANGU MOJA ANIONYESHE KABURI LA BI FATMA LILIPO KAMA ANAONA HUU ULIKUWA UZUSHI NA VISA VYA UONGO

    • @rauhiaomar977
      @rauhiaomar977 4 месяца назад

      Huna story nyamaza, uoneshwe kaburi ufanye nini umfufue akuelekeze kwenye njia sahihi au, mbona tunapenda kujiingiza kwenye mambo yenye utata kwa hoja ambazo hazina msingi wowote, kuweni makini na njia mnayojichagulia kumbukeni mbele yetu hapo kuna umauti na tutaulizwa tusijisahau sana ndugu zanguni

  • @hassanmsangi4149
    @hassanmsangi4149 9 месяцев назад +3

    MASHEKHE WA KISUNI ELIMU NDOGO SANA

    • @AdamBasanza
      @AdamBasanza 8 месяцев назад +1

      Kama mtumwenye elimu kubwa niyule awatukanae maswahaba nibora kua jaahiri maana atasema asichokijua ila mashia wanasema wanachokijua nahuku wakijua kua Wana kosea nahawamuogopi mungu.inshalhah mungu awalaani ndio

  • @WahidaAlharthi
    @WahidaAlharthi 2 месяца назад

    😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @dahalanimasada
    @dahalanimasada 2 месяца назад

    Mawahabi wanamtukana mtume usiape umepagawa na majini unamapepo wabaya na mukimuuwa sheikh jalali siyo mwisho wa ushia imam wetu ni imam mahdi ajalalhahu farajahu

  • @KibibySaide
    @KibibySaide 4 месяца назад

    Wawo ni wanafiki

  • @ShamilaMchimile
    @ShamilaMchimile Год назад

    Izzudyn namuelewa sana Wallahi

    • @AdamBasanza
      @AdamBasanza 8 месяцев назад

      Utaingia nae motoni inshalha

    • @rauhiaomar977
      @rauhiaomar977 4 месяца назад

      Allah akubariki akuingiza peponi pamoja nae inshallah

    • @rauhiaomar977
      @rauhiaomar977 4 месяца назад

      ​@@AdamBasanzaAllah akuhifadhi au nahisi humjui Shekh izzuddyn ni yupi

  • @KassimSalim-fi1me
    @KassimSalim-fi1me 7 месяцев назад

    Nakushkuru al akhy ila usiogope sema ukweli mashia ni makafiri wa haki

  • @hemedsaidi9388
    @hemedsaidi9388 6 месяцев назад

    Na lau si mashia baada ya mtume hali ingelikuwa mbaya zaidi mashia wapo ktk hami

  • @shabanmohamed7071
    @shabanmohamed7071 2 года назад +5

    Mashia siwapendi Kutoka moyoni

  • @wazirihamisi6484
    @wazirihamisi6484 10 месяцев назад

    Na wallahi masheikh wa bakwata wapo kimasilahi

    • @AdamBasanza
      @AdamBasanza 8 месяцев назад

      Bwakwata nao tunamashaka naopia namjadala wao hvi punde tutauanzisha ili tujue usahihi wao

  • @AkhyAnwar
    @AkhyAnwar 10 месяцев назад

    Ambao hawajui kifo cha Ali na hassan kazi kwao

  • @kondolukali9187
    @kondolukali9187 7 месяцев назад

    Kama ujasoma utadanganywa hila mashia waposahii sana kuliko nyinyi

    • @ibunjumuatv9502
      @ibunjumuatv9502  7 месяцев назад

      @@kondolukali9187 haya endelea kukaa na huo ufahamu lakini anaewajua MASHIA vizur atakushangaaa na maneno yako Allah akuongoze ndugu yangu

    • @JasitiniPita
      @JasitiniPita 5 месяцев назад

      Kasome ww ndio hujui

  • @bakarihote
    @bakarihote 9 месяцев назад

    Mashia ni makafiri bila hoja 10:34

  • @kondolukali9187
    @kondolukali9187 7 месяцев назад

    Kama ujasoma unaweza ukashangaa hila ukisoma uwezi ukasikiliza polojo zamlamilungi

  • @KindengeJumaa
    @KindengeJumaa 3 месяца назад

    Mh mbon amtoi ushaid ss

  • @SeifAlly-g9i
    @SeifAlly-g9i 4 месяца назад

    Jamani tafadhalini hizo presha zenu mtakuja kuona leokunachuki dhidi yakuwatengnisha nakuleta ugomvi bainayenu waislam mmesahau kuwa wakonyuma yenu watu ambao huleta fitna bainayenu ilanyinyi hamjui

  • @jafaritwahatvonline828
    @jafaritwahatvonline828 5 месяцев назад

    Basi wakatae na hadithi ya mtume

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme8455 3 месяца назад

    Mashia ndio wanaoujua uislam ni watu qa haqi sana mashia wapo sahihi sana

  • @kondolukali9187
    @kondolukali9187 7 месяцев назад

    Wewe nimnafiki unazungumza vitu usivyovijua

    • @minnahhers7437
      @minnahhers7437 5 месяцев назад

      hujijui

    • @rauhiaomar977
      @rauhiaomar977 4 месяца назад

      We unajua nini kuhusu uislam, mpaka ujue kwamba yeye hajui, ingia kwenye uislamu uache umbea

  • @hemedsaidi9388
    @hemedsaidi9388 6 месяцев назад

    Na vipi aliyeemuua swahaba wa Mtume s.w, Imam Hussain????

  • @kondolukali9187
    @kondolukali9187 7 месяцев назад

    Unaelimu yakuongea nashia

  • @alwyalbaity9328
    @alwyalbaity9328 7 месяцев назад

    Anao kumtukana bi Aisha ni kuwawa

  • @ramadhanmwandambotuntufye5972
    @ramadhanmwandambotuntufye5972 10 месяцев назад

    Nyie mlilushwa ujinga na mashehe wenu, mmenunua ugonvi msioujua

  • @SeifAlly-g9i
    @SeifAlly-g9i 4 месяца назад

    Ninani huyo anamtukana swahaba shekh rusaganya waiteni hawo mnaowatuhumu ilimpate hayana kutokakwahao mashia ndio mtapata ukweli wao hivi kwenye mitandao sibusara waislamu kutoleana kashfa kwenye mitandao

  • @hajiMuhammedAli-i6h
    @hajiMuhammedAli-i6h 7 месяцев назад

    Mashiya ni makafiri ni makafiri

    • @AhmedAslam-ip8mu
      @AhmedAslam-ip8mu 6 месяцев назад

      cio mashia wanaotukana elewa point wapo mashia wasiotukana na mashia wapo sahihi kweny ali ndo alitakiwa kua khalifa1

    • @SwaumMohammed-td9kq
      @SwaumMohammed-td9kq 4 месяца назад

      Hakika mtu mbele ya mungu ni mchamungu tu hizo zingine ni porojo shekh haruhusiwi kuelimisha watu kwa kutukana na kuhukumu mtoa hukumu ni mungu unamlaani vipi mtu wakati wewe hujui mwisho wako ?Allah atunusuru wallah

  • @RayaRashid-dc2hn
    @RayaRashid-dc2hn 9 месяцев назад

    Maluuun kila aliyem2kana swahaba,shia wote Allah atawazalilish

  • @وزيرهالوزير-ذ8س
    @وزيرهالوزير-ذ8س 6 месяцев назад

    Mashia hawafai

  • @AhmadWande
    @AhmadWande 8 месяцев назад

    Kwani aysha akosei sheikh

    • @salehthesword
      @salehthesword 8 месяцев назад

      Mimi nikimtuhumu Mama yako Malaya maana yake hakosei?

    • @AhmadWande
      @AhmadWande 8 месяцев назад

      Siwez kupinga kama una ushahid,ila jua kujitambua na tafuta elimu ,pia hakuna mshia anae muambia swahaba ni Malaya,nafikiri ni mitazamo ya kihuni unayoleta ww

    • @salehthesword
      @salehthesword 8 месяцев назад

      @@AhmadWande . Wewe unaposema aysha hakosei? Una maana ya kusema hawezi kufanya zinaa au kwa maana nyingine hawezi kuwa Malaya? Ndio maana yake. Kwasababu hapo anachosingiziwa Bi Aisha unajua ni kuzini...hakuna mtu aliyesema hakosei. Sasa nani muhuni kati ya mimi na wewe? Halafu ulivyokuwa huna adabu unamuita kabisa aysha kila rahisi.

    • @AhmadWande
      @AhmadWande 8 месяцев назад

      Ha ha ha ha mawahab mnashida sana ,bi aysha sio maasuma so kukosea anakosea ,pia nikuambie jambo zuri sana tafuta elimu usiwe muislam mshabiki ,unaongea mambo kwasabb huna elimu nayo

    • @MohammedSaid-zk7yg
      @MohammedSaid-zk7yg 7 месяцев назад

      ​@@AhmadWandehajui kitu wahabi huyo brother 😂😂😂😂

  • @jailaniramadhan1788
    @jailaniramadhan1788 11 месяцев назад +2

    na aliyemuuwa swahaba wa mtume je

  • @hemedsaidi9388
    @hemedsaidi9388 6 месяцев назад +1

    Je , muawiya haja mlaani imam Ali a.s?? Sasa hapa unahukumu vipi????

  • @aishaarusha894
    @aishaarusha894 2 года назад

    Mashia ni mashivo😁

  • @Filamumaridhawa
    @Filamumaridhawa Год назад

    Mashia kelbuuuuu

  • @sudisilako5468
    @sudisilako5468 6 месяцев назад

    we kondo ni mshia ?

  • @walidally2211
    @walidally2211 2 года назад

    Kweli kabisa

  • @hemedsaidi9388
    @hemedsaidi9388 6 месяцев назад

    Huna ujualo kaa kimya

  • @khamisihamadi629
    @khamisihamadi629 9 месяцев назад

    نحن لا نتكلم إلا بالادلة يا أهل السنة والجماعة والوهابية

  • @MatongoPontien
    @MatongoPontien 9 месяцев назад

    Mashia hawastahi kuka duniani

  • @badilamu
    @badilamu Год назад

    Mashia walikuwa kabla ya Iran . Vitabu vyao kama alkafi ni za zamani . Na kimejaa uchafu na vituku vya kiiblisi

  • @a.a.nassir8832
    @a.a.nassir8832 8 месяцев назад

    Je anayemlaani au kuchinja ndugu, mtoto au mjukuu wa Mtume?

    • @IddiMkindi
      @IddiMkindi 7 месяцев назад

      Mashia ndio waliomua saidina Aly na watoto wake

  • @AdamBasanza
    @AdamBasanza 8 месяцев назад

    Kwataarifa yako kinacho pingwa hapa sio dhehebu ila ni misimamo ya wanamadhehebu iliyotok aktk uislam moja kwamoja

  • @abeidbakili5830
    @abeidbakili5830 9 месяцев назад

    bakwata pia wote makafili

  • @sanganyamsanu8009
    @sanganyamsanu8009 6 месяцев назад

    Mashia kiukweli sio watu hata wa kuwaomba hata maji.

    • @AbdllRamadhani
      @AbdllRamadhani 4 месяца назад

      Soma history ya dini kabla Yu hai mtume na baada ndo uje kujadili haya Mambo usije ukaingia kwenye uongo na ukawa kafiri wew maana aonekana unahukumu bila ya kuwa na elimu

  • @AHALSUNNIYMWIMBE
    @AHALSUNNIYMWIMBE 8 месяцев назад

    Kwani shekhe lusaganya kawalain mtume ndio amewalani hebu sikia hadithi aliyo isoma

  • @rajabuhashimu-bv8qt
    @rajabuhashimu-bv8qt 5 месяцев назад +1

    Mawahabi masheikh wenu wanawapoteza masheikh ni wajinga hawana akili

  • @mousableus
    @mousableus Год назад +4

    ALLAH akusamehe ujinga wakko umekufanya unajipa cewu ça kulani WA islam Allah anawumba we we unalani viumbe hivyo we we hujajuwa islam Shia hitakutukana hujuwi islam ikiwa hujajuwa islam ulishajuwa we ni nani

    • @MB-yq3ty
      @MB-yq3ty 11 месяцев назад +2

      Kama hujui kiswahili so uache kuandika ukajifunze kwanza?

    • @faridfrefre35
      @faridfrefre35 10 месяцев назад +2

      Mashia ni makafiri

    • @omaryramadhani6664
      @omaryramadhani6664 10 месяцев назад +3

      Umeumia kulaaniwa mashia lakini nyinyi mnawalaani maswahaba mnaona Sawa? Allaah awalaani mashia.

    • @HashimBilemile
      @HashimBilemile 9 месяцев назад

      Weee acha ujingaaa

    • @AdamBasanza
      @AdamBasanza 8 месяцев назад +1

      Mashia nimakafiri ndio Wala hakuna anaeweza kupinga napia mungu awalaani kwakutaka kuupotosha umma.

  • @AbdoulsudaisSuleiman
    @AbdoulsudaisSuleiman 5 месяцев назад

    Any Shia, is not Muslim. This all.

  • @saijize
    @saijize 5 месяцев назад

    njooni Kwa yesu mpate kuokoka mnacheewa sana

    • @habibuhaji-j8t
      @habibuhaji-j8t 5 месяцев назад

      unasema nn ewehafir

    • @habibuhaji-j8t
      @habibuhaji-j8t 5 месяцев назад +1

      ww tuna kunasih achana na kuabudu binadamu mwezako

    • @rauhiaomar977
      @rauhiaomar977 4 месяца назад

      Ii mada makafiri wakae kwa kutulia 😅 tukishindwa tutawatafuta msituingilie

  • @Hanifajuma-nq5zh
    @Hanifajuma-nq5zh 9 месяцев назад

    Ni nann kakupa cheo cha ushekh we m
    bw

    • @ibunjumuatv9502
      @ibunjumuatv9502  9 месяцев назад

      inakuuma eeee pole Dozi yaingia pole

    • @AdamBasanza
      @AdamBasanza 8 месяцев назад

      Mbwa mwenyewe usie nauislamu wahaq

  • @habibuhaji-j8t
    @habibuhaji-j8t 5 месяцев назад

    watu waache njaaa zao mashia ni makafir

  • @mohamedyngagala-5590
    @mohamedyngagala-5590 Год назад

    Tunapambana mashia nchi inakuwa na watawala umasikini umetawala zaidi kuwasaport watawala tu hatari kwa wasomi

    • @MB-yq3ty
      @MB-yq3ty 11 месяцев назад

      Ushauri wako nn ss.

    • @omaryramadhani6664
      @omaryramadhani6664 10 месяцев назад

      Usitutoe kwenye njia kwa janja janja zenu za kitaqiya,Allah awalaani mashia

  • @AkhyAnwar
    @AkhyAnwar 10 месяцев назад

    Elimu ndogo najsi

  • @BilaliBaruani
    @BilaliBaruani 7 месяцев назад

    Tuache kuwa vipofu ,maneno yako wazi , tusiweke siasa mbele ,tufungue nyoyo zetu kuukubali ukweli na kuifuata haki

  • @Hussein-gx4qu
    @Hussein-gx4qu 11 месяцев назад

    mtume mwenyewe katukanwa na hajawalaani waliokuwa wakimtukana we umepata wapi kuwalaani mashia

    • @faridfrefre35
      @faridfrefre35 10 месяцев назад

      Mashia ni makafiri

    • @Hussein-gx4qu
      @Hussein-gx4qu 10 месяцев назад

      @@faridfrefre35 Mimi sio shia na kamwe siwezi kuwa shia lakini eti sijui nikafiri SI Bora hata hao mashia Leo hii ndio wanaunusuru uislam duniani hao wanajiita masuni sijui answari wote kwasasa wamekuwa vibaraka wa makafiri na mayahudi tukiangalia saudia misiri united imerate nk wote ni vibaraka wa mayahudi na makafiri

    • @omaryramadhani6664
      @omaryramadhani6664 10 месяцев назад

      Nyie kuwalaani maswahaba ndiyo Sawa eti, Allaah awalaani mashia mara elfu na zaidi

    • @Hussein-gx4qu
      @Hussein-gx4qu 10 месяцев назад

      @@omaryramadhani6664 tatizo nyie mnalishwa matango poli ugonvi wa shia na Irani nyie kamwe hauwahusu wale ugonvi wao sio wa kidini ila saudia alivo mshenzi anawaminisha watu ilimladi tu waichukie iran yenye mashia na wakati ugonvi wao ni WA ushawishi wa kisiasa mashariki ya kati sasa saudia kwasababu amefeli na amebaki kuwa kibaraka wa makafiri anawamisha watu et mashia ni makafiri na watu msio na akili kama nyie mnaingia maxima

    • @Hussein-gx4qu
      @Hussein-gx4qu 10 месяцев назад

      @@omaryramadhani6664 narudia Tena saudia kafeli amebaki TU kuwa kibaraka wa mayahudi na makafiri ugonvi wa saudia na Irani msiuingize kwenye dini

  • @habibuhaji-j8t
    @habibuhaji-j8t 5 месяцев назад

    watu waache njaa zao

  • @saidramadhan4516
    @saidramadhan4516 Год назад

    SS SHEIKH WNG HAWA MASHIA NDIO WAANZILISHI WA MAULID HAPO IMEKAA VP UHALALI WA MAULID???????????

  • @ramadhanmwandambotuntufye5972
    @ramadhanmwandambotuntufye5972 10 месяцев назад

    Ni makonfyusheni tu aliyekwambia usunni ndio dini nani? Wewe mwenyewe umesetiwa na mayahudi kuwa msunni, hoja zenu hazina nguvu. Tunaomba mjadala wa wazi mashia na masunni tupate faida.

  • @RamadhaniHamadi-qi3jf
    @RamadhaniHamadi-qi3jf 11 месяцев назад

    Nawashangaa sana nyie Mashekh mnaoropoka tu kwa mihemko ya kuokota bila kufikiria yaliyopo vitabuni kwenu,yote mashia wanayosema ni upumbavu wenu katika vitabu vyenu.Kwani mawahabi hawawaibii masuni na masufi wamepotea bali ni washirikina.
    Hao masahaba mnaowaona ndio dini huo ni upumbavu bc wao matendo yao na madai yenu ya kuwatukuza yanapingana.
    Muwe na akili tu mtatoka mlipo maana hamjielewi mmerithishwa mori za kimasai tu.

    • @omaryramadhani6664
      @omaryramadhani6664 10 месяцев назад

      Huwezi kutugonganisha hapa eti mawahabi na masuni,mbona mnajulikana sasa hivi janja yenu! Allah awalaani

  • @azizaj776
    @azizaj776 2 года назад

    Muongo wewe , Mwenyezi Mungu Mtukufu Akulaani wewe leo Duniani na Kesho Akhera na Motoni muwe makazi yako ya KUDUMU - AMEEN 🤲🤲🤲 Muongo mkubwa mfitinishaji wewe HUUJUI USHIA HATA CHEMBELE

    • @alidyaya4512
      @alidyaya4512 2 года назад

      Ingia youtube search uone ukwel

    • @mohamedirwambo5193
      @mohamedirwambo5193 2 года назад

      mashia acheni unafiki munawatukana maswahaba

    • @samxx411
      @samxx411 2 года назад +1

      Sio ufitinishwaji nyie makafiri mnapinga Mungu, Mungu ameridhia maswahaba na wao walitoa mali zao na uhai wao hadi wewe leo ukaitwa muislamu ikisha ukaingie wewe peponi kabla ya swahaba, mnawajua swahaba nyie walikuwa wanapenda kufa kuliko kuishi kwa ajili ya uislamu, wewe kubwa lipi ulolifanyia uislamu hata uwatusi maswahaba..mtume hapigani vita kama hawapo maswahaba wewe hata kwenye mawaidha huendi, chungeni sana na hadaa ya pumzi

    • @hassanally4960
      @hassanally4960 2 года назад +1

      Tunajua na ww ni shia kwaiyo laana za Allah ziwe juu yako

    • @iddisalimu5028
      @iddisalimu5028 2 года назад

      Ushia ni ukafiri enzi za mtume kulikuwa ushia

  • @AkhyAnwar
    @AkhyAnwar 10 месяцев назад

    Shekh wewe unajua hao akina hassan,hussen lakin mbona unatuhumu shia kuwalilia je kwann nyinyi hamuwaliliii si jukumu la shia its for all Muslims don't lie to us

    • @HashimBilemile
      @HashimBilemile 9 месяцев назад

      Ni haramu maomborezooo

    • @omarsuleiman9064
      @omarsuleiman9064 9 месяцев назад

      Tutalia mpka lini tutamlilia nani tumuache nani

    • @AkhyAnwar
      @AkhyAnwar 9 месяцев назад

      @@omarsuleiman9064 kasome tena ndugu

  • @kondolukali9187
    @kondolukali9187 7 месяцев назад

    Usiongope soma vitabu utajua hiyo niitakadi yanani

    • @24Dailylife-Channel
      @24Dailylife-Channel 6 месяцев назад

      Hivi kiswahili unakielewa kweli? Allah anasema atakaye watukuna maswahaba kuyo ni kafiri

    • @rashidibrahimshemlugu7845
      @rashidibrahimshemlugu7845 5 месяцев назад

      Mbona unatetea sana ushia au naww njaa kali

  • @athmanm.swabir6649
    @athmanm.swabir6649 2 года назад

    Sasa mbona hauja mkataa, Ibn slathir, Ibn Qutaiba,
    Huja mtaja Bukhari na Muslim, maana ushahidi upo kwenu.

    • @issakasigwa4806
      @issakasigwa4806 2 года назад

      Saasa mzee wewe mbone ni kama file hujuwi corani, Mungu mwenyewe na mtume wake wanajuwa Kuwa katika maswahaba palikuwemo wanafiki , Mungu anasema Mtume akifa na ongonjwa ama kifo chochote mutarudi katika ukafiri wenu ,namkirudi hamutampunguza Mwenyezi Mungu chochote

    • @issakasigwa4806
      @issakasigwa4806 2 года назад +1

      Kwanini wasiongelewe yale walifanyiya familiya mtume bada na ya mtume kufa

    • @issakasigwa4806
      @issakasigwa4806 2 года назад +1

      Na wewe haujuwi tunaomboleza vifo vyayo wote

    • @omaryramadhani6664
      @omaryramadhani6664 10 месяцев назад

      Punda katoka mafichoni,so mnakiri hadharani kwamba mnawalaani maswahaba? Yes Allaah awalani

  • @Salsimpleworkshop
    @Salsimpleworkshop 7 месяцев назад

    Ni kundi kubwa LA kibidaa

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 2 года назад +1

    Wake za mtume walihitilafiana na mtume, wake za mtume kugombana na mtume ni tabia nzuri? Hasha, ni tabia mbaya, kwahiyo ni wake wabaya, na kwa kuwa mke mbaya ni kwa mume mbaya, basi hata mtume ni mbaya kwa tafsiri ya aya hiyo. Mtume alifumaniwa na mkewe kazini na house girl tena kwenye kitanda cha mkewe. Je, tabia ya kuzini ni nzuri? Hasha, ni tabia mbaya, kwahiyo na mtume ni mume mbaya kwa wake wabaya kwa tafsiri ya aya hiyo.

    • @ibunjumuatv9502
      @ibunjumuatv9502  2 года назад +2

      Wewe MKIRISTO hivyo maneno yako hayazingatiwi

    • @hasheemcarrick3141
      @hasheemcarrick3141 2 года назад

      Mpuuz ww! acha kumtusi mtume

    • @sammotv6920
      @sammotv6920 2 года назад +1

      @@ibunjumuatv9502 jibu la busara sana

    • @omaryomary876
      @omaryomary876 2 года назад

      Acha upogolo. Hayo unayosena Yako kitabu gani? Usizungumze usilo na ujuzi nalo utajiangamiza

    • @arafatali2796
      @arafatali2796 Год назад

      Wew hebu kuwa na adabu msipende kujiridhishakwa tafsiri mlivyiekewa nyiny nenden kwa masheh muulizie vizur dah astaghfurullah

  • @ramygichero1016
    @ramygichero1016 Год назад

    unaongea kama una mavi kichwani toa ushahidi wa maneno yako

  • @kanobayirelambert8400
    @kanobayirelambert8400 2 года назад

    Kwa nini ma boss wenu wawape visa yakwenda hijja? Shekh cheni propaganda zenu Sisi twataka Amani

    • @muhammadmochenje1409
      @muhammadmochenje1409 2 года назад

      Ikiwa sayyiduna Abubakar na Sayyiduna Umar na sayyiduna Uthman sisi ahl sunnah kwetu ni maswahaba wenye hadhi kubwa na tunawheshimu sasa akitokea jitu likianza kuwatukana kwa jamii ambayo Ahlu sunnah wal jamaa ndio wengi huyu ndiye asiyetaka Amani kwa jamii kwa sababu haiwezekani humu mwetu ulete ulimi mrefu kuwatukana maswahaba alafu wawachwe tu hivi hivi.

    • @arafatali2796
      @arafatali2796 Год назад

      Kwaio unvyotk watu wasende huja au hebu kuwen bc na adabu

    • @faridfrefre35
      @faridfrefre35 10 месяцев назад

      Mashia ni makafiri

  • @Nkm_tv255
    @Nkm_tv255 2 года назад

    Kuhusu mashia hamtawaeza maana ndio waislamu waliobakia ambao fitina haiwakuti

    • @faridfrefre35
      @faridfrefre35 10 месяцев назад

      Mashia ni makafiri

    • @omaryramadhani6664
      @omaryramadhani6664 10 месяцев назад

      Hata ibilisi pia atabaki kama mtakavyo baki nyinyi majusi

    • @AhmedAslam-ip8mu
      @AhmedAslam-ip8mu 6 месяцев назад

      @@faridfrefre35toa ushahidi mbn makka wanaruhusiwa kuhuji na asiekua muislm hua hatakiw kuingia

  • @hemedsaidi9388
    @hemedsaidi9388 6 месяцев назад

    Huna elimu kenge wewe