WANAOPINGA KUWAOMBEA DUA MAITI, MAULIDI HILI SIO TATIZO KWAO, JE LINAFANYIKAJE? - SHEIKH MZIWANDA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024

Комментарии • 105

  • @swalehabdulrahman4118
    @swalehabdulrahman4118 2 года назад +2

    Allah akuhifadhi shekh ili tuzidi nufaika

  • @saidisalum-p2p
    @saidisalum-p2p 9 месяцев назад +2

    wallaah mziwanda unaijua hakki ispokua unafanya unafanya makusudi kwa kufuata matamanio

  • @binbaya923
    @binbaya923 2 года назад +1

    Maa shaa Allah

  • @ushindiushindi5749
    @ushindiushindi5749 Год назад +4

    Huwa nakkubali sana mziwanda lakin kutetea mauld hapan

    • @Mussarashidi-b4f
      @Mussarashidi-b4f 2 месяца назад

      Nyie ni wanafiki tu wapuuzi kamà hamjui maana yamaulidi kaeni kimya au kalaleni

  • @mwambashiiddi9295
    @mwambashiiddi9295 Год назад

    ‏لو كان خيراً لسبقنا إليه الصحابة
    ‏قال الإمام ابن كثير -رحمه الله- :
    ‏《 وأما أهل السنة والجماعة
    ‏يقولون في كل فعلٍ وقولٍ
    ‏ لم يثبت عن الصحابة : هو بدعة ،
    ‏لأنه لو كان خيراً لسبقونا إليه ،
    ‏لأنهم لم يتركوا خصلةً من خصالِ الخير إلا وقد بادروا إليها 》.
    ‏ [تفسير القرآن العظيم (١٣/١٢)]

  • @mwambashiiddi9295
    @mwambashiiddi9295 Год назад

    .shekh juzi kaeleza kwamba aliekataa khitima ni imamu shaafii allah amreh .
    Leo atuambia namna yakuomba kukusanyika kumuombea maiti .imeachiliwa .
    Swali khitima watu wakikusanyika wanafanya nini!
    Na ww umesema madheheb yako ni ya kumfuata imamu shaafii .

  • @yahyarashid8038
    @yahyarashid8038 2 года назад

    Hakuna iyo sh ambalo hakulifanya mtume swallahu alaihi wasallam haliwez kuwa ibada leo

    • @saidihaji3739
      @saidihaji3739 2 года назад +1

      Yahya Rashid
      Umesema : ambalo hakulifanya mtume ﷺ haliwezi kuwa lbada leo.
      .
      Twayyib : kufundisha kitabu (( بلوغ المرام)) sio lbada kwa7b mtume hajafanya ??
      Kujenga ((markaz)) tukazipa majina ya masheikh waliokufa mtume hajafanya jee halifai ??
      Pia : Tunaomba utupe taarifu (difinition) ya lbada .. ni nini lbada ??

    • @mdoekibai3991
      @mdoekibai3991 2 года назад

      Hawezi kukujibu mpaka akamckilize shekhewake

    • @mickdadymwinyi1936
      @mickdadymwinyi1936 2 года назад

      @@saidihaji3739 Kwa ushauri tu kaa chini usome acha janja janja ktk dini, hivi kujenga Markaz na kuipa jina ni ibada?

  • @giltaemi4017
    @giltaemi4017 Год назад

    Ni uovu kumsemea Allah.
    Kwamba kama ombolezo baya anaadhibiwa maiti.
    Kwanini ikisomwa Quraan asisamehewe.
    Suala la Allah kumsamehe binadamu ni mapendeleo yake sio kwasababu umesoma Quraani ndo asamehewe.
    Allah akitaka inakua asipotaka haiwi hata ufanye nn.
    Cha msingi fanya alicho fanya mtume na alicho fundisha.

    • @isaliisu3408
      @isaliisu3408 Год назад

      Ndiyo maana tunamuomba huku tukitarajiya msamaha kwake tunajuwa kuwa humsameh amtakae lakini Allah hachoki kuombwa na waja wake tafauti na sisi mtu akikujiya mara 3 mara mtu anachukiya

  • @medimisi6930
    @medimisi6930 2 года назад

    Watu kuleta mayele kwenye maulid na madufu yao ndio usahihi wa hadithi.maana mtu kasema BIDAA zote mwisho wake ni upotevu zaidi Kama huko kuleta mayele.shida wa mashekhe wa BIDAA wanakiswahili kingi iv ww unazani huyu shekhe hajui ukweli,jiulize tu mbona makka na Madina huko alikozaliwa mtume mwenyewe hawasomi haya maulidi ukipata jibu ndo utaelewa.

    • @hamadomary3308
      @hamadomary3308 2 года назад +1

      Mbona maka na Madina hawafuati mwezi ulioandama nchi icyokuwa yao,
      Wakat ww unafata wao,

    • @medimisi6930
      @medimisi6930 2 года назад

      @@hamadomary3308 mh,lako jipya kwaiyo kila miaka unaonekana hapo,iv tz tushawahi kuwatangulia kufunga au kufungua makka unaongea tu bidaa zimekushika SAUDI huwa wanataka Hadi sehemu au nchi ambazo mwez umeonekana

    • @gaboudghussein527
      @gaboudghussein527 2 года назад

      Hivi unajua Imam wa Makka amefungwa miaka 10 jela? Sasa usiseme usichokijua. Huko maulid yanasomwa pia

  • @abdulhida8291
    @abdulhida8291 2 года назад +6

    Masha Allah, shekhe Jazzaka Allah kheri.

  • @jumanneshabeni2009
    @jumanneshabeni2009 2 года назад +5

    asante shekhe mziwanda الله akupe umri mrefu tunufaike na elimu yako

  • @saadmbaraqa5272
    @saadmbaraqa5272 2 года назад +3

    Unaona shida awa watu wanaleta mzaha kwenye vikao vya dini eti kama mayere dah mtihani

  • @sabdiduwil8436
    @sabdiduwil8436 Год назад +1

    Ibrahim Alivyoomba mwenyezi mungu nijaalie niwe miongoni mwa wema. Ndipo alipooteshwa amchinje mwanae. (Alivyo amini) ndipo alipoonyeshwa mnyama,ndipo alipo barikiwa nabii Is-haqa mwema. mingoni mwa kizazi chake wapo wema,na wenye kudhulumu nafsi zao. Shekhe hapo umekosea maiti hasaidiwi kwa kusoma qur-anni, ili imuonye aliye hai (Yassin)

  • @amadeomarsaide5023
    @amadeomarsaide5023 3 месяца назад

    Sheikh hapo umedanganya,kwenye neno على نشاطه Makusudio yake yapo hapa صل قائماً.... Na kuendelea kwenye hio hadithi. Wallahi nukupenda kwa ajili ya Allah. Lakini hapo umechemsha Sheikh makusudio sio idadi za rakaa

  • @mgosilawanukoviri2734
    @mgosilawanukoviri2734 2 года назад +1

    Mdathiri soma acha kulalama elimu pana ndefu wewe umechota kijiko kwenye elimu wanzako wanna ndoo mapipa mito someni acheni ushabiki wa ki itikadi

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 Год назад +3

    Shegh tunakuelwa sana unafafanua vizuri sana na pia wale watu wakadiria wanafafanua vizur sana.hoja nzito sana

  • @Imrani-g9o
    @Imrani-g9o 2 месяца назад

    Jirongo ivi wewe nae nimtu au mtumba Huoni kuwa Allah ndio alileta hiyo habari sasa Abraham hakuwepo anasemewe hii nikauli taarifa Tena anasema nime ona ktk ndoto walasio kwa tafsiri Yako hio chafu unapingana Mungu wako kafiri wewe

  • @AbdulIssa-o7e
    @AbdulIssa-o7e 3 месяца назад

    Endeleni kupotosha watu maana allah kawatoa aibu kama mtume mmemsingizia mtashindwa kusema urongo siku zinavyoenda wanawakimbia hawo munao waringania uzushi mtajikuta mmebaki wenyewe muogopeni mungu dinni haikuwa na ziada ya kuongeza mambo baada ya mtume

  • @FundiHussein
    @FundiHussein Месяц назад

    Hili zee lmchoka uelewa nimbovu sherehe silazima kufanana lengo ni kitendo kinakubarika

  • @rashidsaid9409
    @rashidsaid9409 11 месяцев назад +1

    Ni kweli maneno ya Imam Shafii Allah amrehemu. Amesema (lau kama mtu ataingia ktk usufi mwanzoni mwa mchana basi haitofika Adhuhuri atakuwa mpumbavu) bila shaka ni kama huyu. Sufi. Hii ni talbis iblisi.

    • @khalfanikimanta6663
      @khalfanikimanta6663 7 месяцев назад

      Na wafuasi sasa waio kuwa na tahadhali ya elmu wanacheeka tuuu

    • @mussaissa6796
      @mussaissa6796 3 месяца назад

      HEBU LETE HICHO KITABU UTUONYESHE NA UKURASA ULIPOYATOA
      TUONE KAMA HUMO YAPO HIVYO UNAVYOROROMA WEWE

  • @osmaniidrisa6290
    @osmaniidrisa6290 Год назад +2

    Wallah shekh usipoacha kuzid kutangaza bidaa utaangamia Allah akunusur

    • @isaliisu3408
      @isaliisu3408 Год назад

      Ibunu Taimiya si kasema maulid siyo haram njoo Tamta Tanga tukuthibitishiye na huyu si ndiyo hana kasoro kwenu

  • @AbdallahMpemba
    @AbdallahMpemba 11 месяцев назад

    Sheikh mbona ww muongo ktk suala maulidi mtume(saw)
    hakusheherekea Bali mtume(saw )alifunga ibada hii aliifanya kw kuifunga wewe ni muongo na mzushi.

  • @rahimaabdillahi6287
    @rahimaabdillahi6287 8 месяцев назад

    Shekhe uyu kijana alomaliza thanawi ivi masualiyake huyasikii au ni kiburi ebu mtwange ktk ayomasualayake tuonee ww mziwanda ni kidume unaogopa nn ebu jibu basi

  • @FundiHussein
    @FundiHussein Месяц назад

    Wee ni kigeugeuhata hy nahau unayoitegemea hakufundisha mtume jua hlo kama hujui

  • @FundiHussein
    @FundiHussein Месяц назад

    Wee ni kigeugeuhata hy nahau unayoitegemea hakufundisha mtume jua hlo kama hujui

  • @abuunutsamuonlinetv2703
    @abuunutsamuonlinetv2703 9 месяцев назад

    Sasa unajifunga mwenyewe kama haguna dua alio waombea wazazi wake na yeye ndio kiigizo chema wewe umepata wapi

  • @issanasir3583
    @issanasir3583 2 года назад +1

    Kufata sunna na kuacha shubhaat ni bora Zaid...sio kutafuta vichochoro vya kufanya bid'a

  • @hasanisaidishabani3879
    @hasanisaidishabani3879 2 года назад +3

    Allah akupe umri mrefu

  • @ramadhaniddsalim2201
    @ramadhaniddsalim2201 2 года назад +3

    Alhamdulillah

  • @homeboyvr8184
    @homeboyvr8184 2 месяца назад

    Maneno yk ni ya hovyo nasikuoni ila nmtu wa shari

  • @saidisalum-p2p
    @saidisalum-p2p 9 месяцев назад

    KUWAFANYA WATU MAZUZU SASA MAMBO YA NDANI UNAFANANISHA NA MAULIDI YA NJE

  • @abubakarymaulidy5681
    @abubakarymaulidy5681 2 года назад +2

    Asiye elewa sjui ni mtu wa aina gani

  • @nouhamour545
    @nouhamour545 2 года назад +5

    Doooooh Wallah Allah awaweke masheikh wetu tuzidi kufaidika na elmu zao

  • @auazenafusse134
    @auazenafusse134 Год назад +1

    sawa kabisa shekh Allah akuwoze

  • @jumahory859
    @jumahory859 2 года назад +2

    Allah akuhifadhi hakika unavitu vyakipekee mpaka nahau

  • @abdulkadirshora3080
    @abdulkadirshora3080 2 года назад +2

    Mashaa sheikh ALLAH atuzidishie

  • @mageh8655
    @mageh8655 Год назад +1

    Mashaallah shekh umetumalizia hili tatizo ALLAH akulipe kila la kheri

  • @saadmbaraqa5272
    @saadmbaraqa5272 2 года назад +1

    Vikao vya watu wa bidaa ni kuongeza chumvi tu

  • @sulekato4330
    @sulekato4330 2 года назад +2

    Allah akuzidishie na akuhifadhi

  • @MuhdharMuhammad-qv3zl
    @MuhdharMuhammad-qv3zl 10 месяцев назад

    Shukran Sana Sheikh Wetu kwakutuelimisha na Tunakuomba usife moyo kwasababu hata Mtumi Muhammad SAW alipingwa shukran sana Allah akuhifadh

  • @TahfifuAlly
    @TahfifuAlly 5 месяцев назад

    Huyu n kenge jmn Murakkab

  • @anksusiabdurashid114
    @anksusiabdurashid114 2 года назад +2

    Mashallaah akurehemu Allaah

  • @abdallahsaid8157
    @abdallahsaid8157 2 года назад +3

    Mbali Sana hapo sheikh.
    Kwa niwajuavyo mimi hapo hawafiki.

  • @issaabdallah1205
    @issaabdallah1205 3 месяца назад

    Wadanfanya watu

  • @hamischuga6320
    @hamischuga6320 2 года назад +1

    Mayele kaingiaje msikitini
    Ushenzi huo

  • @burhantvtzonline5417
    @burhantvtzonline5417 2 года назад +1

    Twayyib

  • @mybabyarchive2104
    @mybabyarchive2104 2 года назад +2

    Leo umefundisha kama mwalim wa Mathematics Mashaallah ila hao wanaoongeza na issue za mayele ndo wanao fanya watu wa maulidi kuonekana wahuni we unampenda mayele kuliko mtume na maswahaba

  • @saidally9896
    @saidally9896 Год назад +1

    Masha allah

  • @issaabdallah1205
    @issaabdallah1205 3 месяца назад

    Dalili

  • @hassanhussein2422
    @hassanhussein2422 2 года назад +1

    Kuweli wwe ni musomi

  • @Skomi-0nedayyes
    @Skomi-0nedayyes 2 года назад

    Me nauliza swari kabla ya sijacommenti mauridi ayo anayo zungumzia shekhe Ni pamoja na madufu ama maaridi kisomo tu?

  • @abubakarshaban6118
    @abubakarshaban6118 Год назад

    Haya Acha hiyo ya dua kwa wazazi.. Je maulidi?? Na hiyo ya kula ubwabwa kumsumbua mfiwa..

  • @bongotvonline4883
    @bongotvonline4883 2 года назад +2

    Mziwanda wewe ni msomi mzuri sana, tatizo lako tu haupo katika haki ingawa unaijua haki. Na Allah akupe muongozo InshaAllah.

    • @isaliisu3408
      @isaliisu3408 Год назад

      Yaani unakubali Elimu anayo lkn unamkata jina kama mtoto wako kwasabu mumehitafiyana lkn ujuwe kuhitaliyana ndiyo kukuwa kwa Dini yetu kwasabu watu watasoma zaidi

    • @karimmkejina980
      @karimmkejina980 Год назад

      Kwaiyo kafili au dah nyie waislam wa ni shida sana aya wew mcha mungu mungu akujalie

  • @fadhilimusa9732
    @fadhilimusa9732 Год назад

    Masheikh wakiwahabi wanaopinga waende semina wakaelimishwe

  • @ibrahimmussa7069
    @ibrahimmussa7069 Год назад

    Swala kumsalia ishu je yana uhalali uhalali wake up wapi shekhe usizungushe watu

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 2 года назад

    Uko mbele ya majabari wa maulidi na mahitima thubutu useme ukweli!!!? Ndio unabaki kuyakoroga na mifano ya kijingajinga

  • @mubirirashidi
    @mubirirashidi 2 года назад +1

    Mashaaallah ❤️❤️❤️

  • @travellertraveller4505
    @travellertraveller4505 2 года назад +1

    ماشآءالله

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 Год назад +1

    Tunaelewa shegh ufafanuzi mzur sana,kuna vichwa haviwezi kuelewa sababu wanachoamini sivyo unaamini wewe shegh….

  • @salehmohammedsalum2054
    @salehmohammedsalum2054 2 года назад

    Shehe kaongea vzuri sana lakini sijafahamu vtu viwili (1)dalili ya kuonesha Maulidi ni sunna. (2)dalili ya kuonesha Maulidi ni sunnatul Mutwlaka.

  • @husseinbutoyi8675
    @husseinbutoyi8675 2 года назад

    MZIWANDA, UJANJA MTUPU NA HAMNA JIPYA HAPO.

  • @mdathirhassan2187
    @mdathirhassan2187 2 года назад

    Mziwanda kuna na kesho

  • @yusuphj2357
    @yusuphj2357 Год назад

    Taratibu wanazd kuelewa kuitambua bida'a

  • @hamisisalimu6908
    @hamisisalimu6908 Год назад

    Mashallah 😊

  • @hashimkhamisi8291
    @hashimkhamisi8291 2 года назад

    ASANT

  • @mummy-qg6tt
    @mummy-qg6tt 2 года назад

    Siku nyingine nyoosha maelezo ya mada

  • @Team-t6k
    @Team-t6k Год назад

    Ujanja ni mwingi 😢 sijuwi lipi alifikisha

    • @shebymilanzi8716
      @shebymilanzi8716 Год назад

      Tulia Kama uelewi mfate akufundishe

    • @saidsheha-wn4qw
      @saidsheha-wn4qw 11 месяцев назад

      Kuna ujanja gani hapo. Mbona maana mkaambiwa mkasomehwe. Nyie hamtaki.

  • @nasoros.mgungo5502
    @nasoros.mgungo5502 2 года назад

    .

  • @bakarimabele9295
    @bakarimabele9295 2 года назад

    Tuache upaulo kwenye dini ya Allah ndugu zangu

    • @aljabery.binruz
      @aljabery.binruz 2 года назад

      Upaulo Nani na tuache nini fafanua tukuelewe, nn kibaya alio kisema?

    • @mdoekibai3991
      @mdoekibai3991 2 года назад

      Huja hamna na mashekhe wenu wapo kimya inaonesha wazi dawa imewaingia nyie viclili mmeachwa njiapanda

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 2 года назад

      KWELI TUWACHE UPAULO TAWHEED TATU (MUNGU BABA, ULUHIA. MUNGU MWANA, RUBUBIA, MUNGU ROHO MTAKATIFU, ROHO NA SIFA ASMAU WA SWIFWATI) KATIKA UISLAMU. upo sahihi. Tuwache ulokole wa tawheed tatu

    • @bakarimabele9295
      @bakarimabele9295 2 года назад

      @@hilalkhalfan1452 shukran sheikh leo nimepata kufahamu mungu mwana kwa kiarabu ni rabi

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 2 года назад

      @@bakarimabele9295 sio rabi, ni rubu. Hio sio rabi bia. Hio ni RUBU BIA.
      RABI- NI MWENYEZIMUNGU
      RUBUBIA - NI UWILI WA MWENYEZI MUNGU YAANI MUNGU MWANAE.
      Rabi ni Mwenyezi Mungu na wakiristo huita Mungu baba. Wanakusudia huyo Mungu mwenyewe kisheria. Sasa unapoendelea kugawa tawheed ndipo unapofanya utopolo wa Paulo.
      Alikatazwa Paulo kufanya tawheed ni Tatu Sasa waislamu wamejifanyia wao tawheed Tatu. QUR-AN hawaridhiki mayahudi na wakiristo mpaka mfate mila zao za tawheed Tatu ili mkufuru pamoja nao.
      Qur-an "WALAA taquulu thalatha" yaani MSISEME TAWHEED NI TATU KAMA PAULO.
      AU UNAYO HADITHI IMESEMA TAWHEED NI TATU IKAIPINGA HIO QURAN ILIOKATAZA TAWHEED TATU?

  • @mdathirhassan2187
    @mdathirhassan2187 2 года назад

    Shekhe kazi yenu ni kuleta ujanja wa nahwu ili kuwachanga watu , mwenye kuzua yasiyo kuweko haponyoki

  • @ibrahimmussa7069
    @ibrahimmussa7069 Год назад

    Unazunguka sana mauligi yana shirki nyingi shekhe

  • @fardboy7043
    @fardboy7043 2 года назад +2

    Masha Allah