ACHENI HUSDA, SHEIKH WALID ANAWEZA KUWA SH. WA MKOA, HILI NALO NI JANGA - SHEIKH MZIWANDA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 42

  • @a.katunzi5815
    @a.katunzi5815 4 месяца назад

    Maa Shaa Allah.
    Sauti kama ya Al marhuum Amran Kilemile.
    Jitahidi umrithi.

  • @Mpakistanog
    @Mpakistanog 4 месяца назад +1

    Naendelea kusoma ❤allah akueke san

  • @nuriyatihgeorgekhan6042
    @nuriyatihgeorgekhan6042 8 месяцев назад +2

    Sahihi mziwanda hakika allah ana kila njia ya kumpatia mja wake ujumbe na elim asispo zinduka huyo kiumbe kuna sku allah atamuumbuwa eety kisa kaoa mtoto wa muf.....basi kamaliza angeoa mtoto wa Muhammad s.a.w ingekuwaje massage sent hahhaàa Asante mungu

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 9 месяцев назад +2

    Kweli mziwanda alhadi wenziwe wanasoma yy anashinda makanisani

  • @KhamisAli-r1w
    @KhamisAli-r1w Месяц назад

    Mkitoka apo kaeni kikao cha kujadili jinsi ya kukarabati shule kongwe ya Alharamain kwani ipo chini yenu na ina mazingira mabaya, isitoshe IPO katkati ya jiji la kibiashara.

    • @jamalkishangu
      @jamalkishangu Месяц назад

      Umewakumbusha Jambo la msingi sana

  • @Marjeby
    @Marjeby 9 месяцев назад +1

    Mziwanda anapenda sana mipasho mipasho mawaidha yake asilimia 99.9999 ni mipasho tuu.
    Hapo mamwinyi wamekutana wanapiga zoga Mashekh wanayoipenda dunia kuliko akhera aiseee waislam tatizo letu kubwa ni uongozi na elimu ya dunia hapo wote hao waliyokaa high table la saba watupu hilo ni tatizo jamani dunia imebadilika hii mbona waislam wenye elimu zote mbili tunao wengi sanaa tuachane na hawa mamwinyi

    • @jamalishoo3802
      @jamalishoo3802 9 месяцев назад +1

      Muogope Allah Acha kuwadharau watu ni kibri

    • @SirajuChilindo-b4y
      @SirajuChilindo-b4y 9 месяцев назад

      Ni wazi kuwa maneno Yako yamekosa fikra,shekh kaongea fact, ila ni vile2 nyie mnafundishwa kuwachukia waislamu wenzenu📌🔨

    • @Marjeby
      @Marjeby 9 месяцев назад

      @@jamalishoo3802 Hilo ndio tatizo letu waislam wengi sana so viongozi wetu katika uislama ni untouchable kivyovyote vile!?

    • @Marjeby
      @Marjeby 9 месяцев назад

      @@SirajuChilindo-b4y Daah tunafundishwa kuwachukia waislam wenzetu acheni kurefusha porojo jadilini hoja hivi ww unayefundishwa upendo uliambiwa hao Mashekh wako hawatakiwi kukosolewa?!mie naongea nayo ongea kwa sababu hao Mashekh wote hapo hapo high table nawajua vizuri sana na wote hapo ni Darasa la saba na form four zero

    • @jamalishoo3802
      @jamalishoo3802 9 месяцев назад

      @@Marjeby wanawachuoni ni warithi wa Mtume Mwenye kuwaheshimu amemuheshimu Mtume na mwenye kuwadharau hakika amemdharau Mtume na mwenye kumdharau Mtume hakika amemdharau Allah.
      Elimu waliyonayo mashekhe zetu inatosha sana
      Hawahitaji hata hilo la saba unalolisema kwani ktka uislamu kuna kila kitu.

  • @khamismohammed7500
    @khamismohammed7500 9 месяцев назад +1

    Daaa jaman muacheni sasa dini haitaki mipasho

  • @Tupena-ov7xq
    @Tupena-ov7xq Месяц назад

    Hivi kwa nini mnakaa chini, kwa wazee ni mbaya wataumwa na migongo, pia mbona wanawake hawaonekani, mnaonyeshwa nyie wanaume tuu

  • @shawejibakarimnonopeshawej7586
    @shawejibakarimnonopeshawej7586 4 месяца назад

    Vigogo vitupu hapo

  • @KhaleedMasanyika-is6cy
    @KhaleedMasanyika-is6cy 4 месяца назад

    mipasho wap shekhe anaongea ukweli ukiona nimipasho maana anakugusa ndio maana inawauma

  • @Bint1971
    @Bint1971 9 месяцев назад

    Mh

  • @kylesmeight4837
    @kylesmeight4837 9 месяцев назад

    Kwan huu usheikh wa mkoa unatokea wp naon mikoa mengne hatuckii km kun sheikh wa mkoa 😅😅😅

    • @Hassanintandu-u7s
      @Hassanintandu-u7s 9 месяцев назад

      Wew ndio hujui ndugu yangu usheikh wa mkoa upo Sana tu

    • @kylesmeight4837
      @kylesmeight4837 9 месяцев назад

      @@Hassanintandu-u7s me hku zanzibar cmjui sheikh wa mkoa hat mmoj hat uka mainland cwajui masheikh wa mikoa mengn

    • @kylesmeight4837
      @kylesmeight4837 9 месяцев назад

      @@Hassanintandu-u7s ungensaidia hat masheikh wa2 wa mikoa mengne

    • @Hassanintandu-u7s
      @Hassanintandu-u7s 9 месяцев назад

      Sheikh Hassani kabeke ni sheikh wa mkoa wa mwanza

    • @Hassanintandu-u7s
      @Hassanintandu-u7s 9 месяцев назад

      Sheikh Mustafa Rajabu sheikh wa mkoa wa Dodoma

  • @jamalkishangu
    @jamalkishangu Месяц назад

    Hiyo nyundo imegonga sehemu yake. Tusipo elewa hapo basi tena

  • @UmmuJauzan
    @UmmuJauzan 9 месяцев назад

    Hilo dongo kwa Alhad musa anahusda

    • @tanzaniaonmzamiloon8627
      @tanzaniaonmzamiloon8627 9 месяцев назад

      Acha dhana we mjinga jiepushe na dhana mbaya

    • @mwanaishajumamnauye7776
      @mwanaishajumamnauye7776 9 месяцев назад

      Dhana ipi?? Alhad mussa husda nyingi sana alafu husda ya Alhad mussa aijifichi

    • @W.Engineer125
      @W.Engineer125 9 месяцев назад +1

      Mtume Muhammad s a w amesema usimdhanie dhana mbaya ndugu yako akasema katika Hadith nyingine mpe udhuru ndugu yako zaidi ya mara 70 kwa maana hata mtu Akikosea mpe udhuru useme labda kateleza kwa ubinaadamu usimhukumu Moja kwa moja

    • @nuriyatihgeorgekhan6042
      @nuriyatihgeorgekhan6042 8 месяцев назад

      Sahihi kabixa

    • @AhamdSaid-ej6gg
      @AhamdSaid-ej6gg Месяц назад

      @@W.Engineer125 upo sahihi hakuna mkamilifu Illa Allah