MASHEIKH WA BAKWATA WANAWASAPOTI MASHIA TANZANIA sheikh Mohammed Issa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 фев 2025

Комментарии • 48

  • @HamijeyHamijey
    @HamijeyHamijey 10 месяцев назад +1

    Sheikh umewaambia ukwer hela ndio inamkoroga amemsahau allah

  • @abdulrashidjuma8229
    @abdulrashidjuma8229 2 года назад +3

    Allaahu akuzidishie kheir nyingi sheikh Mohammed Kwa kusema kweli

  • @mams1892
    @mams1892 2 года назад +2

    Innalillahi wainnaillahi Rajionn Allah atustiri na vizazi vyetu amin ya Rabb

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Год назад +1

    KWELI MASHIA ARUSHA WAMEANZA KUONYESHA MAKUCHA YAO KUPAMBANA NA AHLUSUNNAH WALJAMAA!!

  • @musarashid3482
    @musarashid3482 3 месяца назад +1

    Ukosefu *wa kuungwa* *mkono* - ni *usaliti* kwa Mwenyezi Mungu,na Mtume Wake,
    na waumini wote.✔️
    Na usaidizi (unao fanywa na inchi za kiarabu) kwa mzayuni mhalifu,
    *Adui* wa Mwenyezi Mungu na Palestina, ni *(usariti na ushiliki wa inchi za kiarabu kumwaga dam ya wapalestina)* 😭
    Ikiwa *(mnadai)* uungaji mkono(na msaada) wa Shiah kwa Palestina si wa Mwenyezi Mungu,‼️
    *Basi je* ,⁉️ ukosefu wa msaada wa Masunni kwa Palestina, ndio utiifu (wasunni) kwa Mwenyezi Mungu.⁉️
    😭😭😭😭😭

  • @MariamEdison
    @MariamEdison 5 месяцев назад

    ALLAHU AKBAR ALLAH AKUHIFADH AKULINDE UKWEL MUTUPU NA MUSEMA KWELI NI KIPENZI CHA ALLAH....❤❤❤

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Год назад +4

    BAKWATA ILIUNDWA KUUSAMBARATISHA UISILAM TANZANIA !!
    LEO WAMEUZA NYUMBA NA PLOT ZA WAKFU ZA WAISLAMU!!

  • @HassanAhmedAbdallah
    @HassanAhmedAbdallah 8 месяцев назад

    Allah akuhifadhi na akufanyie wepesi wa kuingia jannah kama unavyo ifanyia haki wepesi wa kufahamika

  • @habibuchakusaga7981
    @habibuchakusaga7981 2 года назад

    Jazaka llaah kheira

  • @HabibuMudhwahir
    @HabibuMudhwahir 8 месяцев назад +1

    Umefeli sanaa

  • @bakarikitenge4768
    @bakarikitenge4768 4 месяца назад +1

    Maskini Shaykh wetu mweupeee huwajui mashia itikiadi zao! Wala huijui Historia ya Kiislamu, rudi Suudia ukasome tena. Ongea kwa hoja na siyo kupayuka.

  • @wazirihamisi6484
    @wazirihamisi6484 10 месяцев назад

    Allah akuongoze ktk sunna

  • @SherallyHussein-tu1nk
    @SherallyHussein-tu1nk 8 месяцев назад +2

    Nyie mpingao maelezo hayo ya Sh. Muhammad Issa, katika watetezi wa Mashiia au Mashiia wenyewe, Cha kufanya ni KULETA HOJA DHIDI YA KAULI YAKE. SI kubwabwaja TU. :- Qul haaatuuu burhaanakum inkuntum Saadiqiin.

  • @hassanmsangi4149
    @hassanmsangi4149 9 месяцев назад +1

    😀😃😄😁😆🤣😂 shekh anajiwekea kinga ya usalama kwa kuielezea answari inavyofanya kazi zake nchini

  • @Kekulebenzene
    @Kekulebenzene 10 месяцев назад +2

    Unakuta kuna mtu ana akili zake timamu anawafuata na kuwasikiliza masheikh wa BAKWATA

    • @Kekulebenzene
      @Kekulebenzene 10 месяцев назад +1

      Kama hawaogopi kuwasapoti mashia, wataogopa kuwaongopea waislamu?
      BAKWATA ni sehemu ya kupiga pesa tu

    • @wazirihamisi6484
      @wazirihamisi6484 10 месяцев назад

      ​@@Kekulebenzenebaarakallahu fiyka

  • @MariamRamadan-tp7ce
    @MariamRamadan-tp7ce 3 месяца назад

    Ndio Allah Atunusuru kabisa Allahuma AMIIN Thuma AMIIN

  • @Abdulnassir-n6n
    @Abdulnassir-n6n 7 месяцев назад

    Hadi huruma watoa comment umu wengi munaonekna ni mashiaaa....badilikeni.

  • @HabibuMudhwahir
    @HabibuMudhwahir 8 месяцев назад +1

    Wewe shiba ukalale

  • @mohamedsheha-jz6hn
    @mohamedsheha-jz6hn 4 месяца назад

    Hatariiii!!!!

  • @hassanmsangi4149
    @hassanmsangi4149 9 месяцев назад +1

    mpaka mseme mashia ni bora kuliko waisilam wengine , hampambani na mambo mengine kila siku mashia na mashia wana elimu ya kutosha ila ninyi hamna elimu yoyote

  • @Abdulnassir-n6n
    @Abdulnassir-n6n 7 месяцев назад

    Yani kweli watu wanawatukana maswahaba munafurai ALLAHU atatuadhibu siku ya kiamaaaa

  • @hassanmsangi4149
    @hassanmsangi4149 9 месяцев назад +1

    mashia ndio wakweli masuni waongo sana

  • @AbdallahsalehjafferElchunu
    @AbdallahsalehjafferElchunu 5 месяцев назад

    Bakwata hawana maana pesa mbili moto wanao

  • @Sobo740
    @Sobo740 5 месяцев назад

    Mohamed isaa

  • @sameeraidd2109
    @sameeraidd2109 5 месяцев назад +1

    Pelekeni ujinga huko shehe zima unaongea utadhani una elimu na hshia. Eti wanamuabudu husein. Acha kupotosha watu kwaajili ya chuki. Usisambaze uongo shehe mzima utakuja kujibu mbele ya mungu. Acheni chuki nyie mawahabi maana mnajiona kama nyie ndio mtaingia peponi kwa kuona wenzenu makafiri.

  • @HabibuMudhwahir
    @HabibuMudhwahir 8 месяцев назад +1

    Hata sisi tulizaliwa tu tulikua hatujui uwahabi

  • @mohamediridhwa3109
    @mohamediridhwa3109 28 дней назад

    Hata Answar ilikuja juzi mbona hamsemwi

  • @HabibuMudhwahir
    @HabibuMudhwahir 8 месяцев назад +1

    Wewe rudi darasani ukasome hekima huna elimu yadini

  • @rajabuhashimu-bv8qt
    @rajabuhashimu-bv8qt 8 месяцев назад +1

    Hakuna ulicho ongea ni kupiga kelele tu ongea kwa dalili acha kutupigia kelele

  • @FridayMwassa
    @FridayMwassa 7 месяцев назад

    Kumbe Kuna wakati mashia wanakuwa siyo waislam na wakati mwingine ni waislam,nasema haya baada ya kuwaona waislam wengi wakiwasapoti Iran kwamba ni waislam wenzao lakini mijadala kama hii mnawakataa kwamba siyo waislam

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 2 года назад +3

    BAKWATA WAPATA PESA KWA MASHIA NJAA ZIMEWAWEKA MOYONI BUSTARDS

  • @dauddavid6837
    @dauddavid6837 8 месяцев назад +1

    Yani huyu anavyoongea anaonesha wazi kwamba hana alijualo kuhusu mashia bali nikuropoka tu

  • @AbasHabimana
    @AbasHabimana 5 месяцев назад

    Maneno ya hekma mwenye kutaka kuelewa ataelewa uko sahihi kabisa

  • @hassanmsangi4149
    @hassanmsangi4149 9 месяцев назад

    hamna shekh hapa sasa hivi anawasifu nyerere na madiba wakati alinza kumponda ayatollah khomeini kwa kupinga umagharibi na kusimamisha dola ya kiisilam ya iran , hamna akili hapa bali ni hasira

  • @MhabeshiMaluja
    @MhabeshiMaluja День назад

    Kwa sasa mashia wengi ni wajinga tuh wameingia kwa maslahi ya pesa tuh sio dini ndo maana comments nyingi hapa hawamwelewi shekh kwa ujinga wao..

  • @dauddavid6837
    @dauddavid6837 7 месяцев назад

    Huyu mzee muongo nyie mawahabi na salafy sindo mmenza kuwatenga wenzenu mkawaita watu wabidaa na makhuraf leo wasema mlikua pamoja mzee acha uongo

  • @AL-WAARITHUUNTZtv
    @AL-WAARITHUUNTZtv Год назад

    Wee mzee wewe hapo unawapaka mafuta .au jamaii gani kwani hiyo jamii mashia hawao we tengeneza nchi yako uhamie

  • @Sh_Taqee
    @Sh_Taqee 8 месяцев назад

    Huyu ni Mzuri kwa kupiga kelele na ni Jahili.

  • @hassanmsangi4149
    @hassanmsangi4149 9 месяцев назад

    elimu ndogo haongei kwa kutoka kwenye kitabu cha hadith wala quran bali apapatika toa hoja ya kidini sio kuongea usichokijua . kazi ni kuponda hamna lolote

  • @mussakhamis-g8c
    @mussakhamis-g8c 8 месяцев назад +1

    Ukiingia mtandaoni Mawahabi utadhani nchi nzima wamejaa wao ila uhalisia uwahabi wachache sana.
    Mawahabi wazee wa Mtandao

  • @abasiramashoo5026
    @abasiramashoo5026 3 месяца назад

    Wewe wacha uwongo wako na chuki zako huwezi kuzuia ushi