Ukosefu *wa kuungwa* *mkono* - ni *usaliti* kwa Mwenyezi Mungu,na Mtume Wake, na waumini wote.✔️ Na usaidizi (unao fanywa na inchi za kiarabu) kwa mzayuni mhalifu, *Adui* wa Mwenyezi Mungu na Palestina, ni *(usariti na ushiliki wa inchi za kiarabu kumwaga dam ya wapalestina)* 😭 Ikiwa *(mnadai)* uungaji mkono(na msaada) wa Shiah kwa Palestina si wa Mwenyezi Mungu,‼️ *Basi je* ,⁉️ ukosefu wa msaada wa Masunni kwa Palestina, ndio utiifu (wasunni) kwa Mwenyezi Mungu.⁉️ 😭😭😭😭😭
Nyie mpingao maelezo hayo ya Sh. Muhammad Issa, katika watetezi wa Mashiia au Mashiia wenyewe, Cha kufanya ni KULETA HOJA DHIDI YA KAULI YAKE. SI kubwabwaja TU. :- Qul haaatuuu burhaanakum inkuntum Saadiqiin.
mpaka mseme mashia ni bora kuliko waisilam wengine , hampambani na mambo mengine kila siku mashia na mashia wana elimu ya kutosha ila ninyi hamna elimu yoyote
Pelekeni ujinga huko shehe zima unaongea utadhani una elimu na hshia. Eti wanamuabudu husein. Acha kupotosha watu kwaajili ya chuki. Usisambaze uongo shehe mzima utakuja kujibu mbele ya mungu. Acheni chuki nyie mawahabi maana mnajiona kama nyie ndio mtaingia peponi kwa kuona wenzenu makafiri.
Kumbe Kuna wakati mashia wanakuwa siyo waislam na wakati mwingine ni waislam,nasema haya baada ya kuwaona waislam wengi wakiwasapoti Iran kwamba ni waislam wenzao lakini mijadala kama hii mnawakataa kwamba siyo waislam
hamna shekh hapa sasa hivi anawasifu nyerere na madiba wakati alinza kumponda ayatollah khomeini kwa kupinga umagharibi na kusimamisha dola ya kiisilam ya iran , hamna akili hapa bali ni hasira
elimu ndogo haongei kwa kutoka kwenye kitabu cha hadith wala quran bali apapatika toa hoja ya kidini sio kuongea usichokijua . kazi ni kuponda hamna lolote
Sheikh umewaambia ukwer hela ndio inamkoroga amemsahau allah
Allaahu akuzidishie kheir nyingi sheikh Mohammed Kwa kusema kweli
Innalillahi wainnaillahi Rajionn Allah atustiri na vizazi vyetu amin ya Rabb
KWELI MASHIA ARUSHA WAMEANZA KUONYESHA MAKUCHA YAO KUPAMBANA NA AHLUSUNNAH WALJAMAA!!
Ukosefu *wa kuungwa* *mkono* - ni *usaliti* kwa Mwenyezi Mungu,na Mtume Wake,
na waumini wote.✔️
Na usaidizi (unao fanywa na inchi za kiarabu) kwa mzayuni mhalifu,
*Adui* wa Mwenyezi Mungu na Palestina, ni *(usariti na ushiliki wa inchi za kiarabu kumwaga dam ya wapalestina)* 😭
Ikiwa *(mnadai)* uungaji mkono(na msaada) wa Shiah kwa Palestina si wa Mwenyezi Mungu,‼️
*Basi je* ,⁉️ ukosefu wa msaada wa Masunni kwa Palestina, ndio utiifu (wasunni) kwa Mwenyezi Mungu.⁉️
😭😭😭😭😭
ALLAHU AKBAR ALLAH AKUHIFADH AKULINDE UKWEL MUTUPU NA MUSEMA KWELI NI KIPENZI CHA ALLAH....❤❤❤
BAKWATA ILIUNDWA KUUSAMBARATISHA UISILAM TANZANIA !!
LEO WAMEUZA NYUMBA NA PLOT ZA WAKFU ZA WAISLAMU!!
Nenda mahakamani
Allah akuhifadhi na akufanyie wepesi wa kuingia jannah kama unavyo ifanyia haki wepesi wa kufahamika
Jazaka llaah kheira
Umefeli sanaa
Maskini Shaykh wetu mweupeee huwajui mashia itikiadi zao! Wala huijui Historia ya Kiislamu, rudi Suudia ukasome tena. Ongea kwa hoja na siyo kupayuka.
Allah akuongoze ktk sunna
Nyie mpingao maelezo hayo ya Sh. Muhammad Issa, katika watetezi wa Mashiia au Mashiia wenyewe, Cha kufanya ni KULETA HOJA DHIDI YA KAULI YAKE. SI kubwabwaja TU. :- Qul haaatuuu burhaanakum inkuntum Saadiqiin.
😀😃😄😁😆🤣😂 shekh anajiwekea kinga ya usalama kwa kuielezea answari inavyofanya kazi zake nchini
Unakuta kuna mtu ana akili zake timamu anawafuata na kuwasikiliza masheikh wa BAKWATA
Kama hawaogopi kuwasapoti mashia, wataogopa kuwaongopea waislamu?
BAKWATA ni sehemu ya kupiga pesa tu
@@Kekulebenzenebaarakallahu fiyka
Ndio Allah Atunusuru kabisa Allahuma AMIIN Thuma AMIIN
Hadi huruma watoa comment umu wengi munaonekna ni mashiaaa....badilikeni.
Wewe shiba ukalale
Shiyah laanatul Allah
Hatariiii!!!!
mpaka mseme mashia ni bora kuliko waisilam wengine , hampambani na mambo mengine kila siku mashia na mashia wana elimu ya kutosha ila ninyi hamna elimu yoyote
Yani kweli watu wanawatukana maswahaba munafurai ALLAHU atatuadhibu siku ya kiamaaaa
mashia ndio wakweli masuni waongo sana
Acha kupotosha watu weeeee naona ushalambishwa za wa Iran
Bakwata hawana maana pesa mbili moto wanao
Mohamed isaa
Pelekeni ujinga huko shehe zima unaongea utadhani una elimu na hshia. Eti wanamuabudu husein. Acha kupotosha watu kwaajili ya chuki. Usisambaze uongo shehe mzima utakuja kujibu mbele ya mungu. Acheni chuki nyie mawahabi maana mnajiona kama nyie ndio mtaingia peponi kwa kuona wenzenu makafiri.
Hata sisi tulizaliwa tu tulikua hatujui uwahabi
Hata Answar ilikuja juzi mbona hamsemwi
Wewe rudi darasani ukasome hekima huna elimu yadini
Hakuna ulicho ongea ni kupiga kelele tu ongea kwa dalili acha kutupigia kelele
Kumbe Kuna wakati mashia wanakuwa siyo waislam na wakati mwingine ni waislam,nasema haya baada ya kuwaona waislam wengi wakiwasapoti Iran kwamba ni waislam wenzao lakini mijadala kama hii mnawakataa kwamba siyo waislam
BAKWATA WAPATA PESA KWA MASHIA NJAA ZIMEWAWEKA MOYONI BUSTARDS
Mashia hawana sifa ya uislaam hata
Yani huyu anavyoongea anaonesha wazi kwamba hana alijualo kuhusu mashia bali nikuropoka tu
Maneno ya hekma mwenye kutaka kuelewa ataelewa uko sahihi kabisa
hamna shekh hapa sasa hivi anawasifu nyerere na madiba wakati alinza kumponda ayatollah khomeini kwa kupinga umagharibi na kusimamisha dola ya kiisilam ya iran , hamna akili hapa bali ni hasira
Kwa sasa mashia wengi ni wajinga tuh wameingia kwa maslahi ya pesa tuh sio dini ndo maana comments nyingi hapa hawamwelewi shekh kwa ujinga wao..
Huyu mzee muongo nyie mawahabi na salafy sindo mmenza kuwatenga wenzenu mkawaita watu wabidaa na makhuraf leo wasema mlikua pamoja mzee acha uongo
Wee mzee wewe hapo unawapaka mafuta .au jamaii gani kwani hiyo jamii mashia hawao we tengeneza nchi yako uhamie
Huyu ni Mzuri kwa kupiga kelele na ni Jahili.
elimu ndogo haongei kwa kutoka kwenye kitabu cha hadith wala quran bali apapatika toa hoja ya kidini sio kuongea usichokijua . kazi ni kuponda hamna lolote
Ukiingia mtandaoni Mawahabi utadhani nchi nzima wamejaa wao ila uhalisia uwahabi wachache sana.
Mawahabi wazee wa Mtandao
Wewe wacha uwongo wako na chuki zako huwezi kuzuia ushi