NINI HUKUMU YA KUTUMIA CONDOM KWA MUISLAMU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • TEMBELEA BLOG YETU HAPA
    ihsanmafundish...
    KISA CHA DACTARI WA KIJERUMANI NA MSOMI WA KIISLAMU
    • KISA CHA DACTARI WA KI...
    HAYA WAMEYAZUSHA KATIKA MAZISHI KWA MASLAHI YAO.SHEKHE NASSORO BACHU
    • HAYA WAMEYAZUSHA KATIK...
    WAPI MTUME KAYAFUNDISHA HAYA
    • HUU NI UZUSHI
    HII NDIO HASARA WANAYOPATA WANAWAKE WENGI LEO KATIKA NDOA
    • HII NDIO HASARA WANAYO...
    MAZINGE NA MCHUNGAJI
    • MAZINGE NA MCHUNGAJI
    TAFSIRI SURATUL MAAIDAH SHEKHE MSELEUMU BIN ALI
    • TAFSIRI SURATUL MAAIDA...
    TAFSIRI SURATUL MAAIDAH SHEKHE MSELEUMU BIN ALI
    • TAFSIRI SURATUL MAAIDA...
    MWENYE AKILI HUZINGATIA HAYA. SHEKHE MSELEMU BIN ALI
    • MWENYE AKILI HUZINGATI...
    MWANAMKE AMBAYE MZAZI WAKE AMESAMEHEWA DHAMBI ZAKE KWA KUMTII MUME WAKE SHEKHE MSELEMU BIN ALI
    • MWANAMKE AMBAYE MZAZI ...
    TAFSIRI SURATU TAKUWIR AYA YA 15 SHEIJH MSELEMU BIN ALI
    • TAFSIRI SURATU TAKUWIR...
    WATU AMBAYO WANAONDOKA MATUPU KWENYE SWALA ZAO SHEKHE NASSORO BACHU
    • #WATU AMBAYO WANAONDOK...
    MAPASTA WAOMBA POO MBELE YA MAZINGE KWENYE MDAHALO
    • MAPASTA WAOMBA POO MBE...

Комментарии • 61

  • @issayassin
    @issayassin 5 месяцев назад +9

    Mashallah mawaidha yake sheikh bachu yatabaki kua hai,Allah amuweke pema kwenye wema Insha'Allah

  • @msabahaali758
    @msabahaali758 5 месяцев назад +8

    Alla marehemu shekhe Nassor hakika amefanya kazi kubwa kwa kazi yako Allah

  • @nabiljumaothman5912
    @nabiljumaothman5912 6 месяцев назад +18

    ❤Wallai Nampenda Sheikh nassor Allah Ampe jannat firdaous

  • @RuwaidaSaid-wb6tp
    @RuwaidaSaid-wb6tp 5 месяцев назад +5

    Sheikh Nassor mungu amrehemu ampe malipo sabiti

  • @RashidiramadhaniWaunga
    @RashidiramadhaniWaunga 4 месяца назад +3

    Allah akufanyie wepesi shekh nasoro

  • @NadhiriFootball
    @NadhiriFootball 6 месяцев назад +7

    Mashaallah Allah amhifadh

  • @muadhbinjabaltv
    @muadhbinjabaltv 5 месяцев назад +4

    Shukran Madrasatul Falah Allah ampe Sheikh Jannatul Firdaus

  • @hamadKhamis-p6k
    @hamadKhamis-p6k Месяц назад +2

    Allah amueke pamoja na maswahaba wa mtume Muhammad rasulullahu

  • @hamadKhamis-p6k
    @hamadKhamis-p6k Месяц назад +2

    Mie Allah nakuomba nampenda San huyu shekh nilitaman nionane nae nakuomba Allah ukanikutanishe nae kesho pamoja na mtume wetu Muhammad rasulullahu pamoja na maswahaba wa mtume wetu Muhammad rasulullahu

  • @hamadKhamis-p6k
    @hamadKhamis-p6k Месяц назад +2

    Allah akulipe malipo yanayostahiki kwa kazi Yako uliyofanya Allah akulipe kher huko uliko

  • @AlbanHaruna
    @AlbanHaruna Месяц назад +2

    Aaamin ya rab

  • @RamadhaniMussa-xs5uk
    @RamadhaniMussa-xs5uk 6 месяцев назад +13

    Allah amsamehe makosa yake

  • @TumainielKitundu
    @TumainielKitundu 5 месяцев назад +7

    Natamani sana kuwa Muslim

    • @Ommyjr-en9fc
      @Ommyjr-en9fc 5 месяцев назад

      Amani ya MwenyeziMungu iwe nawe

    • @ZulfaMakeup-xs3os
      @ZulfaMakeup-xs3os 5 месяцев назад

      Karibu sana ndugu uislam ni mzuri nakushauri uende uende kwa maimamu wa msikiti uliokaribu nawe uwaeleze nia yako watakupa muongozo

    • @shabanibussara8454
      @shabanibussara8454 3 месяца назад

      Usisite kuuliza kwa wajuzi wa elimu pale unapokuwa na shaka juu ya jambo lolote kuhusiana na Uislamu, pia ni vizuri kusaka maarifa juu ya dini hii. Allaah Akupe mwongozo, Akuekekeze katika njia iliyonyooka, aamina.

    • @rizikiyahya5254
      @rizikiyahya5254 3 месяца назад

      Habari ndugu? Ulifikia wapi kuhusu uislamu?

  • @AtanasioDaffa
    @AtanasioDaffa 6 месяцев назад +10

    Allah amlipe pepo ya firdaus Aaamin

  • @AbuRumeysa-yz6xt
    @AbuRumeysa-yz6xt 5 месяцев назад +2

    Baaraka'llahu feek

  • @rashidibarak
    @rashidibarak 5 месяцев назад +3

    Allah amkutanishe nasoro bacho na Muhammad katika Pepo. Nacc pia Allah atujaalie hilo

  • @mody-guyngido2792
    @mody-guyngido2792 5 месяцев назад +3

    Allah Yarham

  • @twaibukassimu6957
    @twaibukassimu6957 25 дней назад +1

    MashaAllah naomba mtu mwenye mawaiza yake nmpatie namba za simu

  • @hamadKhamis-p6k
    @hamadKhamis-p6k Месяц назад +2

    Allah na sie tupe yaliomema tupe khatima njema

  • @abuuhudhayfah90
    @abuuhudhayfah90 5 месяцев назад +2

    Rahimahullaah!

  • @AliMwinyi-id9mh
    @AliMwinyi-id9mh 5 месяцев назад +1

    Asante sheikh

  • @AyoubNassoro-s4b
    @AyoubNassoro-s4b 3 месяца назад

    Allah msamehe makosa yake sheikh wetu

  • @hassancharo1496
    @hassancharo1496 3 месяца назад

    Masha Allah

  • @jumakutengeza1080
    @jumakutengeza1080 17 дней назад

    Allah ampe ujira wake amuepushe na adhabu ya kaburi

  • @khadijaali5204
    @khadijaali5204 5 месяцев назад +2

    Aaaaaaaamiiin

  • @maase2023
    @maase2023 5 месяцев назад +1

    Nyie kila kitu ni hukumu na kupinga

    • @samirhumud7408
      @samirhumud7408 5 месяцев назад +3

      Kwani umelazimishwa kuangalia?Katika uislamu kila kitu kina hukmu yake kama hutaki kufuata baki na imani yako

  • @lusakaone7782
    @lusakaone7782 4 месяца назад +1

    Kwangu mm condom haifai kabisa, inaongeza kiwango cha uzinifu, kupunguza idadi ya waislam duniani, na mengi mengineyo

  • @AbdulqarimhassanSwalehe-sz2er
    @AbdulqarimhassanSwalehe-sz2er 5 месяцев назад

    kweli uislamu haujaacha kitu

  • @FestoMunishi
    @FestoMunishi 24 дня назад

    Kweli nyie ni kweli hamnagaaa kazi za kufanya maaana mada zenu ni Ziro kwani condom alitengeneza munguuu jibu ni hapn asaaa inakuwaje mnajadili upuuzi

  • @JamaliSaidi-ms3qu
    @JamaliSaidi-ms3qu 3 месяца назад

    je nizipi njia za uzazi kiisilamu nisaidien kuzitaja

    • @salehawadh1393
      @salehawadh1393 Месяц назад

      Zipo njia
      1. Kuhesabu siku kwa mwanamke
      2. Kukojoa nje

  • @AbdiMohamed-bl8hv
    @AbdiMohamed-bl8hv 5 месяцев назад

    Masha allah

  • @hamadKhamis-p6k
    @hamadKhamis-p6k Месяц назад +1

    Yarabb tupe afya njema inshallah na utujaalie husnul khatima pamoja na wazee wetu