NINI HUKUMU YA KUTUMIA CONDOM KWA MUISLAMU
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- TEMBELEA BLOG YETU HAPA
ihsanmafundish...
KISA CHA DACTARI WA KIJERUMANI NA MSOMI WA KIISLAMU
• KISA CHA DACTARI WA KI...
HAYA WAMEYAZUSHA KATIKA MAZISHI KWA MASLAHI YAO.SHEKHE NASSORO BACHU
• HAYA WAMEYAZUSHA KATIK...
WAPI MTUME KAYAFUNDISHA HAYA
• HUU NI UZUSHI
HII NDIO HASARA WANAYOPATA WANAWAKE WENGI LEO KATIKA NDOA
• HII NDIO HASARA WANAYO...
MAZINGE NA MCHUNGAJI
• MAZINGE NA MCHUNGAJI
TAFSIRI SURATUL MAAIDAH SHEKHE MSELEUMU BIN ALI
• TAFSIRI SURATUL MAAIDA...
TAFSIRI SURATUL MAAIDAH SHEKHE MSELEUMU BIN ALI
• TAFSIRI SURATUL MAAIDA...
MWENYE AKILI HUZINGATIA HAYA. SHEKHE MSELEMU BIN ALI
• MWENYE AKILI HUZINGATI...
MWANAMKE AMBAYE MZAZI WAKE AMESAMEHEWA DHAMBI ZAKE KWA KUMTII MUME WAKE SHEKHE MSELEMU BIN ALI
• MWANAMKE AMBAYE MZAZI ...
TAFSIRI SURATU TAKUWIR AYA YA 15 SHEIJH MSELEMU BIN ALI
• TAFSIRI SURATU TAKUWIR...
WATU AMBAYO WANAONDOKA MATUPU KWENYE SWALA ZAO SHEKHE NASSORO BACHU
• #WATU AMBAYO WANAONDOK...
MAPASTA WAOMBA POO MBELE YA MAZINGE KWENYE MDAHALO
• MAPASTA WAOMBA POO MBE...
Mashallah mawaidha yake sheikh bachu yatabaki kua hai,Allah amuweke pema kwenye wema Insha'Allah
Alla marehemu shekhe Nassor hakika amefanya kazi kubwa kwa kazi yako Allah
❤Wallai Nampenda Sheikh nassor Allah Ampe jannat firdaous
aamin
Aamiyn
Amiin rabbillah Amiin
Ameen🤲🏽
Amiiin
Sheikh Nassor mungu amrehemu ampe malipo sabiti
aamin
Allah akufanyie wepesi shekh nasoro
Mashaallah Allah amhifadh
Allah mpe jannatul fildaus nuzula
Shukran Madrasatul Falah Allah ampe Sheikh Jannatul Firdaus
aamin
Allah amueke pamoja na maswahaba wa mtume Muhammad rasulullahu
aamin
Mie Allah nakuomba nampenda San huyu shekh nilitaman nionane nae nakuomba Allah ukanikutanishe nae kesho pamoja na mtume wetu Muhammad rasulullahu pamoja na maswahaba wa mtume wetu Muhammad rasulullahu
aamin
Allah akulipe malipo yanayostahiki kwa kazi Yako uliyofanya Allah akulipe kher huko uliko
aamin
Aaamin ya rab
Allah amsamehe makosa yake
Natamani sana kuwa Muslim
Amani ya MwenyeziMungu iwe nawe
Karibu sana ndugu uislam ni mzuri nakushauri uende uende kwa maimamu wa msikiti uliokaribu nawe uwaeleze nia yako watakupa muongozo
Usisite kuuliza kwa wajuzi wa elimu pale unapokuwa na shaka juu ya jambo lolote kuhusiana na Uislamu, pia ni vizuri kusaka maarifa juu ya dini hii. Allaah Akupe mwongozo, Akuekekeze katika njia iliyonyooka, aamina.
Habari ndugu? Ulifikia wapi kuhusu uislamu?
Allah amlipe pepo ya firdaus Aaamin
aamin
Allahuma ameen
Amiiin
Baaraka'llahu feek
Allah amkutanishe nasoro bacho na Muhammad katika Pepo. Nacc pia Allah atujaalie hilo
aamin
Allah Yarham
MashaAllah naomba mtu mwenye mawaiza yake nmpatie namba za simu
Allah na sie tupe yaliomema tupe khatima njema
aamin
Rahimahullaah!
Asante sheikh
Allah msamehe makosa yake sheikh wetu
Masha Allah
Allah ampe ujira wake amuepushe na adhabu ya kaburi
aamin
Aaaaaaaamiiin
Nyie kila kitu ni hukumu na kupinga
Kwani umelazimishwa kuangalia?Katika uislamu kila kitu kina hukmu yake kama hutaki kufuata baki na imani yako
Kwangu mm condom haifai kabisa, inaongeza kiwango cha uzinifu, kupunguza idadi ya waislam duniani, na mengi mengineyo
kweli uislamu haujaacha kitu
Kweli nyie ni kweli hamnagaaa kazi za kufanya maaana mada zenu ni Ziro kwani condom alitengeneza munguuu jibu ni hapn asaaa inakuwaje mnajadili upuuzi
je nizipi njia za uzazi kiisilamu nisaidien kuzitaja
Zipo njia
1. Kuhesabu siku kwa mwanamke
2. Kukojoa nje
Masha allah
Yarabb tupe afya njema inshallah na utujaalie husnul khatima pamoja na wazee wetu
aamin