Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

ZIJUE LADHA TISINI NA TISA ANAZOZIPATA MWANAMKE KATIKA TENDO LA NDOA. SHEKH NASSORO BACHU.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 дек 2021

Комментарии • 121

  • @salumsimai642
    @salumsimai642 2 года назад +42

    MashaaAllah kipenzi chetu Allah amsamehe makosa yake na amjaaalie awe ktk waja wema wa peponi pamoja na Alhabiby mtume Muhammad (s.a w)

  • @hamisalmas6011
    @hamisalmas6011 2 года назад +19

    Ewe Allah mjaalie sheikh wetu maisha mema akhera

  • @nairratyhanny7105
    @nairratyhanny7105 2 года назад +11

    Allah akujalie pepo firdaus amin

  • @OmarOmar-wx9zg
    @OmarOmar-wx9zg 2 года назад +25

    Naam Shekhe wangu niko nawe makini kabisa, Allaah akurehemu na akuzidishie mazuri huko Donge kaburini uliko, na akusamehe kila kasoro iliotokea kwako wakati wa uhai wako, Shekhe wetu Tuna kupenda sana Wallaahi

  • @MohammedGalole
    @MohammedGalole 4 месяца назад +1

    Masha Allah Allah akurahamu shekhe wtu

  • @fauziaabdullah3733
    @fauziaabdullah3733 2 года назад +13

    Allah akuondolee adhabu za kabri na makazi yako yawe peponi

  • @ndefukwerkwerhamdun8719
    @ndefukwerkwerhamdun8719 2 года назад +46

    Allah nakuomba umsamehe makosa yake na umjalie miongoni mwa watu wa peponi

  • @alisaid7783
    @alisaid7783 2 года назад +21

    Inshaallah M/Mungu amuweke pahala pema peponi Amiin

  • @mustyboymaalim2070
    @mustyboymaalim2070 2 года назад +15

    Sheikh Nasoor Bacho Allah akulipe sadaqatull jaareha...na akurehemu inxhaa Allah 😢

  • @fatmamsiliwa8485
    @fatmamsiliwa8485 2 года назад +10

    Mungu akuweke mahali pema pepon ,

  • @najashrk3738
    @najashrk3738 2 года назад +12

    Masha Allah shekh mungu akulipe Jannaatu firdaus..shekh ukombelezahaki ila huku umetuachiya kijanawako ulivyokuwa ww ndivyo alivyo mwanao hakika umeleya kijanawako ktk maadili memasana..yaani mumefanan hadisauti Masha Allah

  • @rehemashaibu7635
    @rehemashaibu7635 2 года назад +2

    Allah akurahamu shekhe nasoro bacho umetuachia kazi nzuri sna

  • @user-om6lu8bh1b
    @user-om6lu8bh1b 4 месяца назад +1

    Allah ampunguzie adhabu za kaburi na amaze mahara peponi amiin

  • @muhammadmoshe8296
    @muhammadmoshe8296 2 года назад +28

    ^MWENYEZIMNGU¬ALLAH{SUBHAANAHUU WATAALA}^ Amrehemu Na Ampe 'JANNATUL FIRDAUS' Shekhe Wetu, AAMEEN!!!

  • @salimjumaa8180
    @salimjumaa8180 4 месяца назад

    Masha Allah. Allah atujaalie tuwe miongoni mwa waja wema watakaokua peponi pamoja na Mtume Mohammad (S.A.W).

  • @husseinibrahim5438
    @husseinibrahim5438 2 года назад +43

    MAY ALLAH AZZA WAJJAL GRANT HIM THE HIGHEST RANK IN JANNAHT FIRDOUS
    ALLAHUMA AMEEN

  • @zainabmaulidi9846
    @zainabmaulidi9846 2 года назад +9

    Masha Allah JazzakaAllahu khayra sheikh

  • @assoumantuyishime6840
    @assoumantuyishime6840 2 года назад +8

    Shukran allah amuraze mahali pema

    • @allylugenge8657
      @allylugenge8657 2 года назад +1

      Mashaalah

    • @ruksanamohamed5193
      @ruksanamohamed5193 2 года назад +1

      MAY ALLAH SWT GIVE HIM THE HIGHEST JANAATUL FRIDAUS AMIN ALLAHU MAAMIN YA RWABUL ALAMIN

  • @amenaallahawazidishieumrin6235
    @amenaallahawazidishieumrin6235 2 года назад +1

    Shukuran kwa darisa nzuri Mola akuhifadh Dunia na akhera

  • @fatmehfaraj5188
    @fatmehfaraj5188 2 года назад +4

    ALLAH amghufirie dhambi zake na ampe jannatul Firdaus.

  • @NdayisabaCynthia-kw4zm
    @NdayisabaCynthia-kw4zm 11 месяцев назад

    Jazaka Allah kheir
    Allah amrehem amtiliye nuru ndani la kabur lake ampee pepo ya firdaus

  • @hassancharo1496
    @hassancharo1496 2 года назад +5

    KUMBE N TAMU ALLAH AMUEREMU SHEIKH NASSORO

  • @hamadsuleiman4998
    @hamadsuleiman4998 4 месяца назад

    Ya Allah mnusuru shekhe wetu na adhabu ya kabri

  • @rkk1646
    @rkk1646 2 года назад +2

    Allah subbhanal wathaAllah akusamehe na akupanulie kaburi lako na akutamkishe kauli thabiti akupe kitabu chako kwa mkono wa kuume insha umetatangulia na bado tuna kukumbuka kwa mawaisha yako ya kutuelumisha.

  • @zulekhamkwizu3091
    @zulekhamkwizu3091 2 года назад +3

    Alhamdulillah, hakika hatukuumbwa isipokua kujaribiwa hayo ni moja ya majaribu.

  • @aljadiidualjadiidu6889
    @aljadiidualjadiidu6889 2 года назад +3

    جزاك الله خيرا،اللهم اغفر له

  • @mohdhussein159
    @mohdhussein159 2 года назад +11

    Masha allah

    • @zulfaally5313
      @zulfaally5313 2 года назад +1

      Allah amrehem

    • @seifasaa7838
      @seifasaa7838 2 года назад

      Masha ALLAH tabaarakallah اللهم اغفر له وارحمه واسكنه فسيح جناتك

  • @salumselemani1059
    @salumselemani1059 2 года назад +3

    Mashallah Allah akupe mwisho mwema sheikh wetu amiin

  • @seifhemed9191
    @seifhemed9191 Год назад +1

    Mwenyez mungu ampandishe pepo ya firdaus amiin

  • @ramadhanjamali5761
    @ramadhanjamali5761 2 года назад +10

    رحمه الله وغفر له

  • @KhamisHaroub-uj5ci
    @KhamisHaroub-uj5ci 4 месяца назад

    Simba wa Allah ❤️❤️❤️ ananguruma bado

  • @user-em6lx8ij8o
    @user-em6lx8ij8o 5 месяцев назад

    mashalla mungo aku zidishie rekema

  • @user-sn4zr9ip9q
    @user-sn4zr9ip9q 4 месяца назад

    Allaah akusamehe mkosa yko na akupe nur ktk kabur lko shekhe wetu

  • @allyhaji7053
    @allyhaji7053 5 месяцев назад

    Shukran Allah awe nawe

  • @ismaelswaleh2923
    @ismaelswaleh2923 Год назад +1

    Allah akupe wepesi na atakupa inshaAllah

  • @bongue6003
    @bongue6003 2 года назад +4

    Mashallah bonito allahamduliaih graças allah

  • @Meme-sr1gl
    @Meme-sr1gl 2 года назад +3

    Allah akurehemu

  • @khalifmohamed7303
    @khalifmohamed7303 Год назад

    Masha Allah jazakala qeir ustad kwa hiyo elimu

  • @user-jg4vq8fk6j
    @user-jg4vq8fk6j Месяц назад

    Allah akupe wepesi

  • @zuhulahaluna110
    @zuhulahaluna110 Год назад

    Allah akurehem shekhe wetu amiin 🤲

  • @yusrashabani2983
    @yusrashabani2983 2 года назад +8

    Masha Allah Asante Shekh wetu kwa Elim bora

  • @mussafoum6562
    @mussafoum6562 2 года назад +2

    Mwenye mungu amrehemu shekh

  • @AbdalaRamadhani-by6bt
    @AbdalaRamadhani-by6bt 16 дней назад

    Allah akupembadara maana 2nasoma darasa zako

  • @jafariHabibu-jc9zf
    @jafariHabibu-jc9zf 3 месяца назад

    Tunakukumbuka sheikh

  • @showshowtv1854
    @showshowtv1854 Год назад

    Allah amrehem sheikh wetu Nassor Bachu

  • @fatmasaid9765
    @fatmasaid9765 2 года назад +16

    الله يغفر له ويرحمه ويسكنه فسيح جناته

  • @rahmahty7026
    @rahmahty7026 2 года назад +6

    Aamiin ya Rabb

  • @AbdulchandeMucusseteChan-qh4rq

    Mashahallah Allahu aqbar

  • @almasrluhagami1497
    @almasrluhagami1497 Год назад

    Allahumma ghfirlahum warhamhum waskanahum filjannah

  • @maalimzhen9981
    @maalimzhen9981 5 месяцев назад

    Allah atuwezeshe tuoe tustiriane ila ubachela mtihan 😢

  • @zuwenaali4936
    @zuwenaali4936 2 года назад

    Mashallah

  • @sawetito1825
    @sawetito1825 2 года назад +1

    Alhamdullilah

  • @AbuRumeysa-yz6xt
    @AbuRumeysa-yz6xt 2 месяца назад

    Allahul mustaan

  • @badrumbarouk3377
    @badrumbarouk3377 Год назад

    Allah hua haongei uwongo niukwel mtupu

  • @feisalfaraj44
    @feisalfaraj44 2 года назад

    yupii sawaa sahihi

  • @yassirrashid7802
    @yassirrashid7802 2 года назад

    Subhanallah

  • @Zamu-ud4zl
    @Zamu-ud4zl Год назад

    Allah unaharisto

  • @nabiisuleymanbarut2001
    @nabiisuleymanbarut2001 2 года назад

    Aamin

  • @HusseinHussein-ur5jg
    @HusseinHussein-ur5jg 4 месяца назад

    Ấllwah âmsamehe kwa makosa yake

  • @feisal6592
    @feisal6592 Год назад

    Yanachu shawa kwatink

  • @ilimuthabiti9397
    @ilimuthabiti9397 2 года назад +8

    Huyu ostadhi yuko na upeo mkubwa sana wa kuongea nakuongea kwake ukiskiza utadhani anachokisema unakiona live

    • @fatmamsiliwa8485
      @fatmamsiliwa8485 2 года назад +4

      Kweli kabisaaa nakuunga mkono nampenda mm huyu uhis kama hajafa

    • @allylugenge8657
      @allylugenge8657 2 года назад +4

      Innalilah wainnalilah lajuun

    • @ghulamyassintv4825
      @ghulamyassintv4825 2 года назад

      ruclips.net/video/kmAtmUmDOjg/видео.html

  • @user-fq6iw1pb7q
    @user-fq6iw1pb7q 2 года назад +10

    Assalam alaykum . Napenda kutoa wasia kwako wewe ulotengeneza picha hii nakuhusia usiweke picha ya wanawake walio uchi nikimaanisha mwanamke hata usowake ni uchi na ni fitna . Hatakama maudhui inawahusu wanawake nakuhusia kwa ajili ya Allah na kujikurubisha kwake .
    NB : uso na viganja vya mwanamke huwa vinaruhusiwa kuwa wazi akiwa anaswali tena pakiwa hakuna mwanaume anaeweza kumuowa . Akiwepo basi anatakiwa pia afunike sura yake .

    • @bakariali2391
      @bakariali2391 Год назад

      Masha Allah, Allah akurehem sheikh wetu akuingize kwenye Pepo ya Firdaus Ameen

  • @mohamedsaid1804
    @mohamedsaid1804 2 года назад +3

    Huu ujinga wa kuweka sura za wanawake katika hii mmepata wapi.

  • @bingulam1670
    @bingulam1670 2 года назад +2

    Yarrab mpe nuru kwenye kabri lake kama alivyo toa nuru duniani kwa kwakuwakumbusha mambo ya Kheir

  • @sohrabtajadin3402
    @sohrabtajadin3402 2 года назад +1

    Upumbavu umezidi. Zungumza sayansi.

  • @chancekambale3498
    @chancekambale3498 Год назад

    Nimejifunza 😢mingi ila duuuh waislamu muna penda wake 😮sana. Na mtume wenu alikua na wake 9😂😂😂
    Ila mafunjo hii ina nivutia. Eti muta enda peponi na wake zenu e😂😂 hiyo kali kweli. 🎉

  • @asmamohammed8126
    @asmamohammed8126 2 года назад

    Asma mados

  • @salamabakari8384
    @salamabakari8384 2 года назад

    Amiin

  • @captshaky
    @captshaky 5 месяцев назад

    musil iraq wazinifu hawana salama mawe to death na popote panapoendelea na jihad

  • @adamuluoga6541
    @adamuluoga6541 2 года назад

    Y

  • @ghulamyassintv4825
    @ghulamyassintv4825 2 года назад

    ruclips.net/video/kmAtmUmDOjg/видео.html
    ☝️☝️ Guzalink kwa Faida yako

  • @swahibually1723
    @swahibually1723 2 года назад +1

    Kasimu Mafuta ANASEMA,huyu jamaa alikua amepotea, Kasimu Mafuta amemsilimisha dakika za mwisho za uhai wake.Mawahabi ni watu wana matatizo makubwa Sana,ati huyo amepotea,alie muongofu ni Kasimu Mafuta na kundi lake,;+Halafu nauliza; Nyinyi Mawahabi mnaomuombea MSAMAHA huyu jamaa,;Si mnasema; DUA ni haramu?

    • @murshidhajji4715
      @murshidhajji4715 2 года назад +1

      Allah Akusamehe kwani hujui unachokiongea jitahidi kusoma Alhy

    • @rajabuhassani4504
      @rajabuhassani4504 2 года назад

      Umejawa na chuki za kisufy

    • @husseinaly5374
      @husseinaly5374 Год назад

      Mola awe pamoja nawe pepon amen 🙏

    • @mhinahalfan2694
      @mhinahalfan2694 Год назад

      Kaa darasani ndio utoe hoja.
      Hakuna mtu anayesema dua ni haramu, unapaswa kuwa na ufahamu wa kinachozungumzwa sio ushabiki. Tahadhari sana kuongea ushabiki badala dini

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 2 года назад +3

    Mwenyezi Mungu akuondolee mchanga wa macho, upumzike kwa amani

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 2 года назад +2

    Wallahi vijana hebu igeni basi taaluma za sheikh mmekalia kutukanana mitandaoni jamani

  • @yahyabashir7394
    @yahyabashir7394 Год назад

    Allah akurehemu