Mm sisubir kuona kwenye mitandao mambo mazur kama haya ya kuelimisha kbs kila ijumaa nipo msjd mtororo napata mambo live kbs alhamdulillah masha Allah sheikh wetu Allah akupe afya njema.
Alhamdulillah sheikh othman khamis mawaidha haya ni muhimu sana na wengi kati ya waumini hawayafamu,inatakiwa mbinu na mkakati ili elimu hii iwafikie wanandoa na wanaotarajiwa kuingia ktk ibada hii,matatizo yaliyopo leo ktk ndoa haya ndio majibu yake, aksante sana sheikh othman khamis pamoja nawe sahib yangu kipenzi saimu gwao allah swt awalipeni badala insha allah,
Ma sha Allah Ya Allah wajaalie wake zetu watutii Wasipate Lahna Shuqran sheikh wa ilmu Allah atakulipa jaza yako Waume nasi tutulie tuwatimizie haja zao wake zetu
Asante kwa darasa zuri maana kuna waume wengine hawajui wajibu wake kwa mkeo yaan mke kutafuta riziki ya kula yeye anakwambia mm ni kusimamia masuala ypte msikitini yy muda msikitini
True sheikh I am Christian bt I love musilam teaching ndoa
MASHA Allah sheikh nakupenda saan kwaajili ya Allah
Mm sisubir kuona kwenye mitandao mambo mazur kama haya ya kuelimisha kbs kila ijumaa nipo msjd mtororo napata mambo live kbs alhamdulillah masha Allah sheikh wetu Allah akupe afya njema.
naomba tutumie namba zako
Mashallah ya sheykh
Tunaomba hii mada ya ndoa iwe endelevu uwe ni ukumbusho wakawaida mpaka mwisho wa umri wetu mpaka kisimame kiama
madayandoa
Alhamdulillah sheikh othman khamis mawaidha haya ni muhimu sana na wengi kati ya waumini hawayafamu,inatakiwa mbinu na mkakati ili elimu hii iwafikie wanandoa na wanaotarajiwa kuingia ktk ibada hii,matatizo yaliyopo leo ktk ndoa haya ndio majibu yake, aksante sana sheikh othman khamis pamoja nawe sahib yangu kipenzi saimu gwao allah swt awalipeni badala insha allah,
Am a Christian but I love this
L
Karibu katika uislamu.
Karibu ndugu kundini kwetu
Mashallah
Tungeishi hivi kwa mke na mme hakuna ndoa ambayo ingevunjika ''asante kwa nasaha nzuri" ubarikiwe
Ma sha Allah
Ya Allah wajaalie wake zetu watutii
Wasipate Lahna
Shuqran sheikh wa ilmu
Allah atakulipa jaza yako
Waume nasi tutulie tuwatimizie haja zao wake zetu
Inshaalla
Alla Yuki nas
mashallaah
Ixhaallah
mashallah
1- othman maalim
2-othman machiel
3-othman khamis
Mashallah mashallah mashallah
Othuman maalim
H
Jazzakkallah kheir😘😘🙏Allah akujaze kheir sheikh wetu🤲🤲
Mashaalla mungu akuweke sheikh uzidi tukukumbusha katika majukumu yetu kina mama kwasababu tunajisahau sana
MASHAALLAH TABARAKAALLAH MOLA AKUZIDISHIE ILMU SHUKRAN.ALLAH AKUBARIK
Mashekhe mnajitahidi saaaaana kuwaelimisha Hawa viumbe! Tatizo hawazingatii wamejawa na viburi!!!
Masha Allah M/mungu anijalie mume mchamungu tuje tupeane haki hizi
Shukran
Masha Allah sheikh very true ...Allah atulipe kheri kwa sote na atupe subra katik ndoa zetu inxhll
Ameen
Allah Akujazi majaza mema sheikh wetu..na sisi Mungu atupe Hidaya!!!,Amiin..
Mashaallah tabarka...Allah akupe khery
Swadakta Sheikh
Shukraan Sana sheikh wetu Allah akulipe kher sheikh jazakallah khaira
Shukraan sana Sheikh Khamis
Mashaallah somo zuri sana hakika nimejifunza zaidi
MashaAllah, tumejifunza sana Allah akubariki InshaAllah
Mashallah sheikh othman
MashaAllah jazakAllah ❤❤sheikh
Vizuri sana sheykh Allah akubariki insha allah
Mashaa Allah very true, ahsante kwakutuelimisha.
MashaAllah hutuba nzuri yenye mafunzo shukran xn
MashaAllah MashaAllah.
Darsa zuri sana
Maneno yamenipa funzo kubwa sana, ALLAH akuifadhi shekh
Mashaallah Allah akupe afya njema uzidi kutukumbusha
Amani ya allah ikuteremkie sheykh
Takbri
Allah akbru
MashaAllah jazakallahu lkheir
Nikweli kabisa Allah atupe kustaminli tufanyikiw duniani na akheira InshaAllah
Mashaallah mungu akutunze inshaallah
Ahsante sana sheikh baarakallaahu fiik
Maashaallah yaa rabby mjalie afya njema sheikh wetu na umjaalie mwisho mwema. from tanga.
Mash allaw
Mashaallah shekh wetu Allah akuzidishie mema dunia na kesho akhera
Amiina
Aaaaaaaamin yaaarab,,,
Sheikh...Allah akuzidishie umri...hotba imenifunza
Sheikh mwenyezi mungu akuzidishiye umri
maashaallah maashaallah nimejifunza kitu 🙏🙏
Allah akujaze nuru nataka kuona December nimejifunza vingi
Mashaallaah shehk mung akuzidiahie nuru
Asante shehee
Wanawake wanasikia
Maa sha Allah... darsa nzuri
ما شاء الله ما شاء الله شكرا يا شيخ
Hakika kweli kabisa
Asante maalmu kwa ukumbusho Allah atakulipa
Amen kiukwel nimejifunza
Shukran mwenyezi mungu akuzidishie Amina 🙏🙏
Mashalh
Mashalaah ☪️ shukrani shekhe kwa mawaidha
vzur sana shekh
Allah akulipe
Shukran wajakaAllahu kheir sheikh rajab khamis
Asante kwa darasa zuri maana kuna waume wengine hawajui wajibu wake kwa mkeo yaan mke kutafuta riziki ya kula yeye anakwambia mm ni kusimamia masuala ypte msikitini yy muda msikitini
Allah akupe jaza njema inshallah
Swallallahu alyhi wasallam
Ahsante kwa ujumbe murua.
Elimu nzur kweli Allah akubariki shekhe
Amiiin
Upo hata huku
@@MrukeMedia mmmh kwani we nani
MashaaAllah kwa mawaitha mazuri sheik wetu
Asante Sana kutukumbusha
Allah akujaliye pepo na sisi pia. Amina
Masha Allah swadakt sheikh
Twayaba llahu anfaasaka
Allah akupe maisha marefu ili utupe dawa
Mashallah
Mashalla Allah azidi kukupa ufahamu zaidii
Mungu akulipe kheri sheikh wetu.
Mashaallah swadakta
باركم الله فيكم
Jifunze quran kusoma kuandika gusa picha yang hapo kama hautojl
Mawaidha mazuri najifunza ila wanaume wengine mtihani mke unaweza mfanyia kilakitu lakini kwao hamna jema
Kabisaa my,utajipendekeza kwa upande wa mume mpaka utachoka mwenyew..kwahiyo wengine hawabebeki.
Asant kW somo zur kma mm nipo kwenye ndow lakini mume akup matumiz mpk mgombane tna akikuona napesa pesa yke uiyoni
Pengine uku fata vigezo vya dini hila amini mume ni mpenda mke siku zote pale mulipo toana ndio kuna vunja heshima na kukosa maridhiano..
Asante shukran umenijuza nisiyo yajua wallah
Allah s.w akuongoze katka haqi.ahsantah
@@arqamibnarqam.7185 Amin
Mashaallah
Ahsante shee. Ila wanawake wengi wameona penye kupewa pesa tu. Koment zimejieleza!
Mashanlaaaa njema shee
Jazakuzallahu lkhayra.
Mimi ni mkristo lakini nimekuelewa sana sheikh wangu,,barikiwa sana
Karibu sister
Assalam alaykum shekh asante kwa mawaidha mazuri ubalikiwe na pia naomba namba yako nina maswali Zaid kuusu upande uo uo wahaki za msingi za mke
Shukran Sana .Aki nimejifunza mengi
Mungu akuongeze sheikh
Mashallh
Shukran, yakhfadhuka Allah
Allah unipe Mume Mwema ishaallah
Inshaallah
Ahsante
Shukran kwa mawaidha mazur mungu akulinde uzid kutufundisha inshaalah
Jazaka Allah kheir
Hii mada muhimu sana kw wanandoa
Mwenyezi mungu akupe umri mrefu shekhe
Masha allah
Tabarakallah
Subhanallah
Alihamdulillah kwa mawaiza mazur🥰🥰
Jazakaallahu khairan inshaallah
Mashallaaa
Mm Ni mkristo lakn napenda mawaiza ya huyu shehe mwenyezi mungu akujalie
Karibu sana kwenye nuru ya uislamu
SHUKURAN
Mashalah
جزاك الله خيرا
Jee ni lazima kwa mke kumpikia mumewe
Mashallah kutupatia elimu
JazzakaAllah kheir.
Shekhe mimi msikilizaji wako sana naelimika sana na hasa sauti yako nzito na lafdhi yako inanifanya nisikilize hadi kesho. Mama zuu
Jazakhallah kheli
Ni waume wazamani ndio walikuwa waume wa maana,si siku hizi..kisha wanawake siku hzi ndio wanaowa
Inawezekana kweli lkn tunapaswa kujitathmini pandezote Kuna sehemu tumekosea
Msiri na urekebishe fahamishe pengine ajui ama ana pitiliwa na wewe ndie mdani wake...Shukran
Rukya unamaana hapa
mashaallah allah akujalie
konki shekhe mungu akuzidixhie
Mashallaha kweli
Jazakhallah khel
Jazakhallahu kheri🙏.
Shukran Sana kwa mawaidha ya haki za mume na mke Allah bareeq
Ishaa Allah
Shukran shekhe Kwa kutupaelimu