Umeongea Kitu muhimu sana Mana Wakisema Misikiti ya Sunna Hapo Pangetiwa Indaa.Shukraan Kwa Kuwafundisha Wenzio kuwa Hakuna Maneno(Duwa) ya kushona Sanda wala Kuosha.
Shukran sheikh kwa kutujuza na kutufunza,wengi wao wengine wanakwenda ili waonekanwe tu kama wamehudhuria,lakin kweli mengine hawayajui,Ni wachache tu wanojielewaa
Mawaidha mazuri mpaka machozi yalitaka kunitoka nikikumbuka kwanini sikuwahi kuipata mapema elimu ya mwenyezi mungu mama yangu alifarika nilikuwa kumwona Tanzania nilivyoondoka kama week 2 akafariki baadae nikawa nasililiza mawaidha nikasema ewe mwenyezi mungu nisamehe makosa yangu nilitamani hata ningembusu na kumwosha mwenyewe
Shukran kwa ukumbusho pia shukran kwa kueleza ya muhimu umewapa ukweli umechana live bila ya chenga maana wangesema wa watu wa sunnah mngetia indaa lkn nyie wenyewe kwa wenyewe mnapeana dozi
Allahumma ihfadhu umat MUHAMAD Allahuma Ameen.Ndoa nyingi za waisilamu na hata vizazi vingi katika uisilamu ni mashaka matupu mkivichakura chakura mtaja wakuta hata mashekhe wamo wengi wa nje yandoa na kama wamo ndani ya ndoa lakini ni wa kharamu ATTANTION:::::Acheni mijadala ambayo sio muhimu ktk umma bora zungumzeni ya kukosha.Maana ya halali ya ndoa tukiwapanga masheikh 10 yawezekana 9 mashaka mwacheni allah ajuwe wa halali na waharamu sisi tuelimisheni kwa yajayo yalopita mwachieni ALLAH EEEH Mashekhe!!!
Mim napenda kuosha lkn pia nilikuwa najua kuosha kunahitaji elmu kubwa kubwa na kitu kingine wanakinamama wanatukataza kuingia katika kuosha labda wakishamaliza kumvisha sanda ndio tunaachiliwa kuingia..
@@mohamedyusuphu6858 kwani anafungishaga nani Kama Kama sio kiongozi Wa dini (Shekhe)mzazi si anakuwa mtazamaji tuu?..Au unaongelea kwenye kukabidhisha?
Lkn sheikh ikiwa unasisitiza watu kuosha maiti yao wenyewe bila ya kuwahimiza kupata elim sahihi na kusema ati maiti hana kazi kuosha ukishamtia ndani ya tangi la maji kishasafika. Vp kuhusu kumkafini? na vp namna ya kumvisha sanda? Bila ya kupata elim wataweza kuyatekeleza kwa uhakika haya? Au kwa muonekano wako ww sanda inafungwa vyovyote tu na kukafini hakupo?
@@yusuphmohamed5541, Naam hakuna aliezaliwa na kujua na ndio nikasema awahimize watu kupata elim sahihi (kujifunza labda itakua nilivyotumia elim hujanifaham). Lkn sio aseme hata ukimtia kwenye tangi la maji kishasafika, hapo atakua bado hajasafika.
Wallahi sheikh maneno yako ukiyatoa mdomoni mwako yanapenya mojakwamoja ndani ya kichwa changu ,nakupenda kwa ajili ya allah
Unafundisha kwa ufasaha na unaeleweka, Allah akuongoze na akupe msimamo thabiti.
jambo hili la ndoa sheikh ni hakika limevugika allah akuongoze katika kulieleza hili in shaa Allah
Sheh Allah Akuongoe.. nami nakulipa kwa kusheah clip hii kwa Ndg na Jamaa zangu wengi kadri Mungu atavonijaalia Inshallah.
Allah atuongozee sisi waja Wako na utupe mwisho mwema na usamehe ummati Muhammad s.a.w waliyo tangulia mbele za haqi
Amiin
Allahumma Amina inshallah
Sheikh napenda lafidhi yako siachi kukusikiliza am fan number One 👍👌
Jazzakkallah kheir Sheikh wetu MashaAllah mawaidha yako yana mpangilio mzuri,InshaAllah Allah atujalie masikio yenye kusikia na kuyafata yaliyo mema.
اللهم صل وسلم وبارك على نبينا محمد وعلى آله وأصحابه وسلم صلاة تحل بها عقد وتفرج بها كربي
Masha allah.. shk anaufasaha sana katika kuongea.. allah amzaje kila la kheir..
MashaAllah nimefaidika na mawaidha
Jazakallau kheyr!! Shekhe wallah umesema jambo linalogusa mioyo yetu! Dah!
Shukran kwa darsa nzuri muno .Allah atuongoze katika mambo ya kheri na mwisho mwema in shaa Allah
Swadaqta yaa shekhuna wa barakallahu feek
Mashallah shekh Allah akupe kila lakher shekh
Mashaallah Shukran Shekh Allah atuongoze tuweze kuyazingatia haya na atujaalie mwisho mwema
Zainab Mkomwa
I
Amiin
Jazzakumllah Khery
Maa Shaa Allah . Allah akulpe kheir
"Mashaallah shekh wetu,Allah akupe umri mrefu uzidi kutuelimisha zaidi..Na Allah akuandalie jannatul firdhaus.
SubhanAllah. Wallah! Sheikh upo sawa kabisaaa!!!. Mola atusitiri atupe imaan na subra. Huruma kw wenzetu pia, Ameen yaa Rabbil Alamiin
Maashallah jazaakallahu khaira
Umeongea Kitu muhimu sana Mana Wakisema Misikiti ya Sunna Hapo Pangetiwa Indaa.Shukraan Kwa Kuwafundisha Wenzio kuwa Hakuna Maneno(Duwa) ya kushona Sanda wala Kuosha.
Shukran Sheikh .
Shukran sheikhe Othman
Allahu Akbar
Allah Akuhifadhi shekhe wetu kunawatu wanatia ugumu uislam wetu 🕋
Masha Allah
Allahu Akbar.Ahsante kwa shule.
Allah akulipe badala
Shukran sheikh kwa kutujuza na kutufunza,wengi wao wengine wanakwenda ili waonekanwe tu kama wamehudhuria,lakin kweli mengine hawayajui,Ni wachache tu wanojielewaa
Allah akulipe pepo
Mashallah
Shukran yaa sheykh jazakallahu khayra nimeelika alhamdulillah
Shukrani sheikh nimekuelewa inshaallah
Jazakallah khair
Shukran kwa darsa zuri nimekuelewa M/Mungu akupe umri mrefu uzidi kutupa faida
Shukran
Mawaidha mazuri mpaka machozi yalitaka kunitoka nikikumbuka kwanini sikuwahi kuipata mapema elimu ya mwenyezi mungu mama yangu alifarika nilikuwa kumwona Tanzania nilivyoondoka kama week 2 akafariki baadae nikawa nasililiza mawaidha nikasema ewe mwenyezi mungu nisamehe makosa yangu nilitamani hata ningembusu na kumwosha mwenyewe
Mashallah tunashukuru shekhe wetu
Mashallah sheikh mawaidha mazuri sana Allah akulipe kila la kheri na akuepushe na kila la Shari Inshallah
Mashallah Mwenyezi Mungu akuzidishie Shehe
Maa sha allah Tabaarakallah. Mngu akuzidishie kheir kwa kutupa faida
Maa shaa Allah jazaka Allah kheir sheikh
Masha-allah
اللهم صلى على سيدنا محمد وعلى ال محمد
صل الله عليه وسلام 🙏 😎
Subhna Allah shukran
Naaam swadkta shukran🙏
Asante Shekhe mwenyezi mungu akubarik
Mashaalah sheikh,m,mungu atupe mwisho mwema inshallah
mashallah
Shukran kwa ukumbusho pia shukran kwa kueleza ya muhimu umewapa ukweli umechana live bila ya chenga maana wangesema wa watu wa sunnah mngetia indaa lkn nyie wenyewe kwa wenyewe mnapeana dozi
سعد المنجي lengo lako ni nn
Jazakallah kheir sheikh
Allah akufanyie wepesi kwani ni kitu kikubwa ulicho kitoa kuhusu mwisho wa binadam kuosha hapo ikifika steji hiyo.mtatafutana kwelikweli
Mashaallah
Mungu akulipe pepo
Haya ndio mawaidha ya kutufundisha
Sawasawa sheikh.
Allahumma ihfadhu umat MUHAMAD Allahuma Ameen.Ndoa nyingi za waisilamu na hata vizazi vingi katika uisilamu ni mashaka matupu mkivichakura chakura mtaja wakuta hata mashekhe wamo wengi wa nje yandoa na kama wamo ndani ya ndoa lakini ni wa kharamu ATTANTION:::::Acheni mijadala ambayo sio muhimu ktk umma bora zungumzeni ya kukosha.Maana ya halali ya ndoa tukiwapanga masheikh 10 yawezekana 9 mashaka mwacheni allah ajuwe wa halali na waharamu sisi tuelimisheni kwa yajayo yalopita mwachieni ALLAH EEEH Mashekhe!!!
Nikweli shekhe unajua kupangilia maongezi
Sheikh je kusindikiza JENEZA ?
Jibu mtoto wa nje ya ndoa walii wake ni qadhi au kama hakuna qadhi mahala ulipo basi mtafute kiongozi wa dini kama imamu n.k.
tupe vidonge vyetu sheikh, tuchane live
Benny Mochiwa wacha ww
Maashaallah
@@abusaeed9037 ndio ukweli huo sheikh wangu
Maashallah
MAA~SHAA ALLAH. ALLAH akuhifadhi AMIN YA RABB.
Mim napenda kuosha lkn pia nilikuwa najua kuosha kunahitaji elmu kubwa kubwa na kitu kingine wanakinamama wanatukataza kuingia katika kuosha labda wakishamaliza kumvisha sanda ndio tunaachiliwa kuingia..
Laweza kuwa tofali zuri ila dharuba ikawa kali likapindukia mbali shekh
Inalihi wainna ilaihi rajiu'un.
Nikweli shekh mambo yaligeuka tena sana sana sana 😳😳😳🇰🇪
Nieleweshe Mtoto wa nje yandoa akitakakuolewa nani anaitajika kumuozesha
fatema ligalawa wakufungisha ndoa hiyo ni kazwi au kiongozi wa kidini
@@mohamedyusuphu6858 sawa
@@mohamedyusuphu6858 kwani anafungishaga nani Kama Kama sio kiongozi Wa dini (Shekhe)mzazi si anakuwa mtazamaji tuu?..Au unaongelea kwenye kukabidhisha?
Anafungisha baba, km bb hayupo babu mzaa baba aliye halali km hayupo kk wa bb mmoja wa ndani ya ndoa. sheikh anatoa hotuba tu.
@@fatumashaibu1461 baba tena wakati sio wandoa?
msiseme uongo kama ni huko kwenu ni huko tu,kwetu tunapika chakula cha familia waliopo ktk msiba wao tu
Hio ya chakula pengine inamaana ni Ada
Chakula ni ada
Lkn sheikh ikiwa unasisitiza watu kuosha maiti yao wenyewe bila ya kuwahimiza kupata elim sahihi na kusema ati maiti hana kazi kuosha ukishamtia ndani ya tangi la maji kishasafika. Vp kuhusu kumkafini? na vp namna ya kumvisha sanda? Bila ya kupata elim wataweza kuyatekeleza kwa uhakika haya? Au kwa muonekano wako ww sanda inafungwa vyovyote tu na kukafini hakupo?
Love Mummy kinacho kusudiwa ni kujifundisha hakuna aliyezaliwa anajua
@@yusuphmohamed5541, Naam hakuna aliezaliwa na kujua na ndio nikasema awahimize watu kupata elim sahihi (kujifunza labda itakua nilivyotumia elim hujanifaham).
Lkn sio aseme hata ukimtia kwenye tangi la maji kishasafika, hapo atakua bado hajasafika.
Kukafini na kuvika sanda ina maana moja .hili neno la kiarabuكفن lenye maana kuvalisha
wewe ukioga janaba huna dual?usiwapoteze waislam
Maashallhaa ndug yangu othumani
Hakuna dua ya kuogea janaba; kama ipo itaje
Mashallah
Mashaa Allah
Ila mashaallah, unajua kupangilia kuongea.unaeleweka.Allah akuongeze.
Neema Fatu na ww pia
@@muslimbinharithaliy977 aamiin yaa rabbil aalamiin
Allah atupe kher
@@muslimbinharithaliy977 Aamiin
Napenda sana kusikiliza mawaidha yako mungu akubariki
Ewe Allah tuonyeshe haki kuwa n hakiutuwezeshe kuweza kuifwata.na batil utuepushe tuweze kuiacha . Aamiin.shukrn Allah baq
Allah akuhifadhi sheikh wetu
MashaAllah shukran sheikh.hii shida iko kwa waarabu.wanaeka wahindi special, kuosha nakukafini maiti zao. wao hawana time hizo