Usifanye Mambo Haya Mazishini Sio Kazi Yako - Sheikh Othman Khamis

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 109

  • @eddyjustin5890
    @eddyjustin5890 4 года назад +21

    Wallahi sheikh maneno yako ukiyatoa mdomoni mwako yanapenya mojakwamoja ndani ya kichwa changu ,nakupenda kwa ajili ya allah

  • @ismailchingoda9653
    @ismailchingoda9653 4 года назад +15

    Unafundisha kwa ufasaha na unaeleweka, Allah akuongoze na akupe msimamo thabiti.

  • @sendarokhatwibu5107
    @sendarokhatwibu5107 4 года назад +7

    jambo hili la ndoa sheikh ni hakika limevugika allah akuongoze katika kulieleza hili in shaa Allah

  • @amanafi1288
    @amanafi1288 4 года назад +10

    Sheh Allah Akuongoe.. nami nakulipa kwa kusheah clip hii kwa Ndg na Jamaa zangu wengi kadri Mungu atavonijaalia Inshallah.

  • @abedisalumu2295
    @abedisalumu2295 4 года назад +12

    Allah atuongozee sisi waja Wako na utupe mwisho mwema na usamehe ummati Muhammad s.a.w waliyo tangulia mbele za haqi

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid1171 4 года назад +2

    Sheikh napenda lafidhi yako siachi kukusikiliza am fan number One 👍👌

  • @jamilanassoro8408
    @jamilanassoro8408 4 года назад +2

    Jazzakkallah kheir Sheikh wetu MashaAllah mawaidha yako yana mpangilio mzuri,InshaAllah Allah atujalie masikio yenye kusikia na kuyafata yaliyo mema.

  • @zamdinkilala8790
    @zamdinkilala8790 4 года назад +2

    اللهم صل وسلم وبارك على نبينا محمد وعلى آله وأصحابه وسلم صلاة تحل بها عقد وتفرج بها كربي

  • @mrishoyawmein4592
    @mrishoyawmein4592 2 года назад

    Masha allah.. shk anaufasaha sana katika kuongea.. allah amzaje kila la kheir..

  • @swabriali4583
    @swabriali4583 4 года назад +6

    MashaAllah nimefaidika na mawaidha

  • @arafaibwende2513
    @arafaibwende2513 2 года назад

    Jazakallau kheyr!! Shekhe wallah umesema jambo linalogusa mioyo yetu! Dah!

  • @violetlihanda9935
    @violetlihanda9935 4 года назад +3

    Shukran kwa darsa nzuri muno .Allah atuongoze katika mambo ya kheri na mwisho mwema in shaa Allah

  • @mariamjuma3684
    @mariamjuma3684 4 года назад +1

    Swadaqta yaa shekhuna wa barakallahu feek

  • @joharihessen1143
    @joharihessen1143 4 года назад +2

    Mashallah shekh Allah akupe kila lakher shekh

  • @zainabmkomwa3313
    @zainabmkomwa3313 4 года назад +4

    Mashaallah Shukran Shekh Allah atuongoze tuweze kuyazingatia haya na atujaalie mwisho mwema

  • @ashooraashoora1180
    @ashooraashoora1180 Год назад

    Jazzakumllah Khery

  • @abdallahjuma8168
    @abdallahjuma8168 4 года назад +2

    Maa Shaa Allah . Allah akulpe kheir

  • @rukiamatano7764
    @rukiamatano7764 4 года назад

    "Mashaallah shekh wetu,Allah akupe umri mrefu uzidi kutuelimisha zaidi..Na Allah akuandalie jannatul firdhaus.

  • @shammoha5297
    @shammoha5297 4 года назад +1

    SubhanAllah. Wallah! Sheikh upo sawa kabisaaa!!!. Mola atusitiri atupe imaan na subra. Huruma kw wenzetu pia, Ameen yaa Rabbil Alamiin

  • @mirajihamza2892
    @mirajihamza2892 7 месяцев назад

    Maashallah jazaakallahu khaira

  • @أبوفيصل-د3ش
    @أبوفيصل-د3ش 4 года назад +5

    Umeongea Kitu muhimu sana Mana Wakisema Misikiti ya Sunna Hapo Pangetiwa Indaa.Shukraan Kwa Kuwafundisha Wenzio kuwa Hakuna Maneno(Duwa) ya kushona Sanda wala Kuosha.

  • @nahyanhareb4053
    @nahyanhareb4053 4 года назад +2

    Shukran Sheikh .

  • @bundalahamza8902
    @bundalahamza8902 4 года назад +2

    Shukran sheikhe Othman

  • @abedisalumu2295
    @abedisalumu2295 4 года назад +4

    Allahu Akbar

  • @swaumumohammed5710
    @swaumumohammed5710 4 года назад

    Allah Akuhifadhi shekhe wetu kunawatu wanatia ugumu uislam wetu 🕋

  • @osamashakeeb7194
    @osamashakeeb7194 4 года назад +3

    Masha Allah

  • @farajisureman9925
    @farajisureman9925 4 года назад +2

    Allahu Akbar.Ahsante kwa shule.

  • @shabanijuma2085
    @shabanijuma2085 2 года назад

    Allah akulipe badala

  • @johariabdalla3319
    @johariabdalla3319 4 года назад

    Shukran sheikh kwa kutujuza na kutufunza,wengi wao wengine wanakwenda ili waonekanwe tu kama wamehudhuria,lakin kweli mengine hawayajui,Ni wachache tu wanojielewaa

  • @osamashakeeb7194
    @osamashakeeb7194 4 года назад +3

    Allah akulipe pepo

  • @ocroafff5527
    @ocroafff5527 4 года назад +2

    Mashallah

  • @asiaissa976
    @asiaissa976 4 года назад

    Shukran yaa sheykh jazakallahu khayra nimeelika alhamdulillah

  • @salumothman7548
    @salumothman7548 4 года назад +1

    Shukrani sheikh nimekuelewa inshaallah

  • @michaelmahindi9097
    @michaelmahindi9097 4 года назад +1

    Jazakallah khair

  • @azizimwarami2741
    @azizimwarami2741 4 года назад

    Shukran kwa darsa zuri nimekuelewa M/Mungu akupe umri mrefu uzidi kutupa faida

  • @assoumantuyishime6840
    @assoumantuyishime6840 2 года назад

    Shukran

  • @halimayusufu6305
    @halimayusufu6305 4 года назад +1

    Mawaidha mazuri mpaka machozi yalitaka kunitoka nikikumbuka kwanini sikuwahi kuipata mapema elimu ya mwenyezi mungu mama yangu alifarika nilikuwa kumwona Tanzania nilivyoondoka kama week 2 akafariki baadae nikawa nasililiza mawaidha nikasema ewe mwenyezi mungu nisamehe makosa yangu nilitamani hata ningembusu na kumwosha mwenyewe

  • @fakisuleiman8038
    @fakisuleiman8038 3 года назад

    Mashallah tunashukuru shekhe wetu

  • @AbdulAbdul-vp2np
    @AbdulAbdul-vp2np 4 года назад

    Mashallah sheikh mawaidha mazuri sana Allah akulipe kila la kheri na akuepushe na kila la Shari Inshallah

  • @ghulamjuma2883
    @ghulamjuma2883 4 года назад

    Mashallah Mwenyezi Mungu akuzidishie Shehe

  • @mwanakheri2880
    @mwanakheri2880 4 года назад

    Maa sha allah Tabaarakallah. Mngu akuzidishie kheir kwa kutupa faida

  • @khadijaiddi4887
    @khadijaiddi4887 4 года назад

    Maa shaa Allah jazaka Allah kheir sheikh

  • @shakirazuberi2467
    @shakirazuberi2467 4 года назад +1

    Masha-allah

  • @asiaissa976
    @asiaissa976 4 года назад +1

    اللهم صلى على سيدنا محمد وعلى ال محمد

  • @samanthaali873
    @samanthaali873 4 года назад +1

    Subhna Allah shukran

  • @ramadhaniamour4834
    @ramadhaniamour4834 3 года назад

    Naaam swadkta shukran🙏

  • @bebisheni4380
    @bebisheni4380 4 года назад

    Asante Shekhe mwenyezi mungu akubarik

  • @kambangashaibu5475
    @kambangashaibu5475 4 года назад

    Mashaalah sheikh,m,mungu atupe mwisho mwema inshallah

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 4 года назад +2

    mashallah

  • @سعدالمنجي
    @سعدالمنجي 4 года назад +1

    Shukran kwa ukumbusho pia shukran kwa kueleza ya muhimu umewapa ukweli umechana live bila ya chenga maana wangesema wa watu wa sunnah mngetia indaa lkn nyie wenyewe kwa wenyewe mnapeana dozi

  • @jamilaali5741
    @jamilaali5741 4 года назад +11

    Jazakallah kheir sheikh

  • @salummwanjali3207
    @salummwanjali3207 4 года назад +1

    Allah akufanyie wepesi kwani ni kitu kikubwa ulicho kitoa kuhusu mwisho wa binadam kuosha hapo ikifika steji hiyo.mtatafutana kwelikweli

  • @abumoyo840
    @abumoyo840 4 года назад +1

    Mashaallah

  • @hassaniharuna5328
    @hassaniharuna5328 4 года назад

    Mungu akulipe pepo

  • @swaumukareemu9247
    @swaumukareemu9247 4 года назад +1

    Haya ndio mawaidha ya kutufundisha

  • @salumungare8375
    @salumungare8375 4 года назад

    Sawasawa sheikh.

  • @khalfansharji9790
    @khalfansharji9790 4 года назад

    Allahumma ihfadhu umat MUHAMAD Allahuma Ameen.Ndoa nyingi za waisilamu na hata vizazi vingi katika uisilamu ni mashaka matupu mkivichakura chakura mtaja wakuta hata mashekhe wamo wengi wa nje yandoa na kama wamo ndani ya ndoa lakini ni wa kharamu ATTANTION:::::Acheni mijadala ambayo sio muhimu ktk umma bora zungumzeni ya kukosha.Maana ya halali ya ndoa tukiwapanga masheikh 10 yawezekana 9 mashaka mwacheni allah ajuwe wa halali na waharamu sisi tuelimisheni kwa yajayo yalopita mwachieni ALLAH EEEH Mashekhe!!!

  • @laylasuliman5805
    @laylasuliman5805 4 года назад

    Nikweli shekhe unajua kupangilia maongezi

  • @nasirirashidi2633
    @nasirirashidi2633 4 года назад +1

    Sheikh je kusindikiza JENEZA ?

  • @abbassmshaury7572
    @abbassmshaury7572 Месяц назад

    Jibu mtoto wa nje ya ndoa walii wake ni qadhi au kama hakuna qadhi mahala ulipo basi mtafute kiongozi wa dini kama imamu n.k.

  • @bennymochiwa4800
    @bennymochiwa4800 4 года назад +2

    tupe vidonge vyetu sheikh, tuchane live

  • @dezainermedia1035
    @dezainermedia1035 4 года назад

    Maashallah

    • @habibsuleiman8808
      @habibsuleiman8808 4 года назад +1

      MAA~SHAA ALLAH. ALLAH akuhifadhi AMIN YA RABB.

  • @maryammaram2612
    @maryammaram2612 4 года назад

    Mim napenda kuosha lkn pia nilikuwa najua kuosha kunahitaji elmu kubwa kubwa na kitu kingine wanakinamama wanatukataza kuingia katika kuosha labda wakishamaliza kumvisha sanda ndio tunaachiliwa kuingia..

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii1676 4 года назад

    Laweza kuwa tofali zuri ila dharuba ikawa kali likapindukia mbali shekh

  • @mwanaishahussein2635
    @mwanaishahussein2635 4 года назад

    Inalihi wainna ilaihi rajiu'un.
    Nikweli shekh mambo yaligeuka tena sana sana sana 😳😳😳🇰🇪

  • @fatemaligalawa4151
    @fatemaligalawa4151 4 года назад +3

    Nieleweshe Mtoto wa nje yandoa akitakakuolewa nani anaitajika kumuozesha

    • @mohamedyusuphu6858
      @mohamedyusuphu6858 4 года назад

      fatema ligalawa wakufungisha ndoa hiyo ni kazwi au kiongozi wa kidini

    • @fatemaligalawa4151
      @fatemaligalawa4151 4 года назад

      @@mohamedyusuphu6858 sawa

    • @MtuSafi
      @MtuSafi 4 года назад

      @@mohamedyusuphu6858 kwani anafungishaga nani Kama Kama sio kiongozi Wa dini (Shekhe)mzazi si anakuwa mtazamaji tuu?..Au unaongelea kwenye kukabidhisha?

    • @fatumashaibu1461
      @fatumashaibu1461 4 года назад +1

      Anafungisha baba, km bb hayupo babu mzaa baba aliye halali km hayupo kk wa bb mmoja wa ndani ya ndoa. sheikh anatoa hotuba tu.

    • @fatemaligalawa4151
      @fatemaligalawa4151 4 года назад

      @@fatumashaibu1461 baba tena wakati sio wandoa?

  • @suleimanbakar1271
    @suleimanbakar1271 4 года назад

    msiseme uongo kama ni huko kwenu ni huko tu,kwetu tunapika chakula cha familia waliopo ktk msiba wao tu

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah5796 4 года назад

    Lkn sheikh ikiwa unasisitiza watu kuosha maiti yao wenyewe bila ya kuwahimiza kupata elim sahihi na kusema ati maiti hana kazi kuosha ukishamtia ndani ya tangi la maji kishasafika. Vp kuhusu kumkafini? na vp namna ya kumvisha sanda? Bila ya kupata elim wataweza kuyatekeleza kwa uhakika haya? Au kwa muonekano wako ww sanda inafungwa vyovyote tu na kukafini hakupo?

    • @yusuphmohamed5541
      @yusuphmohamed5541 4 года назад

      Love Mummy kinacho kusudiwa ni kujifundisha hakuna aliyezaliwa anajua

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 4 года назад

      @@yusuphmohamed5541, Naam hakuna aliezaliwa na kujua na ndio nikasema awahimize watu kupata elim sahihi (kujifunza labda itakua nilivyotumia elim hujanifaham).
      Lkn sio aseme hata ukimtia kwenye tangi la maji kishasafika, hapo atakua bado hajasafika.

    • @mbaroukalmubarak182
      @mbaroukalmubarak182 4 года назад

      Kukafini na kuvika sanda ina maana moja .hili neno la kiarabuكفن lenye maana kuvalisha

  • @suleimanbakar1271
    @suleimanbakar1271 4 года назад

    wewe ukioga janaba huna dual?usiwapoteze waislam

  • @nadranadra5287
    @nadranadra5287 4 года назад +2

    Mashallah

  • @salehkhamis3318
    @salehkhamis3318 3 года назад

    Mashaa Allah

  • @neemafatu7885
    @neemafatu7885 4 года назад +11

    Ila mashaallah, unajua kupangilia kuongea.unaeleweka.Allah akuongeze.

  • @esharjab1044
    @esharjab1044 4 года назад

    Ewe Allah tuonyeshe haki kuwa n hakiutuwezeshe kuweza kuifwata.na batil utuepushe tuweze kuiacha . Aamiin.shukrn Allah baq

  • @Ukhtyzuhura
    @Ukhtyzuhura 4 года назад +1

    Allah akuhifadhi sheikh wetu

  • @maherzain615
    @maherzain615 4 года назад

    MashaAllah shukran sheikh.hii shida iko kwa waarabu.wanaeka wahindi special, kuosha nakukafini maiti zao. wao hawana time hizo