Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

HAKI ZA MUME KWA MKE || MUME ATARAJIE NINI KWA MKE WAKE"SHEIKH DIMOSO.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 сен 2021
  • #MwlDimoso #Zvponlinetv #Tabora

Комментарии • 111

  • @nelsonnikodem1100
    @nelsonnikodem1100 Месяц назад

    Mashallha 🎉🎉🎉

  • @faizaahamd2052
    @faizaahamd2052 2 года назад +1

    Mashaalah. Mashaalah. Nzuri sana Mungu akubariki shehe wetu. Kwa darasa zuri

  • @mutomubaya
    @mutomubaya 2 года назад +1

    Shukrani Mwalimu. Haya Masomo yanatufaidi jamii kuweza utekelezaji wa mambo ya ndoa. Ni muhimu kila imaam akumbushwe umuhimu wa kuwaelimisha raiya wake ujumbe wa Allah. Kwa hivyo, tuelimishane kuanzia ilmu ya Tawhid ambayo ndio msingi wa imaan na ilmu ya Fiqh ya Ibadah ..hadi tufikie kuwawezesha jamii kujua umuhimu wa kujenga vyema maisha ya ndoa. Lakini ikiwa imaam atakuwa hajihusishi kuwanasihi raiya wake kwa kuwa anakuja Msikitini kuswalisha kisha anaondoka jamii itakosa kuelekea njia sahihi kisha masuuliya yake juu ya maamumah yatabaki kuwa ataulizwa. Na tuwakumbushe pia wazazi wajue wana jukumu la kuelimisha Raiya wao.

  • @noorynmohammedy6063
    @noorynmohammedy6063 2 года назад +2

    Masha Allah Mwenyez Mungu akuifadh zaid sheikh wetu.

    • @zvpOnlineTv
      @zvpOnlineTv  2 года назад +1

      Amiin Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv

    • @biubwamohd6089
      @biubwamohd6089 2 года назад

      Warithi washekhe nyundo

  • @AbdullahKHamis-r4y
    @AbdullahKHamis-r4y 12 дней назад

  • @maryamayitsa6181
    @maryamayitsa6181 2 года назад +7

    Japo mm si mwisalamu,hayo mafunzo ya nanifaa, nakuskiza nikiwa kenya 🇰🇪

  • @aminangalunda8348
    @aminangalunda8348 Год назад

    MashaALLAH baaraka llah fiikum

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 2 года назад +2

    Mtihani huo mungu atunusuru kwa hilo

  • @najatrashidi6647
    @najatrashidi6647 2 года назад +2

    Napenda shehe huyu kwa ajili ya Allah

    • @mshamsan4338
      @mshamsan4338 2 года назад

      Shekhe ni msheshii saanaa anafungua mengi 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @saudahassan6667
    @saudahassan6667 2 года назад +1

    Mashaaallah sheikh somo zuuuriiiii kabsaaa

    • @zvpOnlineTv
      @zvpOnlineTv  2 года назад +1

      Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv

  • @ladhiarajab6832
    @ladhiarajab6832 2 года назад +3

    Nakukubali dimoso

    • @zvpOnlineTv
      @zvpOnlineTv  2 года назад +2

      Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv

    • @azizakussaga9632
      @azizakussaga9632 2 года назад

      Mashallah alhamdulillah sheikh unatupa somo zuri hapo kwenye kumtii mume wengi mwalia Sana lkn nyie wenyewe mnatutengenezea mazingira ambayo ambayo yanafanya mtuone hatutii nanyi mjitathmin

  • @yasalaam590
    @yasalaam590 2 года назад +4

    Swalla llwahu alayhi wasallam

  • @user-si2mp2io9t
    @user-si2mp2io9t 7 месяцев назад

    Mashaallah 🥰

  • @yasalaam590
    @yasalaam590 2 года назад +1

    Mashallah sheykh dimoso mjomba angu wewe dimoso elimu hii mke kama hakuyafahamu huyo kichwa chake sjui vipi

  • @bentybenty2343
    @bentybenty2343 2 года назад +1

    🤣🤣😁😁Masha ALLAH TABARAKALLAH..hadi rahaa👌

    • @zvpOnlineTv
      @zvpOnlineTv  2 года назад

      Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si 2 года назад +2

    Masha Allah natamani izo darsa za wtsp

  • @HalimaHalima-id2cb
    @HalimaHalima-id2cb 2 года назад

    Mashallah shekhe wetu mashallah

  • @salmamrembo4360
    @salmamrembo4360 2 года назад

    Mashallah sheikh tunaomba uwaambie na wanaume kuwa sisi wanawake hatupaswi kufanya kazi za ndani km kupika kuosha vyombo kufua na nk sisi kazi yetu nikuwastarehesha nyie tuu uwaambie pia hats kunyonyesha wanapaswa watulipe pia hill sheikh sijawahi kulisikia kwa sheikh yoyote akilisema hilo ktk mawaidha yake

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 2 года назад +1

    Mashaalah shekhe

    • @zvpOnlineTv
      @zvpOnlineTv  2 года назад +1

      Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv

  • @sophianyangalio3796
    @sophianyangalio3796 2 года назад +1

    Walaikum salam warahmatullah wabarakatuh

  • @yasalaam590
    @yasalaam590 2 года назад +2

    Subhanallah

  • @user-br3sc8bm4t
    @user-br3sc8bm4t 2 года назад

    Shukran sana nimekuelewa uko Sawa

    • @zvpOnlineTv
      @zvpOnlineTv  2 года назад

      Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv

  • @Saudaboshori-ie7en
    @Saudaboshori-ie7en 11 месяцев назад +1

    Kweli kabisa shekh unachoongea.tubadilike wanawake kuipata pepo nirahisi Sana tuache usasa😢

  • @yasalaam590
    @yasalaam590 2 года назад +3

    Ya sheykh nna ombi langu kwa waume skuizi wamejiacha sana huo ubosi wao shekhe yaani hawawatizami wake zao kwa jicho la huruma wala hawajui majukumu ya kuwatafutia wake hususan hao waume vijana tunsomba jumuiya za kiislam mnoshughulika na maswala ya sheria tuaomba
    Mueke mkakato kijana asiozeshwe mpaka awe na cheti chskuisoma ndoa na majukumu yake katikanusimamizi
    Kina mama leo hii hio aya ya arrijalu wawwamuna ala nnisai
    Waume wenginwao wameibadilisha wameifanya annisau qawwamuwna alarrijali astaghfirullwah
    Leo hii mke ndio ende akachore watu hina aw akauze nyanya aw mitumba aw kilomo n.k ili amsomeshe mtoto amvishe mtoto amlishe mtoto jee hii kweli ni haki ?
    Tatizo mnawaozesha bila ua elimu yakutosha mke mume lazima wende chuo kwa uchache miexi mitatu na afaulu maana mtamuuliza chonjo kabla jamjamkabidhi cheti kikowapi na mumuulize nini haki za mke na familia watakayoipata biidhni llah .jukimu ni lanani wakijibu na wakiwa na cheti chakumalizs darsa za ndoa ndipo mumuozeshe aw muwaozeshe nadhani hapo asa kheri allah akajaalia wakaweza kuvumiliana na kuombana misamaha nasi kupeana mitalaka kilasiku ikisha wakaausia watoto kwa konamama

    • @mutomubaya
      @mutomubaya 2 года назад

      Vijana waelimishe wasipoteze umri wao kwenye mambo ya upuuzi au mambo ya haramu kama anasa za ulevi na porojo nk. Bali watumie wakati kwa ibadah za Swalah na kuhudhuria vikao vya elimu na kutafuta riziki ya halali na kuwasaidia masikini na Daawa na kila kheri na wajiepushe na marafiki wabaya miongoni mwa wapotoshi.nk.

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 2 года назад

      waume wenyewe hajui majukum yake halafu wao wataka watiiwe mwanamke ndio anatafuta pesa ya chakula nk yy kabki kuzalisha tu ndio wanajua

    • @mutomubaya
      @mutomubaya 2 года назад

      @@heyumi2340 hata kina dada wasipoeilimishwa wanakuwa watu wasiojua yanayohitajika kutekelezwa sio tu kwenye ndoa bali hata katika mambo ya ibadah nyenginezo.

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 2 года назад

      @@mutomubaya inabidi watu tusome hata unapooa au kuolewa kila mmoja atajua thaman ya mwenzio na nn mungu anataka hata ibada wengi hawaswali c wadada c wakaka ni mtihan sana

  • @DaaishaommyDaaishaommy
    @DaaishaommyDaaishaommy 2 года назад

    Ma sha Allah.

  • @ayubuiddi8563
    @ayubuiddi8563 2 года назад +1

    mashaallah tabarakala ❤️

    • @zvpOnlineTv
      @zvpOnlineTv  2 года назад +1

      Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv

  • @tawasamshabani1606
    @tawasamshabani1606 2 года назад

    Masha Allah

  • @user-si2mp2io9t
    @user-si2mp2io9t 7 месяцев назад

    😂 shukra 😂 sana 🙏 shekh 😂 wetu 🙏

  • @omarkaundu5068
    @omarkaundu5068 2 года назад

    Verry nice

  • @jumajumanne1455
    @jumajumanne1455 2 года назад

    Mashallah

  • @mohamedmarzuoq24
    @mohamedmarzuoq24 2 года назад +1

    Assalam alaykum. Sheikh Una nambari ya simu unayoweza patikana Kwa Sisi tulioko Kenya kuwasiliana nawe kando.

  • @jamillahkheir6536
    @jamillahkheir6536 2 года назад

    Takbiiiiirrrr

  • @sofiyabakari9730
    @sofiyabakari9730 Год назад

    😂 hahaha yan mim hoi

  • @khalfaniibrahim201
    @khalfaniibrahim201 2 года назад

    Mashaallah

  • @RashidjumaSaid-gc5qq
    @RashidjumaSaid-gc5qq Год назад

    😮

  • @yasalaam590
    @yasalaam590 2 года назад +2

    Innalillahi wainna ilayhi rajiuna

  • @farhadhassansaid8830
    @farhadhassansaid8830 2 года назад +1

    Sheikh wangu, yani unampa ruksa mke kwenda sehemu alafu unakaa masaa manne badae aunamuuliza yupo wapi kumbe kaunganisha sehemu nyengine nilimuuliza mbne huku niambia hapo jibu niliyopewa ni imekuwa issue hiyo ni kweli sheikh wangu, alafu mpaka dadake aliwai kuja nitukana na kunikejeli mpaka niliamuwa nifute namba yake

    • @imansaid8020
      @imansaid8020 2 года назад

      Pole sana farhad

    • @farhadhassansaid8830
      @farhadhassansaid8830 2 года назад +1

      @@imansaid8020 shukran sana @Iman Said, yani swala la ndoa kabla hujaingia inakuwa mnaongea uzuri tu ila kadri siku,miezi,mwaka na miaka inavyoenda ndipo utajuwa ni nn maana ya kuoa ama kuolewa manake hapo unaeza ambiwa maneno ya kukejeliwa ama kuongeleshwa za ovyo

    • @imansaid8020
      @imansaid8020 2 года назад

      @@farhadhassansaid8830 daaa mtihan je mkeo ni mtu mweny dini kimwonekano

    • @farhadhassansaid8830
      @farhadhassansaid8830 2 года назад

      @@imansaid8020 ndio ni watu wa dini, ila unajuwa tabia na dini ni vitu viwili tofauti manake dadake wife kasoma madrasa ya kiislam na dini ila yy ndio mkorofi yy ndie aliniambia mmbo ya kunikejeli na mwisho kuniambia laiti angelijuwa hangelikubali nimuoe dadake ambae ndio mke wangu ila mm niliamuwa kufuta namba yake kuepuka issue flani manake hiyo siku alivyoniambia maneno hayo sikumjibu kitu chochote kile na sms zenye tulichat niliscreenshot nikamtumia wife azione na yy venye dadake alinijibu manake aliniita mnafiki na bahili wakati mm nipo na dadake ambae ni mke wangu ss yy ananijuwa uzuri ama dadake

  • @omarymuhidini9758
    @omarymuhidini9758 2 года назад

    Saw

  • @nasirmohamed1589
    @nasirmohamed1589 7 месяцев назад

    Ongelea na haki za mke kwa mume make mke pia ana haki acha kuongelea wanawake tu kila siku

  • @farhadhassansaid8830
    @farhadhassansaid8830 2 года назад +1

    Yani sheikh hii ndoa sai mm naona sio ile ndoa nilipokuwa na mke wangu mda wa nyuma kwa kweli yani mke anakujibu na ukimwambia anakujibu venye anataka yy

    • @Namanda425
      @Namanda425 Год назад

      Tafuta ushauri kwa kadhi

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 2 года назад +1

    matumizi hakuna udi anautoa wapi lotion hakuna mavaz hakuna vip atapendeza tatizo hamjui kununua hata nguo ili mkeo apendeze kilichobaki kusifia wasichana wa nje

    • @mutomubaya
      @mutomubaya 2 года назад

      Lakini kuhusu tabia hazinunuliwi. Kwa nini kina dada hawaelimishani kuhusu njia kama hizo Sheikh anazozitaja kuhusu mambo ya ndoa?

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 2 года назад

      @@mutomubaya sasa mambo ya ndoa yanafahamika pia kuna vitu shekhe kataja na wanaume vitu hivyo hawanunui hata kidogo unadhani ndani kutapendeza kutanukia mkeo atapendezaje hali yakuwa hununui ukiona mwanamke kapendeza ujue ana kazi yake anajishuhulisha wengi hatukai bila kazi utanuka shombo bure wanaume wenyewe wako wapi

  • @user-ji6kb4qj6n
    @user-ji6kb4qj6n 2 года назад

    Zote point nzuri.lkn ukisema una darasa za watsap za KUFUNDA.pengine kufunda bwana harusi lkn mwari??haiwezekani maana kuna mambo lzm uwende deep.

  • @icepackgiffted7780
    @icepackgiffted7780 2 года назад

    Mbona ma 3mason tena

  • @yasalaam590
    @yasalaam590 2 года назад +1

    😃

  • @omaniomani643
    @omaniomani643 2 года назад

    Hijabu hatununuliwi sheh

  • @icepackgiffted7780
    @icepackgiffted7780 2 года назад +1

    Wacha kuiga nyndo wacha kukopi sasa ume kua comedian

  • @mamamuu8217
    @mamamuu8217 2 года назад

    Uyu shekhe anatoa mawaidha mazuri , lkn mawaidha yake kama ! Ninyamaze Mie 🙄🙄🙄

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 2 года назад +1

    Wapo wanawake wlikuwa hasikii wanatoka bila ya ruhusa ndiyo hivyo

  • @adamhashim3352
    @adamhashim3352 2 года назад +1

    Daa tulimmis huyu jamaa

    • @zvpOnlineTv
      @zvpOnlineTv  2 года назад +1

      Mashaallah Tumemrudisha Kwa kasi

    • @TeamKRX
      @TeamKRX 2 года назад

      Kaenda wapi kwani alikuwa jamani nijibuniv

  • @farhadhassansaid8830
    @farhadhassansaid8830 2 года назад +1

    Sheikh wangu, yani mm nipo na mke ila venye ananijibu mpaka huwa nashangaa tu manake kabla hapo alikuwa hayupo hivo

    • @zvpOnlineTv
      @zvpOnlineTv  2 года назад +1

      Pole

    • @imansaid8020
      @imansaid8020 2 года назад

      Farhad nakushauli mchunguze kwaz labda kuna kitu umemkosea, kisha mkanye, kama imeshindikana oa mke wapili kama unauwezo!! Mwenda atatulia Inshallaah!!

    • @farhadhassansaid8830
      @farhadhassansaid8830 2 года назад

      @@imansaid8020 kwa kweli Iman yani huyu ni mke wa pili manake nilioa wa kwanza nikaachana nae kisa yy anataka mmbo ya Dunia tu hamna kujipanga mmbo ya maisha manake alikuwa na watoto pacha msichana na mvulana ilipoikia ya kufikia nikaamuwa tu talaka ifwatie huyu wa pili nae shida yake ukimkanya kama venye unaniambia bac inakuwa issue na kama itakuwa mwaongea bac hapo ni kimya kama dakika tano alafu kuniambia badae na siku ya pili bac hamna kuongeleshana kawaida tena mpaka mda wa siku tano ama nne ama mpaka yy atakapo taka kukuongelesha ndipo juzi ilifikia kuniambia nisimletee so toka hiyo juzi hadi wa leo hayupo online tena

    • @farhadhassansaid8830
      @farhadhassansaid8830 2 года назад

      @@imansaid8020 Iman kuoa mke wa pili aisee naona nitapata presha bure kama wa kwanza ni hivi je nikija ongeza wa pili itakueje manake mume anaoa ilimtulizane na kujadili mmbo ya maisha na kesho yake mkija pata watoto mjue kukaa leo hii kama issue ni hivi utaongeza wa pili kweli

    • @imansaid8020
      @imansaid8020 2 года назад +1

      @@farhadhassansaid8830 kwa kweli inaumiza ila tafuta mwenye dini, nakuambia uongeze wa pili kwa sababu sisi wanawake tuna viburi sana!! Na hasaa akijua unampenda!!

  • @aishaomarry6996
    @aishaomarry6996 2 года назад

    Halafu wanawake wenzangu pia mupungze sauti za vicheko zipo juuu

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 2 года назад

    Kma mnaataka kulelewa ndio maana hatakuheshim hata chemb maana yy ndio kachukua majukum yako

  • @rajabhamza4628
    @rajabhamza4628 2 года назад +1

    Mashaallah

    • @zvpOnlineTv
      @zvpOnlineTv  2 года назад +1

      Mashaallah Shukran Mtazamaji Wetu Kwa kutuamini na Kukubali Kua mwanafamilia Wa Zvp Online Tv

    • @peterbigambo3149
      @peterbigambo3149 Год назад

      Mashaallah