EWE ULIEDHURUMIWA USIVUNJIKE MOYO KUWA NA SUBRA. SHEYKH; HAMZA MANSOOR

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 июл 2023
  • Tafadhali Usiache ku SUBSCRIBE kwenye channel yetu hii ya Al-hidayahonlinetz. Ili uendelee kufaidika kupitia Maudhui zetu zenye mafundisho ya dini na jamii.
    +PIA WAWEZA KUCHANGIA DA`AWAH HII KUPITIA
    LIPA NAMBA AIRTEL 1297069 TIGO `7638500`
    + AMA PIGA NO. +255 710 627 824

Комментарии • 38

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt Месяц назад +1

    Allahu akika waja Wana chuki mpaka onapitiliza tujirekebishe yarabi

  • @MudMuho-zo9do
    @MudMuho-zo9do 9 месяцев назад +2

    Mungu atufanyie wepesi inshallah na atuondolee matamanio ya duni

  • @YusufMdoe
    @YusufMdoe 3 месяца назад

    Sheikh Allah akupe maisha marefu yenye faida

  • @ZainabuZaina-dk7mx
    @ZainabuZaina-dk7mx 3 месяца назад +1

    ❤ allah akulipe kheri sheh hamza baba angu napenda sana maiwdha yako hakika allah atupe mwisho mwema

  • @user-qp2zk5or8l
    @user-qp2zk5or8l 6 месяцев назад +1

    Masha Allah
    Allah akupe ulinzi wake na Maisha marefu

  • @hasaniabdalah6148
    @hasaniabdalah6148 8 месяцев назад +5

    Sheikh huyu nampenda kwa ajili ya Allah .kweli mawaiza yake yananyooka moyoni kwangu moja kwa moja

    • @user-wr8yk3wt9x
      @user-wr8yk3wt9x 2 месяца назад +1

      Mimi ni zaidi Yako kk nampenda SN adi nime slim kisa ma waidha yake amenifanya niupende uislam mpaka nime slim nikaitwa bien Hamza nampenda SN Allah ampe mwisho mwema sheikh wangu kipenzi❤❤❤❤❤

    • @virginiasimon4609
      @virginiasimon4609 Месяц назад

      Allahu Akbar 🤲 📿 ​@@user-wr8yk3wt9x

  • @HusseinMuro-ki2hx
    @HusseinMuro-ki2hx 5 месяцев назад

    Allah akusitiri kwa elimu kubwa unayotoa hakika unafanana kabisa na unachosema unasema kweli

  • @BraitonBukuru
    @BraitonBukuru 4 месяца назад +1

    ❤❤❤❤

  • @gamalashur5412
    @gamalashur5412 2 месяца назад

    AKUPE UZIMA NA AFYAA AJUZIDISHIEE ILMUU NAAA'FIAAN.

  • @shuweikhahamad6392
    @shuweikhahamad6392 10 месяцев назад +3

    Allah atujalie miongoni tuonusurika na madhambi

  • @user-bl6ul2lz4n
    @user-bl6ul2lz4n 6 месяцев назад

    Allah (SW) akuzidishie katika boraa

  • @mwanamwinyikutunga7884
    @mwanamwinyikutunga7884 Месяц назад

    Naam

  • @ayoubfute8603
    @ayoubfute8603 7 месяцев назад +1

    Mashaallah

  • @FatnaAlly-hp7kw
    @FatnaAlly-hp7kw 11 месяцев назад +2

    🎉🎉🎉allah akulipe shekhe I am going back 😢😢😢and then I will have a good time and then I will have a good time to come by the best for me is the best way of doing it would have been the same as the most powerful in all of the world and then I will have a good time and then I will have a good time to come

  • @saumuzani4360
    @saumuzani4360 6 месяцев назад +1

    Mashallah tabarakallah

  • @user-lw6tx1rc8k
    @user-lw6tx1rc8k 8 месяцев назад

    Mashallh

  • @user-xd9ye7wk6c
    @user-xd9ye7wk6c 9 месяцев назад

    Manshaallah

  • @umsoud3306
    @umsoud3306 10 месяцев назад +1

    لا حوله و قوة إلا بلله

  • @user-hj1uj3ts3k
    @user-hj1uj3ts3k 10 месяцев назад +1

    Assalam wa'aleykum warahmatullah wabarakatu Allah akupe umri mrefu wenye manufaa dunian na kesho Akhera tunajifunza mengi kutoka kwako

  • @FatnaAlly-hp7kw
    @FatnaAlly-hp7kw 11 месяцев назад +1

    Mashallah

  • @ZaujiaRamadhani-im7ec
    @ZaujiaRamadhani-im7ec 11 месяцев назад

    Mashaalah mwenyez mungu akujaliye mwisho mwema sheh wet

  • @salmsalmo931
    @salmsalmo931 9 месяцев назад

    Asalam aleikum shekhe naomba kuuliza unafanya kaz huna siku ya kupunzika kila siku kaz hata ukiumwa unafanya kaz pia hiyo dhuluma😭😭😭

    • @al-hidayahonlinetv3447
      @al-hidayahonlinetv3447  9 месяцев назад

      Waleykum salaam warahmatulla warahmatullah wabarakatuh al akhi. Sasa utafanyaje kazi ukiwa unaumwa? Fafanua

    • @salmsalmo931
      @salmsalmo931 9 месяцев назад

      @@al-hidayahonlinetv3447 Ukisema unaumwa unaambiwa ufanye kaz hata ukiwa mgonywa

    • @user-xd9ye7wk6c
      @user-xd9ye7wk6c 9 месяцев назад

      ​@@al-hidayahonlinetv3447huyu achosema Yuko sawa wewe mjibu ili na mm nipate kujua unaumwa Tena unapelekwa hospital na unapumzishwa kwa mda na dirip juu na dozi unapewa zakuendeleza ila Ile hujafika ndani ulisha ambiwa inatakiwa uanze na kaziipi shekhe huu ni ukweli tunaopitia

  • @aminaosman3315
    @aminaosman3315 9 месяцев назад

    ,tunamshtakia allah kiongozi wa ansar tanzania kwa yatima mbona hamlizungumzii hilo ina maana hamlijui njooni tanga mjue anafanya kiongozi wenu

    • @hasaniabdalah6148
      @hasaniabdalah6148 8 месяцев назад

      Anafanya nini kiongozi wa aswari na wewe kiongozi wako ni nani mpaka useme kiongozi wenu

  • @shuweikhahamad6392
    @shuweikhahamad6392 10 месяцев назад +1

    Allah akupe umri mrefu wenye manufaa