EWE ULIEDHURUMIWA USIVUNJIKE MOYO KUWA NA SUBRA. SHEYKH; HAMZA MANSOOR
HTML-код
- Опубликовано: 28 июл 2023
- Tafadhali Usiache ku SUBSCRIBE kwenye channel yetu hii ya Al-hidayahonlinetz. Ili uendelee kufaidika kupitia Maudhui zetu zenye mafundisho ya dini na jamii.
+PIA WAWEZA KUCHANGIA DA`AWAH HII KUPITIA
LIPA NAMBA AIRTEL 1297069 TIGO `7638500`
+ AMA PIGA NO. +255 710 627 824
Allahu akika waja Wana chuki mpaka onapitiliza tujirekebishe yarabi
Mungu atufanyie wepesi inshallah na atuondolee matamanio ya duni
Sheikh Allah akupe maisha marefu yenye faida
❤ allah akulipe kheri sheh hamza baba angu napenda sana maiwdha yako hakika allah atupe mwisho mwema
Masha Allah
Allah akupe ulinzi wake na Maisha marefu
Sheikh huyu nampenda kwa ajili ya Allah .kweli mawaiza yake yananyooka moyoni kwangu moja kwa moja
Mimi ni zaidi Yako kk nampenda SN adi nime slim kisa ma waidha yake amenifanya niupende uislam mpaka nime slim nikaitwa bien Hamza nampenda SN Allah ampe mwisho mwema sheikh wangu kipenzi❤❤❤❤❤
Allahu Akbar 🤲 📿 @@user-wr8yk3wt9x
Allah akusitiri kwa elimu kubwa unayotoa hakika unafanana kabisa na unachosema unasema kweli
❤❤❤❤
AKUPE UZIMA NA AFYAA AJUZIDISHIEE ILMUU NAAA'FIAAN.
Allah atujalie miongoni tuonusurika na madhambi
Amiiiina
Amiin inshaalah
Amiin
Allah (SW) akuzidishie katika boraa
Naam
Mashaallah
🎉🎉🎉allah akulipe shekhe I am going back 😢😢😢and then I will have a good time and then I will have a good time to come by the best for me is the best way of doing it would have been the same as the most powerful in all of the world and then I will have a good time and then I will have a good time to come
may allah reward you well too
Mashallah tabarakallah
Mashallh
Manshaallah
لا حوله و قوة إلا بلله
Assalam wa'aleykum warahmatullah wabarakatu Allah akupe umri mrefu wenye manufaa dunian na kesho Akhera tunajifunza mengi kutoka kwako
Aamyn Aamyn pa1
Mashallah
Mashaalah mwenyez mungu akujaliye mwisho mwema sheh wet
Allahuma Aamyn kwa sote.
Aamyn
Asalam aleikum shekhe naomba kuuliza unafanya kaz huna siku ya kupunzika kila siku kaz hata ukiumwa unafanya kaz pia hiyo dhuluma😭😭😭
Waleykum salaam warahmatulla warahmatullah wabarakatuh al akhi. Sasa utafanyaje kazi ukiwa unaumwa? Fafanua
@@al-hidayahonlinetv3447 Ukisema unaumwa unaambiwa ufanye kaz hata ukiwa mgonywa
@@al-hidayahonlinetv3447huyu achosema Yuko sawa wewe mjibu ili na mm nipate kujua unaumwa Tena unapelekwa hospital na unapumzishwa kwa mda na dirip juu na dozi unapewa zakuendeleza ila Ile hujafika ndani ulisha ambiwa inatakiwa uanze na kaziipi shekhe huu ni ukweli tunaopitia
,tunamshtakia allah kiongozi wa ansar tanzania kwa yatima mbona hamlizungumzii hilo ina maana hamlijui njooni tanga mjue anafanya kiongozi wenu
Anafanya nini kiongozi wa aswari na wewe kiongozi wako ni nani mpaka useme kiongozi wenu
Allah akupe umri mrefu wenye manufaa