Allah Akbar😢 yaan Sheikh anazunpumzia mada ambayo ni subra na akamtolea mwanamke aliyeumwa enz hzo na hapo hapo Allah amemleta mwanamke anaomba asaidiwe...na anavoongea ni dhahir nayeye ana mitihan (Allah amupe subra) na mashaaAllah Sheikh hajamfukuza kamsaidia na mtihan ukatokea hajaridhka sheik kamuengeza ....nmejifnza pakubwa Allahumma Baarik 🤲 Sheikh
Assalaam alaykum allah akbaru yani wewe shaikh maashaallah barakallah fiiq Allah kuna makazi amekwisha kuandalia maana sio kawa yani ulichoongea kwanini kimetokea? Nakufatilia sana cjawahi kukuona unacheka ndio mwanzo leo kila mawaiza yako lazima kila mwenye ikhlawsi atazingatia tu
Lazima tujifunze kukua na subra katika mtiani Yaa Allah
Allah akufanyie wepezi
Nakupenda sana sheikh hamza Kwa ajil ya Allah
Allah atupe subra Hadi kuondoka hapa ulimwenguni ili tukapate malipo makubwa❤❤❤❤👍
Allah Akbar😢 yaan Sheikh anazunpumzia mada ambayo ni subra na akamtolea mwanamke aliyeumwa enz hzo na hapo hapo Allah amemleta mwanamke anaomba asaidiwe...na anavoongea ni dhahir nayeye ana mitihan (Allah amupe subra) na mashaaAllah Sheikh hajamfukuza kamsaidia na mtihan ukatokea hajaridhka sheik kamuengeza ....nmejifnza pakubwa Allahumma Baarik 🤲 Sheikh
Mashallah nakupenda kwaajili ya allah❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Cheikh wang nakupenda kwajil ya allah
Allahu Akbar 🤲
ALLAH akulipe kwa ukumbusho Huu,,🤲🤲🤲
Subhana llha Allah atujalir mwisho mwema
Allah akulipe kheri shehe wetu kwa ukumbusho mzur hakika nimejifunza sana
Allah atujalie mwisho mwema
Nampenda shekhe hamza Allah azid kukuweka jaman
Allah akupe mwisho wema shikhe wangu
Jazaak ALLAHU khayr shekh Allah akujaalie jannah
Mashaallah shekhe wangu
Allah naomba nikue na subra Kwa mitihani nayo pitia
Allah atuzdishie subra hasa cc vijana dah shida sana ani
Shekhe Allah akuhifazi hakika moyo wangu unaliya kwa kupata faraja kama hii namuomba Allah anipesubra kama huyo. Mwanamke wa peponi
❤❤❤❤JAZZAKAALLAH sheikh
Maashallah
Tuna shukru mafunzo mazuli❤❤😢😢
Subhnallah
Mashallah Mashallah ❤❤
Allah atuongowe
Allah atuongoze
Aameen
Ameen
Amiin
❤❤❤❤❤❤❤
Assalaam alaykum allah akbaru yani wewe shaikh maashaallah barakallah fiiq Allah kuna makazi amekwisha kuandalia maana sio kawa yani ulichoongea kwanini kimetokea? Nakufatilia sana cjawahi kukuona unacheka ndio mwanzo leo kila mawaiza yako lazima kila mwenye ikhlawsi atazingatia tu
❤❤
Shekh umesema kweli
Nikweli sheh
Mashallah
Allah akufanyie wepezi
Ameen
Mashallah
❤❤❤❤
Mashallah
❤❤❤❤
❤❤❤
❤❤❤