I do inspire you sheikh. I actual become relaxed once I listen your DA'AWA hoped and well excited. Really Allah sent you the brush up our minds. I do love for the sake of Allah. Mungu atukutanishe peponi tukiwa pamoja nawe AMINA 🙏🙏🙏
Maneno ya mungu Haina ya Jana na Leo,maneno ya mwenzi mungu ni tamu kila siku, hiyo ambao unasema ni ya 2013 umetimiza zote, Yale umesikia zamani ifanyie kazi kwanza
Mashaallah allahu akbar❤
Sheikh: Hamza Mansoor JazakaLlah kher Ammen . nakupenda kwa jili ya Allah na piya na penda vipindi vyenu MashaAllah.
Barak'Allahu fiiQ wa Jazzaka Allahu kheir.
Napenda sana na sana na izidi kuendelea makumbuxo
Shukran sn sheikh allah akulipe kwa ukumbusho uliotugeiya
Na allah awalipe mahasin tv
Na wote wanaotazama mahasin tv
Ameen
Sheikh,may Allah prolong your life so that the Islamic nation may continue to benefit from your knowledge of din
Allah hakujalie kwenye maisha yako
Mashallah.na sikitika sana kilan kisikia mauti.vp iyo siku ikinfikia.mungu atupemwisho wenyenema.AMI
Amina
Allah Akbar mwenyezi mungu hatujalie mwisho mwema ishallah
Amiin ya Rabb
Mashaallah jazakallah sheikh Allah atupe mwisho mwema lnshaallah
Mashallah,mada ni nzito Sanaa,Allah akuongoze hadi kuleeee firdaus ,yawadud yaarab. Tupe uongofu sisi waislamu,tupe mwisho mwema,amiin yarabi amiiin
Amin
Amiiin ya ilahi
Mwenyezi mungu atupe mwisho mwema hapa duniani
Mashaallah may almighty grant us janatul firdhos inshaallah
Mashallah ostazi hamza kwakweli unajua sana
Ya Allah jaza moyo yetu na Imani ya dini
M.a
MashaAllah ❤
I do inspire you sheikh. I actual become relaxed once I listen your DA'AWA hoped and well excited. Really Allah sent you the brush up our minds. I do love for the sake of Allah. Mungu atukutanishe peponi tukiwa pamoja nawe AMINA 🙏🙏🙏
Allah akupe maisha marefu yenye kheri ndani yake,ameen
Mashalwa
assalaam aleikum,, nimependa sana mawaidha ya sheikh Hamza Mansoor kama yapo mengine ya 2014 na 2015 tuwekeeni maana mengi ni ya 2013
Maneno ya mungu Haina ya Jana na Leo,maneno ya mwenzi mungu ni tamu kila siku, hiyo ambao unasema ni ya 2013 umetimiza zote, Yale umesikia zamani ifanyie kazi kwanza
Baraqa llahu fiqa
Shukran
Shukran sheikh HAMZA mungu akupe afya njema
Mawaiza mazuri sana Asante
Amiin
Masha Allah shukran sn Allah akujaliye heri na baraka inshaallah
Jazakarllha khaillah shehe
Mashallah
Maashallah
Jumaa
mashallah kweli kabisa
Mahasin tv
Asalam aleykum
Hiyo anasheed inayoanza kabla ya khotuba anaitwa Nani ??
Waalykm slm
Inaitwa asmaa allahu husna
Video
Masha'ALLAH Allah akuhifadhi
Nimependa sanaa duniaa tunapita
Allah hakujalie kwenye maisha yako
Mashallah