AL MUBAJJAL TV
AL MUBAJJAL TV
  • Видео 425
  • Просмотров 996 019

Видео

VIPI UTAILINDA NDOA YAKO KUTOKANA NA MAADUI ? by Ust Ndungo
Просмотров 2220 часов назад
#Tafadhali_Gusa_SUBSCRIBE_ilikupata_mazuri_yajayo
Shairi hili la Ngereza lazua gumnzo jijini Tanga
Просмотров 1262 часа назад
#Tafadhali_gusa_SUBSCRIBE_ilikupata_mazuri_yajayo
THAMANI YA MWANAMKE By Ust Elias Almubajjal
Просмотров 782 часа назад
#Tafadhali_Gusa_SUBSCRIBE_ilikupata_mazuri_yajayo
HUYU NDIE MTUME WETU,,Ust Al mubajjal
Просмотров 182 часа назад
#Tafadhali_Gusa_SUBSCRIBE_ilikupata_mazuri_yajayo
Bint aushangaza ummah kwa kisomo chake kizuri kwenye Ufunguzi wa Muhadhara Msakangoto Tanga
Просмотров 2924 часа назад
#Tafadhali_gusa_SUBSCRIBE_ilikupata_mazuri_yajayo
UKUMBUSHO KUTOKANA NA MAUTI, Ust Haruna Swalehe
Просмотров 60День назад
#Tafadhali_Gusa_SUBSCRIBE_ilikupata_mazuri_yajayo
Mashekhe Tanga wasema mazito baada ya Muhadhara huu wa Sheikh Kishki
Просмотров 1,1 тыс.14 дней назад
#Tafadhali_Gusa_SUBSCRIBE_ilikupata_mazuri_yajayo
HUYU NDIE MTOTO ALIE FUNGWA KILEMBA NA SHEIKH KISHKI, TANGA FURAHA YATAWALA
Просмотров 94314 дней назад
#Tafadhali_Gusa_SUBSCRIBE_ilikupata_mazuri_yajayo
MOYO WA MTUME MUHAMMAD by Sheikh Kishki
Просмотров 11321 день назад
#Tafadhali_Gusa_SUBSCRIBE_ilikupata_mazuri_yajayo
KHUTBA NZITO ALIYO ITOA SHEIKH KISHKI MBELE YA VIONGOZI WA TANGA
Просмотров 8521 день назад
#Tafadhali_Gusa_SUBSCRIBE_ilikupata_mazuri_yajayo
ANGALIA WATU WA TANGA WANAVYO MPENDA SHEIKH KISHKI HAIJAWAHI KUTOKEA
Просмотров 1,7 тыс.21 день назад
#Tafadhali_Gusa_SUBSCRIBE_ilikupata_mazuri_yajayo
Mkuu wa wilaya ya Tanga na Mea wasema mazito kuhusu ziara ya Sheikh Kishk Tanga
Просмотров 15421 день назад
#Tafadhali_Gusa_SUBSCRIBE_ilikupata_mazuri_yajayo
Muhadhara wa Sheikh Kishki ulio pandisha Imani ya kila alie hudhuria jijini Tanga
Просмотров 50521 день назад
#Tafadhali_Gusa_SUBSCRIBE_ilikupata_mazuri_yajayo
TABIA HIZI NI MUHIMU MNO KWA WAISLAMU
Просмотров 8928 дней назад
#Tafadhali_Gusa_SUBSCRIBE_ilikupata_mazuri_yajayo
JAMBO HILI LITAKUFANYA UTAJWE NA ALLAH MTUKUFU,, Ust Swalahudeen Zubair
Просмотров 196Месяц назад
JAMBO HILI LITAKUFANYA UTAJWE NA ALLAH MTUKUFU,, Ust Swalahudeen Zubair
MASHARTI YA UTANI ,, Ust Elias Almubajjal
Просмотров 125Месяц назад
MASHARTI YA UTANI ,, Ust Elias Almubajjal
VIFUTIO 10 VYA MADHAMBI KILA SIKU
Просмотров 106Месяц назад
VIFUTIO 10 VYA MADHAMBI KILA SIKU
JIFUNZE KUSAMEHE,, Ust Jumbe Miraji
Просмотров 62Месяц назад
JIFUNZE KUSAMEHE,, Ust Jumbe Miraji
MAOVU HAYA NDIO YANAYO SABABISHA MATATIZO MAKUBWA KATIKA JAMII
Просмотров 125Месяц назад
MAOVU HAYA NDIO YANAYO SABABISHA MATATIZO MAKUBWA KATIKA JAMII
SIMANZI MAZISHI YA SHEIKH ANUAR KHATWIB MASHEIKH WAMLILIA
Просмотров 21 тыс.2 месяца назад
SIMANZI MAZISHI YA SHEIKH ANUAR KHATWIB MASHEIKH WAMLILIA
WASIA MZITO WA MTUME KWA MUADHI, Ust Elias Almubajjal
Просмотров 1752 месяца назад
WASIA MZITO WA MTUME KWA MUADHI, Ust Elias Almubajjal
KWANINI MASHIA WANAMTUKUZA ZAIDI HUSSEIN KULIKO HATA ALLY ?
Просмотров 2002 месяца назад
KWANINI MASHIA WANAMTUKUZA ZAIDI HUSSEIN KULIKO HATA ALLY ?
KWANINI HUSSEIN BIN ALLY NA WAFUASI WALIKAA NA KIU SIKU YA ASHURAA?
Просмотров 1522 месяца назад
KWANINI HUSSEIN BIN ALLY NA WAFUASI WALIKAA NA KIU SIKU YA ASHURAA?
JE MASHIA NI WAISLAMU AU SI WAISLAMU?
Просмотров 3702 месяца назад
JE MASHIA NI WAISLAMU AU SI WAISLAMU?
TOFAUTI YA MASHIA NA AHLUSUNNA KUHUSU ASHURAA
Просмотров 5032 месяца назад
TOFAUTI YA MASHIA NA AHLUSUNNA KUHUSU ASHURAA
KILA MTU ATAVUNA ALICHO KIPANDA; Ust Abdulmutakabbir
Просмотров 1922 месяца назад
KILA MTU ATAVUNA ALICHO KIPANDA; Ust Abdulmutakabbir
NI SUNNA UKIYAFANYA MAMBO HAYA UWE NA UDHU : Ust Elias Almubajjal
Просмотров 842 месяца назад
NI SUNNA UKIYAFANYA MAMBO HAYA UWE NA UDHU : Ust Elias Almubajjal
AMANI YA FIKIRA NA ITIKADI KATIKA UISLAMU: Sheikh Abdallah Ndauga
Просмотров 1733 месяца назад
AMANI YA FIKIRA NA ITIKADI KATIKA UISLAMU: Sheikh Abdallah Ndauga
NINANI AHLU SUNNAT WALJAMAA ? Sheikh Ally Bahero
Просмотров 2853 месяца назад
NINANI AHLU SUNNAT WALJAMAA ? Sheikh Ally Bahero

Комментарии

  • @fora2009
    @fora2009 7 часов назад

    Mashaallah 😂

  • @safiaothman5175
    @safiaothman5175 10 часов назад

    MAA SHAA ALLAAH

  • @SalhaSaid-c4l
    @SalhaSaid-c4l День назад

    Allah akuhifadh shkh na akupe ulinzi dunian na huko akher inshallah

  • @abbakariathumani9141
    @abbakariathumani9141 2 дня назад

    Masha Allah

  • @SanuraNamlola
    @SanuraNamlola 2 дня назад

    MASHA ALLAH TABARAKAALLAH ♥️♥️♥️♥️

  • @nurdini-yl5mz
    @nurdini-yl5mz 2 дня назад

    Maashaallah Allah amhifadhi bint huyu na mabint ote wakiislaam

  • @SuleimaneMfaume-db2vw
    @SuleimaneMfaume-db2vw 2 дня назад

    Mashaallah ❤❤❤

  • @MohamediMsumali-m6v
    @MohamediMsumali-m6v 7 дней назад

    hii Sasa sio did za waislam Kwan sofa hiz no zakijahilia 2:54

  • @Josephedwardkenesha
    @Josephedwardkenesha 8 дней назад

    Mimi jose kutoka uganda ndacha mngu amekupa uwezo mkubwa sana nafatilia sana mdahalo

  • @Josephedwardkenesha
    @Josephedwardkenesha 8 дней назад

    Data zinalika sana

  • @Josephedwardkenesha
    @Josephedwardkenesha 8 дней назад

    Data zangu zinapotea sana

  • @SelemaniOmari-j7t
    @SelemaniOmari-j7t 9 дней назад

    Kumbe masalafi wapo sawa

  • @mbaroukseif3409
    @mbaroukseif3409 10 дней назад

    Mashekh vijijini mmekusahau Daawa mnafanya mijini tu. Mfike vijijini pia

  • @amaniamokachielmorisho1007
    @amaniamokachielmorisho1007 12 дней назад

    Mnifasiriye madjadida niwatu gani? Ni company, mnifasiriye na ma twarika niwatu gani

  • @AbdulIssa-o7e
    @AbdulIssa-o7e 14 дней назад

    Mshaurini shk kishki skuhizi anapinda na kutoka katika sunnah amekuwa mtu wa kwenda na hawwa za watu, siasa zinekuwa nyingi kuliko sunnah na rafiki anao fanya nao makhurafi wale kina mazinge yeye baada ya kuwanasihi waache bidaah warudi katika sunnah ya mtume anawapenda watu walomzushia Allah na mtume inatakiwa awafikishie wacheni bidaah hawataki akae mbali nao watu wa bidaah ni wabaya sana katika dini ushabiki wangu kwa kishki asikurubiane katika daawa na khurafiij tumeumbwa kupendana kwaajili ya Allah na kuchukiana kwaajili ya Allah, asikurubiane na wazushi mpk warudi katika hakki

    • @Al.habeebAl.habaaib
      @Al.habeebAl.habaaib 14 дней назад

      KIJANA TATIZO LAKO WEWE NI KICHWA MCHUNGA WAFWATA MANENO YA MASHEIKH ZAKO WENYE CUHUKI BINAFSI NA SHEIKH KISHKI. NINI MAANA YA KUPINDA? JEE UNA DALILI KWENYE QUR. AANI NA SUNNAH INAYOSEMA MSIKAE NA MTU FLANI NA KAENI NA MTU FLANI? JEE UNAJUAJE KAMA SHEIKH KISHKI HAMFIKISHII MAZINGE DAWAH NA NASAHA? KAZI YENU NI KUHUKUMU TU WATU. NA KUJIONA NYINYI NDIO MLIO NYOOKA NA WATU WOOTE WAMEPINDA. وجعلنا بعضكم لبغض فتنة اتصبرون؟؟؟

    • @BuiKishkOnlineTv
      @BuiKishkOnlineTv 13 дней назад

      Watarudi kwa kushushiwa Malaika kutoka Mbinguni sio? Usikute hata ww ulikuw mtu wa Bidaa lkn watu wasunna walivyokaa nawewe ukawa mwanasunna lkn siku zote nyani haoni …le. Asilimia 99 ya watu wa sunna walikuw watu wa bidaa kiasi cha kutukana watu wa sunna lkn watu wa Sunna walikuwa nao mpk Allah akawapa Hidaya, sasa hii daawa uitakayo ni ya NABII gani?

    • @husseinfarouk1896
      @husseinfarouk1896 13 дней назад

      Waongea na ata haujui maana ya sunnah....nenda kasome ndo uanze ukaongee ....eti wamwita shekh kishki sio msunnah....Shughulika na nafsi yako na Amali zako kaka Wachana na maulamaa ....hauwezi warekebisha na chochote

    • @AbdulIssa-o7e
      @AbdulIssa-o7e 13 дней назад

      @@husseinfarouk1896 sunnah ya kuanza kufunga mwanzo na kufungua mwanzo ndo sunnah hyo tuuh wakijuwa ww mbona shubuha zake ni nyingi huuoni hilo, kuna kiindi daawa yake inachanganyika na mubtadi wazushi, sasa ndo misingi ya sunnah hiyo ww ndo unaonekana mgeni na sunnah hujui kitu laiti ungesoma vitabu vya ulamaa wqnazungumzaje kuhusu sunnah na kuhusu bidaah nadhani usingeongea haya. Misingi ya mtu wa sunnah ni kuto changa nyika katika daawa na ahlubidah kwa mujibu ya kauli na vitabu vya ulamaa pili ni kujitenga na bidaah na kukaa nazo mbalil.3 ni kukaa mbali na mzushi kushabiana na mzushi bila shaka na ww utatumbukia na kuiga ahlaki zake tabia zake manake Abdullahy bin masoud swahaba huyu walokuja watu wazushi kutaka mjadala nae akawqqmbia wambieni mimi nipo mbali na wao kwa ile hali ya uzushi wao,sasa dawa yako ikiwa inachanganya na talbis nyingi arafu unadai mtu unae fata sunnah leo upo na mazinge wafanya nae dawwa mara upo na othman malimu au dr sule sasa ww sunnah yako ipo wapi hapo?? Inamana unambanishia kwamba na yeye yupo katika hakki sasa na shekh kishki watu wake wakubwa makhurafi et unafanya dawa na mazinge arafu wadai mtu wa sunnah daawa ipi hiyo miharafa mingi shekh anayofanya mwanzo hapo alianza msimamo nzuri katika sunnah skuhizi ni mtu wa kwenda na hawwa za watu na ukiskiza fatuwa zake nyingi zina siasa ndani yake sasa ndugu najuwa unamapenz na mtu kushinda hakki vumilia ndo dini najuwa wampenda shekh ila uislamu kunasihana mtu anapo poromoka kiitikadi au kiimani lazima um nasihi tuvumiliane.

    • @AbdulIssa-o7e
      @AbdulIssa-o7e 13 дней назад

      @@BuiKishkOnlineTv daawa ya ahlsunnah ulamaa wameiwekea misingi yake huwezi kunadi mtu wa sunnah, arafu unafanya daawa yako na ahlu bidaah, na misingi ya dawa hii toka wema waliotangulia ni kukaa mbali na watu wa bidah na kujitenga nao katika daawa na kuwa nae Karibu ni ile kumnasihi na kutahadharisha kwa ile bidah yake hataki kaa mbali nae sasa kama kina sufian thauri walikaaa mbali na wazushi na kuwatahadharsha na ndo ulamaa wa ahlsunnah wasemavyo katika vitabu vyao sasa kutangamana na bidah naww kaathiriwa na bidah zao, na anaekwenda na kutangamana nao watu wazushi na ww watakiwa utahadharishwe usipotahadharika ni wanakutia katika wao ndo misingi shekh wangu

  • @SadyaminahIdy
    @SadyaminahIdy 17 дней назад

    taanga bado wajinga kwa mtu huyu

  • @AminaIbrahim-qh2gn
    @AminaIbrahim-qh2gn 19 дней назад

    Mashaallah, namkubali sana sheikh kishki Allah akulinde na kila aina ya ubaya

  • @BakriIssa
    @BakriIssa 19 дней назад

    وا نحواه

  • @BakriIssa
    @BakriIssa 19 дней назад

    وانحواه

  • @أبوفيصل-د3ش
    @أبوفيصل-د3ش 19 дней назад

    Duh mzee umekwama. Watu hawajui Dini yao.Uhakika haswa.N ndio mana hali zao ngumu za maisha

    • @HemedSerious
      @HemedSerious 8 дней назад

      Ww, una matatzo ya akili ndugu, Kwa iyo hatuwezi kujishughulisha na mambo ya uchumi Hadi watu wafaham dini. Hatuwezi kuelekezana dini sambamba na kujishughulisha na mambo ya uchumi halali wa kiislam? Mbona ww unakua mjinga kias hiki? Hao masheikh wanaokudanganya eti waislam wanatakiwa kujishughulisha na elimu ya Sheria na tauhid peke yke ni wanafiki sana maana wao wanamiliki mataasisi ya kujaza matumbo yao....alafu wanawashambulia masheikh wenzao. Acha umwehu na ujinga

    • @HemedSerious
      @HemedSerious 8 дней назад

      Jibu kwanza iyo katiba ni ya kasim Mafuta au kasema uongo sheikh barahiyan?😂😂

    • @أبوفيصل-د3ش
      @أبوفيصل-د3ش 8 дней назад

      @@HemedSerious Katiba ya nin sasa. sisi na katiba wapi na Wapi.?? Kam kuhusu Taasisi hili ni agizo la Serikali la sivyo Unafungiwa Hupasw kujishughulisha Na Dini usiposajili Taasisi yako. Na ndio mana mwanzo Abul fadhwil alipinga jambo la Taasis kwa mujib wa Dini lakin taratbu za Nchi hakuzijua la sivyo unafungiwa kituo chako. Kwa hyo ikabid iandaliwe taasisi ya Uongo kwa ajili ya kutii Weny mamlaka tu basi.Lakin Sio Malengo ya Masalaf na wala hatuish kweny Mifumo ya kitaasisi yaani Uvyama Na uhizbiyyah.

  • @Al.habeebAl.habaaib
    @Al.habeebAl.habaaib 19 дней назад

    Mashaallah sheikh kishki anapendwa hadi na watoto

  • @safiaothman5175
    @safiaothman5175 19 дней назад

    Maa Shaa Allaah

  • @YahayaIdarusi-tf8dy
    @YahayaIdarusi-tf8dy 19 дней назад

    Maashaallah inapendeza kuishi Kwa kupendana kwaajir ya allah

  • @abuuthaabit-lr2jh
    @abuuthaabit-lr2jh 19 дней назад

    mashekh wenye tamaa kama hawa wanavuma kisha kimya yupo wap othman malim yani kama vile amekufa

  • @yussufaden9877
    @yussufaden9877 20 дней назад

    ❤Allah Allah Allah and prophet Mohammed saw saw saw saw is masseger of Allah love Mohammed Rasullulahi saw saw god biggest in world in sha allah (*******)🤲🤲🤲⁉️✌🅰️❤☝️

  • @mohdkhatib223
    @mohdkhatib223 20 дней назад

    Majadiida wakiona hivyo ndo huanza husda na chuki zao.

  • @abubakar_nyangala
    @abubakar_nyangala 21 день назад

    Takbiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiir

  • @imanmohamed2215
    @imanmohamed2215 21 день назад

    Allahumma Amiin

  • @FatumaMangota
    @FatumaMangota 22 дня назад

    Allah atuzdishie subra hasa cc vijana dah shida sana ani

  • @zuheorsalim7759
    @zuheorsalim7759 22 дня назад

    Kweli tanga bado majahili 😅

    • @FadhiliAlly-fy2tx
      @FadhiliAlly-fy2tx 21 день назад

      Kuwa mchamungu utapendwa

    • @khamisswalehe
      @khamisswalehe 21 день назад

      leta toba ww acha kujitukuza unajitukuza ww nani ni mtume au malaika

    • @zuheorsalim7759
      @zuheorsalim7759 21 день назад

      @@khamisswalehe kuwasifu watu wa tanga kwa ujajlhili ndo kujitukuza ?

    • @khamisswalehe
      @khamisswalehe 21 день назад

      @@zuheorsalim7759 unajitukuza alaf humuogp Allah unaropoka tu kwann Allah asitupe vita tukanza kuwauwa nyie wanafiki

    • @khamisswalehe
      @khamisswalehe 21 день назад

      mi ntamAn sana kitali kije ili tuanze na wanafiki

  • @HassaniRamadhani-s9k
    @HassaniRamadhani-s9k 22 дня назад

    Masha Allah, Allah Akbar!!!!

  • @yanifaakukufaa9032
    @yanifaakukufaa9032 22 дня назад

    Hii ndio shida ya majadida

  • @AbdulIssa-o7e
    @AbdulIssa-o7e 22 дня назад

    Basi hapo kasimu mafuta na majadida wenzie pongwe wanaumia kumchukia kishki na kumsema vibaya kwote watu wanampenda 😂😂😂 huwezi jinsi mnavyomchukia Allah ndo anazidisha mapenz kwa watu allahu Akbar allahu akbar

    • @abuuamri
      @abuuamri 21 день назад

      Unaumia wewe na ushabik wako na uhizibiya dawa salafia inachanja mbuga

    • @AbdulIssa-o7e
      @AbdulIssa-o7e 21 день назад

      @@abuuamri nyi khawariji mlokosa kuuwa tuh Ila vingine mwaendana navyo unadhani Allah atatukuhumu kwavile mmetuita mahizby Allah atatuhukumu kutomfata mtume na swahaba hatotuhukumu kwanini hamkuwafata majadida wa pongwe

    • @abuuamri
      @abuuamri 21 день назад

      Shida yako wew hujuw makhawarij itikad zao eehh ujadida nao maanaake nn ???wafuasi was barhyn nmnatabu !!!hata usemeje ss twaendelea kufuata Quran na Sunnah kwa ufahamu wa wema walio pita na ndio manhaj salafi

    • @abuuamri
      @abuuamri 21 день назад

      Allah akujali kuifuata hi manhaji

    • @AbdulIssa-o7e
      @AbdulIssa-o7e 21 день назад

      @@abuuamri ww mpumbavu man hajji hiyo kitabu na sunnah kitambo shekh zetu wanalingania barabara hiyo pengine ww ulikuwa jisufi la kucheza maulid watu wanalingania hiyo daawa kuna kipya gani anacholingania ww ambacho mashekh wetu hawalinganii acha ujinga na kukaridishwa upuuzi

  • @IdrisaHaji-o8f
    @IdrisaHaji-o8f 22 дня назад

    mashaAllah Allah azidi kumpa ufahamu wa dini na ampe mwisho mwema sheikh kishki Allahumma amiyn

  • @abdurashidinasorodini
    @abdurashidinasorodini 22 дня назад

    pongwe wakiona hivi wanaumia sana

  • @Is-hakamachano
    @Is-hakamachano 22 дня назад

    Kama waislamu wote tungependana kama hvi tungefanikiwa sana

    • @abbaspaziaog2188
      @abbaspaziaog2188 22 дня назад

      Hatuwezi kuwa wamoja mpaka tushikamane na manhajj salafi kisawa sawa

    • @Al.habeebAl.habaaib
      @Al.habeebAl.habaaib 20 дней назад

      ​@abbaspaziaog2188 manhaj salafi au qur.aani na sunnah? Hujui hata unacho imbishwa

  • @hawahamisihamisi6038
    @hawahamisihamisi6038 22 дня назад

    Maashallah maashallah maashallah Tabaaraka Rahman 😊

  • @Al.habeebAl.habaaib
    @Al.habeebAl.habaaib 22 дня назад

    Allahu akbar

  • @abusalmadangaadam708
    @abusalmadangaadam708 25 дней назад

    Mche allah nani kasema sheikh hana kituo cha kulea yatima usiongee mambo isiyo na ushahidi nayo yaani jitahid uwe na tabia za kiume kwani kuongea mambo yasio na mashiko ni tabia za uke

    • @shabanimataka8418
      @shabanimataka8418 20 дней назад

      Muna mahoma nyny mukiona jambo amufanyi nyny munaliaranisha kesho mukilita munaliaralisha sijui mkoje majadida

  • @SalhaSaid-c4l
    @SalhaSaid-c4l 25 дней назад

    Inalillah hakika sisi niwenye kurejea kwake allaah ampe hifadhi inshallah

  • @ummuwawili
    @ummuwawili 26 дней назад

    Allah Akbar😢 yaan Sheikh anazunpumzia mada ambayo ni subra na akamtolea mwanamke aliyeumwa enz hzo na hapo hapo Allah amemleta mwanamke anaomba asaidiwe...na anavoongea ni dhahir nayeye ana mitihan (Allah amupe subra) na mashaaAllah Sheikh hajamfukuza kamsaidia na mtihan ukatokea hajaridhka sheik kamuengeza ....nmejifnza pakubwa Allahumma Baarik 🤲 Sheikh

  • @FaridhaRashid
    @FaridhaRashid 26 дней назад

    Allah atujalie mwisho mwema

  • @FaridhaRashid
    @FaridhaRashid 26 дней назад

    Subhnallah

  • @shadhiriissabweraboymanda7732
    @shadhiriissabweraboymanda7732 27 дней назад

    Assalamu alykum warahmatullah wabarakatuh shekh wang hapo ulijitoa au ulitolewa.maneno yako yanaonekana ni yenye kujigonga gonga saana kwann msom!!!!!!!

  • @KassimSalim-fi1me
    @KassimSalim-fi1me 27 дней назад

    Halingani hata sent nababa yake baba yke alikuwa aalim na alifundisha Elimu kwa maslahi ya akhera huyu anatafuta umaarufu

  • @KassimSalim-fi1me
    @KassimSalim-fi1me 27 дней назад

    We ni hizbi usiejielewa unajipendekeza kwa kina barahiyani na Dr Islam unatafuta umaarufu

  • @HafidhiBugi
    @HafidhiBugi 27 дней назад

    alokutoa tongo alokuzidisha ujinga

  • @SaidyNeja
    @SaidyNeja Месяц назад

    Allah akupe afya njema maalimu wetu

  • @HusseynSingano
    @HusseynSingano Месяц назад

    Siokila kulli nikullia mzee jina elimu Sheria inasemje mwezi unatangazwa nanani

  • @SuleimaneMfaume-db2vw
    @SuleimaneMfaume-db2vw Месяц назад

    Mashaallah