- Видео 425
- Просмотров 996 019
AL MUBAJJAL TV
Добавлен 28 июл 2021
CHEMCHEM YA ELIMU
VINOGESHO KATIKA NDOA by Ust Ally Omar
#Tafadhali_Gusa_SUBSCRIBE_ilikupata_mazuri_yajayo
Просмотров: 8
Видео
VIPI UTAILINDA NDOA YAKO KUTOKANA NA MAADUI ? by Ust Ndungo
Просмотров 2220 часов назад
#Tafadhali_Gusa_SUBSCRIBE_ilikupata_mazuri_yajayo
Shairi hili la Ngereza lazua gumnzo jijini Tanga
Просмотров 1262 часа назад
#Tafadhali_gusa_SUBSCRIBE_ilikupata_mazuri_yajayo
THAMANI YA MWANAMKE By Ust Elias Almubajjal
Просмотров 782 часа назад
#Tafadhali_Gusa_SUBSCRIBE_ilikupata_mazuri_yajayo
HUYU NDIE MTUME WETU,,Ust Al mubajjal
Просмотров 182 часа назад
#Tafadhali_Gusa_SUBSCRIBE_ilikupata_mazuri_yajayo
Bint aushangaza ummah kwa kisomo chake kizuri kwenye Ufunguzi wa Muhadhara Msakangoto Tanga
Просмотров 2924 часа назад
#Tafadhali_gusa_SUBSCRIBE_ilikupata_mazuri_yajayo
UKUMBUSHO KUTOKANA NA MAUTI, Ust Haruna Swalehe
Просмотров 60День назад
#Tafadhali_Gusa_SUBSCRIBE_ilikupata_mazuri_yajayo
Mashekhe Tanga wasema mazito baada ya Muhadhara huu wa Sheikh Kishki
Просмотров 1,1 тыс.14 дней назад
#Tafadhali_Gusa_SUBSCRIBE_ilikupata_mazuri_yajayo
HUYU NDIE MTOTO ALIE FUNGWA KILEMBA NA SHEIKH KISHKI, TANGA FURAHA YATAWALA
Просмотров 94314 дней назад
#Tafadhali_Gusa_SUBSCRIBE_ilikupata_mazuri_yajayo
MOYO WA MTUME MUHAMMAD by Sheikh Kishki
Просмотров 11321 день назад
#Tafadhali_Gusa_SUBSCRIBE_ilikupata_mazuri_yajayo
KHUTBA NZITO ALIYO ITOA SHEIKH KISHKI MBELE YA VIONGOZI WA TANGA
Просмотров 8521 день назад
#Tafadhali_Gusa_SUBSCRIBE_ilikupata_mazuri_yajayo
ANGALIA WATU WA TANGA WANAVYO MPENDA SHEIKH KISHKI HAIJAWAHI KUTOKEA
Просмотров 1,7 тыс.21 день назад
#Tafadhali_Gusa_SUBSCRIBE_ilikupata_mazuri_yajayo
Mkuu wa wilaya ya Tanga na Mea wasema mazito kuhusu ziara ya Sheikh Kishk Tanga
Просмотров 15421 день назад
#Tafadhali_Gusa_SUBSCRIBE_ilikupata_mazuri_yajayo
Muhadhara wa Sheikh Kishki ulio pandisha Imani ya kila alie hudhuria jijini Tanga
Просмотров 50521 день назад
#Tafadhali_Gusa_SUBSCRIBE_ilikupata_mazuri_yajayo
TABIA HIZI NI MUHIMU MNO KWA WAISLAMU
Просмотров 8928 дней назад
#Tafadhali_Gusa_SUBSCRIBE_ilikupata_mazuri_yajayo
JAMBO HILI LITAKUFANYA UTAJWE NA ALLAH MTUKUFU,, Ust Swalahudeen Zubair
Просмотров 196Месяц назад
JAMBO HILI LITAKUFANYA UTAJWE NA ALLAH MTUKUFU,, Ust Swalahudeen Zubair
MASHARTI YA UTANI ,, Ust Elias Almubajjal
Просмотров 125Месяц назад
MASHARTI YA UTANI ,, Ust Elias Almubajjal
MAOVU HAYA NDIO YANAYO SABABISHA MATATIZO MAKUBWA KATIKA JAMII
Просмотров 125Месяц назад
MAOVU HAYA NDIO YANAYO SABABISHA MATATIZO MAKUBWA KATIKA JAMII
SIMANZI MAZISHI YA SHEIKH ANUAR KHATWIB MASHEIKH WAMLILIA
Просмотров 21 тыс.2 месяца назад
SIMANZI MAZISHI YA SHEIKH ANUAR KHATWIB MASHEIKH WAMLILIA
WASIA MZITO WA MTUME KWA MUADHI, Ust Elias Almubajjal
Просмотров 1752 месяца назад
WASIA MZITO WA MTUME KWA MUADHI, Ust Elias Almubajjal
KWANINI MASHIA WANAMTUKUZA ZAIDI HUSSEIN KULIKO HATA ALLY ?
Просмотров 2002 месяца назад
KWANINI MASHIA WANAMTUKUZA ZAIDI HUSSEIN KULIKO HATA ALLY ?
KWANINI HUSSEIN BIN ALLY NA WAFUASI WALIKAA NA KIU SIKU YA ASHURAA?
Просмотров 1522 месяца назад
KWANINI HUSSEIN BIN ALLY NA WAFUASI WALIKAA NA KIU SIKU YA ASHURAA?
JE MASHIA NI WAISLAMU AU SI WAISLAMU?
Просмотров 3702 месяца назад
JE MASHIA NI WAISLAMU AU SI WAISLAMU?
TOFAUTI YA MASHIA NA AHLUSUNNA KUHUSU ASHURAA
Просмотров 5032 месяца назад
TOFAUTI YA MASHIA NA AHLUSUNNA KUHUSU ASHURAA
KILA MTU ATAVUNA ALICHO KIPANDA; Ust Abdulmutakabbir
Просмотров 1922 месяца назад
KILA MTU ATAVUNA ALICHO KIPANDA; Ust Abdulmutakabbir
NI SUNNA UKIYAFANYA MAMBO HAYA UWE NA UDHU : Ust Elias Almubajjal
Просмотров 842 месяца назад
NI SUNNA UKIYAFANYA MAMBO HAYA UWE NA UDHU : Ust Elias Almubajjal
AMANI YA FIKIRA NA ITIKADI KATIKA UISLAMU: Sheikh Abdallah Ndauga
Просмотров 1733 месяца назад
AMANI YA FIKIRA NA ITIKADI KATIKA UISLAMU: Sheikh Abdallah Ndauga
NINANI AHLU SUNNAT WALJAMAA ? Sheikh Ally Bahero
Просмотров 2853 месяца назад
NINANI AHLU SUNNAT WALJAMAA ? Sheikh Ally Bahero
Mashaallah 😂
MAA SHAA ALLAAH
Allah akuhifadh shkh na akupe ulinzi dunian na huko akher inshallah
Masha Allah
MASHA ALLAH TABARAKAALLAH ♥️♥️♥️♥️
Maashaallah Allah amhifadhi bint huyu na mabint ote wakiislaam
Mashaallah ❤❤❤
hii Sasa sio did za waislam Kwan sofa hiz no zakijahilia 2:54
Mimi jose kutoka uganda ndacha mngu amekupa uwezo mkubwa sana nafatilia sana mdahalo
Data zinalika sana
Data zangu zinapotea sana
Kumbe masalafi wapo sawa
Mashekh vijijini mmekusahau Daawa mnafanya mijini tu. Mfike vijijini pia
Mnifasiriye madjadida niwatu gani? Ni company, mnifasiriye na ma twarika niwatu gani
Mshaurini shk kishki skuhizi anapinda na kutoka katika sunnah amekuwa mtu wa kwenda na hawwa za watu, siasa zinekuwa nyingi kuliko sunnah na rafiki anao fanya nao makhurafi wale kina mazinge yeye baada ya kuwanasihi waache bidaah warudi katika sunnah ya mtume anawapenda watu walomzushia Allah na mtume inatakiwa awafikishie wacheni bidaah hawataki akae mbali nao watu wa bidaah ni wabaya sana katika dini ushabiki wangu kwa kishki asikurubiane katika daawa na khurafiij tumeumbwa kupendana kwaajili ya Allah na kuchukiana kwaajili ya Allah, asikurubiane na wazushi mpk warudi katika hakki
KIJANA TATIZO LAKO WEWE NI KICHWA MCHUNGA WAFWATA MANENO YA MASHEIKH ZAKO WENYE CUHUKI BINAFSI NA SHEIKH KISHKI. NINI MAANA YA KUPINDA? JEE UNA DALILI KWENYE QUR. AANI NA SUNNAH INAYOSEMA MSIKAE NA MTU FLANI NA KAENI NA MTU FLANI? JEE UNAJUAJE KAMA SHEIKH KISHKI HAMFIKISHII MAZINGE DAWAH NA NASAHA? KAZI YENU NI KUHUKUMU TU WATU. NA KUJIONA NYINYI NDIO MLIO NYOOKA NA WATU WOOTE WAMEPINDA. وجعلنا بعضكم لبغض فتنة اتصبرون؟؟؟
Watarudi kwa kushushiwa Malaika kutoka Mbinguni sio? Usikute hata ww ulikuw mtu wa Bidaa lkn watu wasunna walivyokaa nawewe ukawa mwanasunna lkn siku zote nyani haoni …le. Asilimia 99 ya watu wa sunna walikuw watu wa bidaa kiasi cha kutukana watu wa sunna lkn watu wa Sunna walikuwa nao mpk Allah akawapa Hidaya, sasa hii daawa uitakayo ni ya NABII gani?
Waongea na ata haujui maana ya sunnah....nenda kasome ndo uanze ukaongee ....eti wamwita shekh kishki sio msunnah....Shughulika na nafsi yako na Amali zako kaka Wachana na maulamaa ....hauwezi warekebisha na chochote
@@husseinfarouk1896 sunnah ya kuanza kufunga mwanzo na kufungua mwanzo ndo sunnah hyo tuuh wakijuwa ww mbona shubuha zake ni nyingi huuoni hilo, kuna kiindi daawa yake inachanganyika na mubtadi wazushi, sasa ndo misingi ya sunnah hiyo ww ndo unaonekana mgeni na sunnah hujui kitu laiti ungesoma vitabu vya ulamaa wqnazungumzaje kuhusu sunnah na kuhusu bidaah nadhani usingeongea haya. Misingi ya mtu wa sunnah ni kuto changa nyika katika daawa na ahlubidah kwa mujibu ya kauli na vitabu vya ulamaa pili ni kujitenga na bidaah na kukaa nazo mbalil.3 ni kukaa mbali na mzushi kushabiana na mzushi bila shaka na ww utatumbukia na kuiga ahlaki zake tabia zake manake Abdullahy bin masoud swahaba huyu walokuja watu wazushi kutaka mjadala nae akawqqmbia wambieni mimi nipo mbali na wao kwa ile hali ya uzushi wao,sasa dawa yako ikiwa inachanganya na talbis nyingi arafu unadai mtu unae fata sunnah leo upo na mazinge wafanya nae dawwa mara upo na othman malimu au dr sule sasa ww sunnah yako ipo wapi hapo?? Inamana unambanishia kwamba na yeye yupo katika hakki sasa na shekh kishki watu wake wakubwa makhurafi et unafanya dawa na mazinge arafu wadai mtu wa sunnah daawa ipi hiyo miharafa mingi shekh anayofanya mwanzo hapo alianza msimamo nzuri katika sunnah skuhizi ni mtu wa kwenda na hawwa za watu na ukiskiza fatuwa zake nyingi zina siasa ndani yake sasa ndugu najuwa unamapenz na mtu kushinda hakki vumilia ndo dini najuwa wampenda shekh ila uislamu kunasihana mtu anapo poromoka kiitikadi au kiimani lazima um nasihi tuvumiliane.
@@BuiKishkOnlineTv daawa ya ahlsunnah ulamaa wameiwekea misingi yake huwezi kunadi mtu wa sunnah, arafu unafanya daawa yako na ahlu bidaah, na misingi ya dawa hii toka wema waliotangulia ni kukaa mbali na watu wa bidah na kujitenga nao katika daawa na kuwa nae Karibu ni ile kumnasihi na kutahadharisha kwa ile bidah yake hataki kaa mbali nae sasa kama kina sufian thauri walikaaa mbali na wazushi na kuwatahadharsha na ndo ulamaa wa ahlsunnah wasemavyo katika vitabu vyao sasa kutangamana na bidah naww kaathiriwa na bidah zao, na anaekwenda na kutangamana nao watu wazushi na ww watakiwa utahadharishwe usipotahadharika ni wanakutia katika wao ndo misingi shekh wangu
taanga bado wajinga kwa mtu huyu
Mashaallah, namkubali sana sheikh kishki Allah akulinde na kila aina ya ubaya
وا نحواه
وانحواه
Duh mzee umekwama. Watu hawajui Dini yao.Uhakika haswa.N ndio mana hali zao ngumu za maisha
Ww, una matatzo ya akili ndugu, Kwa iyo hatuwezi kujishughulisha na mambo ya uchumi Hadi watu wafaham dini. Hatuwezi kuelekezana dini sambamba na kujishughulisha na mambo ya uchumi halali wa kiislam? Mbona ww unakua mjinga kias hiki? Hao masheikh wanaokudanganya eti waislam wanatakiwa kujishughulisha na elimu ya Sheria na tauhid peke yke ni wanafiki sana maana wao wanamiliki mataasisi ya kujaza matumbo yao....alafu wanawashambulia masheikh wenzao. Acha umwehu na ujinga
Jibu kwanza iyo katiba ni ya kasim Mafuta au kasema uongo sheikh barahiyan?😂😂
@@HemedSerious Katiba ya nin sasa. sisi na katiba wapi na Wapi.?? Kam kuhusu Taasisi hili ni agizo la Serikali la sivyo Unafungiwa Hupasw kujishughulisha Na Dini usiposajili Taasisi yako. Na ndio mana mwanzo Abul fadhwil alipinga jambo la Taasis kwa mujib wa Dini lakin taratbu za Nchi hakuzijua la sivyo unafungiwa kituo chako. Kwa hyo ikabid iandaliwe taasisi ya Uongo kwa ajili ya kutii Weny mamlaka tu basi.Lakin Sio Malengo ya Masalaf na wala hatuish kweny Mifumo ya kitaasisi yaani Uvyama Na uhizbiyyah.
Mashaallah sheikh kishki anapendwa hadi na watoto
Maa Shaa Allaah
Maashaallah inapendeza kuishi Kwa kupendana kwaajir ya allah
mashekh wenye tamaa kama hawa wanavuma kisha kimya yupo wap othman malim yani kama vile amekufa
❤Allah Allah Allah and prophet Mohammed saw saw saw saw is masseger of Allah love Mohammed Rasullulahi saw saw god biggest in world in sha allah (*******)🤲🤲🤲⁉️✌🅰️❤☝️
Majadiida wakiona hivyo ndo huanza husda na chuki zao.
Takbiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiir
Allahumma Amiin
Allah atuzdishie subra hasa cc vijana dah shida sana ani
Kweli tanga bado majahili 😅
Kuwa mchamungu utapendwa
leta toba ww acha kujitukuza unajitukuza ww nani ni mtume au malaika
@@khamisswalehe kuwasifu watu wa tanga kwa ujajlhili ndo kujitukuza ?
@@zuheorsalim7759 unajitukuza alaf humuogp Allah unaropoka tu kwann Allah asitupe vita tukanza kuwauwa nyie wanafiki
mi ntamAn sana kitali kije ili tuanze na wanafiki
Masha Allah, Allah Akbar!!!!
Hii ndio shida ya majadida
Basi hapo kasimu mafuta na majadida wenzie pongwe wanaumia kumchukia kishki na kumsema vibaya kwote watu wanampenda 😂😂😂 huwezi jinsi mnavyomchukia Allah ndo anazidisha mapenz kwa watu allahu Akbar allahu akbar
Unaumia wewe na ushabik wako na uhizibiya dawa salafia inachanja mbuga
@@abuuamri nyi khawariji mlokosa kuuwa tuh Ila vingine mwaendana navyo unadhani Allah atatukuhumu kwavile mmetuita mahizby Allah atatuhukumu kutomfata mtume na swahaba hatotuhukumu kwanini hamkuwafata majadida wa pongwe
Shida yako wew hujuw makhawarij itikad zao eehh ujadida nao maanaake nn ???wafuasi was barhyn nmnatabu !!!hata usemeje ss twaendelea kufuata Quran na Sunnah kwa ufahamu wa wema walio pita na ndio manhaj salafi
Allah akujali kuifuata hi manhaji
@@abuuamri ww mpumbavu man hajji hiyo kitabu na sunnah kitambo shekh zetu wanalingania barabara hiyo pengine ww ulikuwa jisufi la kucheza maulid watu wanalingania hiyo daawa kuna kipya gani anacholingania ww ambacho mashekh wetu hawalinganii acha ujinga na kukaridishwa upuuzi
mashaAllah Allah azidi kumpa ufahamu wa dini na ampe mwisho mwema sheikh kishki Allahumma amiyn
pongwe wakiona hivi wanaumia sana
Kama waislamu wote tungependana kama hvi tungefanikiwa sana
Hatuwezi kuwa wamoja mpaka tushikamane na manhajj salafi kisawa sawa
@abbaspaziaog2188 manhaj salafi au qur.aani na sunnah? Hujui hata unacho imbishwa
Maashallah maashallah maashallah Tabaaraka Rahman 😊
Allahu akbar
Mche allah nani kasema sheikh hana kituo cha kulea yatima usiongee mambo isiyo na ushahidi nayo yaani jitahid uwe na tabia za kiume kwani kuongea mambo yasio na mashiko ni tabia za uke
Muna mahoma nyny mukiona jambo amufanyi nyny munaliaranisha kesho mukilita munaliaralisha sijui mkoje majadida
Inalillah hakika sisi niwenye kurejea kwake allaah ampe hifadhi inshallah
Allah Akbar😢 yaan Sheikh anazunpumzia mada ambayo ni subra na akamtolea mwanamke aliyeumwa enz hzo na hapo hapo Allah amemleta mwanamke anaomba asaidiwe...na anavoongea ni dhahir nayeye ana mitihan (Allah amupe subra) na mashaaAllah Sheikh hajamfukuza kamsaidia na mtihan ukatokea hajaridhka sheik kamuengeza ....nmejifnza pakubwa Allahumma Baarik 🤲 Sheikh
Allah atujalie mwisho mwema
Subhnallah
Assalamu alykum warahmatullah wabarakatuh shekh wang hapo ulijitoa au ulitolewa.maneno yako yanaonekana ni yenye kujigonga gonga saana kwann msom!!!!!!!
Halingani hata sent nababa yake baba yke alikuwa aalim na alifundisha Elimu kwa maslahi ya akhera huyu anatafuta umaarufu
We ni hizbi usiejielewa unajipendekeza kwa kina barahiyani na Dr Islam unatafuta umaarufu
alokutoa tongo alokuzidisha ujinga
Allah akupe afya njema maalimu wetu
Siokila kulli nikullia mzee jina elimu Sheria inasemje mwezi unatangazwa nanani
Mashaallah