Mashallah 💕 nakupenda kwa ajili ya Allah.mumgu akupe umri uzidi kutuelimisha nasi inshaallah tufuate muongozo wa dini kupitia maneno yako yaliotokwa kwa Allah.
Maashaaallah allah darsa zur san allah azid kukuhifadh na kila shar na kila wenye shar akuwek mbal na mahaasid akujaalie uwe miongon mwa weny kuingia jannah bila hesaab amiin yaa rabby
Nikushukuru vipi Sheikh Mohammed kusema naendelea kujifunza mengi Na mafundisho yako Wacha Mola azidi kukutia nguvu Na akupe siha njema iliukaweze kuzidi kutuelimisha, shukran za dhati sana Na Mola akubari
Shukran sheikh wetu Allah akupe maish marefu nimefiwa na mzazi wng mama yng wiki iliyopit lkn baada ya kuckia haya mawaidha yko nimezid kuw na imani na kushkr alhmdulillah Allah azidi kutupa subra 🙏🙏🙏
Alhamndulillah wasalatu wassalamu ghalaa sayyidinaa Muhammad walaa alihi wasahbihii al iqram........Yaa Rabbi mwenyeezi Mungu mtukufu nakuomba uniongoze na umisamehe madhambi yangu, msamehe sheikh huyu Makosa yake aliyoyafanya kwa siri na dhahiri yaa Rabbi, Umjaalie afya njema yeye na familia yake yote kuanzia Mama yake mpk kizazi chote, mpe wepesi katik rizki zake asipate ila cha Halali, mfanyie wepesi yote yaliyo mazito kwako yaa Arrahmani rahimiin, wajaalie watoto wake ufahamu chuoni na skuli, Umrehemu Marehemu Baba yake na umtanulie kabri lake yaa Latwifu, umuweke Baba yake pmj na kipenzi chetu Muhammad (s.a.w) pmj na watu wema.....cku ya kiyama umpe kitabu chake kwa mkono wa kulia na mwisho uwajaalie familia yake kauli ya mwisho iwe Laailahailallah Muhammadarrasulu Allah makazi yetu yakawe peponi .....utuongoze tupate kuwaidhika kiukweli kila ninaposikiliza mawaidha au visa vyako Allah hunijaalia kufahamu na kuyafanyia kazi kwa kiasi kikubwa na moyo wangu hupata utulivu na huruma kwa wengne Alhamndulillah وجزك الله خير ي اخي محمد
Asalaam alleykum warahmatulah wabarakaatuh maasha ALLAH tabaraka ALLAH sheikh wetu #mohammedbahero MWENYEZI MUNGU akulinde na kila fitna azidi kukupa nguvu,ujasiri akupe umri na akujaalie Jannatul Firdaus wewe na Umma mzima
Mashallah 💕 nakupenda kwa ajili ya Allah.mumgu akupe umri uzidi kutuelimisha nasi inshaallah tufuate muongozo wa dini kupitia maneno yako yaliotokwa kwa Allah.
Maashaaallah allah darsa zur san allah azid kukuhifadh na kila shar na kila wenye shar akuwek mbal na mahaasid akujaalie uwe miongon mwa weny kuingia jannah bila hesaab amiin yaa rabby
Nikushukuru vipi Sheikh Mohammed kusema naendelea kujifunza mengi Na mafundisho yako Wacha Mola azidi kukutia nguvu Na akupe siha njema iliukaweze kuzidi kutuelimisha, shukran za dhati sana Na Mola akubari
Allah akuzidishie kheri na atupe mwisho mwema
Shukran sheikh wetu Allah akupe maish marefu nimefiwa na mzazi wng mama yng wiki iliyopit lkn baada ya kuckia haya mawaidha yko nimezid kuw na imani na kushkr alhmdulillah Allah azidi kutupa subra 🙏🙏🙏
Alhamndulillah wasalatu wassalamu ghalaa sayyidinaa Muhammad walaa alihi wasahbihii al iqram........Yaa Rabbi mwenyeezi Mungu mtukufu nakuomba uniongoze na umisamehe madhambi yangu, msamehe sheikh huyu Makosa yake aliyoyafanya kwa siri na dhahiri yaa Rabbi, Umjaalie afya njema yeye na familia yake yote kuanzia Mama yake mpk kizazi chote, mpe wepesi katik rizki zake asipate ila cha Halali, mfanyie wepesi yote yaliyo mazito kwako yaa Arrahmani rahimiin, wajaalie watoto wake ufahamu chuoni na skuli, Umrehemu Marehemu Baba yake na umtanulie kabri lake yaa Latwifu, umuweke Baba yake pmj na kipenzi chetu Muhammad (s.a.w) pmj na watu wema.....cku ya kiyama umpe kitabu chake kwa mkono wa kulia na mwisho uwajaalie familia yake kauli ya mwisho iwe Laailahailallah Muhammadarrasulu Allah makazi yetu yakawe peponi .....utuongoze tupate kuwaidhika kiukweli kila ninaposikiliza mawaidha au visa vyako Allah hunijaalia kufahamu na kuyafanyia kazi kwa kiasi kikubwa na moyo wangu hupata utulivu na huruma kwa wengne Alhamndulillah وجزك الله خير ي اخي محمد
JazzakaAllahu khayra sheikh ALLAH Akuzindishie Elimu #mohammadbahero
Asalaam alleykum warahmatulah wabarakaatuh maasha ALLAH tabaraka ALLAH sheikh wetu #mohammedbahero MWENYEZI MUNGU akulinde na kila fitna azidi kukupa nguvu,ujasiri akupe umri na akujaalie Jannatul Firdaus wewe na Umma mzima
Amiiin ya rabbi
Nawe pia Allah akupe ulicho niombea
@@MBtvKenya Allahummah Amiin ya Rabbil Allamin
Jazzaka Allahu kheir.
Ma sha Allah
Baraka llahu feek ❤❤
Mashallah
Mashaallah shukran
جزاك اللهُ
Shukraan na sifa zote zimuendee Muumba mbingu,ardhi na vote vilivomo ndani yake ALLAH SUBHANA WA TA'ALA
Mashaallah
Alhamdulillah ala kuli khal
Jazakaallahu kher sheikh wetu may almighty God bless you ❤️❤️👌👌
خزك الله خير
Inshallah
Rehma na Amani za MWENYEZI MUNGU zimshukie Mtume wetu kipenzi Mohammad Swalallahu Alleyhi Wasallam
Shukran
Ila sheik tunauombo ule mhadhara ulioufanya Zanzibar masjid swahaba
Da nataman ncomment