Mkaid hafaidi mpaka tamkute iran ilipiga Makelele yaliyo ongozana kusema Islaël ikijibu itajibiwa haraka Kiko wapi kombola tu zinatua katikati ya nchi yangekuwa mia
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 amesanda...hata ungekuwa wewe huwezi kuendelea kupigana na mtu ambaye umemrushia mabomu mengi na hayajampata alafu yeye kapiga hayazidi ma5 yamekupata
Sio Moja ni 3.. Sasa hujiulizi unaweza ukabeba mashudu au makapi kwenye gunia limejaa na hayo mashudu ukauza elfu 10 gunia, na huyo aliehufadhi dhahabu kwenye kiboksi hio dhahabu ikauzwa mabilion😅😅.. mfano huu ni kwamba unaweza ukatuma mabomu mia 3 ambayo hayana lolote yakadunguliwa na yeye alituma Matatu yaliharibu na yaliiingia kwa kuzima setlite zote 😅 bila wao kujua.. Israel hainaga mbwembwe kama Waarabu bwakifanya shughuli Yao Huwa ni kimyakimya kisha hawaongei ni vitendo tu.. wew niambie lini muisrael alishafanya kitu kwa kufanya maandamano au kutangaza.. kingine walipopiga ubalozi wa Iran pale Syria hawakusema lolote, walipoulizwa hawakujibu ndio Wala hapa😅 lakini upande wa pili mwarabu akifanyaga kitu mmh hizo mbwembwe Sasa mara mavuvuzela , mara maandamano, alafu kivitenda maskini hawana lolote daaaah hii ni huzuni upande mwingine
Sio Moja ni 3.. Sasa hujiulizi unaweza ukabeba mashudu au makapi kwenye gunia limejaa na hayo mashudu ukauza elfu 10 gunia, na huyo aliehufadhi dhahabu kwenye kiboksi hio dhahabu ikauzwa mabilion😅😅.. mfano huu ni kwamba unaweza ukatuma mabomu mia 3 ambayo hayana lolote yakadunguliwa na yeye alituma Matatu yaliharibu na yaliiingia kwa kuzima setlite zote 😅 bila wao kujua.. Israel hainaga mbwembwe kama Waarabu bwakifanya shughuli Yao Huwa ni kimyakimya kisha hawaongei ni vitendo tu.. wew niambie lini muisrael alishafanya kitu kwa kufanya maandamano au kutangaza.. kingine walipopiga ubalozi wa Iran pale Syria hawakusema lolote, walipoulizwa hawakujibu ndio Wala hapa😅 lakini upande wa pili mwarabu akifanyaga kitu mmh hizo mbwembwe Sasa mara mavuvuzela , mara maandamano, alafu kivitenda maskini hawana lolote daaaah hii ni huzuni upande mwingine
Hili la kujiuzulu kiongozi huyo mbali na kusema ni uzembe uliotokana na kushindwa kufahamu uvamizi wa hamasi lkn pia nadhani linatokana na shambulizi la Irani
Mm naona wachambuzi wetu pia hawana uakika wachokisema sababu wengi wanasubiri habari kutoka magharibi wakiongopa wao wanfuata ivyo ivyo wakisifia wao wapo ivyo kwaiyo tuwe na wachambuzi wenye mpango wa kuwa vyombo ambavyo aiegemei magharibi Wala masharik
@@africanQueeny-u7o ndugu hizo ni propaganda za magaribi baada ya Irani kusema wamedunguwa ndege zilizokuwa zinaelekea kushambulia kwa iyo is rail wameona aibu kuzuiliwa shambulio lao
@@MrTop-wj7noCNN usibishane nayo ni chombo kikubwa na kinaona Hadi sisimizi , we mchimba chumvi umekazania et uwongo, Israel hairudigi nyuma Wala ikisema inalipa Huwa ni vitendo , halafu kumbuka nchi zingine Huwa zikifanya jambo mbwembwe nyingi mara maandamano , mara kelele kibao 😅😅 mara mabomu mia 3 😅😅 lakini yeye anakutumia hata 3_4 tu lakini madhara yake 😅 umeona Waarabu walivotulia ! Mbomu enyewe unaambiwa yaliingia na kuzima setlite zote walizotegesha 😅😅 .. wao walifikir watapewa taarifa kupitia setelite matokea yake sio.. hawanaga mbwembwe ni vitenda Tena vyenye adabu 😅
Japo tutambue kuwa hii vita ili pangwa na kila siku wanakufwa wayu huko gaza mara watu sitini mara30 kilasiku hadi sasa ni watu wengibwame kufa na bado watakufwa zaidi ukitizama pia lebanoni hadi sasa wana karibia watu elfu4 na vita ndiyo mbichi kabisaaaa mtoa roho🇮🇱 ana Fanya kaxi yake vizuri
Huwa tunapenda channel yenu kwa sbb ya habari zenu za kweli, hii taarifa ni wongo haina ukweli wowote, tuna watu mpaka Isfahan hakuna shambulio lolote limefanyika
Iran ni taifa lenye nguvu kati ya mataifa ya kiarabu yanayoizunguka izunguka Israel. Na ndiyo inafadhiri vikundi vya wanamgambo kwenye nchi nyingine za kiarabu. Ina uwezo mzuri wa kiuchumi unaotokana na visima vya mafuta. Israel ikitaka kufanikiwa, ipige visima vyote vya mafuta, Iran itanyonsha mikono na vikundi inavyovifadhiri vitakosa nguvu kwasababu Iran itashindwa kuvilipa mishahara.
Hakuna taifa la kuipiga Israel kwasababu ni taifa teule la Mungu na neno la Mungu linasema Israel wataokoka tena na watamjua masihi wao waliyemkataa, sasa neno la Mungu halishindwi, na kwenye kitabu cha ufunuo pia yohana aliona manabii wawili katika Israel ilikuwa ni baada ya kipindi cha mataifa kuisha, na kama kawaida injili itarudi kwa wayahudi tena, pia hakuna vita kubwa mpaka Mungu atakapoondoa wateule wake, baada ya hapo ndio kutakuwa na dhiki kuu , rudini kwenye Neno la Mungu tupo mwisho wa mambo yote ndio huu.
Ndugu yangu pole kasome vizuri kitabu, hili taifa kweli liliteulwa, baada ya kujikita kwenye madhambi likalaaniwa baada ya kufika Canani, liliangamia kabisa, na wala hili taifa la leo halitokani na yakobo, hawa wamejawa na watu wenye tabia ziliangamiza Sodom, walitengezewa makao mwaka wa 1948 na walanisi wenzao, wanatenda dhambi nyingi tena sio wakiristo na wanamtukana yesu wakati ulimwengu wote unamtambua, wamebomoa makanisa na kuwauwa wakiristo huko gaza na wanawatemea mate huko Jerusalem, acha kucheza na Jina la mungu.
Tena ukumbuke ni marekani wanapigana na kuwatengezea silaha kama huna habari jua leo kwamba 1948 marekani na mataifa ya magharibi, walitengeneza hili taifa ili waweze kudhibiti mataifa ya kiarabu kwa urahisi baada ya kugundua nguvu zao za mafuta, sasa kwa nini mungu awaache wateswe ulaya karne zote mpaka wazungu wawatumie kudhibiti waarabu.
Hawa wamagharibi tunawajua sana wao wanataka kutupangia sisi nin tusikie watawadanganya hao wasio jitambua lakin sie tuanojitambua hatuwez kuviamini vyombo vya habar vya magharibi maana ni waongo wakubwa sana
Mashoga wenyewe ni waongo sana ,kuna kipindi walituambia wameokoa mateka wote kumbe la. Sasa mpk leo km ni wajanja walishindwaje kuwaokoa mashoga wenzao? Mateka hao wa mashoga watauwawa tu
Uyu mchanbuzi ajaegemea sehemu yeyote. Tofauti na Dj sma uwa anaegemea upande wa warabu. Pia lazima mtambue kuwa Israel na mashia wa Irani ni ndugu wote Makafiri wanatishiana lakini hawatopigana
Shida humu.Wengi ni mashabiki na shabiki kazi yake nikukataa ukweli.Sasa wewe unategemea upewe habari harafu unawasema wanaokupa habari kuwa ni waongo.Ebu tuambie wewe uliyekuwepo kwenye eneo la tukio tueleze nini kilitokea na kombora gani Israeli alilitumia.
Sisi tunaangalia majina tu ya wali wanaokanusha hizi taarifa, utakuta anaitwa Mohamed, salimu, Alli.. so ukiona hivo utakuwa umekata jibu kamili😅😅😅 .. kichapo Irani kimetembea lakini kuitetea kwa kuwa.....😅
@@MsAggie5 wewe ni mshamba tu huna ujuawalo...washirika wa wa iran ni Russia,china na north korea, pili iran sio waarabu ni persians lugha yao ni Farsi kwa hio ww hujui chochote kinacho endelea duniani baki na bongo yako huko
UKIHITAJI KUPIGANA NA TAIFA LA MUNGU ISRAEL🇮🇱 UJUWE UNAPIGANA NA MUNGU PEKEYAKE! IRAN UTASHINDWA TU UTAKE WALA USITAKE! KIVIPI UNAJIITA UNAULINZI WAHATARI NA BOMB ZINAKUFIKIA🤣 IKIWA UNANGUVU WE IRAN UNGESHIMAMISHA HIZO BOMB ZISIFIKE ENEO LAKO😂
Mbona hizo video hazionyeshi sky hebu post hizo video za mashambulizi ya Israel kwa iran.Iran walipost makombora yao yakienda israel.mbona Israel hawaonyeshi
Droin tatu kwa droin Mia tatu na, aisee hii ni janja ya nyetanyau ili kurefusha sana migogoro ili asubirie uchaguzi wa marekani, poneo la nyetanyau ni uchaguzi wa marekani pindi trumple akipata urais nyetanyau anaweza kusalimika
Nyetenyahu ni kama hitler wKati ule aliwatuma jeshi lake kwenda huko chezvirovakia baada yule pandikizi wake leinhard hydrich aliuwawa. Kisasi kwa kila kila mtu mdogo kwa mkubwa ,mama watoto ,majeno zote walke tekezwa na hitler.huko lidice town
Kitu cha kujiuliza " Kwanini siku zote taarifa ambazo ni NEGATIVE huwa zinatoka kwenye vyombo vya habari vya magharibi? Pia kwanini taifa lolote ambalo linafungamana na magharibi hata lishambuliwe vipi vyombo vya habari vya magharibi hutangaza hakuna madhara? Hapa pia kuna changamoto ya vyombo kama hivi ambavyo tunavisikiliza ambavyo pia kazi yake ni kunukuu tu kutoka kwa vyombo vyengine bila ya kuwa na vyanzo vyao kutoka sehemu husika maana kama magharibi inatoa propaganda na wanaonukuu watatoa propaganda pia. Nahisi ingependeza zaidi kama na vyombo vyetu hivi vingalikuwa na wawakilishi baadhi ya sehemu za matukio ili kutuarifu vitu ambavyo vina uhakika.
Kilichopo hapo ni ushwawishi wa magaribi ili Irani akasirike amshambulie kwa sababu ijulikane Irani anaogopa. Hii ni Taarifa za uongo kwa nin pale alipopiga siku ile ile hakutoa taarifa akanyamaza kimya? Sio kweli taarifa hiyo
sasa kama ndege iliyo beba bomu inakadiriwa kuwa umbali wa 200km na iran wanatumia bavar 373 yenye uwezo wa kudetect flying oject umbali wa 400km imekuaje hiyo ndege haijawa detected? ni S300 bado range ya bomu kurushwa ingekua detected vizuri sasa inaonekana kuna mmoja anaficha ukweli yawezekana israel alishambulia akadunguliwa au hakushambulia kaspread propaganda au iran kashambuliwa anaficha madhara ila kwa kauchunguzi kadogo naona israel kuna ukweli anauficha nasio kawaida yake
Bwana ally mchambuzi mwenye elimu ya juu sana, Hongera sana mr ally.
Good job from 🇧🇮💐 tunawapenda san
Mpumbavu unafurahia watu waifa nchi yenyewe ni mashoga tu
Mpo vizuri sns
TUOMBEE DUNIA AMANI 🙏🏿🙏🏿🤲🏿🤲🏿🤲🏿
Taarifa makini big up sanaaaa
Shukran kwa habari daily zadunia sir Sky
Wew uongoo hao waisraeli waongo sanaa
Kweliiiiiiiiiiiiiiii vle
Hujielewi
Unawajua Israel wewe
Vichwaa maji na mashoga wenzako
@@CharlesNhundu-uz4ksww ni shoga tatizo chuki imekujaa
Taifa teule...🚀
Wewe shogatu wazazi wamepata asala Mtoto sio liziki
Umejibu vizur sana pasipo kuegemea upande wowote big up braza
Sio braza, ni bradha ( brother )
Bundara sky uu mchambuzi mzuri zaid ya wengne maana taarifa zako ni sahihi ndio sababu naipenda Channel yako aina uongo
Lakin taarifa hii niya uongo
@@Mumewanguwe unbishana adi picha za satellite duuuh
@@Mumewangu kwa hio hii ya kichapo Cha Iran peke yake ni ya uwongo 🤣🤣hizo zingine ni za Kweli 😅😅😅 haki yaMungu mnakazi kwelikweli
@@Mumewangu😂😂😂😂😂 leta huo ukweli na ulete na picha zako za satelite
Ongera kijana kwakaziyako umejitaidi mungu akufunguliye riskizako
Propaganda za magharibi tunazijuwa Iran iko salama kabisa 👊💪
Kweliiiiiiiiiiiiiiii
We uko iran
@@peterjr8073KWANI WEWE UPO ISRAEL???
Mnakalia udin TU ss hapo magharibi inahusikaje
Mkaid hafaidi mpaka tamkute iran ilipiga Makelele yaliyo ongozana kusema Islaël ikijibu itajibiwa haraka Kiko wapi kombola tu zinatua katikati ya nchi yangekuwa mia
Mungu amua vita hii
Uyu Ali masubi ni mtu na nusu nakwambia Wana sns 🎉🎉🎉🎉🎉
Ni uwongo wa Israel wameshindwa Vita
Leta ukweli sasa kama watu Habari ndio kazi yao wewe mchimba chumvi unasema uongo
Waongo wakubwa Hawa mayahudi @@modekaijames
Endeleeni kusema uongo ngoja yatokee yale ya Iraq ya Sadam Hussen
Iran can't defeat Israel period American wenyewe wanajua nguvu za israel
😅😅😅😅😅😅😅😅@@modekaijames
Be blessed Israel
Usiamini jambo hata moja kutoka CNN, MSNBC, NBC, BBC, NYT, ....etc. Hawo wote Niwaongo.
Mimi hizo Redio siku hizi sizisikulizi ni propaganda
BBC na dochi very ni zawongo
Na aljazera zote za uongo
@@emmanuelmlowe-ew7gx mmmh tena!
Napenda sn story zako
Iran Si alisema akishambuliwa ataanzisha vita vip tena
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 amesanda...hata ungekuwa wewe huwezi kuendelea kupigana na mtu ambaye umemrushia mabomu mengi na hayajampata alafu yeye kapiga hayazidi ma5 yamekupata
Wa kwanza Leo likes zabgu
Israel hatoboi kamanda wa unasusi kajiuzulu karr hivhvo Israel hatoboi aliseme wiki saa hi miezi 7 hatoboi
Haoo ni mashoga tuu mwenyezi mungu azidi kuwalani hao makafili
Hawa jamaa wanapenda taarifa za uongo
Walitumiwa silaha zaidi ya 300,unajibu na kombora moja😂😂😂😂. Israel wanaogopa Iran.🇮🇷
Sio Moja ni 3.. Sasa hujiulizi unaweza ukabeba mashudu au makapi kwenye gunia limejaa na hayo mashudu ukauza elfu 10 gunia, na huyo aliehufadhi dhahabu kwenye kiboksi hio dhahabu ikauzwa mabilion😅😅.. mfano huu ni kwamba unaweza ukatuma mabomu mia 3 ambayo hayana lolote yakadunguliwa na yeye alituma Matatu yaliharibu na yaliiingia kwa kuzima setlite zote 😅 bila wao kujua.. Israel hainaga mbwembwe kama Waarabu bwakifanya shughuli Yao Huwa ni kimyakimya kisha hawaongei ni vitendo tu.. wew niambie lini muisrael alishafanya kitu kwa kufanya maandamano au kutangaza.. kingine walipopiga ubalozi wa Iran pale Syria hawakusema lolote, walipoulizwa hawakujibu ndio Wala hapa😅 lakini upande wa pili mwarabu akifanyaga kitu mmh hizo mbwembwe Sasa mara mavuvuzela , mara maandamano, alafu kivitenda maskini hawana lolote daaaah hii ni huzuni upande mwingine
Sio Moja ni 3.. Sasa hujiulizi unaweza ukabeba mashudu au makapi kwenye gunia limejaa na hayo mashudu ukauza elfu 10 gunia, na huyo aliehufadhi dhahabu kwenye kiboksi hio dhahabu ikauzwa mabilion😅😅.. mfano huu ni kwamba unaweza ukatuma mabomu mia 3 ambayo hayana lolote yakadunguliwa na yeye alituma Matatu yaliharibu na yaliiingia kwa kuzima setlite zote 😅 bila wao kujua.. Israel hainaga mbwembwe kama Waarabu bwakifanya shughuli Yao Huwa ni kimyakimya kisha hawaongei ni vitendo tu.. wew niambie lini muisrael alishafanya kitu kwa kufanya maandamano au kutangaza.. kingine walipopiga ubalozi wa Iran pale Syria hawakusema lolote, walipoulizwa hawakujibu ndio Wala hapa😅 lakini upande wa pili mwarabu akifanyaga kitu mmh hizo mbwembwe Sasa mara mavuvuzela , mara maandamano, alafu kivitenda maskini hawana lolote daaaah hii ni huzuni upande mwingine
Hili la kujiuzulu kiongozi huyo mbali na kusema ni uzembe uliotokana na kushindwa kufahamu uvamizi wa hamasi lkn pia nadhani linatokana na shambulizi la Irani
Mwandishi uko vizuri maana unaongea ukweli
Hawamuwezi irani mbwaa haw
Mbona umekasirika kaka
Mbona panic na bado 😅😅😅
Kwan palestina ilikuwa ndog
Mpeni maneno yake huyo aelewe israel ni nani hapa duniani
Israel million 7.....Iran million 88.....Israel small but mighty....
Mm naona wachambuzi wetu pia hawana uakika wachokisema sababu wengi wanasubiri habari kutoka magharibi wakiongopa wao wanfuata ivyo ivyo wakisifia wao wapo ivyo kwaiyo tuwe na wachambuzi wenye mpango wa kuwa vyombo ambavyo aiegemei magharibi Wala masharik
Mungu wangu
Hakuna lolote lililotokea IRAN iko salama kabisaaa Magharibi si tunawajua?😂😂😂
Ww una ushaudi gan akuna madhala yoyot???😅😅😅
@@africanQueeny-u7o wew una ushahidi gani kwamba kuna madhala yoyote Iran?😂😂😂
@@africanQueeny-u7o ndugu hizo ni propaganda za magaribi baada ya Irani kusema wamedunguwa ndege zilizokuwa zinaelekea kushambulia kwa iyo is rail wameona aibu kuzuiliwa shambulio lao
@@MrTop-wj7noCNN usibishane nayo ni chombo kikubwa na kinaona Hadi sisimizi , we mchimba chumvi umekazania et uwongo, Israel hairudigi nyuma Wala ikisema inalipa Huwa ni vitendo , halafu kumbuka nchi zingine Huwa zikifanya jambo mbwembwe nyingi mara maandamano , mara kelele kibao 😅😅 mara mabomu mia 3 😅😅 lakini yeye anakutumia hata 3_4 tu lakini madhara yake 😅 umeona Waarabu walivotulia ! Mbomu enyewe unaambiwa yaliingia na kuzima setlite zote walizotegesha 😅😅 .. wao walifikir watapewa taarifa kupitia setelite matokea yake sio.. hawanaga mbwembwe ni vitenda Tena vyenye adabu 😅
@@africanQueeny-u7okwani hao Wana ushahid Gani
Iran ilipigua vizuri dana na iliumia sana
Sana😅😅
Japo tutambue kuwa hii vita ili pangwa na kila siku wanakufwa wayu huko gaza mara watu sitini mara30 kilasiku hadi sasa ni watu wengibwame kufa na bado watakufwa zaidi ukitizama pia lebanoni hadi sasa wana karibia watu elfu4 na vita ndiyo mbichi kabisaaaa mtoa roho🇮🇱 ana Fanya kaxi yake vizuri
hivi kwann rais wa israel haonekan sana
Israel hainaga Rais ina waziri mkuu tu Netanyahu
@@sama-_8368 yupo anaitwa isaac herzog nadhan atakua ni ceremonial leader tu kama mfalme pale uingereza
Apo saw
Huwa tunapenda channel yenu kwa sbb ya habari zenu za kweli, hii taarifa ni wongo haina ukweli wowote, tuna watu mpaka Isfahan hakuna shambulio lolote limefanyika
🇮🇱 Israel wako vizuli sana na inavo one kana Iran wana ogopa mbona wanaficha mazara ya kipigo
Saaaana tu Tena Israel Haina hata mbwembwe za maandamano kama wao na hawakutuma mabomu mia 3 kidogo tu muharo 😅😅😅 na wamenyamaza 😅😅😅
Hatare
La marekani israel hana uwezo ashalegezwa kwa ushoga
Mashoga watapigwa mpk waishe😂
Naona waunga ushoga wanaomba Mungu abariki taifa la mashoga.....hapo hawatatulia mpk waachie ardhi ya wapalestina
mualike @suleiman chanzi broo
hutojuta uchambuzi wake
Iran ni taifa lenye nguvu kati ya mataifa ya kiarabu yanayoizunguka izunguka Israel. Na ndiyo inafadhiri vikundi vya wanamgambo kwenye nchi nyingine za kiarabu. Ina uwezo mzuri wa kiuchumi unaotokana na visima vya mafuta. Israel ikitaka kufanikiwa, ipige visima vyote vya mafuta, Iran itanyonsha mikono na vikundi inavyovifadhiri vitakosa nguvu kwasababu Iran itashindwa kuvilipa mishahara.
Unamjua muajeni au unafurahisha genge
Yes chapa hao kabisa
Yaan wanatengeza mavitu mahali pa kutumia hkn ndo shida inaanzia apo😢😢
UONGO HUO IZRAEL KAPIGWA. USIDANGA NYIKE NA WATU WA MAGHARIBI.
Icho kinyimbo cha sns ni kikali sana napenda kujua ni nan alikiimba
Hakuna taifa la kuipiga Israel kwasababu ni taifa teule la Mungu na neno la Mungu linasema Israel wataokoka tena na watamjua masihi wao waliyemkataa, sasa neno la Mungu halishindwi, na kwenye kitabu cha ufunuo pia yohana aliona manabii wawili katika Israel ilikuwa ni baada ya kipindi cha mataifa kuisha, na kama kawaida injili itarudi kwa wayahudi tena, pia hakuna vita kubwa mpaka Mungu atakapoondoa wateule wake, baada ya hapo ndio kutakuwa na dhiki kuu , rudini kwenye Neno la Mungu tupo mwisho wa mambo yote ndio huu.
Ndugu yangu pole kasome vizuri kitabu, hili taifa kweli liliteulwa, baada ya kujikita kwenye madhambi likalaaniwa baada ya kufika Canani, liliangamia kabisa, na wala hili taifa la leo halitokani na yakobo, hawa wamejawa na watu wenye tabia ziliangamiza Sodom, walitengezewa makao mwaka wa 1948 na walanisi wenzao, wanatenda dhambi nyingi tena sio wakiristo na wanamtukana yesu wakati ulimwengu wote unamtambua, wamebomoa makanisa na kuwauwa wakiristo huko gaza na wanawatemea mate huko Jerusalem, acha kucheza na Jina la mungu.
Tena ukumbuke ni marekani wanapigana na kuwatengezea silaha kama huna habari jua leo kwamba 1948 marekani na mataifa ya magharibi, walitengeneza hili taifa ili waweze kudhibiti mataifa ya kiarabu kwa urahisi baada ya kugundua nguvu zao za mafuta, sasa kwa nini mungu awaache wateswe ulaya karne zote mpaka wazungu wawatumie kudhibiti waarabu.
Kama kawaida yao hao nyoka wa kimagharibi waongo wakubwa hao Wazayuni
Kama wao ni nyoka na ww utakua ni 👹👈🏽🤣 na kama wao ni wazayuni ww utakua kafiri🤣🤣👉🏽🐸🐸
Wewe unajua Iran iliumia kupigua na israeli
Ibrahim Rahisi alifariki kwa ajali ya ndege?
ACHENI PROPAGANDA HIZO. ISRAELI HAKUMPIGA IRAN NA KAMA ATAPIGA ATAJUTA....
HIZO TAARIFA NI PROPAGANDA ZA ISRAELI.
Israel inataka kusema waongo, marekani na uingereza je
Vita HAITAISHA HIYO MPAKA MUNGU MWEYEWE NDO ATAISIMAMISHA
Kwanini Iran analeta utani na maisha ya watu yy mda huu anasapot Hamas ambayo ni waarifu
Hawa wamagharibi tunawajua sana wao wanataka kutupangia sisi nin tusikie watawadanganya hao wasio jitambua lakin sie tuanojitambua hatuwez kuviamini vyombo vya habar vya magharibi maana ni waongo wakubwa sana
One love ❤ israel
🤔🤔🤔🤔🤔🤔
Mashoga wenyewe ni waongo sana ,kuna kipindi walituambia wameokoa mateka wote kumbe la.
Sasa mpk leo km ni wajanja walishindwaje kuwaokoa mashoga wenzao?
Mateka hao wa mashoga watauwawa tu
One love Israel... 🇮🇱🇮🇱♥️♥️
😏😏😏
Huna akili wewe 👹👹👹👹
One love Israel 🙏🙏🙏👍
Huyo mchambuzi Ally hakuna kitu hapo
Sasa kama Hana kitu si uende ukachambue wewe?daah wabongo bana!!
Uyu mchanbuzi ajaegemea sehemu yeyote. Tofauti na Dj sma uwa anaegemea upande wa warabu. Pia lazima mtambue kuwa Israel na mashia wa Irani ni ndugu wote Makafiri wanatishiana lakini hawatopigana
Hacha Ujinga, wewe unajua nn?@ ishakishak8740
Shida humu.Wengi ni mashabiki na shabiki kazi yake nikukataa ukweli.Sasa wewe unategemea upewe habari harafu unawasema wanaokupa habari kuwa ni waongo.Ebu tuambie wewe uliyekuwepo kwenye eneo la tukio tueleze nini kilitokea na kombora gani Israeli alilitumia.
Dunia inamuhitaji Trump,,amani irejee ht km ni kwa uchache,,Hawa democratic Hawa ni wanadamu kwa muonekano TU,,nafsini ni masatanic legendary
siokweli mnafata vyombo vya magharibi
Sasa izrail inaomba Iran asipige mbona habari hozo hamtupi
Wapumbabu sana acheni uongo wapumbavu kabsa
Sisi tunaangalia majina tu ya wali wanaokanusha hizi taarifa, utakuta anaitwa Mohamed, salimu, Alli.. so ukiona hivo utakuwa umekata jibu kamili😅😅😅 .. kichapo Irani kimetembea lakini kuitetea kwa kuwa.....😅
@@annasolomon9855 Sasa wewe kwa akili yako Israel inaweza wapi pigana na mihiaran unaijua au unaisikia
@@salimamani6672 ni walewale tunawaelewa, 🤣🤣🤣
Sijawahi kuamini vyombo vya habari za mashoga na simtokaa niziamin yani niamini watu waki za mashoga haita tokea abadan
IRAN HAWEZI VITA ATA MTUME MUHAMMAD AFUFUKE AJIUNGE NAO, ATAPIGWA NA YEYE.
Sasa hapo kati ya irani na Israeli nani kapigwa ? we limeingia kombora Moja israeli yaliingia makombora 7 hao mashoga wako waishukulu marekani
@@Hussein-gx4qu Iran hawezi kaka
Leo ndio umeongea maana siku zote nakuona kama unasimama upande mmoja wa irani il leo nimekuona kama husimami upande mmoja
Je uzembe wa Israel kwani wanauona leo hhhhh niwazembe tangu zama izoooo
Kiukweli izotrifa nizauongo kabida
Wanaona haya kwamba wao walishambuliwa sana na iran lakin wao wakajibu kama wao walivyo mashoga maana shoga hana nguvu ya kupambana na mwanaume rijali
Kwa taarifa iran jeshi lake ni no.15 dunian isreal 17
Haijalishi muisrael haji peke yake NATO iko nyuma yake Iran yuko mwenyewe kama atasaidiwa itakuwa underground. Waarabu hawapendani kumuka Sadamu Hosen
@@MsAggie5 wewe ni mshamba tu huna ujuawalo...washirika wa wa iran ni Russia,china na north korea, pili iran sio waarabu ni persians lugha yao ni Farsi kwa hio ww hujui chochote kinacho endelea duniani baki na bongo yako huko
UKIHITAJI KUPIGANA NA TAIFA LA MUNGU ISRAEL🇮🇱 UJUWE UNAPIGANA NA MUNGU PEKEYAKE! IRAN UTASHINDWA TU UTAKE WALA USITAKE! KIVIPI UNAJIITA UNAULINZI WAHATARI NA BOMB ZINAKUFIKIA🤣 IKIWA UNANGUVU WE IRAN UNGESHIMAMISHA HIZO BOMB ZISIFIKE ENEO LAKO😂
Mbona hizo video hazionyeshi sky hebu post hizo video za mashambulizi ya Israel kwa iran.Iran walipost makombora yao yakienda israel.mbona Israel hawaonyeshi
Na nyie watanzania niwajinga kabisa ilani ilipigwa vibaya sana
Si Milano Iran
Droin tatu kwa droin Mia tatu na, aisee hii ni janja ya nyetanyau ili kurefusha sana migogoro ili asubirie uchaguzi wa marekani, poneo la nyetanyau ni uchaguzi wa marekani pindi trumple akipata urais nyetanyau anaweza kusalimika
cnn, new york times, ni vyombo vya kimagharibi obvious wataripot negative impacts towards their counter parts
Htr wa tatu Leo like zng
Uwongooo we mkristo tunajuwa 😂😂😂
CNN sio wakristo ni china , china Haina ukristo 😅😅😅😅 pole 😅😅
Israel alijaribu mifumo ya ulinz ya lkn alivyoona mifumo ni migumu hakurudia Tena na pia iran anatumia mifumo yake ya ulinz nà sio ya urusi
NDIMANA BENJAMIN ATAKI MAONGEZI MEZANI KUWACHANA NA VITA VIKIHISHA NA NYATANYAU KAISHA MADALAKANI😂😂😂
Nyetenyahu ni kama hitler wKati ule aliwatuma jeshi lake kwenda huko chezvirovakia baada yule pandikizi wake leinhard hydrich aliuwawa. Kisasi kwa kila kila mtu mdogo kwa mkubwa ,mama watoto ,majeno zote walke tekezwa na hitler.huko lidice town
Mindomana huyu jamaa sifatilii taarifa zake anaonekana km nitimu upinde
HILO ndilo lenyewe wakomeshwe hao
Mukitakata kujuwa kama niuongo karibu maratena
Huyu ndo mchambuz mzur yuko kati sio yule sma wa upade mmoja
Huyo anaaminishwa na vyombo vya wamagharibi
Dj smaa yuko vizuri zaidi
Israel Alitumiwa bomu dogo tu ka testing compared to Iran's more than 300 ballistic missiles 99% failed 🤣
Mimi nasoma teharani wafrica mnadanganywa sanaa
Mimi nipo bongo ila najua kuwa israel ajashambulia ila amefanya kama movie ili aonekane yupo imara kivita.
Tumeona vifataki tu vimedunguliwa vyote hakuna lolote
Huyu mchambuzi hana chukuwa habari kwa watu walio chini wamangaribi, ndo shida
Sasa isreal ilitowa wapi satellite ya Iran mbona Iran inasatelite yayo yenyew
Wapumbavu hao wamagharibi hakuna madhala yoyote waongo wametunga hizo picha za mchongo
Kitu cha kujiuliza " Kwanini siku zote taarifa ambazo ni NEGATIVE huwa zinatoka kwenye vyombo vya habari vya magharibi?
Pia kwanini taifa lolote ambalo linafungamana na magharibi hata lishambuliwe vipi vyombo vya habari vya magharibi hutangaza hakuna madhara?
Hapa pia kuna changamoto ya vyombo kama hivi ambavyo tunavisikiliza ambavyo pia kazi yake ni kunukuu tu kutoka kwa vyombo vyengine bila ya kuwa na vyanzo vyao kutoka sehemu husika maana kama magharibi inatoa propaganda na wanaonukuu watatoa propaganda pia. Nahisi ingependeza zaidi kama na vyombo vyetu hivi vingalikuwa na wawakilishi baadhi ya sehemu za matukio ili kutuarifu vitu ambavyo vina uhakika.
Kilichopo hapo ni ushwawishi wa magaribi ili Irani akasirike amshambulie kwa sababu ijulikane Irani anaogopa. Hii ni Taarifa za uongo kwa nin pale alipopiga siku ile ile hakutoa taarifa akanyamaza kimya? Sio kweli taarifa hiyo
Wewe ni muongo mchambuz wachongo
hakuna mchambuzi hapo anaokotaokota propaganda za west. hakuna kombora lililopiga iran
Kuhusu Israel ni uongo na mkiendelea hivi watu watawazarau
😅😅😅😅 unachotaka ni Irani iweke mbele tu Kila wakati 😅😅 chizi wew kwa hio watu wastangaze kilichotokea mmh mna mambo ya ajabu 😅😅
@@annasolomon9855 chizi wewe usiyejijuwa
Manghalib na israel wote ni waongo
hakuna wanamgambo iraki wanaopinga serekali huo ni uongo
Iran angalia, hurumia watu wako.usichezee watu hawa.
Madhara yap mbona hamsemi
Km amerusha kombora c apelekewe kombora mnasubiri nn ss
Weee utapata tabu 😅
sasa kama ndege iliyo beba bomu inakadiriwa kuwa umbali wa 200km na iran wanatumia bavar 373 yenye uwezo wa kudetect flying oject umbali wa 400km imekuaje hiyo ndege haijawa detected? ni S300 bado range ya bomu kurushwa ingekua detected vizuri sasa inaonekana kuna mmoja anaficha ukweli yawezekana israel alishambulia akadunguliwa au hakushambulia kaspread propaganda au iran kashambuliwa anaficha madhara ila kwa kauchunguzi kadogo naona israel kuna ukweli anauficha nasio kawaida yake
Iyoniuongo