#PART2

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • #PART2: ''HAUONGEI na MCHUMBA WAKO HAPA - MIMI NINA MKE na NI MZURI - UNAFANYA DHARAU?'' - MAKONDA
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 527

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  4 месяца назад +32

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @maingwamaingwa9887
    @maingwamaingwa9887 4 месяца назад +7

    Huyu ndo mwanamke super wangu wa mwaka 2024 very strong very talented very smart very important very education big brain mwanmke wa nguvu so biuty fully achana na wapaka poda dada nimekupenda bure by the way makonda nae ni binaadam

  • @gabrielkyando2632
    @gabrielkyando2632 4 месяца назад +9

    Shida wabongo tumekalili sanaa wanaona kila viongoz wa mladi ni wapigajiii,, sio kwer huyu dada yuko vizuri ana confidence haogopi sijui mkuu wa mkoa!! Anajiamini

  • @upendosanga9205
    @upendosanga9205 4 месяца назад +47

    Engineer nimekupenda unajiamini na hoja zako safi

  • @lulumatawalo7805
    @lulumatawalo7805 4 месяца назад +14

    Hakuna mkamilifu,anafanya mengi mazuri ya kusaidia wengi.Hiyo weakness moja isiwe sababu ya kucrash mema yake mengi .Asiye na udhaifu hata kidogo na awe wa kwanza kumpiga mawe!

  • @ndetiefredielmushi9978
    @ndetiefredielmushi9978 4 месяца назад +13

    Uko vizuri saaaana Dada Mungu akujalie uende juu zaidi Waziri wetu Mtarajiwa❤❤

  • @geoffreyanundatv9836
    @geoffreyanundatv9836 4 месяца назад +29

    Mkuu Umejibu huyo dada vibaya, dada mwenyewe Mrembo na anajielewa sana.pole dada na hongera sana kwa kazi nzuri

    • @salminasalim5630
      @salminasalim5630 3 месяца назад +1

      My opinion is that we as strong females we have to avoid crush to males na hiyo ndio suluhisho peke yake maana yeye alikuwa akiulizwa alikuwa anacheke cheka kwa nini hii ndio CRUSH 💯 NA NDIO MAANA ALISEMA HIVYO MSITAFUTE CHA KUSEMA WACHA MH AFANYE KAZI MPENI USHIRIKIANO. ACHENI WIVU.

  • @samuelemmanuel3400
    @samuelemmanuel3400 3 месяца назад +2

    Dada yupo smart 🙌🏽 kajibu kwa facts, Ameku outsmart mkuu wa mkoa dah🙄

  • @ndetiefredielmushi9978
    @ndetiefredielmushi9978 4 месяца назад +16

    Jamaaani tujitahidi kuheshim fani za watu, Dada jipe moyo haya ni maisha tu hongera unajitahidi.

    • @wamburasungura6812
      @wamburasungura6812 4 месяца назад +4

      Huyo dada hajazalilushwa ila kashindwa kujieleza Kwa sababu ya wizi wanao ufanya wanasababisha wananchi huku chini tuna pata shida Kwa ujinga Wa hao wajinga walio pata nafasi wanaitumia vibaya kutesea wananchi

    • @flova7022
      @flova7022 4 месяца назад

      ​@@wamburasungura6812ukipewa siku kusimamia ujenzi uttaelewa kuwaa umekosea kutyp

    • @petromgaya1746
      @petromgaya1746 4 месяца назад

      Qddq wewe embu jitambue basi 17:38

  • @ezekielmirambo8704
    @ezekielmirambo8704 4 месяца назад +12

    Professional and competent engineer, congrats sister!

  • @nassercurtis9579
    @nassercurtis9579 4 месяца назад +7

    Huyu dada ni msomi kweli na ana punch si kidogo, ametoboa maswali kwa kujiamini mno, na uzuri toka awali aligundua pesa isingetosha, hongera dada muhandisi.

  • @NeemaSamson-ti8pc
    @NeemaSamson-ti8pc 4 месяца назад +4

    Pole dada umejibu vizuri sana, pia umejitahidi kuwa mpole na mwenye busara

  • @ajuwazaglodim7645
    @ajuwazaglodim7645 4 месяца назад +26

    Ingenia yuko safi, mzee wangu Makonda amejaribu kumugombeza lakini kajikwamuwa. Huyu dada anastahili na yuko makini.

  • @HADSONPAUL
    @HADSONPAUL 4 месяца назад +7

    Dada hongera umejiitaid sana maana maswali ya Mh makonda ni moto sana

  • @hoseasteven6241
    @hoseasteven6241 4 месяца назад +21

    Mdogo wangu Grace hongera sana kwa ujasili na kuwa competent kwenye field yako

    • @GibsonNtamamilo
      @GibsonNtamamilo 4 месяца назад +2

      Amekuwa jasiri kujibu utumbo. Imeundwa kamati ya uvhunguzi utasikia majibu nyiebmko mbali na mradi. Hii shule inawaramba wote.

  • @saidakiwale9227
    @saidakiwale9227 4 месяца назад +4

    Jamani sijapenda kabisa maneno ya Makonda huyo dada yupo kikazi hizo kashfa za nini huyu dada nae anamumewe mzuri tu unadhalilisha siyo powa

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob 4 месяца назад +31

    Huyu Mwana Dada Engineer anafaa kabisa kuwa Mkurugenzi wa Halmashauri, mtulivu kweli kwenye kujibu maswali, hana panic, yuko calm. Safi sana

    • @GeofreyKalo-ot3we
      @GeofreyKalo-ot3we 4 месяца назад +2

      Makonda usiwe mkali sana utaharibu

    • @evertheobald1811
      @evertheobald1811 3 месяца назад

      Pia kuongea sana nako ni tatizo

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 3 месяца назад

      @@GeofreyKalo-ot3we Bila ukali bongo hii inakula kwako!!! Sishangai wanaotaka uzembe uendelee maana asilimia kubwa hawajielewi!!!

  • @FatumaTupa
    @FatumaTupa 4 месяца назад +3

    Pole Dada izo ni changamoto tu za kazi

    • @LucyNgowi-m5z
      @LucyNgowi-m5z 4 месяца назад

      Da!we acha hakuna kazi rahisi kwakweli

  • @steynjohnr5930
    @steynjohnr5930 4 месяца назад +9

    Huyo dada pia ni mwananchi anayefanya kazi kwa jasho na kodi yake ndiyo imekuweka wewe mkuu wa mkoa hapo so you need to talk to her with respect. No human being should be embarrassed like this, this guy is not a leader, what lesson are you giving to the younger generation?

    • @rehemamapuga5789
      @rehemamapuga5789 4 месяца назад

      Yaani nmeumia na kumhurumia sana huyu dada

  • @HenrickNyahi
    @HenrickNyahi 4 месяца назад +2

    Dada ni moto sana popote ana kaa huyu hajakubali kutingishika hata alipotingishwa dadeki nimeipenda sana hii Japo mwamba nae fresh anapambania wananchi Japo sikuona kama dada Kuna alichozingua kias Cha kumwambia maneno Yale ya mchumba sijui na nn

  • @NoreenMbowe
    @NoreenMbowe 4 месяца назад +13

    Makonda umemdhalilisha huyo dada sio poa

  • @eliaskangabo779
    @eliaskangabo779 4 месяца назад +8

    Makonda hongera sana kwa ufuatiliaji huu,watu wanafanya kazi kwa mazoea wanafikiria ulaji na siyo kazi

    • @amaninyekele5002
      @amaninyekele5002 4 месяца назад

      Kwenye mahojiano hayo umeuona ulaji??

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 3 месяца назад

      @@amaninyekele5002 acha kutetea uovu😯

  • @PILIMALIBICHE
    @PILIMALIBICHE 4 месяца назад +4

    Hongera, Hongera sana Mh, Makonda Mkuu wa Mkoa wa Arusha. Mungu akupe maisha marefu. Kazi iendeleee.

    • @nanguniMtaita-hz4zt
      @nanguniMtaita-hz4zt 4 месяца назад +1

      Itabidi tupige kura kwa Baba Mungu muumbaji, maana wajinga ama waliopachikwa pakacha la upumbavu nao ni wengi. Kura yenyewe iwe hivi " Wanaosema Mungu ampe Makonda maisha marefu na Wanaosema Mungu ampe Makonda chango la tumbo Afe tusimuone kelele zake za kinafiki kama Mwenda zake, tumuachie mwamuzi.

  • @IsaacMatiku
    @IsaacMatiku 4 месяца назад +4

    Naamini kabisa hata makonda alimkubari huyu Eng dada,Makonda unafanya kazi nzuri na safi sana.

  • @jaywi5681
    @jaywi5681 4 месяца назад +1

    Mhe. Makonda kuhoji kwako kumesaidia kupatikana kwa ukweli juu ya changamoto ya wataalamu waliopo Wizarani kufanya makadirio ya kiwango cha chini ukilinganisha na gharama halisi za ujenzi wa Mradi. Matokeo yake miradi inashindwa kukamilika na kuonekana wasimamizi wamekula fedha. Hongera sana wanaokubeza wameangalia upande mmoja tu.

  • @LucianSanga-q8j
    @LucianSanga-q8j 4 месяца назад +1

    Mwalimu Uko vizuri sana una sitahili sana hongera sana

  • @HUSSEINALLY-b7f
    @HUSSEINALLY-b7f 4 месяца назад +16

    Huyu dada safi sana.Mungu amjaalie

  • @annemateo2999
    @annemateo2999 3 месяца назад

    Daaaaajh najuta kuagalia hii leo Brother Makonda this isBig Noo, muombe msamahaa huyu dada kama unampenda Mungu

  • @MohammedDaudIsmail
    @MohammedDaudIsmail 4 месяца назад +2

    Dada huyu very intelligent kabisa

  • @vedastusmdapo3837
    @vedastusmdapo3837 4 месяца назад +3

    Makonda Yuko vizuri saana,naomba tu awe mvumilivu asikate hoja ya mtu hasa watumishi katikati ,anawatoa kwenye hoja wanaingia woga.Injinia Dada naomba apandishwe cheo huyo nimempenda.

  • @lilylema5292
    @lilylema5292 4 месяца назад +5

    Mwalimu umepambana hongera huyu jamaa ni moto

    • @HatibuHatibu-cd7hs
      @HatibuHatibu-cd7hs 4 месяца назад

      Aisee kwanza nimecheka...huyu jamaa ni mwanaume..ana maswali nondo

  • @gaudenciamallya9779
    @gaudenciamallya9779 4 месяца назад +3

    UKISIKIA “MWANAMKE NA NUSU” (Harmonize” NI HUYU INJINIA. KEEP IT UP MAMA UNAWEZA!

  • @tausikiyabo6302
    @tausikiyabo6302 4 месяца назад +3

    Injinia hongera huko vizuri sanaaaaaa unafaa kapandishwa cheo hongera hongera

  • @lilylema5292
    @lilylema5292 4 месяца назад +8

    Dada hongera kupambana na hiki chuma sio kazi rahisi. Bright with brain. Mm ningeshazimia

  • @AlphonceJumanne-y1y
    @AlphonceJumanne-y1y 4 месяца назад +3

    Makonda the big brain 🎉

  • @SHIJADAVIS
    @SHIJADAVIS 4 месяца назад +3

    Wapendwa tutumie lugha, nzuri. Haijalishi mtu unamzidi kazi.

  • @lightwilliam4443
    @lightwilliam4443 4 месяца назад +1

    😅dada kampa mrejesho huo muuliza maswali,kampigapiga na vingereza vya kikazi muuliza maswali hoi umbea wote kwisha.ndio maana anakuuliza kwa hasira mwenyewe hajielewi😂😂😂 safi sana dada eng.

  • @devisshirima6780
    @devisshirima6780 4 месяца назад +3

    Yani ninamuona makonda kama Rais wa Arusha, yani najihisi kama nipo kwenye nchi iitwayo Arusha ambapo Rais wake anakagua maendeleo ya wananchi wake !! Yani ukuu wa mkoa ni kazi ndogo sana kwako unastahili kuihudumia nchi nzima kwa mamlaka kamili isiyo na kizuizi. Ninamuomba Mungu siku moja nimshuhudie Amiri Jeshi mkuu anayeitwa Paul Christian Makonda !! Viva Baba viva

  • @juliusabdul-cc9wn
    @juliusabdul-cc9wn 3 месяца назад

    tunaitaji kiongozi kama makonda, tumeajili wote kwanzia raisi mpka mwenyekiti, ahsante mama kwa zawadi hii ya makonda

  • @EmmanuelLemi-p4b
    @EmmanuelLemi-p4b 4 месяца назад +3

    makonda hunaakili achakudhalilisha wanawake kama unamke mzuli wakwako nyumbani kwako

  • @johnmbatta9872
    @johnmbatta9872 4 месяца назад +7

    Makonda, unakubalika. Chapa kazi, baadhi ya watumishi wa serikali wamekuwa siyo waaminifu.

  • @stevenmrama3123
    @stevenmrama3123 4 месяца назад +9

    Nchi unapaswa kuwa na viongozi wa namna hii Safi sana mhe makonda

  • @WillyKasala255
    @WillyKasala255 4 месяца назад +1

    Mheshimiwa piga kazi,usiwasikilize hawa wasojua lolote zaidi ya kupinga haki za wananchi zisitimizwe upo sahihi kuhoji swali lolote maana huo ni wajibu wako ndani ya mkoa kwa masilahi ya Watanzania@kazi iendelee👍

  • @MichaeliSimwinga-fd1fo
    @MichaeliSimwinga-fd1fo 3 месяца назад

    Your the best makonda God bless u

  • @bishopmosesmagadula7572
    @bishopmosesmagadula7572 4 месяца назад +11

    Huyu dada ametulia YUKO VIZURI makonda amejaribu kumbabaisha LAKINI YUKO VIZURI

  • @JaneLaizer-tb6zl
    @JaneLaizer-tb6zl 3 месяца назад

    Dada pole. Kwa kukwazika but upo vzr congratulation

  • @jumahalfani6789
    @jumahalfani6789 4 месяца назад +30

    Sometimes viongozi tumieni busara mtu anjibu vizuri una intaract as if hukutaka hayo majibu...tuheshim kaz za watu

    • @saidisheha5366
      @saidisheha5366 4 месяца назад +2

      Majibu yapi hapo yaniumwache mtu ajiandae kudanganya. Chapa wafujaji wote

    • @DeusdeditMichael
      @DeusdeditMichael 4 месяца назад +3

      Sababu ya Interaction haikuwa ufujaji bali maringo.
      Mm nimetazama hii clip, sioni maringo kuhusu huyu Engineer.

    • @dezruh
      @dezruh 4 месяца назад

      Hakika

    • @tausikiyabo6302
      @tausikiyabo6302 4 месяца назад

      Yes tena anamuongelea maneno yakukaraisha ila injinia kasimama vzr yuko vzr anamjibu kila kona

    • @YusuphLyatenga
      @YusuphLyatenga 4 месяца назад +2

      Makonda anavuka mipaka mda mwingine

  • @HASSANBAKARI-q9c
    @HASSANBAKARI-q9c 4 месяца назад +1

    DADA SMART SANA

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 4 месяца назад +14

    Makonda nimekuelewa kabisa unapokuwa mkali tiyari una taarifa mbele yake

    • @deogratiusyudatadei5658
      @deogratiusyudatadei5658 4 месяца назад +1

      Huyu ni magufuli kabisa yani anakuuliza swali mbalo tiyari ana majibu yake

  • @elizabethkikoti7265
    @elizabethkikoti7265 4 месяца назад +8

    Makonda nakufatiligia Nakupenda ila kwa kumkejeli huyu dada sijapenda sio vizuri unakoelekea kwa kuwajeli watumishi wa kazi tutakuchukia ghafla

    • @sophsoph4740
      @sophsoph4740 4 месяца назад

      Tena san tutamchukia 😢

    • @elizabethkikoti7265
      @elizabethkikoti7265 4 месяца назад

      @@sophsoph4740 umeon my

    • @KhmsNsr
      @KhmsNsr 4 месяца назад +2

      HAKUNA MPIGAJI YEYOTE ATAMPENDA MAKONDA WOOTE WAPIGAJI SERIKALINI LAZIMA WAMCHUKIE MAKONDA

    • @marykasanga4012
      @marykasanga4012 4 месяца назад

      Kabisa nimpuuz huwez.mzalilisha hivyo

    • @elizabethkikoti7265
      @elizabethkikoti7265 4 месяца назад

      @@KhmsNsr sio kwamba simpend makonda nampenda sana tena sana mpk mb zangu zinaisha kumuangalia yeye na jerry slaa tatizo linakuja unatakiwa kutumia kauli nzuri hyo kauli me binafsi sijapenda nimeumia kwani angemfokea kawaida tungelalamika kauli hyo y huyo dada alivyomwambia siyo vizuri tusijisahau sana ndo mn hata yy badae Alijua amekosea kusema vile huo ndo ukweli inauma sana unavyodhalishwa mbele za watu

  • @isayakalinga6475
    @isayakalinga6475 4 месяца назад +2

    Huyu mama anaongea vizuri sana jamani anajua kufafanua Mambo

  • @RAJABUSAIDI-n3s
    @RAJABUSAIDI-n3s 4 месяца назад +1

    Makonda mungu akulinde unafanya kazi. Naomba siku moja uwe mkuu wa mkoa wa Tanga

  • @husseinc
    @husseinc 4 месяца назад +2

    pigakazi poul makonda. china wa lieka sheria kali watumiwash wa serikali wamepiga hatua huku kwetu tunataka kulea maovu

  • @isikezuberi4292
    @isikezuberi4292 4 месяца назад +5

    dada huyu ni zaidi ya mkuu wa mkoa

  • @HaulSidney
    @HaulSidney 4 месяца назад +6

    Huyu engineer ndiyo chanzo cha kuliwa hela za shule,makonda piga kazi

  • @margaretjoseph6501
    @margaretjoseph6501 4 месяца назад +5

    Big up Engineer

  • @StanleyMalundo
    @StanleyMalundo 4 месяца назад +1

    Sema Ngoma imeenda droo,nipe nkupe in short sijajua imeishaje kwa kwel

  • @ALEXLOTAN
    @ALEXLOTAN 3 месяца назад

    Safi sana makonda Niko Mombasa jamani nawafuatilia sana

  • @Stellastella-yi5vu
    @Stellastella-yi5vu 4 месяца назад +5

    Eti ana mke mzuri ,Mungu tusamehe hatujui tutendalo.dharau iyo

    • @NeemaSamson-ti8pc
      @NeemaSamson-ti8pc 4 месяца назад

      Yaaani mambo ya mke wake sijui yanahusikaje hapo daaaah

  • @JosephuSwai
    @JosephuSwai 4 месяца назад +4

    Mbona mke wako siyo mzuri tunamjua

    • @NeemaSamson-ti8pc
      @NeemaSamson-ti8pc 4 месяца назад

      Mwambie huyo labda sisi wengine sio wanawake ila ni mifano ya wanawake

  • @DandasiKundi
    @DandasiKundi 3 месяца назад

    Raisi wetu mama Samia tunaomba utupe sisi wananchi wa mkoa wa pwani utupe makonda awe mkuu wetu wetu wa pwani angalao Kwa muda wa mwaka mmoja tu ili tusonge mbele namkubali sana ni mtendaji mzuri sana na ni mfuatiliaji Kijiji Hadi Kijiji atatupa maendeleo sana. Tunakuomba mama Samia.

  • @engzuberir.akilenza1764
    @engzuberir.akilenza1764 4 месяца назад +10

    Halafu kuwa na cheo haina maana mtu una akili nyingi kuliko wengine.

  • @telesphorymajumbi
    @telesphorymajumbi 3 месяца назад

    Ni mkuu wa mkoa moja tu Mh. Makonda anae ongea na wananchi waka sana kujuwa na kutoa ufumbuzi wa shida zao bila kuingilia Sheria (maamuzi ya mahakama) fanya kazi Mh. Achana na wababaishaji hao na wakandamizaji tu. Etaga milimo wa ng'wa Mami.

  • @samlutubija1229
    @samlutubija1229 4 месяца назад +3

    Makonda yuko sahihi na mama Engineer yuko sahihi

  • @AyshaMussa-xs2ut
    @AyshaMussa-xs2ut 4 месяца назад +8

    Engineer yupo vizur tu mbona

  • @AK-rd5zr
    @AK-rd5zr 4 месяца назад +3

    😂😂 hapa Makonda ameomba poo….. mdada ako safi sana kitaalamu. Amesoma na amenyooka.

  • @Godlove-yh5pp
    @Godlove-yh5pp 4 месяца назад

    Hongera sana mdogo wangu Grace, keep it up with calmness

  • @konderaeriasi6251
    @konderaeriasi6251 4 месяца назад +2

    Ata Kama huyo dada anakosa haukupaswa kumjibu hivo unaroho mbaya sana ww jamaa

  • @husseinshabani3306
    @husseinshabani3306 4 месяца назад +1

    Boc anafanya kazi nzri sana. Ila hapa kama binaadam na nikijana alikengeuka. Maybe totoz lilimkomfuse. Si unaona anamashauzi ya kibinti lazima udenda ukutoke.❤😂

  • @prosperjuma905
    @prosperjuma905 4 месяца назад +1

    Hongera dada hukupanic, wala hukuruhusu hasira. Una shule ya maana.

    • @StellaMwasha
      @StellaMwasha 4 месяца назад

      Umeona ee huyo ni kiongozi kabisa

  • @tiffanymo9453
    @tiffanymo9453 3 месяца назад

    Good questions Mh Makonda ,well done

  • @Umut-d7o
    @Umut-d7o 4 месяца назад +1

    huyu jamaa ni genius

  • @johnsway5253
    @johnsway5253 4 месяца назад +9

    Engenier ndio amekuja kuokoa wenzake

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 4 месяца назад +2

    Vzur dada , hapoo n kaz kaz ,makondo anafanya kaz ajari n kwaidaa tuu usjar

  • @mussakayenze2276
    @mussakayenze2276 4 месяца назад +9

    Mweshimiwa Mkoa

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 4 месяца назад +1

      KUMBE ULISIKIA KAMA MM 😂😂😂😂😂

    • @jojigeorige1056
      @jojigeorige1056 4 месяца назад

      😂😂 injinia kishazoea ma SI UNITS kuanza kuhangaika na " mheshimiwa mkuu wa mkoa" maneno mengi sana kwa injinia😂😂

    • @SophiaMfanga-sn2xv
      @SophiaMfanga-sn2xv 4 месяца назад +1

      Nimecheka jmn

    • @AmAl-x9j
      @AmAl-x9j 4 месяца назад

      😂😂😂😂

  • @nasrahassan7346
    @nasrahassan7346 4 месяца назад +1

    ingeneer yupo vizur dada mashaallah

  • @gwantwamwalyaje8515
    @gwantwamwalyaje8515 4 месяца назад +5

    Makonda Ni Wa Hovyo Wewe Unalazimisha Tuhuma Zisizo Na Maana Ili kuwaingiza Kwenye Makosa Watumishi

    • @donardmtambo-hs7mw
      @donardmtambo-hs7mw 4 месяца назад +3

      mbona makonda yuko vizuri sana wewe unachuki tu

  • @lilianmichael8794
    @lilianmichael8794 4 месяца назад +2

    Kwa kweli hata kama ni kutafuta kura si kwa mfumo huuu

  • @HumphreyKarua
    @HumphreyKarua 3 месяца назад

    MUNGU MUBARIKI RC MAKONDA NI JEMBE LA UFISADI JIJI LA WANYONGE KUDHURUMIWA HAKI ZAO

  • @rehemamapuga5789
    @rehemamapuga5789 4 месяца назад +1

    Daaah!! Nimemhurumia huyu dada jamani 😢

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 4 месяца назад +7

    Mwl.kufanya kazi mbili.inasumbua

  • @dannysix4475
    @dannysix4475 4 месяца назад +2

    Mh. uko sawa kabisa: sio mambo ya kuangalia sula ya mtu. Swali ulikuwepo.!! sikuwepo sasa unajibu nn.

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala3303 4 месяца назад +2

    Engner mama SSH teua uyo binti yuko Vizuri mpe nafasi akusaidie kazi siyo kilaza msomi mzuri

  • @dorothmsuya1686
    @dorothmsuya1686 4 месяца назад +3

    Mh naona maneno yako yamekua makali kidogo! Mchmba tena jamani! Hapo anaongea kwa kujikaza! Wewe ni mtu mkubwa lazima mtu awe na kiwewe na ndipo anapoharibu! Msamehe bure huyu Eng wetu!😢😢😢

  • @omaryjudasymwanga7172
    @omaryjudasymwanga7172 4 месяца назад +2

    Maana kama budget ipo hivyo na kabla ya mradi walikieleza kwamba mzigo hautoshi mpaka wakazama kwenye force account lakini bado akachengwa akiwa kama mhandisi halikua na maulizo nikulianzisha mje mkikuta limesimama kama hivyo mchanganue na mpaka hapo mtaelewa kulazimisha upigaji na eneo lenyewe ni uwanda wa rift Valley lazima nguzo ziwepo kama hivyo tena imara so on this broo nasimama na mhandisi yupo sahihi maana kiforce ili hela yenu itoshe likishukia watoto mtamtafuta na kesi ya kuuwa so bi dada nipo nyuma yako tujipongeze wakike kwa wakiume tunaosimamia misimamo ya haki na uhalisia

  • @aminamaulid7371
    @aminamaulid7371 4 месяца назад +1

    Kashtuliwa jamaniii siunaona kaweka microphone 🎤 vizuri??? 😂😂😂

  • @joachimnangale9214
    @joachimnangale9214 4 месяца назад +3

    Kiburi Cha madaraka,uache kudhalilisha watu,huu ni unyanyasaji was kijinsia.

  • @estherdalleiy1461
    @estherdalleiy1461 4 месяца назад +6

    Dada wawatu kajibiwa vby maskini sjui vipi ee mungu naomba mwanangu awe natabia nzuri zakumpendeza mungu na jamii asiwe namajivuno kam mwafulani

  • @nancyatandi-s6y
    @nancyatandi-s6y 4 месяца назад +6

    Sasa kweli atakama nini usikilize mtu kwanza ulivyo mwongelesha uyo mwanadada so poa usiongeleshe mtu kwa matharau hivyo mh

    • @GeofreyKalo-ot3we
      @GeofreyKalo-ot3we 4 месяца назад +2

      Makonda anatabia ya kudhalilisha watu sana

    • @KhmsNsr
      @KhmsNsr 4 месяца назад

      HAKUNA MTU MUOVU ATAMKUBALI MAKONDA ABADAN 😂 UKIONA MTU ANAMPONDA MAKONDA JUA NDO WALE WALE TU WAPIGAJI😂

    • @GeofreyKalo-ot3we
      @GeofreyKalo-ot3we 4 месяца назад

      @@KhmsNsr na we nawe hujui tunachoongeleahapa! Tumesema makonda anafanya Kazi vizuri Ila kwa swala lahyudada tu kachemka hauwezi ujambabaisha mtu hivo na kauli mbovu kama hujaelewa bs

    • @KhmsNsr
      @KhmsNsr 4 месяца назад

      HAKUNA MPIGAJI YEYOTE ATAMPENDA MAKONDA ABADAN ATATAFUTA CHAKA TU.

  • @GetuSwai-k6t
    @GetuSwai-k6t 4 месяца назад

    Safi sana dada umejitaidi ❤❤❤

  • @barryrioba3934
    @barryrioba3934 3 месяца назад

    MAKONDA Amekua Mkali Sana Kwa Huyo Dada Injinia Kwasababu Tayari Alikua Amepata Taarifa Za Ufisadi Kwenye Huo Mradi, Na Huyu Dada Kwa Nafasi Yake Kama Injinia Mtaalam Alikua Anajaribu Kupangua Kesi.

  • @JustineWangi-j2t
    @JustineWangi-j2t 4 месяца назад +3

    Ukiona watu wengi wanatetea ujinga jua hao ni wanufaika sijaona mtu akiwaonea huruma wananchi.

  • @suleimanabdillah7490
    @suleimanabdillah7490 4 месяца назад +3

    Yaani,hii style mmh,ila nampongeza huyu Injinia kwa ujasiri na KUSIMAMA kwenye professional yake.

  • @annemateo2999
    @annemateo2999 3 месяца назад

    Duh Makonda usijiharibie tunakushukuru kutetea lkn kumdhalilisha mwanamke makini na jasiri nooooooooo big NO

  • @FransidismasiMaresi
    @FransidismasiMaresi 4 месяца назад +1

    Makonda 💯sijawahi penda siasa sas hiv kama unanifungua hiv

  • @emmanuelmziray1073
    @emmanuelmziray1073 4 месяца назад +18

    Makonda una makosa saaaanaa wewe. Hongera Dads Engineer

    • @dennisezakiel3380
      @dennisezakiel3380 4 месяца назад +3

      Makosa gani ?

    • @samlutubija1229
      @samlutubija1229 4 месяца назад +1

      Ana makosa yap au kosa kuuliza kukamilika mradi

    • @Hajer-be2kh
      @Hajer-be2kh 4 месяца назад

      Mnatetea ujinga Acha watu watumbuliwe😂

  • @veronicanabina3380
    @veronicanabina3380 3 месяца назад

    Engineer, hongera dadangu, mke wako mzuri kwani huyo dada mbaya??????? Matusi mengine hayafai mbele za watu

  • @zayumar2955
    @zayumar2955 4 месяца назад +1

    Safiii kwa mbaaaliiiii namuona Magufuli 😢💔mnaosema kadhalilishwa ni vile tumezoea kuona maneno makal kwa wanaume tu ila makonda piga kaz baba wamezoea kula pesa za wananchi❤️❤️❤️

  • @livingstonekabantega
    @livingstonekabantega 3 месяца назад

    Injinia hongera Kwa ujasiri

  • @DevidiCosmas
    @DevidiCosmas 4 месяца назад +4

    Angekuwa mkeo ndio anatukanwa hivi mbele za watu angejisikiaje daa vyeo ivi laana tupu

    • @m.m.tvmbebamaono
      @m.m.tvmbebamaono 4 месяца назад

      Kama kushindwa kujieleza sawasawa haina shida maana hata nyumbani tunawapa vyakwao tu so haina shida.