#PART2

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 22 май 2024
  • #PART2: ''HAUONGEI na MCHUMBA WAKO HAPA - MIMI NINA MKE na NI MZURI - UNAFANYA DHARAU?'' - MAKONDA
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 519

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  24 дня назад +32

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @upendosanga9205
    @upendosanga9205 24 дня назад +47

    Engineer nimekupenda unajiamini na hoja zako safi

  • @ndetiefredielmushi9978
    @ndetiefredielmushi9978 22 дня назад +12

    Uko vizuri saaaana Dada Mungu akujalie uende juu zaidi Waziri wetu Mtarajiwa❤❤

  • @ezekielmirambo8704
    @ezekielmirambo8704 22 дня назад +12

    Professional and competent engineer, congrats sister!

  • @geoffreyanundatv9836
    @geoffreyanundatv9836 23 дня назад +27

    Mkuu Umejibu huyo dada vibaya, dada mwenyewe Mrembo na anajielewa sana.pole dada na hongera sana kwa kazi nzuri

    • @salminasalim5630
      @salminasalim5630 6 дней назад +1

      My opinion is that we as strong females we have to avoid crush to males na hiyo ndio suluhisho peke yake maana yeye alikuwa akiulizwa alikuwa anacheke cheka kwa nini hii ndio CRUSH 💯 NA NDIO MAANA ALISEMA HIVYO MSITAFUTE CHA KUSEMA WACHA MH AFANYE KAZI MPENI USHIRIKIANO. ACHENI WIVU.

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 21 день назад +12

    Makonda yupo vizuri.kilichomponza.kuingiza maswala ya uzuri mm Nina mke.siyo.haiba ya uongozi.

  • @ajuwazaglodim7645
    @ajuwazaglodim7645 24 дня назад +26

    Ingenia yuko safi, mzee wangu Makonda amejaribu kumugombeza lakini kajikwamuwa. Huyu dada anastahili na yuko makini.

  • @ndetiefredielmushi9978
    @ndetiefredielmushi9978 22 дня назад +15

    Jamaaani tujitahidi kuheshim fani za watu, Dada jipe moyo haya ni maisha tu hongera unajitahidi.

    • @wamburasungura6812
      @wamburasungura6812 21 день назад +4

      Huyo dada hajazalilushwa ila kashindwa kujieleza Kwa sababu ya wizi wanao ufanya wanasababisha wananchi huku chini tuna pata shida Kwa ujinga Wa hao wajinga walio pata nafasi wanaitumia vibaya kutesea wananchi

    • @flova7022
      @flova7022 20 дней назад

      ​@@wamburasungura6812ukipewa siku kusimamia ujenzi uttaelewa kuwaa umekosea kutyp

    • @petromgaya1746
      @petromgaya1746 19 дней назад

      Qddq wewe embu jitambue basi 17:38

  • @maingwamaingwa9887
    @maingwamaingwa9887 20 дней назад +6

    Huyu ndo mwanamke super wangu wa mwaka 2024 very strong very talented very smart very important very education big brain mwanmke wa nguvu so biuty fully achana na wapaka poda dada nimekupenda bure by the way makonda nae ni binaadam

  • @lulumatawalo7805
    @lulumatawalo7805 21 день назад +13

    Hakuna mkamilifu,anafanya mengi mazuri ya kusaidia wengi.Hiyo weakness moja isiwe sababu ya kucrash mema yake mengi .Asiye na udhaifu hata kidogo na awe wa kwanza kumpiga mawe!

  • @hoseasteven6241
    @hoseasteven6241 22 дня назад +21

    Mdogo wangu Grace hongera sana kwa ujasili na kuwa competent kwenye field yako

    • @GibsonNtamamilo
      @GibsonNtamamilo 20 дней назад +2

      Amekuwa jasiri kujibu utumbo. Imeundwa kamati ya uvhunguzi utasikia majibu nyiebmko mbali na mradi. Hii shule inawaramba wote.

  • @nassercurtis9579
    @nassercurtis9579 23 дня назад +7

    Huyu dada ni msomi kweli na ana punch si kidogo, ametoboa maswali kwa kujiamini mno, na uzuri toka awali aligundua pesa isingetosha, hongera dada muhandisi.

  • @NeemaSamson-ti8pc
    @NeemaSamson-ti8pc 20 дней назад +4

    Pole dada umejibu vizuri sana, pia umejitahidi kuwa mpole na mwenye busara

  • @HADSONPAUL
    @HADSONPAUL 22 дня назад +7

    Dada hongera umejiitaid sana maana maswali ya Mh makonda ni moto sana

  • @user-ns2jx7qs7n
    @user-ns2jx7qs7n 23 дня назад +11

    Makonda umemdhalilisha huyo dada sio poa

  • @eliaskangabo779
    @eliaskangabo779 23 дня назад +8

    Makonda hongera sana kwa ufuatiliaji huu,watu wanafanya kazi kwa mazoea wanafikiria ulaji na siyo kazi

  • @gabrielkyando2632
    @gabrielkyando2632 19 дней назад +8

    Shida wabongo tumekalili sanaa wanaona kila viongoz wa mladi ni wapigajiii,, sio kwer huyu dada yuko vizuri ana confidence haogopi sijui mkuu wa mkoa!! Anajiamini

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob 24 дня назад +30

    Huyu Mwana Dada Engineer anafaa kabisa kuwa Mkurugenzi wa Halmashauri, mtulivu kweli kwenye kujibu maswali, hana panic, yuko calm. Safi sana

    • @GeofreyKalo-ot3we
      @GeofreyKalo-ot3we 24 дня назад +2

      Makonda usiwe mkali sana utaharibu

    • @evertheobald1811
      @evertheobald1811 16 дней назад

      Pia kuongea sana nako ni tatizo

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 16 дней назад

      @@GeofreyKalo-ot3we Bila ukali bongo hii inakula kwako!!! Sishangai wanaotaka uzembe uendelee maana asilimia kubwa hawajielewi!!!

  • @user-kg3wo9tl9k
    @user-kg3wo9tl9k 22 дня назад +4

    Hongera, Hongera sana Mh, Makonda Mkuu wa Mkoa wa Arusha. Mungu akupe maisha marefu. Kazi iendeleee.

    • @nanguniMtaita-hz4zt
      @nanguniMtaita-hz4zt 18 дней назад +1

      Itabidi tupige kura kwa Baba Mungu muumbaji, maana wajinga ama waliopachikwa pakacha la upumbavu nao ni wengi. Kura yenyewe iwe hivi " Wanaosema Mungu ampe Makonda maisha marefu na Wanaosema Mungu ampe Makonda chango la tumbo Afe tusimuone kelele zake za kinafiki kama Mwenda zake, tumuachie mwamuzi.

  • @user-mf2ll7nz5g
    @user-mf2ll7nz5g 24 дня назад +15

    Huyu dada safi sana.Mungu amjaalie

  • @user-gp2ue2ny6n
    @user-gp2ue2ny6n 22 дня назад +3

    Makonda the big brain 🎉

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 24 дня назад +14

    Makonda nimekuelewa kabisa unapokuwa mkali tiyari una taarifa mbele yake

    • @deogratiusyudatadei5658
      @deogratiusyudatadei5658 22 дня назад +1

      Huyu ni magufuli kabisa yani anakuuliza swali mbalo tiyari ana majibu yake

  • @stevenmrama3123
    @stevenmrama3123 23 дня назад +9

    Nchi unapaswa kuwa na viongozi wa namna hii Safi sana mhe makonda

  • @user-xg2kq4ym8w
    @user-xg2kq4ym8w 22 дня назад +4

    Naamini kabisa hata makonda alimkubari huyu Eng dada,Makonda unafanya kazi nzuri na safi sana.

  • @steynjohnr5930
    @steynjohnr5930 20 дней назад +8

    Huyo dada pia ni mwananchi anayefanya kazi kwa jasho na kodi yake ndiyo imekuweka wewe mkuu wa mkoa hapo so you need to talk to her with respect. No human being should be embarrassed like this, this guy is not a leader, what lesson are you giving to the younger generation?

  • @johnmbatta9872
    @johnmbatta9872 22 дня назад +7

    Makonda, unakubalika. Chapa kazi, baadhi ya watumishi wa serikali wamekuwa siyo waaminifu.

  • @bishopmosesmagadula7572
    @bishopmosesmagadula7572 24 дня назад +11

    Huyu dada ametulia YUKO VIZURI makonda amejaribu kumbabaisha LAKINI YUKO VIZURI

  • @margaretjoseph6501
    @margaretjoseph6501 24 дня назад +5

    Big up Engineer

  • @jumahalfani6789
    @jumahalfani6789 24 дня назад +29

    Sometimes viongozi tumieni busara mtu anjibu vizuri una intaract as if hukutaka hayo majibu...tuheshim kaz za watu

    • @saidisheha5366
      @saidisheha5366 24 дня назад +2

      Majibu yapi hapo yaniumwache mtu ajiandae kudanganya. Chapa wafujaji wote

    • @user-kr9xx8br4o
      @user-kr9xx8br4o 23 дня назад +3

      Sababu ya Interaction haikuwa ufujaji bali maringo.
      Mm nimetazama hii clip, sioni maringo kuhusu huyu Engineer.

    • @dezruh
      @dezruh 22 дня назад

      Hakika

    • @tausikiyabo6302
      @tausikiyabo6302 22 дня назад

      Yes tena anamuongelea maneno yakukaraisha ila injinia kasimama vzr yuko vzr anamjibu kila kona

    • @YusuphLyatenga
      @YusuphLyatenga 20 дней назад +1

      Makonda anavuka mipaka mda mwingine

  • @lilylema5292
    @lilylema5292 23 дня назад +8

    Dada hongera kupambana na hiki chuma sio kazi rahisi. Bright with brain. Mm ningeshazimia

  • @FatumaTupa
    @FatumaTupa 21 день назад +3

    Pole Dada izo ni changamoto tu za kazi

  • @lilylema5292
    @lilylema5292 23 дня назад +5

    Mwalimu umepambana hongera huyu jamaa ni moto

    • @HatibuHatibu-cd7hs
      @HatibuHatibu-cd7hs 18 дней назад

      Aisee kwanza nimecheka...huyu jamaa ni mwanaume..ana maswali nondo

  • @bensonmhone4822
    @bensonmhone4822 23 дня назад

    Madam Mhandisi has nailed it. Very composed

  • @engzuberir.akilenza1764
    @engzuberir.akilenza1764 22 дня назад +10

    Halafu kuwa na cheo haina maana mtu una akili nyingi kuliko wengine.

  • @johnsway5253
    @johnsway5253 23 дня назад +9

    Engenier ndio amekuja kuokoa wenzake

  • @user-cz7bd9tc5k
    @user-cz7bd9tc5k 19 дней назад +1

    Mwalimu Uko vizuri sana una sitahili sana hongera sana

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s 22 дня назад +6

    Huyu engineer ndiyo chanzo cha kuliwa hela za shule,makonda piga kazi

  • @isikezuberi4292
    @isikezuberi4292 20 дней назад +5

    dada huyu ni zaidi ya mkuu wa mkoa

  • @vedastusmdapo3837
    @vedastusmdapo3837 23 дня назад +3

    Makonda Yuko vizuri saana,naomba tu awe mvumilivu asikate hoja ya mtu hasa watumishi katikati ,anawatoa kwenye hoja wanaingia woga.Injinia Dada naomba apandishwe cheo huyo nimempenda.

  • @franciskassanga7999
    @franciskassanga7999 24 дня назад +13

    ukiwa mtaalam, unatakiwa kutoa majibu manyoofu, sasa watendaji wengi wana majibu ya siasa, Dada anaulizwa, mil 400 za ziada zinatoka wapi? sikiliza jibu lake,...blaaa blaaa nyingi, hapo ndipo Mh. Makonda anapokerwa, maana anahitaji jibu nyoofu, mfano alitakiwa kusema...tutafanya funds raising event kupata mil 400, ...Jambo lingine la msingi, wao kama wataalam + kamati ya Ujenzi walitakiwa kukaa kikao, kuandaa muhutasari wenye hoja za kusema mapema kwamba makadirio yaliyofanyika na TAMISEMI hayana uhalisia, so mradi hautaweza kukamilika kwa wakati wala kwa ubora ambao umetarajiwa sababu ya mfumuko qa bei, so way forward wapatiwe ongezeko la pesa ama maelekezo ambayo yatawaongoza kutekeleza mradi kwa budget iliyopo ambayo ni pungufu. ! (Tupeni kazi, tuchape kazi !!)

    • @GeofreyKalo-ot3we
      @GeofreyKalo-ot3we 24 дня назад

      Hujamwelewa huyo dada kajitahidi sana kujibu

    • @paulpaschal4798
      @paulpaschal4798 24 дня назад

      Sure hajaelewa

    • @paulpaschal4798
      @paulpaschal4798 24 дня назад +1

      Binafsi mkuu wa shuke na engineer waamejtahd sana gharama zao zipo secified kuna mrad mtu anakutajia ghrama had maini yana cheza mwl mkuu anasema gharama ambazo taasisi za serikali zinadhibitsha kwannza mkuu wa shule kajjtahid kuongonza waliomzd elimu

    • @barikimollel7890
      @barikimollel7890 24 дня назад

      ​@@GeofreyKalo-ot3wehamna Kitu Huyo Dada kilaza

    • @stevenmrama3123
      @stevenmrama3123 23 дня назад

      Umeongea vizuri nyongeza ni kwamba ukishaona umepewa kazi ambayo mwisho wake unaweza kupokea lawama unapaswa uiandikie tamisemi barua ya aina ya mapungufu kwenye budget yao waliyotoa ,huku ukibainisha changamoto ya kimanzingira .mfano gharama ya ujenzi dar ni tofauti na shinyanga , mwanza,Arusha ,moshi.kutokana na mazingira ya kijiografia.sasa wataamu wetu .awaendi zaidi .

  • @tausikiyabo6302
    @tausikiyabo6302 22 дня назад +3

    Injinia hongera huko vizuri sanaaaaaa unafaa kapandishwa cheo hongera hongera

  • @gaudenciamallya9779
    @gaudenciamallya9779 22 дня назад +3

    UKISIKIA “MWANAMKE NA NUSU” (Harmonize” NI HUYU INJINIA. KEEP IT UP MAMA UNAWEZA!

  • @user-gt5yd4no7c
    @user-gt5yd4no7c 19 дней назад +2

    Dada huyu very intelligent kabisa

  • @tiffanymo9453
    @tiffanymo9453 15 дней назад

    Good questions Mh Makonda ,well done

  • @samuelemmanuel3400
    @samuelemmanuel3400 16 дней назад +1

    Dada yupo smart 🙌🏽 kajibu kwa facts, Ameku outsmart mkuu wa mkoa dah🙄

  • @AyshaMussa-xs2ut
    @AyshaMussa-xs2ut 24 дня назад +8

    Engineer yupo vizur tu mbona

  • @MichaeliSimwinga-fd1fo
    @MichaeliSimwinga-fd1fo 14 дней назад

    Your the best makonda God bless u

  • @LeonilaBerikali
    @LeonilaBerikali 21 день назад

    Congratulation professional eng.

  • @jaywi5681
    @jaywi5681 17 дней назад +1

    Mhe. Makonda kuhoji kwako kumesaidia kupatikana kwa ukweli juu ya changamoto ya wataalamu waliopo Wizarani kufanya makadirio ya kiwango cha chini ukilinganisha na gharama halisi za ujenzi wa Mradi. Matokeo yake miradi inashindwa kukamilika na kuonekana wasimamizi wamekula fedha. Hongera sana wanaokubeza wameangalia upande mmoja tu.

  • @JennipherGabriel-rx6jc
    @JennipherGabriel-rx6jc 5 дней назад

    Huyu dada naamini alilia sana jamn pole ndo maisha tujitahidi kufanya kazi jamn

  • @nasrahassan7346
    @nasrahassan7346 23 дня назад +1

    ingeneer yupo vizur dada mashaallah

  • @Stellastella-yi5vu
    @Stellastella-yi5vu 23 дня назад +5

    Eti ana mke mzuri ,Mungu tusamehe hatujui tutendalo.dharau iyo

    • @NeemaSamson-ti8pc
      @NeemaSamson-ti8pc 20 дней назад

      Yaaani mambo ya mke wake sijui yanahusikaje hapo daaaah

  • @HenrickNyahi
    @HenrickNyahi 20 дней назад +2

    Dada ni moto sana popote ana kaa huyu hajakubali kutingishika hata alipotingishwa dadeki nimeipenda sana hii Japo mwamba nae fresh anapambania wananchi Japo sikuona kama dada Kuna alichozingua kias Cha kumwambia maneno Yale ya mchumba sijui na nn

  • @Godlove-yh5pp
    @Godlove-yh5pp 20 дней назад

    Hongera sana mdogo wangu Grace, keep it up with calmness

  • @SHIJADAVIS
    @SHIJADAVIS 21 день назад +3

    Wapendwa tutumie lugha, nzuri. Haijalishi mtu unamzidi kazi.

  • @isayakalinga6475
    @isayakalinga6475 21 день назад +2

    Huyu mama anaongea vizuri sana jamani anajua kufafanua Mambo

  • @mussakayenze2276
    @mussakayenze2276 24 дня назад +9

    Mweshimiwa Mkoa

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 24 дня назад +1

      KUMBE ULISIKIA KAMA MM 😂😂😂😂😂

    • @jojigeorige1056
      @jojigeorige1056 24 дня назад

      😂😂 injinia kishazoea ma SI UNITS kuanza kuhangaika na " mheshimiwa mkuu wa mkoa" maneno mengi sana kwa injinia😂😂

    • @SophiaMfanga-sn2xv
      @SophiaMfanga-sn2xv 22 дня назад +1

      Nimecheka jmn

    • @user-sx1xi4yb2z
      @user-sx1xi4yb2z 19 дней назад

      😂😂😂😂

  • @saidakiwale9227
    @saidakiwale9227 20 дней назад +3

    Jamani sijapenda kabisa maneno ya Makonda huyo dada yupo kikazi hizo kashfa za nini huyu dada nae anamumewe mzuri tu unadhalilisha siyo powa

  • @user-uv1gk9og4n
    @user-uv1gk9og4n 21 день назад +3

    makonda hunaakili achakudhalilisha wanawake kama unamke mzuli wakwako nyumbani kwako

  • @user-bm5zm8ls2d
    @user-bm5zm8ls2d 20 дней назад +5

    Uongozi ni kazi hivi angekujibu na mimi nina mwanaume handsome ingekuwaje sasa nadhani hata mkuu amejutia tumsamehe bure sisi wanawake maana wanawake wote ni wazuri kwa namna ya uumbaji wa.Mungu

  • @JosephuSwai
    @JosephuSwai 22 дня назад +4

    Mbona mke wako siyo mzuri tunamjua

    • @NeemaSamson-ti8pc
      @NeemaSamson-ti8pc 20 дней назад

      Mwambie huyo labda sisi wengine sio wanawake ila ni mifano ya wanawake

  • @MechtildaNshange-ye8zy
    @MechtildaNshange-ye8zy 24 дня назад

    Engeneer mama uko vizuri unajisimamia

  • @devisshirima6780
    @devisshirima6780 22 дня назад +3

    Yani ninamuona makonda kama Rais wa Arusha, yani najihisi kama nipo kwenye nchi iitwayo Arusha ambapo Rais wake anakagua maendeleo ya wananchi wake !! Yani ukuu wa mkoa ni kazi ndogo sana kwako unastahili kuihudumia nchi nzima kwa mamlaka kamili isiyo na kizuizi. Ninamuomba Mungu siku moja nimshuhudie Amiri Jeshi mkuu anayeitwa Paul Christian Makonda !! Viva Baba viva

  • @samlutubija1229
    @samlutubija1229 20 дней назад +3

    Makonda yuko sahihi na mama Engineer yuko sahihi

  • @WillyKasala255
    @WillyKasala255 19 дней назад +1

    Mheshimiwa piga kazi,usiwasikilize hawa wasojua lolote zaidi ya kupinga haki za wananchi zisitimizwe upo sahihi kuhoji swali lolote maana huo ni wajibu wako ndani ya mkoa kwa masilahi ya Watanzania@kazi iendelee👍

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 24 дня назад +7

    Mwl.kufanya kazi mbili.inasumbua

  • @emmanuelmziray1073
    @emmanuelmziray1073 24 дня назад +18

    Makonda una makosa saaaanaa wewe. Hongera Dads Engineer

  • @lightwilliam4443
    @lightwilliam4443 17 дней назад +1

    😅dada kampa mrejesho huo muuliza maswali,kampigapiga na vingereza vya kikazi muuliza maswali hoi umbea wote kwisha.ndio maana anakuuliza kwa hasira mwenyewe hajielewi😂😂😂 safi sana dada eng.

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 24 дня назад +7

    Pongezi kwako mwl.kazi umefanya.

  • @annemateo2999
    @annemateo2999 7 дней назад

    Daaaaajh najuta kuagalia hii leo Brother Makonda this isBig Noo, muombe msamahaa huyu dada kama unampenda Mungu

  • @AK-rd5zr
    @AK-rd5zr 23 дня назад +3

    😂😂 hapa Makonda ameomba poo….. mdada ako safi sana kitaalamu. Amesoma na amenyooka.

  • @loikimdemu-xu1ug
    @loikimdemu-xu1ug 24 дня назад +14

    Kaka piga kazi Makondo oyeeeerr🎉

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z 20 дней назад +1

    DADA SMART SANA

  • @nellynathan-hf2by
    @nellynathan-hf2by 21 день назад +4

    Hapana makonda mm ni shabiki yako mda mwingne nawish uwe rais WA nchi hii lkn busara zako ni kdogo

  • @user-ze2nk8cw5s
    @user-ze2nk8cw5s 20 дней назад +1

    Makonda mungu akulinde unafanya kazi. Naomba siku moja uwe mkuu wa mkoa wa Tanga

  • @user-zu8ou2oe4c
    @user-zu8ou2oe4c 24 дня назад +16

    Makonda maswal mengne unamuonea huyo mtaalam kama hela haitoshi yy afanye nn

  • @isaacvtv547
    @isaacvtv547 24 дня назад +5

    M 1 amesema hawadaiwi mwingine 80 millions 😢😢

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 22 дня назад +2

    Vzur dada , hapoo n kaz kaz ,makondo anafanya kaz ajari n kwaidaa tuu usjar

  • @leahngerageza
    @leahngerageza 23 дня назад

    Majibu ya kitaalamu kabisa Hongera dada

  • @MnyamaTolu-kd5ct
    @MnyamaTolu-kd5ct 20 дней назад +1

    HAWA WANAOSHANGILIA NASHINDWA KUELEWA VICHWA VYAO VINAFKIRI NN NAVINAUWEZO WAKUSMAMIA NN kiukweli nmeumia sana dada usifunjike MOYO Mungu yupa1 naww.

  • @gracewilliam4102
    @gracewilliam4102 24 дня назад +7

    Makonda acha kumkolomea huyu dada msikilize kwanza huyo dada

  • @gwantwamwalyaje8515
    @gwantwamwalyaje8515 24 дня назад +5

    Makonda Ni Wa Hovyo Wewe Unalazimisha Tuhuma Zisizo Na Maana Ili kuwaingiza Kwenye Makosa Watumishi

  • @user-hb9pv2pt8x
    @user-hb9pv2pt8x 18 дней назад +1

    Sema Ngoma imeenda droo,nipe nkupe in short sijajua imeishaje kwa kwel

  • @dannysix4475
    @dannysix4475 21 день назад +2

    Mh. uko sawa kabisa: sio mambo ya kuangalia sula ya mtu. Swali ulikuwepo.!! sikuwepo sasa unajibu nn.

  • @elizabethkikoti7265
    @elizabethkikoti7265 22 дня назад +7

    Makonda nakufatiligia Nakupenda ila kwa kumkejeli huyu dada sijapenda sio vizuri unakoelekea kwa kuwajeli watumishi wa kazi tutakuchukia ghafla

    • @sophsoph4740
      @sophsoph4740 22 дня назад

      Tena san tutamchukia 😢

    • @elizabethkikoti7265
      @elizabethkikoti7265 22 дня назад

      @@sophsoph4740 umeon my

    • @KhmsNsr
      @KhmsNsr 22 дня назад +2

      HAKUNA MPIGAJI YEYOTE ATAMPENDA MAKONDA WOOTE WAPIGAJI SERIKALINI LAZIMA WAMCHUKIE MAKONDA

    • @marykasanga4012
      @marykasanga4012 21 день назад

      Kabisa nimpuuz huwez.mzalilisha hivyo

    • @elizabethkikoti7265
      @elizabethkikoti7265 20 дней назад

      @@KhmsNsr sio kwamba simpend makonda nampenda sana tena sana mpk mb zangu zinaisha kumuangalia yeye na jerry slaa tatizo linakuja unatakiwa kutumia kauli nzuri hyo kauli me binafsi sijapenda nimeumia kwani angemfokea kawaida tungelalamika kauli hyo y huyo dada alivyomwambia siyo vizuri tusijisahau sana ndo mn hata yy badae Alijua amekosea kusema vile huo ndo ukweli inauma sana unavyodhalishwa mbele za watu

  • @juliusabdul-cc9wn
    @juliusabdul-cc9wn 14 дней назад

    tunaitaji kiongozi kama makonda, tumeajili wote kwanzia raisi mpka mwenyekiti, ahsante mama kwa zawadi hii ya makonda

  • @user-gx4jx4gv9l
    @user-gx4jx4gv9l 21 день назад +3

    Ukiona watu wengi wanatetea ujinga jua hao ni wanufaika sijaona mtu akiwaonea huruma wananchi.

  • @estherdalleiy1461
    @estherdalleiy1461 20 дней назад +6

    Dada wawatu kajibiwa vby maskini sjui vipi ee mungu naomba mwanangu awe natabia nzuri zakumpendeza mungu na jamii asiwe namajivuno kam mwafulani

  • @user-bq7rl1fi6t
    @user-bq7rl1fi6t 20 дней назад +1

    huyu jamaa ni genius

  • @dastansimpanzye4019
    @dastansimpanzye4019 21 день назад

    Daa! Kazi sana

  • @husseinshabani3306
    @husseinshabani3306 20 дней назад +1

    Boc anafanya kazi nzri sana. Ila hapa kama binaadam na nikijana alikengeuka. Maybe totoz lilimkomfuse. Si unaona anamashauzi ya kibinti lazima udenda ukutoke.❤😂

  • @user-de1wm3of2l
    @user-de1wm3of2l 24 дня назад +6

    Sasa kweli atakama nini usikilize mtu kwanza ulivyo mwongelesha uyo mwanadada so poa usiongeleshe mtu kwa matharau hivyo mh

    • @GeofreyKalo-ot3we
      @GeofreyKalo-ot3we 24 дня назад +2

      Makonda anatabia ya kudhalilisha watu sana

    • @KhmsNsr
      @KhmsNsr 22 дня назад

      HAKUNA MTU MUOVU ATAMKUBALI MAKONDA ABADAN 😂 UKIONA MTU ANAMPONDA MAKONDA JUA NDO WALE WALE TU WAPIGAJI😂

    • @GeofreyKalo-ot3we
      @GeofreyKalo-ot3we 22 дня назад

      @@KhmsNsr na we nawe hujui tunachoongeleahapa! Tumesema makonda anafanya Kazi vizuri Ila kwa swala lahyudada tu kachemka hauwezi ujambabaisha mtu hivo na kauli mbovu kama hujaelewa bs

    • @KhmsNsr
      @KhmsNsr 22 дня назад

      HAKUNA MPIGAJI YEYOTE ATAMPENDA MAKONDA ABADAN ATATAFUTA CHAKA TU.

  • @DennisDidas
    @DennisDidas 24 дня назад +7

    Huyu Dada anastahili nafasi kubwa, yupo vizuri sana.

  • @kigwashokanyelele8721
    @kigwashokanyelele8721 20 дней назад

    Safi sana Engineer

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala3303 23 дня назад +2

    Engner mama SSH teua uyo binti yuko Vizuri mpe nafasi akusaidie kazi siyo kilaza msomi mzuri

  • @DandasiKundi
    @DandasiKundi 2 дня назад

    Raisi wetu mama Samia tunaomba utupe sisi wananchi wa mkoa wa pwani utupe makonda awe mkuu wetu wetu wa pwani angalao Kwa muda wa mwaka mmoja tu ili tusonge mbele namkubali sana ni mtendaji mzuri sana na ni mfuatiliaji Kijiji Hadi Kijiji atatupa maendeleo sana. Tunakuomba mama Samia.

  • @user-be7tj5su4z
    @user-be7tj5su4z 19 дней назад

    Safi sana dada umejitaidi ❤❤❤

  • @bulugubujashi6378
    @bulugubujashi6378 24 дня назад +1

    Safi engineer umefanya vyema sana

  • @abcosecomartialarts4321
    @abcosecomartialarts4321 24 дня назад +2

    Engineer Safi Sana anastahili

  • @prosperjuma905
    @prosperjuma905 20 дней назад +1

    Hongera dada hukupanic, wala hukuruhusu hasira. Una shule ya maana.

    • @StellaMwasha
      @StellaMwasha 20 дней назад

      Umeona ee huyo ni kiongozi kabisa