''TUTAWANYOOSHA NINYI - AKIYAMUNGU'' - MAKONDA AJIAPIZA - SAKATA ZITO la WAZEE wa SACCOS na MATREKTA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 май 2024
  • ''TUTAWANYOOSHA NINYI - AKIYAMUNGU'' - MAKONDA AJIAPIZA - SAKATA ZITO la WAZEE wa SACCOS na MATREKTA...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 74

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  23 дня назад +5

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @user-jz6wu1ed1h
    @user-jz6wu1ed1h 22 дня назад +8

    Ninakufunika kwa damu ya Yesu kristo mwana wa Mungu aliye hai, Makonda wewe ni mtumishi wa Mungu

    • @dorahmushi-we6ts
      @dorahmushi-we6ts 22 дня назад

      .tumishi wa Mungu aliye hai, Mungu azidi kuwalinda kundi lote la ukombozi....
      Hii ni ukombozi timu ikiongozwa na Makonda..Mungu azidi kuwatangulia.

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts 22 дня назад +8

    T M U...
    Team Makonda Ukombozi.
    Naomba wote tunaoiona kazi ya mheshimiwa Makonda na team yake chini ya uongozi wa mama Samia tujuane.

    • @maryamabdallah3140
      @maryamabdallah3140 19 дней назад +1

      Tupoooooooooooooo tumejaaaa teleeeeee hata wale waliokuwa wanamuita Bashite nao wameungana nasiiiii....safi sana Makonda Mungu akufunike pande zote ...

  • @JosephSaidi-db2rv
    @JosephSaidi-db2rv 22 дня назад +5

    Makonda Mungu aendelee kukupigania
    Kwa kuwa unapambania haki ya masikini na watu wa hali ya chini

  • @JosephSaidi-db2rv
    @JosephSaidi-db2rv 22 дня назад +8

    Raisi wetu mheshimiwa Dakitari Samia Suluhu Hasani tunakushukuru kutuletea huyu kiongozi mahiri Makonda
    Kiongozi mwenye maono
    Asiependa mtu kudhulumiwa
    Mwenye kutetea haki
    Mama Yetu Samia Mungu akubariki

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts 22 дня назад +2

    Makonda na timu yako, Mungu wa mbinguni azidi kuwatangulia...awalindeee....
    Hiyo kazi siyo rahisi kabisa,
    Zaburi ya 35..Bwana akatete nao watakaoteta nanyi na akapigane nao watakaopigana nanyi, jina la Yesu likawafunike kwa jina kuu la Yesu Kristo.

  • @laizermaasai6759
    @laizermaasai6759 23 дня назад +5

    Yaani najiskia vibaya mpka machozi yananitokaa. Kuna sehem nying sanaaa watu wananyimwa haki zao na kutesekaaaa. Makonda Mungu wa Mbinguni akubarik kwa hivi unavyovifanya

  • @mswakisaid2320
    @mswakisaid2320 22 дня назад +4

    Mkuu wa mkoa wa kipekee🇹🇿
    Mungu akupe nguvu

  • @user-dq1wz9fw6n
    @user-dq1wz9fw6n 22 дня назад +3

    Hii nchi Mungu aliumba vizuri sana akamuumba Makonda ,Mungu naomba umlinde huyu,

  • @japhetkarori5230
    @japhetkarori5230 23 дня назад +10

    Uyu jamaa makonda ata mumpe mwenyekiti wa kijiji anajaza watu tu...kwa kazi zake.

    • @petersilas4234
      @petersilas4234 22 дня назад

      Kwani ukiwaaminisha watu kwamba una dawa ya matatizo yao yote wataacha kukufuata, ila utaweza kuwaona wote, mfumo ndio unaotakiwa kufanya kazi sio mtu.

  • @user-gx4vx5ru2u
    @user-gx4vx5ru2u 22 дня назад +1

    Mwenyezi Mungu akulinde baba njoo oljoro

  • @rabylicious7178
    @rabylicious7178 23 дня назад +2

    Mzee anawapa za vichwa tuu "humu tu, humu tu" makonda Baba mungu akulinde 🤲🙏😘

  • @salvakimati1944
    @salvakimati1944 23 дня назад +5

    Mzee yuko nondo sana

  • @neemaemanuel1058
    @neemaemanuel1058 21 день назад +1

    Kazi nzuri sana makonda

  • @GodlistenNdetaulwa
    @GodlistenNdetaulwa 22 дня назад +1

    Kwakweli Makonda kazi unayo fanya kutetea hawa watu ni Mungu akulipe tu .

  • @LeonardKasulwa
    @LeonardKasulwa 22 дня назад +1

    Hivi mambo haya anayo shughulika nayo Makonda leo Arusha, viongozi wa serikali waliopita mkoa huo, hawaoni aibu kuishi katika nafasi zao miaka yote hiyo wakipokea mishahara minono na bila kuwashughulikia wananchi si wanaona aibu sana? Hawastahili kuendelea kushika nafasi zozote serikalini. Hongera Baba Makonda, nakufunika kwa damu ya Bwana Yesu, na Mungu peke yake akulinde asbh, akulinde mchana, akulinde jioni na siku zote za maisha yako. AMEN

  • @yothamgwanika9530
    @yothamgwanika9530 22 дня назад +2

    Slaa +makonda good solver

  • @NicIbrahim
    @NicIbrahim 22 дня назад +1

    Makonda unakazi kubwa hapa God with you

  • @nowamateyo3318
    @nowamateyo3318 20 дней назад

    Mungu akubariki saxna makonda endelea kuwa zikilisa wanyongeeee

  • @WazirJuma-gd5oo
    @WazirJuma-gd5oo 23 дня назад

    Makonda mungu akusaidie unapambana sana daah

  • @hategekimanamariespeciose5701
    @hategekimanamariespeciose5701 19 дней назад

    Kweri kbx baba

  • @faridahalil4456
    @faridahalil4456 5 дней назад

    Microphone 🎤 sio nzuri

  • @emmanuelbernard9552
    @emmanuelbernard9552 22 дня назад +3

    Unapeleka kesi kwa bashe.hana msaada huyo bashe

  • @maryjames7438
    @maryjames7438 20 дней назад

    Hahahahaha nimempenda Bure Mzee amsi safi sana baba

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala3303 20 дней назад

    Duh!!

  • @IsufuRajabu
    @IsufuRajabu 19 дней назад

    Hii nidamu ya Marehemu Dr John Pombe Magufuli

  • @mwinukafundibombanjombe
    @mwinukafundibombanjombe 23 дня назад

    🎉🎉🎉🎉maua yangu kwa Mzee

  • @IbrahimMotors-vl9ii
    @IbrahimMotors-vl9ii 23 дня назад

    Babu hanamsuka hatar sana, safi sana mzee

  • @zaitunihussein
    @zaitunihussein 7 дней назад

    Kimeumana

  • @edwinmsuya3813
    @edwinmsuya3813 22 дня назад +1

    Saccos nishida sana kuna sacoss moja ipo mwanga inaitwa chawakuko nijipu

  • @judicalosika7642
    @judicalosika7642 20 дней назад

    Dah hii kali kweli.
    Eti hii ndiyo Tz ya ANANI!!!??

  • @janethelitwaza213
    @janethelitwaza213 5 дней назад

    Ee MUNGU mtunze MAKONDA

  • @user-ks7zc6kd7u
    @user-ks7zc6kd7u 23 дня назад +2

    Hao watu siyo wastaarabu

  • @salvakimati1944
    @salvakimati1944 23 дня назад +1

    Hahahaha eti komaa mzee daaah!

  • @zawadisisto8188
    @zawadisisto8188 21 день назад

    Ndio hayo makonda wanamuandama kusaidia watu kupata haki zao

  • @richardmaimu9596
    @richardmaimu9596 22 дня назад

    Hapa ndipo napomkumbuka Magufuli,

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 15 дней назад

    Ndo maana sipendi issue za saccos wizi mtupu

  • @nellynathan-hf2by
    @nellynathan-hf2by 22 дня назад +1

    Mhhhh,,,nikimwangalia rais WA bukinafaso na waheshimiwa wetu hawa kuna kitu naona.... Safr yetu ni ndefu sana

  • @user-zw6lg3px6d
    @user-zw6lg3px6d 20 дней назад

    Ivi tunajifunza nini?.

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 22 дня назад +1

    Tatizo LIKO SARCOSSSSS

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala3303 20 дней назад

    Ndio maana mimi sijui masakosi sijui upatu sijui kupena hela uwaga sifanyagi uo Upuudhi bora nife masikini unaona ubabaishaji

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala3303 20 дней назад

    Mzee Nicodemsi ana point Asilimia 100% wapewe kadi zao

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 20 дней назад

    Makonda mimi siku tukikutana nitakupa mkono wangu wa shukurani

  • @mc-stephenmasome6553
    @mc-stephenmasome6553 21 день назад

    Baadhi ya watumishi wa Umma, wanasababisha serikali yetu inaonekana mbaya

  • @user-pe8wh5bw2h
    @user-pe8wh5bw2h 22 дня назад

    Making baba nisaidie jm cna biashar mm ndy baba ndy mama naomb nipat ha lak moj

  • @apolinarymboya3231
    @apolinarymboya3231 22 дня назад

    Wana karatuu kuweni na ukimya mbona hamsikilizani

  • @issaidrisamusa5962
    @issaidrisamusa5962 22 дня назад

    Hii nchi Ina shida nyingi , atakayeniona namtukana, kumkosoa, ama kumpinga Rais anikate shingo. Hivi tu jambo la kimkoa linaumiza dogo je makubwa makubwa

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 21 день назад +1

    MWAKA YOYOTE KULA ZA URAISI TANZANIA 🇹🇿 ATAFANYA RICODI YA KULA TANZANIA 🇹🇿 HUYU MAKONDA NI MAKUFULI JUNIOR ❤❤❤❤❤

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala3303 20 дней назад

    Apo kuna janja janja apo iyo Insu wapewe kadi zao na hati zao waache utapeli

  • @FlorenceOttaru-jv4fi
    @FlorenceOttaru-jv4fi 12 дней назад

    Kosa la huyu dada ni lipi hapo

  • @saadatiyahyashabani-yg2xy
    @saadatiyahyashabani-yg2xy 22 дня назад

    Duh

  • @rukiawagaba2080
    @rukiawagaba2080 13 дней назад

    Kunasii kumbwa sakosi

  • @SelijusiMalambo-ur6cr
    @SelijusiMalambo-ur6cr 22 дня назад

    Ww mama acha ujanja mwanzo umesema Nini

  • @simonjuma2912
    @simonjuma2912 23 дня назад

    Mzeee ana piga kwenye mshono tu ...hawa ndio wazee wa arusha ninao wajua mm sio wazee wa Dar.....tu

  • @hbdina
    @hbdina 21 день назад

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿 Hivi hawa watumishi wa serikali akili mbovu.Haya madudu yote vipi mikoa mingine?Watu weusi tuna tabu sana.

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 20 дней назад

    Haramu ya mikopo

  • @petersilas4234
    @petersilas4234 22 дня назад

    Populism huzaa matatizo makubwa in the long run. Tumieni mifumo ya serikali na mkuu afuatilie kama mfumo unafanya kazi na ndio auwajibishe. Nabii Musa alifuata ushauri wa mkwewe, vinginevyo utachoka sana bwana .🤓🤓

    • @user-dq1wz9fw6n
      @user-dq1wz9fw6n 22 дня назад +2

      Mfumo hauwezi tengenezwa kwenye pango la wezi,kuchoka Kwa kutetea haki ndiyo mwanzo wa kuotesha m egu za haki vichwani mwa wananchi wa kesho

    • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
      @RubenMtuwaMungu-bz8ee 20 дней назад

      ​mfumo hujengwa kuanzia ngazi ya familia, @@user-dq1wz9fw6n

  • @AwaziRajab
    @AwaziRajab 22 дня назад

    Weifa Za Tanzania Zingekua Na Kasi Kama Ya Makonda Basi Tz Isingeitwa Dunia Ya Tatu Mana Dunia Moja Lakini Tuko Dunia Ya Tatu Wazungu Wanaenda Mwezini Sisi Intaneti Tabu

  • @deniskamamba7347
    @deniskamamba7347 23 дня назад +2

    Huyu ni mkuu wa mukowa au ni rais wa inchi.?naomba taifa ritafakari juu ya utendaji wa makonda ktk taifa hili .

    • @magrethmeela154
      @magrethmeela154 22 дня назад

      Jamani naomba mtuelewe hawa tib wana matatizo makubwa wanapenda kuuza na kung'ang'ania mali au dhamana za wateja wao

    • @tazrywiser5126
      @tazrywiser5126 22 дня назад +1

      Rais tu kumpa hiyo dhamana tiyari hapo anafanya kazi ya rais sababu hayo ni matatizo ya mko a wake na ndivyo anatakiwa ashughulikie, sasa rais kweli atembee mkoa moja siku sita ?

  • @sanduulemo
    @sanduulemo 23 дня назад

    Je? Ni wananchi wangapi? Wenye shida nchi nzima hawana pakwenda kulalamika? Je? Niviongozi wangapi wanapenda kusikiliza matatizo yanayowakera wananchi?

    • @demicratia4071
      @demicratia4071 22 дня назад +1

      WENYE VYEOO VYAO WENGI sana wanakula mishahara ya BURE MAGARI YA BURE NINGEFURAHI WANGENUNULIWA BAJAJI

    • @demicratia4071
      @demicratia4071 22 дня назад +1

      Mawaziri wenyewe hawajulikani wanawasaidiaje wananchi wizi ndio huo ubakaji ndio ule TOP OF AGENDA mauaji ndiyo hayoĺ🎉 Magonjwa ndio hayo ma accident kila leo mafuriko duu balaa balaa juu ya balaa WARUSHAJI NI HATARI

    • @demicratia4071
      @demicratia4071 22 дня назад +1

      MAMA SAMIA APEWE HONGERA ZA MAKONDA NA SILAA. Wengine NO COMMENT😂