''WATU WENGI WENYE PESA WANANUNUA WATU - ILA SIYO MIMI - PESA NINAYO - ONDOKENI JUMATATU" -MAKONDA..
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- ''WATU WENGI WENYE PESA WANANUNUA WATU - ILA SIYO MIMI - PESA NINAYO - ONDOKENI JUMATATU" -MAKONDA..
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Ya Allah Makonda Mungu akujalie Kila lakher kwa huruma na kutenda haki kwa wanyonge
Mie makonda sina zaid yakusema mungu akubariki sanamdogo wangu
This man is balancing amemuhurumia Hadi mwenywkiti ambaye awali amembana haswaaa
Ma konda mungu akubariki akupe umri mrefu ili uwstetee wanyonge
Mungu mbariki saana Makonda!!!Amina
Makonda anachoka sana anafanya kazi zinazopaswa kufanywa na watu wa chini anaongea ,Mpaka anaishiwa nguvu anachoka.polemzalendo
Pole mwenyekiti utapona kaka
Good jobu
Huyo Mama ana dharau sana
Dharau gani wakati jamaa anaongea uwongo ni haki kusema mdogo kwake na si mzaliwa wa hio eneo tulize sis wazaliwa wa hapo na tunajua ukweli eneo ni Lao na jana imepimwa na hawa kina mama bado wanadai eneo sio kma huyu jamaa alivosema
Wajanja sana wasomali hata hiyo hati wamenunua
Ww hujielewi hati amenunua mbona makonda asimnyanganye hio hati iko kwanzia 1958 na huyu jamaa kapewa rushwa kuongea uwongo ili mwenyekiti ajiifiche maovu yake na hata sio mzaliwa wa hapo kahamia juzi juzi sisi ndo tumezaliwa hapo tulize tukuambie ukweli godown iliekwa na Shirika la chakula wala sio ya serekali ya kijiji wamevamia na kuwanyanganya wasomali eneo Lao miaka mingi serekali ya magufuli ndo wamepata haki yao na godown imeondolewa na mkuu wa wilaya sasa na walipewa mda waondoke wakawa hawataki
Na hio mita 1 anaesema jana survey wamenda kupima wamekuta bado hawa kina mama wanadai eneo Lao ukubwa wa kujenga room 12 sasa kesi imewalemea serekali ya kijiji kwa kusema uongo hawawezi kuvunja wakati bado wao ndo wanadai
Sio wa chini tu bali viongozi wengine watendaji,wakuu wa wilaya,wakurugenzi,wakuu wa mikoa hawajishughulishi wala kujua Jiografia ya maeneo yao na kero zao
Eneo wameshagawana na mama hajaingia kweny eneo la Kijiji,,mtafuteni kaka yake sio yeye jamani
Jana imepimwa upya sisi wananchi tukiwa mashahidi hawa kina mama kumbe bado wanadai eneo kubwa sio uwongo huyu jama alisema wao ndo wanawadai kwahyo hakuna kuvunja pka serekali ya kijiji wakanza kulaumiana jana wameogopa wamegundua kwamba kumbe serekali ndo bado inadaiwa eneo
@@najmanuru2021 safi sana,,maana walifanya kama wanamkomoa yule mama wakati aliwapa notisi
@@rewardyesse7314 kabisa wamepewa notisi mda kweli wakawa hawataki kutoka halafu jamaa anasema uwongo eti imedampiwa yan ukiangalia comment ya watu wengi wako kwenye ushabiki kuliko haki
Mzee nikichwa
Shikamoo makonda
Kwa hiyo sasa hayo ni marumbano.
Makonda Kuna muda analipukalipuka Kuna muda anakuwa sawa,,
Ni kweli kma hii kesi ya hawa kina mama ni haki yao jana imepimwa na survey mbele ya serekali ya kijiji imejulikana bado hawa kina wadai eneo kubwa na hapa huyu jama kasema uwongo mita moja na nusu kumbe serekali ndo inadaiwa
Nchi ina madudu hii
😂😂😂kajamaa kanoko😂😂 ila kanapoint..spana....inaendelea.
kama unazo za kutosha tugaie mm naona huna ela mkuu km vp nitumie
Utaonaje kama ana hela wakati umegubikwa ni blanketi la kimaskini 😂😂😂😂
Alafu mtu kama huyu hapewi kaxi wanapewa wezi😢😢
Tungepata kama 10 mfano wa huyu mama asingetabika sana
wenye pesa na pesa zao waache
Huyu mama kama vile msomali, waoneaj sana
Ni msomali uyo
Kwa hivyo ni hatia kua msomali. Kenge nyie
Ni mtanzania maana kama baba yao anahati 1958 yy mwenywe kazaliwa kisongo Acha ubaguzi ww
Ubaya ubaya tu pesa peleka kwa wanao
Kwanza huyu mama anatakiwa aongee na baba yako wewe acha upuuzi
Kabisa ni mdgo kwa huyu mama alafu sio mzaliwa wa kisongo tunamjua kahamia 3 years anajikuta mjuaji kuliko wazilwa wa kisongo anasema uongo kuhusu kiwanja ambao hajui ukweli wake hawa kina mama wateseka sana na haki yao wamepata wakati wa magufuli alitenda haki kuwarudishia
Huyo jamaa apewe uongozi hata ujumbe wa nyumba kumi itapendeza hajasoma sana ila inajuwa sheriya na haki ya wanainchi.
true man mama amenyylooka kwa sababu anafuatulia hiki haki yao kitambo
Mbona haki inapitoshwa ns huyu makonda ?
Haki ipi imepotoshwa?
Huyo jamaa kasema uwongo hawa wamama wameonewa mda sana alafu Iweje Leo mtu asimame anasema uwongo makonda angechunguza ajue ukweli kwanza ndo asimamie haki
HUYO MAMA MSHENZI. NA MUHUNI.
ukiingiliwa kwako zaidi ya miaka 30 na wewe pia utakuwa mshenzi na muhuni.. na siku ukipata haki yako na chanzo cha kuiba haki ya mtu mwingine.. utaiba tu
Ww ndo mshenzi na muhuni unaemtukana mama amabae ni kma mama yako je wako angetukanwa ungesiakiaje nenda muulize huyo jama aliekua anaropoka uongo jana kimewakuta nn serakali imetuma survey wamepima uwanja upaya wamekuta hawa kina mama ndo wamedhulimiwa bado wanadai eneo kubwa kabla hujacooment kitu uliza wenyeji wa eneo wakupe ukwel sio unaropoka ss tutamtetea huyu mama pka mwisho mama ni haki yao na ni mama mstarabu sana amesaidia wengi
@@mohammedkhimji7505mama yako au ww ungeingiliwa kwako zaidi ya miaka 30 hapo ndo ungejua na ww tungekuitia mama yako mshenzi na mhuni sijui ungjiskiaje jaribu kuheshimu watu hata kama sio mama yako na ukweli wa hilo eneo hujui
Wewe mama unachukuaje Sheria mkononi
Fatilia historia kabla ya kuongea mm mzaliwa wa kisongo najua ukweli wote kama huyu mama kachukua sheria mkononi mbona makonda asimkamate anahaki na title kwanzia 1958 wao ndo wamekuwa wanyonge miaka serekali ya magufuli ndo imewapa haki kwahyo unataka kusema magufuli hakutenda haki
Lakin pia huyu mama mbona eneo lake limekaa muda mrefu kwa manyangau na leo wanalalamika kwa kipande kidogo t
Alafu hicho kipande kidogo ni uwongo Makonda ingefaa afanye uchunguzi kabla ya kuongea amemkosea sana mama jana tumekuepo imepimwa upaya imekutwa bado hawa kina mama wadai eneo kubwa wakujenga room kumi na 12 mkuu wa wilaya kashafikishwa habari sasa huyu jamaa alikua anaropoka kitu hajui jana kimeumana serakali ya kijiji bado wanaidaiwa na hawa kina mama eneo kubwa tu
Arusha na arithi mnatuogopesha jamani kununua arthi watu nyie
Achukue form