Wandishi wa Bara mnapenda kutumia taswira ya mtu kama identity yake kuwa kichwa cha habari. Mbona ikitokea mlengwa ni Msukuma, Mnyamwezi au Mmasai hamuwezi andika kichwa cha habari ya identity yake? utasikia Muhindi, Singasinga, Muarab au ndio maadili ya uandishi?
Mh slaa ndo mfano wa watendaji wa serikali anatembea kusikiliza kero za wananchi na kuzitatua sio kuvaa suti na kukaa ofisini tu wakingojea mafaili kutia saini
Kwa nini usiandike mwekezaji wa asili ya kiasia kwenye mgogoro wa ardhi? Kwa nini uandike muhindi au unataka kufanya ionekane kama kafanya dhulma? Au una nia gani?
Inaonekana una Roho mbaya na katili wa nafasi yako,watu kama nyinyi maisha yamewashinda mmebaki na husda na Roho mbaya Kwa mwenye nacho,leo utamchumia muhindi kesho utamchukia mweusi kama wewe Kwa kuwa amejaaliwa neema.pole Kwa mateso unayoyapata ya yo choyo nafsi yako
Huyu waziri mwisho anafanya kazi kwa ikhlaas mashaallah Allah akuhifadhi
Waziri anafaa kupitiliza anaeleza kwa usahihi sana
Wandishi wa Bara mnapenda kutumia taswira ya mtu kama identity yake kuwa kichwa cha habari. Mbona ikitokea mlengwa ni Msukuma, Mnyamwezi au Mmasai hamuwezi andika kichwa cha habari ya identity yake? utasikia Muhindi, Singasinga, Muarab au ndio maadili ya uandishi?
Moja kati ya sifa za Headline ni Kuvutia So nikisema WAZIRI AMBANA SHABASH utaelewa?
Ila asant kwa Ushauri
Ni ubaguzi wa kiaina
Uko sahii umeisahau Ile ya mbeya Eti mchina😂
Hujasikia Wamasai wakitajwa Identity yao?
@@raitv2690sio kweli usitaje makabila ukisema mwekezaji inatosha
thanks so much
ministry
Mkuu waanglie vizuri huyo alievaa miwani huyo mama na mwenyekiti kuna kitu hapo
Hawa ndio madhulum. Mimi sehemu yangu mwenyekiti na katibu wamenidhulumu eneo langu. Kila kitu ninacho mimi wao wana nguvu ya kudhulum 😢
Wallah sijui kwnn namchukia huyu kamishna.na miwani yake ile daaah
Jamaa anawalakini kwenye utendaji wake mie mwenyewe naona kama adui hivi
Huyu miwani ni tatizo sana Sijui Waziri hajamstukia utafutaje utilising wa mtu na amesha develope
Mimi pia simpendi coz anafanya kinyume na sheria
Wahindi pia niwatu Acha ubaguzi haki nihaki tu
Kabisa unasema kweli
Nacheka sijui hawa ma commissioner wetu wanafanyaga nn.?mpaka waziri afike kweli .Sasa hawana aibu
Si wanangoja mshahara wewevpi😅
Mh slaa ndo mfano wa watendaji wa serikali anatembea kusikiliza kero za wananchi na kuzitatua sio kuvaa suti na kukaa ofisini tu wakingojea mafaili kutia saini
Tanzania yetu kusudi upewe haki yako. Mpaka apite slaa au Makonda kama sio hivyo MUNGU mwenyewe asaidie
waziri weka acount yako tukuchangie hata buku buku tu umalize matapeli wote wa ardhi
Kwa kwel😂😂😂
Huyu ndie raisi wetu mtarajiwa , kaaza udiwani kafuatia ubunge na uwaziri sasa tunakuombea kwenye uraisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Hao ni maofisa wa Ardhi lkn hkn kitu wanajuwa wao kazi ni kuvuruga watu wape Elimu Waziri
Mwenye kiti ni jipu
wenyeviti wa mtaa hovyo kabisa, yani hawa ndo wakusaidia wananchi. Nilitegemea kwakua wako wengi watakua na akili.
Mbona hakuna SAUTIIII
Kwa nini usiandike mwekezaji wa asili ya kiasia kwenye mgogoro wa ardhi? Kwa nini uandike muhindi au unataka kufanya ionekane kama kafanya dhulma? Au una nia gani?
Tunayafanyia kazi maoni yako
Kweli
Bro unaona mbali...ni kweli
HAKI YA KUISHI/MATUMIZI
Mbona hammalizii mnaboa
huu ni uzalilishaji kwanini mwanachi akaliee kiti cha ajabu
Sofa zirikosa
Timu ya kamera na timu ya sauti ni mbaya sana. Tunataka kuelewa suala hilo na sio kusumbua sauti za watu🙄
Asnt kwa Ushauri tunalifanyja kaz na Soon kila video yetu itakuwa na sauti nzur
Kuzaliwa sio umiliki wa Sehemu
Wahiindiii janjajaanjaa hapoo,
Matatizo haya yatakuja zaidi miaka ijayo kama ardhi inachukuliwa na wageni. Tutaanza lipia kodi kwa wageni ili watumegee ardhi.!
Inaonekana una Roho mbaya na katili wa nafasi yako,watu kama nyinyi maisha yamewashinda mmebaki na husda na Roho mbaya Kwa mwenye nacho,leo utamchumia muhindi kesho utamchukia mweusi kama wewe Kwa kuwa amejaaliwa neema.pole Kwa mateso unayoyapata ya yo choyo nafsi yako
Awo wahindi wezi too
Acha ubaguzi wewe
Wahindi sio waizi mbona sisi wenyewe ndio waizi weusi kwa weusi
Sisi ndio kesi zetu nyingi kwa kutapeliwa na weusi wenzetu