WAZIRI SILAA AKUTANA NA MGOGORO MZITO WA MUHINDI MWEKEZAJI | MAENEO YANGU YALICHUKULIWA NA VIONGOZI

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 47

  • @muhammednassor3569
    @muhammednassor3569 Месяц назад +4

    Huyu waziri mwisho anafanya kazi kwa ikhlaas mashaallah Allah akuhifadhi

  • @jumaambalima3012
    @jumaambalima3012 Месяц назад +8

    Waziri anafaa kupitiliza anaeleza kwa usahihi sana

  • @MrKhatibu
    @MrKhatibu Месяц назад +10

    Wandishi wa Bara mnapenda kutumia taswira ya mtu kama identity yake kuwa kichwa cha habari. Mbona ikitokea mlengwa ni Msukuma, Mnyamwezi au Mmasai hamuwezi andika kichwa cha habari ya identity yake? utasikia Muhindi, Singasinga, Muarab au ndio maadili ya uandishi?

    • @raitv2690
      @raitv2690  Месяц назад +2

      Moja kati ya sifa za Headline ni Kuvutia So nikisema WAZIRI AMBANA SHABASH utaelewa?
      Ila asant kwa Ushauri

    • @kazikazini1042
      @kazikazini1042 Месяц назад +7

      Ni ubaguzi wa kiaina

    • @funnuelmwalukasa4506
      @funnuelmwalukasa4506 Месяц назад +3

      Uko sahii umeisahau Ile ya mbeya Eti mchina😂

    • @1961nungwi
      @1961nungwi Месяц назад +2

      Hujasikia Wamasai wakitajwa Identity yao?

    • @fatmaabdallah7709
      @fatmaabdallah7709 Месяц назад

      ​@@raitv2690sio kweli usitaje makabila ukisema mwekezaji inatosha

  • @ahmadseaman3487
    @ahmadseaman3487 Месяц назад +2

    thanks so much
    ministry

  • @bongo39
    @bongo39 Месяц назад +6

    Mkuu waanglie vizuri huyo alievaa miwani huyo mama na mwenyekiti kuna kitu hapo

    • @reynaaalrawahi4137
      @reynaaalrawahi4137 Месяц назад +2

      Hawa ndio madhulum. Mimi sehemu yangu mwenyekiti na katibu wamenidhulumu eneo langu. Kila kitu ninacho mimi wao wana nguvu ya kudhulum 😢

  • @shafiisaidi9640
    @shafiisaidi9640 Месяц назад +5

    Wallah sijui kwnn namchukia huyu kamishna.na miwani yake ile daaah

    • @mohamedsaid2882
      @mohamedsaid2882 Месяц назад

      Jamaa anawalakini kwenye utendaji wake mie mwenyewe naona kama adui hivi

    • @Andres-qt6kp
      @Andres-qt6kp Месяц назад

      Huyu miwani ni tatizo sana Sijui Waziri hajamstukia utafutaje utilising wa mtu na amesha develope

    • @jazeerajuma5014
      @jazeerajuma5014 Месяц назад

      Mimi pia simpendi coz anafanya kinyume na sheria

  • @user-jd5ru7dr2r
    @user-jd5ru7dr2r Месяц назад +9

    Wahindi pia niwatu Acha ubaguzi haki nihaki tu

    • @Jal210
      @Jal210 Месяц назад

      Kabisa unasema kweli

  • @jtheophil5499
    @jtheophil5499 Месяц назад +5

    Nacheka sijui hawa ma commissioner wetu wanafanyaga nn.?mpaka waziri afike kweli .Sasa hawana aibu

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 Месяц назад +3

    Mh slaa ndo mfano wa watendaji wa serikali anatembea kusikiliza kero za wananchi na kuzitatua sio kuvaa suti na kukaa ofisini tu wakingojea mafaili kutia saini

  • @MACHOYATAI-jk6fu
    @MACHOYATAI-jk6fu Месяц назад +3

    Tanzania yetu kusudi upewe haki yako. Mpaka apite slaa au Makonda kama sio hivyo MUNGU mwenyewe asaidie

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 Месяц назад +7

    waziri weka acount yako tukuchangie hata buku buku tu umalize matapeli wote wa ardhi

  • @abdullayahya8717
    @abdullayahya8717 11 дней назад

    Huyu ndie raisi wetu mtarajiwa , kaaza udiwani kafuatia ubunge na uwaziri sasa tunakuombea kwenye uraisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

  • @froma3732
    @froma3732 Месяц назад +1

    Hao ni maofisa wa Ardhi lkn hkn kitu wanajuwa wao kazi ni kuvuruga watu wape Elimu Waziri

  • @Bashitetako
    @Bashitetako Месяц назад +4

    Mwenye kiti ni jipu

  • @martinwangwe8966
    @martinwangwe8966 Месяц назад +1

    wenyeviti wa mtaa hovyo kabisa, yani hawa ndo wakusaidia wananchi. Nilitegemea kwakua wako wengi watakua na akili.

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 Месяц назад +2

    Mbona hakuna SAUTIIII

  • @MohammedJaizan-yf5yt
    @MohammedJaizan-yf5yt Месяц назад +3

    Kwa nini usiandike mwekezaji wa asili ya kiasia kwenye mgogoro wa ardhi? Kwa nini uandike muhindi au unataka kufanya ionekane kama kafanya dhulma? Au una nia gani?

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 Месяц назад

    Bro unaona mbali...ni kweli

  • @mwanamutemi
    @mwanamutemi Месяц назад +2

    HAKI YA KUISHI/MATUMIZI

  • @Baba-nm4qz
    @Baba-nm4qz Месяц назад +1

    Mbona hammalizii mnaboa

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 Месяц назад +1

    huu ni uzalilishaji kwanini mwanachi akaliee kiti cha ajabu

  • @taliyagogo1481
    @taliyagogo1481 Месяц назад

    Timu ya kamera na timu ya sauti ni mbaya sana. Tunataka kuelewa suala hilo na sio kusumbua sauti za watu🙄

    • @raitv2690
      @raitv2690  Месяц назад

      Asnt kwa Ushauri tunalifanyja kaz na Soon kila video yetu itakuwa na sauti nzur

  • @froma3732
    @froma3732 Месяц назад +1

    Kuzaliwa sio umiliki wa Sehemu

  • @josephndunguru6290
    @josephndunguru6290 Месяц назад +1

    Wahiindiii janjajaanjaa hapoo,

  • @williamsenkoro2210
    @williamsenkoro2210 Месяц назад +3

    Matatizo haya yatakuja zaidi miaka ijayo kama ardhi inachukuliwa na wageni. Tutaanza lipia kodi kwa wageni ili watumegee ardhi.!

    • @mkude
      @mkude Месяц назад +4

      Inaonekana una Roho mbaya na katili wa nafasi yako,watu kama nyinyi maisha yamewashinda mmebaki na husda na Roho mbaya Kwa mwenye nacho,leo utamchumia muhindi kesho utamchukia mweusi kama wewe Kwa kuwa amejaaliwa neema.pole Kwa mateso unayoyapata ya yo choyo nafsi yako

  • @user-kh1tn6yr8b
    @user-kh1tn6yr8b Месяц назад +1

    Awo wahindi wezi too

    • @mkude
      @mkude Месяц назад +1

      Acha ubaguzi wewe

    • @shamzone388
      @shamzone388 Месяц назад +2

      Wahindi sio waizi mbona sisi wenyewe ndio waizi weusi kwa weusi

    • @lailafakhihaji
      @lailafakhihaji Месяц назад +1

      Sisi ndio kesi zetu nyingi kwa kutapeliwa na weusi wenzetu