"Nisikilize MAMA Mimi KUFOKA Siwezi,Kinachonikera Mtu AKINITUHUMU Kuwa SITENDI HAKI"-Waziri Slaa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 421

  • @marykibindu5524
    @marykibindu5524 6 месяцев назад +27

    Nakufuatilia kwa ukaribu sana Mh. Waziri hakika nafurahishwa sana na utendaji kazi wako Mungu azidi kukuongoza katika majukumu yako.

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад +1

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 6 месяцев назад +27

    Mama akimaliza muda wake huyu Waziri alazimishwe achukue form, ana Moyo dhati wa kusaidia Wananchi

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

    • @Jal210
      @Jal210 6 месяцев назад +1

      Expected next President 2030

    • @joshuamuro9494
      @joshuamuro9494 5 месяцев назад +1

      He deserve in 2030

  • @JohnKilonzo-z1k
    @JohnKilonzo-z1k 6 месяцев назад +14

    Jeri slaa mungu akulinde kwa kazi unayofanya ni ngumu sana

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @dicksonkisanga7380
    @dicksonkisanga7380 6 месяцев назад +18

    Pole Sana mheshimiwa waziri hao watu ni wabishi na hawajathamini heshima uliyowapa hongera kwa kujitoa kwa level hiyo ndio maana ya uongozi.

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @AloyceMwakatala-si1rs
    @AloyceMwakatala-si1rs 6 месяцев назад +6

    Waziri yupo kazini, mchapa kazi kwa weredi nampenda sana huyu mzalendo

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @sistertrashid2488
    @sistertrashid2488 5 месяцев назад +3

    Nakupenda waziri kwaajili ya ALLAH upo vizuri na kweli upendi kufoka unasauti ya upole

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  5 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @furahaabonga6642
    @furahaabonga6642 6 месяцев назад +15

    Nimekubali kitu kimoja alichokisema mweshimiwa waziri et akuna watu wenye roho ngumu mbaya kama watanzania ilo nimekubaliana nae%100

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @MayagiloIsidoriPhilipo
    @MayagiloIsidoriPhilipo 6 месяцев назад +4

    Nimekupenda waziri wangu, ni mtu mwema,naona hofu ya Mungu moyoni mwako

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutfuatilia

  • @alhajikangalawe6178
    @alhajikangalawe6178 6 месяцев назад +2

    Asante Mh Magufuli anafarijika akiona unavyotenda haki....Msaidieni mama VEMA km hivyo, haki ya mtu isipotee Kuna Baraka za Mungu ktk hayo

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

    • @maclaudismail6606
      @maclaudismail6606 5 месяцев назад

      Acha hizo wangapi walioteuliwa na magufuli lkn hawapo kama huyu

  • @mwajohari4385
    @mwajohari4385 6 месяцев назад +1

    Mashallah,,mheshimiiwa jeli slaa,,nakupata sana toka alivyokuwa kata ya ukonga, na kufatilia sana upo vizuri toka nyuma,ndio mana, Mama alikuona upigaji wako wa kazi,,me nakufaham sana,,,ila nakuomba,, unaukumbuka kule mpaka wa kisarawe na ilala,, nakuomba mh,,ukalimalize ule mgogoro,,na ninajua sana unalifaham,,ulipambana sana,, Mungu akulinde ,

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @glorymanga3650
    @glorymanga3650 6 месяцев назад +3

    Wazirii napenda hekima yako,Mungu azidi kukutunzaa🙏🏽🙏🏽🙏🏽❤

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 6 месяцев назад +6

    Wa TZ ni wajuaji mbumbumbu waziri pole sana watakuzeesha hao

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @janejakina3725
    @janejakina3725 6 месяцев назад +10

    Baba waziri wa aridhi wewe ni msikivu sana na mvumilivu barikiwa kwa hilo.

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @williammwenda4135
    @williammwenda4135 6 месяцев назад +5

    Good job mheshimiwa, Mungu akuweke Sana.

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @ndinzeissa4778
    @ndinzeissa4778 5 месяцев назад +2

    Wazri nikweli imani inaumba mweyezi mungu akulinde akupe maishamarefu napenda sana unavyo weza wapa elim wana nchi wako au watanzania safi sana.muheshimiwa nabina adam walio wengi ni wagum sana kwasababu tulio wengi shelia hatuzijuwi ila twende polepole wataelewa tu sikumoja

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  5 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @jimmychengs1338
    @jimmychengs1338 6 месяцев назад +5

    Hii Kazi isikieni tu Jamani ni ngumu kinoma mambo ya ardhi magumu mno 😤

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @robertlubuva2315
    @robertlubuva2315 6 месяцев назад +7

    Tanzania alietunyima elimu alituweza hapo kitu gani ambacho hamumwelewi waziri?

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад +1

      Asante Kwa Kutufuatilia

    • @shaamemchauru1365
      @shaamemchauru1365 6 месяцев назад

      😂😂😂😂😂😂😂

  • @mohammedabdullah5895
    @mohammedabdullah5895 3 месяца назад

    Yani waziri slaaa sina neno zaidi mungu akubariki nakuombea miaka 10000 kwa kutenda haki Huna zulma

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  3 месяца назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @julianapeason6254
    @julianapeason6254 6 месяцев назад +3

    Waziri ulikuwa wapi miaka yote?? nipo waziri mwingine hapa mwenye moyo kama wa kwako ila sijapewa nafasi.Hongera sana Mungu akuandalie nafasi nzuri mbinguni na akupe afya njema na umri mrefu duniani

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

    • @julianapeason6254
      @julianapeason6254 6 месяцев назад

      @@ICONTVTZ asante pia for your reply

  • @jazzmancoltrane
    @jazzmancoltrane 5 месяцев назад +1

    Huyomama kavunja Sheria halafu anamkata jicho waziri. Huu ni ujeuri na kiburi

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  5 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @MadimbwalaMafhtaa
    @MadimbwalaMafhtaa 6 месяцев назад +7

    Kwa kweri waziri uko vizuri sana

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @ismailabbas4197
    @ismailabbas4197 6 месяцев назад +3

    Mkuu wa mkoa aliegawa viwanja bila utaratibu maalum ni makonda sindio .... Waziri Jerry Slaa piga kazi

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kwa Kutufuatilia

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 3 месяца назад

      Makonda aligawa lini tena? So ndo kaenda juzi? Au fio sio Arusha hapa?
      Maana ht makonda anafanya kazi hii

  • @AbdulmalikFredrick
    @AbdulmalikFredrick 6 месяцев назад +4

    Ongela laisi wangu mpendwa Samia suluhuhasani Kwa kutupa wazili Bomba sana

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

    • @ashuraomar4935
      @ashuraomar4935 5 месяцев назад

      Waziri sio wazili unatokeq mji gani wewe

  • @farhannahomary5505
    @farhannahomary5505 6 месяцев назад +5

    Mama anavyomkata jicho waziriMungu Amlinde sana

  • @Lodrickmwambene
    @Lodrickmwambene 5 месяцев назад +1

    Yaani my Jerry slaa Naomba msaada wako Kaka yangu Ana sumbuliwa morogoro na wahindi

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  5 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 6 месяцев назад +2

    Kazi ipo watu wanamlazimmisha Waziri avunje sheria lakini swali la kujiuliza watu wa chini Ardhi Mikoani wako wapi mpaka Waziri aamke aje kwenye tukio. Mama anakiri anasema watu walimwambia usijenge ila ulime tu Leo hii anataka kumiliki 😅

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @adellaadam7401
    @adellaadam7401 6 месяцев назад +8

    Huyo mzee ustaadhi ni mbishi halafu hana adabu

  • @kiumbetraders6106
    @kiumbetraders6106 6 месяцев назад +8

    Hongera sana mheshimiwa waziri ,
    Unatoa majibu mazuri sana na yenye kueleweka kwa WANAHARAKATI 😂,
    Wanatakiwa wakujuwe wewe ni MWANASHERIA NGULI.

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад +1

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @Kidotii
    @Kidotii 6 месяцев назад +5

    Mama Wakihaya mjuajii sana , utaratibu majii yaende mbele barabaran kwenye mitaro sio kupitisha kwenye ukuta wa mtu

  • @gayanimwansasu
    @gayanimwansasu 5 месяцев назад +1

    Huyu mtu wa MUNGU kazi anayo
    Mungu akulinde

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  5 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @idrisadalluc4498
    @idrisadalluc4498 5 месяцев назад +1

    Waziliwangu inabidi tukupike Kwa Dua mungu akulinde zaidi

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  5 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @salimalesry428
    @salimalesry428 6 месяцев назад +1

    Slaa napenda sana kumuangalia maamuzi anayotoa wala sio ya kuonelewa halafu kichwa kimetulia sheria ya ardhi ameimudu sana hongera sana muheshimiwa

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @NoelJoseph-oj8br
    @NoelJoseph-oj8br 6 месяцев назад +2

    Kazini kwa waziri kuna kazi😬😬😬

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 6 месяцев назад +2

    Mungu akulinde waziri wetu❤❤️🙏🙏

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @enockngohel5737
    @enockngohel5737 6 месяцев назад +1

    Huyu mama asikilizwe siyo kila storm water inaweza kutiririka kurudi yalikotokea! Water streaming huwa inategemea na uper stream na down stream,Sasa Kama nyumba ya mama iko chini zaidi ambayo ndio down stream na miundo mbinu ya mifereji iko juu ambayo ndio uper stream ni vipi anaweza kuyaelekeza hayo maji kurudi juu ambako ndio Kuna hizo trench? Na ukute saa zingine mifereji ni mifupi Sana kwa kina!mama asikilizwe.

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @sylvestersanawa40
    @sylvestersanawa40 5 месяцев назад +1

    Waziri ni mvumilivu sana, rejea mawaziri waliopita, yupi ungemtembeza hivyo

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  5 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @RodriguezOdhiambo
    @RodriguezOdhiambo 6 месяцев назад +6

    Huyu jamaa nampenda sana, anajielewa sana

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @MUSK_HARMONY
    @MUSK_HARMONY 6 месяцев назад +1

    Slaa ni kuwa hizo plots mbili hazina space between .
    Na landscape ni mteremko

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @christianjohnmwalugaja8090
    @christianjohnmwalugaja8090 6 месяцев назад +1

    Anachoongea Mhe. Waziri ni sahihi wananchi wenzangu tufuate sheria. Eneo linaweza kuachwa wazi lakini ni la la Serikali. Serikali inapoona kuna uhitaji wa viwanja kwa wananchi wake inaweza kurejea yale maeneo yaliyoonekana kuwa ni wazi ikapanga na kupima maeneo hayo kwa ajili ya kukidhi mahitaji ya wazi iliyoacha kuwa viwanja shida ni nini? Watanzania tuwe na imani na serikali yetu.

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @raurentkorosso2014
    @raurentkorosso2014 6 месяцев назад +1

    Kwann huyo mama haelewi maaaana nimbishi mno anakubal kiwanja sio chake anacho komaa nn sasa hawamtaki huyo akae hapo nn

  • @FrankKajwaula-l1d
    @FrankKajwaula-l1d 6 месяцев назад +1

    Hakika mh Jerry unaotendwa haki hii wizara ngumu hongera mh waziri

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @Humphrey-zm1gx
    @Humphrey-zm1gx 6 месяцев назад +2

    Duh kama mama mtata vile nashukuru mwishoni kaelewa

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 6 месяцев назад +1

    Waziri Slaa, pole sana, watanzania ni wagumu sana kuelewa.

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @ondieckotoyo1143
    @ondieckotoyo1143 6 месяцев назад +1

    Pamoja na haya pia mwanza kuna tapeli anaitwa Shah anamiliki hati na anakopea kwenye makazi ya watu mfano kiwanja namba 152 bugando ukimuuliza andai alimilikishwa na manispaa bila fidia kwa wenye makazi yao kuanzia 1965 Hadi sasa lakini hati anazo anakopea pesa bank wadhulumiwa malalamiko yao uishia Tu kwenye ofisi mkurugezi bila majibu Sahihi kama kweli matapeli wa ardhi wanashulikia isiishie kwa wachache Tu

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @chiefmajai9345
    @chiefmajai9345 6 месяцев назад +1

    Tanzania kubwa migogoro ya aridhi ni kila sehemu je utatuzi unashikwa na mtu mmoja

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @ukweli255
    @ukweli255 5 месяцев назад

    Muhimu zaidi Viongozi wasijione kuwa wana AKILI KULIKO WENGINE

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  5 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @damslandscapeworksadams6793
    @damslandscapeworksadams6793 6 месяцев назад +5

    mweshimiwa uko sawa una simami sheria vizuri lakini kuna mahari inabudi tuku saidie apako sawa...sheria zina justifications zake na kanuni zake ...kuna mahari sheria Zina mapungufu haziji toshelezi....mfano,kiwanja kina slope..maji hayaendi mbele...unalazimishaje maji ya pande mlima,kwaiyo sheria hapo ime gonga mwamba haiendani na jiografia ya nchi yetu...wapima ardhi walipaswa wache space kwajili ya kuku sanya maji na Kuya peleka bindeni....kwaiyo kuna mahali busara zitumike na sio sheria peke yake. 21:19

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

    • @MbangulaTungaliwe
      @MbangulaTungaliwe 6 месяцев назад +1

      kwahyo kama kiwanja kina slope ndiyo maji uyaelekeze kwa mwenzako? kuna sheria taratibu inasema hivyo? design kiwanja chako ili maji yawekewe uwezo wa kutoka getini yapite barabarani kitu wazi kabisa kwa watu wastaarabu

  • @fredmwakyoma2734
    @fredmwakyoma2734 7 месяцев назад +9

    Hawa wananchi wengi wanadharau suala la kushirikisha wataalamu hayo matatizo ya drainage ni vitu vya kawaida sana kwa Architects/engineers

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  7 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @Chakol123-k7s
    @Chakol123-k7s 6 месяцев назад +2

    Huyu mama angekuja aone nyumba za kimara suka ni milimani au mabonde mvua zikinyesha maji ya Jirani yanashuka chini sasa utaongea hadi uchoke inabid ukubal tuuu 😂

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 6 месяцев назад +4

    Fata sheria fata sheria

  • @muganyiziluharara9668
    @muganyiziluharara9668 6 месяцев назад +4

    Waziri Mungu akubaliki uendelee kuwavumilia wananchi kwani wakatimwingine mtu kuelewanivugumu

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад +1

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @kaidrisa2711
    @kaidrisa2711 6 месяцев назад +1

    Wa mama halo kutoka mikoa ya juu huko yaan hawakubali kesi kushindwa watauza nyumba kwa kesy ya kuku yaan wabishi kwel

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @johnshayo9635
    @johnshayo9635 6 месяцев назад +1

    Waziri ndo maana unaambiwa tumia busara maana mambo hayako kihivyo Wala ujuzi wa Sheria hauko kihivyo

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @OmaryKarata
    @OmaryKarata 5 месяцев назад +1

    Wazili mungu Akulinde nashali

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  5 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @DaudDavis-ur6cm
    @DaudDavis-ur6cm 6 месяцев назад +5

    Mbona huyo mama anamuangalia vibaya

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад +1

      Asante Kwa Kutufuatilia

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 6 месяцев назад +4

      Huyu mama hajaridhika pamoja na maelekezo mazuri ya waziri 🤣🤣

    • @shaamemchauru1365
      @shaamemchauru1365 6 месяцев назад +1

      😅😅😅😅😅😅😅

    • @shaamemchauru1365
      @shaamemchauru1365 6 месяцев назад

      ACHENI ROHO MBAYA 😅😅😅😅😅😅😅

  • @adamimis
    @adamimis 6 месяцев назад +1

    Awa watu wengine wanajisamini wao sasa huyo mnayomshitakia kwako sio mwenenchi ? Wate watanzania mama fwata malekezo Usilete uchawi mchana kweupe nyinyi na Roo mbaya tu sisi watanzania Roo mbaya Uchawi tu

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @markshukuru119
    @markshukuru119 4 месяца назад

    Kiongozi unafanya iliyotukuka,ila una kazi ngumu sana,maana kila sehemu kwanza uanze na kuwapa elimu.
    Ila MUNGU YUKO NAWE.
    Simamia haki

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  4 месяца назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @mgallahson3650
    @mgallahson3650 6 месяцев назад +2

    Waziri piga kazi uko vizuri sana

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @godfreyissa6231
    @godfreyissa6231 5 месяцев назад +1

    Hakuna coordination ya idara

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  5 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @SimonKira-t4l
    @SimonKira-t4l 6 месяцев назад +2

    Mbona Tanzania tuna viongozi makini na waelewa wa juu kabisa kama huyu

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @mwanrique
    @mwanrique 6 месяцев назад +1

    Kaka Chaula, nakuona 😃 hongereni sana Wizara ya Ardhi

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @mohamedmagongo9348
    @mohamedmagongo9348 6 месяцев назад +1

    Hii migogoro ya ardhi ya mara kwa mara...ndiyo ambayo huko siku za mbele itakuja kuleta vita vya mali hapa nchini Tanzania.

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @rajabumalilo1875
    @rajabumalilo1875 6 месяцев назад +1

    Waziri awabane hawa viongozi wa chini yake pia wapigw kazi sasa kwa namna hii atatatua migogoro mingapia ni kweli maafisa ardhi hawawezi tatua hizi changamoto mpaka waziri aje

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @Rukwembe7712
    @Rukwembe7712 5 месяцев назад +1

    Nilicho gundua mtu aliye soma na akwa na uwelewa wa kitu Fulani hata umbishie vipi yeye hatumii nguvu nyingi kukujibu

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  5 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @goodluckc.m8966
    @goodluckc.m8966 6 месяцев назад +1

    Waziri Yukon Sahihi , but kuna Viwanja vina slope kubwa huwezi radisha Maji Juu , labda waweke pump,,, busara itumike

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @MayagiloIsidoriPhilipo
    @MayagiloIsidoriPhilipo 6 месяцев назад

    Watu wagumu sana kuelewa, huyu mheshimiwa anatumia busara kubwa sana.
    Nimemuona ni muungwana anasikiliza sana na anashaurika.
    Ila wananchi ni shida kwani Kila mmoja ana matakwa yake

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutfuatilia

  • @shabanpongwe9905
    @shabanpongwe9905 4 месяца назад

    Mashaallah kiongozi wa maana kabisa

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  4 месяца назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @omarsirleem7105
    @omarsirleem7105 6 месяцев назад +1

    huyu waziri mmoja tu tungekua nae Kenya tena sector ya Ardhi 🇰🇪 Kenya nzima ingenyooka

  • @roseshirima9365
    @roseshirima9365 6 месяцев назад +1

    Mheshima kazi iendelee, watu wananyanyasa sana na mtu akijenga u

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 6 месяцев назад +1

    Ukicheki Eneo Analozikwa Mwanadamu Sasa Alifiki Futi Hata Ishirini Lakini Sasa Kweli Ukiwa Na Cheo Chochote Kwenye Kuongoza Watu Simamia Haki Ukweli Utabalikiwa Sana

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @saimongilala8938
    @saimongilala8938 6 месяцев назад +1

    Mweshimwa umenipa hakili kununua Mali za mtu Alie lisi nitakuwa makin sana

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @munuoisaack418
    @munuoisaack418 6 месяцев назад +5

    Huyu mama ni ndugu wa tibaijuka😂😂😂😂

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

    • @ZalkiaBendera
      @ZalkiaBendera 6 месяцев назад

      😂😂😂😂😂😂😂

  • @GoldfreeHagai3
    @GoldfreeHagai3 6 месяцев назад +2

    Wakati sahihi kwa watanzania ni huu .

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @odiloboniphace
    @odiloboniphace 6 месяцев назад +1

    Kila mtu aka shughulikie Kiwanja chake waziri yuko vizuri sana

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @roseshirima9365
    @roseshirima9365 6 месяцев назад +1

    Baba waziri karibu moshi watu tunanyanyaswa na m,kiti wa vijiji kisa tumejenga ukuta

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @DanielNelson-oq5qs
    @DanielNelson-oq5qs 6 месяцев назад +3

    Mweshimiwa waaandaaaji wa ramani ndio changamoto waaangarii geography wanafwata vitabu

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 6 месяцев назад +1

    Mama Jicho Sasa Na Mdomo Anatamani Amtafune Sijui Mana Sio Kwa Jaziba Alizonazo Hata Kichwa Akiko Sawa Anatetemeka Kwa Mbali

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

    • @MarthaBura-or8fe
      @MarthaBura-or8fe 6 месяцев назад

      Njoo kinyamwezi Kuna utapeli wa aridhi .

  • @IshipalemyPasko
    @IshipalemyPasko 6 месяцев назад +2

    Ustadhi nimekuelewa uko vizuli.

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @vintz338
    @vintz338 6 месяцев назад +2

    Huko mahakamani ndo hapafai, ndomaana makonda alisema kama huna pesa usiende mahakamani,Yan hawa watu wanaodhulum viwanja ni wale wanaojua kua wakienda mahakamani watashinda tu

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

    • @ismailabbas4197
      @ismailabbas4197 6 месяцев назад

      Na huyohuyo makonda ndio aligawa viwanja mabwepande kiholela

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 6 месяцев назад +2

    Mnamchosha waziri jamani😂 hamuelewii🤣

  • @abeidbhuzo520
    @abeidbhuzo520 6 месяцев назад +2

    Mama wa kihaya ni mtata

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @IsihakaAlly-fj4qo
    @IsihakaAlly-fj4qo 3 месяца назад

    Hawa wazee wanachokilazimisha sikielewi, eneo sio lao ni la serikali wao roho zinawauma ama kweli sisi watanzania tuna roho mbaya 😢😢

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  3 месяца назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @shukranitv2971
    @shukranitv2971 6 месяцев назад +1

    Ningekuwa mm happ huyo jamaaa angekuwa analia sahzi sipendi ujinga wa kunibishia

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @liverpoolfootballclub9985
    @liverpoolfootballclub9985 3 месяца назад

    Waziri anapata taabu sana. Kwa sababu anadeal na watu ambaye wanapenda kudhulumu na sio wasomi😂😂

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  3 месяца назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @charlesmtitu5606
    @charlesmtitu5606 4 месяца назад

    Huyo mama anavyomkata jicho alafu waziri anakazia watanzania acheni roho mbaya

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  4 месяца назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @jolitabukabengwe3070
    @jolitabukabengwe3070 6 месяцев назад +2

    Wazori unaonekena ulikuja hapo na maamzi mfukoni. Sheria hairusu mabonde kupimwa. Wewe wazir mbona unatumia Sheria mkonon?? Mbona kama Kuna kitu unakitetea hapo??

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @nasibugunda7927
    @nasibugunda7927 6 месяцев назад +3

    hii kazi ni ngumu
    balaa

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @pirminmatumizi5464
    @pirminmatumizi5464 5 месяцев назад +1

    Waziri, wewe ni mtaaluma wa sheria, ongozana na wahandisi.

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  5 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @LovenessFedrick-cy9fh
    @LovenessFedrick-cy9fh 6 месяцев назад +1

    Maneno mengi mpaka kamaliza bila kufika inahuzunisha kwa kweli

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @YusuphMarcOgaga
    @YusuphMarcOgaga 3 месяца назад

    Badala wamuombe mwenye eneo wao wanataka wamlazimishe ety kwa sababu iko kwenye njia ya maji......drainage ya serikali ni barabara tofauti na hapo ni mto sio maeneo ya watu

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  3 месяца назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @FurahaMwajeka
    @FurahaMwajeka 6 месяцев назад +1

    Uko sahihi waziri sana baba

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @jumasawa9159
    @jumasawa9159 6 месяцев назад +3

    Hatuna wazir hapa maneno mengi hujaona uhalisia

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

    • @DM_15
      @DM_15 6 месяцев назад +1

      Uhalisia waziri yuko sawa. Ndio maana kuna vitendeakazi vingi vyakuelekeza maji sehemu husika. Hatakama kiwanja kipo na mteremkomkali ndio maana mna shauriwa mtafute wataalamu kabla yakuanza ujenzi. Usifosi mserereko

    • @SuzanGabriel-tp2cx
      @SuzanGabriel-tp2cx 6 месяцев назад

      Hayo maeneo yanaitwa open space offer reserved area ni maeneo yaliachwa na serikali kwa ajili ya utunzaji wa mazingira kwani ni maeneo hatarishi.

  • @MUSK_HARMONY
    @MUSK_HARMONY 6 месяцев назад +1

    Waziri anatetea mtu aliye nunua eneo la mchongo

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @EvaKiswaga-j2o
    @EvaKiswaga-j2o 6 месяцев назад +2

    Huyo mama mnamuonea tu. Mungu kambariki kajenga. Hiyo hela ya kuhamisha maji atapata wapi! Kuweni na huruma

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

    • @radhiambwana3353
      @radhiambwana3353 6 месяцев назад

      Mama Akunje tu bati maji yamwagikie barabaran ndoilivyo mbona atahuku kwetu.

  • @abubacarsobo8981
    @abubacarsobo8981 4 месяца назад

    Mama huyo alikua analitaka eneo Sema kaferi angestukia angeenda kuliomba kisheria sema kabugi kazidiwa kete na mwenzie

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  4 месяца назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @DM_15
    @DM_15 6 месяцев назад +1

    Watanzani mazoea yanatupotezeamudasana huyo mama anaelalamika hana umiliki wahiloshamba alikua mkulimatuu kutunza eneo siolazima liwe lako. Nahuyo shehe nae sheria yamaji uelekeze wapi ikowazi bado wagumu kazi kweli kweli

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula 6 месяцев назад +2

    Hv kituo cha mafuta jirani na Tibaijuka vp kilivunjwa? Tumeona unevunja nyumba ili NAOMI APEWE HAKI. TUNAOMBA MAJIBU YA KESI YA TIBAIJUKA

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @salimamri6738
    @salimamri6738 3 месяца назад

    Mbona hawa watu wawili ni wabishi hivyo kwa ajili ya wivu tu!

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  3 месяца назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @LovenessFedrick-cy9fh
    @LovenessFedrick-cy9fh 6 месяцев назад

    Ila mimi naona angeenda hapo ukute kweli ni pagumu kwa kutolea maji kazi ipo

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @mwanamutemi
    @mwanamutemi 5 месяцев назад

    waziri hataki kuungama ilikuwa makosa kwa ardhi ya bondeni kupewa Mtanzania kando na wale wakilima na kulinda hilo bonde. Alopewa kwa kuwa hajui Historia ya hilo bonde basi akawa awakwaza walotangulia miaka ya nyuma. Pili Priority ingepewa hao hao walokuweko hapo au hata kukafanywa Public participation wakati wa kuvigawa hivyo viwanja.

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  5 месяцев назад

      Asante Kwa Kutufuatilia