Mashallah,,mheshimiiwa jeli slaa,,nakupata sana toka alivyokuwa kata ya ukonga, na kufatilia sana upo vizuri toka nyuma,ndio mana, Mama alikuona upigaji wako wa kazi,,me nakufaham sana,,,ila nakuomba,, unaukumbuka kule mpaka wa kisarawe na ilala,, nakuomba mh,,ukalimalize ule mgogoro,,na ninajua sana unalifaham,,ulipambana sana,, Mungu akulinde ,
Wazri nikweli imani inaumba mweyezi mungu akulinde akupe maishamarefu napenda sana unavyo weza wapa elim wana nchi wako au watanzania safi sana.muheshimiwa nabina adam walio wengi ni wagum sana kwasababu tulio wengi shelia hatuzijuwi ila twende polepole wataelewa tu sikumoja
Waziri ulikuwa wapi miaka yote?? nipo waziri mwingine hapa mwenye moyo kama wa kwako ila sijapewa nafasi.Hongera sana Mungu akuandalie nafasi nzuri mbinguni na akupe afya njema na umri mrefu duniani
Kazi ipo watu wanamlazimmisha Waziri avunje sheria lakini swali la kujiuliza watu wa chini Ardhi Mikoani wako wapi mpaka Waziri aamke aje kwenye tukio. Mama anakiri anasema watu walimwambia usijenge ila ulime tu Leo hii anataka kumiliki 😅
Huyu mama asikilizwe siyo kila storm water inaweza kutiririka kurudi yalikotokea! Water streaming huwa inategemea na uper stream na down stream,Sasa Kama nyumba ya mama iko chini zaidi ambayo ndio down stream na miundo mbinu ya mifereji iko juu ambayo ndio uper stream ni vipi anaweza kuyaelekeza hayo maji kurudi juu ambako ndio Kuna hizo trench? Na ukute saa zingine mifereji ni mifupi Sana kwa kina!mama asikilizwe.
Anachoongea Mhe. Waziri ni sahihi wananchi wenzangu tufuate sheria. Eneo linaweza kuachwa wazi lakini ni la la Serikali. Serikali inapoona kuna uhitaji wa viwanja kwa wananchi wake inaweza kurejea yale maeneo yaliyoonekana kuwa ni wazi ikapanga na kupima maeneo hayo kwa ajili ya kukidhi mahitaji ya wazi iliyoacha kuwa viwanja shida ni nini? Watanzania tuwe na imani na serikali yetu.
Pamoja na haya pia mwanza kuna tapeli anaitwa Shah anamiliki hati na anakopea kwenye makazi ya watu mfano kiwanja namba 152 bugando ukimuuliza andai alimilikishwa na manispaa bila fidia kwa wenye makazi yao kuanzia 1965 Hadi sasa lakini hati anazo anakopea pesa bank wadhulumiwa malalamiko yao uishia Tu kwenye ofisi mkurugezi bila majibu Sahihi kama kweli matapeli wa ardhi wanashulikia isiishie kwa wachache Tu
mweshimiwa uko sawa una simami sheria vizuri lakini kuna mahari inabudi tuku saidie apako sawa...sheria zina justifications zake na kanuni zake ...kuna mahari sheria Zina mapungufu haziji toshelezi....mfano,kiwanja kina slope..maji hayaendi mbele...unalazimishaje maji ya pande mlima,kwaiyo sheria hapo ime gonga mwamba haiendani na jiografia ya nchi yetu...wapima ardhi walipaswa wache space kwajili ya kuku sanya maji na Kuya peleka bindeni....kwaiyo kuna mahali busara zitumike na sio sheria peke yake. 21:19
kwahyo kama kiwanja kina slope ndiyo maji uyaelekeze kwa mwenzako? kuna sheria taratibu inasema hivyo? design kiwanja chako ili maji yawekewe uwezo wa kutoka getini yapite barabarani kitu wazi kabisa kwa watu wastaarabu
Huyu mama angekuja aone nyumba za kimara suka ni milimani au mabonde mvua zikinyesha maji ya Jirani yanashuka chini sasa utaongea hadi uchoke inabid ukubal tuuu 😂
Awa watu wengine wanajisamini wao sasa huyo mnayomshitakia kwako sio mwenenchi ? Wate watanzania mama fwata malekezo Usilete uchawi mchana kweupe nyinyi na Roo mbaya tu sisi watanzania Roo mbaya Uchawi tu
Waziri awabane hawa viongozi wa chini yake pia wapigw kazi sasa kwa namna hii atatatua migogoro mingapia ni kweli maafisa ardhi hawawezi tatua hizi changamoto mpaka waziri aje
Watu wagumu sana kuelewa, huyu mheshimiwa anatumia busara kubwa sana. Nimemuona ni muungwana anasikiliza sana na anashaurika. Ila wananchi ni shida kwani Kila mmoja ana matakwa yake
Ukicheki Eneo Analozikwa Mwanadamu Sasa Alifiki Futi Hata Ishirini Lakini Sasa Kweli Ukiwa Na Cheo Chochote Kwenye Kuongoza Watu Simamia Haki Ukweli Utabalikiwa Sana
Huko mahakamani ndo hapafai, ndomaana makonda alisema kama huna pesa usiende mahakamani,Yan hawa watu wanaodhulum viwanja ni wale wanaojua kua wakienda mahakamani watashinda tu
Wazori unaonekena ulikuja hapo na maamzi mfukoni. Sheria hairusu mabonde kupimwa. Wewe wazir mbona unatumia Sheria mkonon?? Mbona kama Kuna kitu unakitetea hapo??
Badala wamuombe mwenye eneo wao wanataka wamlazimishe ety kwa sababu iko kwenye njia ya maji......drainage ya serikali ni barabara tofauti na hapo ni mto sio maeneo ya watu
Uhalisia waziri yuko sawa. Ndio maana kuna vitendeakazi vingi vyakuelekeza maji sehemu husika. Hatakama kiwanja kipo na mteremkomkali ndio maana mna shauriwa mtafute wataalamu kabla yakuanza ujenzi. Usifosi mserereko
Watanzani mazoea yanatupotezeamudasana huyo mama anaelalamika hana umiliki wahiloshamba alikua mkulimatuu kutunza eneo siolazima liwe lako. Nahuyo shehe nae sheria yamaji uelekeze wapi ikowazi bado wagumu kazi kweli kweli
waziri hataki kuungama ilikuwa makosa kwa ardhi ya bondeni kupewa Mtanzania kando na wale wakilima na kulinda hilo bonde. Alopewa kwa kuwa hajui Historia ya hilo bonde basi akawa awakwaza walotangulia miaka ya nyuma. Pili Priority ingepewa hao hao walokuweko hapo au hata kukafanywa Public participation wakati wa kuvigawa hivyo viwanja.
Nakufuatilia kwa ukaribu sana Mh. Waziri hakika nafurahishwa sana na utendaji kazi wako Mungu azidi kukuongoza katika majukumu yako.
Asante Kwa Kutufuatilia
Mama akimaliza muda wake huyu Waziri alazimishwe achukue form, ana Moyo dhati wa kusaidia Wananchi
Asante Kwa Kutufuatilia
Expected next President 2030
He deserve in 2030
Jeri slaa mungu akulinde kwa kazi unayofanya ni ngumu sana
Asante Kwa Kutufuatilia
Pole Sana mheshimiwa waziri hao watu ni wabishi na hawajathamini heshima uliyowapa hongera kwa kujitoa kwa level hiyo ndio maana ya uongozi.
Asante Kwa Kutufuatilia
Waziri yupo kazini, mchapa kazi kwa weredi nampenda sana huyu mzalendo
Asante Kwa Kutufuatilia
Nakupenda waziri kwaajili ya ALLAH upo vizuri na kweli upendi kufoka unasauti ya upole
Asante Kwa Kutufuatilia
Nimekubali kitu kimoja alichokisema mweshimiwa waziri et akuna watu wenye roho ngumu mbaya kama watanzania ilo nimekubaliana nae%100
Asante Kwa Kutufuatilia
Nimekupenda waziri wangu, ni mtu mwema,naona hofu ya Mungu moyoni mwako
Asante Kwa Kutfuatilia
Asante Mh Magufuli anafarijika akiona unavyotenda haki....Msaidieni mama VEMA km hivyo, haki ya mtu isipotee Kuna Baraka za Mungu ktk hayo
Asante Kwa Kutufuatilia
Acha hizo wangapi walioteuliwa na magufuli lkn hawapo kama huyu
Mashallah,,mheshimiiwa jeli slaa,,nakupata sana toka alivyokuwa kata ya ukonga, na kufatilia sana upo vizuri toka nyuma,ndio mana, Mama alikuona upigaji wako wa kazi,,me nakufaham sana,,,ila nakuomba,, unaukumbuka kule mpaka wa kisarawe na ilala,, nakuomba mh,,ukalimalize ule mgogoro,,na ninajua sana unalifaham,,ulipambana sana,, Mungu akulinde ,
Asante Kwa Kutufuatilia
Wazirii napenda hekima yako,Mungu azidi kukutunzaa🙏🏽🙏🏽🙏🏽❤
Asante Kwa Kutufuatilia
Wa TZ ni wajuaji mbumbumbu waziri pole sana watakuzeesha hao
Asante Kwa Kutufuatilia
Baba waziri wa aridhi wewe ni msikivu sana na mvumilivu barikiwa kwa hilo.
Asante Kwa Kutufuatilia
Good job mheshimiwa, Mungu akuweke Sana.
Asante Kwa Kutufuatilia
Wazri nikweli imani inaumba mweyezi mungu akulinde akupe maishamarefu napenda sana unavyo weza wapa elim wana nchi wako au watanzania safi sana.muheshimiwa nabina adam walio wengi ni wagum sana kwasababu tulio wengi shelia hatuzijuwi ila twende polepole wataelewa tu sikumoja
Asante Kwa Kutufuatilia
Hii Kazi isikieni tu Jamani ni ngumu kinoma mambo ya ardhi magumu mno 😤
Asante Kwa Kutufuatilia
Tanzania alietunyima elimu alituweza hapo kitu gani ambacho hamumwelewi waziri?
Asante Kwa Kutufuatilia
😂😂😂😂😂😂😂
Yani waziri slaaa sina neno zaidi mungu akubariki nakuombea miaka 10000 kwa kutenda haki Huna zulma
Asante Kwa Kutufuatilia
Waziri ulikuwa wapi miaka yote?? nipo waziri mwingine hapa mwenye moyo kama wa kwako ila sijapewa nafasi.Hongera sana Mungu akuandalie nafasi nzuri mbinguni na akupe afya njema na umri mrefu duniani
Asante Kwa Kutufuatilia
@@ICONTVTZ asante pia for your reply
Huyomama kavunja Sheria halafu anamkata jicho waziri. Huu ni ujeuri na kiburi
Asante Kwa Kutufuatilia
Kwa kweri waziri uko vizuri sana
Asante Kwa Kutufuatilia
Mkuu wa mkoa aliegawa viwanja bila utaratibu maalum ni makonda sindio .... Waziri Jerry Slaa piga kazi
Asante Kwa Kwa Kutufuatilia
Makonda aligawa lini tena? So ndo kaenda juzi? Au fio sio Arusha hapa?
Maana ht makonda anafanya kazi hii
Ongela laisi wangu mpendwa Samia suluhuhasani Kwa kutupa wazili Bomba sana
Asante Kwa Kutufuatilia
Waziri sio wazili unatokeq mji gani wewe
Mama anavyomkata jicho waziriMungu Amlinde sana
Asante Kwa Kutufuatilia
MBISHI FULANI HUYO..
Yaani my Jerry slaa Naomba msaada wako Kaka yangu Ana sumbuliwa morogoro na wahindi
Asante Kwa Kutufuatilia
Kazi ipo watu wanamlazimmisha Waziri avunje sheria lakini swali la kujiuliza watu wa chini Ardhi Mikoani wako wapi mpaka Waziri aamke aje kwenye tukio. Mama anakiri anasema watu walimwambia usijenge ila ulime tu Leo hii anataka kumiliki 😅
Asante Kwa Kutufuatilia
Huyo mzee ustaadhi ni mbishi halafu hana adabu
Asante Kwa Kutufuatilia
Kweli kabisa
Hongera sana mheshimiwa waziri ,
Unatoa majibu mazuri sana na yenye kueleweka kwa WANAHARAKATI 😂,
Wanatakiwa wakujuwe wewe ni MWANASHERIA NGULI.
Asante Kwa Kutufuatilia
Mama Wakihaya mjuajii sana , utaratibu majii yaende mbele barabaran kwenye mitaro sio kupitisha kwenye ukuta wa mtu
Asante Kwa Kutufuatilia
Ukabila unatoka wapi
Mkorofi hivohivo huyo😅😅
Huyu mtu wa MUNGU kazi anayo
Mungu akulinde
Asante Kwa Kutufuatilia
Waziliwangu inabidi tukupike Kwa Dua mungu akulinde zaidi
Asante Kwa Kutufuatilia
Slaa napenda sana kumuangalia maamuzi anayotoa wala sio ya kuonelewa halafu kichwa kimetulia sheria ya ardhi ameimudu sana hongera sana muheshimiwa
Asante Kwa Kutufuatilia
Kazini kwa waziri kuna kazi😬😬😬
Asante Kwa Kutufuatilia
Mungu akulinde waziri wetu❤❤️🙏🙏
Asante Kwa Kutufuatilia
Huyu mama asikilizwe siyo kila storm water inaweza kutiririka kurudi yalikotokea! Water streaming huwa inategemea na uper stream na down stream,Sasa Kama nyumba ya mama iko chini zaidi ambayo ndio down stream na miundo mbinu ya mifereji iko juu ambayo ndio uper stream ni vipi anaweza kuyaelekeza hayo maji kurudi juu ambako ndio Kuna hizo trench? Na ukute saa zingine mifereji ni mifupi Sana kwa kina!mama asikilizwe.
Asante Kwa Kutufuatilia
Waziri ni mvumilivu sana, rejea mawaziri waliopita, yupi ungemtembeza hivyo
Asante Kwa Kutufuatilia
Huyu jamaa nampenda sana, anajielewa sana
Asante Kwa Kutufuatilia
Slaa ni kuwa hizo plots mbili hazina space between .
Na landscape ni mteremko
Asante Kwa Kutufuatilia
Anachoongea Mhe. Waziri ni sahihi wananchi wenzangu tufuate sheria. Eneo linaweza kuachwa wazi lakini ni la la Serikali. Serikali inapoona kuna uhitaji wa viwanja kwa wananchi wake inaweza kurejea yale maeneo yaliyoonekana kuwa ni wazi ikapanga na kupima maeneo hayo kwa ajili ya kukidhi mahitaji ya wazi iliyoacha kuwa viwanja shida ni nini? Watanzania tuwe na imani na serikali yetu.
Asante Kwa Kutufuatilia
Kwann huyo mama haelewi maaaana nimbishi mno anakubal kiwanja sio chake anacho komaa nn sasa hawamtaki huyo akae hapo nn
Asante Kwa Kutufuatilia
Huyu mama km mwanga
Hahaaaaa@@ZalkiaBendera
Hakika mh Jerry unaotendwa haki hii wizara ngumu hongera mh waziri
Asante Kwa Kutufuatilia
Duh kama mama mtata vile nashukuru mwishoni kaelewa
Asante Kwa Kutufuatilia
Waziri Slaa, pole sana, watanzania ni wagumu sana kuelewa.
Asante Kwa Kutufuatilia
Pamoja na haya pia mwanza kuna tapeli anaitwa Shah anamiliki hati na anakopea kwenye makazi ya watu mfano kiwanja namba 152 bugando ukimuuliza andai alimilikishwa na manispaa bila fidia kwa wenye makazi yao kuanzia 1965 Hadi sasa lakini hati anazo anakopea pesa bank wadhulumiwa malalamiko yao uishia Tu kwenye ofisi mkurugezi bila majibu Sahihi kama kweli matapeli wa ardhi wanashulikia isiishie kwa wachache Tu
Asante Kwa Kutufuatilia
Tanzania kubwa migogoro ya aridhi ni kila sehemu je utatuzi unashikwa na mtu mmoja
Asante Kwa Kutufuatilia
Muhimu zaidi Viongozi wasijione kuwa wana AKILI KULIKO WENGINE
Asante Kwa Kutufuatilia
mweshimiwa uko sawa una simami sheria vizuri lakini kuna mahari inabudi tuku saidie apako sawa...sheria zina justifications zake na kanuni zake ...kuna mahari sheria Zina mapungufu haziji toshelezi....mfano,kiwanja kina slope..maji hayaendi mbele...unalazimishaje maji ya pande mlima,kwaiyo sheria hapo ime gonga mwamba haiendani na jiografia ya nchi yetu...wapima ardhi walipaswa wache space kwajili ya kuku sanya maji na Kuya peleka bindeni....kwaiyo kuna mahali busara zitumike na sio sheria peke yake. 21:19
Asante Kwa Kutufuatilia
kwahyo kama kiwanja kina slope ndiyo maji uyaelekeze kwa mwenzako? kuna sheria taratibu inasema hivyo? design kiwanja chako ili maji yawekewe uwezo wa kutoka getini yapite barabarani kitu wazi kabisa kwa watu wastaarabu
Hawa wananchi wengi wanadharau suala la kushirikisha wataalamu hayo matatizo ya drainage ni vitu vya kawaida sana kwa Architects/engineers
Asante Kwa Kutufuatilia
Huyu mama angekuja aone nyumba za kimara suka ni milimani au mabonde mvua zikinyesha maji ya Jirani yanashuka chini sasa utaongea hadi uchoke inabid ukubal tuuu 😂
Asante Kwa Kutufuatilia
Fata sheria fata sheria
Asante Kwa Kutufuatilia
😅😅😅😅😅😅
Waziri Mungu akubaliki uendelee kuwavumilia wananchi kwani wakatimwingine mtu kuelewanivugumu
Asante Kwa Kutufuatilia
Wa mama halo kutoka mikoa ya juu huko yaan hawakubali kesi kushindwa watauza nyumba kwa kesy ya kuku yaan wabishi kwel
Asante Kwa Kutufuatilia
Waziri ndo maana unaambiwa tumia busara maana mambo hayako kihivyo Wala ujuzi wa Sheria hauko kihivyo
Asante Kwa Kutufuatilia
Wazili mungu Akulinde nashali
Asante Kwa Kutufuatilia
Mbona huyo mama anamuangalia vibaya
Asante Kwa Kutufuatilia
Huyu mama hajaridhika pamoja na maelekezo mazuri ya waziri 🤣🤣
😅😅😅😅😅😅😅
ACHENI ROHO MBAYA 😅😅😅😅😅😅😅
Awa watu wengine wanajisamini wao sasa huyo mnayomshitakia kwako sio mwenenchi ? Wate watanzania mama fwata malekezo Usilete uchawi mchana kweupe nyinyi na Roo mbaya tu sisi watanzania Roo mbaya Uchawi tu
Asante Kwa Kutufuatilia
Kiongozi unafanya iliyotukuka,ila una kazi ngumu sana,maana kila sehemu kwanza uanze na kuwapa elimu.
Ila MUNGU YUKO NAWE.
Simamia haki
Asante Kwa Kutufuatilia
Waziri piga kazi uko vizuri sana
Asante Kwa Kutufuatilia
Hakuna coordination ya idara
Asante Kwa Kutufuatilia
Mbona Tanzania tuna viongozi makini na waelewa wa juu kabisa kama huyu
Asante Kwa Kutufuatilia
Kaka Chaula, nakuona 😃 hongereni sana Wizara ya Ardhi
Asante Kwa Kutufuatilia
Hii migogoro ya ardhi ya mara kwa mara...ndiyo ambayo huko siku za mbele itakuja kuleta vita vya mali hapa nchini Tanzania.
Asante Kwa Kutufuatilia
Waziri awabane hawa viongozi wa chini yake pia wapigw kazi sasa kwa namna hii atatatua migogoro mingapia ni kweli maafisa ardhi hawawezi tatua hizi changamoto mpaka waziri aje
Asante Kwa Kutufuatilia
Nilicho gundua mtu aliye soma na akwa na uwelewa wa kitu Fulani hata umbishie vipi yeye hatumii nguvu nyingi kukujibu
Asante Kwa Kutufuatilia
Waziri Yukon Sahihi , but kuna Viwanja vina slope kubwa huwezi radisha Maji Juu , labda waweke pump,,, busara itumike
Asante Kwa Kutufuatilia
Watu wagumu sana kuelewa, huyu mheshimiwa anatumia busara kubwa sana.
Nimemuona ni muungwana anasikiliza sana na anashaurika.
Ila wananchi ni shida kwani Kila mmoja ana matakwa yake
Asante Kwa Kutfuatilia
Mashaallah kiongozi wa maana kabisa
Asante Kwa Kutufuatilia
huyu waziri mmoja tu tungekua nae Kenya tena sector ya Ardhi 🇰🇪 Kenya nzima ingenyooka
Asante Kwa Kutufuatilia
@@ICONTVTZ Karibu
Mheshima kazi iendelee, watu wananyanyasa sana na mtu akijenga u
Asante Kwa Kutufuatilia
Ukicheki Eneo Analozikwa Mwanadamu Sasa Alifiki Futi Hata Ishirini Lakini Sasa Kweli Ukiwa Na Cheo Chochote Kwenye Kuongoza Watu Simamia Haki Ukweli Utabalikiwa Sana
Asante Kwa Kutufuatilia
Mweshimwa umenipa hakili kununua Mali za mtu Alie lisi nitakuwa makin sana
Asante Kwa Kutufuatilia
Huyu mama ni ndugu wa tibaijuka😂😂😂😂
Asante Kwa Kutufuatilia
😂😂😂😂😂😂😂
Wakati sahihi kwa watanzania ni huu .
Asante Kwa Kutufuatilia
Kila mtu aka shughulikie Kiwanja chake waziri yuko vizuri sana
Asante Kwa Kutufuatilia
Baba waziri karibu moshi watu tunanyanyaswa na m,kiti wa vijiji kisa tumejenga ukuta
Asante Kwa Kutufuatilia
Mweshimiwa waaandaaaji wa ramani ndio changamoto waaangarii geography wanafwata vitabu
Asante Kwa Kutufuatilia
Mama Jicho Sasa Na Mdomo Anatamani Amtafune Sijui Mana Sio Kwa Jaziba Alizonazo Hata Kichwa Akiko Sawa Anatetemeka Kwa Mbali
Asante Kwa Kutufuatilia
Njoo kinyamwezi Kuna utapeli wa aridhi .
Ustadhi nimekuelewa uko vizuli.
Asante Kwa Kutufuatilia
Huko mahakamani ndo hapafai, ndomaana makonda alisema kama huna pesa usiende mahakamani,Yan hawa watu wanaodhulum viwanja ni wale wanaojua kua wakienda mahakamani watashinda tu
Asante Kwa Kutufuatilia
Na huyohuyo makonda ndio aligawa viwanja mabwepande kiholela
Mnamchosha waziri jamani😂 hamuelewii🤣
Asante Kwa Kutufuatilia
😂😂😂😂😂😂
Mama wa kihaya ni mtata
Asante Kwa Kutufuatilia
Hawa wazee wanachokilazimisha sikielewi, eneo sio lao ni la serikali wao roho zinawauma ama kweli sisi watanzania tuna roho mbaya 😢😢
Asante Kwa Kutufuatilia
Ningekuwa mm happ huyo jamaaa angekuwa analia sahzi sipendi ujinga wa kunibishia
Asante Kwa Kutufuatilia
Waziri anapata taabu sana. Kwa sababu anadeal na watu ambaye wanapenda kudhulumu na sio wasomi😂😂
Asante Kwa Kutufuatilia
Huyo mama anavyomkata jicho alafu waziri anakazia watanzania acheni roho mbaya
Asante Kwa Kutufuatilia
Wazori unaonekena ulikuja hapo na maamzi mfukoni. Sheria hairusu mabonde kupimwa. Wewe wazir mbona unatumia Sheria mkonon?? Mbona kama Kuna kitu unakitetea hapo??
Asante Kwa Kutufuatilia
hii kazi ni ngumu
balaa
Asante Kwa Kutufuatilia
Waziri, wewe ni mtaaluma wa sheria, ongozana na wahandisi.
Asante Kwa Kutufuatilia
Maneno mengi mpaka kamaliza bila kufika inahuzunisha kwa kweli
Asante Kwa Kutufuatilia
Badala wamuombe mwenye eneo wao wanataka wamlazimishe ety kwa sababu iko kwenye njia ya maji......drainage ya serikali ni barabara tofauti na hapo ni mto sio maeneo ya watu
Asante Kwa Kutufuatilia
Uko sahihi waziri sana baba
Asante Kwa Kutufuatilia
Hatuna wazir hapa maneno mengi hujaona uhalisia
Asante Kwa Kutufuatilia
Uhalisia waziri yuko sawa. Ndio maana kuna vitendeakazi vingi vyakuelekeza maji sehemu husika. Hatakama kiwanja kipo na mteremkomkali ndio maana mna shauriwa mtafute wataalamu kabla yakuanza ujenzi. Usifosi mserereko
Hayo maeneo yanaitwa open space offer reserved area ni maeneo yaliachwa na serikali kwa ajili ya utunzaji wa mazingira kwani ni maeneo hatarishi.
Waziri anatetea mtu aliye nunua eneo la mchongo
Asante Kwa Kutufuatilia
Huyo mama mnamuonea tu. Mungu kambariki kajenga. Hiyo hela ya kuhamisha maji atapata wapi! Kuweni na huruma
Asante Kwa Kutufuatilia
Mama Akunje tu bati maji yamwagikie barabaran ndoilivyo mbona atahuku kwetu.
Mama huyo alikua analitaka eneo Sema kaferi angestukia angeenda kuliomba kisheria sema kabugi kazidiwa kete na mwenzie
Asante Kwa Kutufuatilia
Watanzani mazoea yanatupotezeamudasana huyo mama anaelalamika hana umiliki wahiloshamba alikua mkulimatuu kutunza eneo siolazima liwe lako. Nahuyo shehe nae sheria yamaji uelekeze wapi ikowazi bado wagumu kazi kweli kweli
Asante Kwa Kutufuatilia
Hv kituo cha mafuta jirani na Tibaijuka vp kilivunjwa? Tumeona unevunja nyumba ili NAOMI APEWE HAKI. TUNAOMBA MAJIBU YA KESI YA TIBAIJUKA
Asante Kwa Kutufuatilia
Mbona hawa watu wawili ni wabishi hivyo kwa ajili ya wivu tu!
Asante Kwa Kutufuatilia
Ila mimi naona angeenda hapo ukute kweli ni pagumu kwa kutolea maji kazi ipo
Asante Kwa Kutufuatilia
waziri hataki kuungama ilikuwa makosa kwa ardhi ya bondeni kupewa Mtanzania kando na wale wakilima na kulinda hilo bonde. Alopewa kwa kuwa hajui Historia ya hilo bonde basi akawa awakwaza walotangulia miaka ya nyuma. Pili Priority ingepewa hao hao walokuweko hapo au hata kukafanywa Public participation wakati wa kuvigawa hivyo viwanja.
Asante Kwa Kutufuatilia