WAZIRI SILAA AKUTANA NA MAAJABU KOROGWE |TUTAMPIGA HUYU DIWANI ANATUTUKANA |MAKONDA ATAJWA HADHARANI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 фев 2025

Комментарии • 122

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 9 месяцев назад +7

    Mzee wa kwamsisi hao ..wanatembeaga na majini hao...mungu akulinde tu mweshimiwa

  • @reaganevral5258
    @reaganevral5258 8 месяцев назад +1

    Uyu ajuwiii kitu makonda njo ana anajuwa saaana…awezi shika wamwiziiii

  • @SwaumuHassan-k9s
    @SwaumuHassan-k9s 7 месяцев назад

    Mungu.awasaidie

  • @allyabdallah4357
    @allyabdallah4357 8 месяцев назад

    Waziri mungu akupe moyo wa busara sana kwani watu wanaumia sana

  • @chrispinrafael3831
    @chrispinrafael3831 9 месяцев назад +11

    Tunakupenda wewe na makonda mpa vizuri

    • @hadijauledi6995
      @hadijauledi6995 9 месяцев назад +1

      Kweli kabisa ❤❤❤❤❤❤❤❤tunawapenda sana sana mwenyezi mungu awape afya njema ila muheshimiwa wazir silah mbunge wetu barabara yetu ya kitunda haifaii tusaidie muheshimiwa❤❤🙏

    • @yohanajelemia7116
      @yohanajelemia7116 9 месяцев назад

      😢​@@hadijauledi6995😢😢😢😢safi

    • @SaidChambi
      @SaidChambi 9 месяцев назад +1

      Afisa wa ardhi korogwe chanzo Cha migogoro korogwe

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 9 месяцев назад +7

    ❤❤Yaan Majembe ya Samia wangu ni Kassim Majaliwa Waziri Mkuu'Makonda' Silaa waziri wa Aridhi'Ali Hapi'Chalamila'.Yaan watu hawa wanatisha wazuri wazuri tena.Chukuen Maua yenu.Hawagopi jambo lolote.❤❤❤❤

  • @abdallahibrahim280
    @abdallahibrahim280 9 месяцев назад +1

    Daaah wazigua ni kuupanda mchongoma kuumbe kushuka ni ngoma😂😂

  • @yussufhashim4472
    @yussufhashim4472 9 месяцев назад +2

    I love Tanzania

  • @deniskaguo4698
    @deniskaguo4698 9 месяцев назад +2

    Hii familya balaaa

  • @RoseMziray
    @RoseMziray 6 месяцев назад

    Kazi ngumu hii

  • @dalalihakweahakweya6662
    @dalalihakweahakweya6662 9 месяцев назад

    DAAAAAH KIONGOZI WANGU POLE SANA MAANA HAO WAZEWANGU WATANGA NYUMBANI KWANGU KOLOGWE MMENIANGUSHA SANA HAMJA JIPANGA KABISA WABISHI SANA KUELEWEKA NIKAZI SANA HAPO WAZIRI KAPATA TABU SANA KUTATUA

  • @RamadhaniSuru
    @RamadhaniSuru 9 месяцев назад +1

    Silaa endelea kusimamiya sheria mungu yupamoja nawe

  • @MohamedMkota
    @MohamedMkota 9 месяцев назад +4

    duh hawa 😂😂 utafikiri watoto wachekechea😂😂

  • @BahatiLewis
    @BahatiLewis 9 месяцев назад +5

    We mzee hujui kujieleza b

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy7360 9 месяцев назад +3

    Mwenye kiti wa zamani aende kwa waziri wa zamani nime ipenda sana hiyo Mweshimiwa Jerry Wazigua ni Kichefu chefu hao😂😂😂

  • @SalimKombo-xo4pq
    @SalimKombo-xo4pq 7 месяцев назад

    Waziri salaa mbona hii kwesi inaelekea ni gumu.
    Mbona umeshidwa kutoa uwamuzi
    Mzuri.
    Napenda utoe haki

  • @msatibongonyuzi14
    @msatibongonyuzi14 9 месяцев назад +2

    Hapo waziri umechemka wananchi wanaonekana wanaonewa😢😢

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 9 месяцев назад +1

    Watendaji wazuri mwingine nilisahau Rc wa Manyara Bi Sendega ni hatari sana huyu mama❤❤❤

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 9 месяцев назад +1

    Kosa kubwa ni la Serikali mnamwacha mtu anatumia ardhi ambayo Serikali imeishapanga matumizi lakini wananchi hawaeleweshwi. Hilo ni tatizo kubwa. Waziri nenda kwenye msingi wa tatizo. Wasaidie wananchi kutokana na msingi wa tatizo.

  • @RachelLaizer-n2p
    @RachelLaizer-n2p 9 месяцев назад +2

    Makonda na slaa juu juu zaidi tunawakubali majembe ya kazi hayapepesi macho arusha wakuu wa vitengo matumbo joto😂😂😂😂😂

  • @IbrahimMadulo
    @IbrahimMadulo 9 месяцев назад +6

    Ukoo huo ukioa una kazi 😂😂😂

  • @msatibongonyuzi14
    @msatibongonyuzi14 9 месяцев назад +1

    Waziri umeshindwa kuwasaidia wananchi😢😢

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo 9 месяцев назад +1

    Ccm hoyeee!!!

  • @salimumohammedsalimu1720
    @salimumohammedsalimu1720 9 месяцев назад +1

    masikini hana rafiki

  • @HashimYahya-ic2wn
    @HashimYahya-ic2wn 8 месяцев назад

    Waze wamajini hao

  • @aslaykweka7408
    @aslaykweka7408 8 месяцев назад

    Silaa utapata sukar wala pressure

  • @hajjiomary2383
    @hajjiomary2383 9 месяцев назад

    Mkuu tunakusubiri kigamboni bado atupo sawa

  • @lawrencegwerino1656
    @lawrencegwerino1656 9 месяцев назад +1

    Ukioa kwenye hiyo familia shuhuri 😅

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 9 месяцев назад +1

    Wazee wamsisi hao mmmh wanamajini hao

  • @yussufhashim4472
    @yussufhashim4472 9 месяцев назад +1

    Wewe mzee nakupenda bure mpaka waziri amesalenda

  • @DanyEnto
    @DanyEnto 9 месяцев назад +1

    Kumi tena kwa mheshimiwa🙌🙌🙌🙌🙌

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 9 месяцев назад

    Waziri una kazi

  • @ChikuRamadhani-o2p
    @ChikuRamadhani-o2p 9 месяцев назад

    Masikini tunaonewa silaha hujatendahaki kwenye shamba labwembwera tulisha pewa wajanja wana tuzulum mungu anaona

  • @josephminja7953
    @josephminja7953 8 месяцев назад

    😂 serikal ninan🤣

  • @Josephineexsuper
    @Josephineexsuper 9 месяцев назад +1

    Hii familia imeshindwa kijipanga ktk maelezo..wana hasira sana na wanaongea kupitiliza.. ila wasiingize itikadi

  • @allyabdallah4357
    @allyabdallah4357 8 месяцев назад

    Waziri oparesheni vijiji tulipewa maeneo ya kujenga makazi mashamba tukawa tunalima kulekule kwenye mashamba yetu yale yale mkuu

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 9 месяцев назад +1

    Tuijue ratiba ya mkoa wa Singida tujiandae

  • @audifacejosephat7071
    @audifacejosephat7071 9 месяцев назад +2

    Duh huyu mzee mzigua ni shida mbishi kinyama

  • @SalimKombo-xo4pq
    @SalimKombo-xo4pq 7 месяцев назад

    Hawa wazee wa mezulumiwa haki zao.

  • @HappyEmanuel-u1i
    @HappyEmanuel-u1i 6 месяцев назад

    Dada mwenye kitambaa cheusi ni suzy bale mtupu

    • @SalmaNyauba
      @SalmaNyauba 2 месяца назад

      Pole. muheshimiwa una kazi ngumu sana alidhi. na. makazi nijambo .hatali..sana allah.akulinde. wazili. silaaa

  • @ChikuRamadhani-o2p
    @ChikuRamadhani-o2p 9 месяцев назад

    Silaha unapo twambia sisi ni wavamizi alafu wanachukua matajiri sisi masikini tukale wapi

  • @MubinaRoshan
    @MubinaRoshan 9 месяцев назад +1

    Walikuwa wanalala kwa sababu ya watoto wao walikuwa hawez kwenda barabara zilifungwa

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 9 месяцев назад

    Msimamizi wa mirasi hajui kiongea

  • @eppiemodest
    @eppiemodest 9 месяцев назад

    Mh. Slaa. Huku barabara mbovu ukianzia Mwanagati hafi kitunda na Banana uje uangalie. Ukienda benki kutuma school fees ya mwanafunzi unatozwa pesa pembeni eti diwani wenu haturekebishii barabara tumemchagua bure wanasema. Benki zote hawafanyi hivyo ila ni benki ya Mwanagati mdomo wa simba. Imefunguliwa juzijuzi tu. Siyo ile benki ya mama Mary Nchimbi.

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 9 месяцев назад

    Watendaji wa Serikali wengi hawafuati Sheria kwa haki wanachukuwa Rushwa kutoka kwa Wananchi wanyonge

  • @FredMwamgogwa-td6ni
    @FredMwamgogwa-td6ni 9 месяцев назад +1

    Uwo ukoo usiombe umpe mimba mtoto wao 😂😂😂😂

  • @Lundege_Hips
    @Lundege_Hips 9 месяцев назад +2

    Mbona hapa Dr slaa kama ameelemea sana upande wa serekali hawa raia mbona wanaonekana wanahaki

  • @MedrinaUtonga-dg5lg
    @MedrinaUtonga-dg5lg 9 месяцев назад +1

    Mh unakutana na vingi

  • @nanguniMtaita-hz4zt
    @nanguniMtaita-hz4zt 9 месяцев назад

    Waziri shauri hili nKuona leo limekuzidi kimo. Mbona umeshindwa kulitatua?

  • @kwilasacharles1747
    @kwilasacharles1747 9 месяцев назад

    Masikini hawezi kuwa na haki hata siku moja

  • @basumegheMbotwa
    @basumegheMbotwa 9 месяцев назад

    Hapo Kunamambo ya siasa majilani zao waliuza je kwanini wengine wazuiwe

  • @zaharamlau8817
    @zaharamlau8817 9 месяцев назад

    Hiyo familia ni konyoo asee😂😂😂😂😂

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 9 месяцев назад +4

    TATIZO SERIKALI NI YA CHAMA KIMOJA. KAMA SERIKALI INGEKUWA NI MSETO BASI HAO VIONGOZI WADOGOWADOGO WA VIJIJINI WANGEKUWA NA ADABU.

    • @MnubiMm
      @MnubiMm 9 месяцев назад +1

      Usifanye Mseto ndio utatizi wa Matatizo watendaji ndio haohao Sio Kila unachowaza sahihi huo ni mtazamo wako chama hichohicho ndio katoka huyo

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward 9 месяцев назад +2

      Tatizo si chama kimoja, tatizo ni sisi wenyewe tunapenda dhuluma. Msonge wa dhuluma ni rushwa wakati wa kuchaguana. bila kujali chama gani! Adhabu zingine hazisubili Ziko ndani kitendo chenyewe unacho kitenda. Mwl Nyerere

    • @RusanzuRubigo
      @RusanzuRubigo 9 месяцев назад

      Dhuruma haina chama,ni suala la mtu mmoja mmoja,huyu waziri anae washughurikia Manyangumi ya dhuruma ni CCM sio chadema wala ACT

  • @AlHamra-k4u
    @AlHamra-k4u 9 месяцев назад +1

    Sauti hamna

  • @kashindesalha8107
    @kashindesalha8107 9 месяцев назад

    Mweshimiwa nakuaminia Leo pangumu hapo

  • @MuhammadHassan-xp6dc
    @MuhammadHassan-xp6dc 9 месяцев назад +2

    huyu mzee mwenye kofia kanifanya nicheke sana kila akiambiwa anyamaze hakubali

    • @Rai_online_tv
      @Rai_online_tv  9 месяцев назад

      Ha ha Uongozi sio mchezo Mh silaa apewe heko kwa kweli wengine hatuwezi hivi hapa Nishampiga mtu kichwa cha Mdomo

    • @senseiamani4684
      @senseiamani4684 9 месяцев назад

      Haaaaaahaaaa

    • @asifiwematimbwi8600
      @asifiwematimbwi8600 9 месяцев назад

      Nimecheka sanaaa😅😅😅

  • @godfreylutengano9367
    @godfreylutengano9367 9 месяцев назад

    Ila ukweli hiyo familia ni mbovu

  • @Lundege_Hips
    @Lundege_Hips 9 месяцев назад +2

    Rai TV jirekebishe saiti habar zako nyingi zinasumbua sauti

    • @Rai_online_tv
      @Rai_online_tv  9 месяцев назад +1

      Asant kwa Ushauri tunaufanyia kazi kaka Abdul

  • @moyolameck555
    @moyolameck555 9 месяцев назад

    Jaman wazee wa KWA MSISI HAO. OOOHHH MSICHEZE NAO SHAURI YENU

  • @HashimYahya-ic2wn
    @HashimYahya-ic2wn 8 месяцев назад

    Nani nani ndo nini

  • @abdallahibrahim280
    @abdallahibrahim280 9 месяцев назад +2

    Ila unayechukua videos tafadhali sauti ipo Chini

  • @basumegheMbotwa
    @basumegheMbotwa 9 месяцев назад +1

    Hapo panashida eti tutampiga🤣🤣🤣🤣 kkkk

    • @Rai_online_tv
      @Rai_online_tv  9 месяцев назад

      Ha ha ha akileta za kuleta wata Mtwanga

  • @lawrencegwerino1656
    @lawrencegwerino1656 9 месяцев назад

    Haha wasambaa shuhuri

  • @libeberu
    @libeberu 9 месяцев назад

    Huku ndo Tanga sasa, ukitaka kwenda kujifunza sheria nenda mahakama za huku

  • @alfinmbilinyi5985
    @alfinmbilinyi5985 9 месяцев назад

    Hiyo kesi ni rahisi sana waziri kutoa maamuzi,kama historia inaonyesha ni lao serikali wapeni hilo eneo mkitaka kutumia kwa serikali wapeni pesa za fidia kwisha.wakipata mamilioni ni raia watanzania hao wapeni tz ina ardhi malumbano ya nini?Mtaanza kuuana kisa ardhi.Hapo kuna tatizo kubwa sana.

  • @rashidabdallah5825
    @rashidabdallah5825 9 месяцев назад

    Diwan anataka kujifanya eneo la serikali ili alifanyie mchakato

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa 9 месяцев назад

    Mzee ana mawenge😂😂

  • @mudhihirIbrahim-hb7ry
    @mudhihirIbrahim-hb7ry 9 месяцев назад

    Raia wamedata hao

  • @geraldlyimo2859
    @geraldlyimo2859 9 месяцев назад

    Kumbe hapo pana uongozi wa chadeee na usisi m hapo hawapati kituuu

  • @IssaIddi-vb9yi
    @IssaIddi-vb9yi 9 месяцев назад

    Apo mueshimiwa kazi unayo

  • @kilogreek4050
    @kilogreek4050 9 месяцев назад

    Huyo diwani kama Anatukana viongozi wa serekali simu za mikononi mnazo mlicodini muwe na Ushaidi wa kumpeleka jela mshenzi kwanini Atukane viongozi huyu mzee Anategemia majini yake ndio Mdomo mlefu

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 9 месяцев назад

    Hawa nikiboko

  • @frankyjohn9629
    @frankyjohn9629 9 месяцев назад

    Wazirhapo hakuna no Bora makonda

  • @lawrencegwerino1656
    @lawrencegwerino1656 9 месяцев назад

    Sıkılızeni nyie uongozi hauna umri ..

  • @MussaAlly-t6m
    @MussaAlly-t6m 9 месяцев назад

    Nirichoona apo diwani hana history ya kijiji awo wazee wahaki

  • @lightnessmarwa1755
    @lightnessmarwa1755 9 месяцев назад

    Ukiooa kwa huyo mama mwenye kilemba chekundu umeenda na maji😂😂😂

    • @jasonwatz7457
      @jasonwatz7457 9 месяцев назад

      😂😂😂 imeaisha hiyo

  • @Giftarrowfashion
    @Giftarrowfashion 9 месяцев назад

    Waziri katupiwa kitu

  • @othumanomari1589
    @othumanomari1589 9 месяцев назад

    Mrango8

  • @BahatiLewis
    @BahatiLewis 9 месяцев назад

    Shida hamjui kujieleza

  • @anastaziashihumbi
    @anastaziashihumbi 9 месяцев назад

    Slaa hamna kitu...ukonga barabara ni shida kuanzia mombasa hadi bombambili shida lakini hata kuonekana kwa watu wake haonekani....25 hayupo bungeni

    • @rehemakilapilo3507
      @rehemakilapilo3507 9 месяцев назад +1

      Barabarabza mitaa zipo chini ya Tarura ndio wahusika wa kukarabati na kujenga

    • @anastaziashihumbi
      @anastaziashihumbi 9 месяцев назад

      @@rehemakilapilo3507 acha kumtetea ww...ukonga imemshinda na hatakiwi kabisa...mbona mbunge gwajima anafuatilia barabara zote kwenye jimbo lake yy yupo tu ...hata kama ni zarura yy ni msimazi mkuu wa jimbo la ukonga ameferi sana

    • @JosephuSwai
      @JosephuSwai 9 месяцев назад

      Barabara ni changamoto ya kawaida kaka ata ulaya mpaka Leo wanatengeneza

    • @CharlesNkanda
      @CharlesNkanda 9 месяцев назад

      25 slaa yupo bungeni upende usipende yupo kwa nguvu ya watanzania wote tena atabaki kuwa waziri

  • @jackmabirangacharles9398
    @jackmabirangacharles9398 9 месяцев назад

    Hao ndio Waziguwa 😂

  • @shafiijuma3282
    @shafiijuma3282 9 месяцев назад

    piga kazi

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 9 месяцев назад +1

    Kwani ndg waziri mahame ni sawa na kuipoteza haki? mbona watu wengi tulihamishwa na bado tunamiliki maeneo yetu? Ina maana tumevamia?

  • @waluohopaulo2116
    @waluohopaulo2116 9 месяцев назад

    Huyu diwani achunguzwe

    • @damianikimario5695
      @damianikimario5695 9 месяцев назад

      Waziri uko vizuri wakati mwgine inaleta hasira kuwasikliza nikipaji tosha ongera saanaa..piga kazi kaka sllaa mwenyezi mungu akusimamie unabusara sana na hekma.

  • @yussufhashim4472
    @yussufhashim4472 9 месяцев назад +1

    Huyu waziri ni chalii anacheka tu

  • @HashimYahya-ic2wn
    @HashimYahya-ic2wn 8 месяцев назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉

  • @frankgichuhi8993
    @frankgichuhi8993 9 месяцев назад

    The guy next tu waziri always rude..and corupt

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa 9 месяцев назад

    😂😂😂kivumbi na jasho

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 9 месяцев назад

    Hii familia kiboko 😂

  • @humphreyjosephat5002
    @humphreyjosephat5002 9 месяцев назад +1

    Hii familia sio yakuoa kabisa

    • @ZUWENADELLOW
      @ZUWENADELLOW 9 месяцев назад

      Cha moto utakiona utakua jahanam ya duniani😂😂😂.

  • @Commentsplus
    @Commentsplus 9 месяцев назад

    Hahahahahahahahaha

  • @jtheophil5499
    @jtheophil5499 9 месяцев назад

    Bongooo😂😂😂😂

  • @jescasanga2005
    @jescasanga2005 9 месяцев назад

    😂😂

  • @bilid4128
    @bilid4128 9 месяцев назад

    Wazigua ni wajinga sanaa😊

    • @zainabumohamed600
      @zainabumohamed600 9 месяцев назад

      acha dharau

    • @emmanueltuppa5459
      @emmanueltuppa5459 9 месяцев назад

      Hiyo kauli sio njema kama ulivyo itamka kwa mjumuisho,bilashaka unatatizo la (kutofikiri jambo kabla ya maamuzi) hii inatafsiri maisha yako halisi,pole sana, bora ya huyo mjinga kuliko hilo kabila lako kama ndio hivyo watu wa sampuli hii ya mjumuisho hawawezagi hata kujisimamia binafsi ktk familia,wanataka mjumuisho kila jambo wakifikiri watu wote ni sawa na wanakua watu wa lawama siku zote kwenye familia hilo ni tatizo

  • @SwaumuHassan-k9s
    @SwaumuHassan-k9s 7 месяцев назад

    Mungu.awasaidie