WAZIRI SILAA AKUTANA NA MAAJABU KOROGWE |TUTAMPIGA HUYU DIWANI ANATUTUKANA |MAKONDA ATAJWA HADHARANI

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 111

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 29 дней назад +6

    ❤❤Yaan Majembe ya Samia wangu ni Kassim Majaliwa Waziri Mkuu'Makonda' Silaa waziri wa Aridhi'Ali Hapi'Chalamila'.Yaan watu hawa wanatisha wazuri wazuri tena.Chukuen Maua yenu.Hawagopi jambo lolote.❤❤❤❤

  • @MohamedMkota
    @MohamedMkota 25 дней назад +3

    duh hawa 😂😂 utafikiri watoto wachekechea😂😂

  • @IbrahimMadulo
    @IbrahimMadulo 29 дней назад +6

    Ukoo huo ukioa una kazi 😂😂😂

  • @deniskaguo4698
    @deniskaguo4698 24 дня назад +2

    Hii familya balaaa

  • @lawrencegwerino1656
    @lawrencegwerino1656 13 дней назад +1

    Ukioa kwenye hiyo familia shuhuri 😅

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 29 дней назад +7

    Mzee wa kwamsisi hao ..wanatembeaga na majini hao...mungu akulinde tu mweshimiwa

  • @chrispinrafael3831
    @chrispinrafael3831 29 дней назад +10

    Tunakupenda wewe na makonda mpa vizuri

    • @hadijauledi6995
      @hadijauledi6995 29 дней назад +1

      Kweli kabisa ❤❤❤❤❤❤❤❤tunawapenda sana sana mwenyezi mungu awape afya njema ila muheshimiwa wazir silah mbunge wetu barabara yetu ya kitunda haifaii tusaidie muheshimiwa❤❤🙏

    • @yohanajelemia7116
      @yohanajelemia7116 28 дней назад

      😢​@@hadijauledi6995😢😢😢😢safi

    • @user-uo5em7im6b
      @user-uo5em7im6b 24 дня назад +1

      Afisa wa ardhi korogwe chanzo Cha migogoro korogwe

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy7360 29 дней назад +3

    Mwenye kiti wa zamani aende kwa waziri wa zamani nime ipenda sana hiyo Mweshimiwa Jerry Wazigua ni Kichefu chefu hao😂😂😂

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 22 дня назад +1

    Kosa kubwa ni la Serikali mnamwacha mtu anatumia ardhi ambayo Serikali imeishapanga matumizi lakini wananchi hawaeleweshwi. Hilo ni tatizo kubwa. Waziri nenda kwenye msingi wa tatizo. Wasaidie wananchi kutokana na msingi wa tatizo.

  • @msatibongonyuzi14
    @msatibongonyuzi14 28 дней назад +2

    Hapo waziri umechemka wananchi wanaonekana wanaonewa😢😢

  • @abdallahibrahim280
    @abdallahibrahim280 20 дней назад +1

    Daaah wazigua ni kuupanda mchongoma kuumbe kushuka ni ngoma😂😂

  • @user-mz4gx2ek9y
    @user-mz4gx2ek9y 29 дней назад +5

    We mzee hujui kujieleza b

  • @hajjiomary2383
    @hajjiomary2383 14 дней назад

    Mkuu tunakusubiri kigamboni bado atupo sawa

  • @aslaykweka7408
    @aslaykweka7408 9 дней назад

    Silaa utapata sukar wala pressure

  • @dalalihakweahakweya6662
    @dalalihakweahakweya6662 26 дней назад

    DAAAAAH KIONGOZI WANGU POLE SANA MAANA HAO WAZEWANGU WATANGA NYUMBANI KWANGU KOLOGWE MMENIANGUSHA SANA HAMJA JIPANGA KABISA WABISHI SANA KUELEWEKA NIKAZI SANA HAPO WAZIRI KAPATA TABU SANA KUTATUA

  • @user-ex9sd8wm4l
    @user-ex9sd8wm4l 29 дней назад +1

    Silaa endelea kusimamiya sheria mungu yupamoja nawe

  • @audifacejosephat7071
    @audifacejosephat7071 29 дней назад +2

    Duh huyu mzee mzigua ni shida mbishi kinyama

  • @yussufhashim4472
    @yussufhashim4472 29 дней назад +2

    I love Tanzania

  • @user-ml5tq8hj2x
    @user-ml5tq8hj2x 29 дней назад +2

    Makonda na slaa juu juu zaidi tunawakubali majembe ya kazi hayapepesi macho arusha wakuu wa vitengo matumbo joto😂😂😂😂😂

  • @FredMwamgogwa-td6ni
    @FredMwamgogwa-td6ni 29 дней назад +1

    Uwo ukoo usiombe umpe mimba mtoto wao 😂😂😂😂

  • @abdallahibrahim280
    @abdallahibrahim280 20 дней назад +2

    Ila unayechukua videos tafadhali sauti ipo Chini

  • @HashimYahya-ic2wn
    @HashimYahya-ic2wn 10 дней назад

    Waze wamajini hao

  • @Josephineexsuper
    @Josephineexsuper 28 дней назад +1

    Hii familia imeshindwa kijipanga ktk maelezo..wana hasira sana na wanaongea kupitiliza.. ila wasiingize itikadi

  • @HashimYahya-ic2wn
    @HashimYahya-ic2wn 10 дней назад

    Nani nani ndo nini

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 29 дней назад +1

    Wazee wamsisi hao mmmh wanamajini hao

  • @user-vv9kk3gz5f
    @user-vv9kk3gz5f 27 дней назад

    Masikini tunaonewa silaha hujatendahaki kwenye shamba labwembwera tulisha pewa wajanja wana tuzulum mungu anaona

  • @salimumohammedsalimu1720
    @salimumohammedsalimu1720 18 дней назад +1

    masikini hana rafiki

  • @yussufhashim4472
    @yussufhashim4472 29 дней назад +1

    Wewe mzee nakupenda bure mpaka waziri amesalenda

  • @MubinaRoshan
    @MubinaRoshan 28 дней назад +1

    Walikuwa wanalala kwa sababu ya watoto wao walikuwa hawez kwenda barabara zilifungwa

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 29 дней назад +1

    Tuijue ratiba ya mkoa wa Singida tujiandae

  • @lawrencegwerino1656
    @lawrencegwerino1656 13 дней назад

    Haha wasambaa shuhuri

  • @DanyEnto
    @DanyEnto 29 дней назад +1

    Kumi tena kwa mheshimiwa🙌🙌🙌🙌🙌

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo 29 дней назад +1

    Ccm hoyeee!!!

  • @zaharamlau8817
    @zaharamlau8817 29 дней назад

    Hiyo familia ni konyoo asee😂😂😂😂😂

  • @moyolameck555
    @moyolameck555 29 дней назад

    Jaman wazee wa KWA MSISI HAO. OOOHHH MSICHEZE NAO SHAURI YENU

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa 29 дней назад

    Mzee ana mawenge😂😂

  • @MuhammadHassan-xp6dc
    @MuhammadHassan-xp6dc 29 дней назад +2

    huyu mzee mwenye kofia kanifanya nicheke sana kila akiambiwa anyamaze hakubali

    • @raitv2690
      @raitv2690  29 дней назад

      Ha ha Uongozi sio mchezo Mh silaa apewe heko kwa kweli wengine hatuwezi hivi hapa Nishampiga mtu kichwa cha Mdomo

    • @senseiamani4684
      @senseiamani4684 29 дней назад

      Haaaaaahaaaa

    • @asifiwematimbwi8600
      @asifiwematimbwi8600 17 дней назад

      Nimecheka sanaaa😅😅😅

  • @MedrinaUtonga-dg5lg
    @MedrinaUtonga-dg5lg 28 дней назад +1

    Mh unakutana na vingi

  • @alfinmbilinyi5985
    @alfinmbilinyi5985 29 дней назад

    Hiyo kesi ni rahisi sana waziri kutoa maamuzi,kama historia inaonyesha ni lao serikali wapeni hilo eneo mkitaka kutumia kwa serikali wapeni pesa za fidia kwisha.wakipata mamilioni ni raia watanzania hao wapeni tz ina ardhi malumbano ya nini?Mtaanza kuuana kisa ardhi.Hapo kuna tatizo kubwa sana.

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 22 дня назад

    Waziri una kazi

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 29 дней назад +4

    TATIZO SERIKALI NI YA CHAMA KIMOJA. KAMA SERIKALI INGEKUWA NI MSETO BASI HAO VIONGOZI WADOGOWADOGO WA VIJIJINI WANGEKUWA NA ADABU.

    • @MnubiMm
      @MnubiMm 29 дней назад +1

      Usifanye Mseto ndio utatizi wa Matatizo watendaji ndio haohao Sio Kila unachowaza sahihi huo ni mtazamo wako chama hichohicho ndio katoka huyo

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward 29 дней назад +2

      Tatizo si chama kimoja, tatizo ni sisi wenyewe tunapenda dhuluma. Msonge wa dhuluma ni rushwa wakati wa kuchaguana. bila kujali chama gani! Adhabu zingine hazisubili Ziko ndani kitendo chenyewe unacho kitenda. Mwl Nyerere

    • @user-bp2cc9eo6g
      @user-bp2cc9eo6g 27 дней назад

      Dhuruma haina chama,ni suala la mtu mmoja mmoja,huyu waziri anae washughurikia Manyangumi ya dhuruma ni CCM sio chadema wala ACT

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh 29 дней назад +2

    Rai TV jirekebishe saiti habar zako nyingi zinasumbua sauti

    • @raitv2690
      @raitv2690  29 дней назад +1

      Asant kwa Ushauri tunaufanyia kazi kaka Abdul

  • @user-vv9kk3gz5f
    @user-vv9kk3gz5f 27 дней назад

    Silaha unapo twambia sisi ni wavamizi alafu wanachukua matajiri sisi masikini tukale wapi

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 22 дня назад

    Watendaji wa Serikali wengi hawafuati Sheria kwa haki wanachukuwa Rushwa kutoka kwa Wananchi wanyonge

  • @nanguniMtaita-hz4zt
    @nanguniMtaita-hz4zt 28 дней назад

    Waziri shauri hili nKuona leo limekuzidi kimo. Mbona umeshindwa kulitatua?

  • @geraldlyimo2859
    @geraldlyimo2859 29 дней назад

    Kumbe hapo pana uongozi wa chadeee na usisi m hapo hawapati kituuu

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 29 дней назад

    Msimamizi wa mirasi hajui kiongea

  • @user-mp4yt7ps5q
    @user-mp4yt7ps5q 23 дня назад

    Hapo Kunamambo ya siasa majilani zao waliuza je kwanini wengine wazuiwe

  • @lawrencegwerino1656
    @lawrencegwerino1656 13 дней назад

    Sıkılızeni nyie uongozi hauna umri ..

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g 29 дней назад +1

    Sauti hamna

  • @eppiemodest
    @eppiemodest 26 дней назад

    Mh. Slaa. Huku barabara mbovu ukianzia Mwanagati hafi kitunda na Banana uje uangalie. Ukienda benki kutuma school fees ya mwanafunzi unatozwa pesa pembeni eti diwani wenu haturekebishii barabara tumemchagua bure wanasema. Benki zote hawafanyi hivyo ila ni benki ya Mwanagati mdomo wa simba. Imefunguliwa juzijuzi tu. Siyo ile benki ya mama Mary Nchimbi.

  • @jackmabirangacharles9398
    @jackmabirangacharles9398 29 дней назад

    Hao ndio Waziguwa 😂

  • @kwilasacharles1747
    @kwilasacharles1747 26 дней назад

    Masikini hawezi kuwa na haki hata siku moja

  • @kashindesalha8107
    @kashindesalha8107 27 дней назад

    Mweshimiwa nakuaminia Leo pangumu hapo

  • @godfreylutengano9367
    @godfreylutengano9367 29 дней назад

    Ila ukweli hiyo familia ni mbovu

  • @lightnessmarwa1755
    @lightnessmarwa1755 29 дней назад

    Ukiooa kwa huyo mama mwenye kilemba chekundu umeenda na maji😂😂😂

  • @libeberu
    @libeberu 29 дней назад

    Huku ndo Tanga sasa, ukitaka kwenda kujifunza sheria nenda mahakama za huku

  • @rashidabdallah5825
    @rashidabdallah5825 28 дней назад

    Diwan anataka kujifanya eneo la serikali ili alifanyie mchakato

  • @user-mp4yt7ps5q
    @user-mp4yt7ps5q 23 дня назад +1

    Hapo panashida eti tutampiga🤣🤣🤣🤣 kkkk

    • @raitv2690
      @raitv2690  23 дня назад

      Ha ha ha akileta za kuleta wata Mtwanga

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 29 дней назад

    Hawa nikiboko

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 29 дней назад

    Huyo diwani kama Anatukana viongozi wa serekali simu za mikononi mnazo mlicodini muwe na Ushaidi wa kumpeleka jela mshenzi kwanini Atukane viongozi huyu mzee Anategemia majini yake ndio Mdomo mlefu

  • @user-kh1tn6yr8b
    @user-kh1tn6yr8b 29 дней назад

    Nirichoona apo diwani hana history ya kijiji awo wazee wahaki

  • @IssaIddi-vb9yi
    @IssaIddi-vb9yi 20 дней назад

    Apo mueshimiwa kazi unayo

  • @frankyjohn9629
    @frankyjohn9629 29 дней назад

    Wazirhapo hakuna no Bora makonda

  • @mudhihirIbrahim-hb7ry
    @mudhihirIbrahim-hb7ry 29 дней назад

    Raia wamedata hao

  • @giftmusa6543
    @giftmusa6543 29 дней назад

    Waziri katupiwa kitu

  • @user-mz4gx2ek9y
    @user-mz4gx2ek9y 29 дней назад

    Shida hamjui kujieleza

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 20 дней назад +1

    Watendaji wazuri mwingine nilisahau Rc wa Manyara Bi Sendega ni hatari sana huyu mama❤❤❤

  • @shafiijuma3282
    @shafiijuma3282 29 дней назад

    piga kazi

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh 29 дней назад +2

    Mbona hapa Dr slaa kama ameelemea sana upande wa serekali hawa raia mbona wanaonekana wanahaki

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa 29 дней назад

    😂😂😂kivumbi na jasho

  • @frankgichuhi8993
    @frankgichuhi8993 29 дней назад

    The guy next tu waziri always rude..and corupt

  • @othumanomari1589
    @othumanomari1589 27 дней назад

    Mrango8

  • @HashimYahya-ic2wn
    @HashimYahya-ic2wn 10 дней назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉

  • @waluohopaulo2116
    @waluohopaulo2116 29 дней назад

    Huyu diwani achunguzwe

    • @damianikimario5695
      @damianikimario5695 29 дней назад

      Waziri uko vizuri wakati mwgine inaleta hasira kuwasikliza nikipaji tosha ongera saanaa..piga kazi kaka sllaa mwenyezi mungu akusimamie unabusara sana na hekma.

  • @jtheophil5499
    @jtheophil5499 29 дней назад

    Bongooo😂😂😂😂

  • @anastaziashihumbi
    @anastaziashihumbi 29 дней назад

    Slaa hamna kitu...ukonga barabara ni shida kuanzia mombasa hadi bombambili shida lakini hata kuonekana kwa watu wake haonekani....25 hayupo bungeni

    • @rehemakilapilo3507
      @rehemakilapilo3507 29 дней назад +1

      Barabarabza mitaa zipo chini ya Tarura ndio wahusika wa kukarabati na kujenga

    • @anastaziashihumbi
      @anastaziashihumbi 29 дней назад

      @@rehemakilapilo3507 acha kumtetea ww...ukonga imemshinda na hatakiwi kabisa...mbona mbunge gwajima anafuatilia barabara zote kwenye jimbo lake yy yupo tu ...hata kama ni zarura yy ni msimazi mkuu wa jimbo la ukonga ameferi sana

    • @JosephuSwai
      @JosephuSwai 27 дней назад

      Barabara ni changamoto ya kawaida kaka ata ulaya mpaka Leo wanatengeneza

    • @CharlesNkanda
      @CharlesNkanda 24 дня назад

      25 slaa yupo bungeni upende usipende yupo kwa nguvu ya watanzania wote tena atabaki kuwa waziri

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 29 дней назад +1

    Kwani ndg waziri mahame ni sawa na kuipoteza haki? mbona watu wengi tulihamishwa na bado tunamiliki maeneo yetu? Ina maana tumevamia?

  • @Commentsplus
    @Commentsplus 29 дней назад

    Hahahahahahahahaha

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 29 дней назад

    Hii familia kiboko 😂

  • @jescasanga2005
    @jescasanga2005 29 дней назад

    😂😂

  • @yussufhashim4472
    @yussufhashim4472 29 дней назад +1

    Huyu waziri ni chalii anacheka tu

  • @humphreyjosephat5002
    @humphreyjosephat5002 29 дней назад +1

    Hii familia sio yakuoa kabisa

    • @user-ur7pw9ek6s
      @user-ur7pw9ek6s 29 дней назад

      Cha moto utakiona utakua jahanam ya duniani😂😂😂.

  • @bilid4128
    @bilid4128 29 дней назад

    Wazigua ni wajinga sanaa😊

    • @zainabumohamed600
      @zainabumohamed600 29 дней назад

      acha dharau

    • @emmanueltuppa5459
      @emmanueltuppa5459 29 дней назад

      Hiyo kauli sio njema kama ulivyo itamka kwa mjumuisho,bilashaka unatatizo la (kutofikiri jambo kabla ya maamuzi) hii inatafsiri maisha yako halisi,pole sana, bora ya huyo mjinga kuliko hilo kabila lako kama ndio hivyo watu wa sampuli hii ya mjumuisho hawawezagi hata kujisimamia binafsi ktk familia,wanataka mjumuisho kila jambo wakifikiri watu wote ni sawa na wanakua watu wa lawama siku zote kwenye familia hilo ni tatizo

  • @msatibongonyuzi14
    @msatibongonyuzi14 28 дней назад +1

    Waziri umeshindwa kuwasaidia wananchi😢😢