WAZIRI SILAA ALIVYOKATAA RUSHWA YA MIL.300/=, KUTOKA KWA MATAJIRI WA KITUO CHA MAFUTA
HTML-код
- Опубликовано: 22 дек 2023
- #itvtanzania #silaa #rushwa
Usisahau kutufuatilia katika mitandao yetu ;
Subscribe to our RUclips Channel : bit.ly/itvtanzania
Facebook : bit.ly/2KeQNl3
Twitter : bit.ly/2XG7aii
Instagram : bit.ly/34KItmg
Mungu akubariki waziri Rushwa ni adui wa haki Hongera sana
Hongera siraa wewe ni mja mungu barikiwa sana
Mngekua mnatoa haki kwa watu wa Hali ya chini pia mngetisha sana,lkn uyo mwekezaji kajenga sehemu ya vigogo lazima atolewe lkn vipi wananchi wa Hali ya chini???This is not fair kwa kweli😢
Kweli kabisa umenena
Waziri anajitoa KIFUA MBELE kisa KITUO cha MAFUTA kakataa Mill 300 lakin kuna Wananchi WAMEBOMOLEWA huko nyumba zao mpaka RC kaenda baada ya Waziri kwenda kusaidia mamia wanaolala nje eti kwa vile TIBAIJUKA na bado analala ndani lakin WAZIRI kaenda nchi hii bana
Siasa mbaya hizi
Kwaiyo gbp kajichanganya. Kujenga eneo la vigogo😀😀😀
Tatizo ufatilii uyo jamaa au umecoment tyuu😂😂
Hongera sana Mh waziri
Mh waziri kama kweli uko na haki na unasimamia neno la MUNGU basi Mungu atakulinda na kukupa heshima ambayo pesa kwako haitakuwa ni kitu ila atakupa nafasi ambayo heshima yake itakuwa juu na mbinguni atakungoja kukulaki Kwa uwaminifu wako katika dhamani hii ....ukuwengine makampuni binafsi yameharibu maeneo yetu wamepitisha BARABARA kupasua maeneo yetu na kusababisha viwanja viingiliane Sana dodoma ....mh waziri hii Kazi Mungu akushike mkono Kwa kukupa afya ,nguvu ,hekima na maarifa mwili wako ufumwe na kulindwa na damu ya Yesu
Mungu akubariki Kwa kila siku ya Maisha yako.. Asante kwa kua Mzalendo halisi shujaa wa kipigania haki..
Mungu akutunze mh waziri
Good speach mh.slaa
Mungu akubariki baba. Rushwa ni adui wa haki.
Congratulations Mheshimiwa wewe kama mimi rushwa hapana
Well said honorable
Mwenyez mungu akubariki wazir
Hakika waziri slaa na mh makonda ninyi ni wazalendo wa watanzania mungu aendelee kuwalinda
Waziri Yuko vizuri ila Hilo bango linaziba mpaka video wakuu
Hongera Mh. Waziri wa Ardhi na MAENDELEO ya Makazi. Watanzania wako anataka kumharibia WEWE na Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mungu akubaliki sana🙏, kwa kulishinda pepo la tamaa
Hongera sana ndugu waziri nilikuwa ckujui vzr leo nimekufahamu
Vizuri sana mheshimiwa barabara kwenda moroco vituo vya mafuta kama upupu....this is madness...
Allah akubarik kiongoz
Mungu akubariki sana
Hata sisi huku Kenya tunataka jeshi kama huyu ,kijana mdogo lakini akili inalingana na karai ,hekima kama yote ,Mungu amewaleta ilimsaidie wanyonge tz ,ooh God ,tuletee kama Hawa ,Makonda ,silaa.
Bravo waziri.
Waoneshe kuwa sio kila kiongozi anapokea rushwa.
Pesa zao ni mauti ya wanyonge.
Waziri huyu nilikuwa simpendi tangu wkt wa bandari, sasa nampenda kwa maelezo yake
Waziri Ana chembechembe za ukaburu. Kumwambia mfanyakazi si mzaliwa wa kinondoni ni ubaguzi usio na tija. Mngempanga alikozaliwa kama sehemu aliyozaliwa ni muhimu
For sure waziri yupo vzr kwenye swala la sheria
Tumewekwa hapa kuwa "The voice of the voiceless" hilo ni Jambo kubwa Mh. Waziri
voiceless wenyewe sasa...1 Tibaijuka...2...3...4....
Jerry kama ni kweli umekataa hiyo hela, Mungu atakuongezea mara 10 zaidi. Ubarikiwe
Ni kushinda tamaa post to ya uwaziri Ina posho nzuri sana mshara nzuri, kiukweli ukishinda tamaa cheo tu kinatosha say ukihudumu 3 to 5years or ten kazi tu acha vibahasha vya kawaida visivo rushwa... Kahawa ama lunch ... Uwaziri unatosha
Safi sana
Nimekufurahia sana.Sipendi RUSHWA kabisa.
Kwakweli MUNGU amemmulikia mh. rais wetu kuwapata viongozi wa namna hii
Umeonyesha ujasiri.
Miji inaharibika sana.
He sound so good
MILION MIA TATU (300,000,000/=)
YAANI UNAPEWA TU!,
YAANI UNALETEWA!!
YAANI UNAIMBEWA TU MILLIONI Miatatu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Haka ka-Nchi Katamu Mno!
Mungu akubariki baba wewe na Makonda mnawafuta machozi wanyonge na walio onewa. Wenye pesa hutumia nguvu kudhulumu watu.
Hongera sana kwa msimamo wa kizalendo , karibu sana Yombo vituka kuna kiwanda kimejengwa kwenye makazi ya watu pia ! Serikali ya mtaa Mzambarauni Kata ya Yombo Vituka, ukuta wa kiwanda umejengwa kwenye hifadhi ya barabara.
Hilo sahau Kaka lbd muwe mnakaa na washua huko
Natamin na mm nipate hiyo nafasi yani hata aloibiwa au kuzurumiwa chochote hata mia angeipata.
Jerry umezingua, unakataaje million 300
Fanya kazi tunakuombea waziri
Daa,,,,,! Viongoz km nyinyi ndo tunaowataka. M\mungu hemu wafichue viongoz wengine km huyu.
Karibu Tabata segerea vinaota kama uyoga
Jembe langu la pili jerry slaa baada ya chalamila safi good reasoning
Yeah!Kufuata taratibu ni muhimu ila pia tusizipige vita sheli ni huduma 😢 sana kwa jamii pia hukuza miji na kufanya ipendeze .Siku ukikosa mafuta ndo mtajuwa umuhimu wa sheli
Huu ujumbe haupo sehemu sahihi
Najua ww ni msikivu kuna kituo mkoa wa songwe kimejengwa kalibu na kituo cha police je ni sahii hii kweli
Kweli mueshimiwa waziri haki huinua wengi bali dhambi niaibu MITHAL 14:34.
Jamanii huyu jamaa mwambaaaa huyu
Bloo geuza shiling
ndio maana magufuli aliwafilisi.sheria sheli ijengwe pembeni sio kwenye makazi ya watu. Kila kona sheli. Hamisha watu. Weka sheli. Sio haki. Wenye viti wananjaa hao. Hawana ubinadam. Uko vizuri sana jery
Wakati wanajyenga awo mawaziri warikua wapi naserika
Unafanya vzur sana, lakin usipoangalia nchi hii imejaa wahuni sana
Tunakuomba na huku kwetu jamani Mungu akuweke jamani
Njoo Na Morogoro tuna Hati zetu zimefutwa na hatuelewi lini tunarudishiwa
Hongera sana Ndugu Waziri,matajiri nchi hii wamekuwa miungu kabisa.Tangu huyu tajiri aanze kujenga ,Je ,mlolongo wa viongozi hawakuliona Hilo Hadi Mama yetu Tibaijuka na wenzake walipoenda site wakiambatana na NduguChalamila?Hapa iliyotumika ni rushwa tu.Huyu Mkuu wa PCCB hakuona kilichokuwa kinafanyika hapo?Huyu Ndugu yetu wa PCCB kazi hiyo haiwezi,kwani kila mahali rushwa imekuwa jambo la kawaida tangu mwenda zake aondoke.
Ni janga la kitaifa, ujenzi wa vituo vya mafuta hata kwenye makazi ya wananchi, ni hatari kwa maisha ya wanadamu, kama sheri ipo, wale wote waliokiuka visima hivyo vibomolewe na siyo vinginevyo.
Ni upande wa kushoto kuelekea Dodoma ukitokea Morogoro Msamvu round about ni Dodoma rd / Njovu
Nakuomba utoe namba mkuu tukupigiye tukuambiye kaka
Waziri chukua izo milioni mama Samia aaminiki ho utakuja kushukuru baadae
Bro achanae uyo
Kwa hiyo hapa Waziri kaenda kwa ajili ya TIBAIJUKA na sio matatizo ya WANANCHI
Kwani TIBAIJUKA sio mwananchi??😂😂
@@JacksonNovatM Kama ingekuwa wananchi wa kawaid kwao ndo kumeeka ichi KITUO cha MAFUTA waziri asingeend na hata RC usingemuona ila kwa vile ni TIBAIJUKA basi serikali imesogea haraka sanaaaaa....
Na ndo maana nimesema TIBAIJUKA na sio WANANCHO kwa vile TIBAIJUKA sio mwananchi na ukitaka Amini hilo basi leo kwako kuwe na tatizo kama hili ndo utajua we MWANANCHI na wengin sio wananch
NJOO NJOMBE MJINI HAPA JEMBE WAMEJENGA KAMA UYOGA NA MADUKA NDANI.
Kimara waziri kituo cha mafuta
Sasa si awapeleke Takukuru hao watoa rushwa?
tunataka ajira vijana,changamoto zilizopo zitatuliwe ila kituo hicho kina faida,kodi kwa serikali, na ajira.
Atatue changamoto sio kusimamisha matumiz
Hili ni tatizo kubwa. Ndiyo yaleyale ya wazo wananchi kujenga nyumba moja mpaka 400 ndiyo waje waamishwe bila kujali hasara wanayo pata. Na mamlaka usika ilikua inawangalia tu. Ili tatizo.wawajibishwe kwanza mamlaka usika.
Just imagine tu kma kimejengwa Mbagala au sehemu nyengine yenye watu wasio na sauti hapo Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa tu angetosha ku sort hili jambo na wananchi wangeshindwa maana kma hivi vipo tele lkn hakuna anaesema.😂😂😂😂
Watu wengine wesha piga pesa hapo mpka kupewa kibali fanya operation nchi nzima wapigaji wengi tu Tzd
Kimara Kaka kituo kipo barabarani kabisa unasemaje hapo waziri
UMEONA UJILIPUE MAANA MAMA ANGEWATUMBUA PESA BWANA
MUNGU AKUBARIKI KIONGOZI BORA
Mh.Waziri shughulikia pia na miradi ya viwanja vya PSSSF hasa mikoa ya Shinyanga na Tabora, wananchi tulionunua tumemaliza malipo yote lakini kupewa hati zetu imeshindikana kabisa, kila kukicha chenga tu, majibu hayaeleweki na pia wanadai wizara yako ndio inakwamisha.
😅😮😅😮
Swala ardhi naona hata selikali inachangia mgogoro sababu hawajweka utaratib mzuri mfano tz ni inchi kubwa Sana lakn utakuta watu wanauana sababu ya kiwanja 7*7 😅 utajiuliza tatizo Kuna tatizo la viwanja jibu ni hapana mfano kufatilia tuu hatimiliki inaweza kukuchukua hata miaka 10
Watu Wametumia Pesa Zao..Afu Mnaleta Ubabe...Wabomowe Subilini...Makombola...Amisi Kigwangara Yupo Wapi
Ukowap mheshimiwa waziri
WAZIR KAMA HAITAKIWI BASI NI JANGA LA TAIFA ZUNGUKA NCHI NZIMA UJIONEE MWESHIMIWA NA USHUGHULIKIE NA WANAOWAPATIA VIBALO MAKE SIZANI KAMA WANAJENGA BILA VIBALI
300m ni ndogo Sanaaa Ingekuwa ya DP????
Kuna tibaijuka hapo lazim rushwa uiteme
Ngoja nione kama utapambana nao maana hivyo vituo vya mafuta ni vya vigogo huko huko serekalini utanyazishwa mda wowote.
Sasa za bongo
Ukowap shekhe
Ivyo vituo vya mafuta sikuhizi vinaotesha tu kama uyoga Kila seem sasa ivi kunajengwa vituo vya mafuta tu
Huyu akili kubwa kama makufuli
nasisi uku wanyonge siyo aotu wastafu
Kibomolewe hakieti raha ni uchafu
Mh sio she'll tu na shule vipi
Njoo Morogoro barabara inayoenda Dodoma ( Dodoma - Njovu) barabara iko upande wa kulia kutoka Msamvu round about ni km 25 na hiyo barabara inaenda kukutana na Iringa road na junction ya Mzumbe University,
Kuna kituo cha Petrolium kinajengwa hapo kwenye junction ya barabara ya Dodoma na Vunjo ni barabara ya vumbi bado haijawekwa lami na ni makazi ya watu
Please Mh Slaa tunakuamini na kukujali na utakuja Morogoro
Be blessed🙏🏼🙏🏼
Njoo kasuru kuna mtu amepewa kibari cha kujenga karibu sana na mnara wattcr kasuru ukichelewa tuu utakuta ashaa jenga usipuuzie njoo uone au tuma vijana waje kuona
Serikali mnakuwa wapi mpk vituo vinajengwa zaidi ya 200 kwny makazi ya watu. Km sio usanii ni nini. Mnatuletea hadithi ya habunuasi! Wenye akili zao hawadanganyiki.
Siasa ni mchezo mchafu sana. Wajinga ndio walio. Watanzania bdo kabisa hatujitambui. Wepesi wa kuamini!
Aaaa makete na wanging'ombe
😂😂😂😂😂😂
Nltaka kusema kitu bas tu ngoja ninyamaze
Aokinatibajuka wambi wenge makamani
Baba waziri ruka nao hao,hapo walahi tatizo lipo.Gorofa nne inajengwa kibanda.Mkuu fanya jukumu lako mh!kama vp bomoa kabisa
FIDA HUSSRIN NI JAMBAZI WA KUWADHULUMU WANYONGE MALI ZAO MAJUMBA NA VIWANJA VYAO
KASHULIKIE PALE GETI LA STEND YA MABUS YA MSAVU KUNAKITUO HILO ENEO LA SERIKALI.AFROIL AMEPATAJE.HAPO NDO NTAJUA UNACMAMIA HAKI.
Hongera waziri kwa kazi mzuri
Kwa mini hukumripoti takukuru, hapo tungeweza amini maana mtoa rushwa ni mkosaji kuliko hata aliyekusudia maana hukumuomba, chukuwa uko sahihi lkn lazima takukuru wahusishwe❤
Aaa takukuru Kuna nn hamna kitu baana wewe Bora mara mia kwa kuwa walimtumia rafiki yake hata angemripoti mtu awezaye kuotoa milioni 300 takukuru watamfanya nn watamzunguka waziri wataenda kwa mtoa rushwa kuvujisha Siri kwa 2milion hata 1milion asiitoe ni mtego hivi ndugu yangu unanielewa
Mungu akujalie kila la ghery in sha Allah