WAZIRI SILAA AZUIA UTAPELI WA MABILIONI KARIAKOO | ALIYELIPA BIL 2.25 ILI KUZUIA KUNYANG'ANYWA NA..
HTML-код
- Опубликовано: 25 апр 2024
- WAZIRI SILAA AZUI UTAPELI WA MABILIONI KARIAKOO
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo na Makazi Mhe. Jerry Silaa amemuelekeza Kamishna wa Ardhi Msaidizi mkoa wa Dar es salaam na Msajili wa Hati Dar es salaam kuhakikisha wana mkabidhi hati yake ya umiliki wa ardhi mnunuzi wa awali wa nyumba aliyelipa Shilingi Bilioni 2.25 ili kuzuia kunyang'anywa na muuzaji ambaye amepata mnunuzi mwingine wa Bilioni 4.
Waziri Silaa ametoa maelekezo hayo ili kuzuia utapeli huo ambao alitaka kufanyiwa mnunuzi huyo wakati Waziri Silaa alipofanya ziara katika Kata ya Kariakoo mara baada ya kupokea malaamiko hayo.
Aidha, Waziri Silaa alingundua pia muuzaji huyo alileta shahidi wa uongo akidai ni mkewe wakati ni mtalaka wake.
Waziri Silaa pia amemuagiza Katibu Mkuu wa Wizara yake kuhakikisha yanafanyika marekebisho ya sheria za mikataba ya nyumba ya mwaka 2011. - Развлечения
Utashangaa kesho kahamishiwa uvuvi hapo ndo mm nitahamia Burundi 🇧🇮
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂
Subhaanallah
Waziri wewe ni mtetezi wa wanyonge mwenyezi mungu akulinde.
Gonga like 30 kwabwana jerry
Mzee muogope Mungu kila mgogoro umo dah Rudi kwa Allah .
Siraha wewe mungu akuhifadhi akukinge na shari zote za Dunia warehemu wa zee kwako ayafanye makaburi Yao yawe niviwanja vyapeponi wameacha tunda jema Duniani ameen
Waziri Muadilifu ambae hakupata kutokea tokea Nchi imepata Uhuru 👋👋
Huyu Baba asipozeeka huu mwaka sijuwi tu maana anamajukumu yanaumiza vichwa
Raha sana kuwa na waziri aliyeisha na watu wa aina wote wahuni na wasomi
JAMANI MAWAZIRI WETU.TUNAWATIA MUNGU .TUNAWAOMBA.MFANYE KAZI KAMA WAZIRI SILAA.ANAVYOFANYA KAZI.
MAMA SAMIA.TUNAKUOMBA WATANZANI. MAWAZIRI WOTE.WABADILIKE. KUTENDA HAKI. Wajue nassi tunasomesha watoto wetu.watakuja kuwanyanyasa.wao.amma fsmilia zao.❤.smh.silaa.na mma mungu awe nayiii
Mh. Waziri Slaa Mwenyezi Mungu amzidishie Hekima na Busara.
Anafanyanya kazi kubwa sana, ataweka alama njema katika mioyo ya watu wengi 🎉🎉🎉
waziri ufike nahuku wilaya ya chalinze kuna madudu mengi
Huyo Mzee ni mwizi wa Miradhi mwanzo na madrassa mwanzo 😮😮😮😮
Huyu mpuuzi so ndiyo mmoja wa waliotaka kushindwa kutoa nyumba ambayo baba yao alitoa waqfu
Huyu ni yule yule wa madrasa Yani anacheza kote kote kumbe hili tapeli
@@user-lk3pz6uq6qndo na mimi namuangalia hapa kumbe tapeli hilii dah
Yeah
@@user-lk3pz6uq6q Laana ya mungu inamuandama
Uko vizuri kiongozi umeonyesha kwamba wewe unamsaidia raisi wetu kwenye migogoro ya ardhi
Hatuna RAISI tunamzululaji tuu shetani msumbufu
Kazi nzuri Mh Waziri Ila huyo ni tapeli ameanzia Kariakoo kuuza nyumba ya Waqfu na bado M Mungu anaendelea kumfedhehesha huyu jambazi weka ndani asionekane Kabisa uraiani maana ataendelea kuumiza watu na haki zao, ingekuwa nipo hapo ningempa kofi moja safi sana la pua
Big Big up wazili yani wewe ni mfano kwa mawazili wengine yani wewe na makonda na Dotto bite ko, na bishungwa mumetisha sana, my God bless you 🙏
Waziri Salaa huu uwaziri,sio tu wakuteuliwa na doctor samia bali ni wito kutoka kwa mungu, mungu akupe afya njema,na akupe umri mrefu uwafikie wote wenye changamoto za ardh.🙏
Waziri safi sana huyu na wengine wangekuwa hivi tusingekuwa na migogoro
Duh! mh:M/mungu akulinde maana katika iman yangu n kua ww unayoifanya n jihadi.ila nna ombi moja kiukwl na huku Zanzibar sis wanyonge tunadhulumiwa sana n wenye uwezo wa kifedha na uwenyeji kwenye mamlaka tutengezeen mazingira ili na sis tuweze kusklizwa maana dhulma iliyipo huku n kubwa tunadhulumiwa cna ardhi zetu.
We need urgently your help utepli ya familya Dar es salaam properties
Isaidie HAKI itande itapakae kila upande (Quran 4:135)
Hawa wazee wajanjawanja sana si ndo walio uza nyumba ya baba yao
Uyu ndio waziri tunao wataka
Uyu mzee mwenye mzula i ni mala ya pili ana kutana. Na wazili ana mbaga nyingi. Uyu😅😅😅
Waziri ana moyo kubabake bilioni 4 uyu waziri peponi mana apo anapewa bi moja yake wale bi 2 za mwanzo na bi 1 na kitu 3 izo na mnunuzi wa mwanzo kasharudishiwa chake he 😂
Ikiwa mm n mmoja ya walio dhulumiwa nyumba pamoja na kiwanja na bwana mmoja mwenye uwezo hapa dunian
Waziri please ufike na huku kibaha kata ya kidimu kuna utapeli mkubwa wa ardhi
Ukifatilia migogoro mingi anayotatua mh waziri Slaa unagundua kunamahala watu wenye maamuzi hawatendi au hawafanyi maamuzi ktk hizi kesi ingawa wanaujua ukweli wanapindishapindisha sheria ili hizo kesi ziwanufaishe. Sasa kama hii kesi huyu jamaa hata anachokizungumza unaona kabisa alikuwa na nia ovu na hana hata nguvu ya kisheria kumsumbua huyu mnunuzi ila hela ndio olikuwa inatumika kutaka kupora haki ya huyu mzee. Kwa kweli njaa ya pesa itawatesa wengi nchi hii.
Hasa upande wa mahakama wanaminya sana wanyonge
Akimaliza mm mh anafaa sana kuwa rais
SANAAAAA HUYU NDIO RAIS TUMTAKAE
Huyu mzee wa likofia anaonekana mhuni mzoefu
Hahahaha Mh huyu si ndo yule alowepo kwenye jumba la mirasi ama sie huyu alokua anagombania nyumba iloekwa kilemba iwe MADRASA kikofia
Huyu ni yule mtt wa sheikh Aladini? Ana misala ya majengo
Naona kafanana na yule hii nyumba nyengine au wanazo nyingi 😂
Mzee uyo kila mgogoro yupo khaaaa😂
Silaaa to me you deserve to be president of my country tanzania.i wish all the best.🎉🎉🎉🎉
He will be a President soon
Uyu mzee inaonekana ni mwizi ,kwenye madrasa yumo, kwenye nyumba yumo.
masha Allah
thanks so much
Anauza nyumba kariakoo bwege huyu si angekula kodi tuu
Waarabu wakuchovya wengi wao nuxi sana akili zao mirungi tu
Hongera wazuri ungekuwepo kipindi wengine tumezurumika tungepata hakizetu
Huyu kaka yake sara mbona migogoro mingi yumo 😂
Safi sana Slaa.
Hongera mheshimiwa Jerry ama hakika unawatendea haki watanzania wanyonge Allah akuepushe na husuda za maadui
Huyu mzee ana mambo mengi si ndoo alikuwa na migogoro mingine hapo hapo kariakoo
Mungu akulinnde waziri
Laana ya madrasa
Kwa kwell Bunge letu tukufu linahaki ya kukaa kikao cha kupanga hadhabu kali kwa matapeli kama haya
Angekuwa lukuvi hapo angehamia kwenye 4
😂😂😂😂😂
Hata Mimi Nawewe Hilo Sio Jambo Dogo.
😂😂
😂
Halafu haka kazee,si ndo kale kaliuza nyumba ya wakfu??
Jamani huyu alotaka apewe milioni 300 si ndio yule yule walouza nyumba ya mirathi wakazuia na madrasa kariakoo?
Huyu c yule wa nyumba ya waqfu
Huyu jamaa si ndiye alikuwa anasimamia mambo ya waqfu pale kariakoo inaonekana huyu jamaa ni mjanja mjanja
Haka kazee kenye tshirt nyeusi kana ujanja wa zamani sanaaaa, si ndio huyu huyu alieuza nyumba ya marehemu kariakoo wakati marehemu aliacha watoto, hii mpya tena hivi haogopi Mungu huyu hajui nyumba ya milele ni kaburi anatamaa sana dah
Kila nchi Ina watu ambao wanaweza kurifikisha taifa eneo salama na kwenye uchumi mzuri. Lakini ni wachacge kwenye nchi. Usijinadi kua ummo kwakua haujapimwa. Hata leo hauaminiki kwa watu, ndo utaaminika kwa nchi?
Mbona huyo masharubu alikuwepo kesi ile nyengine ya kariakoo😢😢😢nyumba ya wakf😮😮is this real???
Unakumbuka eeeh alikuwa mtatamtata hivihivi
Alafu huyu baba si alikiwepo kwenye ule mzozo wa nyumba yakina she ally huyu anaonekana mjanja mjanja huyu baba
😂😂😂😂meshangaa
Mwanangu mungu akulinde , na ujilinde walimwengu hawapendi haki ikitendeka , umejitoa kwa hali na mali , wazee wa dili wanaumia
Huyu mzee mbona namkumbuka kule ktk lile gogoro la mirathi yenye wasia!?
😂😂kavalia ujana ili tusimjue
Ndie yule yule
Huyu mzee ndio yule tapeli
Mara paaaa waziri wa michezo
Bora hata slaa angekuwa RAISI kuliko huyu mzanzibari mwanamke shetani
Muongo wewe ulimwacha jamila na kaolewa na raia. Wa dubai ana watoto mume wa dubai
Mheshimiwa Jerry slaa unajua ni kwa nini huvaa shati jeupe mara zote ?
Wazir Jerry rais asikuondowe nafahi hiyo
2 kwa mwenyewe 2 nifichie
Mimi nimemjua😂😂😂 kakake sara
Tony Hussein Jerry Msukuma line up 2025 motomoto
Huyu jamaa sindio wa mali ya waqfu anaongea hatari ni tapeli sio bure
Waislam mambo ya wake wengi yatawatupa motoni!Mpe Yesu Kristo maisha yenu upewe uwezo wa kushinda dhambi zenu..bila hivyo jehunum inawangoja..haijalishi sura,cheo nk
huyu mzee janja janja nyingi ....
Huyu mzee hana hata aibu halafu anajiona mjanja. Sijui anajikuta nani kila mgogoro yupo mbele😢😢😢😢😢
Yupi sasa hapa anaejiona mjanja waziri au huyo anaetaka kumdhumu mtu? Bado sijakupata nifanunulie
😂😂alievaa kofia ya blue huyo mzee tapeli kweli kila mgogoro wa nyumba kuuzwa yupo
@@ashuraomar4935😅😅😅 ndy nakumbuka ile nyumba ya baba yao nae alikuwa kiherehere
Dada yao alisema tapeli ana migogoro kibao ndio maana anavyaa kofia kujificha@@user-lk3pz6uq6q
🤣🤣🤣 mwizi kweli na slaa kashamjua anachukua pesa za watu cha maana hakuna 😂😂kofia lake kila mgogoro anapenda kuvaa kofia kwenye sakata la baba yao alivaa kofia nyeusi na ni mbishi leo kavaa kofia ya blue mbishi kweli sijui pesa ana peleka wapi kujitafutia laana tu pesa za dhuluma sio nzuri
Ila wazil
Mwisho wa uongo,aibu😂
Huyu mh silaa lazima atafutiwe zengwe ili wamkwamishe
Sanaa hizii😂fcm hoye😂😂
uyu sindo yule Alie sema akuna waQfu Kuna sadaka
Mwamba kila kona uyu mzee yupo sijui dalali😅
Huyu tapel bwna
Huo uso tu inaonyesha ni mwizi
Huyu sindo Yule jamaa au mtt wa Mzee aldini wa kariakoo,,mwizi mkubwa
😂😂😂😂 ndy n yeye
Huyo jamaaa anaonekana n tapeli yani yeye n migogoro ya nyumba tu
Kweli asee unamkumbuka ee
Jamaa anasema waziri mtoto wa mjini hahahahahaha
Sio mzee kipara huyu??
Waziri tumepata
Elewa frem M2
Aisee tamaa hizi daah😮
Huku jimbo lake linazama kwenye maji hajui wakati jimbon madaraja hakuna huyu mbunge 0
Huko Endeleeni Simko Wengine Mko Vizuri Huyu Muheshimiwa Mtuachie Kidogo
MBUNGE WENU WA UKONGA MH. WAZIRI ANAFANYA KAZI ILIYOTUKUKA KWA TAIFA LETU...!
Huko pambaneni na madiwani.. kwa maslahi mapana ya taifa anahitajika kwengine
😂😂😂 Wamechanganyikiwa nadeni Nyamika
Kweli
Halafu tunaambiwa Serekali ilopita nilikuwa ya nyonge lkn hawa nilikuwa mpaka watoe mzigo ndio wamune Waziri Samiha 2030
Hapa suala serikali ipi tujiulize kwa nini raia tumekuwa mumiani kiasi hiki. Nje tunajionyesha kondoo kumbe mbwa mwitu
Weka namba simu hapo waziri slaa nikutumie buku ya soda unapiga kazi sana
Daaah ha ha
Haaaaaahaaaa
Huyu si ndiye Aliyeuza nyumba yao ya urithi Kariakoo yenye Wakfu?
Ndio
@@mashejuma2885, Wallahi mtihani hizi mali hata Aibu hana,
Ya Allah nakuomba nijaalie subra kama ya huyu mzee aliyetaka kudhulimiwa , Ningekua mimi hapo yaani alivyokubali kweli nimemuuzia,
Ningemrukia kichwa cha mdomo . Mheshimiwa Unafanya kazi nzuri sana.Hongera.
Usitusahau wananchi wako wa Ukonga barabara zetu za ndani ni mbovu sana tena sana na hizi mvua ndo balaa
Kashaenda juzi nakaahid kwamba bara bara watajenga so tumuunge mkono kwa juhudi zake
Huyu mzee aende jela ni tapeli sana inaonekana ndio ameuza madrasa
Huyo Mzee ni mwizi wa Miradhi mwanzo na madrassa mwanzo 😮😮😮😮