MAPYA WAZIRI JERRY SILAA AMALIZA MGOGORO WA MWAKA 74 TABORA, ATOA MSIMAMO "STYLE YA TEGESHA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 15

  • @allyabdallah1183
    @allyabdallah1183 6 месяцев назад

    Safi Sana waziri ,nakukubali kwa uchapa kazi wako,eneo la malabi wengi walivamia

  • @EnivaChristopherbangi
    @EnivaChristopherbangi 6 месяцев назад

    Nakupendaga sana mungu akubariki

  • @BentleyB-d3u
    @BentleyB-d3u 6 месяцев назад +1

    Huyu Mzee amekosa adabu
    Ujapata wapi ujasiri wa kuongea na Mhe: kienyeji namna hii!!!

  • @ROZITHOMAS-y4q
    @ROZITHOMAS-y4q 5 месяцев назад

    Serikali ingekuwa inajenga mnara. Na kuonyesha eneo hilo ni la viwanda kuondoa migogoro.
    Serikali yenyewe inachangia kuongeza migogoro ya ardhi

  • @JaziraMustafa-g9p
    @JaziraMustafa-g9p 6 месяцев назад +1

    FIDDA HUSSEIN NI MWIZI WA NYUMBA ZA WATU

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 6 месяцев назад

    Wazee wangine wanataka kukualibia waziri wachawi tu kazi mzuri kwako waziri

  • @thabitiseapower4499
    @thabitiseapower4499 6 месяцев назад

    Tatizo serikari mnajisahau kupima machaka haiya wanavamia badae ndohayo yanajitokeza

  • @jifunzekuhusuwewe7475
    @jifunzekuhusuwewe7475 6 месяцев назад

    mzee hana kosa kajieleza vizuri , maeneo mengi huachwa wazee wa zaman walikuwa wanajigawia maeneo watakavyo ndio maana anasema shamba

  • @jacksonsawe2301
    @jacksonsawe2301 11 месяцев назад

    Waziri njoo na Ndachi Dodoma ni hivyo hivyo

  • @selemankimaro7616
    @selemankimaro7616 11 месяцев назад

    Mmh' wazee wanao sumbua maofisini hao!!😅😅 Wanadanganya viongozi mno.

  • @charlesbii6749
    @charlesbii6749 6 месяцев назад

    Huyu mzee ni mwizi😅😂😂😂😂😂

  • @ericraphael9653
    @ericraphael9653 6 месяцев назад

    Elimu jamani😂😂

  • @Officialjidaa-sn9cs
    @Officialjidaa-sn9cs 6 месяцев назад

    😂😂😂😂😂😂

  • @bubbyhafidh6415
    @bubbyhafidh6415 11 месяцев назад

    Wazee wametusumbua sana hao hawaelewi kabisa yani

  • @johndangote5172
    @johndangote5172 6 месяцев назад

    😂😂😂😂 daaah