Nafikilia San waliojenga daaa na maisha yalivo magumu sijui unaweza kufa😭 mweshimiwa waangalieni wananchi wenu kama ina wezekana kanisa wapewe sehem nyingine na hao wafanyakazi wezi wafukuzwe kazi maoni yangut🙏
Tunafurahi hii mitandao ya Jamii inasaidia sanaaaa kila kitu hadharani Mungu ahsante na bado wengi watajiondoa wenyewe Ccm kwa kuuza bandari zetu za bara na ahsante Ssuti ya watu ambayo ni Sauti ya Mungu Tec na Sauti ya Watanzania Dr Slaa Nwambukusi Mdude na wengineo pamoha wameteswa sanaaaa Mungu atatoa jibu tu
asante Mh ila hapo naona hauja solve tatizo la huo mgogoro ulichofanya ni kuhamisha kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine na hao jamaa wamenunua kihalali kwahio watawka injuction na hakutakuwa na mmiliki halali mgogoro utaendelea
Of point kabisa, hiyo ARDHI ILIKUWA ya hao walalamikaji kisheria na haikufutwa kisheria so hao wamepoteza hiyo HAKI ya kumiliki hawatakuwa na MGoGORO wowote, MWENYE HAKI kisheria ya kufuta hati ya ARDHI ni rais tu
Mnakumbuka shuka kumekucha Serikali yetu kiboko warudishieni Wamasai Ardhi yao ya Loliondo dhuluma zimezidi kila srkta Tutamkumbuka sanaaaa Hayati Magufuli mmewashika watu wasema ukweli wanasheria kuwatesa kuwaua kuwasingizia kesi za kila aina sasa mnaona uchaguzi unakaribia ndiyo mnaanza kufuatilia inshallah Mungu atawalani tu tu na uonevu wenu wa Haki za Binadamu
Wataalam wako sahihi.... Mae neo mengi yamehodhiwA na taasisi za kidini na zimekaa wazi pasipo matumizi.... Matumizi yaweza kubadilishwa na wataalamu.... Nini maana ya taaluma..... Shida ni uwazi haupo maofsini na ushirikishwaji wa wananchi
Kama sehem imeshajemgwa na Raia amekaa serekali itumie hekma na kuona kua kuna namna ya kufanya ili watu wasiharibiwe mali zao maana mkosaji hapa ni serekali wenyewe
Jamani naombeni no za Mh Aweso.kuna ubadhirifu Morowasa wamekarabati tank la wananchi tulilojenga kwa nguvu zetu na pia wamearibu miundombinu ya maji kata ya bigwa Morogoro wakati tuna vibali halali vya kumiliki maji.
kunyooosha watu kwenye mstari tungekuwa na mawaziri kama sita tuu nakuhakikishia watu wanaweza wakasema nchi isiwe na raisi iwe inaongozwa na mawaziri wanasimamiwa na waziri mkuu
Hao ni watendaji wenu kama serekali mliwaamini kama wameharibu serekali inatakiwa iwajibike maana wao ndio wameweka watu wasio sahihi mimi kama raia nimenunua kiwanja na kupewa hati miliki serekalini sasa mnaniambiaje nilipojenga sipo sahihi
Nayeye asimame kazi maana maeneo yote katika jimbo lake barabara hazipitiki magole, mwana gati, kitunda, kivule msongola,, bomba mbili sasa hivi nauli daradara 2,000.
Asante mungu asante mm samia kwa kumchagua waziri wa ardhi yuko makini sana
Kwa kweli nakuomnea mungu akupe maisha marefu mtetezi wa wanyonge
Nafikilia San waliojenga daaa na maisha yalivo magumu sijui unaweza kufa😭 mweshimiwa waangalieni wananchi wenu kama ina wezekana kanisa wapewe sehem nyingine na hao wafanyakazi wezi wafukuzwe kazi maoni yangut🙏
Apana tutakua tunalea wiz thuluma awa walio jenga ni viongoz ndio maana jamaa anakua na nguvu
Nafikiria sio nafikilia
Yaani wewe waziri Mungu akubariki sana njoo na Shinyanga kuna dhuruma ya viwanja
Tunafurahi hii mitandao ya Jamii inasaidia sanaaaa kila kitu hadharani Mungu ahsante na bado wengi watajiondoa wenyewe Ccm kwa kuuza bandari zetu za bara na ahsante Ssuti ya watu ambayo ni Sauti ya Mungu Tec na Sauti ya Watanzania Dr Slaa Nwambukusi Mdude na wengineo pamoha wameteswa sanaaaa Mungu atatoa jibu tu
Mungu akutunze na akuweke viwango vya juu zaidi.
Mungu akusaidiyi Mheshimiwa slaa . Endelea kushughuli na wa ovu
ndugu yangu jerry uko sawa sana sana ila watu hawapendi jilinde ndugu yangu nchi hizi ni hatari ila safi sana una umagu kwa mbali
Tunashukuru MUNGU awabariki
Mungu akutangulie Daima Mungu Akutangulie
Huyu ni mbunge wa ukonga lakini kule kivule frem kumi ambapo kuna hospitali ya wilaya ya amana barabara ni mbovu mbovu sjui anatusaidiaje
Huko chunya hii ndio kawaida Yao Ani viongozi wanagawana na kutunukiana viwanja vya raia kama maembe 2 my country people
Sasa wameamia Dom Maafisa Ardhi dhulma sana wametudhulumu Ardhi sana Dar sasa zam ya Dom
Kazi kutujazia Waarabu waliwatesa Mababu zetu kwenye uyumwa sasa wanataka turudi utumwani tena wakawapeleke Hukohuko zanzibar Utwala gani huu
IGNORANCE OF LAW IS NOT EXCUSE!
asante Mh ila hapo naona hauja solve tatizo la huo mgogoro ulichofanya ni kuhamisha kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine na hao jamaa wamenunua kihalali kwahio watawka injuction na hakutakuwa na mmiliki halali mgogoro utaendelea
Of point kabisa, hiyo ARDHI ILIKUWA ya hao walalamikaji kisheria na haikufutwa kisheria so hao wamepoteza hiyo HAKI ya kumiliki hawatakuwa na MGoGORO wowote, MWENYE HAKI kisheria ya kufuta hati ya ARDHI ni rais tu
Tumuombee kiongozi huyu maana yeyote anayejaribu kusimamia haki Huwa na vita Kali sana tusifurahi tu tumwombee
kila Sekta hovyo kabisa tumeichoka awamu hii ajabu kazi kujaza mijizi tu ya awamu ya nne
Mnakumbuka shuka kumekucha Serikali yetu kiboko warudishieni Wamasai Ardhi yao ya Loliondo dhuluma zimezidi kila srkta Tutamkumbuka sanaaaa Hayati Magufuli mmewashika watu wasema ukweli wanasheria kuwatesa kuwaua kuwasingizia kesi za kila aina sasa mnaona uchaguzi unakaribia ndiyo mnaanza kufuatilia inshallah Mungu atawalani tu tu na uonevu wenu wa Haki za Binadamu
Rukuvi alikuwa Moja na mafuru
Mungu una ishi.
Mafuru hastahili kuendelea kuishi
Muheshimiwa tumevunjiwa nyumba zetu kimara stop over kwa ajili ya kupisha ujenzi wa barabara leo hii anapewa mtu eneo anajenga shell je hiyo ni sheria
Wataalam wako sahihi.... Mae neo mengi yamehodhiwA na taasisi za kidini na zimekaa wazi pasipo matumizi.... Matumizi yaweza kubadilishwa na wataalamu.... Nini maana ya taaluma..... Shida ni uwazi haupo maofsini na ushirikishwaji wa wananchi
Saaaaafiiiii saaaaaana waziri nyoooosha rula
Kama sehem imeshajemgwa na Raia amekaa serekali itumie hekma na kuona kua kuna namna ya kufanya ili watu wasiharibiwe mali zao maana mkosaji hapa ni serekali wenyewe
Jamani naombeni no za Mh Aweso.kuna ubadhirifu Morowasa wamekarabati tank la wananchi tulilojenga kwa nguvu zetu na pia wamearibu miundombinu ya maji kata ya bigwa Morogoro wakati tuna vibali halali vya kumiliki maji.
Dodoma kuhusu ardhi mweshimiwa nishida.Watu wanabadilisha hti kwenda kwamtu mwingine,
Kwani haiwezekan hao watu waliojenga apo wakajichanga na kununua Eno jingne kwaajili ya kanisa maaana kubomoa izo nyumba 😢
Mbona hao wawekezaji hawakutafuta pahali pengine?
Sasa wao wanakosa gani kumilikishwa???
Hilo ni Kanisa piga hesab watu wa hali ya chin
kunyooosha watu kwenye mstari tungekuwa na mawaziri kama sita tuu nakuhakikishia watu wanaweza wakasema nchi isiwe na raisi iwe inaongozwa na mawaziri wanasimamiwa na waziri mkuu
Viongozi wameiharibu Ccm chama cha Mwalimu nyerere na karume inejaa mijizi tu tumeichoka kabisa
Kwa huo uamuzi mgogoro haujaisha. Waliojenga wana ramani nyingine na waliodhulumiwa na wana ya kwao.
Bado fuatilia na kanisa la viziwi ihumwa ambayo ni jamii maalumu lakini wameuza wakishirikiana na mkurugenzi mafuru.njoo na ndachi uone
Tatizo mnawasimamisha na kuwahamishia sehemu nyingine, sasa mnategemea nini?😂😂😂😂😂
Tabia ya rushwa na dhuluma ni tabia ya watendaji karibu wote wa serikali ya ccm
Viongozi wengi wanalindana huko hivyo hata hiyo eneo la kanisa wamehusika wengi wao
ASITOE AGIZO LA MDOMO ATOE LA BARUA ILI AJIKOMITI.HATA WATAKAO ENDA MAHAKAMANI.WAWE NA NGUVU.
Mwashimiwa yupo fadhili WA mkuu WA idara ni mtuu Atari Kwa wilaya ubungo
Ardhi shida bado ipo pale pale hapo dar ndio usiseme nenda Rudi mpk basi, tunammis Dana Lukuvi
Dah apa nimemukumbuka muzee wetu rukuvi
Mh. Ni kufuuzwa kazi. Kanisa wape eneo linguine watusiwatie hasara . Fukuda.kazi hao watumishi wa.ardhi
Damage ya mtu mmoja tuu
Hao ni watendaji wenu kama serekali mliwaamini kama wameharibu serekali inatakiwa iwajibike maana wao ndio wameweka watu wasio sahihi mimi kama raia nimenunua kiwanja na kupewa hati miliki serekalini sasa mnaniambiaje nilipojenga sipo sahihi
Swali nzuri sana
Kumfukuza mtu kazi mpaka uite press?
Yasiwe hivii Kwa uchaguzi kukaribia tu
HUU UCHAFU ULITAKIWA UFANYIKE MIKOANI NA SI IKULU. "IKULU NI MAHALI PATAKATIFU."
Uyo jamaa kajenga gorofa kabisa ukute alionga kukipata kiwanja sasa anaenda kuvunja sasa gorofa lote
Katika hili tutamkubuka sana Rukuvi
Rukuvi na mafuru ni wamoja
@@NardhisMhagama-sy3eqkabisa
NA HAPA NDIPO SERIKALI YA MAMA SAMIA INAPOKAA, LAKINI HUU UCHAFU UNAFANYIKA HIVYO!
Nayeye asimame kazi maana maeneo yote katika jimbo lake barabara hazipitiki magole, mwana gati, kitunda, kivule msongola,, bomba mbili sasa hivi nauli daradara 2,000.
Sio daradara ndugu,ni daladala
@@AlfarouqIslamic asante ndugu, ujumbe ufike huku tuna teseka.
Mabula was incompetent
Dodoma ni fujo tupu ya ardhi
Haki imetendeka
Hawa jamaaaaaaaaaaaaa wameona tunakaribia uchaguz ndio wanakomaaaaaaa
Kwa hiyo Ulikuwa unashauri waache huu upuuzi uendelee?
Mbona unatoa mamuzi apo kwaapo kwengine autowi mamzi unaupendereo nyau wewe
Wizi mtupu huo cjui wanapataje usingizi kwa dhuluma kwakweli