KIMENUKA! JERRY SILAA ATOA SIKU 14 JENGO LIBOMOLEWE, AWAGEUKIA TARURA - "MJITAFAKARI"....

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 28

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  10 месяцев назад

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

  • @salmanmagwe2612
    @salmanmagwe2612 9 месяцев назад +4

    Muheshimiwa waziri Slaa kaa na mwenzako wa ujenzi ili mtoe amri kwa Tarura mikoa yote walinde maeneo yao kwani ni kama TARURA wamelala watu wamejenga hadi kwenye hifadhi za barabara wakishirikiana na maofisa Ardhi walafi.

  • @RobertPangaya
    @RobertPangaya 10 месяцев назад +2

    WAZIRI UPO SAHIHI ...NA KWASASA MAMBO HAYO YAPO SEHEMU NYINGI TZ, MTU ANAJENGA ENEO LAKE LOTE KISHA ANACHUKUA ENEO LA WAZI LA SERIKALI .BILA KIBARI ANAJIMILIKISHA WAKATI WA KUUZA ANAUZA NA ENEO LA SERIKALI. FUATILIA MH UTAONA SEHEMU NYINGI MATAJIRI WAME YA HOZI.

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34 9 месяцев назад

    God protect you for what you're doing is good in the presence of God.big up

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 6 месяцев назад

    Hongera sn Mh Jery

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 10 месяцев назад +2

    Jerry nakuita UMETEREKEZA KITUNDA barabara mbooooovu wananchi tunapata shida subier 2025

  • @Aziz-p6s
    @Aziz-p6s 9 месяцев назад +2

    Mnamchosha waziri. Mkurugenzi yupo wapi mpaka haya yanatokea? Hii nchi

    • @jackmabirangacharles9398
      @jackmabirangacharles9398 6 месяцев назад +1

      Ndio utashangaa mpaka Jengo limefika pale watu wamekaa tu ofisini sasa Sioni hata ya hao wakurugenzi kweli wana mchosha Waziri kazi ambazo ni Majukumu yao Waziri anafanya

  • @leonardkigere
    @leonardkigere 9 месяцев назад +1

    bomoeni hii structure kamaliza maagizo waziri ndyo maana matatizo haya hayaishi watendaji wanakula rushwa ilitakiwa aagize wabomoe,pia kuwasimamisha waliotoa kibali na kumpeleka mahakamani mjenzi pamoja na watendaji wa mitaa wanaoona ujenzi huu katika maeneo yao

  • @ErnestTomas
    @ErnestTomas 9 месяцев назад +1

    Ongera slaa

  • @bongo39
    @bongo39 10 месяцев назад +3

    Mbona sehemu kama hizo zipo nyingi tuu

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 10 месяцев назад +1

    Building permit alitoa Nani?

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 9 месяцев назад +1

      Siku hizi watu wanajijengea bila hiyo Parmit

  • @BonnyMwajombe-iu7hb
    @BonnyMwajombe-iu7hb 5 месяцев назад

    Slaa acha sifa, unajua unautamani uwaziri mkuu

  • @dismaslalubare4196
    @dismaslalubare4196 9 месяцев назад

    Muheshimiwa slaa nakuomba uje arusha tembelea huku ... unawezazimia kabla hujamaliza ziara

  • @PLAYPROGAMING568K
    @PLAYPROGAMING568K 6 месяцев назад

    Mheshimiwa hapa karikoo mbele ya majengo yetu tukikuwa na parking yetu lakini serikali ya mtaa wamewapa watu kujenga kisima na wakala na club yanga na plot yetu iko somali kipande plot 26 na 27 gerezanu , na kudai nafasi ya wazi na wamezima maduka ya majengo letu hayaonekqni na hatuna parking ,mjumbe anadai maji ya kisima yanasaidia wazi wa pale sasa kama inatoa huduma kwanini asijenge ndani ya jengo lake mbele kwanini ajenge mbele ya jengo letu na kuzima parking na emergency gate na mbona kisima anamiliki plot no 12 na yeye ndiyo anapokea pesa na mjumbe pesa za hayo mawalq na kisima anapokea nani ? Na kwanini kujenga mbele ya jengo na kudai nafasi ya wazi tokea lini mbele ya jengo la mtu kunakuwa na nafasi ya wazi
    Tunaomba msaada na wakala na machinga holela chini ya transformer na nguzo

  • @Aziz-p6s
    @Aziz-p6s 9 месяцев назад

    Dar ipo ivyo hakuna mitaa

  • @KassianChengo
    @KassianChengo 3 месяца назад

    Mheshimiwa BAOBAB karibu na Mapinga au Kimele watu wanazurumiwa maeneo na Pesa na kikundi kinajiita Kamati binafsi nakijua hiko kikundi na mimi ni mhanga wa hiko kikundi Masaada wako Mheshimiwa najua uko bize na Kazi lakini utusaidie Kaka....

  • @emanuelkilangilo5585
    @emanuelkilangilo5585 8 месяцев назад

    Mueshimiwa unaomba uongezewe ulinzi na wagaga wa kutosha hii nchi utaangushwa⚰️⚰️⚰️

  • @gracemtyaule562
    @gracemtyaule562 4 месяца назад

    We

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 8 месяцев назад

    Tawile tawile mkuu

  • @issayahya1640
    @issayahya1640 7 месяцев назад

    Jerry tusafishie njia ya tegeta tupate service road na njia ya kawe watu wajenge kwenye mawe ya ya viwanja wamezidi moaka kupita hakuna ,parking hakuna

  • @OhongoihondeIhondeohongoihonde
    @OhongoihondeIhondeohongoihonde 10 месяцев назад

    Nyie niwapumbavu mrikua mpaka waziri aje upuuz mkubwa

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula 6 месяцев назад

    Mbona hatujaona ilivovunjwa

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 8 месяцев назад

    Wewe ni jembe uzidi kubalikiwa

  • @aediayumgo8546
    @aediayumgo8546 8 месяцев назад

    Hao wanao fanya hizo mambo hukohuko serekarini

  • @JaziraMustafa-g9p
    @JaziraMustafa-g9p 6 месяцев назад

    FIFDA HUSSEN NI MWIZI EA. ARDHI ZAWATU