SIRI IMEFICHUKA! MAKONDA AMBANA MKURUGENZI, MADUDU ya KUTISHA na RUSHWA OFISI YA HALMASHAURI ARUSHA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 май 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 156

  • @hassaintz9255
    @hassaintz9255 22 дня назад +24

    Huyu mzee anajua sana. Ila wabongo niwapagaji ila hawajui jinsi ya upigaji

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 21 день назад +7

    Mh Mkuu wa Mkoa-Arusha tunaomba ktk shuguhuli za kutetea haki siku moja basi nendaga magerezani ukakutane na wafungwa na kesi zao kiongozi wangu. Asante

  • @matukutajuma156
    @matukutajuma156 22 дня назад +41

    SAMIA DADA YANGU NIMEKUELEWA!! DUH NDIO MAANA ULIMTOA UENEZI UKAMPELEKA MAKONDA ARUSHA KUMBE UNA JAMBO!!? HONGERA MH RAISI WANGU!! MPE ULINZI WAKO BINAFSI KAMA UMEMZAA TUMBONI HUYU KIJANA NI KILAKA HAKYAMUNGU ATAKUSAIDIA! ❤

    • @rosetreffert4179
      @rosetreffert4179 21 день назад +2

      Kabisaa

    • @mackjr5291
      @mackjr5291 21 день назад

      Duuu nje ya ulinzi wa serikali

    • @saidkipalo4427
      @saidkipalo4427 18 дней назад

      Mimi nilijua tu Samia hawezi kumpeleka Mh Makonda Arusha bure bure piga kazi Mh Makonda Viva mama Samia Suluhu Hassan 🙌

  • @ausmsuya3335
    @ausmsuya3335 19 дней назад +2

    Indeed is remarkable well explained
    Congratulations Mh ..🎉

  • @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k
    @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k 22 дня назад +22

    Yani makonda alikua makini sana uyo mzee mwenyez mungu amemsaidia maoni yake yamesikiliswa❤

    • @labancharles8453
      @labancharles8453 21 день назад

      nimeipenda comment yako ila MUNGU UANDIKE herufi kubwa

  • @SmilingBulldogPuppy-nb9ur
    @SmilingBulldogPuppy-nb9ur 22 дня назад +15

    mipete mingi ya kuzimu ya lile shetani joka la kale,lakini joka wa kale aka shetani hajamsaidia amechapika kwa Damu ya YESU ALIE HAI

  • @gladistaemanueliy6336
    @gladistaemanueliy6336 22 дня назад +20

    Makonda nakuombea Kila cku mana Hawa waizi hakupendi,

  • @EmmmaTembo
    @EmmmaTembo 22 дня назад +10

    Kutoka Zambia napenda nisifu huu yu mzee na wafanya biashara waliyo mchaguwa awe kiongozi wao hakika anajuwa kuweka mambo sawa na kujieleza sawa sawa

  • @jalaryababilasi1562
    @jalaryababilasi1562 21 день назад +7

    Paulo me Ni Rafik yko kaka nakupenda kuliko vijana wote hapa duniani ila na mimi kijana mwenzako napambana xana kaka mungu atupe wepesi kaka

  • @patrickfanuel
    @patrickfanuel 22 дня назад +3

    Mkuu Makonda mungu akubaliki sana katika maisha yako.🎉🎉🎉

  • @--------GEO_SPORT_EARTH_EA
    @--------GEO_SPORT_EARTH_EA 21 день назад +4

    Haya mambo ya wizi kupitia watumishi wa umma.Huwezi kuyaona Europe ama nchi zilizosmart kwa upuuzi kama huu

  • @ivankadaudi8161
    @ivankadaudi8161 21 день назад +4

    Mama samia tunaomba tuletee huyu mwamba mbeya, tuletee makonda aje atunyooshee watu wenye madudu yakutosha huku kwetu wanao sababisha jiji letu kuonekana kama sio jiji vile kuanzia kodi zetu ambazo hazitendewi kaz vyema kwa sisi walipa kodi, mpango mji,masoko na standi zetu,nauozoo kibao mkoani kwetu tunaomba sana ❤

  • @walterp.makundi5640
    @walterp.makundi5640 22 дня назад +2

    Well articulated Mr Chambulo, Good job!

  • @samtelah7578
    @samtelah7578 22 дня назад +12

    Hamna mkurugenz hapa aiseee

  • @PauloAlfayo-qi1gn
    @PauloAlfayo-qi1gn 19 дней назад +1

    Mh mkuu wetu wa mkoa,kwanza mungu akutie nguvu kwa kazi ngumu hii ila pitia mabaraza yote ya ardhi za halmashauri utajua mengi zaidi

  • @asifsilima4704
    @asifsilima4704 16 дней назад

    Definition of Education🎒🏫📚🎓 Congratulations Mr Williams and Mr Paul Makonda❤

  • @innocentmleli1196
    @innocentmleli1196 21 день назад +2

    Nakukubali mzee Chambulo, waeleze ukweli hao.

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr 17 дней назад

    Watu wanafikiri Kila mtu mwizi,,,,mzee Chambulo safi sana,,,,Allah azidi kukuongoza 🤲

  • @--------GEO_SPORT_EARTH_EA
    @--------GEO_SPORT_EARTH_EA 21 день назад +3

    Haya mambo ndiyo yanayofanya wawekezaji wasije Tanzania ....

  • @villabashiri3457
    @villabashiri3457 21 день назад +1

    As Executive As Makonda,The Legendary John❤

  • @hafsahamadi1631
    @hafsahamadi1631 16 дней назад

    Nataka nikirudi bongo nimuone Mh makonda inshallha nataka kumuona tu nimpe hongera kwa kazi nzuri anayoifanya

  • @AlexMahehula
    @AlexMahehula 22 дня назад +3

    Mkuu mungu akuper ulizibinafisi amina

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 22 дня назад +4

    Kusema kweli nchi hii ina wezi wengi sana haswa halmashauri 😢

  • @SmilingBulldogPuppy-nb9ur
    @SmilingBulldogPuppy-nb9ur 22 дня назад +13

    Ukiwa Tajiri unakuwa na nguvu ya kujiamini kweli kama BIBLIA TAKATIFU iIlivosema umaskini ni laana,huyu mzee anajiamini na ni Mlokole huyu

    • @Jackiedaniel75
      @Jackiedaniel75 22 дня назад

      Sure

    • @user-hh7df4mq1j
      @user-hh7df4mq1j 22 дня назад

      Kwakweli kuna kaujasiri flani hivi unakuwa nako

    • @davidmalisa8043
      @davidmalisa8043 21 день назад

      Hamna mlokole hapo WWE jichanganyee

    • @norahmaxwell6853
      @norahmaxwell6853 19 дней назад +1

      Yes Chambulo hana kona kona amenyooka kama pini cha pua hapendi uwongo uwizi uvivu na kuchezea muda 💪

  • @ramaaman4020
    @ramaaman4020 19 дней назад

    Aisee imeendahiyo vizurisana mzee, hakisawa Mungu ibariki Tanzania. Twaamini iposiku viongoziwapendaruswawatakwisa

  • @mlewamlewa976
    @mlewamlewa976 22 дня назад +3

    Fact Mr chabro

  • @riazshaikh8577
    @riazshaikh8577 22 дня назад +1

    Mzee ameongea na full confidence

  • @neemaloy889
    @neemaloy889 19 дней назад

    Ubarikiwe mh Makonda

  • @user-mc5zb3ox9c
    @user-mc5zb3ox9c 21 день назад +1

    Mungu mwema Sana

  • @emmanuelfari8924
    @emmanuelfari8924 22 дня назад +2

    Mh; Makonda +MUNGU+ azidi KUKUBARIKI na kukutunza siku zote hata na uzao wako baada yako YOHANA 14:14🙏🤝

  • @kristiankitali5505
    @kristiankitali5505 22 дня назад +3

    Sheria lazima ziwe Strong

  • @samwelerasto7138
    @samwelerasto7138 22 дня назад +4

    Duh Bora sipo hapo ningechoka kucheka 😅😅aibu jaman

  • @stevenmarunda4353
    @stevenmarunda4353 21 день назад

    Mwashimiwa makonda mungu akutunze utusaidie na upande wa jeshi la polish watches kusingizia kesi

  • @chesconkwera2005
    @chesconkwera2005 19 дней назад

    Inauma sana

  • @SanareLaizer-en5it
    @SanareLaizer-en5it 22 дня назад +2

    Hatari sana Yani huyu makonda yupo makini sana

  • @doramkolo1745
    @doramkolo1745 21 день назад

    Mama Samia alikuwa ameshaona Kuna madudu huko arusha ndio maana akapeleka jembe lakuyafyeka hayo madudu huko...big up mh makonda Mungu akulinde tu

  • @Enzo-cp
    @Enzo-cp 22 дня назад +5

    Mkuruu amejichanganya

  • @SonitajoseDonita-tm5ex
    @SonitajoseDonita-tm5ex 22 дня назад +15

    Mapete ya kichawi Hakuna Akili hapo ,Makonda Tia jela wezi Hawa .😊

  • @dorcasdavid2247
    @dorcasdavid2247 21 день назад

    M/Mungu Naomba Ulinzi wa Kutosha kwa Mtumishi wako Paul Makonda,kwa Kazi Nzr Anayofanya kwa kutetea Haki za Wanyonge wote hp Duniani 🙏🙏

  • @mzalendomzalendo2567
    @mzalendomzalendo2567 22 дня назад

    Salute kaskazini kwa kujiamini

  • @francisdeomassawe6307
    @francisdeomassawe6307 21 день назад

    Safi sana mkuu.

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th 22 дня назад +22

    Hiyo mipete tu aliovaa anaonekana kabisa ni muhuni na mwizi mzoefuu

    • @kikimshanga3412
      @kikimshanga3412 22 дня назад +7

      Mshirikina

    • @ericknganzi398
      @ericknganzi398 22 дня назад +2

      Nimeshangaa kuona hayo mapete kutoka kwa kiongozi wa utumishi wa umma. Daah huyu atakuwa ni hatari sana

    • @sophsoph4740
      @sophsoph4740 21 день назад +1

      Yn kiboko😢

    • @ElizabethWamcha
      @ElizabethWamcha 21 день назад

      Kwanxa aliivaa ya nini sehemu kama hiyo yenye presha yani linaonekana ni libaba linalopendq usera mtu mzima kuvaa mipete kama ile ni kuonekana muhuni tu apo qngevaa pete moja ya ndoa angeonekqna muungwana kimuonekano labda kama ajaoa angeacha kuvaa tu

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 22 дня назад +3

    Nchi ngumu Sana hii, hayo hapa ni kwa makonda tu je mikoa mingine Hali ikoje, ebu amkeni nyie wakuu wa mikoa mkasaidie wananchi chalamia mkoa wa dar ndo una madudu kibao uwe upo busy kwenye bia tu

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr 17 дней назад

    😂😂😂😂😂watu majambazi jamani,,,,mzee hakubali anataka kujua pesa zimekwenda wapi🙌

  • @SGVBnewsSAMWEL
    @SGVBnewsSAMWEL 22 дня назад +7

    Huyu si ndio alikua serengeti warioba alimsema kuwa ni mwizi kumbe za mwizi ni 40

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 22 дня назад +5

    Mpitishe sheria za kuwanyonga hawa wezi mngeanza kunyonga kama China na Korea kusini mnawachekea ndio maana wanaendelea kuiba.

  • @yohanamlowe704
    @yohanamlowe704 22 дня назад +1

    Mmh

  • @francismadirisha3511
    @francismadirisha3511 22 дня назад

    Lais wetu Samia asante kwa makonda atawanyosha hawa mafisadi

  • @kastoriooko7157
    @kastoriooko7157 21 день назад

    Safi mkuu

  • @BrayoDimpoz
    @BrayoDimpoz 18 дней назад

    Mwanaume ule hela ya mwanaume mwenzako😂😂

  • @kurumwagodfrey7052
    @kurumwagodfrey7052 22 дня назад +1

    Safi makonda kazi nzuri majizi haoo

  • @eliaichraymond1215
    @eliaichraymond1215 22 дня назад

    😳😳😳

  • @BONIPHACEMOHABE
    @BONIPHACEMOHABE 2 дня назад

    Ningekuwa na uwezo wa kuwaambia watanzania wakaelewa kweli kabisa ningewambia wakakupa urais ili angalau uwe magufuri wa pili uikomboe Tanzania ila wasikuue

  • @doreengomes3489
    @doreengomes3489 22 дня назад +11

    Protocol must be observed by addressing people with their right OFFICIAL NAMES...his name is Mr. William Chambulo and NOT KABURU.
    How can a government official send/address a legal notice to a business owner using his nick name?!

    • @Bettylaizery
      @Bettylaizery 22 дня назад +3

      Not William. Call him Wilbard

    • @doreengomes3489
      @doreengomes3489 22 дня назад

      @@Bettylaizery my sincere apologies, it is indeed "Willy"... but NOT KABURU. Thank you for the correction.

    • @--------GEO_SPORT_EARTH_EA
      @--------GEO_SPORT_EARTH_EA 21 день назад

      Nimeshangaa sana mtu anarudiarudia kumuita KABULU ..
      HuYo mkurugenzi anatakiwa kutolewa hapo ARUSHA hapo hafai

  • @idinado-wk3lx
    @idinado-wk3lx 22 дня назад +2

    Uyu Mzee nampenda sana

  • @mercyzakariah
    @mercyzakariah 22 дня назад +2

    Raisi anajua Kweli, kumbe ndiomana aka mteua makonda, Arusha wapigaji2

  • @salummakadi311
    @salummakadi311 10 дней назад

    Raise Samia muwekee ulinzi wa kutosha makonda maana ni Kama mfano wa yesu Alie tumwa na mungu kwa Wana kondoo .aliifaa kuwa waziri mkuu ndio mahala pake viongozi mafisadi na Wala rushwa angewafutilia mbali

  • @herimallya3385
    @herimallya3385 8 дней назад

    Hayo majini kwenye mapete hayajamsaidia???jinga

  • @OscerShop
    @OscerShop 20 дней назад

    Mh. Paul Makonda wewe unatakiwa siku moja uwe Rais maana situ unajiruma ukweli no kwamba unakubalika kwanamna unavotatua migogoro hongera Sana .

  • @CharlesWilliam-iz3fz
    @CharlesWilliam-iz3fz 19 дней назад

    Ungesikia weka ndani angekueo

  • @husseinmgoo3074
    @husseinmgoo3074 22 дня назад +1

    Apo poa

  • @msafirimfilinge8222
    @msafirimfilinge8222 21 день назад

    Mmmmmh wizi inje inje😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @sophsoph4740
    @sophsoph4740 21 день назад +2

    Baba kanikosha huyu afu hana nywele za kitajeeer

  • @mwatumsaidi5104
    @mwatumsaidi5104 22 дня назад +1

    Muheshimiwa makonda mungu akupe miaka mingi mbele unasaidiya sana wanyonge natamani ungeletwa zanzibar maana kunanuka zulma

  • @mohamedkaranje8678
    @mohamedkaranje8678 22 дня назад +8

    Mh kachoka kabisa....hii nchi tunamsiba mzito sanA

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 22 дня назад +2

    Ameandika kabulu ilikupoteza ushaidi puba kabisa atiwe ndani mwizi

  • @Juke995
    @Juke995 16 дней назад

    Watu waliosoma bhana yani hawana papara kabisa wanaongea point imekamilika .nyie elimu ni nzuri sana

  • @ismailjuma1452
    @ismailjuma1452 19 дней назад

    Makonda piga kazi kaka

  • @frankwilliam144
    @frankwilliam144 21 день назад +1

    Imagine mkurugenzi anateuliwa na rais ili amsaidie kufanya kazi vizuri na kutenda haki, then hiki ndicho anachoenda kufanya. Ni aibu kubwa kwa serikali. Yeye ndo anafanya wananchi waichukie serikali kumbe serikali haina tatizo lolote.

  • @sophsoph4740
    @sophsoph4740 21 день назад +2

    😂😂😂hapo kwenye jina kanchekesha et tuheshimiane

  • @nayopamlimbatv1382
    @nayopamlimbatv1382 19 дней назад

    Uyu makonda aletwe na Morogoro jamani

  • @jeremiahsumun1149
    @jeremiahsumun1149 11 дней назад

    Mgogo unalea watoto sio wako

  • @ClementMekarnt
    @ClementMekarnt 22 дня назад

    Upigaji unaendelea 😢😢😢

  • @adeliphinusgabone7431
    @adeliphinusgabone7431 21 день назад

    The guy is very smart and he knows whta is doing,Mkulu genzi Kayakanyaga kwelikweli.

    • @sophsoph4740
      @sophsoph4740 20 дней назад

      Kayatimba mana hlijiachia kwa wandishi wa habari ...hamjui chamburo akili kubwa❤❤

  • @kurumwagodfrey7052
    @kurumwagodfrey7052 22 дня назад

    Mzarendo wa kweli

  • @aronmtui597
    @aronmtui597 21 день назад

    Chama chake hapana

  • @golebenson4597
    @golebenson4597 22 дня назад +1

    Serekeli ikipewa chimbo la wizi 😂😂

  • @chekanao4298
    @chekanao4298 21 день назад

    jamani kaka wa watu anaongea vizur kwa msisitizo, kafichua madudu, makonda mpe ulinzi tafadhali.

  • @aqbizyaugust8919
    @aqbizyaugust8919 19 дней назад

    Af jina langu sio Kaburu.... 😂😂😂

  • @chesconkwera2005
    @chesconkwera2005 19 дней назад

    Kuna wezi wengi sana hii nchi

  • @user-ui1jz7su2p
    @user-ui1jz7su2p 21 день назад

    Jamani, jamani,MUNGU, kumbe yupo, EEEE,ARUSHA, kumekicha

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 22 дня назад

    Haamajizi kubewengiii maaa

  • @AdamMwava
    @AdamMwava 21 день назад

    Saf San mlipa kod

  • @user-mc5zb3ox9c
    @user-mc5zb3ox9c 21 день назад

    Duuuuuuuuu aibuuu Sana jamani

  • @devothabernard1570
    @devothabernard1570 20 дней назад

    Pete za bahati hizo zina maelekezo yake😂

  • @godfreymwanguku3396
    @godfreymwanguku3396 21 день назад

    Nahisi pia usipo lalamika unaweza Kuja kupigwa faini

  • @user-vy2bc6xg3i
    @user-vy2bc6xg3i 22 дня назад

    Nilijua tu huyu mzee toka mwanzo alikuwa anatoa kicho kwa hasira

  • @deborahmollel3170
    @deborahmollel3170 19 дней назад

    Yaani mkurugenzi Mzima ma Pete hayo Kama mpiga ndumba haina heshima kabisa,hapendezei cheo hicho Wizi tu

  • @Kivuruge255
    @Kivuruge255 21 день назад +1

    Pyee pyyee pyee, Fyuuu😂😂 kikowapi sasa na mipete yake ka mganga wa jadi

  • @emmilianlukaye3125
    @emmilianlukaye3125 22 дня назад

    Watanzania tukinyoosha hivi, nchi itanjengwa kwa haraka.
    Majizi wanaturudisha nyuma

  • @FunnyChess-ns9vf
    @FunnyChess-ns9vf 22 дня назад +2

    Changulo umemalizaaaa duuh
    Inatosha brother

  • @gibrilmongi5646
    @gibrilmongi5646 21 день назад

    Moto umewaka

  • @mohamedkaranje8678
    @mohamedkaranje8678 22 дня назад

    Hiyo ni arusha...dar?
    Hii nchi ngumu mno

  • @riazshaikh8577
    @riazshaikh8577 22 дня назад

    Yani wote chori tu

  • @ErickMungure-cv2mg
    @ErickMungure-cv2mg 22 дня назад

    kayakanyaga huyo DED

  • @jacklinelyimo7407
    @jacklinelyimo7407 21 день назад

    Wawekwe ndani wanaoshikwa na wizi wa fedha

  • @gladistaemanueliy6336
    @gladistaemanueliy6336 22 дня назад +1

    Huyu mkurugenzu ni mpuuzu sana hiyo leseni ya chambulo inasoma kaburu? Kwanini unaharibu majina ya watu

  • @midundotechtz6843
    @midundotechtz6843 22 дня назад

    Paul mzee wa kuwanyoosha

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l 19 дней назад

    Mapete ya huyu jamaa. Mshirikina huyo.

  • @JoelMartin-16
    @JoelMartin-16 21 день назад

    MUNGU atusaidie duuuh