Mh Mkuu wa Mkoa-Arusha tunaomba ktk shuguhuli za kutetea haki siku moja basi nendaga magerezani ukakutane na wafungwa na kesi zao kiongozi wangu. Asante
Mama samia tunaomba tuletee huyu mwamba mbeya, tuletee makonda aje atunyooshee watu wenye madudu yakutosha huku kwetu wanao sababisha jiji letu kuonekana kama sio jiji vile kuanzia kodi zetu ambazo hazitendewi kaz vyema kwa sisi walipa kodi, mpango mji,masoko na standi zetu,nauozoo kibao mkoani kwetu tunaomba sana ❤
Kwanxa aliivaa ya nini sehemu kama hiyo yenye presha yani linaonekana ni libaba linalopendq usera mtu mzima kuvaa mipete kama ile ni kuonekana muhuni tu apo qngevaa pete moja ya ndoa angeonekqna muungwana kimuonekano labda kama ajaoa angeacha kuvaa tu
Nchi ngumu Sana hii, hayo hapa ni kwa makonda tu je mikoa mingine Hali ikoje, ebu amkeni nyie wakuu wa mikoa mkasaidie wananchi chalamia mkoa wa dar ndo una madudu kibao uwe upo busy kwenye bia tu
Ningekuwa na uwezo wa kuwaambia watanzania wakaelewa kweli kabisa ningewambia wakakupa urais ili angalau uwe magufuri wa pili uikomboe Tanzania ila wasikuue
Protocol must be observed by addressing people with their right OFFICIAL NAMES...his name is Mr. William Chambulo and NOT KABURU. How can a government official send/address a legal notice to a business owner using his nick name?!
Raise Samia muwekee ulinzi wa kutosha makonda maana ni Kama mfano wa yesu Alie tumwa na mungu kwa Wana kondoo .aliifaa kuwa waziri mkuu ndio mahala pake viongozi mafisadi na Wala rushwa angewafutilia mbali
Imagine mkurugenzi anateuliwa na rais ili amsaidie kufanya kazi vizuri na kutenda haki, then hiki ndicho anachoenda kufanya. Ni aibu kubwa kwa serikali. Yeye ndo anafanya wananchi waichukie serikali kumbe serikali haina tatizo lolote.
Huyu mzee anajua sana. Ila wabongo niwapagaji ila hawajui jinsi ya upigaji
Mh Mkuu wa Mkoa-Arusha tunaomba ktk shuguhuli za kutetea haki siku moja basi nendaga magerezani ukakutane na wafungwa na kesi zao kiongozi wangu. Asante
SAMIA DADA YANGU NIMEKUELEWA!! DUH NDIO MAANA ULIMTOA UENEZI UKAMPELEKA MAKONDA ARUSHA KUMBE UNA JAMBO!!? HONGERA MH RAISI WANGU!! MPE ULINZI WAKO BINAFSI KAMA UMEMZAA TUMBONI HUYU KIJANA NI KILAKA HAKYAMUNGU ATAKUSAIDIA! ❤
Kabisaa
Duuu nje ya ulinzi wa serikali
Mimi nilijua tu Samia hawezi kumpeleka Mh Makonda Arusha bure bure piga kazi Mh Makonda Viva mama Samia Suluhu Hassan 🙌
Indeed is remarkable well explained
Congratulations Mh ..🎉
Yani makonda alikua makini sana uyo mzee mwenyez mungu amemsaidia maoni yake yamesikiliswa❤
nimeipenda comment yako ila MUNGU UANDIKE herufi kubwa
mipete mingi ya kuzimu ya lile shetani joka la kale,lakini joka wa kale aka shetani hajamsaidia amechapika kwa Damu ya YESU ALIE HAI
Makonda nakuombea Kila cku mana Hawa waizi hakupendi,
Kutoka Zambia napenda nisifu huu yu mzee na wafanya biashara waliyo mchaguwa awe kiongozi wao hakika anajuwa kuweka mambo sawa na kujieleza sawa sawa
Paulo me Ni Rafik yko kaka nakupenda kuliko vijana wote hapa duniani ila na mimi kijana mwenzako napambana xana kaka mungu atupe wepesi kaka
*MUNGU
Mkuu Makonda mungu akubaliki sana katika maisha yako.🎉🎉🎉
Haya mambo ya wizi kupitia watumishi wa umma.Huwezi kuyaona Europe ama nchi zilizosmart kwa upuuzi kama huu
Mama samia tunaomba tuletee huyu mwamba mbeya, tuletee makonda aje atunyooshee watu wenye madudu yakutosha huku kwetu wanao sababisha jiji letu kuonekana kama sio jiji vile kuanzia kodi zetu ambazo hazitendewi kaz vyema kwa sisi walipa kodi, mpango mji,masoko na standi zetu,nauozoo kibao mkoani kwetu tunaomba sana ❤
Well articulated Mr Chambulo, Good job!
Hamna mkurugenz hapa aiseee
Mh mkuu wetu wa mkoa,kwanza mungu akutie nguvu kwa kazi ngumu hii ila pitia mabaraza yote ya ardhi za halmashauri utajua mengi zaidi
Definition of Education🎒🏫📚🎓 Congratulations Mr Williams and Mr Paul Makonda❤
Nakukubali mzee Chambulo, waeleze ukweli hao.
Watu wanafikiri Kila mtu mwizi,,,,mzee Chambulo safi sana,,,,Allah azidi kukuongoza 🤲
Haya mambo ndiyo yanayofanya wawekezaji wasije Tanzania ....
As Executive As Makonda,The Legendary John❤
Nataka nikirudi bongo nimuone Mh makonda inshallha nataka kumuona tu nimpe hongera kwa kazi nzuri anayoifanya
Mkuu mungu akuper ulizibinafisi amina
Kusema kweli nchi hii ina wezi wengi sana haswa halmashauri 😢
Ukiwa Tajiri unakuwa na nguvu ya kujiamini kweli kama BIBLIA TAKATIFU iIlivosema umaskini ni laana,huyu mzee anajiamini na ni Mlokole huyu
Sure
Kwakweli kuna kaujasiri flani hivi unakuwa nako
Hamna mlokole hapo WWE jichanganyee
Yes Chambulo hana kona kona amenyooka kama pini cha pua hapendi uwongo uwizi uvivu na kuchezea muda 💪
Aisee imeendahiyo vizurisana mzee, hakisawa Mungu ibariki Tanzania. Twaamini iposiku viongoziwapendaruswawatakwisa
Fact Mr chabro
Mzee ameongea na full confidence
Ubarikiwe mh Makonda
Mungu mwema Sana
Mh; Makonda +MUNGU+ azidi KUKUBARIKI na kukutunza siku zote hata na uzao wako baada yako YOHANA 14:14🙏🤝
Sheria lazima ziwe Strong
Duh Bora sipo hapo ningechoka kucheka 😅😅aibu jaman
Mwashimiwa makonda mungu akutunze utusaidie na upande wa jeshi la polish watches kusingizia kesi
Inauma sana
Hatari sana Yani huyu makonda yupo makini sana
Mama Samia alikuwa ameshaona Kuna madudu huko arusha ndio maana akapeleka jembe lakuyafyeka hayo madudu huko...big up mh makonda Mungu akulinde tu
Mkuruu amejichanganya
Mapete ya kichawi Hakuna Akili hapo ,Makonda Tia jela wezi Hawa .😊
Mapete hatari sana tena sana
Yashindwe Kwa jina kuu lipitalo majina yote.
YESU KRISTO
M/Mungu Naomba Ulinzi wa Kutosha kwa Mtumishi wako Paul Makonda,kwa Kazi Nzr Anayofanya kwa kutetea Haki za Wanyonge wote hp Duniani 🙏🙏
Salute kaskazini kwa kujiamini
Safi sana mkuu.
Hiyo mipete tu aliovaa anaonekana kabisa ni muhuni na mwizi mzoefuu
Mshirikina
Nimeshangaa kuona hayo mapete kutoka kwa kiongozi wa utumishi wa umma. Daah huyu atakuwa ni hatari sana
Yn kiboko😢
Kwanxa aliivaa ya nini sehemu kama hiyo yenye presha yani linaonekana ni libaba linalopendq usera mtu mzima kuvaa mipete kama ile ni kuonekana muhuni tu apo qngevaa pete moja ya ndoa angeonekqna muungwana kimuonekano labda kama ajaoa angeacha kuvaa tu
Nchi ngumu Sana hii, hayo hapa ni kwa makonda tu je mikoa mingine Hali ikoje, ebu amkeni nyie wakuu wa mikoa mkasaidie wananchi chalamia mkoa wa dar ndo una madudu kibao uwe upo busy kwenye bia tu
😂😂😂😂😂watu majambazi jamani,,,,mzee hakubali anataka kujua pesa zimekwenda wapi🙌
Huyu si ndio alikua serengeti warioba alimsema kuwa ni mwizi kumbe za mwizi ni 40
Ndio huyo Huyo bab mwiz kitambo kumbe
Mpitishe sheria za kuwanyonga hawa wezi mngeanza kunyonga kama China na Korea kusini mnawachekea ndio maana wanaendelea kuiba.
Mmh
Lais wetu Samia asante kwa makonda atawanyosha hawa mafisadi
Safi mkuu
Mwanaume ule hela ya mwanaume mwenzako😂😂
Safi makonda kazi nzuri majizi haoo
😳😳😳
Ningekuwa na uwezo wa kuwaambia watanzania wakaelewa kweli kabisa ningewambia wakakupa urais ili angalau uwe magufuri wa pili uikomboe Tanzania ila wasikuue
Protocol must be observed by addressing people with their right OFFICIAL NAMES...his name is Mr. William Chambulo and NOT KABURU.
How can a government official send/address a legal notice to a business owner using his nick name?!
Not William. Call him Wilbard
@@Bettylaizery my sincere apologies, it is indeed "Willy"... but NOT KABURU. Thank you for the correction.
Nimeshangaa sana mtu anarudiarudia kumuita KABULU ..
HuYo mkurugenzi anatakiwa kutolewa hapo ARUSHA hapo hafai
Uyu Mzee nampenda sana
Raisi anajua Kweli, kumbe ndiomana aka mteua makonda, Arusha wapigaji2
Raise Samia muwekee ulinzi wa kutosha makonda maana ni Kama mfano wa yesu Alie tumwa na mungu kwa Wana kondoo .aliifaa kuwa waziri mkuu ndio mahala pake viongozi mafisadi na Wala rushwa angewafutilia mbali
Hayo majini kwenye mapete hayajamsaidia???jinga
Mh. Paul Makonda wewe unatakiwa siku moja uwe Rais maana situ unajiruma ukweli no kwamba unakubalika kwanamna unavotatua migogoro hongera Sana .
Ungesikia weka ndani angekueo
Apo poa
Mmmmmh wizi inje inje😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Baba kanikosha huyu afu hana nywele za kitajeeer
Muheshimiwa makonda mungu akupe miaka mingi mbele unasaidiya sana wanyonge natamani ungeletwa zanzibar maana kunanuka zulma
Mh kachoka kabisa....hii nchi tunamsiba mzito sanA
Ameandika kabulu ilikupoteza ushaidi puba kabisa atiwe ndani mwizi
Watu waliosoma bhana yani hawana papara kabisa wanaongea point imekamilika .nyie elimu ni nzuri sana
Makonda piga kazi kaka
Imagine mkurugenzi anateuliwa na rais ili amsaidie kufanya kazi vizuri na kutenda haki, then hiki ndicho anachoenda kufanya. Ni aibu kubwa kwa serikali. Yeye ndo anafanya wananchi waichukie serikali kumbe serikali haina tatizo lolote.
😂😂😂hapo kwenye jina kanchekesha et tuheshimiane
😂😂😂😂😂😂
Uyu makonda aletwe na Morogoro jamani
Mgogo unalea watoto sio wako
Upigaji unaendelea 😢😢😢
The guy is very smart and he knows whta is doing,Mkulu genzi Kayakanyaga kwelikweli.
Kayatimba mana hlijiachia kwa wandishi wa habari ...hamjui chamburo akili kubwa❤❤
Mzarendo wa kweli
Chama chake hapana
Serekeli ikipewa chimbo la wizi 😂😂
jamani kaka wa watu anaongea vizur kwa msisitizo, kafichua madudu, makonda mpe ulinzi tafadhali.
Af jina langu sio Kaburu.... 😂😂😂
Kuna wezi wengi sana hii nchi
Jamani, jamani,MUNGU, kumbe yupo, EEEE,ARUSHA, kumekicha
Haamajizi kubewengiii maaa
Saf San mlipa kod
Duuuuuuuuu aibuuu Sana jamani
Pete za bahati hizo zina maelekezo yake😂
Nahisi pia usipo lalamika unaweza Kuja kupigwa faini
Nilijua tu huyu mzee toka mwanzo alikuwa anatoa kicho kwa hasira
Yaani mkurugenzi Mzima ma Pete hayo Kama mpiga ndumba haina heshima kabisa,hapendezei cheo hicho Wizi tu
Pyee pyyee pyee, Fyuuu😂😂 kikowapi sasa na mipete yake ka mganga wa jadi
Watanzania tukinyoosha hivi, nchi itanjengwa kwa haraka.
Majizi wanaturudisha nyuma
Changulo umemalizaaaa duuh
Inatosha brother
Moto umewaka
Hiyo ni arusha...dar?
Hii nchi ngumu mno
Yani wote chori tu
kayakanyaga huyo DED
Wawekwe ndani wanaoshikwa na wizi wa fedha
Huyu mkurugenzu ni mpuuzu sana hiyo leseni ya chambulo inasoma kaburu? Kwanini unaharibu majina ya watu
Paul mzee wa kuwanyoosha
Mapete ya huyu jamaa. Mshirikina huyo.
MUNGU atusaidie duuuh