MZEE AIBUKA KWA RC MAKONDA KUPINGA BARUA YA MAGEREZA YA KUMLISHA MFUNGWA CHAKULA CHA ELFU22 KWA SIKU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 авг 2024
  • MZEE AIBUKA KWA RC MAKONDA KUPINGA BARUA YA MAGEREZA YA KUMLISHA MFUNGWA CHAKULA CHA ELFU22 KWA SIKU
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 71

  • @user-xs6sh5wh4p
    @user-xs6sh5wh4p 3 месяца назад +4

    Duh r.i.p magufuli😢😢😢kaka makonda pambania watu wamungu.mungu akupe ulinzi

  • @athumaniKazua
    @athumaniKazua 3 месяца назад +9

    Huyu baba ni jirani yangu ni mtu safi sana na anapesa 😢

    • @noelimlinga9694
      @noelimlinga9694 3 месяца назад

      Huuu baba ni wa kisongo mr.kama sijakosea na ndie alie muuzia nabii geordavie eneo la ibada

    • @victoremanuel29
      @victoremanuel29 3 месяца назад

      Anapesa san

    • @frankmmasi
      @frankmmasi 3 месяца назад

      Ni wa morombo SEMA ana maeneo mengi na pesa ipo

    • @kakaaignas3675
      @kakaaignas3675 3 месяца назад

      Pesa aijfich

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 3 месяца назад +7

    kwaiy sasa imetoroka au bado IPO kama haijafa ipo iroge2 usi ifunge

  • @Ezekiel-rh2ni
    @Ezekiel-rh2ni 3 месяца назад +1

    Ma boroka!!! Pole sana mzee masantulaa

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 2 месяца назад +1

    mahakama ya mkoa kwa mkoa sasaivi iko mkoa gani mana inakwenda mkoa kwa mkoa mpaka imefika inasikilizwa upande kimoja

  • @ayububrantaya6624
    @ayububrantaya6624 3 месяца назад +3

    Duuuh noma

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 3 месяца назад +3

    HIYO SHERIA IONDOLEWE HARAKA SANA AMA TUANZE KULOGA UKOO MZIMA😢

  • @twakawawa9344
    @twakawawa9344 3 месяца назад +4

    Kesi ya utapeli hii

  • @johnkiimbila6799
    @johnkiimbila6799 3 месяца назад +2

    Sheria mbaya sana hiyo.

    • @thabitdaudi9815
      @thabitdaudi9815 3 месяца назад

      Hatari sana madai sio kesi katika hii nchi ni ujinga

  • @paschalmatinde321
    @paschalmatinde321 3 месяца назад +2

    Mahakama hakuna haki, haki ni pesa

  • @allyabdallah4357
    @allyabdallah4357 2 месяца назад

    Hiyo sheria ya hovyo sana

  • @abednego3876
    @abednego3876 3 месяца назад +4

    Dah mungu wangu

  • @Drepsama
    @Drepsama 3 месяца назад

    Sheria

  • @rahmarama5669
    @rahmarama5669 3 месяца назад +2

    Jmn watu tunaishi kwa Dhambi tunawalisha watt wetu Dhambi tupu machozi ya watu

  • @veronicajohn7645
    @veronicajohn7645 3 месяца назад +1

    Haya mambo sio kabisa

  • @khaliduhadi2336
    @khaliduhadi2336 3 месяца назад +1

    Huwo ni upindishaji sheria. Hawa wezi wa aridhi zao huyo ni mwizi tu kama mwizi mwingine tu afunguliwe jinai hakina madai hapo

  • @SaimoniCharles-qm5bz
    @SaimoniCharles-qm5bz 3 месяца назад

    Hiii Sheria Iko wap jmni

  • @matridamwalyoyo1735
    @matridamwalyoyo1735 3 месяца назад +1

    Daaah

  • @erickwanjarajr5707
    @erickwanjarajr5707 3 месяца назад +1

    Hii inchi ngumu sana😂😂😂😂😂

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla6504 3 месяца назад

    Daah sheria za Tanzania ndio sababu ya kuongezeka kwa waharifu

  • @YusuphMarcOgaga
    @YusuphMarcOgaga 2 месяца назад

    Sheria inataka ivo wala si uonevu

  • @RajabuDangi-qv2uo
    @RajabuDangi-qv2uo 3 месяца назад

    Uhuni wa hali ya juuu

  • @avitusmichael5
    @avitusmichael5 3 месяца назад +1

    Nimecheka kisha nikalia kwa kumhurumia huyu mzee anavyoteswa na majizi

  • @amiribakari2528
    @amiribakari2528 3 месяца назад

    Ukitaka kujua hela mbaya angalia kifungu kilivyo badilishwa..kutoka utapeli ad madai...mahakim yaani

  • @shenjamamzingi7950
    @shenjamamzingi7950 3 месяца назад +1

    sheria ya ufalafala

  • @alfanmkulo2792
    @alfanmkulo2792 3 месяца назад

    Ndo maana watu huchukukua Sheria mkononi Kwa ujinga kama huu

  • @nicodemashaggite8429
    @nicodemashaggite8429 3 месяца назад

    Sheria ya kipuuzi sana....watunga Sheria wanajielewa kweli!!!.....je, akimwekea sumu?? Kwa maana hiyo maisha yakinishinda nitapeli mtu Ili nilishwe!!
    Maana Sheria kumbe inalinda na kuhalalisha wezi!! Daaaa kumbe tuna hali mbaya namna hii😢😢

  • @danielkanso
    @danielkanso 3 месяца назад

    Mmmmhhh kwa sheria hiii

  • @agrivaluefarm3353
    @agrivaluefarm3353 3 месяца назад

    Kumbe usipolipa kodi serekali ikikufungulia mashtaka ya madai ni poa sana unakunja nne gerezani unaagiza msosi wowote na matibabu juu. Jamani kwaherini kitaani naenda kujichimbia jela nikirudi vishavu vimenitoka stress free

  • @abdillahchikota4303
    @abdillahchikota4303 3 месяца назад +1

    Sasa hiyo sheria au upuuzi

  • @allyabdallah4357
    @allyabdallah4357 2 месяца назад

    kwani hafanyi kazi za magerza

  • @ZachariaKimamanti
    @ZachariaKimamanti 3 месяца назад

    Waaaaa sheria ifuate mukondoyake

  • @ramsaymtando1742
    @ramsaymtando1742 3 месяца назад

    Pole sana lakini kisheria ukitaka mdai wako afungwe yani wewe andaa pesa yani ku gharamamia mfungwa wako ndani ya mwezi sita.sasa hapo unaona umeonewa nini.hiyo siyo kesi ya jinai
    Heti atakuwa mfungwa wa JAMUHURI. Ni wako huyo mzee

  • @shimoneycashtalk9176
    @shimoneycashtalk9176 3 месяца назад

    Hiyo sio kesi ya madai huyo katapeliwa Tanzania ndio. Inchi ambayo tunayo ikubali sasa inakuwaje mtu haki yake kuzulimiwa

  • @mbarakaomary1785
    @mbarakaomary1785 3 месяца назад

    huyu wakili naona hajakamilika vizur ,mwandishi ungetafuta wakili mzuri mzoefu kidogo

  • @katambimfalimbega3808
    @katambimfalimbega3808 3 месяца назад

    Masikini bila kubadilisha Sheria hizi hatutoboi

  • @user-fh6sg7uc2g
    @user-fh6sg7uc2g 3 месяца назад

    Sio cd, itskuwa ni flash

  • @ZachariaKimamanti
    @ZachariaKimamanti 3 месяца назад

    Watanzania niko nahoja kwann ninyaganywe shamba langu hafu nimushitaki mtu mbado mm namuudumia akiwamufungo chakula je ni saihii

  • @jacksonbarnaba9088
    @jacksonbarnaba9088 3 месяца назад

    HIII SHERIA HAIKO FAIR. unawezaje kuwa unamdai, na unamhudumia chakula? guys? is this serious?😢

  • @ChancellorFelix-vm5yp
    @ChancellorFelix-vm5yp 3 месяца назад

    Wanasheria wanalalamika Makonda anaingilia mhimil wa mahakama iv kwel Kwa Sheria zakijinga iv c maafa yatakua mengi gharama zakumhudumia mfungwa c Bora awape wahun wamalize kaz wakutane pepon

  • @ndabarinzesamuel9333
    @ndabarinzesamuel9333 3 месяца назад

    Iweje mtu akutapeli Mali zako akikutwa na hatiya yule mwenye haki ndiye atamlisha mhalifu gerezani? Hiyo serial imesomwa wapi jamani, Tanzania nanyi kwenu kuna rushwa ya hali ya juu.

  • @abdulfatahjuma5355
    @abdulfatahjuma5355 3 месяца назад

    Jamaa km amemeza CD !!
    Anatiririka tu

  • @EdwardManweki
    @EdwardManweki 3 месяца назад

    Hapa sasa hata mkuu wa magereza analijua hili

  • @user-yl2br2ts3i
    @user-yl2br2ts3i 3 месяца назад

    uza hyo chen mzee kasomeshe watoto

  • @BituroPaschalKazeri
    @BituroPaschalKazeri 3 месяца назад

    HONGERA WAKILI

  • @veronicajohn7645
    @veronicajohn7645 3 месяца назад +1

    Ndio maana mimi sitaki hata kumkopesha mtu hela wala chochote

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh 3 месяца назад +1

    Mzee Kamroge huyo

  • @EmanuelMnubi
    @EmanuelMnubi 3 месяца назад

    sheria za madai zinawapa kibuli matapeli

  • @estakapufi7582
    @estakapufi7582 3 месяца назад

    Hee yani namdai anapelekwa jela kwa makosa yake yeye mwenyewe kwa kushindwa kulipa deni langu pesa yangu sijapata alafu tena nizidi kutupa pesa kumuudumia muharifu kweli hii shelia ya wapi ebu tujuzane jamani heee.

  • @lothatarangei8187
    @lothatarangei8187 3 месяца назад

    Upuuzi mtupu,,,, Sheria kama iko hivi Tanzania Bora watu wapigane mapanga tu😅

  • @daslamonline4665
    @daslamonline4665 3 месяца назад +3

    Dunia ya dhulma sana hii,

  • @happinessmosala2217
    @happinessmosala2217 3 месяца назад

    Nimdai mtu halafu nimlishe tena???come on!!!what type of sheria is that???

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv 3 месяца назад

    Sheria yakipumbavu hiyo

  • @user-it6zi7zw8y
    @user-it6zi7zw8y 3 месяца назад +2

    iyo kesi ya wizi alie hukum iyo kesi kazengua vip uzulimiwe Mali yako alafu alie kuzurum maliyako afungwe alafu ulie mshtaki umudumie chakula acheni wizi iyo sheria sijawai iskia sheria afungwe mpaka siku atakapo lipa pesa zako

  • @mwidinikimaro3545
    @mwidinikimaro3545 3 месяца назад

    Huyu ndo masantula

  • @YohanaTulito
    @YohanaTulito 3 месяца назад +2

    Najee. Sasa yule. Anae mdai. Mwungine. Yeye. Atakuwa. Na faida. Gani. Kama malipo yako. Hupati. Na utamudumia. Tena. Si ataende kuk filisi. Au

    • @mgtanzania9834
      @mgtanzania9834 3 месяца назад +1

      Ndo sheria yetu ya madai ilivyo. Hakuna namna , lengo la kumfunga mtu kwa madai sio kumwadhib bali ni kumfanya aweze kulazimika alipe deni lake

  • @Ezeqsweya1116
    @Ezeqsweya1116 3 месяца назад

    Huu ni ujinga mtupu

  • @wilfredlukowo9476
    @wilfredlukowo9476 3 месяца назад

    Sheria za kijinga

  • @binsalim5273
    @binsalim5273 3 месяца назад

    Nije kuonana na mkoa kwa mkoa