Da nimekuwa wakwanza kuona GPS nawakubali sana maana mm ni mdau sana wa siasa za nje na ndani na nimefatilia kwa muda sasa kama miaka 12 sasa Ally ,dj sma,Hery,na mwenyekiti muongozaji.
Nawapata Vizuri kutoka China.Big up Sky kwa ubunifu,kwa kweli mimi nimekuwa mfuatiliaji mkubwa wa Channel yako kutokana vipindi vyenu vizuri.Natamani kupata platform hapo kaka nikarudi Tanzania.
Kiukwer kaka sky..Yani nawapenda Sana nyinyi..Yani nyinyi ni vichwa vyangu wanguvu kabisa yan nawapenda Sana na napenda muungano wenu...Yani hapo mmejaaliwa sana mashalah..napenda sna kipindi hichi.gps..
Hongereni wana Geo politics. Hii Coalition ya ANC na DA watajitahidi kurudisha hadhi ya RSA kwasababu hawa DA ndio miongoni mwa vinara wa Sabotages wa hali ya uchumi wanchi ikiwemo umeme na infrastructure zote za RSA. Sasa hii ni kama kumpa mchawi akulelee mwanao atabaki salama ANC wamecheza smart sana ingawa logically hawako ktk mlengo mmoja na hii inawezakuwa natural death ya ANC. Hongereni wana Geo politics Analysis
Ali maasubi km ulipogusia kusema ramafosa ana umuhinu wake,lkn kw hoja iyo kw mtazamo wangu ktk suala muhimu la kimkakati ktk gepolitics kashiriki vizuri sn na bado anahitajika kw kiasi flani na ni muhim kuendelea kuogoza kutokana hali ya kisiasa inayoendelea duniani.
Siasa ya Afrika kusini ipo juu Sana,kwetu tz huwa Hakuna haki katika uchaguzi,pia chuki ndani ya Chama cha CCM dhidi ya vyama vingine,huku uchumi wa nchi ukizidi kushuka chini.
All whatbis happenings to South Africa is a price to pay by a great mistake done by late president Mandela that we forgive but we can't forget this has made the white (ada) comply the aspect of economic by their hand whatbis happening now they are dominating slowly into politics what does this means they are havung both economic and politics power this it indication of anc malema party and new Zuma party to come to an end it's just opinion
Sky level zako ni za juu kabisa hongera kwa ubunifu mkubwa... unatupa vitu vya tofauti kabisa
Hivi vichwa navikubari sana Yani mmekamilika GPS for life ❤
Nawakubali sna brothers
Da nimekuwa wakwanza kuona GPS nawakubali sana maana mm ni mdau sana wa siasa za nje na ndani na nimefatilia kwa muda sasa kama miaka 12 sasa Ally ,dj sma,Hery,na mwenyekiti muongozaji.
😅😅😅nafurahi sana kusikia kifaransa humu, mimi nawafatilia kutoka DRC BUKAVU. Big up guys
Naomba mwongelee vita vya Myanmar
Safikabisa
U guys makes me feels like I need to go back to school right now 😢
😂😂😂
Nawapata Vizuri kutoka China.Big up Sky kwa ubunifu,kwa kweli mimi nimekuwa mfuatiliaji mkubwa wa Channel yako kutokana vipindi vyenu vizuri.Natamani kupata platform hapo kaka nikarudi Tanzania.
Mpo visuri GPS kutoka Donholm nairobi
Kiukwer kaka sky..Yani nawapenda Sana nyinyi..Yani nyinyi ni vichwa vyangu wanguvu kabisa yan nawapenda Sana na napenda muungano wenu...Yani hapo mmejaaliwa sana mashalah..napenda sna kipindi hichi.gps..
Tunafurahi kusikia hivyo Jamila
Nawakubali nyie watu sana ❤
Hii timu inahita lisaa sio dakika 38❤
Kazi nzuri brother's
Napenda Bond ya sasa ya GPS , brother Ally big up sana akili kubwa MashaAllah🎉 fam from Zanzibar
Guys you are doing a great job hongera sana,kenya twawategemea kwa kutufungua akili
Kikosi cha kak sky 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥
Good evening dear friend I'm mumba evans from zambian welcome to samfya district mansa provence thanks
Henry mwinuka yuko vizur
Level ya mbali sanaa not Tanzania but much big up🎉🎉🎉🎉🎉
Vichwa sana hivi SNS🙏🙏🙏🙏
GPS is my mental therapy
Bando yangu ikiisha kwa kujielimisha sio mbaya
Kuna dada anaitwa Waizer, ni moja ya wwchambuzi wazuri wa GP, anaweza ungezeka kwa hii team
MALEMA Sera ya Kukubali USHOGA Ndo Imemwangusha!!!
Malema mgumu sana kudili naye
😂 kuwa mgum na msimamo n kitu kizuri lakn kuwa na msimamo kuptiliza nayo n kasheshe nyngne.
Dj smaa kama itawezekana kwambelen fungua app ambaya inawawezesha wanafunzi. Kuelewa histoia. Coz shule hawapati haya mdini unayotoaga.
I think ili itofautike na ile GPS ya global position.... GP.AS
Ndio
Sky tunaomba muwe mnaangalia msubiji nayo tuisikiye kwenye uchambuzi
Hongereni wana Geo politics.
Hii Coalition ya ANC na DA watajitahidi kurudisha hadhi ya RSA kwasababu hawa DA ndio miongoni mwa vinara wa Sabotages wa hali ya uchumi wanchi ikiwemo umeme na infrastructure zote za RSA. Sasa hii ni kama kumpa mchawi akulelee mwanao atabaki salama ANC wamecheza smart sana ingawa logically hawako ktk mlengo mmoja na hii inawezakuwa natural death ya ANC. Hongereni wana Geo politics Analysis
✌️👊👍.
2ko p1
Mpinzani wa uganda mlie mwongelea anaitwa kiza besije
J'étais malade
Kaka jaribu kuangalia settings za sauti mic za wachambuzi...mic yako sautii ipo vzr
GPS ni atar hongereni xana
Nakupeni mtihani mukifaulu munajua kingreza musipo faulu hamujui muzungumze kiswahili dakika 10 bila ya kuchanganya na kingreza
Huyu jamaa Dj Sma yupo level nyingine kabisa hawa jamaa wawili waacha utumwa mambo leo eti mtu unajisifia unaongea kiingereza hadi leo!?
Vichwa vyamaana sana 🎉
Ali maasubi km ulipogusia kusema ramafosa ana umuhinu wake,lkn kw hoja iyo kw mtazamo wangu ktk suala muhimu la kimkakati ktk gepolitics kashiriki vizuri sn na bado anahitajika kw kiasi flani na ni muhim kuendelea kuogoza kutokana hali ya kisiasa inayoendelea duniani.
Na Wana siasa varbs ngumu sana
Maan wanajua kuchambua halafu wanajuatena pia wanajua maendeleo hayaji kwakuwatumikia shanzi waulaya bila cc wenyew tutaendelea kua watumwa wa fikra
Umekuja kufanya mapinduzi aiseeeee haijawah tokea
Sky nini kinaendelea inchini ufaransa ?
Kunawale wanaoshabikia vyama vya siasa tanzania vinavyotumika na wazungu waje kwa hawajaamaa wajifunze mengi uzalendo wakweli
Kilasiku nawafata kutoka uvira
Siasa ya Afrika kusini ipo juu Sana,kwetu tz huwa Hakuna haki katika uchaguzi,pia chuki ndani ya Chama cha CCM dhidi ya vyama vingine,huku uchumi wa nchi ukizidi kushuka chini.
TANZANIA NAYO C.C.M HITATETEMA UCHAGUZI UJAO?????
Mkojuu nawapata nikia buja
Leo sina coment mme chambua vizur na kwauhalisia
Injuria sine dumno
English neno monja linamaanisha vituvingi mdomaana watuujichanganyia sana 😂😂
All whatbis happenings to South Africa is a price to pay by a great mistake done by late president Mandela that we forgive but we can't forget this has made the white (ada) comply the aspect of economic by their hand whatbis happening now they are dominating slowly into politics what does this means they are havung both economic and politics power this it indication of anc malema party and new Zuma party to come to an end it's just opinion
Hapo DA katamanishwa tu, ANC sio wajinga kukubali kujieka rehani kwa hao DA. Ramaphosa Ana Akili mingi, na lengo lake ni kubwa.
Respect to brother ally masubi