IBRAHIM TRAORÉ, MAMADY DOUMBOUYA na ASSIMI GOITA: Wanajeshi Miamba wanaowanyima usingizi MABEPARI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 авг 2023
  • KAPTENI IBRAHIM TRAORÉ: Mwanajeshi Mtata na RAIS wa mpito wa BURKINA FASO aliyempindua BOSI wake
    • KAPTENI IBRAHIM TRAORÉ...
    Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti

Комментарии • 249

  • @rahmahersi6584
    @rahmahersi6584 10 месяцев назад +12

    Nafurahia Taarifa
    Zako. Kwani matamshi
    Yako ya Lugha ya
    Kiswahili ni fasaha
    Sana
    I enjoyed.
    Asante.

  • @kahmardintebe9266
    @kahmardintebe9266 10 месяцев назад +20

    Huyu mwamba kajitowa sadaka Kama alivyojitowa jpm mungu mlinde Ibrahim troure kwa majeshi yako usimuachie wanadam wanadamu wengi ni mawakala wa wajomba na ni vibaraka wa wajomba tunakushuru mungu kwa kutufuta machozi ya jpm

  • @bish_daddiyao
    @bish_daddiyao 10 месяцев назад +11

    Ukombozi Afrika Unakuja,🙌🏾❤️🇰🇪

  • @dadambiki5132
    @dadambiki5132 10 месяцев назад +21

    Magufuli did the same and they killed him... he sacrificed his life for Tanzania 🇹🇿... this young man is doing the same... I pray the rest of the African leaders stand with him instead of selling him to west as they do.... God bless Africa..

  • @ramachaly3521
    @ramachaly3521 10 месяцев назад +10

    Kati ya wote Ibrahim namkubali sana👍👍👍

  • @jamalmohamed8195
    @jamalmohamed8195 10 месяцев назад +13

    Nataman Sana Kuona Hii Isue Yao Wote Wanaungana Na Kua Kitu Kimoja Ili Kusaidia Kuziba Nafasi Za Kibepari Na Sisi Tutajifunza Kitu Kupitia Kwao Respect ❤

  • @cmantz8837
    @cmantz8837 10 месяцев назад +6

    ipo siku nasi tutampata Ibrahim wetu kama unaamini sema ndiyo

  • @kahmardintebe9266
    @kahmardintebe9266 10 месяцев назад +10

    Tatizo viongozi wengi Africa ni vibaraka big up Ibrahim troure

  • @Babudicky-zn1kp
    @Babudicky-zn1kp 10 месяцев назад +25

    Yaani Tanzania tuitaji mwamba kama huyu mungu ampe mwisho mwema katika upambanaji Wake wa kutetea Africa

  • @kingmichael1234
    @kingmichael1234 10 месяцев назад +16

    Asante sana kwa kutupa hii historia nzuri ya hawa viongozi mahari wa kijeshi wa west Africa

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 10 месяцев назад +11

    Mashallah, Allah akubariki Ibrahim Traore 🙏

  • @bajosdamour2347
    @bajosdamour2347 10 месяцев назад +50

    Stand up for Ibrahim traore✊

    • @abisaimsewa1935
      @abisaimsewa1935 10 месяцев назад +3

      Ivi kwanini hata huku Tanzania tunaambiwa masikini?hii yote uroho wa viongozi wetu na ubinafsi wao

    • @salminbahdellah1377
      @salminbahdellah1377 10 месяцев назад +1

      😊0
      LLpp😊

    • @zezeshort
      @zezeshort 9 месяцев назад

      ​@@abisaimsewa1935 umenena tuna ambiwa maskini kwasababu ya viongozi kuuza Mari za Tanganyika bila sababu

  • @Zenny89
    @Zenny89 10 месяцев назад +23

    Hii iwe fundisho kwa viongozi wa Africa.. hasa hapa Bongo.. Huko Bungeni tunaviongozi ambao wapo madarakani tokea miaka ya tisini na hawafanyi kitu zaidi ya kusinzia tuu na kujishibisha

  • @dennisnjonanje62
    @dennisnjonanje62 10 месяцев назад +7

    Aaah acha sisi tumpangishe Mwarabu wa Dubai 😂😂

  • @liviaG87
    @liviaG87 10 месяцев назад +7

    Traoure kamrithi Thomas Sankara kwa kila kitu mpaka u handsome🤗

  • @grationkato7658
    @grationkato7658 10 месяцев назад +20

    Tunatakiwa kuwa na vyuma kama hivi Africa walao 5 tu afirca tunaweza sana

  • @Aysha_ally
    @Aysha_ally 10 месяцев назад +5

    Shukran 🙏 sky

  • @ramadhanisalum3898
    @ramadhanisalum3898 10 месяцев назад +4

    izi Ndio habari sio kila kukicha kajara na harmonize tokeni ukoo

  • @yayananajota5838
    @yayananajota5838 10 месяцев назад +8

    New generation's New Africa, the power in our on hand,, 🇫🇯🇫🇯

  • @salama1113
    @salama1113 10 месяцев назад +12

    Tumpemauwayake na baadhi ya wengine wajifunze wasiogope watusemee mungu amlinde naamuepushe na wabaya wote

  • @user-rg5sg1xz8p
    @user-rg5sg1xz8p 10 месяцев назад +10

    Daaaaaa nimependa hawa majamaaaa saaaana yani afrika inatakiwa iwe na serikali ya shirikisho moja lenye nguvu chini ya jua

  • @belzylucas7275
    @belzylucas7275 10 месяцев назад +6

    Africa tunaitaji leadership vijana Africa is rich ❤❤❤

  • @wilsonsamsonwilliams
    @wilsonsamsonwilliams 10 месяцев назад +20

    Waafrika wote Kuna cha kujifunza hapa

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema 10 месяцев назад +10

    Bado Nchi ya DRC Congo natumai Jeshi la Urusi kupitia Wagner PMC (Private Millitary Contractor) wataingia kuondoa Mamluki ya Ufaransa na Ubelgiji. Changes is Coming to Africa. Lets support Russia and China against Western Countries. Ifike Mali Waafrika tutamani kubaki Afrika na siyo kwenda Marekani na Ulaya. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee.🇹🇿🇹🇿

  • @monicasimpilu6257
    @monicasimpilu6257 10 месяцев назад +8

    Mungu lisaidie bala la Afrika. Walinde waafeika ss sio masukini wa ombaomba. Ni mipangilio tu. Afrika ni matajiri sana duniani.tumebarikiwa sana. Mungu tulinde waafrika I m proud to be born in Afrika.

  • @francisgachungei1818
    @francisgachungei1818 10 месяцев назад +2

    Africa rising 🙏🙏🙏

  • @asumtamwingira465
    @asumtamwingira465 10 месяцев назад +23

    Watu kama hawa hawadumu nikama magufuli tu😢😢

    • @zezeshort
      @zezeshort 9 месяцев назад

      Baba yetu dr John alikuwa peke yake kikwete na kundi lake alijipanga na ujambazi wao dhidi ýa Tanganyika dr angekuwa amejipanga kwanzia jeshini mpaka hao viongozi vigeugeu wasinge weza kumuuwa kila hisi hivyo mpaka hao walinzi wake huwa kuina kilocho endelea

  • @allymatilda7519
    @allymatilda7519 9 месяцев назад +4

    I love him so much God guide him power to Niger 🇳🇪 ❤

  • @AndrewPaul-wy6qq
    @AndrewPaul-wy6qq 10 месяцев назад +4

    Sky nakukubali✊

  • @simonnembomadola7512
    @simonnembomadola7512 10 месяцев назад +32

    Viongozi wanajisahau,wanauza Mali za umma wakati wananchi ni maskini,wanatajirisha familia zao,ipo siku vijana hawatakubali Hilo.

    • @uwimana6533
      @uwimana6533 10 месяцев назад +1

      Kabisa 😂

    • @hamzambasha6647
      @hamzambasha6647 10 месяцев назад

      Wajinga kabisa

    • @chaucassim4123
      @chaucassim4123 10 месяцев назад

      Wajinga. Kabisa

    • @saidshaban9284
      @saidshaban9284 10 месяцев назад

      Vijana wapiiii,Tz au?sisi niwaoga sana kuyaendea mabadiliko,kuhoji palipo nashaka nk.tunogopa mamlaka ukifanya kuhoji tuu umepotea

  • @hassangaddafi2347
    @hassangaddafi2347 10 месяцев назад +11

    Viva African viva IBRAHIM ❤
    🔥🔥🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇰🇪🇰🇪🇰🇪💪💪💯

  • @atrianusmutungi6612
    @atrianusmutungi6612 10 месяцев назад +3

    Aisee safi kwa makala nzuri

  • @msafirisaimoni9561
    @msafirisaimoni9561 10 месяцев назад +9

    We need this akili zetu zimeganda sna tunafaaa kujifunza

  • @mchunguliechibwa198
    @mchunguliechibwa198 10 месяцев назад +6

    Jwtz na Jw..mnasubiri nini hapa home Tanzania 🇹🇿..piga chini maccm..

  • @mananzizaabdul2689
    @mananzizaabdul2689 9 месяцев назад +1

    Kaka bundara mungu akilibde bro napenda saana simulizi zako kaka. Unajitahidi kufafanuw kwaustarabu ..am very proud kwasauti yako bro..big up bro

  • @stephanomoses7694
    @stephanomoses7694 10 месяцев назад +7

    Africa inaamka. Wahuni mashakani. Maana vibaraka wao wanapigwa chini. Wanahofia hawatovuna tena madini

    • @zezeshort
      @zezeshort 9 месяцев назад +1

      Hahaha haha kweli wanavuna wasipo panda

  • @rogerslwitiko3915
    @rogerslwitiko3915 10 месяцев назад +22

    Acha Wanajeshi washikilie nchi km Viongozi waliopewa dhamana wameshindwa kujua wajibu wao wa kuwaongoza Wananchi waliowachagua na kuwaamini

    • @emmanuelmlowe-ew7gx
      @emmanuelmlowe-ew7gx 10 месяцев назад

      The Congolese M-23 are from the UN group. the UN miners are protecting them. The UN is sending weapons to the Congo, they are taking minerals and sending them to the United States.

    • @rogersiddy
      @rogersiddy 10 месяцев назад +3

      Kbs wanarewa madaraka sana hawatambui umuhimu wa kudhaminiwa na watu nia wasaidiwe lkn wanawadidimiza zaidi

    • @rogerslwitiko3915
      @rogerslwitiko3915 10 месяцев назад +1

      @@rogersiddy Sema Viongozi wengi wa Kiafrika wakisha chaguliwa wanakuwa Vibaraka wa Mabepari na Mabeberu wa America na Ulaya badala ya kuwatumikia Wananchi wao

    • @rogersiddy
      @rogersiddy 10 месяцев назад +1

      @@rogerslwitiko3915 Hilo ndo tatizo kubwa la Africa 🌍 sasa kumpata mwanajeshi kusubutu kama hao hamna kbs ili wawatumikie wananchi

  • @phantyrhymes9536
    @phantyrhymes9536 10 месяцев назад +2

    Sns is my favourity channel for mind updates

  • @hanschuma7734
    @hanschuma7734 10 месяцев назад +5

    Sio habari za kinamond nawapuuzi wengine kila kukicha na faida hakuna zaidi ya Upuuzi tu hizi ndizo habar tunazozitaka sisi kaka AFRICA stand-up

  • @KAZUNGUKITHI
    @KAZUNGUKITHI 9 месяцев назад +1

    Good job men keep it up

  • @eliasstafawa4935
    @eliasstafawa4935 10 месяцев назад +3

    Braza umetishaaaaa

  • @MAINA_THETHERE_1704
    @MAINA_THETHERE_1704 10 месяцев назад +5

    Ibrahim troure❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @itsyourboy1407
    @itsyourboy1407 10 месяцев назад +30

    Hizi ndio habari zinazotakiwa Kila siku Tanzania kwa ajili ya kuzikimaza akili na kuzipa uelewa wa kutambua haki zetu sio Kila siku maisha wa watu yakuigiza yanayohalibu akili zetu kabisa😊

    • @muddyso1953
      @muddyso1953 10 месяцев назад +1

      Hakika ni sahihi

  • @KuwakuMalumba6895
    @KuwakuMalumba6895 10 месяцев назад +19

    MUNGU Ibariki Africa 🌍 yetu! Let see what next 👀 we need peace ✌🏿 in Africa 🌍 we need food every way in Africa 🌍 we need good education all Africa 🌍 we need good health care all Africa 🌍 we need good fare political to all Africa 🌍 we need seriously President's who care about people's in Africa 🌍 we need Africa who everything things is good 👍🏿 we need big company all Africa make jobs 😢 so all Africa gets jobs and work hard for live. We need better Africa 🌍 we want best Africa 👌🏿in everything work ok 👍🏿 electricity wate, in all Africa 🌍

  • @mohammedkombo9798
    @mohammedkombo9798 10 месяцев назад +2

    Asante sana kwa makala hii

  • @ericksaid5327
    @ericksaid5327 10 месяцев назад +5

    Napenda sana kuona kazi ya vijana wadogo kuwa na amaki ya uongozi

  • @ericksaid5327
    @ericksaid5327 10 месяцев назад +13

    Nashangaa sana nchi kama Kenya Tanzania na wanajeshi wao wanabeleka nchi zao kifamilia mfano kama Kenya ndio ukuwe mwanajeshi unaitaji kama nusu milioni ndio upate hiyo kazi napenda sana kazi ya hao ndugu wakweli katika Africa au Alkablan means Africa may the gods protect black people

    • @isaachayes9783
      @isaachayes9783 10 месяцев назад

      Dont ever entertain such crazy things like military coups, once they are in, it will hapen again and again, and who will come to do busoness in such environment, in our week and fragile economies a slight instability can backtrack our economies 10 yesrs back, ni wananchi ndio tuna makosa kwasababu tuna shabikia viongozi wa wabovu, problem ya Africa ni week leadership not coups, coups will bring up more distruction and poverty, look at liberia today, thats a good example.

  • @rogersiddy
    @rogersiddy 10 месяцев назад +9

    Kwetu sijaona wa kulifanya hili maana sielewi kinachofanyika hapa Tanzania 🇹🇿 kwakweli siasa za ujanja ujanja tu hawatoi haki za uchaguzi unaenda kupiga kura bunduki ipo krb yako mawakala wa vyama pinzani wanatolewa nje wagombea wa ccm wanapitishwa bila kupigwa yaan tumechoka kwakweli Mungu atuongoze

    • @peacemuzaliwa2563
      @peacemuzaliwa2563 10 месяцев назад +1

      Magufuli alikuepo mka amua kumtoa sadaka ,Madiliko yanaitaji zaidi.

    • @rogersiddy
      @rogersiddy 10 месяцев назад

      @@peacemuzaliwa2563 Sio kweli usio lijua ni sawa na usiku wa giza kama unaona vinavyoonekana barabara magorofa basi bado hujajua nini maana ya uhuru wawatu maana yake nini ndugu siliza

    • @zezeshort
      @zezeshort 9 месяцев назад

      Ni magufuli tuu tulikuwa naye wanajeshi wanao jiita jwtz wapo kuka rushwa ya nyama za NGO'MBE shenzi kabisa hao

  • @MkenyaN
    @MkenyaN 10 месяцев назад +6

    Simulizi nzuri sana. Big up Sky!

  • @heliudjulias7748
    @heliudjulias7748 10 месяцев назад +5

    Traore kwasasa amekuwa mtu muhimu sana kwangu kuriko mtu yeyote nili wa misi viongozi kama traore recpect traore rudisha heshima ya Africa na Ecowas waki jichanganya tuna raranao

  • @MrChachaboyKingmselfLinu-de6yx
    @MrChachaboyKingmselfLinu-de6yx 10 месяцев назад +1

    Kwenye namba 4 dunian za viongoz bora na Ibrahim hakosi🙌🙌🙌🙌✍️✍️✍️✍️

  • @mooztiree6158
    @mooztiree6158 10 месяцев назад +3

    Iam kenyan..iam with you bro...

  • @samsoniris
    @samsoniris 10 месяцев назад +5

    He is a gentleman

  • @deusntobi1450
    @deusntobi1450 10 месяцев назад +3

    Hongera sana bro sky. Ndo maana Mimi nilikushauri uanzishe taarifa ya habari walau kwa dakka 5 tu kila siku.

  • @aaronswai3092
    @aaronswai3092 9 месяцев назад +1

    Mungu akubariki kwa ufafanuzi mzuri. Nafikiri Viongozi wengi waovu (wasiojali Wananchi wao) Afrika wanawahitaji akina Traore, Doumbuya na Goitta!

  • @MercyJayden
    @MercyJayden 29 дней назад +1

    Mungu muogose ibrahim

  • @nellyhortensia2407
    @nellyhortensia2407 10 месяцев назад +10

    Madagascar people need a revolution like this. We suffer a lot

    • @ibnayub2374
      @ibnayub2374 10 месяцев назад +1

      Polen sana Africa tuko na viongozi wa ajabu sana sio Madagascar tu

  • @vincentmunyao4911
    @vincentmunyao4911 10 месяцев назад +3

    Kenya pia wanajeshi fanyeni jambo

  • @user-qm7wy2ms4r
    @user-qm7wy2ms4r 10 месяцев назад +5

    Hongera sana.vizuri sana wanajeshi.hayo ndivyo tunataka Afrika viongozi wabinafsi.wala rushwa.wanaogawa raslimali za nchi kwa maslahi yao.kupinduliwa bado Tz

  • @abuusufian6506
    @abuusufian6506 10 месяцев назад +2

  • @ThomasBhoke-bk6jp
    @ThomasBhoke-bk6jp 10 месяцев назад +1

    Uhakika brother 🙏🏼🙏🏼

  • @kahmardintebe9266
    @kahmardintebe9266 10 месяцев назад +4

    Dalili nzuri kwa bukinafaso mali gine mungu awatanguli katika kuwatumikia wananchi wenu

  • @NeemaMlasu-ez5nl
    @NeemaMlasu-ez5nl 10 месяцев назад +1

    Simulizi nzuri

  • @angelsalome2207
    @angelsalome2207 10 месяцев назад +13

    Bado kenya 🇰🇪

  • @user-tk9nq4zm2d
    @user-tk9nq4zm2d 10 месяцев назад +5

    ❤hongera sna

  • @user-jr7kn7sd2y
    @user-jr7kn7sd2y 10 месяцев назад +2

    African countries should follow the example of (these people, there is nothing to fear if the political governments do not do well,

  • @peacemuzaliwa2563
    @peacemuzaliwa2563 10 месяцев назад +1

    Central Afrika need such Revolution mindset, specially DRC these people surely have sufered alot alot alot alot alot yani saaaana tena, Bila Viongozi Wazalendo Nchi yenue Rasilimali zote kama zile na bado watu nimasikini. Afrika Tunaitaji kuamka sasa.
    Big up Sns kwa Makali Kama.izi zakizalendo.

  • @elidiustudoy2640
    @elidiustudoy2640 10 месяцев назад +1

    Nakubali sana makala YAKO

  • @inaciobernardo6491
    @inaciobernardo6491 10 месяцев назад +3

    🎉 Moçambique 🇲🇿

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 10 месяцев назад +6

    Waafrica wanadhani kwamba watakombolewa na Rais 1 ambae anadhani kua wengine hawawezi. Magufuli alipokua madarakani alipingwa na watanzania wanzake. Hadi wamemuua tukiwa tunaona. Kudhani kua atabadirisha ni vigumu. Nchi zote za watu weusi weusi duniani ni masikini wa kutubwa japokua wanaishi kwenye kila utajiri. Hivi huu muungano wa EA unasaidia nini?

    • @abeidkhamis6130
      @abeidkhamis6130 10 месяцев назад +1

      Mtu mweusi ana matatizo ya kutojitathmini zama zote ndio maana hatupigi hatua na kubaki kusalitiana.

  • @kassimrajabu7805
    @kassimrajabu7805 10 месяцев назад +1

    Mwezi January 2022 na akapinduliwa September 30/2020??? How come?? @Sns

  • @user-fc1im3uf8i
    @user-fc1im3uf8i 10 месяцев назад +1

    Nice story

  • @aminaamina3972
    @aminaamina3972 10 месяцев назад +3

    Mungu awasimamie

  • @CosmasCosmas-lb2su
    @CosmasCosmas-lb2su 10 месяцев назад +1

    hiiii umeenda tuamkeni Africa we need like this

  • @user-it6pm4rh8s
    @user-it6pm4rh8s 10 месяцев назад +2

    Hizi nchi za kiafrica kawaida znatakiwa kutawaliwa na wanajeshi tu wenye machungu halisi na nchi zao

  • @johnycavishe5207
    @johnycavishe5207 10 месяцев назад +4

    Jamaa yupo clearly Sanaa anafaa kuwa kiongoz il nifunzo kwa wale viongoz wasyo jali raslimal za nchi huska kpnduliwa Ni sawa kbisa viongoz wetu wamekalia kuombaomba t ovyo tnakuwa na madeni ya syo Isha vzaz na vizaz ili Ni Jambo la atar Sana ). ktowa milady Ayo naona sns ikiwa no 2 tz kwa habar nzr

  • @danielmgeni1703
    @danielmgeni1703 10 месяцев назад +4

    Wachambuzi wengi Wa Tanzania wana uwezo mkubwa wakuchambua mambo ya selikali ya nchi ya Hapa nyumbani Hawawezi

  • @twentyacresfarms3464
    @twentyacresfarms3464 10 месяцев назад +3

    Kaka kwenye hizi makala huna mpinzani 🎉 nakupongeza sana

  • @Kakajambazitv..
    @Kakajambazitv.. 10 месяцев назад +6

    Na mkubali ila iwaga wana geuka au ku huwawa 😢😢😢

  • @ibrahimfarha3853
    @ibrahimfarha3853 10 месяцев назад +1

    Africa ina wanaume wamesimama vizuri

  • @KasalambaJuma
    @KasalambaJuma Месяц назад

    Hongera Ibrahi

  • @michaellilahenda2110
    @michaellilahenda2110 10 месяцев назад +4

    Naiona aflika ikiungana kupitia wanajeshi siyo demoklasia

  • @thimotheedundji-ck5ip
    @thimotheedundji-ck5ip 10 месяцев назад +2

    Una tafsiri sawa alivyo Sema.

  • @chrismahinga5854
    @chrismahinga5854 10 месяцев назад +4

    Maswala kama aya ya Kivita na siasa uwe unamuachia DJ SMA255, Wewe baki kwenye muziki na mengineyo. Haufai huku.

  • @abdallakhamis8708
    @abdallakhamis8708 10 месяцев назад +3

    Wakiungana kwaudhati watafika wanakotaka lakini muungano uwewakweli ucwekama ulewa Zanzibar na Tanganyika uweni muungano wa hakina usawa

  • @adammed6037
    @adammed6037 10 месяцев назад +3

    Mi kwetu tz siikubali democrasia maana ndio chanzo za mizozo
    Kama haki za binadamu.leo ndoa hazi dumu wanawake hawaolewi single mama .
    Siasa chanzo cha mipasuko

  • @eliamushi2897
    @eliamushi2897 10 месяцев назад +3

    This is the magufuli in Tanzanian

  • @user-gv6vl7lt5j
    @user-gv6vl7lt5j 10 месяцев назад

    Asante

  • @pauloegbert515
    @pauloegbert515 9 месяцев назад

    Heroes of africa

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 10 месяцев назад +6

    Nauku uzalendo ungekuwepo ili takiwa iwe ivyo ivyo wanao kula matunda ya nchi ni baazi ya familia zina fanya kufulu

  • @BahatiDotto
    @BahatiDotto 10 месяцев назад +2

    wananchi wamataifa hayo waonyeshe msimamo maana mateso yamezidi

  • @ittyswilla5819
    @ittyswilla5819 10 месяцев назад

    🔥🔥

  • @patriciatumain172
    @patriciatumain172 10 месяцев назад +2

    Hawa viongoz watatu mi nawakubali Sana wako vizuri waache wwaletee maendeleo wananchi wao wako right kbsa coz nchi za mangaribi wanatutawala sana nchi nyingne zijifunze kuptia hawa viongoz

  • @robbyrobson6998
    @robbyrobson6998 9 месяцев назад +2

    Watafika na inatakiwa nchi zengine zifate long livi the commando 🏴‍☠️

  • @asifiwekayole-ft7er
    @asifiwekayole-ft7er 10 месяцев назад +2

    Watafika mm nilivyoon mungu awatangulie

  • @juliusbrush3202
    @juliusbrush3202 10 месяцев назад

    Damiba alipinfuliwa 2022 then akapinduliwa 2020 imekaaje hii, but kazi nzuri kaka

  • @FrankKashamakula-xb1pc
    @FrankKashamakula-xb1pc 10 месяцев назад +2

    Stop corruption and invest & save money from natural resources invest in infrastructure & education India & China invest their money instead of hiding it in west who is to blame West or yourself out na Apo tutaendelea kupinduana naku walaumu Western or wazungu

  • @ip_header
    @ip_header 10 месяцев назад +5

    Well done SnS, keep it up

  • @patrickkwibe4431
    @patrickkwibe4431 10 месяцев назад +1

    ❤❤❤❤

  • @abdallahselemani6423
    @abdallahselemani6423 10 месяцев назад +3

    Watafika tena sana