IBRAHIM TRAORÉ, MAMADY DOUMBOUYA na ASSIMI GOITA: Wanajeshi Miamba wanaowanyima usingizi MABEPARI
HTML-код
- Опубликовано: 5 авг 2023
- KAPTENI IBRAHIM TRAORÉ: Mwanajeshi Mtata na RAIS wa mpito wa BURKINA FASO aliyempindua BOSI wake
• KAPTENI IBRAHIM TRAORÉ...
Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
Nafurahia Taarifa
Zako. Kwani matamshi
Yako ya Lugha ya
Kiswahili ni fasaha
Sana
I enjoyed.
Asante.
Huyu mwamba kajitowa sadaka Kama alivyojitowa jpm mungu mlinde Ibrahim troure kwa majeshi yako usimuachie wanadam wanadamu wengi ni mawakala wa wajomba na ni vibaraka wa wajomba tunakushuru mungu kwa kutufuta machozi ya jpm
Ukombozi Afrika Unakuja,🙌🏾❤️🇰🇪
Magufuli did the same and they killed him... he sacrificed his life for Tanzania 🇹🇿... this young man is doing the same... I pray the rest of the African leaders stand with him instead of selling him to west as they do.... God bless Africa..
Kati ya wote Ibrahim namkubali sana👍👍👍
Nataman Sana Kuona Hii Isue Yao Wote Wanaungana Na Kua Kitu Kimoja Ili Kusaidia Kuziba Nafasi Za Kibepari Na Sisi Tutajifunza Kitu Kupitia Kwao Respect ❤
ipo siku nasi tutampata Ibrahim wetu kama unaamini sema ndiyo
Tatizo viongozi wengi Africa ni vibaraka big up Ibrahim troure
Yaani Tanzania tuitaji mwamba kama huyu mungu ampe mwisho mwema katika upambanaji Wake wa kutetea Africa
Asante sana kwa kutupa hii historia nzuri ya hawa viongozi mahari wa kijeshi wa west Africa
Mashallah, Allah akubariki Ibrahim Traore 🙏
Stand up for Ibrahim traore✊
Ivi kwanini hata huku Tanzania tunaambiwa masikini?hii yote uroho wa viongozi wetu na ubinafsi wao
😊0
LLpp😊
@@abisaimsewa1935 umenena tuna ambiwa maskini kwasababu ya viongozi kuuza Mari za Tanganyika bila sababu
Hii iwe fundisho kwa viongozi wa Africa.. hasa hapa Bongo.. Huko Bungeni tunaviongozi ambao wapo madarakani tokea miaka ya tisini na hawafanyi kitu zaidi ya kusinzia tuu na kujishibisha
Akina m7
Aaah acha sisi tumpangishe Mwarabu wa Dubai 😂😂
Traoure kamrithi Thomas Sankara kwa kila kitu mpaka u handsome🤗
Tunatakiwa kuwa na vyuma kama hivi Africa walao 5 tu afirca tunaweza sana
Kuna waniger ssa
Shukran 🙏 sky
izi Ndio habari sio kila kukicha kajara na harmonize tokeni ukoo
New generation's New Africa, the power in our on hand,, 🇫🇯🇫🇯
P
P00
Pp0
Tumpemauwayake na baadhi ya wengine wajifunze wasiogope watusemee mungu amlinde naamuepushe na wabaya wote
Daaaaaa nimependa hawa majamaaaa saaaana yani afrika inatakiwa iwe na serikali ya shirikisho moja lenye nguvu chini ya jua
Africa tunaitaji leadership vijana Africa is rich ❤❤❤
Waafrika wote Kuna cha kujifunza hapa
Bado Nchi ya DRC Congo natumai Jeshi la Urusi kupitia Wagner PMC (Private Millitary Contractor) wataingia kuondoa Mamluki ya Ufaransa na Ubelgiji. Changes is Coming to Africa. Lets support Russia and China against Western Countries. Ifike Mali Waafrika tutamani kubaki Afrika na siyo kwenda Marekani na Ulaya. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee.🇹🇿🇹🇿
Mungu lisaidie bala la Afrika. Walinde waafeika ss sio masukini wa ombaomba. Ni mipangilio tu. Afrika ni matajiri sana duniani.tumebarikiwa sana. Mungu tulinde waafrika I m proud to be born in Afrika.
Africa rising 🙏🙏🙏
Watu kama hawa hawadumu nikama magufuli tu😢😢
Baba yetu dr John alikuwa peke yake kikwete na kundi lake alijipanga na ujambazi wao dhidi ýa Tanganyika dr angekuwa amejipanga kwanzia jeshini mpaka hao viongozi vigeugeu wasinge weza kumuuwa kila hisi hivyo mpaka hao walinzi wake huwa kuina kilocho endelea
I love him so much God guide him power to Niger 🇳🇪 ❤
Sky nakukubali✊
Viongozi wanajisahau,wanauza Mali za umma wakati wananchi ni maskini,wanatajirisha familia zao,ipo siku vijana hawatakubali Hilo.
Kabisa 😂
Wajinga kabisa
Wajinga. Kabisa
Vijana wapiiii,Tz au?sisi niwaoga sana kuyaendea mabadiliko,kuhoji palipo nashaka nk.tunogopa mamlaka ukifanya kuhoji tuu umepotea
Viva African viva IBRAHIM ❤
🔥🔥🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇰🇪🇰🇪🇰🇪💪💪💯
Aisee safi kwa makala nzuri
We need this akili zetu zimeganda sna tunafaaa kujifunza
Jwtz na Jw..mnasubiri nini hapa home Tanzania 🇹🇿..piga chini maccm..
Kaka bundara mungu akilibde bro napenda saana simulizi zako kaka. Unajitahidi kufafanuw kwaustarabu ..am very proud kwasauti yako bro..big up bro
Africa inaamka. Wahuni mashakani. Maana vibaraka wao wanapigwa chini. Wanahofia hawatovuna tena madini
Hahaha haha kweli wanavuna wasipo panda
Acha Wanajeshi washikilie nchi km Viongozi waliopewa dhamana wameshindwa kujua wajibu wao wa kuwaongoza Wananchi waliowachagua na kuwaamini
The Congolese M-23 are from the UN group. the UN miners are protecting them. The UN is sending weapons to the Congo, they are taking minerals and sending them to the United States.
Kbs wanarewa madaraka sana hawatambui umuhimu wa kudhaminiwa na watu nia wasaidiwe lkn wanawadidimiza zaidi
@@rogersiddy Sema Viongozi wengi wa Kiafrika wakisha chaguliwa wanakuwa Vibaraka wa Mabepari na Mabeberu wa America na Ulaya badala ya kuwatumikia Wananchi wao
@@rogerslwitiko3915 Hilo ndo tatizo kubwa la Africa 🌍 sasa kumpata mwanajeshi kusubutu kama hao hamna kbs ili wawatumikie wananchi
Sns is my favourity channel for mind updates
Sio habari za kinamond nawapuuzi wengine kila kukicha na faida hakuna zaidi ya Upuuzi tu hizi ndizo habar tunazozitaka sisi kaka AFRICA stand-up
Good job men keep it up
Braza umetishaaaaa
Ibrahim troure❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Hizi ndio habari zinazotakiwa Kila siku Tanzania kwa ajili ya kuzikimaza akili na kuzipa uelewa wa kutambua haki zetu sio Kila siku maisha wa watu yakuigiza yanayohalibu akili zetu kabisa😊
Hakika ni sahihi
MUNGU Ibariki Africa 🌍 yetu! Let see what next 👀 we need peace ✌🏿 in Africa 🌍 we need food every way in Africa 🌍 we need good education all Africa 🌍 we need good health care all Africa 🌍 we need good fare political to all Africa 🌍 we need seriously President's who care about people's in Africa 🌍 we need Africa who everything things is good 👍🏿 we need big company all Africa make jobs 😢 so all Africa gets jobs and work hard for live. We need better Africa 🌍 we want best Africa 👌🏿in everything work ok 👍🏿 electricity wate, in all Africa 🌍
EXACTLY ✅✅✅✅
🫡
Asante sana kwa makala hii
Napenda sana kuona kazi ya vijana wadogo kuwa na amaki ya uongozi
Nashangaa sana nchi kama Kenya Tanzania na wanajeshi wao wanabeleka nchi zao kifamilia mfano kama Kenya ndio ukuwe mwanajeshi unaitaji kama nusu milioni ndio upate hiyo kazi napenda sana kazi ya hao ndugu wakweli katika Africa au Alkablan means Africa may the gods protect black people
Dont ever entertain such crazy things like military coups, once they are in, it will hapen again and again, and who will come to do busoness in such environment, in our week and fragile economies a slight instability can backtrack our economies 10 yesrs back, ni wananchi ndio tuna makosa kwasababu tuna shabikia viongozi wa wabovu, problem ya Africa ni week leadership not coups, coups will bring up more distruction and poverty, look at liberia today, thats a good example.
Kwetu sijaona wa kulifanya hili maana sielewi kinachofanyika hapa Tanzania 🇹🇿 kwakweli siasa za ujanja ujanja tu hawatoi haki za uchaguzi unaenda kupiga kura bunduki ipo krb yako mawakala wa vyama pinzani wanatolewa nje wagombea wa ccm wanapitishwa bila kupigwa yaan tumechoka kwakweli Mungu atuongoze
Magufuli alikuepo mka amua kumtoa sadaka ,Madiliko yanaitaji zaidi.
@@peacemuzaliwa2563 Sio kweli usio lijua ni sawa na usiku wa giza kama unaona vinavyoonekana barabara magorofa basi bado hujajua nini maana ya uhuru wawatu maana yake nini ndugu siliza
Ni magufuli tuu tulikuwa naye wanajeshi wanao jiita jwtz wapo kuka rushwa ya nyama za NGO'MBE shenzi kabisa hao
Simulizi nzuri sana. Big up Sky!
Traore kwasasa amekuwa mtu muhimu sana kwangu kuriko mtu yeyote nili wa misi viongozi kama traore recpect traore rudisha heshima ya Africa na Ecowas waki jichanganya tuna raranao
Kwenye namba 4 dunian za viongoz bora na Ibrahim hakosi🙌🙌🙌🙌✍️✍️✍️✍️
Iam kenyan..iam with you bro...
He is a gentleman
Hongera sana bro sky. Ndo maana Mimi nilikushauri uanzishe taarifa ya habari walau kwa dakka 5 tu kila siku.
Mungu akubariki kwa ufafanuzi mzuri. Nafikiri Viongozi wengi waovu (wasiojali Wananchi wao) Afrika wanawahitaji akina Traore, Doumbuya na Goitta!
Mungu muogose ibrahim
Madagascar people need a revolution like this. We suffer a lot
Polen sana Africa tuko na viongozi wa ajabu sana sio Madagascar tu
Kenya pia wanajeshi fanyeni jambo
Hongera sana.vizuri sana wanajeshi.hayo ndivyo tunataka Afrika viongozi wabinafsi.wala rushwa.wanaogawa raslimali za nchi kwa maslahi yao.kupinduliwa bado Tz
❤
Uhakika brother 🙏🏼🙏🏼
Dalili nzuri kwa bukinafaso mali gine mungu awatanguli katika kuwatumikia wananchi wenu
Simulizi nzuri
Bado kenya 🇰🇪
❤hongera sna
African countries should follow the example of (these people, there is nothing to fear if the political governments do not do well,
Central Afrika need such Revolution mindset, specially DRC these people surely have sufered alot alot alot alot alot yani saaaana tena, Bila Viongozi Wazalendo Nchi yenue Rasilimali zote kama zile na bado watu nimasikini. Afrika Tunaitaji kuamka sasa.
Big up Sns kwa Makali Kama.izi zakizalendo.
Nakubali sana makala YAKO
🎉 Moçambique 🇲🇿
Waafrica wanadhani kwamba watakombolewa na Rais 1 ambae anadhani kua wengine hawawezi. Magufuli alipokua madarakani alipingwa na watanzania wanzake. Hadi wamemuua tukiwa tunaona. Kudhani kua atabadirisha ni vigumu. Nchi zote za watu weusi weusi duniani ni masikini wa kutubwa japokua wanaishi kwenye kila utajiri. Hivi huu muungano wa EA unasaidia nini?
Mtu mweusi ana matatizo ya kutojitathmini zama zote ndio maana hatupigi hatua na kubaki kusalitiana.
Mwezi January 2022 na akapinduliwa September 30/2020??? How come?? @Sns
Nice story
Mungu awasimamie
hiiii umeenda tuamkeni Africa we need like this
Hizi nchi za kiafrica kawaida znatakiwa kutawaliwa na wanajeshi tu wenye machungu halisi na nchi zao
Jamaa yupo clearly Sanaa anafaa kuwa kiongoz il nifunzo kwa wale viongoz wasyo jali raslimal za nchi huska kpnduliwa Ni sawa kbisa viongoz wetu wamekalia kuombaomba t ovyo tnakuwa na madeni ya syo Isha vzaz na vizaz ili Ni Jambo la atar Sana ). ktowa milady Ayo naona sns ikiwa no 2 tz kwa habar nzr
Wachambuzi wengi Wa Tanzania wana uwezo mkubwa wakuchambua mambo ya selikali ya nchi ya Hapa nyumbani Hawawezi
😂😂😂
Kaka kwenye hizi makala huna mpinzani 🎉 nakupongeza sana
Na mkubali ila iwaga wana geuka au ku huwawa 😢😢😢
Africa ina wanaume wamesimama vizuri
Hongera Ibrahi
Naiona aflika ikiungana kupitia wanajeshi siyo demoklasia
Una tafsiri sawa alivyo Sema.
Maswala kama aya ya Kivita na siasa uwe unamuachia DJ SMA255, Wewe baki kwenye muziki na mengineyo. Haufai huku.
Wakiungana kwaudhati watafika wanakotaka lakini muungano uwewakweli ucwekama ulewa Zanzibar na Tanganyika uweni muungano wa hakina usawa
Mi kwetu tz siikubali democrasia maana ndio chanzo za mizozo
Kama haki za binadamu.leo ndoa hazi dumu wanawake hawaolewi single mama .
Siasa chanzo cha mipasuko
Unahakili sana kaka
This is the magufuli in Tanzanian
Asante
Heroes of africa
Nauku uzalendo ungekuwepo ili takiwa iwe ivyo ivyo wanao kula matunda ya nchi ni baazi ya familia zina fanya kufulu
wananchi wamataifa hayo waonyeshe msimamo maana mateso yamezidi
🔥🔥
Hawa viongoz watatu mi nawakubali Sana wako vizuri waache wwaletee maendeleo wananchi wao wako right kbsa coz nchi za mangaribi wanatutawala sana nchi nyingne zijifunze kuptia hawa viongoz
Watafika na inatakiwa nchi zengine zifate long livi the commando 🏴☠️
Watafika mm nilivyoon mungu awatangulie
Damiba alipinfuliwa 2022 then akapinduliwa 2020 imekaaje hii, but kazi nzuri kaka
Stop corruption and invest & save money from natural resources invest in infrastructure & education India & China invest their money instead of hiding it in west who is to blame West or yourself out na Apo tutaendelea kupinduana naku walaumu Western or wazungu
Well done SnS, keep it up
❤❤❤❤
Watafika tena sana