DUANE KEFFE D DAVIS: Ukweli wa kusisimua wa MAFIA na SHAHIDI pekee anayemjua MUUAJI wa TUPAC SHAKUR
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- Tembelea www.sns.co.tz kwa habari nyingi zaidi
Subscribe kwenye channel yetu ya WhatsApp
whatsapp.com/c...
Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
Mimi ningependa utupatie story ya mwanadada SARAFINA wa SOUTH AFRICA
Hi❤❤
Mungu amlaze mahali pema 🙏
Simulizi nzuri sanaa kongole ndugu mtangazajii
You're absolutely talented
Kuna kitu kinamtafuna huyu damu ya MTU aiendi salama
Rest in peace maniga PAC
Save my comment y'all... Keef D atakufa kabla hata ya kesi haijaanza kusikilizwa watasema amekufa Kwa ugonjwa wake wa saratan ya tumbo iliyokiwa ikimsumbua mda mwingi na hiyo ndio itakuwa mwisho wa habari wankesinya Tupac... Atauliwa akiwa jela just kuficha watu husika .. Leo try 23/11/2023 keep it
Kweli kaka nakubaliana nawewe kabisa
Kama alivyouwawa the guy aloshuhudia na badae akafa yule alopiga risasi..... nasave comment yako
Iyo 100% ni kweli,ndilo litakalofanyika.Na iyo kesi ilifichwa tu coz watu walishatoa pesa tu.Hapo akina Diddy watafanya kitu kumpoteza jamaa
Hakika ya unayosem
Nakubali
Kabla sijasikiliza kwanza na like na kisha na share Alafu nakoment.
Sauti Ya chuma mwenyewe Mze Sky Woka a.k.a Sky King
Mm naona uyuu jamaa kama asemi nani kumuwa pac wemuhue uyuu jamaa
Visasi lakini hakuna suluhisho! Hii kesi itazunguka hapo hapo hakuna atakaepatikana na hatia
Kesi Ya 2Pac ina siri nyingi maana hata serekali ya marekani pia ilikua inamuona tupak kama tishio haswa kutokana na ushawishi ulio kuwa ukizidi kukuwa katika ya wetu weusi ni kama msala ulio mtokea Malcom X na nation of islam ndio walitumiwa kummaliza ndugu yao.
Nishida awa weusi niwajinga sanaaa,lazier yakuwuwana tu!!!
Inasikitisha sana kifo tupac
Nomaa
Nani alipiga picha few mns kabla ajaondoa gari???
Camera zipo kwenye traffic kitambo sana sema wako mbele saana ki technology
@@musakaphu4581umeongea kweli huku kwa wazungu camera ziko kila sehemu tangu zamani
Huwa wanabadilisha tu new system but zipo kitamboo 😂
@@officialnadoboytz1005camera gani sasa mpaka Leo hamjui muuaaji maanake wanamjua sasa serekali
@@raulmagige2698 Wanakosaje Kumjua 😂😂😂
Keffe D hakuwa Mafia, Keffe D ni Gang member kutoka South Side Compton Crips. Hakuna Mafia Los Angeles kuna gangs katika set zote.
Mnatisha sky sns
Bro #FredrickBundala, si ungetumia neno mjomba kuliko Mpwa , Umetuchanganya sana huku 🇰🇪🇰🇪😅😅
Nephew ni mpwa na uncle ni mjomba usichanganyikiwe mkenya
Continue to R.I.P Tupac
Yn hay mauwaj yan sinto faham nying sn yn kuna wanaosema serikal, wengne magenge ya wahun kuna wanaosema ni illuminati yn haijulkn daaah😢😢all in all rip makaveli🙏
Pac lives on for ever
Legend Never Die👊
I'd say he's guilty..periiooddtt!
Duuuh inaumiza sana
Dah! Hii ni muhim sana
Pumzika Mwamba , 2Pac , dunia haina haki, Haki yako utaipata kwa Mungu, by the way haitasaidia kitu maana familia yako(2pac) pia ilisha perish. Pumzika Mwamba.
Sky👍🏽👍🏽👍🏽🇧🇮
Gemini we live forever
2pac Alikuwa ni Muhuni Alipaswa KUFA in Any Cost hizo Ndio Street Tie's in US All Gangstar Must Die..King Von alikuwa muuaji Nae Akafa Pia Damu Uifuata Damu..You Can't Run
Tupac was never a gangster acted like one he never killed anyone najua ueelewi we umbwa 😂
Tupac still alive seen him in Cuba
🙄🙄
Propaganda
YOU are very right @@faumahona5769
Kwetu angesema mwenyewe 🇹🇿
Angepigwa spana ad aseme😊
Wamchome sindano ya sumu
Bundala nakuelewa sana kaka
❤
Hii ishu bado kubwa sana. Very complicated
Tuletee na ya BIG please
Makaveli
👊✌🙏.
Story ndefu Sana inachosha
Tupe story fupi yenye ujumbe Kamili muda hautoshi kuangalia video moja zaidi ya dakika 10
Makala hiyo
Diddy is murder
Sasa kwanza mtu mwenyewe ni marehemu mtalajiwa siwambane tu atasema
Hao ndio wamarekani sasa
🥰🇧🇮
Huyo ndio muuaji ndio maana anapiga chenga
Ingekua bongo kesi ishafutwa zamaaani
Kama amepatikan bas auwawe yeye na wenzake
Waliokuwa kwenye gari wote walishakufa kasoro huyu
Diddy anatafutwa hapa
Mafia anaona time go, anafanya ungamo kiaina
Huyu jamaa kama risasi ya kwanza inatoka kwa nini asingeikimbiza gari huyu Suge knight anajua chanzo cha kifo
Kabisa😢
Walikuwa kwenye mataa
Jina kubwa upeo kindude, @Oldskul... Emergency Haina mataa, alert yoyote unaruhusiwa kuchukua hatua zakiusalama .
unaijua risasi wewe
2pac si mzungu ndoman kesi yak imekaa myaka na myak
Mwamba akiminywa pumbu atasema tu
tena watumie prize
😂
I think mm ni miongoni mwa wanaoamni kuwa jamaa yupo hai
UNYAGO EP 06
ruclips.net/video/SKLze9VYuQM/видео.htmlsi=YxaWFqmbqgsBrEZI
Apig😂 loba
Kwanini amejitokeza na hataki kuweka wazi ukweli?
MUUAJI ANAKUWA ANAJULIKANA SEMA WATU HAWANA USHAHIDI....WATU HAWATAK KUONGEA BILA USHAHIDI,,,NA HAKUNA MAJIBU MPAKA KIAMA
Sio kweli kwenye iyo kesi kuna watu walilipwa pesa kwa maafisa wa serikali ya marekani ili muuaji asikamatwe,ivi kweli FBI wa marekani washindwe kumkamata mtuhumiwa wa mauaji kama ya Tupac artist mkubwa ivyo
@@princekarani7836 HATA WAKIJULIKANA WATAKAA KWA MDA KISHA WATAACHIWA...NI KESI AMBAYO HAINA USHAHIDI,,WATU WANATAKA USHAHIDI.
Technology ilikuwa haiko kubwa kama sasa
pesa itakufanya usikamatwe. Ukiwa choka mbaya unazolewa fasta
R.I.P Tupac leteni makala ya mcheza mieleka aliyefariki ulingoni mwaka 1999
Iyo tayali walishaiweka angalia utaikuta
Share link yake
Keefee d anajua ukwer wote
I wanna know who was recorded a video during the killing of 2pac
Nooo when left the the area . He saw an Orlando he approach him and started punching him and his crews jumped him . Orlando was keefe nephew and after they beat him up they left in car that’s how the story should started. Don’t 2 pac like he didn’t start some shit .
Kama yupo hai basi babu tupac rudi
One love 2 pac Shakur