DUANE KEFFE D DAVIS: Ukweli wa kusisimua wa MAFIA na SHAHIDI pekee anayemjua MUUAJI wa TUPAC SHAKUR

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Tembelea www.sns.co.tz kwa habari nyingi zaidi
    Subscribe kwenye channel yetu ya WhatsApp
    whatsapp.com/c...
    Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti

Комментарии • 98

  • @claudekabonga6150
    @claudekabonga6150 10 месяцев назад +16

    Mimi ningependa utupatie story ya mwanadada SARAFINA wa SOUTH AFRICA

  • @fiston-asifiwe
    @fiston-asifiwe 10 месяцев назад +10

    Mungu amlaze mahali pema 🙏

  • @malickkasuga4805
    @malickkasuga4805 10 месяцев назад +2

    Simulizi nzuri sanaa kongole ndugu mtangazajii

  • @lughainstitute8627
    @lughainstitute8627 10 месяцев назад +6

    You're absolutely talented

  • @salimtabu4703
    @salimtabu4703 10 месяцев назад +8

    Kuna kitu kinamtafuna huyu damu ya MTU aiendi salama
    Rest in peace maniga PAC

  • @mancholotrasco8350
    @mancholotrasco8350 10 месяцев назад +22

    Save my comment y'all... Keef D atakufa kabla hata ya kesi haijaanza kusikilizwa watasema amekufa Kwa ugonjwa wake wa saratan ya tumbo iliyokiwa ikimsumbua mda mwingi na hiyo ndio itakuwa mwisho wa habari wankesinya Tupac... Atauliwa akiwa jela just kuficha watu husika .. Leo try 23/11/2023 keep it

    • @hassanngayaga3202
      @hassanngayaga3202 10 месяцев назад +3

      Kweli kaka nakubaliana nawewe kabisa

    • @Sasha-xl9th
      @Sasha-xl9th 10 месяцев назад +3

      Kama alivyouwawa the guy aloshuhudia na badae akafa yule alopiga risasi..... nasave comment yako

    • @princekarani7836
      @princekarani7836 10 месяцев назад +3

      Iyo 100% ni kweli,ndilo litakalofanyika.Na iyo kesi ilifichwa tu coz watu walishatoa pesa tu.Hapo akina Diddy watafanya kitu kumpoteza jamaa

    • @mtambogeof5648
      @mtambogeof5648 10 месяцев назад +1

      Hakika ya unayosem

    • @stephanomoses7694
      @stephanomoses7694 9 месяцев назад +1

      Nakubali

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 10 месяцев назад +3

    Kabla sijasikiliza kwanza na like na kisha na share Alafu nakoment.
    Sauti Ya chuma mwenyewe Mze Sky Woka a.k.a Sky King

  • @stevenmeshack467
    @stevenmeshack467 10 месяцев назад +5

    Mm naona uyuu jamaa kama asemi nani kumuwa pac wemuhue uyuu jamaa

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa6415 10 месяцев назад +5

    Visasi lakini hakuna suluhisho! Hii kesi itazunguka hapo hapo hakuna atakaepatikana na hatia

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 10 месяцев назад +5

      Kesi Ya 2Pac ina siri nyingi maana hata serekali ya marekani pia ilikua inamuona tupak kama tishio haswa kutokana na ushawishi ulio kuwa ukizidi kukuwa katika ya wetu weusi ni kama msala ulio mtokea Malcom X na nation of islam ndio walitumiwa kummaliza ndugu yao.

  • @luendosabah2047
    @luendosabah2047 10 месяцев назад +5

    Nishida awa weusi niwajinga sanaaa,lazier yakuwuwana tu!!!

  • @KilakaMaboti
    @KilakaMaboti 5 месяцев назад

    Inasikitisha sana kifo tupac

  • @ismailkasim7960
    @ismailkasim7960 10 месяцев назад +1

    Nomaa

  • @AbduAbdu-s7i
    @AbduAbdu-s7i 10 месяцев назад +11

    Nani alipiga picha few mns kabla ajaondoa gari???

    • @musakaphu4581
      @musakaphu4581 10 месяцев назад +2

      Camera zipo kwenye traffic kitambo sana sema wako mbele saana ki technology

    • @rubenprince8990
      @rubenprince8990 10 месяцев назад

      ​@@musakaphu4581umeongea kweli huku kwa wazungu camera ziko kila sehemu tangu zamani

    • @officialnadoboytz1005
      @officialnadoboytz1005 10 месяцев назад

      Huwa wanabadilisha tu new system but zipo kitamboo 😂

    • @raulmagige2698
      @raulmagige2698 5 месяцев назад

      ​@@officialnadoboytz1005camera gani sasa mpaka Leo hamjui muuaaji maanake wanamjua sasa serekali

    • @officialnadoboytz1005
      @officialnadoboytz1005 5 месяцев назад

      @@raulmagige2698 Wanakosaje Kumjua 😂😂😂

  • @beatbyrich2891
    @beatbyrich2891 9 месяцев назад +2

    Keffe D hakuwa Mafia, Keffe D ni Gang member kutoka South Side Compton Crips. Hakuna Mafia Los Angeles kuna gangs katika set zote.

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 3 месяца назад

    Mnatisha sky sns

  • @fajosangale8728
    @fajosangale8728 10 месяцев назад +4

    Bro #FredrickBundala, si ungetumia neno mjomba kuliko Mpwa , Umetuchanganya sana huku 🇰🇪🇰🇪😅😅

    • @aloycekomba1
      @aloycekomba1 10 месяцев назад +2

      Nephew ni mpwa na uncle ni mjomba usichanganyikiwe mkenya

  • @alexander19077
    @alexander19077 10 месяцев назад +4

    Continue to R.I.P Tupac

  • @RoseMary-sw2ec
    @RoseMary-sw2ec 10 месяцев назад +2

    Yn hay mauwaj yan sinto faham nying sn yn kuna wanaosema serikal, wengne magenge ya wahun kuna wanaosema ni illuminati yn haijulkn daaah😢😢all in all rip makaveli🙏

  • @kenmumo690
    @kenmumo690 10 месяцев назад +2

    Pac lives on for ever

  • @issanaseeb7699
    @issanaseeb7699 10 месяцев назад +2

    Legend Never Die👊

  • @faridamohammad004
    @faridamohammad004 10 месяцев назад +2

    I'd say he's guilty..periiooddtt!

  • @sevystaronedancer1785
    @sevystaronedancer1785 10 месяцев назад +2

    Duuuh inaumiza sana

  • @zclassicfashionz1573
    @zclassicfashionz1573 5 месяцев назад

    Dah! Hii ni muhim sana

  • @gilbertkalanda9354
    @gilbertkalanda9354 10 месяцев назад +3

    Pumzika Mwamba , 2Pac , dunia haina haki, Haki yako utaipata kwa Mungu, by the way haitasaidia kitu maana familia yako(2pac) pia ilisha perish. Pumzika Mwamba.

  • @chany9950
    @chany9950 10 месяцев назад +1

    Sky👍🏽👍🏽👍🏽🇧🇮

  • @majaliwaomary7171
    @majaliwaomary7171 9 месяцев назад

    Gemini we live forever

  • @issacalley5145
    @issacalley5145 9 месяцев назад +2

    2pac Alikuwa ni Muhuni Alipaswa KUFA in Any Cost hizo Ndio Street Tie's in US All Gangstar Must Die..King Von alikuwa muuaji Nae Akafa Pia Damu Uifuata Damu..You Can't Run

    • @WayneAustine
      @WayneAustine Месяц назад

      Tupac was never a gangster acted like one he never killed anyone najua ueelewi we umbwa 😂

  • @kennohg6152
    @kennohg6152 10 месяцев назад +6

    Tupac still alive seen him in Cuba

  • @KichuyaMaja-qq5zn
    @KichuyaMaja-qq5zn 10 месяцев назад +2

    Kwetu angesema mwenyewe 🇹🇿

  • @stevenmeshack467
    @stevenmeshack467 10 месяцев назад +3

    Wamchome sindano ya sumu

  • @FurahaNgomango-zr3bz
    @FurahaNgomango-zr3bz 9 месяцев назад

    Bundala nakuelewa sana kaka

  • @ericmiles2036
    @ericmiles2036 10 месяцев назад +2

  • @eizerbitz6715
    @eizerbitz6715 10 месяцев назад

    Hii ishu bado kubwa sana. Very complicated

  • @aminmohammed4249
    @aminmohammed4249 10 месяцев назад +1

    Tuletee na ya BIG please

  • @AliAbdulla-xq8vr
    @AliAbdulla-xq8vr 10 месяцев назад +1

    Makaveli

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 10 месяцев назад +1

    👊✌🙏.

  • @AntonySamson-o6n
    @AntonySamson-o6n 9 месяцев назад

    Story ndefu Sana inachosha
    Tupe story fupi yenye ujumbe Kamili muda hautoshi kuangalia video moja zaidi ya dakika 10

  • @ibrahimbashirkivina6929
    @ibrahimbashirkivina6929 10 месяцев назад +4

    Diddy is murder

  • @jeturdasimon4851
    @jeturdasimon4851 9 месяцев назад

    Sasa kwanza mtu mwenyewe ni marehemu mtalajiwa siwambane tu atasema

  • @Aziz-p6s
    @Aziz-p6s 9 месяцев назад

    Hao ndio wamarekani sasa

  • @mdbosco1640
    @mdbosco1640 9 месяцев назад

    🥰🇧🇮

  • @MwajabuShabani-p2f
    @MwajabuShabani-p2f 9 месяцев назад

    Huyo ndio muuaji ndio maana anapiga chenga

  • @Aziz-p6s
    @Aziz-p6s 9 месяцев назад

    Ingekua bongo kesi ishafutwa zamaaani

  • @AbubakarHabibu-hp2ku
    @AbubakarHabibu-hp2ku 10 месяцев назад +3

    Kama amepatikan bas auwawe yeye na wenzake

    • @mbwizax87
      @mbwizax87 10 месяцев назад +1

      Waliokuwa kwenye gari wote walishakufa kasoro huyu

  • @LudwickNamangaya
    @LudwickNamangaya 10 месяцев назад

    Diddy anatafutwa hapa

  • @gilbertkalanda9354
    @gilbertkalanda9354 10 месяцев назад

    Mafia anaona time go, anafanya ungamo kiaina

  • @pesaspy_tv
    @pesaspy_tv 10 месяцев назад +3

    Huyu jamaa kama risasi ya kwanza inatoka kwa nini asingeikimbiza gari huyu Suge knight anajua chanzo cha kifo

    • @ms_teeonly
      @ms_teeonly 10 месяцев назад

      Kabisa😢

    • @Oldskulgemini9991
      @Oldskulgemini9991 10 месяцев назад

      Walikuwa kwenye mataa

    • @felisteronesmo3091
      @felisteronesmo3091 10 месяцев назад

      Jina kubwa upeo kindude, @Oldskul... Emergency Haina mataa, alert yoyote unaruhusiwa kuchukua hatua zakiusalama .

    • @SadickAmiri
      @SadickAmiri 5 дней назад

      unaijua risasi wewe

  • @bukuruyassini
    @bukuruyassini 9 месяцев назад

    2pac si mzungu ndoman kesi yak imekaa myaka na myak

  • @farajiissa560
    @farajiissa560 10 месяцев назад +1

    Mwamba akiminywa pumbu atasema tu

  • @elchapojr638
    @elchapojr638 10 месяцев назад +1

    I think mm ni miongoni mwa wanaoamni kuwa jamaa yupo hai

  • @boncenagottalent
    @boncenagottalent 9 месяцев назад

    UNYAGO EP 06
    ruclips.net/video/SKLze9VYuQM/видео.htmlsi=YxaWFqmbqgsBrEZI

  • @awesomeaugustine
    @awesomeaugustine 10 месяцев назад

    Apig😂 loba

  • @eizerbitz6715
    @eizerbitz6715 10 месяцев назад

    Kwanini amejitokeza na hataki kuweka wazi ukweli?

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 10 месяцев назад +16

    MUUAJI ANAKUWA ANAJULIKANA SEMA WATU HAWANA USHAHIDI....WATU HAWATAK KUONGEA BILA USHAHIDI,,,NA HAKUNA MAJIBU MPAKA KIAMA

    • @princekarani7836
      @princekarani7836 10 месяцев назад +2

      Sio kweli kwenye iyo kesi kuna watu walilipwa pesa kwa maafisa wa serikali ya marekani ili muuaji asikamatwe,ivi kweli FBI wa marekani washindwe kumkamata mtuhumiwa wa mauaji kama ya Tupac artist mkubwa ivyo

    • @hassanbakari4525
      @hassanbakari4525 10 месяцев назад

      @@princekarani7836 HATA WAKIJULIKANA WATAKAA KWA MDA KISHA WATAACHIWA...NI KESI AMBAYO HAINA USHAHIDI,,WATU WANATAKA USHAHIDI.

    • @mackjr5291
      @mackjr5291 10 месяцев назад

      Technology ilikuwa haiko kubwa kama sasa

    • @ursulinenyandindi3051
      @ursulinenyandindi3051 10 месяцев назад

      pesa itakufanya usikamatwe. Ukiwa choka mbaya unazolewa fasta

  • @saleh9997
    @saleh9997 10 месяцев назад +4

    R.I.P Tupac leteni makala ya mcheza mieleka aliyefariki ulingoni mwaka 1999

    • @praxedantale7817
      @praxedantale7817 10 месяцев назад +1

      Iyo tayali walishaiweka angalia utaikuta

    • @brunoh_bx
      @brunoh_bx 10 месяцев назад +1

      ​Share link yake

  • @KilakaMaboti
    @KilakaMaboti 5 месяцев назад

    Keefee d anajua ukwer wote

  • @SelemanMakombe
    @SelemanMakombe 8 месяцев назад

    I wanna know who was recorded a video during the killing of 2pac

  • @PesaMadafu
    @PesaMadafu 10 месяцев назад +3

    Nooo when left the the area . He saw an Orlando he approach him and started punching him and his crews jumped him . Orlando was keefe nephew and after they beat him up they left in car that’s how the story should started. Don’t 2 pac like he didn’t start some shit .

  • @HardcoreManyota-k5h
    @HardcoreManyota-k5h 10 месяцев назад

    Kama yupo hai basi babu tupac rudi

  • @swazi-bmzwabusarawysd8083
    @swazi-bmzwabusarawysd8083 10 месяцев назад +2

    One love 2 pac Shakur