Yafahamu MAGEREZA 10 hatari zaidi Barani AFRIKA, Ni Hatarii! Usiombe kufungwa ndani ya Magereza haya

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 ноя 2022
  • НаукаНаука

Комментарии • 200

  • @hamedabashir9
    @hamedabashir9 Год назад +25

    Naomba mungu anipe mwisho mwema wallallih

  • @aishaissa2512
    @aishaissa2512 Год назад +27

    Dah! mungu atunusuru na balaa hili walofungwa mungu anasaidia watoke

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky Год назад +15

    🥺🥺🥺🥺Allah atunusuru na atupe mwisho mwema🧎‍♂️🧎‍♂️🧎‍♂️🧎‍♂️

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 Год назад +4

    Aisee M/Mungu tunusuru naomba mwisho mwema

  • @janetcharo1543
    @janetcharo1543 Год назад +17

    I knew Kamiti Maximum can never miss this list

  • @rachelndaki5642
    @rachelndaki5642 Год назад +4

    Duh mungu tupe mwisho mwema mm na taifa langu

  • @pujimontanapachino4958
    @pujimontanapachino4958 Год назад +9

    Mungu atunusuru inatisha sana Africa kilakitu chetu kinatisha

  • @jobkofficial1591
    @jobkofficial1591 Год назад +14

    This is a pure talent , not forced .hongera sana bro sky Walker

  • @onanarosse9657
    @onanarosse9657 Год назад +4

    Sky on top hongera brother kwa makala nzuri

  • @motivateU849
    @motivateU849 Год назад +5

    Love it, napenda sana hii 360

  • @adacornpessa1985
    @adacornpessa1985 Год назад +5

    From Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 one love.

  • @jameswisdomtz8580
    @jameswisdomtz8580 Год назад +18

    Mungu atunusuru kabisa haya maisha wengine tunasafili katika nchi za watu😭😭😭🌍🌍

  • @mussamayawa817
    @mussamayawa817 Год назад +17

    Tanzania pazuri sana kila kitu kwetu pazuri kama unabisha bisha hila sisi tulio nje tunajuwa kabisa kma kwetu pazuri

    • @dayana5513story
      @dayana5513story Год назад

      Bora wambie

    • @USWAZITVONLINE
      @USWAZITVONLINE Год назад

      Kweli kabisa, Tanzania kwetu pazuri sana, tunatafuta maisha kwa uhuru, tunatembea kwa uhuru, tunasafiri kwa uhuru, Wakati nchi za wenzetu mambo yote hayo ni kipengele

    • @Tumaini_gil
      @Tumaini_gil 4 месяца назад

      Hakuna pazuri

    • @tariquexplore
      @tariquexplore 3 месяца назад

      Tulizeni sisi tulokaa jela , hayatangazwi tu

  • @Mama-A
    @Mama-A Год назад +9

    Kwa Niaba ya wakenya wote we miss sauti ya Baby sky

    • @Chrisscherry
      @Chrisscherry Год назад +1

      Kweli hata mimi namiss sauti yake nyororo

  • @trendz_2548
    @trendz_2548 Год назад +6

    I really love what you do sky

  • @chire4574
    @chire4574 Год назад +8

    Fanya uchunguzi vizuri......nenda gereza la idete morogoro......ndo utajuwa Tanzania nayo tumo top ten

    • @ZeraGeofrey
      @ZeraGeofrey Год назад +1

      Hakuna gereza zur ww ukienda ndyo utajua kule n kubaya🙌🙌

  • @safiaabubakar1120
    @safiaabubakar1120 Год назад +4

    You are the best sky Mashaa Allah

  • @donomar6876
    @donomar6876 Год назад +3

    Ohoooo Kamiti Kenya inafaa kuwa number 1.... Wahalifu Hatari wa nchi mbali mbali wanalitwa Kamiti..

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 Год назад +5

    Japokua ni hivyo dunia nzima. Marekani 30% ya magereza ni biashara binafsi. Kwahip hapo watatafuta wateja kupitia kwenye vyombo vya ulinzi. New York mfungwa mmoja hutumia zaidi ya dollars 130,000 kwa mwaka

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Год назад

    Subhannallah, mtihani kwakweli

  • @saddybrezzy9777
    @saddybrezzy9777 Год назад +2

    SKY Walker big up💪🙌

  • @janeangoche4464
    @janeangoche4464 Год назад +3

    Sky thanks for this analysis though its painful to hear what other human beings undergo in the name of rehabilitation its really sad and painful especially to boy child although ladies too but boy child its real abuse may God
    Help us and give African leaders some insight to do something about the congestion in these jails.Maybe it will reduce the abuse among these inmates .And also there should be rules for people employed in these institution their work is to rehabilitate
    and not abuse them they should not and insult to injury.

  • @GracieTyno
    @GracieTyno Год назад

    The voice of yours!.
    Dah!

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 Год назад +4

    Sema magereza ya Africa mateso yamezid jamn

  • @lifeofyuri4020
    @lifeofyuri4020 Год назад +12

    Ingekua ni hiari yangu Muuaji nae auwawe the moment amepatikana na hatia! Pili mbakaji aisee nawachukia hawa watu ingekua hiari yangu mbakaji akipatikana na hatia achomwe moto akiwa anajiona
    Wengi mtakuja mseme Mimi katili , ndio Mimi ni katili Tena sanaaa , nakataa kulipa Kodi iwalishe hawa watu makatili kuliko Mimi. Imagine mtu anambaka/kumlawiti mtoto mdogo anafungwa kidogo anaachiwa anarudi pale pale mtaani anaendelea kuishi kama kawaida anaendelea kufanya matukio
    Kitu msichojua wabakaji na wauwaji hawapo sawa kiakili ...kufungwa peke ake haitoshi mara nyingi wanarudia mambo hayohayo

    • @gwakisamwangasa7826
      @gwakisamwangasa7826 Год назад +1

      Kuna wengine wanasingiziwa hizo kesi sio wote wanahatia

    • @elishazacharia1204
      @elishazacharia1204 Год назад

      Maisha ya siri nyingi sana chunguza zako tu Kisha jaribu kukadiria adhabu

    • @lifeofyuri4020
      @lifeofyuri4020 Год назад

      @@gwakisamwangasa7826 nimeongelea watu wanafanya hivyo vitendo sijaongelea wafungwa

    • @lifeofyuri4020
      @lifeofyuri4020 Год назад

      @@elishazacharia1204 sijasema Mimi ni mtakatifu

    • @gwakisamwangasa7826
      @gwakisamwangasa7826 Год назад

      @@lifeofyuri4020 unakumbuka babu sea kungekuwa na sheria za kunyongwa angekuwa kashanyongwa maana alihukumiwa Tayar Alionekan ana hatia yaani kalawiti sikatai wapo wanaofanya hivyo vitendo na wengne wanasingiziwa ila wanaosimamia izo kesi wanakuwa na nguvu unaonekana umefanya kweli

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 Год назад +4

    Makala nzur japo inasikitisha 😢 lkn nimejifunza

  • @messaabbas739
    @messaabbas739 Год назад +3

    Good job ❣️❣️❣️❣️#SNS

  • @daudhabona8897
    @daudhabona8897 Год назад +3

    Ungekuwa unaandika makala 360 inakuwa rahisi kuzi search.

  • @Mr.boomer23
    @Mr.boomer23 Год назад

    Noma

  • @mimokassim2306
    @mimokassim2306 Год назад +1

    Sky his the best

  • @TumainiBiswalo-ok4xm
    @TumainiBiswalo-ok4xm 2 месяца назад

    Mungu tusaidie jamani ii atalisana duu ee mungu ninusulu kwailo

  • @billskeez92
    @billskeez92 Год назад +3

    360🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥@🇧🇮

  • @rojadecoration996
    @rojadecoration996 Год назад +6

    Ndio maana nasema tuendelee kutawaliwa tu maana wazungu wanaroho mbaya lakin afrika nadhani tumezidi

  • @neemamkemae2580
    @neemamkemae2580 Год назад +3

    Kaka sky kila siku tuakwambia, bc weka the story hili tujue inakuwa kila jumangapi....km anavyofnya Jamal au justin shed.... Sio Hiv inakuwa gafra bin vuuuu aina mpangilio.... !!!!!!

  • @mimokassim2306
    @mimokassim2306 Год назад +4

    Yellow inform ni South Africa 🇿🇦

  • @sayakuluayubu
    @sayakuluayubu Год назад

    Watu waovu Sana wakifunzwa dini Ndo watakao kuwa na Imani sana

  • @hijamnola1502
    @hijamnola1502 3 месяца назад

    Yani TANZANIA HAKUNA hata moja then South Africa ipo sio kwel, hii tafiki inabid wahusika muanze kwenda magerezan kuishi hata mwez ili mkitoka muwe na uharisia wa report

  • @cyprianboniphace-oz5lw
    @cyprianboniphace-oz5lw 2 месяца назад

    Kwa hiyo magereza ya Tanzania ni mazuri yanafaa kuishi huko.

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Год назад +2

    Duh!

  • @zaitunisinamenye1799
    @zaitunisinamenye1799 Год назад +2

    Ni hatari sana, hali ya hewa tu ikikosekana ni kifu, inci zetu zaki africa ni macungu tu,

  • @maryjulius3112
    @maryjulius3112 Год назад +2

    Sky facts umesema

  • @wildofworld100
    @wildofworld100 Год назад

    mozambiq mhhhh ni noma wanakaa wapalianda

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala3392 Год назад +1

    FOTWUNE is the best. No excuse any development must some get pain

  • @christiankambuga9338
    @christiankambuga9338 Год назад

    Nimekubari

  • @suntzu8959
    @suntzu8959 Год назад +5

    My friend died kwenye gereza number 8.

    • @MK-bk9ww
      @MK-bk9ww Год назад +3

      Inalillah wainailaih rajioon, pole my

  • @mwajabukaseke8710
    @mwajabukaseke8710 Год назад +2

    Wanatesekaaa jmnii

  • @RashidiMsabah
    @RashidiMsabah 3 месяца назад

    Nice

  • @DemungaMsenga
    @DemungaMsenga 2 месяца назад

    Mbona ujasema Tanzania

  • @mamafaiza1720
    @mamafaiza1720 Год назад +5

    Tanzania magereza mazuri ama

  • @iankiprotich3111
    @iankiprotich3111 Год назад +4

    Kenya haikosi mahali popote

  • @dieudonnematabaro3633
    @dieudonnematabaro3633 Год назад +1

    Mbona utaji gereza la Tanzania, ni gereza atari sana

  • @munirashughuli618
    @munirashughuli618 Год назад +11

    Kamiti Kenya ogopa yani hata Police wenywe wanawaogopa wafungwa🤔

  • @Ziwi7
    @Ziwi7 Год назад +1

    As a kenyan, i expected to see Shimo la tewa even before kamiti...I've never been in prison but I know Shimo la tewa is deadly

  • @nassirvarane7742
    @nassirvarane7742 Год назад +3

    Ogopa gereza la kenya nimeka miaka 8 ila km miaka 80 Daah watu wanapata shida sana humu dunian

  • @fzlcomrajabu9514
    @fzlcomrajabu9514 Год назад +2

    Shout out to my brother sky 🙏

  • @kalziidazamba2862
    @kalziidazamba2862 Год назад +2

    Daaah hatari kweli.🤔🤔

  • @maissarahirakoze5581
    @maissarahirakoze5581 Год назад +3

    Sns for life👌

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 Год назад +2

    Mbona tz hujasema au haimo? au unaogopa?

  • @niyongabiranoibrahim7794
    @niyongabiranoibrahim7794 Год назад +3

    Mimi naishi karibu nayo ya paarl ya Africa kusini
    Yoooo bro ilo gereza Ata kwainje tu linatisha

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 Год назад

    Chikurubi iyo noma sana

  • @salmasaid7058
    @salmasaid7058 Год назад +1

    Kenya ogopa

  • @saidseif1860
    @saidseif1860 Год назад +3

    Shimo la tewaa wanangu mwalijua

  • @stanleynombwe4865
    @stanleynombwe4865 Год назад +2

    Kwani tz hakuna Basi za wafungwa Hadi utuwekee Basi za mambele

  • @pizzoabu2661
    @pizzoabu2661 Год назад +2

    Maximum Zambia kuna brother yangu dulla yupo huko kapigwa yundo ya miaka 25

  • @mapenzishindoshindo4939
    @mapenzishindoshindo4939 Год назад +2

    Umependelea inchi yako😔😔😔 mm kama mkenya sijafrahi🇰🇪

  • @user-iv9uv5qx8t
    @user-iv9uv5qx8t 5 месяцев назад

    Duuuh😢😢😢😢Mungu atuepushe

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 Год назад +2

    Ndugu sky ... Nafasi ya kwanza Africa inafaa iwe gereza la antanimora liko Antananarivo nchini Madagascar... Naomba ufanye research alafu utaona balaa lake hilo gereza

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Год назад +3

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍.

  • @hmsrashd7910
    @hmsrashd7910 Год назад +2

    WATU WEUPE WANA ROHO MBAYA ,,

  • @ramaccr7525
    @ramaccr7525 8 месяцев назад

    🙏🙏❤️🔥

  • @khurlainashly5686
    @khurlainashly5686 Год назад +1

    💔

  • @najmuddinkarama7360
    @najmuddinkarama7360 Год назад +3

    Ongeza research kwenye story zako nilitegemea ungesema idadi ya vifo takwimu za ubakaji idadi ya wafungwa etc

    • @judgeman5085
      @judgeman5085 Год назад +2

      Ridhika na ulichokipata bro kwani hayo aliyokuelezea kayaokota tu au kapoteza mda wake kuyafukunyua yasiko onekana kirahisi ?

  • @mariamramadhani3860
    @mariamramadhani3860 Год назад +1

    NA WENGINE WAMEFUNGWA KIMAKOSA TU

  • @ashnaom2270
    @ashnaom2270 Год назад

    Khuu

  • @charlesmugisha6529
    @charlesmugisha6529 Год назад

    Mhhh!!

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Год назад

    Dah😨😰😰😰

  • @zebedayobiswalo1924
    @zebedayobiswalo1924 Год назад +1

    Hivi huzi nchi zilizopo kwenye hii list hawajui au ndo kutojali? This is to bad and sad as well

  • @shadiahshadiahshadiahshadi4060
    @shadiahshadiahshadiahshadi4060 Год назад +1

    🤔🤔🤔🤔

  • @aderiderkihupi7240
    @aderiderkihupi7240 9 месяцев назад

    NAKUKUNAL SANA SKY WALKER

  • @mudathirmohd9721
    @mudathirmohd9721 Год назад +2

    Tulikua tunaonba ukionesha tuoneshe na matukio mfano km anavo fanya kwenye the story book

  • @thomsanga7956
    @thomsanga7956 Год назад +2

    Nikweli lasegerea halipo ktk top ten!!? ☻️ au tumeogopa kulitaja tu 😁😁😁😁

  • @leyxon_delee
    @leyxon_delee Год назад +1

    Shimo la Tewa kenya?

  • @tatutatu1570
    @tatutatu1570 Год назад

    😭

  • @FatmaFatmA-qk3zl
    @FatmaFatmA-qk3zl Год назад +1

    Duuuuu

  • @alihujjat5945
    @alihujjat5945 Год назад +1

    Ilo gereza la kabwe Zambia nimekaa mm ningeshangaa kama lisinge orozeshwa

  • @johnwoshi3459
    @johnwoshi3459 Год назад

    Unaogopa kusema Hali ya magereza ya TZ sababu watakuvinya mapumbu mpaka ukome

  • @jameschipande1090
    @jameschipande1090 Год назад +1

    GEREZA LA MUKOBEKO, LIPO HAPA KABWE MJINI YAANI NILISHIKWA NA BUTWAA KUKUTA GEREZA KUBWA KAMA HILI KATIKA SEHEMU NINAYOISHI KWA HUKU ZAMBIA. IKUMBUKWE KUWA HILI NDO GEREZA LILILO TUMIKA KUMUSHIKILIA RAIS AMBAYE YUKO MADARAKANI KWA SASA.

  • @mapenzishindoshindo4939
    @mapenzishindoshindo4939 Год назад +3

    Kwa hio Tanzania hakuna gereza hatari😳😳😳😳

    • @hamisaally968
      @hamisaally968 Год назад

      Inawezekana yapo ila bado sana kufikia ya uko

    • @wemakingdaily1462
      @wemakingdaily1462 Год назад

      Lipo Moja huko Songea unaambiwa vyumba ni Giza vidirisha vidogo hewa hakuna

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 Год назад

    HAKUNA FAIDA KUTIWA GEREZANI KWA HALI HII!!! BORA WABAK8 NJE KWA MAASI KULIKO KUFUNGWA,UMOJA WA MATAIFA IPO WAPI

  • @bigirumanalululouise4540
    @bigirumanalululouise4540 Год назад

    360😢😢😢😢

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 Год назад +1

    Yaani Mozambique imekosekana? 🤔

  • @nadrahassan5241
    @nadrahassan5241 Год назад +13

    Alaafu tuna walaum wazungu eti wana tunyanyapa!😔💔 wakati ss wenyew hatujipendi bora tunge endelea kutawaliwa nawazungu huwenda leo hii engelikuwa afadhali

    • @kingmoseskasman7765
      @kingmoseskasman7765 Год назад

      🙈

    • @isikesamike
      @isikesamike Год назад +2

      Duh! Utawaliwe na wazungu? Karne hii unawaza kutawaliwa? Asee!!

    • @omaryntagala3740
      @omaryntagala3740 Год назад +3

      @@isikesamike tunatawaliwa pia kisiasa africa haipo huru kwa nchi nyingi japo tunaona eti tupo huru

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Год назад +1

      @@isikesamike Unashanga kitu gani na watu wachaze wakizungu wanaitawala dunia nasi Africa tu jombi kwani bado umelala usingizi

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr Год назад

      Utawaliwe mara ngapi? Kwani unafikiri upo huru? N mojawapo wame tuwash brain ,tuamini hatuwezi kufanya kitu,mpaka watufanyie wao

  • @jumakimtanange8177
    @jumakimtanange8177 Год назад

    Mbona Tz hakuna ama nikitaka habari za magereza ya Tz mpaka Niwe Nje ama Mimi Ndio Sielewi

  • @shabanisaleeh4541
    @shabanisaleeh4541 Год назад +1

    Mm bora niumwe sio jela

  • @lovenessvisent9408
    @lovenessvisent9408 Год назад

    Gereza za afrika ni kama unaiona jehanam kwa pale

  • @ishimwemurenziange7609
    @ishimwemurenziange7609 Год назад

    Bona amusemi Tanzania eko pazuri mupaka wapi muache ni huhuni

  • @juliusgarlusikindole758
    @juliusgarlusikindole758 3 месяца назад

    Jela ni jeraha

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr Год назад +1

    Km wameua wakae hivyohivyo hao sio binaadam

  • @habibmohd8008
    @habibmohd8008 Год назад +1

    Sky umezngua ..unaogopa nn mbona yatanzania haujayaweka kwaukatili unaofanyika hio sio fair

    • @athmanmuhammed7333
      @athmanmuhammed7333 Год назад

      Lazima aogope akilitaja moja tu la tz atawekwa kwenda kulionja.

  • @zaidyabdalah3691
    @zaidyabdalah3691 Год назад +1

    Mbona Tanzania huitaji? Hapa napo kuna shida ya kufamtu