CAMP 14: GEREZA hatari la KIFO la Korea Kaskazini, MFUNGWA aliyetoroka asimulia mambo ya kutisha
HTML-код
- Опубликовано: 27 сен 2024
- #Makala360 hii inakupa mkasa wa matukio ya kweli ya kusisimua ya mwanaume pekee na aliye hai mpaka sasa aliyefanikiwa kutoroka katika gereza hili hatari zaidi duniani. Haikuwa rahisi, inatisha na kusisimua. Tega sikio mpaka mwisho kujua mengi kuhusu Camp 14, gereza la kijeshi huko Korea Kaskazini ambalo kwa hakika si mahali salama pa kujikuta ndani yake
Hiyo sheria ya Vizazi vitatu nimeipenda ❤❤❤❤❤siku wakimtia mkononi mwao tena sijui ni kitamkuta😥😥😥😥🇨🇳
Subhanallah Uwiiii 🥺🥺🥺🥺Daa sidhani km atakuja kuwa sawa tena psychology because since amezaliwa.
SNS big up
Makala nzuli sana yenye mafunzo katika maisha ya sasa
Ahsante kwa makala hii. Duniani kuna mambo ya kutisha. Shukran 🙏
Sky unajuw mpk unaker 🙏🙏
Kwa hii makal Safi 360
This is awesome sky your gorgeous at this your narrative is ✌️✌️on point
Nawakubali Sana sns kwenye makala 360 na hiki ki sound Cha background nimekuelewa Sana makala inakua na laza
Braza una saut nzur xana ya kusimulia Hadith love 💕! Gonga like Yako kama unamwelewa hyu broo!!
Mungu ampe maisha marefu sana ahin❤️🙏🙏🙏
Nakukubali sana kaka
Mtangazaji nimekukubari uko vizuri kwa sauti yako hongera sana kwa utafiti wako.
Wa kwanza nipeni like 😂😂
Hongera sana kaka kwa 360 pamoja
I loooooooov this
Sky walker the TOP engine❤️
Thank you Sky
Mwamba unajuwa sanaaa
Duuuh nouma saana 🙌🇶🇦
Asante Mungu kuniumba Tanzania
Asantee kaka Sky🫶🏼👌🏼
Sns bwana sky saut nzuri 👊👊👊👊
SNS on fire 🔥 🔥 🔥
Daah ila kuna watu wana roho ngumu sana unawasha mkaa kwenye mwili wa binadamu.
😢
Sky me napenda sana simulizi zako
Love this content ❤️❤️❤️❤️❤️
Watu wanateseka sana ktk dunia hii sio poa
mze wewe unaweza sana kaka 👊👊😊
Ndiyomaana hata superpower wanamuogopa mtukwaoyuko.nauzalendo Kwenyenchiyake daimambele nyumamwiko.
Siku moja natamani uelezee undan wa dark web nakuomba sana
Jamal kaelezea mtafute
Hakika tunaishi kwenye nchi yenye amani, na uhuru
Iyo makala inata kuendana na mov moja ya kihindi inaitwa deewar ya mze wakaz amithabachan
Tuwache hemu
Waaaaah!! Nsawa
Sns iko juuu kama kilimanjaro
Asante
Brother ila nin mm hiz za korea kaskazin nisha zirudisha zaid ya mara tano zote mbil zilete nyengin mbon nizur
Duh, vizazi vitatu🤔
Nimeogopa sana
Mimi na nyie pamoja sana nawapenda
Hii media ina madini hadimu ubarikiwe sky walker
Sauti nzuri
let support you bro
Movie yake inaitwaje?,,mana lazima ishatengenezwa..
Camp 14:Total Control Zone
Daaah
Duh! Huku ni jehanamu kabisa
Mbona america hawaongelei guantanamo bay
❤❤❤❤❤❤
hiyi inchi kwanini isikombolewe hata kivita kwakuwaokoa watu na maisha hayo 🤔🙏
Hizi zingine ni perception tu juu ya wananchi na nchi hizo kwakuwa taarifa zake nyingi hatuna na inapelekea tuletewe propaganda tu na maadui wake. Mfano usema masai anateseka kuishi polini na ng'ombe ilihali kwao ni fresh tuu na wanatuona sie hamnazo kwa lifestyle tunayoishi
Nipo nakufatilia
Unamzaa mtoto jail,,anafanya ndio iwe sababu ya mama kuuliwa,,duh
Ñàķùbãľ bľøøď 🔥🔥🔥🔥una jua sn
Sahii ukifunguwa mipaka ya North Korea, within 1 month only, nnchi itabaki bilA watua, watatoroka wote
Mmh kosa la mzazi linamtesa mtoto daaah hyo ndo Korea ban
Wewe unajua japo muda umekuwa mfupi naomba tueleezee siku ya kifo cha na hisia kwamba unakufa sasa
😅😅😅😅mimi nitakuelezea tu ukishaamuona mwamba islael ujue umelala yoooo 😂😂
Wanyama si wale walioko porini pekee, waliovaa suti ni hatari zaidi
Mung wang family tena kwaoniyama chura
Nihao ciao
Naomba kuuliza hasa yy c mwanaharakat anafanya kazi ya kutetea haki za binadamu?sasa anawezaje kufanikisha hilo wakat rahisi wao ndo muhusika mkubwa wa roho mby?
Korea wako seriouz na maisha, hawawezi kufanywa watumwa wa kudumu na wamarekani
na hii ni nini
Hizo ni propaganda za nchi za magharibi...wenzetu hawana huo ujinga
Mwamba sns
Kwa Hulka za CCM na Viongozi wa Jana na leo, Tanzania ya CCM na Magerezani tyake, hali halisi imekaribia na kuwa Korea Kaskazini...
yaani kwamfano ningekuwa raisi wa Tanzania chakwanza ningejenga gereza ambalo wale wanao ua wenzao au kubaka au kula rushwa ndio ingekuwa gereza lao niamini wangeingia humo yaan ukitoka hutoweza kurudia kabisaaa😅😅😅
🤔🤔🤔🤔😉😉😉😉7🤣7🤣🤣🤣🤣
Km rais wao tu mbili zimefyatuka je magereza yao ipo vp
MaKn sana bro✊🏽✊🏽🔥🔥🔥🔥🔥
P
HARMONIZE ARUDISHA GARI RANGE ZAKE ALIZOMPA KAJALA ABANDUA JINA LA KAJALA👇🏼👇🏼👇🏼
ruclips.net/video/vtCrTsVcEyw/видео.html
#SHARE NA WENGINE 🙏
Africa ndio inatakiwa tuongozwe na mtu kama Kim na putin
Nmeanza kua mfuatiliaji mzuri wa hii makala 💥💥🙂🙂 Bravo 👏
Nakujubali sana kaka
Sns iko juuu kama kilimanjaro
Locked from Kenya nimependa makara kama hizi plz do more research my favorite Media
Have been waiting for this for couple days …. Thanks sky 👊
Hii sauti inafaa sana kwenye simulizi
Ila huyu rais wa korea kaskazin na yule wa Russia n wamba waheshimiwe🙌
Yaani mtu anazaliwa kwenye gereza na yeye anaishi Kama mfungwa! Kosa lake la yeye kuishi Kama mfungwa lilikuwa ni lipi? Ila hiyo story Ni movie kabisa!
we unaitwa nani mchumba
Nenda nawewe ukaone man sihuamin mpaka uone 😂😂😂
Kisanga nikwamba ukiwa kule hutembelewi maana ni.makosa ya.kivita tuu hakuna kuingia hivyo huyo mtoto hangeweza kuruusiwa maana hajui pakwenda hivyo inampasa akae mpaka.mzazi.atoke
Sijawahi kuishi nchi za kipumbavu kama hizo
Magereza hatari yapo kote duniani ila kama huendani na mrengo fulani utaonekana wewe tu ndiyo mbaya
Hawana hofu ya Mungu hao😰
Hawaabudu,,hakuna dini huko
Bravo 👏🏾👏🏾👏🏾
Da kwamala ya kwanza nimekuwa wakwanza ku view video za youtubechanel zenye zaid ya subscribe 1m tz
Pongez
Hi
tupo makini sana
Sns iko juuu kama kilimanjaro
Hiyo ndiyo Korea Kaskazini. Shetani wa dunia.
Nashukuru sana kuzaliwa Tanzania ♥️♥️
Unadhani tz ndio magereza Yao mazuri
@@abdullahaldarae1523hamna anachoelewa siku afanye makosa then aende lupango harafu atuambie
Speechless!
inatisha sana😅😅
namba uno
Tupe mastory kaka sns
Genius
Subhanallah
Kiukwel spend kukoment lkin napenda sana makala yako na sauti yako hongera sana kaka kwa uelewa wako na huyumbi Wala kusitasita katika usimuliz wako ahsante
Djaf
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️🙏.
Guantanamo, mauaji Libya, Afghanistan, Iraq nk
sounds good
Makala zenu zinamvuto.
Hongeren kwa ubunifu
Sky 🌌 walker unatisha sana Big up
Mmmmh😳😳😳
Mungu ni mkubwa!
Kwetu liletwe
Duu kali
wakwanza
Heee!