CAMP 14: GEREZA hatari la KIFO la Korea Kaskazini, MFUNGWA aliyetoroka asimulia mambo ya kutisha

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 сен 2024
  • #Makala360 hii inakupa mkasa wa matukio ya kweli ya kusisimua ya mwanaume pekee na aliye hai mpaka sasa aliyefanikiwa kutoroka katika gereza hili hatari zaidi duniani. Haikuwa rahisi, inatisha na kusisimua. Tega sikio mpaka mwisho kujua mengi kuhusu Camp 14, gereza la kijeshi huko Korea Kaskazini ambalo kwa hakika si mahali salama pa kujikuta ndani yake

Комментарии • 132

  • @ELIZABETH-uz6dv
    @ELIZABETH-uz6dv 3 месяца назад +1

    Hiyo sheria ya Vizazi vitatu nimeipenda ❤❤❤❤❤siku wakimtia mkononi mwao tena sijui ni kitamkuta😥😥😥😥🇨🇳

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky Год назад +5

    Subhanallah Uwiiii 🥺🥺🥺🥺Daa sidhani km atakuja kuwa sawa tena psychology because since amezaliwa.
    SNS big up

  • @jameswisdomtz8580
    @jameswisdomtz8580 Год назад +7

    Makala nzuli sana yenye mafunzo katika maisha ya sasa

  • @tatutumbi4640
    @tatutumbi4640 Год назад +2

    Ahsante kwa makala hii. Duniani kuna mambo ya kutisha. Shukran 🙏

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 Год назад +4

    Sky unajuw mpk unaker 🙏🙏
    Kwa hii makal Safi 360

  • @sandraechiveraya8570
    @sandraechiveraya8570 Год назад +11

    This is awesome sky your gorgeous at this your narrative is ✌️✌️on point

  • @mcno1noah
    @mcno1noah Год назад +4

    Nawakubali Sana sns kwenye makala 360 na hiki ki sound Cha background nimekuelewa Sana makala inakua na laza

  • @abedysteven4930
    @abedysteven4930 Год назад +14

    Braza una saut nzur xana ya kusimulia Hadith love 💕! Gonga like Yako kama unamwelewa hyu broo!!

  • @seffsamwel5649
    @seffsamwel5649 Год назад +1

    Mungu ampe maisha marefu sana ahin❤️🙏🙏🙏

  • @mustafabakari2919
    @mustafabakari2919 Год назад +4

    Nakukubali sana kaka

  • @charlesmugisha6529
    @charlesmugisha6529 Год назад +1

    Mtangazaji nimekukubari uko vizuri kwa sauti yako hongera sana kwa utafiti wako.

  • @lucyjeremia1381
    @lucyjeremia1381 Год назад +8

    Wa kwanza nipeni like 😂😂

  • @fredymushy9674
    @fredymushy9674 Год назад +1

    Hongera sana kaka kwa 360 pamoja

  • @baloziubalozini5074
    @baloziubalozini5074 Год назад +4

    I loooooooov this

  • @muslihelpapel8754
    @muslihelpapel8754 Год назад +4

    Sky walker the TOP engine❤️

  • @strong8534
    @strong8534 Год назад +1

    Thank you Sky

  • @ferouzmasoud3104
    @ferouzmasoud3104 Год назад +4

    Mwamba unajuwa sanaaa

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 Год назад +2

    Duuuh nouma saana 🙌🇶🇦

  • @floraflora5717
    @floraflora5717 Месяц назад

    Asante Mungu kuniumba Tanzania

  • @aminaali792
    @aminaali792 Год назад +1

    Asantee kaka Sky🫶🏼👌🏼

  • @sevystaronedancer1785
    @sevystaronedancer1785 Год назад +1

    Sns bwana sky saut nzuri 👊👊👊👊

  • @goodluckjackson1777
    @goodluckjackson1777 Год назад +3

    SNS on fire 🔥 🔥 🔥

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla6504 Год назад +2

    Daah ila kuna watu wana roho ngumu sana unawasha mkaa kwenye mwili wa binadamu.

  • @belzylucas7275
    @belzylucas7275 Год назад +1

    Sky me napenda sana simulizi zako

  • @aisha_mohammed5825
    @aisha_mohammed5825 Год назад +8

    Love this content ❤️❤️❤️❤️❤️

  • @stanleymartin2943
    @stanleymartin2943 Год назад +3

    Watu wanateseka sana ktk dunia hii sio poa

  • @shoshifataki5825
    @shoshifataki5825 Год назад +1

    mze wewe unaweza sana kaka 👊👊😊

  • @gaspercharles4242
    @gaspercharles4242 Год назад

    Ndiyomaana hata superpower wanamuogopa mtukwaoyuko.nauzalendo Kwenyenchiyake daimambele nyumamwiko.

  • @premier47
    @premier47 Год назад +3

    Siku moja natamani uelezee undan wa dark web nakuomba sana

  • @ajoseph31
    @ajoseph31 Год назад +2

    Hakika tunaishi kwenye nchi yenye amani, na uhuru

  • @braynbreezyoficial666
    @braynbreezyoficial666 Год назад +2

    Iyo makala inata kuendana na mov moja ya kihindi inaitwa deewar ya mze wakaz amithabachan

  • @danielafernado6767
    @danielafernado6767 Год назад

    Waaaaah!! Nsawa

  • @GodfreyRichard-v4f
    @GodfreyRichard-v4f 2 месяца назад

    Sns iko juuu kama kilimanjaro

  • @AbdulSalim-wu8wo
    @AbdulSalim-wu8wo Год назад

    Asante

  • @OmanOman-ry5gw
    @OmanOman-ry5gw Год назад

    Brother ila nin mm hiz za korea kaskazin nisha zirudisha zaid ya mara tano zote mbil zilete nyengin mbon nizur

  • @abuukamugisha5994
    @abuukamugisha5994 Год назад +1

    Duh, vizazi vitatu🤔

  • @sulwajackson6906
    @sulwajackson6906 Год назад

    Nimeogopa sana

  • @hellenrichard187
    @hellenrichard187 Год назад +3

    Mimi na nyie pamoja sana nawapenda

  • @wemakalama6458
    @wemakalama6458 Год назад +1

    Hii media ina madini hadimu ubarikiwe sky walker

  • @mkiawachui6449
    @mkiawachui6449 Год назад

    Sauti nzuri

  • @maila561
    @maila561 Год назад

    let support you bro

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 Год назад +1

    Movie yake inaitwaje?,,mana lazima ishatengenezwa..

  • @salamakombo3257
    @salamakombo3257 Год назад

    Daaah

  • @gynae8407
    @gynae8407 Год назад

    Duh! Huku ni jehanamu kabisa

  • @HuzzeinMohammed
    @HuzzeinMohammed Год назад

    Mbona america hawaongelei guantanamo bay

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 11 месяцев назад

    ❤❤❤❤❤❤

  • @mugishaalida5580
    @mugishaalida5580 Год назад

    hiyi inchi kwanini isikombolewe hata kivita kwakuwaokoa watu na maisha hayo 🤔🙏

    • @alexjohn7361
      @alexjohn7361 6 месяцев назад

      Hizi zingine ni perception tu juu ya wananchi na nchi hizo kwakuwa taarifa zake nyingi hatuna na inapelekea tuletewe propaganda tu na maadui wake. Mfano usema masai anateseka kuishi polini na ng'ombe ilihali kwao ni fresh tuu na wanatuona sie hamnazo kwa lifestyle tunayoishi

  • @aishamatangamatangamatanga1344
    @aishamatangamatangamatanga1344 Год назад +4

    Nipo nakufatilia

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr Год назад

    Unamzaa mtoto jail,,anafanya ndio iwe sababu ya mama kuuliwa,,duh

  • @jaymbawal249
    @jaymbawal249 Год назад

    Ñàķùbãľ bľøøď 🔥🔥🔥🔥una jua sn

  • @chi12547
    @chi12547 Год назад

    Sahii ukifunguwa mipaka ya North Korea, within 1 month only, nnchi itabaki bilA watua, watatoroka wote

  • @MarthaGirgis-yi6zy
    @MarthaGirgis-yi6zy Год назад

    Mmh kosa la mzazi linamtesa mtoto daaah hyo ndo Korea ban

  • @stanleyjohn1361
    @stanleyjohn1361 Год назад +1

    Wewe unajua japo muda umekuwa mfupi naomba tueleezee siku ya kifo cha na hisia kwamba unakufa sasa

    • @ummyomary3423
      @ummyomary3423 Год назад

      😅😅😅😅mimi nitakuelezea tu ukishaamuona mwamba islael ujue umelala yoooo 😂😂

  • @bonfacemarube6196
    @bonfacemarube6196 Год назад

    Wanyama si wale walioko porini pekee, waliovaa suti ni hatari zaidi

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 Год назад

    Mung wang family tena kwaoniyama chura

  • @amanimyolo1478
    @amanimyolo1478 Год назад

    Nihao ciao

  • @brownie_dee8655
    @brownie_dee8655 Год назад

    Naomba kuuliza hasa yy c mwanaharakat anafanya kazi ya kutetea haki za binadamu?sasa anawezaje kufanikisha hilo wakat rahisi wao ndo muhusika mkubwa wa roho mby?

  • @abdalahabdalah7853
    @abdalahabdalah7853 Год назад

    Korea wako seriouz na maisha, hawawezi kufanywa watumwa wa kudumu na wamarekani

  • @butondodavid2105
    @butondodavid2105 Год назад

    Mwamba sns

  • @majijimikomaga1368
    @majijimikomaga1368 Год назад

    Kwa Hulka za CCM na Viongozi wa Jana na leo, Tanzania ya CCM na Magerezani tyake, hali halisi imekaribia na kuwa Korea Kaskazini...

  • @maila561
    @maila561 Год назад +1

    yaani kwamfano ningekuwa raisi wa Tanzania chakwanza ningejenga gereza ambalo wale wanao ua wenzao au kubaka au kula rushwa ndio ingekuwa gereza lao niamini wangeingia humo yaan ukitoka hutoweza kurudia kabisaaa😅😅😅

  • @annaphilemon852
    @annaphilemon852 Год назад

    Km rais wao tu mbili zimefyatuka je magereza yao ipo vp

  • @Gody360
    @Gody360 Год назад

    MaKn sana bro✊🏽✊🏽🔥🔥🔥🔥🔥

  • @josephkate3664
    @josephkate3664 Год назад

    P

  • @chidymedia7051
    @chidymedia7051 Год назад

    HARMONIZE ARUDISHA GARI RANGE ZAKE ALIZOMPA KAJALA ABANDUA JINA LA KAJALA👇🏼👇🏼👇🏼
    ruclips.net/video/vtCrTsVcEyw/видео.html
    #SHARE NA WENGINE 🙏

  • @VedastoKeya-vt8pf
    @VedastoKeya-vt8pf 6 месяцев назад

    Africa ndio inatakiwa tuongozwe na mtu kama Kim na putin

  • @gastonamnon7005
    @gastonamnon7005 Год назад +10

    Nmeanza kua mfuatiliaji mzuri wa hii makala 💥💥🙂🙂 Bravo 👏

  • @mustafabakari2919
    @mustafabakari2919 Год назад +1

    Nakujubali sana kaka

  • @GodfreyRichard-v4f
    @GodfreyRichard-v4f 2 месяца назад

    Sns iko juuu kama kilimanjaro

  • @Arrestgptucomedy
    @Arrestgptucomedy Год назад +5

    Locked from Kenya nimependa makara kama hizi plz do more research my favorite Media

  • @Dreamtech.24
    @Dreamtech.24 Год назад +7

    Have been waiting for this for couple days …. Thanks sky 👊

  • @valentinernestkavishe7297
    @valentinernestkavishe7297 Год назад +6

    Hii sauti inafaa sana kwenye simulizi

  • @GiftAbduly
    @GiftAbduly Год назад +2

    Ila huyu rais wa korea kaskazin na yule wa Russia n wamba waheshimiwe🙌

  • @georgeburchard4872
    @georgeburchard4872 Год назад +8

    Yaani mtu anazaliwa kwenye gereza na yeye anaishi Kama mfungwa! Kosa lake la yeye kuishi Kama mfungwa lilikuwa ni lipi? Ila hiyo story Ni movie kabisa!

    • @piusisisto5857
      @piusisisto5857 Год назад +1

      we unaitwa nani mchumba

    • @AlexanderJonathan-r7i
      @AlexanderJonathan-r7i 11 месяцев назад

      Nenda nawewe ukaone man sihuamin mpaka uone 😂😂😂

    • @omaryjudasymwanga7172
      @omaryjudasymwanga7172 6 месяцев назад

      Kisanga nikwamba ukiwa kule hutembelewi maana ni.makosa ya.kivita tuu hakuna kuingia hivyo huyo mtoto hangeweza kuruusiwa maana hajui pakwenda hivyo inampasa akae mpaka.mzazi.atoke

    • @MuhemeliNyogwa
      @MuhemeliNyogwa 5 месяцев назад

      Sijawahi kuishi nchi za kipumbavu kama hizo

  • @AdamHamis-s2o
    @AdamHamis-s2o 8 месяцев назад

    Magereza hatari yapo kote duniani ila kama huendani na mrengo fulani utaonekana wewe tu ndiyo mbaya

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 Год назад +4

    Hawana hofu ya Mungu hao😰

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr Год назад

      Hawaabudu,,hakuna dini huko

  • @Jay47tz
    @Jay47tz Год назад +3

    Bravo 👏🏾👏🏾👏🏾

  • @fml1804
    @fml1804 Год назад +5

    Da kwamala ya kwanza nimekuwa wakwanza ku view video za youtubechanel zenye zaid ya subscribe 1m tz

  • @chefdrew4760
    @chefdrew4760 Год назад +2

    tupo makini sana

  • @GodfreyRichard-v4f
    @GodfreyRichard-v4f 2 месяца назад

    Sns iko juuu kama kilimanjaro

  • @godwinmbwambo3316
    @godwinmbwambo3316 Год назад +1

    Hiyo ndiyo Korea Kaskazini. Shetani wa dunia.

  • @zainabumnamba8526
    @zainabumnamba8526 Год назад +3

    Nashukuru sana kuzaliwa Tanzania ♥️♥️

    • @abdullahaldarae1523
      @abdullahaldarae1523 Год назад +1

      Unadhani tz ndio magereza Yao mazuri

    • @stanslausmteme8455
      @stanslausmteme8455 9 месяцев назад

      ​@@abdullahaldarae1523hamna anachoelewa siku afanye makosa then aende lupango harafu atuambie

  • @josephk90
    @josephk90 Год назад +3

    Speechless!

  • @patrickkwibe4431
    @patrickkwibe4431 10 месяцев назад

    inatisha sana😅😅

  • @rgmoussa
    @rgmoussa Год назад +2

    namba uno

  • @seffsamwel5649
    @seffsamwel5649 Год назад +1

    Tupe mastory kaka sns

  • @abdulrazack9577
    @abdulrazack9577 3 месяца назад

    Genius

  • @sharifahabsi5004
    @sharifahabsi5004 Год назад +1

    Subhanallah

  • @IdrisaMussa-sm6tb
    @IdrisaMussa-sm6tb Год назад

    Kiukwel spend kukoment lkin napenda sana makala yako na sauti yako hongera sana kaka kwa uelewa wako na huyumbi Wala kusitasita katika usimuliz wako ahsante

  • @BahatBahat-o3q
    @BahatBahat-o3q Год назад

    Djaf

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Год назад +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️🙏.

  • @mbogolokushaha7782
    @mbogolokushaha7782 Год назад

    Guantanamo, mauaji Libya, Afghanistan, Iraq nk

  • @mwajumabinwa604
    @mwajumabinwa604 Год назад +1

    sounds good

  • @aderiderkihupi7240
    @aderiderkihupi7240 Год назад

    Makala zenu zinamvuto.
    Hongeren kwa ubunifu

  • @LAUWONICHOLAUS
    @LAUWONICHOLAUS Год назад

    Sky 🌌 walker unatisha sana Big up

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Год назад

    Mmmmh😳😳😳

  • @sidrasidra8616
    @sidrasidra8616 Год назад +1

    Mungu ni mkubwa!

  • @saidemuamedeali2678
    @saidemuamedeali2678 Год назад

    Duu kali

  • @rgmoussa
    @rgmoussa Год назад

    wakwanza

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Год назад

    Heee!