KANALI MUAMMAR GADDAFI: Mwisho wa MAISHA yake UNAOSIKITISHA: Haya ndio Usiyoyajua

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 сен 2024
  • Makala hii kwa inakupa historia fupi ya maisha Kanali Mummar Gaddafi na sababu muhimu ambazo zilipelekea na kuchochea chuki kati yake na Mataifa mengine makubwa duniani, na pengine aina ya uongozi wake, mitazamo na falsafa ilipelekea maswali kwa wale waliompinga na kuonekana kama ni ukatili na unyonyaji kwao, hivyo kupelekea maandamano ya vita kali yaliyotapakaa nchi nzima.
    ENDELEA..

Комментарии • 107

  • @kiningashukran5177
    @kiningashukran5177 2 года назад +14

    Naumiya mnoo hadi namkumbuka Mugufuli

  • @سليمانالبرعي-ي5ش
    @سليمانالبرعي-ي5ش 9 месяцев назад +2

    الله يرحمك برحمته يارب تقبل دعائي له ولامواتنا معه يارب بحق ذكر محمد فى كل يوم الف

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 2 года назад +6

    Classic, uninterrupted, 100% legit news= SnS. My number 1 news. Love from Minnesota die hard fan❤️❤️❤️

  • @munam7104
    @munam7104 Год назад +2

    Hapa nilipo machozi yana nimiminika asante kwa habari nzuri huyu jamaa alikua comred bwana walikua wakimuita mwenda wazimu lakini saa hii ndio wajua wamepoteza kiongozi shujaa mwezi mungu amuke pema penye wema ameen yarabby

  • @maestro1902
    @maestro1902 Год назад +1

    Furahaa ikipitiliza hiichii ndo Huwa ndo kinatokeaga RIP legend, fighter , Hero , Frontline commander RIP GADDAFI 🙏🏿

  • @hassanihussein4479
    @hassanihussein4479 Год назад +5

    Gaddafi watoto wake wa kiume wote walikufa kabaki mtoto wake wa kike anaishi Oman ana wajikuu zake 4 wadogo moja ya wa jukuuu zake kachukua jina la baba ake anaitwa Muumar hawo watoto popote wanapo enda lazima kutakuwa na polisi wakiwa wamevaa kiraia na wanaishi sehemu za watu wakubwa hata Bakhresa na Asas wana nyumba zao ktk hy sehem

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 2 года назад +19

    Kwa sisi tunaishi njee Ya africa ndio tunajuwa uchungu wa hio story.
    Yani kiongozi ukitumikia taifa lako na ukawapa kisogo kina Cheupe basi jua kifo chako kipo njiani.

  • @jaymandy8136
    @jaymandy8136 2 года назад +6

    Never know what you got till it's gone.

  • @babamarkom9881
    @babamarkom9881 2 года назад +3

    skay nakubali sana kazi yako wejamaa noma sana

  • @surujajwie4768
    @surujajwie4768 2 года назад +4

    inna illah waina illah rajiun Allah rehemakallh 😢

  • @MaulidRajabu-nn1xn
    @MaulidRajabu-nn1xn 5 месяцев назад

    Pole sana kiongozi we2 wa Africa baba wa Africa 🌍 ha2tokusahau kamwe wala kiya2 chako hakuna m2 kitakacho mfaa kamwe mungu akulaze pahali pema amin🤲🏽🤲🏽🤲🏽

  • @BradOfficial-gf1fb
    @BradOfficial-gf1fb 4 месяца назад

    Nmezfatilia sana historia za muamar Gaddafi kwamaelezo nmegundua mazuri ya Gaddafi n machache mabaya yake ndo yamekua mengi sana ndio maana alchukiwa na nch nzma
    Mfano alzuia mikutano ya kisiasa,ukimpnga unauwawa au kupotelea kuckojulikana hakuwagea uhuru wananchi wake ingawa aliwapa each and every thing
    #tujfunzeviongoziwatanzania

  • @shahakasimu9855
    @shahakasimu9855 2 года назад +5

    yani Africa inashida sana 😥

  • @thegreat.9869
    @thegreat.9869 Год назад +2

    Hii dhambi ya kumuua huyu mwamba itazidi kututafuna daima.

  • @rashidtwaha7699
    @rashidtwaha7699 2 года назад +6

    Waafrica tunachonganishwa wenyew na kuuwana wenyew... Leo hii Libya mko wap

  • @FadhilaJuvenari
    @FadhilaJuvenari 2 месяца назад

    Alimulilia mungu kamulipia mpaka wajute wakoswa fadhila ao

  • @zclassicfashionz
    @zclassicfashionz 2 года назад +1

    Iliniuma sana...

  • @ZuberHamisi-w3g
    @ZuberHamisi-w3g 6 месяцев назад

    Hatokeiekamagadaf libiya mugu awalanimpaka kiamawalokatishamaisha yagadaf amin

  • @YaaMnyad
    @YaaMnyad Год назад +1

    Huyu alikuwa kiongozi wakuigwa hapa Africa,,,,,,

  • @abuusufian6506
    @abuusufian6506 2 года назад +1

    💔💔💔 walibya walibya walibya 💔💔💔

  • @fredrickfilbert3922
    @fredrickfilbert3922 2 года назад +2

    Huu ni mwendelezo wa udikteta wa wazungu dhidi ya Mataifa ya Afrika. Demokrasia ni mfumo mbovu kabisa

  • @aziza9093
    @aziza9093 4 месяца назад

    ❤❤❤

  • @petermshali5157
    @petermshali5157 Год назад

    Wa Libya wanajuta na watajuta kumuua Gaddafi

  • @saadaamous4362
    @saadaamous4362 Год назад +1

    Walibya watakukumbuka maisha yao

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel Год назад

    So sad

  • @khamis9187
    @khamis9187 Месяц назад

    Chamtema kuni wanakiona wana Libya now
    ..

  • @shuzashadyproduction8438
    @shuzashadyproduction8438 2 года назад +1

    Majarida Yatamuandika Sana Huyu Mwamba🤲

  • @peninacharles9757
    @peninacharles9757 2 года назад +1

    MAREKANI Ndio walio Muua✍️✍️

  • @nassirjuma6308
    @nassirjuma6308 2 года назад

    Daaaah

  • @lilpumpvideo4214
    @lilpumpvideo4214 2 года назад +1

    I love you so much sns

  • @kaizamandike8771
    @kaizamandike8771 2 года назад

    Walibya Walibya 😥😥😥

  • @kiningashukran5177
    @kiningashukran5177 2 года назад +2

    😭😭😭😭😭😭😭

  • @MaulidRajabu-nn1xn
    @MaulidRajabu-nn1xn 5 месяцев назад

    😭😭😭😪

  • @mwembehashiru8982
    @mwembehashiru8982 10 месяцев назад

    Tutamkumbuka mwamba huyu wa Afrika Raise wa kipekee.

  • @khurlainashly5686
    @khurlainashly5686 Год назад

    Ao ndio binadamu atukumbukagi mazuri 😮hua tunakumbuka mabayatu😏

  • @masesamasesa1844
    @masesamasesa1844 Год назад

    Pumzika aman babu yangu tunajifunza mazuri ulioacha

  • @wilbroadgrarcian1259
    @wilbroadgrarcian1259 2 года назад

    Muammar Gaddafi

  • @Gsamir694
    @Gsamir694 19 дней назад

    Wazungu watu wabaya

  • @Elihosea
    @Elihosea 4 месяца назад

    Africa bado tuna tanatawaliwa kingozi ikiwa mzulitu wanamuwa

  • @gayanimwansasu
    @gayanimwansasu Год назад

    Acha wafe tena waishe kizazi cha kinafki ndio wanaona isha wao na watoto zao

  • @aliabdallah8456
    @aliabdallah8456 5 месяцев назад

    Mimi mtazamo wangu watu wa walibya Mungu awalani sana kwa kudanganywa mataifa ya njee na kumuua mzee wetu Gadaffi na kumuanika adharani kila mtu amuone hiyo itakuwa laana kwa kizazi hadi kizazi na tabia ya waarabu kudangawya tu na wazungu ujue watakuua hata Sadam Husseni ni hivyo warabu wanalana kama hivi sasa wapalestina wanauwawa wao hata kukemea wapo kinywa tu ni hirani peke yake Saudia kama nyumbu akiliwa na simba wanaangalia tu ndiyo Saudia

  • @mbembelatv
    @mbembelatv 2 года назад

    😭

  • @zabibuamissi1141
    @zabibuamissi1141 2 года назад

    Adi leo Libya ahijakuwaga na amani

    • @erickswai698
      @erickswai698 2 года назад

      Ila kuna demokrasia ukilinganisha na NATO wanavyoona saiv

  • @jamesvmusic2677
    @jamesvmusic2677 2 года назад

    Safi

  • @tatujuma8781
    @tatujuma8781 Год назад

    Ivi wanakufa baharini kukimbilia ulaya

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf4429 2 года назад

    Huyu kama jpm angetokea kuwa hivyo

  • @issaissah8832
    @issaissah8832 2 года назад +1

    Wazungu ni watu wa baya Sanaa wamesha I chafua libia na Sasa wao wamekaa pembeni daaah

  • @mkarawizemtasher4897
    @mkarawizemtasher4897 2 года назад

    Sns tunaomba utuletee story ya ol' dirty bastard au (ODB)

    • @tabuabdallah7980
      @tabuabdallah7980 Год назад

      Huyu alikuwa mwamba wallah dam yake ilomwagika kwenye hiyo arzi itawalilia usiku na mchana ona wanvyo teseka kwa sasa

  • @peterngigi734
    @peterngigi734 2 года назад

    That's a dictator

    • @mkwavi
      @mkwavi Год назад

      Sawa sasa hivi kuna Demokrasia ipi Thamani ya Demokrasia,,,, hapo nchi haikaliki kula na kulala shida ndiyo thamani ya demokrasia hiyo,,,?

    • @Qqambaa
      @Qqambaa Год назад

      @@mkwavi nakubaliana nawe bro

  • @SWAHILINATION
    @SWAHILINATION 2 года назад +7

    Until when are we gonna let them take down our leaders? Africa for Africans. It’s time for Africa to unite and defend our beautiful continent. Thank you Sky for this

  • @eddy4998
    @eddy4998 2 года назад +10

    Dahhh Yani hakuna watu walio feli ktk hii dunia kama Libya maskini Sasa hivi wanajuta maisha yamekuwa magumu acha wavune walicho kipanda

    • @ilovejesus9303
      @ilovejesus9303 2 года назад +5

      Kweli nyani haoni Kundule. Mbona haina tofauti na kinacho endelea home. Magufuli alikuwa Gaddafi wetu ba alitaka watanzania tuwe na hayo maisha ya raha. Tukamuuwa, tumebaki tunatapatapa. Waulize machinga wakueleze mateso wanavyo pitia, masikini wanavyo nyanyasika na ufisadi ulivyo rudi😭😢

    • @damariszuckschwert9489
      @damariszuckschwert9489 2 года назад

      @@ilovejesus9303 😭😭😭😭

    • @youngpaincompany1440
      @youngpaincompany1440 Год назад

      @@ilovejesus9303 magu akulipa wasio na ajira bana 😂😂

    • @mkwavi
      @mkwavi Год назад

      ​@@youngpaincompany1440Of course but nchi ilifika mahali ambapo hatutegemea,,,,!

  • @levienlevismmbenga2415
    @levienlevismmbenga2415 2 года назад +6

    Tunapenda sana sky vipi kuhusu vihongozi wa congo 🇨🇩 tuwekeye history yote katika simulizi na sauti

  • @erickswai698
    @erickswai698 2 года назад +2

    Ukwel unabaki kwamba Rais katika nchi ni kivuli cha watu wenye pesa nyingi wanaotaka kuongoza watu jins wanavyotaka

  • @dulaabdallarashid
    @dulaabdallarashid 2 года назад +4

    gadafication of africa rest in peace our hero

  • @TatuMuanda-ub7ud
    @TatuMuanda-ub7ud Год назад +2

    Mimi nirimkubari Sana Gaddafi arikua kiongozi mzuri

  • @edithakimuna8701
    @edithakimuna8701 2 года назад +2

    nmekumbuk wale walinz wake wale wadada wachokoze utajua huwajui😂

  • @SalehKhamic
    @SalehKhamic 7 месяцев назад +1

    Unajua sana fredi bundala unajua kutangaza unasauti bora ya kutangaza asante sana naburudika nikikuskia

  • @aliabdallah8456
    @aliabdallah8456 5 месяцев назад

    Kwanza Walibya wameyata wenyewe angalia wanavyokufa na majaazi ndani ya maji kwa kukimbia nchi yao inatakiwa waachiwe wafe kwa sababu niwajinga wakuyupwa

  • @aminamikidadi7754
    @aminamikidadi7754 2 года назад +3

    Inalillaih wainaillaih rajiuun ...

  • @gynae8407
    @gynae8407 2 года назад +6

    Hm! Hua sipendi kusikia habari ya Col. Kwani inaniuma kila nikisikia hii kumuhusu huyu mwamba wa Africa. Leo JPM tumepigwa machinga ni mashahidi.

  • @andulilemwakihabha2048
    @andulilemwakihabha2048 2 года назад +5

    Wa Libya laana itawatafuna maisha Yao yote 😭😭😥

  • @yahayaannu3663
    @yahayaannu3663 2 месяца назад

    USA ni laana hpa dunian

  • @jut1161
    @jut1161 2 года назад +1

    Sasa hivi wazungu Wana eba mafuta tu

  • @kevinmwamba1009
    @kevinmwamba1009 2 года назад +6

    I was waiting for this. GADDAFI WILL ALWAYS BE REMEMBERED

  • @abuunyalioto1752
    @abuunyalioto1752 2 года назад +1

    Jamaa nakufatilia sana na huwaga ukeseagi kabisa sky

  • @yusuphmakangemakange4474
    @yusuphmakangemakange4474 Год назад

    Ndy ivyo wamarekani wakija Africa tuna watetemekea kama wafalum ila kiukwely awana msada wowote kwetu ss ivyo viongoz wetu wa tz wana chakujifuz sio tujiachie sio kila ushauri wanao toa wa marekan tunatekekez

  • @KihangoIsmail-qn2uh
    @KihangoIsmail-qn2uh Год назад

    Nadiliki kusema kwa uchungu hasa kwa sisi huku afrika tusiwasikitikie walibya kwa sababu walibya wamelaania naukiwaonea na wewe unapata laana kutoka kwa mungu

  • @sammysammy2001
    @sammysammy2001 Год назад

    Agalia sahii lana zina wapiga walio mtesa🎉🎉🎉nalia maana sipoa walivyo muuwa

  • @assanibutoto9208
    @assanibutoto9208 Год назад

    Gaddafi angelikuwa hadi leo kama ni raisi wa afrika nzima

  • @hellenrichard187
    @hellenrichard187 Год назад

    Uko vizuri bro

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 года назад

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌

  • @edithakimuna8701
    @edithakimuna8701 2 года назад

    😭

  • @ommydia2734
    @ommydia2734 2 года назад

    🥺🥺🥺😭😭😭

  • @imaralu9680
    @imaralu9680 2 года назад

    😭

  • @jemedarikalimasi5754
    @jemedarikalimasi5754 2 года назад +1

    We we mtangazaji mjinga sana sijui ulisoma wapi nashangaa unasema toka mapinduzi yafanyike Libya kupo shwari, wakati toka Gaddafi afe maovu yote yapo Libya, ikiwemo njaa, vita, magongwa na makundi ya kigaidi yamejaa Libya, Mimi nakushangaa.

    • @mkwavi
      @mkwavi Год назад

      Amesema Amani kidogo sana baadhi ya maeneo kijumla alicho maanisha hakuna rudia tena kuangalia.

  • @bish_daddiyao
    @bish_daddiyao 2 года назад +2

    #GADAFFI💪🏾🙌🏽

  • @asddsa5076
    @asddsa5076 Год назад

    Maisha ya kipindi ca kadafi inchini Libya Hayajawahi kutokea inchi yoyote duniani WATU wakiwa na neema Hawaiyoni 🤦🏽‍♂️

  • @ibrahimkasim922
    @ibrahimkasim922 Год назад

    Wew pekee ndo unaejua vyem chanel hii wengin utopolo tu coz naon kuna saut zingine zinakimbia kama gali

  • @hamidudigogo5863
    @hamidudigogo5863 Год назад

    NA laana hii itawaumiza mbaka dunia itaisha

  • @freddybaziraomari
    @freddybaziraomari 2 года назад

    😭😭