KANALI MUAMMAR GADDAFI: Mwisho wa MAISHA yake UNAOSIKITISHA: Haya ndio Usiyoyajua
HTML-код
- Опубликовано: 28 сен 2024
- Makala hii kwa inakupa historia fupi ya maisha Kanali Mummar Gaddafi na sababu muhimu ambazo zilipelekea na kuchochea chuki kati yake na Mataifa mengine makubwa duniani, na pengine aina ya uongozi wake, mitazamo na falsafa ilipelekea maswali kwa wale waliompinga na kuonekana kama ni ukatili na unyonyaji kwao, hivyo kupelekea maandamano ya vita kali yaliyotapakaa nchi nzima.
ENDELEA..
Naumiya mnoo hadi namkumbuka Mugufuli
الله يرحمك برحمته يارب تقبل دعائي له ولامواتنا معه يارب بحق ذكر محمد فى كل يوم الف
Classic, uninterrupted, 100% legit news= SnS. My number 1 news. Love from Minnesota die hard fan❤️❤️❤️
Hapa nilipo machozi yana nimiminika asante kwa habari nzuri huyu jamaa alikua comred bwana walikua wakimuita mwenda wazimu lakini saa hii ndio wajua wamepoteza kiongozi shujaa mwezi mungu amuke pema penye wema ameen yarabby
Furahaa ikipitiliza hiichii ndo Huwa ndo kinatokeaga RIP legend, fighter , Hero , Frontline commander RIP GADDAFI 🙏🏿
Gaddafi watoto wake wa kiume wote walikufa kabaki mtoto wake wa kike anaishi Oman ana wajikuu zake 4 wadogo moja ya wa jukuuu zake kachukua jina la baba ake anaitwa Muumar hawo watoto popote wanapo enda lazima kutakuwa na polisi wakiwa wamevaa kiraia na wanaishi sehemu za watu wakubwa hata Bakhresa na Asas wana nyumba zao ktk hy sehem
Kwa sisi tunaishi njee Ya africa ndio tunajuwa uchungu wa hio story.
Yani kiongozi ukitumikia taifa lako na ukawapa kisogo kina Cheupe basi jua kifo chako kipo njiani.
Never know what you got till it's gone.
skay nakubali sana kazi yako wejamaa noma sana
inna illah waina illah rajiun Allah rehemakallh 😢
Pole sana kiongozi we2 wa Africa baba wa Africa 🌍 ha2tokusahau kamwe wala kiya2 chako hakuna m2 kitakacho mfaa kamwe mungu akulaze pahali pema amin🤲🏽🤲🏽🤲🏽
Nmezfatilia sana historia za muamar Gaddafi kwamaelezo nmegundua mazuri ya Gaddafi n machache mabaya yake ndo yamekua mengi sana ndio maana alchukiwa na nch nzma
Mfano alzuia mikutano ya kisiasa,ukimpnga unauwawa au kupotelea kuckojulikana hakuwagea uhuru wananchi wake ingawa aliwapa each and every thing
#tujfunzeviongoziwatanzania
yani Africa inashida sana 😥
Hii dhambi ya kumuua huyu mwamba itazidi kututafuna daima.
Waafrica tunachonganishwa wenyew na kuuwana wenyew... Leo hii Libya mko wap
Alimulilia mungu kamulipia mpaka wajute wakoswa fadhila ao
Iliniuma sana...
Hatokeiekamagadaf libiya mugu awalanimpaka kiamawalokatishamaisha yagadaf amin
Huyu alikuwa kiongozi wakuigwa hapa Africa,,,,,,
💔💔💔 walibya walibya walibya 💔💔💔
wanateseka hao ckuhizi balaa
Huu ni mwendelezo wa udikteta wa wazungu dhidi ya Mataifa ya Afrika. Demokrasia ni mfumo mbovu kabisa
❤❤❤
Wa Libya wanajuta na watajuta kumuua Gaddafi
Walibya watakukumbuka maisha yao
So sad
Chamtema kuni wanakiona wana Libya now
..
Majarida Yatamuandika Sana Huyu Mwamba🤲
Kabisa
late
MAREKANI Ndio walio Muua✍️✍️
Obama ndiye aliyemuua
Daaaah
I love you so much sns
Thank you fam
Walibya Walibya 😥😥😥
😭😭😭😭😭😭😭
😭😭😭😪
Tutamkumbuka mwamba huyu wa Afrika Raise wa kipekee.
Ao ndio binadamu atukumbukagi mazuri 😮hua tunakumbuka mabayatu😏
Pumzika aman babu yangu tunajifunza mazuri ulioacha
Muammar Gaddafi
Wazungu watu wabaya
Africa bado tuna tanatawaliwa kingozi ikiwa mzulitu wanamuwa
Acha wafe tena waishe kizazi cha kinafki ndio wanaona isha wao na watoto zao
Mimi mtazamo wangu watu wa walibya Mungu awalani sana kwa kudanganywa mataifa ya njee na kumuua mzee wetu Gadaffi na kumuanika adharani kila mtu amuone hiyo itakuwa laana kwa kizazi hadi kizazi na tabia ya waarabu kudangawya tu na wazungu ujue watakuua hata Sadam Husseni ni hivyo warabu wanalana kama hivi sasa wapalestina wanauwawa wao hata kukemea wapo kinywa tu ni hirani peke yake Saudia kama nyumbu akiliwa na simba wanaangalia tu ndiyo Saudia
😭
Adi leo Libya ahijakuwaga na amani
Ila kuna demokrasia ukilinganisha na NATO wanavyoona saiv
Safi
Ivi wanakufa baharini kukimbilia ulaya
Huyu kama jpm angetokea kuwa hivyo
Wazungu ni watu wa baya Sanaa wamesha I chafua libia na Sasa wao wamekaa pembeni daaah
Wapiii walikuja kummaliza jpm
Sns tunaomba utuletee story ya ol' dirty bastard au (ODB)
Huyu alikuwa mwamba wallah dam yake ilomwagika kwenye hiyo arzi itawalilia usiku na mchana ona wanvyo teseka kwa sasa
That's a dictator
Sawa sasa hivi kuna Demokrasia ipi Thamani ya Demokrasia,,,, hapo nchi haikaliki kula na kulala shida ndiyo thamani ya demokrasia hiyo,,,?
@@mkwavi nakubaliana nawe bro
Until when are we gonna let them take down our leaders? Africa for Africans. It’s time for Africa to unite and defend our beautiful continent. Thank you Sky for this
Dahhh Yani hakuna watu walio feli ktk hii dunia kama Libya maskini Sasa hivi wanajuta maisha yamekuwa magumu acha wavune walicho kipanda
Kweli nyani haoni Kundule. Mbona haina tofauti na kinacho endelea home. Magufuli alikuwa Gaddafi wetu ba alitaka watanzania tuwe na hayo maisha ya raha. Tukamuuwa, tumebaki tunatapatapa. Waulize machinga wakueleze mateso wanavyo pitia, masikini wanavyo nyanyasika na ufisadi ulivyo rudi😭😢
@@ilovejesus9303 😭😭😭😭
@@ilovejesus9303 magu akulipa wasio na ajira bana 😂😂
@@youngpaincompany1440Of course but nchi ilifika mahali ambapo hatutegemea,,,,!
Tunapenda sana sky vipi kuhusu vihongozi wa congo 🇨🇩 tuwekeye history yote katika simulizi na sauti
Ukwel unabaki kwamba Rais katika nchi ni kivuli cha watu wenye pesa nyingi wanaotaka kuongoza watu jins wanavyotaka
gadafication of africa rest in peace our hero
Mimi nirimkubari Sana Gaddafi arikua kiongozi mzuri
nmekumbuk wale walinz wake wale wadada wachokoze utajua huwajui😂
Unajua sana fredi bundala unajua kutangaza unasauti bora ya kutangaza asante sana naburudika nikikuskia
Kwanza Walibya wameyata wenyewe angalia wanavyokufa na majaazi ndani ya maji kwa kukimbia nchi yao inatakiwa waachiwe wafe kwa sababu niwajinga wakuyupwa
Inalillaih wainaillaih rajiuun ...
Hm! Hua sipendi kusikia habari ya Col. Kwani inaniuma kila nikisikia hii kumuhusu huyu mwamba wa Africa. Leo JPM tumepigwa machinga ni mashahidi.
Wa Libya laana itawatafuna maisha Yao yote 😭😭😥
Wazungu sio watu ni wanyama,
Mbna uongelei ya kwenu magufur yuko wap
@@teulechristopher3934 😭
@@teulechristopher3934 maguful cku yake ilfka hakuuawa
wana laana mpaka kiama
USA ni laana hpa dunian
Sasa hivi wazungu Wana eba mafuta tu
I was waiting for this. GADDAFI WILL ALWAYS BE REMEMBERED
Jamaa nakufatilia sana na huwaga ukeseagi kabisa sky
Ndy ivyo wamarekani wakija Africa tuna watetemekea kama wafalum ila kiukwely awana msada wowote kwetu ss ivyo viongoz wetu wa tz wana chakujifuz sio tujiachie sio kila ushauri wanao toa wa marekan tunatekekez
Nadiliki kusema kwa uchungu hasa kwa sisi huku afrika tusiwasikitikie walibya kwa sababu walibya wamelaania naukiwaonea na wewe unapata laana kutoka kwa mungu
Agalia sahii lana zina wapiga walio mtesa🎉🎉🎉nalia maana sipoa walivyo muuwa
Gaddafi angelikuwa hadi leo kama ni raisi wa afrika nzima
Uko vizuri bro
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌
😭
🥺🥺🥺😭😭😭
😭
We we mtangazaji mjinga sana sijui ulisoma wapi nashangaa unasema toka mapinduzi yafanyike Libya kupo shwari, wakati toka Gaddafi afe maovu yote yapo Libya, ikiwemo njaa, vita, magongwa na makundi ya kigaidi yamejaa Libya, Mimi nakushangaa.
Amesema Amani kidogo sana baadhi ya maeneo kijumla alicho maanisha hakuna rudia tena kuangalia.
#GADAFFI💪🏾🙌🏽
Maisha ya kipindi ca kadafi inchini Libya Hayajawahi kutokea inchi yoyote duniani WATU wakiwa na neema Hawaiyoni 🤦🏽♂️
Wew pekee ndo unaejua vyem chanel hii wengin utopolo tu coz naon kuna saut zingine zinakimbia kama gali
NA laana hii itawaumiza mbaka dunia itaisha
😭😭