God bless you..! Stori kama hizi zinatujenga ki imani. Kam wakristo wenzetu walipitia mateso makubwa namna hiyo na wakaweza kustahimili sisi wakristo wa nyakati hizi hatuna cha kusingizia. hii neema tuliyopewa na Mungu tusipoitumia vizuri tuna cha kujibu siku ya hukumu.
Kwa kipindi hiki cha utandawazi hakuna mtu wakukuzui kuimani. Lakini kwa kipindi hiki, dunia imetekwa na shetani vibaya sana. Na ni vigumu kuliona hilo. Je umeshajiuliza hii dunia ingekuwa na ushabiki Mkubwa wa masuala ya soka kuliko kwenda kanisani kumwabudu Mungu? Dunia ya leo imetekwa na anasa kuliko kumwabudu mungu. Tuma uhuru wa kuabudi lakini tumeendelea kuwa mbali zaidi na Mungu. Tumetekwa na anasa za kila aina. Starehe. Masuala ya familia. mitandao n.k.. TAFAKARI
Woow safi sana kaka Sky, Yani hapa ume wafanya walio wengi wanao amini habari ya Yesu na wokovu ni Mambo ya kuaminika tu, Sasa waanze kuamini zaidi kupitia story kama hizi ambazo ni tofaut kabisa na Biblie, Kwakweli Hongeren sana #SimulizinaSauti# tuko pamoja sanaa 💪
Kiponya anaeponya ni mungu sio nabii nabii hua anaomba mungu ndo anaponya huko kuponya kama ndio utume bas waganganao ni mitume jamanii miujiza hata shetani anawezafanya
@@mustafamsatimuhenga253 hiyo ya waganga sio miujiza, miujiza hutufanya tumpende Mungu bila mipaka, ni Yesu peke yake kupitia watumish wak manabii na mitume na yeyote anayeamin anaweza kutumika, hyo ya waganga siyo na haimpi Mungu utukufu, uponyagi wa Mungu unaokoa wa waganga unaangamiza
#Sky huwa nakukubali Sana kiufupi makala zako huwa nizakweli kabisa,kiufupi unajua sana nakubali sana Wakristo wamepitia mateso zaidi ya miaka 200, Enzi hizo kulikua na wakristo WA kweli tangu kanisa la Kwanza la Efeso , ukienda Roma mpaka Leo kuna sehem inaitwa katacot Yani makaburi ndo ilikua sehem pekee salam ya Ibada, ILA nakuomba siku ukipata nafasi mtafite bishop ngonyani, mwanathiologia naimani watu watapenda
Ukiacha mihemko ukifuatilia kwa makin dola ya rumi na roma zilikuwa dola ambazo zilifanya ukatili na mauwaji mengi pengine hazikutofautiana sana na dola ya mongolian
Safi sana sky... Tuletee story ya mwanamuziki wa marekani 2Pac kuna kitu kinachanganya watu hawajui kama 2Pac alikufa ama alifake kifo zake... Please tuletee hii story tunajua uko vizuri sana kutuelezea.... Please
Very deep.. Hapa umetatua maswali mengi sana.. Sababu hatukujua walienda wapi na hata viongozi wa dini wengi hawajui haya ko inakua ngumu kumuaminisha mtu bila maelezo yaliyonyooka.. Thanks brother
@@catherineswai5900Hizi taarifa hazipo kwenye Bible mpendwa, bali kwenye kitabu cha Historia ya Watakatifu, kila mtume utajua alifanya nini na alikufia wapi na wapi 🙏🏻🙏🏻
@@zaburi2386 siyo kweli .kaisari siyo jina ni cheo ambacho wafalme wa kirumi ndivyo walivyokuwa wakiitwa hivyo. Ni sawa na farao kwa misri ya kale wafalme wote wa misri ya kale ndo walikuwa na cheo cha u farao.
Katorika Ndio ndini ya kwanza inayo mpinga YESU na Ndio dini ya 1 inayo abudu masanamu pia Kama wa Roma walikuwa wakipinga YESU itakuwa je wamu amini Leo papa ndie anae aminika sana na malia kuliko YESU CHRISTO
Unaeleza vzr bt unaconfuse ukatorik na din ya kikiristo ýa kwanza ukatorik ni din ya kikristo iliyoachanganyika na upagan wa roma na ilianzishwa na constantine baada ya kuamn ukristo
Habari za Yesu ni kweli na hakika ila katika injili ya kweli shetani katia chimvi nyingi na mvinyo unaoilevya dunia, kwa mvinyo alioingiza shetani watu wengi wamelewa na hawaamini tena wepo wa Mungu, lakini hata ukiachana na Biblia ukifuatilia historia ni kweli Na hakika Yesu alikuja akafa akafufuka na akapaa kwenda Mbinguni.
Pauolo hajawai kukutana na Yesu maana Petro alikua mwanafunzi wa Yesu wakati Yesu anahubiri Injili Paulo alikua hajazaliwa paulo alipata utume kwenye ndoto Paulo kaja baada ya miaka 500 kupita
Hao sio mitume Paulo na petro ni wafuasi mtume ni na be isa as ) ila wazungu walimpinga mmungu kwa kubadilisha kila kiti na wapagani na rome walikaa kuibadilisha injili
Itafika wakati kwa wote wanadhiaki kifo cha Yesu kristo, watajua kumbe kulikuwa na siri yenye mafanikio kwa kila Binadamu katika kumtii Mwenyezi Mungu maana hata Qurani inathibisha kuwa kristo Alikufa na wale wanaomfuata Yesu( Issa Bin mariam) watakuwa juu mpaka siku ya kiama, [Surah Âl-`Imrân: 55] { إِذۡ قَالَ ٱللَّهُ يَٰعِيسَىٰٓ إِنِّي مُتَوَفِّيكَ وَرَافِعُكَ إِلَيَّ وَمُطَهِّرُكَ مِنَ ٱلَّذِينَ كَفَرُواْ وَجَاعِلُ ٱلَّذِينَ ٱتَّبَعُوكَ فَوۡقَ ٱلَّذِينَ كَفَرُوٓاْ إِلَىٰ يَوۡمِ ٱلۡقِيَٰمَةِۖ ثُمَّ إِلَيَّ مَرۡجِعُكُمۡ فَأَحۡكُمُ بَيۡنَكُمۡ فِيمَا كُنتُمۡ فِيهِ تَخۡتَلِفُونَ } Ali Muhsin Al-Barwani: Pale Mwenyezi Mungu alipo sema: Ewe Isa! Mimi nitakufisha, na nitakunyanyua kwangu, na nitakutakasa na wale walio kufuru, na nitawaweka wale walio kufuata juu ya wale walio kufuru, mpaka Siku ya Kiyama. Kisha marejeo yenu yatakuwa kwangu, nikuhukumuni katika yale mliyo kuwa mkikhitalifiana. Hata mimi nitahubir kama maandiko yanavyosema kama Mitume walivyoweza Kuhubiri mpaka umauti ukawakuta, lakn katika yote sitasahau Upendo kwa kila mtu sitachukia mtu kwasababu yuko kinyume na kile ninachokiamini.
Wanao mfuata yesu wanasari kwenye kanisa au misikiti? Maana yeye alikua akifundisha na kufanya ibada kwenye misikiti sasa wanaofuata mafundisho ya yesu ni wpi? Wale wanaosema yesu ndiomungu au sisi tunaosema yesu ni nabii wamubgu na kafundisha waisrael wamuabudie mungu na kumsujudia? Wepi wanamfuata yesu?
Haraf ujue kua hio qur an tukufu iliteremshwa kwa mihamad ambae wachrist hamumuamini kua ni nabii wa mungu nyie mnamuamini paulo ndii mtume wa mungu pia ilishuka kukiwa tayari watu waneshaazisha ucristo yesu baada ya kuondoka kwaiyo qur an nikweli imefundisha namna ya kuwaambia watu namna ya kuwafundishawadu dini na wakikataa usiwavunjie nyumbazao uwaache nikweli amani ni nzuri
@@mustafamsatimuhenga253 makao makuu ya kanisa Aliko Yesu kristo huko ndio yaliko makao makuu Maana mwanzirishi ni Yeye mwenyewe hata kipindi yuko Duniani Aliyatamka Maneno ya kuanzisha kanisa Akiwa Israeli,
We Shetani siku zote anaepinga kifo cha Yesu hufananishwa na Shetani , maana unaonekana kama mkosa akili, na punguani amini nakwambia bila Yesu kufa hii Amani uliyonayo Leo usingekua nayo
Alafu kitu chakushangaza wale ambao waliuwa wanafunzi wa Yesu nakumpinga Yesu warumi.Ndo wakubwa wakanisa la katolik.Kuliko watu wakwao na Yesu ndo wamiliki dini lakatoliki imekuwa tofuti wazungu ambao sio wayahudi ndo wanamiliki kanisa.Kuna siri kubwa hapo.Kutawaliwa na wapinga Cristo wakiwadanganya yakwamba wao ndowanamjua Yesu.
Yesu (Nabii Issa A.S),,hakuwahi kuwa na Mitume,,,bali alikua na wanafunzi,,,huyo Paulo na wenzake sio Mitume na wote waliowaandaa watu wawe wakristo Hilo jambo lilikua niutashiwao nasio maagizo ya Mungu kuwafanya watu wawe wakristo.
Ndo maana huwa nawaambia Waislam huyo lssa sio Yesu huyu tunaemzungumzia Sisi Yesu alikuwa na mitume 12 nini maana ya mitume? Mitume ni watu wanaotumwa sasa Yesu aliwatuma mitume wake wakaihubili injili Huyu Yesu tunaemjua Sisi ndiye Kristo yaani anaitwa Yesu Kristo hapo ndipo Neno ukristo lilipozaliwa Sisi ni wafuasi wa Kristo hivyo Sisi ni wakristo na Dini Yetu ndipo ukaanza kuitwa dini ya kikristo na ukristo Umeanza kabla ya uislamu nikimaanisha Yesu alikuja kabla ya Muhammad nadhani umeelewa nini maana ya ukristo
Km hujui imani za watu bora ujifunze au uulize km hujui bora unyamaze,,hakuna dini inayompenda na kutukuza mitume yake kama islam,,,unajua Issa R.A.ametajwa mara ngapi kwenye quraan,,?Islam follow issa kuliko unavyomfollow ww
@@samsonhumbe8220Kitabu kipo mpendwa kinaitwa Historia ya Watakatifu cha kanisa katoliki, Kila mwanafunzi wa Yesu anayo Historia yake pia na hatima yake
Najiuliza san kuhusu Paulo utume kapewa na nani wakati yeye alikua akiupinga ukristo na wakati yesu kashaend mbinguni ndo akaanza Kuwa mtume na yesu akawa mungu wake😢
Ukisoma bibilia ukasoma historia yote utajuwa ukweri wote chanzo chake kuanza kumtumikia MUNGU na utajuwa alio ya pitia alipo mjuwa MUNGU na kuamini YESU CHRISTO Kama ni MUNGU
Wambie wale kwanza ni fremason ila kumkinga kwa uongo wao wa dini kumsingizia yesu kwanza waguasi wa yesu si mitume mitume walio shushiwa vitabu paulo alizidisha maneno
@@gh7naa hapana si kweli halafu kanisa Katoliki haliendani na dola la rumi ndio maana Mitume waliuwawa na himaya ya rumi Ila kanisa lilikueepo rumi fatilia ma papa wa Katoliki utagundua Mtume Petro alikuwa ppa wa kwanza wa Roman Catholic
UELEWA NI ZAWADI TOKA KWA MUNGU ROHO MTAKATIFU...HII HADITHI INATAJA UKATILI WA KAISARI NERO....MPAGANI NA WEWE UNACHANGANYA NA KANISA KATOLIKI....LOH WALIMU WANAKAZI
Acha upumbavu wa akili...Elewa kuwa dola ya rumi ni kitu kingine na kanisa katoliki ni kitu kingine...warumi waliuwa wakristo ..na wakristo waliouwawa ni wakristo wakatoliki...maana ndilo kanisa lililokuwepo... Makanisa yote ya kiprotestant unayoyaona leo yaliibuka karne ya kumi na tano .waanzilishi wa makanisa haya walikuwa ni wakatoliki. Mfano padre martini Luther ndiye mwanzilishi wa kanisa la. Lutherani..huyu aliasi kanisa katoliki na kufunguwa kanisa lake ...ukija kwa kanisa la Anglicana hili nalo lilianzishwa na mfalme Henry wa nane wa uingereza ..huyu alikuwa ni mkristo mkatoliki na mtawala wa uingereza.. kuanzia wakati huo kupitia makanisa haya ndipo yakazaliwa madhehebu mengi ya kikristo...ndiyo haya unayo yaona leo...
Utasikia mitume wa yesu ila hapo kwa paulo ndio usiamini paulo hakua mtume wa yesu na sio mueslael hakuwai kutana na yesu na pia uchrist na pia soma biblia utagundua yesu hakua mchristo
@@mustafamsatimuhenga253 Yesu hawezi kua mkristo sababu yeye ndio Kristo wafuasi wake ndo wakristo, sababu wanamfuata tumia akili kabla hujaropoka na sio kukaririshwa
Hahaha sasa yesu kama nikweli hakua mchristo bas alikua muumini wa dinigani? Ili nanyi muifuate mimi situkani napenda kujifunza na swali jengine ni je huko alipotokea yesu islael kuna makao makuu ya kanisagani kamakweli ucchristo unamausiano na yesu
Matendo 22 28 poulo ni mrumi yesu hakua na mwanafunzi mrumi huyu poul ndio alishirikiana na petro na kuanzisha uchristo na kanisa la kwanza lipo rom italiy ndo kanisa lakwanza na ndiokubwa dunianzima yesu hakuwai kuingia kanisani yesu alikua akifubdisha na kufanya ibada kwenye miskiti hukokwao tusome vitabu ili tuelewe tusimezeshwe imani bila maandiko
@@audifansisafari5587 eti kupokea maono toka kwa yesu🤣🤣 Binadamu atampaje ufunuo binadamu mwenzake!?? Zinduka wewe acha kuwa mjinga Fuatilia kauli za wanatheolojia wakubwa kumhusi mshenzi Paulo na si vijimaneno vya watu wajinga mfano wako
Achaneni na haya matangopori ndugu zangu nendeni kwa Imani Mcimbwa mpate kuijua asili yenu Muumba wa kweli Kristo wa kweli alikuwa mweusi historia yenye kueleweka bila maswali .... SnS najua mnatupenda il stori za dini na historia nyingi ni matangopori tunapewa Kama hujanielewa pita hutaki kudadisi pita comment yangu sina muda wa kubishana ukweli muutafute wenyewe mpime ya kubeba
We nae toa ukichaa wako, hapa Asili ya MTU ni MTU mweupe MTU mweusi production ya generatio Tu, Ndomana hata MTU mweusi akikutana kimwili na MTU mweupe lazima mtoto atoke Mweupe, Kwa asilimia kubawa, kama unabisha Nenda kaoe Mzungu, mchina mhindi mwarabu , uone kama utazaa mtoto mweusi
@@francisjoseph1074 mtu ni mweusi binadam ni mweupe...swali la kujiuliza nikupe ni mtu au binadamu anaweza kutoa rangi zote? Asili inasema mtu wa kwanza ni mweusi binadamu walipatikana baada ya malaika walioanguka kuzaliana na watu weusi ndo rangi nyingine zikaja Alafu ukitoa haja sio unanitukana mimi kichaa toa hoja yako kwa heshima kama kweli unaheshimu unachokiabudu
Ubarikiwe na mungu baba kwa elimu hii Amina
Nimekukubali msimlizi kwa dondoo hii nzuri
Karibuni tumpokee yesu mioyoni mwetu ..ni wa kweli kabisa.
Tuzidishie zingine maana hii carn yet tunapotoka sana bilakujuwa ila kwahili wenyebusara tutajuwa mengi Asante mungu akuzidishie
God bless you..! Stori kama hizi zinatujenga ki imani. Kam wakristo wenzetu walipitia mateso makubwa namna hiyo na wakaweza kustahimili sisi wakristo wa nyakati hizi hatuna cha kusingizia. hii neema tuliyopewa na Mungu tusipoitumia vizuri tuna cha kujibu siku ya hukumu.
Ooooouuuullp
Y
Kwa kipindi hiki cha utandawazi hakuna mtu wakukuzui kuimani. Lakini kwa kipindi hiki, dunia imetekwa na shetani vibaya sana. Na ni vigumu kuliona hilo. Je umeshajiuliza hii dunia ingekuwa na ushabiki Mkubwa wa masuala ya soka kuliko kwenda kanisani kumwabudu Mungu? Dunia ya leo imetekwa na anasa kuliko kumwabudu mungu. Tuma uhuru wa kuabudi lakini tumeendelea kuwa mbali zaidi na Mungu. Tumetekwa na anasa za kila aina. Starehe. Masuala ya familia. mitandao n.k.. TAFAKARI
Woow safi sana kaka Sky, Yani hapa ume wafanya walio wengi wanao amini habari ya Yesu na wokovu ni Mambo ya kuaminika tu,
Sasa waanze kuamini zaidi kupitia story kama hizi ambazo ni tofaut kabisa na Biblie,
Kwakweli Hongeren sana #SimulizinaSauti# tuko pamoja sanaa 💪
Pamoja kaka nakwelewaga sana tangu radio free
Hata Muhammad ni stor tu maana alishindwa kumponya hata kipofu imeandka Quran 80:1
Kiponya anaeponya ni mungu sio nabii nabii hua anaomba mungu ndo anaponya huko kuponya kama ndio utume bas waganganao ni mitume jamanii miujiza hata shetani anawezafanya
@@mustafamsatimuhenga253 hiyo ya waganga sio miujiza, miujiza hutufanya tumpende Mungu bila mipaka, ni Yesu peke yake kupitia watumish wak manabii na mitume na yeyote anayeamin anaweza kutumika, hyo ya waganga siyo na haimpi Mungu utukufu, uponyagi wa Mungu unaokoa wa waganga unaangamiza
ACHA. WALIOPOKEA WOKOVU. WAAMINI. MIMI NIMEOKOKA.
Jina la yesu kristo lihidimiwe milele amina
Napenda Sana hii chanel walah
Dah vifo vya mitume vimeniuma sana moyo unauma eeh Mungu nipe muongozo mwema ktk kukuabudu na kukusujudu ww tu
Bigap sana kaka sky upo vzr kweli unajuwa
My jesus!! Mungu awabariki SNA! Sns huwa mi siamini mastory brow naomini uwepo Wa mungu kwenye Bible so!!!
Ujumbe mzuri sana imani yangu isitingizike ikiwa hii ndio ukristo basi nami nife hivi🙏🙏🙏🙏
Amen 🙏 Mungu azidi kukulinda utukufu wa Mungu ukawe juu yako Amen 🙏🙏
#Sky huwa nakukubali Sana kiufupi makala zako huwa nizakweli kabisa,kiufupi unajua sana nakubali sana Wakristo wamepitia mateso zaidi ya miaka 200, Enzi hizo kulikua na wakristo WA kweli tangu kanisa la Kwanza la Efeso , ukienda Roma mpaka Leo kuna sehem inaitwa katacot Yani makaburi ndo ilikua sehem pekee salam ya Ibada, ILA nakuomba siku ukipata nafasi mtafite bishop ngonyani, mwanathiologia naimani watu watapenda
Hongera sana kwa simulizi hili
Sina tabiya yakoment ubarikiwe
Lakini ni story nzuri Sana brother congratulations
Tunashundwa kumuamini Mungu kwa hiyari, wenzetu wa kale waliteswa vibaya kwa ajili ya kuhubiri injili
Ujumbe mzuri sana sky
Ubarikiwe kwa somo
ubarikiwe sana! nimejifunza kitu
Mungu akubariki sana
Ukiacha mihemko ukifuatilia kwa makin dola ya rumi na roma zilikuwa dola ambazo zilifanya ukatili na mauwaji mengi pengine hazikutofautiana sana na dola ya mongolian
Stor ya kussmuwa kbisa hii voice ktoka kwa frack bundala
Hongera,kazi nzuri sana
🎉🎉 inayofuata iwe ya mfalme constantine
Hii nzuri sana
Hongela bro
Safi sana sky... Tuletee story ya mwanamuziki wa marekani 2Pac kuna kitu kinachanganya watu hawajui kama 2Pac alikufa ama alifake kifo zake... Please tuletee hii story tunajua uko vizuri sana kutuelezea.... Please
Haitusaidii hii ya nn jifunze ukuu wa Mungu si ya walimwengu hawana mbingu
@@EmanuelKazamasoUmenena 🙏🏻🙏🏻 tujifunze kuhusu neno la Mungu sio historia ya maisha ya wanadamu
Safi sana kaka Sky, if i can receive notifications on such stories like this will be great.
mambo ya mfalme Nero ni katiri lakin injiri ilihubiriwa
Hongera bro tuletee histori ya huyo mfalme aliyeukubali ukristo
Very deep.. Hapa umetatua maswali mengi sana.. Sababu hatukujua walienda wapi na hata viongozi wa dini wengi hawajui haya ko inakua ngumu kumuaminisha mtu bila maelezo yaliyonyooka.. Thanks brother
Unasomaga bible au kwenda kanisani ?.
@@catherineswai5900 najua theology kwa ufasaha.. Ko usilete ujuaji.. Hiz habari ni ngeni kwa almost 95 percent ya watu.
Oooooh 😮😮😮😮
WEWE NDIO HUJUI HII STORY 90% IPO KWENYE BIBLIA
@@catherineswai5900Hizi taarifa hazipo kwenye Bible mpendwa, bali kwenye kitabu cha Historia ya Watakatifu, kila mtume utajua alifanya nini na alikufia wapi na wapi 🙏🏻🙏🏻
Nakubali sanaaa
KAZI NZURI SANA, MKO DEEP 🔥🔥
Sky your a mean of genius
Good
Dah story nzuri sana sns yani uwa sijuti taftatafta kama hizi zinapendeza kwakweli
Amina ❤
Shukrani. Mengine hatuwez kuyapata kwenye Biblia
Tuletee historia ya mfalme Costantino
Aisee Sky hongera..story zako zinavutia siku zoteee sijawahi kosa
Yaani unamueelewa
Yupo vzr kwakweli
Tuko pamoja kaka🔥🔥🔥
Nc San br
Naomba kujua tofauti ya kaisari na mfalme
Kaisari ni jina la mtu ufalme ni cheo
@@zaburi2386 siyo kweli .kaisari siyo jina ni cheo ambacho wafalme wa kirumi ndivyo walivyokuwa wakiitwa hivyo. Ni sawa na farao kwa misri ya kale wafalme wote wa misri ya kale ndo walikuwa na cheo cha u farao.
@@therezapetro5725 sidhan
Katorika Ndio ndini ya kwanza inayo mpinga YESU na Ndio dini ya 1 inayo abudu masanamu pia Kama wa Roma walikuwa wakipinga YESU itakuwa je wamu amini Leo papa ndie anae aminika sana na malia kuliko YESU CHRISTO
Unaeleza vzr bt unaconfuse ukatorik na din ya kikiristo ýa kwanza ukatorik ni din ya kikristo iliyoachanganyika na upagan wa roma na ilianzishwa na constantine baada ya kuamn ukristo
Acha bangi
Habari za Yesu ni kweli na hakika ila katika injili ya kweli shetani katia chimvi nyingi na mvinyo unaoilevya dunia, kwa mvinyo alioingiza shetani watu wengi wamelewa na hawaamini tena wepo wa Mungu, lakini hata ukiachana na Biblia ukifuatilia historia ni kweli Na hakika Yesu alikuja akafa akafufuka na akapaa kwenda Mbinguni.
wakiristo wajifundishe mavazi waliokuwa wakivaa wanafunzi wa YESU!!
Naam.
Amen
ISSA BIN MARYAM
ISA R.A🤲
ISSA ndo Nani? Ana husiana vipi na hii habari?
@@anastaziamathias8861 Issa kamtafute ndio nani unaweza Google pia utapata jibu
Pauolo hajawai kukutana na Yesu maana Petro alikua mwanafunzi wa Yesu wakati Yesu anahubiri Injili Paulo alikua hajazaliwa paulo alipata utume kwenye ndoto Paulo kaja baada ya miaka 500 kupita
Kasome wewe umesoma MATENDO YA MITUME kwanza ama porojo
Umenichekesha😂😂😂😂
M nafikiri umesoma gazeti la waarabu
Hapo sijaelewa mwanzon BK na YESU kristu.. unasemaje kabla ya YESU then unamwongelea YESU...
Baada ya kristo Ndio BK
Kabla ya kristo Ndio KB
Mimi naomba kuuliza hivi kwanini kila picha ni wazungu mnaweka hamjui kwamba sisi tulimjua MUNGU kabla yao?
Hata mzungu hana na bee ukae ukijua mitume wote ni wa mashariki ya kati
Hao sio mitume Paulo na petro ni wafuasi mtume ni na be isa as ) ila wazungu walimpinga mmungu kwa kubadilisha kila kiti na wapagani na rome walikaa kuibadilisha injili
Itafika wakati kwa wote wanadhiaki kifo cha Yesu kristo, watajua kumbe kulikuwa na siri yenye mafanikio kwa kila Binadamu katika kumtii Mwenyezi Mungu maana hata Qurani inathibisha kuwa kristo Alikufa na wale wanaomfuata Yesu( Issa Bin mariam) watakuwa juu mpaka siku ya kiama,
[Surah Âl-`Imrân: 55]
{ إِذۡ قَالَ ٱللَّهُ يَٰعِيسَىٰٓ إِنِّي مُتَوَفِّيكَ وَرَافِعُكَ إِلَيَّ وَمُطَهِّرُكَ مِنَ ٱلَّذِينَ كَفَرُواْ وَجَاعِلُ ٱلَّذِينَ ٱتَّبَعُوكَ فَوۡقَ ٱلَّذِينَ كَفَرُوٓاْ إِلَىٰ يَوۡمِ ٱلۡقِيَٰمَةِۖ ثُمَّ إِلَيَّ مَرۡجِعُكُمۡ فَأَحۡكُمُ بَيۡنَكُمۡ فِيمَا كُنتُمۡ فِيهِ تَخۡتَلِفُونَ }
Ali Muhsin Al-Barwani:
Pale Mwenyezi Mungu alipo sema: Ewe Isa! Mimi nitakufisha, na nitakunyanyua kwangu, na nitakutakasa na wale walio kufuru, na nitawaweka wale walio kufuata juu ya wale walio kufuru, mpaka Siku ya Kiyama. Kisha marejeo yenu yatakuwa kwangu, nikuhukumuni katika yale mliyo kuwa mkikhitalifiana.
Hata mimi nitahubir kama maandiko yanavyosema kama Mitume walivyoweza Kuhubiri mpaka umauti ukawakuta, lakn katika yote sitasahau Upendo kwa kila mtu sitachukia mtu kwasababu yuko kinyume na kile ninachokiamini.
Wanao mfuata yesu wanasari kwenye kanisa au misikiti? Maana yeye alikua akifundisha na kufanya ibada kwenye misikiti sasa wanaofuata mafundisho ya yesu ni wpi? Wale wanaosema yesu ndiomungu au sisi tunaosema yesu ni nabii wamubgu na kafundisha waisrael wamuabudie mungu na kumsujudia? Wepi wanamfuata yesu?
Alaf pia naomba msaada unijuze hivi kanisagan ambalo makaomakuuyakevau lilianzishwa islael
Haraf ujue kua hio qur an tukufu iliteremshwa kwa mihamad ambae wachrist hamumuamini kua ni nabii wa mungu nyie mnamuamini paulo ndii mtume wa mungu pia ilishuka kukiwa tayari watu waneshaazisha ucristo yesu baada ya kuondoka kwaiyo qur an nikweli imefundisha namna ya kuwaambia watu namna ya kuwafundishawadu dini na wakikataa usiwavunjie nyumbazao uwaache nikweli amani ni nzuri
Ila wewe unaonekana ni msomi mungu atakuongoza wengine hua wanatukana tu hovyo wewe unasomaga vitabu
@@mustafamsatimuhenga253 makao makuu ya kanisa Aliko Yesu kristo huko ndio yaliko makao makuu Maana mwanzirishi ni Yeye mwenyewe hata kipindi yuko Duniani Aliyatamka Maneno ya kuanzisha kanisa Akiwa Israeli,
Tunatamani kusikia historian ya wafuasi wa yesu mmoja mmoja
Tafuta kitabu cha Historia ya Watakatifu, kila kitu kuhusu mtume alikufaje na wapi alikufia na nini hatima yake
Don't trust the story but u can trust the book yesu ambae Ni mtume wa mungu hajawai kufa ao kuzikwa
We nae embu tutokee hapa 🙄
Kwendra huko ww nguruwe ndo panadol yenu...
We Shetani siku zote anaepinga kifo cha Yesu hufananishwa na Shetani , maana unaonekana kama mkosa akili, na punguani amini nakwambia bila Yesu kufa hii Amani uliyonayo Leo usingekua nayo
@@francisjoseph1074 🙄🙄🤣Pole
Yesu akiwa amekufa inamana sio mungu kutokana mungu hawezi kufa izosifa zakufa mungu hana sifa Kama izo zaku uwawa nawatu aliyo umba
Yesu hakufa msalabani alikufa kwenye mti ( nguzo ) wa mateso.
Alafu kitu chakushangaza wale ambao waliuwa wanafunzi wa Yesu nakumpinga Yesu warumi.Ndo wakubwa wakanisa la katolik.Kuliko watu wakwao na Yesu ndo wamiliki dini lakatoliki imekuwa tofuti wazungu ambao sio wayahudi ndo wanamiliki kanisa.Kuna siri kubwa hapo.Kutawaliwa na wapinga Cristo wakiwadanganya yakwamba wao ndowanamjua Yesu.
Yesu (Nabii Issa A.S),,hakuwahi kuwa na Mitume,,,bali alikua na wanafunzi,,,huyo Paulo na wenzake sio Mitume na wote waliowaandaa watu wawe wakristo Hilo jambo lilikua niutashiwao nasio maagizo ya Mungu kuwafanya watu wawe wakristo.
Mitume Nini kama siyo akili finyu
Ndo maana huwa nawaambia Waislam huyo lssa sio Yesu huyu tunaemzungumzia Sisi Yesu alikuwa na mitume 12 nini maana ya mitume? Mitume ni watu wanaotumwa sasa Yesu aliwatuma mitume wake wakaihubili injili Huyu Yesu tunaemjua Sisi ndiye Kristo yaani anaitwa Yesu Kristo hapo ndipo Neno ukristo lilipozaliwa Sisi ni wafuasi wa Kristo hivyo Sisi ni wakristo na Dini Yetu ndipo ukaanza kuitwa dini ya kikristo na ukristo Umeanza kabla ya uislamu nikimaanisha Yesu alikuja kabla ya Muhammad nadhani umeelewa nini maana ya ukristo
Lete usibitisho
Sns no1
hii story ipo poa sana.....kwa wanao penda pia anaweza aka tafuta movie inaitwa QUO VADIS inaelezea story hii pia
Petro aliuwawa na warumi, na kaburi lake limewekwa mnara mrefu pale ltaly na Paulo pia aliuwawa alishikwa ugoni.
Hacha uongo, ugon ulimuona
Jna nilitaka kuomba utupachikie story baada ya kurudia rudia sana za miezi 5 iliyopita
Pamoja na yote hayo Bado waislam hawatak kumkiri YESU
Kumkili yesu kua ndio mungu?
Km hujui imani za watu bora ujifunze au uulize km hujui bora unyamaze,,hakuna dini inayompenda na kutukuza mitume yake kama islam,,,unajua Issa R.A.ametajwa mara ngapi kwenye quraan,,?Islam follow issa kuliko unavyomfollow ww
@@mustafamsatimuhenga253 hajui asemalo huyo
Waislam tunajuwa Isa bin Mariam na ni Nabii kama manabii walotagulia kama Ibrahim Musa Ismail na wengineo
Niru alimhasi kijana wakiume namkimfanya mkewe nabado roma hadileo ndio taifa lenye kiongozi wadini ya kikrito inayo biga upatu watu waingiliane kinyume namaumbile je unataka muislamu gani afuate uovu kamahuo jitafakari kwahili
Hayo ndio maajabu ya kitabu kitakatifu cha BIBLIA
Kitabu kitakatifu biblia?
Wakorintho 1:25
Hizi story hazipo kwenye Bible mpendwa bali ni kwenye kitabu cha Historia ya Watakatifu
Bk au after christ kuzaliwa
Utasikia israeli sio wakristo uezi watenganisha yesu myahudi jamani
Katika kuhubiri kwake petro hakufika roma hivyo hakufia roma.
Alikufa Roma na kaburi lake lipo hadi leo pale Vatican.. ndipo ilipojengwa kanisa la mtakatifu petro..l
shida ya kuwapa vijana madalaka makubwa huku wamekosa hekima na busara wanajiona wao ndio dunia yao
Historia ni nzuri, ula yafaa makala hii ungetia kitabu chake ingefaa zaidi. Yote kwa yote ubarikiwe na Bwana Yesu, nakushukuru sana..
@@samsonhumbe8220Kitabu kipo mpendwa kinaitwa Historia ya Watakatifu cha kanisa katoliki, Kila mwanafunzi wa Yesu anayo Historia yake pia na hatima yake
Najiuliza san kuhusu Paulo utume kapewa na nani wakati yeye alikua akiupinga ukristo na wakati yesu kashaend mbinguni ndo akaanza Kuwa mtume na yesu akawa mungu wake😢
Ukisoma bibilia ukasoma historia yote utajuwa ukweri wote chanzo chake kuanza kumtumikia MUNGU na utajuwa alio ya pitia alipo mjuwa MUNGU na kuamini YESU CHRISTO Kama ni MUNGU
soma matendo 9:1-19
Huyu mtangazaji anaitwa nani
Yawezekana hata mwana marundi wa mwanza alikuwa mtume maana alinyongwa na hakufa
Nyiyi maingia motoni hakuna mtume akija bila kutajwa kila mtume mana bee huwa wanatajiana ktk vitabu kuna mitme wengi ila sio kuja tu
Duh 🙄!
Anakuja mjinga mmoja anakuambia Israeli sio ardhi ya wayahudi
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌️
Kanisa la Roma ukifatilia huwez salii viongoz wake walikiw makatili sna na Bado Wana part za unyonyaji mpka leoo
Wambie wale kwanza ni fremason ila kumkinga kwa uongo wao wa dini kumsingizia yesu kwanza waguasi wa yesu si mitume mitume walio shushiwa vitabu paulo alizidisha maneno
@@gh7naa hapana si kweli halafu kanisa Katoliki haliendani na dola la rumi ndio maana Mitume waliuwawa na himaya ya rumi Ila kanisa lilikueepo rumi fatilia ma papa wa Katoliki utagundua Mtume Petro alikuwa ppa wa kwanza wa Roman Catholic
UELEWA NI ZAWADI TOKA KWA MUNGU ROHO MTAKATIFU...HII HADITHI INATAJA UKATILI WA KAISARI NERO....MPAGANI NA WEWE UNACHANGANYA NA KANISA KATOLIKI....LOH WALIMU WANAKAZI
Acha upumbavu wa akili...Elewa kuwa dola ya rumi ni kitu kingine na kanisa katoliki ni kitu kingine...warumi waliuwa wakristo ..na wakristo waliouwawa ni wakristo wakatoliki...maana ndilo kanisa lililokuwepo... Makanisa yote ya kiprotestant unayoyaona leo yaliibuka karne ya kumi na tano .waanzilishi wa makanisa haya walikuwa ni wakatoliki. Mfano padre martini Luther ndiye mwanzilishi wa kanisa la. Lutherani..huyu aliasi kanisa katoliki na kufunguwa kanisa lake ...ukija kwa kanisa la Anglicana hili nalo lilianzishwa na mfalme Henry wa nane wa uingereza ..huyu alikuwa ni mkristo mkatoliki na mtawala wa uingereza.. kuanzia wakati huo kupitia makanisa haya ndipo yakazaliwa madhehebu mengi ya kikristo...ndiyo haya unayo yaona leo...
Ila uarabuni tu ndy hao mitume walishindw a kuhubiri injili
Acha dhihaka Kwan Mohammad alienda roma or European
Sijawahi kusikia kiundan kanisani kuhusu yesu na watumishi wake
Utasikia mitume wa yesu ila hapo kwa paulo ndio usiamini paulo hakua mtume wa yesu na sio mueslael hakuwai kutana na yesu na pia uchrist na pia soma biblia utagundua yesu hakua mchristo
@@mustafamsatimuhenga253 Yesu hawezi kua mkristo sababu yeye ndio Kristo wafuasi wake ndo wakristo, sababu wanamfuata tumia akili kabla hujaropoka na sio kukaririshwa
@@francisjoseph1074 hahaha sasa kama yesu ndo Kristo acha uongo yesu hakuwa Kristo wapi umeona waisrail ni wakirst kama ukristo umetokea huko roma
Hahaha sasa yesu kama nikweli hakua mchristo bas alikua muumini wa dinigani? Ili nanyi muifuate mimi situkani napenda kujifunza na swali jengine ni je huko alipotokea yesu islael kuna makao makuu ya kanisagani kamakweli ucchristo unamausiano na yesu
Matendo 22 28 poulo ni mrumi yesu hakua na mwanafunzi mrumi huyu poul ndio alishirikiana na petro na kuanzisha uchristo na kanisa la kwanza lipo rom italiy ndo kanisa lakwanza na ndiokubwa dunianzima yesu hakuwai kuingia kanisani yesu alikua akifubdisha na kufanya ibada kwenye miskiti hukokwao tusome vitabu ili tuelewe tusimezeshwe imani bila maandiko
WEWE UNAYESIMULIA UMEOKOKA ?
Ni mkristo..ila siyo mfuasi wa makanisa ya watu binafsi.
Hii makala imenigusa sana kabisa😒😒😒
Paulo hakuwa mtume, wanatheolojia wanathibitisha hivyo!! Huyo jamaa ndio aliyekuja kuvuruga mafundisho ya Yesu
Kivip kaka
Mbona unapotosha Kaka Yani unatumia Quran kumkosoa Paul? Acha hizo stori pelekeni msikitini
Kama hujui Paulo ndiye aliyeinarisha zaidi Ukristo baada ya kupokea maono kutoka Kwa YESU
@@audifansisafari5587 eti kupokea maono toka kwa yesu🤣🤣
Binadamu atampaje ufunuo binadamu mwenzake!?? Zinduka wewe acha kuwa mjinga
Fuatilia kauli za wanatheolojia wakubwa kumhusi mshenzi Paulo na si vijimaneno vya watu wajinga mfano wako
@@faridithomas4859 we ndezi kweli YESU ni Mungu kweli na mtu kweli,
Try to go back to research... To confirm how Paulo becomes a real in Jesus propagation.
Issa RA alizaliwa Bethlehem, kwa nini kule isiwe ndio makao makuu ya Rom,,badala yake yapo 🇮🇹,,why
Tatizo lenu nyie mbwa mnakariri na hamtumii akili
Achaneni na haya matangopori ndugu zangu nendeni kwa Imani Mcimbwa mpate kuijua asili yenu Muumba wa kweli Kristo wa kweli alikuwa mweusi historia yenye kueleweka bila maswali ....
SnS najua mnatupenda il stori za dini na historia nyingi ni matangopori tunapewa
Kama hujanielewa pita hutaki kudadisi pita comment yangu sina muda wa kubishana ukweli muutafute wenyewe mpime ya kubeba
We nae toa ukichaa wako, hapa Asili ya MTU ni MTU mweupe MTU mweusi production ya generatio Tu, Ndomana hata MTU mweusi akikutana kimwili na MTU mweupe lazima mtoto atoke Mweupe, Kwa asilimia kubawa, kama unabisha Nenda kaoe Mzungu, mchina mhindi mwarabu , uone kama utazaa mtoto mweusi
Labda nikutoe udish kichwani kwani waisraeli ni weusi au weupe ukijua ndio umjue Yesu achana na uo upofu
@@jacksonngusi4122 and who can produce all color 😳
@@jacksonngusi4122 huasilia wa historia hauendani na waIsrael wa sasa bali na watu weusi... Yesu ni mweupe uko sahihi but Kristo wa kweli ni mweusi
@@francisjoseph1074 mtu ni mweusi binadam ni mweupe...swali la kujiuliza nikupe ni mtu au binadamu anaweza kutoa rangi zote?
Asili inasema mtu wa kwanza ni mweusi binadamu walipatikana baada ya malaika walioanguka kuzaliana na watu weusi ndo rangi nyingine zikaja
Alafu ukitoa haja sio unanitukana mimi kichaa toa hoja yako kwa heshima kama kweli unaheshimu unachokiabudu