Mfalme Nero: Katili aliyewaua Paulo na Petro Mitume wa Yesu Kristo; Adhabu ya vifo vyao Inatisha

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 254

  • @samsonnyasilu268
    @samsonnyasilu268 6 месяцев назад +2

    Ubarikiwe na mungu baba kwa elimu hii Amina

  • @MICHAELDAUDJILALA
    @MICHAELDAUDJILALA 7 месяцев назад +2

    Nimekukubali msimlizi kwa dondoo hii nzuri

  • @neemambotola1139
    @neemambotola1139 Год назад +4

    Karibuni tumpokee yesu mioyoni mwetu ..ni wa kweli kabisa.

  • @jeromejuma6110
    @jeromejuma6110 Год назад +4

    Tuzidishie zingine maana hii carn yet tunapotoka sana bilakujuwa ila kwahili wenyebusara tutajuwa mengi Asante mungu akuzidishie

  • @therezapetro5725
    @therezapetro5725 2 года назад +18

    God bless you..! Stori kama hizi zinatujenga ki imani. Kam wakristo wenzetu walipitia mateso makubwa namna hiyo na wakaweza kustahimili sisi wakristo wa nyakati hizi hatuna cha kusingizia. hii neema tuliyopewa na Mungu tusipoitumia vizuri tuna cha kujibu siku ya hukumu.

    • @edwardoscar8829
      @edwardoscar8829 Год назад

      Ooooouuuullp

    • @edwardoscar8829
      @edwardoscar8829 Год назад

      Y

    • @gabrielsaelie8091
      @gabrielsaelie8091 Год назад

      Kwa kipindi hiki cha utandawazi hakuna mtu wakukuzui kuimani. Lakini kwa kipindi hiki, dunia imetekwa na shetani vibaya sana. Na ni vigumu kuliona hilo. Je umeshajiuliza hii dunia ingekuwa na ushabiki Mkubwa wa masuala ya soka kuliko kwenda kanisani kumwabudu Mungu? Dunia ya leo imetekwa na anasa kuliko kumwabudu mungu. Tuma uhuru wa kuabudi lakini tumeendelea kuwa mbali zaidi na Mungu. Tumetekwa na anasa za kila aina. Starehe. Masuala ya familia. mitandao n.k.. TAFAKARI

  • @annointamani3285
    @annointamani3285 2 года назад +21

    Woow safi sana kaka Sky, Yani hapa ume wafanya walio wengi wanao amini habari ya Yesu na wokovu ni Mambo ya kuaminika tu,
    Sasa waanze kuamini zaidi kupitia story kama hizi ambazo ni tofaut kabisa na Biblie,
    Kwakweli Hongeren sana #SimulizinaSauti# tuko pamoja sanaa 💪

    • @noelyjonh1607
      @noelyjonh1607 2 года назад +2

      Pamoja kaka nakwelewaga sana tangu radio free

    • @zaburi2386
      @zaburi2386 2 года назад

      Hata Muhammad ni stor tu maana alishindwa kumponya hata kipofu imeandka Quran 80:1

    • @mustafamsatimuhenga253
      @mustafamsatimuhenga253 2 года назад +3

      Kiponya anaeponya ni mungu sio nabii nabii hua anaomba mungu ndo anaponya huko kuponya kama ndio utume bas waganganao ni mitume jamanii miujiza hata shetani anawezafanya

    • @hancevalence4936
      @hancevalence4936 2 года назад +3

      @@mustafamsatimuhenga253 hiyo ya waganga sio miujiza, miujiza hutufanya tumpende Mungu bila mipaka, ni Yesu peke yake kupitia watumish wak manabii na mitume na yeyote anayeamin anaweza kutumika, hyo ya waganga siyo na haimpi Mungu utukufu, uponyagi wa Mungu unaokoa wa waganga unaangamiza

    • @EstherKabika-b4v
      @EstherKabika-b4v Год назад

      ACHA. WALIOPOKEA WOKOVU. WAAMINI. MIMI NIMEOKOKA.

  • @selbub3064
    @selbub3064 2 года назад +11

    Jina la yesu kristo lihidimiwe milele amina

  • @osmanmohammedosman5493
    @osmanmohammedosman5493 2 года назад +12

    Napenda Sana hii chanel walah

  • @bryson0772
    @bryson0772 Год назад +4

    Dah vifo vya mitume vimeniuma sana moyo unauma eeh Mungu nipe muongozo mwema ktk kukuabudu na kukusujudu ww tu

  • @NgoloMbonde
    @NgoloMbonde 9 месяцев назад +1

    Bigap sana kaka sky upo vzr kweli unajuwa

  • @vansclassic2131
    @vansclassic2131 Год назад +1

    My jesus!! Mungu awabariki SNA! Sns huwa mi siamini mastory brow naomini uwepo Wa mungu kwenye Bible so!!!

  • @nanyamasheilah5695
    @nanyamasheilah5695 Год назад +1

    Ujumbe mzuri sana imani yangu isitingizike ikiwa hii ndio ukristo basi nami nife hivi🙏🙏🙏🙏

  • @مريمم-غ3س
    @مريمم-غ3س 2 года назад +4

    Amen 🙏 Mungu azidi kukulinda utukufu wa Mungu ukawe juu yako Amen 🙏🙏

  • @francisjoseph1074
    @francisjoseph1074 2 года назад +3

    #Sky huwa nakukubali Sana kiufupi makala zako huwa nizakweli kabisa,kiufupi unajua sana nakubali sana Wakristo wamepitia mateso zaidi ya miaka 200, Enzi hizo kulikua na wakristo WA kweli tangu kanisa la Kwanza la Efeso , ukienda Roma mpaka Leo kuna sehem inaitwa katacot Yani makaburi ndo ilikua sehem pekee salam ya Ibada, ILA nakuomba siku ukipata nafasi mtafite bishop ngonyani, mwanathiologia naimani watu watapenda

  • @gervasshepi6351
    @gervasshepi6351 4 месяца назад

    Hongera sana kwa simulizi hili

  • @shabanabdul8979
    @shabanabdul8979 2 года назад +7

    Sina tabiya yakoment ubarikiwe

  • @gazaomar677
    @gazaomar677 2 года назад +3

    Lakini ni story nzuri Sana brother congratulations

  • @KiT.KaT.Cute.
    @KiT.KaT.Cute. 2 года назад +2

    Tunashundwa kumuamini Mungu kwa hiyari, wenzetu wa kale waliteswa vibaya kwa ajili ya kuhubiri injili

  • @felicianfrancis9895
    @felicianfrancis9895 2 года назад +2

    Ujumbe mzuri sana sky

  • @nelsonmdaimali431
    @nelsonmdaimali431 2 месяца назад

    Ubarikiwe kwa somo

  • @PethiasSiwila01
    @PethiasSiwila01 6 месяцев назад

    ubarikiwe sana! nimejifunza kitu

  • @maganyarobert7008
    @maganyarobert7008 Год назад +1

    Mungu akubariki sana

  • @mohamedismail2662
    @mohamedismail2662 7 месяцев назад +2

    Ukiacha mihemko ukifuatilia kwa makin dola ya rumi na roma zilikuwa dola ambazo zilifanya ukatili na mauwaji mengi pengine hazikutofautiana sana na dola ya mongolian

  • @johnycavishe5207
    @johnycavishe5207 Год назад +1

    Stor ya kussmuwa kbisa hii voice ktoka kwa frack bundala

  • @monicapaul8480
    @monicapaul8480 2 года назад +1

    Hongera,kazi nzuri sana

  • @raymondngamilo9226
    @raymondngamilo9226 2 года назад

    🎉🎉 inayofuata iwe ya mfalme constantine

  • @hellenrichard187
    @hellenrichard187 Год назад

    Hii nzuri sana

  • @thisboyisgreat
    @thisboyisgreat 2 года назад +1

    Hongela bro

  • @entertainmentforum1772
    @entertainmentforum1772 2 года назад +4

    Safi sana sky... Tuletee story ya mwanamuziki wa marekani 2Pac kuna kitu kinachanganya watu hawajui kama 2Pac alikufa ama alifake kifo zake... Please tuletee hii story tunajua uko vizuri sana kutuelezea.... Please

    • @EmanuelKazamaso
      @EmanuelKazamaso Год назад +2

      Haitusaidii hii ya nn jifunze ukuu wa Mungu si ya walimwengu hawana mbingu

    • @ESTERMADIRISHA
      @ESTERMADIRISHA 6 месяцев назад

      ​@@EmanuelKazamasoUmenena 🙏🏻🙏🏻 tujifunze kuhusu neno la Mungu sio historia ya maisha ya wanadamu

  • @Rashid-x5h
    @Rashid-x5h Год назад +1

    Safi sana kaka Sky, if i can receive notifications on such stories like this will be great.

  • @ONESMOSHIMO
    @ONESMOSHIMO 8 месяцев назад +2

    mambo ya mfalme Nero ni katiri lakin injiri ilihubiriwa

  • @shepherdizotarimo8227
    @shepherdizotarimo8227 2 года назад

    Hongera bro tuletee histori ya huyo mfalme aliyeukubali ukristo

  • @simbamnyama2589
    @simbamnyama2589 2 года назад +2

    Very deep.. Hapa umetatua maswali mengi sana.. Sababu hatukujua walienda wapi na hata viongozi wa dini wengi hawajui haya ko inakua ngumu kumuaminisha mtu bila maelezo yaliyonyooka.. Thanks brother

    • @catherineswai5900
      @catherineswai5900 2 года назад

      Unasomaga bible au kwenda kanisani ?.

    • @simbamnyama2589
      @simbamnyama2589 2 года назад

      @@catherineswai5900 najua theology kwa ufasaha.. Ko usilete ujuaji.. Hiz habari ni ngeni kwa almost 95 percent ya watu.

    • @catherineswai5900
      @catherineswai5900 2 года назад

      Oooooh 😮😮😮😮

    • @FrankKashamakula-xb1pc
      @FrankKashamakula-xb1pc Год назад

      WEWE NDIO HUJUI HII STORY 90% IPO KWENYE BIBLIA

    • @ESTERMADIRISHA
      @ESTERMADIRISHA 6 месяцев назад

      ​@@catherineswai5900Hizi taarifa hazipo kwenye Bible mpendwa, bali kwenye kitabu cha Historia ya Watakatifu, kila mtume utajua alifanya nini na alikufia wapi na wapi 🙏🏻🙏🏻

  • @frankmushi8892
    @frankmushi8892 2 года назад +1

    Nakubali sanaaa

  • @javanwatson6675
    @javanwatson6675 Год назад

    KAZI NZURI SANA, MKO DEEP 🔥🔥

  • @godcompeter9844
    @godcompeter9844 2 года назад

    Sky your a mean of genius

  • @MNexNexI
    @MNexNexI 5 месяцев назад

    Good

  • @jacksonngusi4122
    @jacksonngusi4122 2 года назад

    Dah story nzuri sana sns yani uwa sijuti taftatafta kama hizi zinapendeza kwakweli

  • @jumakataka81
    @jumakataka81 Год назад

    Amina ❤

  • @titus_maridhia
    @titus_maridhia 2 года назад +2

    Shukrani. Mengine hatuwez kuyapata kwenye Biblia

  • @josephinematemba5100
    @josephinematemba5100 2 года назад +2

    Tuletee historia ya mfalme Costantino

  • @missp1814
    @missp1814 2 года назад +3

    Aisee Sky hongera..story zako zinavutia siku zoteee sijawahi kosa

  • @dazicharoodazicharoo
    @dazicharoodazicharoo 2 года назад +2

    Tuko pamoja kaka🔥🔥🔥

  • @mamskiumbe4057
    @mamskiumbe4057 2 года назад

    Nc San br

  • @washingtonv199
    @washingtonv199 2 года назад +1

    Naomba kujua tofauti ya kaisari na mfalme

    • @zaburi2386
      @zaburi2386 2 года назад

      Kaisari ni jina la mtu ufalme ni cheo

    • @therezapetro5725
      @therezapetro5725 2 года назад +3

      @@zaburi2386 siyo kweli .kaisari siyo jina ni cheo ambacho wafalme wa kirumi ndivyo walivyokuwa wakiitwa hivyo. Ni sawa na farao kwa misri ya kale wafalme wote wa misri ya kale ndo walikuwa na cheo cha u farao.

    • @benedictbalelekalunde4140
      @benedictbalelekalunde4140 2 года назад

      @@therezapetro5725 sidhan

  • @kanezajoella6663
    @kanezajoella6663 2 месяца назад

    Katorika Ndio ndini ya kwanza inayo mpinga YESU na Ndio dini ya 1 inayo abudu masanamu pia Kama wa Roma walikuwa wakipinga YESU itakuwa je wamu amini Leo papa ndie anae aminika sana na malia kuliko YESU CHRISTO

  • @bongonews6542
    @bongonews6542 2 года назад +2

    Unaeleza vzr bt unaconfuse ukatorik na din ya kikiristo ýa kwanza ukatorik ni din ya kikristo iliyoachanganyika na upagan wa roma na ilianzishwa na constantine baada ya kuamn ukristo

  • @xmaramoja362
    @xmaramoja362 23 дня назад

    Habari za Yesu ni kweli na hakika ila katika injili ya kweli shetani katia chimvi nyingi na mvinyo unaoilevya dunia, kwa mvinyo alioingiza shetani watu wengi wamelewa na hawaamini tena wepo wa Mungu, lakini hata ukiachana na Biblia ukifuatilia historia ni kweli Na hakika Yesu alikuja akafa akafufuka na akapaa kwenda Mbinguni.

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Месяц назад

    wakiristo wajifundishe mavazi waliokuwa wakivaa wanafunzi wa YESU!!

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Год назад

    Naam.

  • @atonemusicstudio9155
    @atonemusicstudio9155 Год назад

    Amen

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr 2 года назад +5

    ISSA BIN MARYAM
    ISA R.A🤲

    • @anastaziamathias8861
      @anastaziamathias8861 Год назад

      ISSA ndo Nani? Ana husiana vipi na hii habari?

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr Год назад

      @@anastaziamathias8861 Issa kamtafute ndio nani unaweza Google pia utapata jibu

  • @taynburhanialeey3148
    @taynburhanialeey3148 2 года назад +2

    Pauolo hajawai kukutana na Yesu maana Petro alikua mwanafunzi wa Yesu wakati Yesu anahubiri Injili Paulo alikua hajazaliwa paulo alipata utume kwenye ndoto Paulo kaja baada ya miaka 500 kupita

    • @saitotisapiyo5997
      @saitotisapiyo5997 2 месяца назад

      Kasome wewe umesoma MATENDO YA MITUME kwanza ama porojo

    • @charlesboniphace2249
      @charlesboniphace2249 2 месяца назад

      Umenichekesha😂😂😂😂
      M nafikiri umesoma gazeti la waarabu

  • @bonbuggatTV
    @bonbuggatTV 2 года назад +1

    Hapo sijaelewa mwanzon BK na YESU kristu.. unasemaje kabla ya YESU then unamwongelea YESU...

    • @ichicarodan6931
      @ichicarodan6931 2 года назад +1

      Baada ya kristo Ndio BK
      Kabla ya kristo Ndio KB

  • @fabianmainchanyangachika5017
    @fabianmainchanyangachika5017 2 года назад +4

    Mimi naomba kuuliza hivi kwanini kila picha ni wazungu mnaweka hamjui kwamba sisi tulimjua MUNGU kabla yao?

    • @woah.africa99
      @woah.africa99 3 месяца назад

      Hata mzungu hana na bee ukae ukijua mitume wote ni wa mashariki ya kati

    • @woah.africa99
      @woah.africa99 3 месяца назад

      Hao sio mitume Paulo na petro ni wafuasi mtume ni na be isa as ) ila wazungu walimpinga mmungu kwa kubadilisha kila kiti na wapagani na rome walikaa kuibadilisha injili

  • @timotheojumal894
    @timotheojumal894 2 года назад +5

    Itafika wakati kwa wote wanadhiaki kifo cha Yesu kristo, watajua kumbe kulikuwa na siri yenye mafanikio kwa kila Binadamu katika kumtii Mwenyezi Mungu maana hata Qurani inathibisha kuwa kristo Alikufa na wale wanaomfuata Yesu( Issa Bin mariam) watakuwa juu mpaka siku ya kiama,
    [Surah Âl-`Imrân: 55]
    { إِذۡ قَالَ ٱللَّهُ يَٰعِيسَىٰٓ إِنِّي مُتَوَفِّيكَ وَرَافِعُكَ إِلَيَّ وَمُطَهِّرُكَ مِنَ ٱلَّذِينَ كَفَرُواْ وَجَاعِلُ ٱلَّذِينَ ٱتَّبَعُوكَ فَوۡقَ ٱلَّذِينَ كَفَرُوٓاْ إِلَىٰ يَوۡمِ ٱلۡقِيَٰمَةِۖ ثُمَّ إِلَيَّ مَرۡجِعُكُمۡ فَأَحۡكُمُ بَيۡنَكُمۡ فِيمَا كُنتُمۡ فِيهِ تَخۡتَلِفُونَ }
    Ali Muhsin Al-Barwani:
    Pale Mwenyezi Mungu alipo sema: Ewe Isa! Mimi nitakufisha, na nitakunyanyua kwangu, na nitakutakasa na wale walio kufuru, na nitawaweka wale walio kufuata juu ya wale walio kufuru, mpaka Siku ya Kiyama. Kisha marejeo yenu yatakuwa kwangu, nikuhukumuni katika yale mliyo kuwa mkikhitalifiana.
    Hata mimi nitahubir kama maandiko yanavyosema kama Mitume walivyoweza Kuhubiri mpaka umauti ukawakuta, lakn katika yote sitasahau Upendo kwa kila mtu sitachukia mtu kwasababu yuko kinyume na kile ninachokiamini.

    • @mustafamsatimuhenga253
      @mustafamsatimuhenga253 2 года назад

      Wanao mfuata yesu wanasari kwenye kanisa au misikiti? Maana yeye alikua akifundisha na kufanya ibada kwenye misikiti sasa wanaofuata mafundisho ya yesu ni wpi? Wale wanaosema yesu ndiomungu au sisi tunaosema yesu ni nabii wamubgu na kafundisha waisrael wamuabudie mungu na kumsujudia? Wepi wanamfuata yesu?

    • @mustafamsatimuhenga253
      @mustafamsatimuhenga253 2 года назад

      Alaf pia naomba msaada unijuze hivi kanisagan ambalo makaomakuuyakevau lilianzishwa islael

    • @mustafamsatimuhenga253
      @mustafamsatimuhenga253 2 года назад +1

      Haraf ujue kua hio qur an tukufu iliteremshwa kwa mihamad ambae wachrist hamumuamini kua ni nabii wa mungu nyie mnamuamini paulo ndii mtume wa mungu pia ilishuka kukiwa tayari watu waneshaazisha ucristo yesu baada ya kuondoka kwaiyo qur an nikweli imefundisha namna ya kuwaambia watu namna ya kuwafundishawadu dini na wakikataa usiwavunjie nyumbazao uwaache nikweli amani ni nzuri

    • @mustafamsatimuhenga253
      @mustafamsatimuhenga253 2 года назад

      Ila wewe unaonekana ni msomi mungu atakuongoza wengine hua wanatukana tu hovyo wewe unasomaga vitabu

    • @timotheojumal894
      @timotheojumal894 2 года назад

      @@mustafamsatimuhenga253 makao makuu ya kanisa Aliko Yesu kristo huko ndio yaliko makao makuu Maana mwanzirishi ni Yeye mwenyewe hata kipindi yuko Duniani Aliyatamka Maneno ya kuanzisha kanisa Akiwa Israeli,

  • @lordgardmtui1748
    @lordgardmtui1748 Год назад +1

    Tunatamani kusikia historian ya wafuasi wa yesu mmoja mmoja

    • @ESTERMADIRISHA
      @ESTERMADIRISHA 6 месяцев назад

      Tafuta kitabu cha Historia ya Watakatifu, kila kitu kuhusu mtume alikufaje na wapi alikufia na nini hatima yake

  • @gazaomar677
    @gazaomar677 2 года назад +12

    Don't trust the story but u can trust the book yesu ambae Ni mtume wa mungu hajawai kufa ao kuzikwa

    • @irenegudluck1214
      @irenegudluck1214 2 года назад +2

      We nae embu tutokee hapa 🙄

    • @hopechidera
      @hopechidera 2 года назад

      Kwendra huko ww nguruwe ndo panadol yenu...

    • @francisjoseph1074
      @francisjoseph1074 2 года назад +4

      We Shetani siku zote anaepinga kifo cha Yesu hufananishwa na Shetani , maana unaonekana kama mkosa akili, na punguani amini nakwambia bila Yesu kufa hii Amani uliyonayo Leo usingekua nayo

    • @زينبعليعبدالله-ز3س
      @زينبعليعبدالله-ز3س 2 года назад +1

      ​@@francisjoseph1074 🙄🙄🤣Pole

    • @gazaomar677
      @gazaomar677 2 года назад +6

      Yesu akiwa amekufa inamana sio mungu kutokana mungu hawezi kufa izosifa zakufa mungu hana sifa Kama izo zaku uwawa nawatu aliyo umba

  • @autoimmunesecurity2140
    @autoimmunesecurity2140 Год назад +1

    Yesu hakufa msalabani alikufa kwenye mti ( nguzo ) wa mateso.

  • @saiddimarley8445
    @saiddimarley8445 7 месяцев назад

    Alafu kitu chakushangaza wale ambao waliuwa wanafunzi wa Yesu nakumpinga Yesu warumi.Ndo wakubwa wakanisa la katolik.Kuliko watu wakwao na Yesu ndo wamiliki dini lakatoliki imekuwa tofuti wazungu ambao sio wayahudi ndo wanamiliki kanisa.Kuna siri kubwa hapo.Kutawaliwa na wapinga Cristo wakiwadanganya yakwamba wao ndowanamjua Yesu.

  • @maalimjaffar5563
    @maalimjaffar5563 Год назад

    Yesu (Nabii Issa A.S),,hakuwahi kuwa na Mitume,,,bali alikua na wanafunzi,,,huyo Paulo na wenzake sio Mitume na wote waliowaandaa watu wawe wakristo Hilo jambo lilikua niutashiwao nasio maagizo ya Mungu kuwafanya watu wawe wakristo.

    • @audifansisafari5587
      @audifansisafari5587 Год назад

      Mitume Nini kama siyo akili finyu

    • @anastaziamathias8861
      @anastaziamathias8861 Год назад

      Ndo maana huwa nawaambia Waislam huyo lssa sio Yesu huyu tunaemzungumzia Sisi Yesu alikuwa na mitume 12 nini maana ya mitume? Mitume ni watu wanaotumwa sasa Yesu aliwatuma mitume wake wakaihubili injili Huyu Yesu tunaemjua Sisi ndiye Kristo yaani anaitwa Yesu Kristo hapo ndipo Neno ukristo lilipozaliwa Sisi ni wafuasi wa Kristo hivyo Sisi ni wakristo na Dini Yetu ndipo ukaanza kuitwa dini ya kikristo na ukristo Umeanza kabla ya uislamu nikimaanisha Yesu alikuja kabla ya Muhammad nadhani umeelewa nini maana ya ukristo

    • @francisjoseph1074
      @francisjoseph1074 Год назад

      Lete usibitisho

  • @supershopdubaifalis6249
    @supershopdubaifalis6249 2 года назад

    Sns no1

  • @lazaromakungu3499
    @lazaromakungu3499 5 месяцев назад

    hii story ipo poa sana.....kwa wanao penda pia anaweza aka tafuta movie inaitwa QUO VADIS inaelezea story hii pia

  • @fettymarijani2415
    @fettymarijani2415 10 месяцев назад

    Petro aliuwawa na warumi, na kaburi lake limewekwa mnara mrefu pale ltaly na Paulo pia aliuwawa alishikwa ugoni.

  • @mweusiasili8345
    @mweusiasili8345 2 года назад +1

    Jna nilitaka kuomba utupachikie story baada ya kurudia rudia sana za miezi 5 iliyopita

  • @zaburi2386
    @zaburi2386 2 года назад +3

    Pamoja na yote hayo Bado waislam hawatak kumkiri YESU

    • @mustafamsatimuhenga253
      @mustafamsatimuhenga253 2 года назад +1

      Kumkili yesu kua ndio mungu?

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr 2 года назад +1

      Km hujui imani za watu bora ujifunze au uulize km hujui bora unyamaze,,hakuna dini inayompenda na kutukuza mitume yake kama islam,,,unajua Issa R.A.ametajwa mara ngapi kwenye quraan,,?Islam follow issa kuliko unavyomfollow ww

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr 2 года назад

      @@mustafamsatimuhenga253 hajui asemalo huyo

    • @wardw3022
      @wardw3022 2 года назад +1

      Waislam tunajuwa Isa bin Mariam na ni Nabii kama manabii walotagulia kama Ibrahim Musa Ismail na wengineo

    • @allykomsonde7813
      @allykomsonde7813 Год назад

      Niru alimhasi kijana wakiume namkimfanya mkewe nabado roma hadileo ndio taifa lenye kiongozi wadini ya kikrito inayo biga upatu watu waingiliane kinyume namaumbile je unataka muislamu gani afuate uovu kamahuo jitafakari kwahili

  • @victormbekomize8154
    @victormbekomize8154 2 года назад

    Hayo ndio maajabu ya kitabu kitakatifu cha BIBLIA

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 2 года назад

      Kitabu kitakatifu biblia?
      Wakorintho 1:25

    • @ESTERMADIRISHA
      @ESTERMADIRISHA 6 месяцев назад

      Hizi story hazipo kwenye Bible mpendwa bali ni kwenye kitabu cha Historia ya Watakatifu

  • @ElibarikiLevava
    @ElibarikiLevava 5 месяцев назад

    Bk au after christ kuzaliwa

  • @haruniaisha5905
    @haruniaisha5905 Год назад

    Utasikia israeli sio wakristo uezi watenganisha yesu myahudi jamani

  • @autoimmunesecurity2140
    @autoimmunesecurity2140 Год назад

    Katika kuhubiri kwake petro hakufika roma hivyo hakufia roma.

    • @paschalsafari9747
      @paschalsafari9747 4 месяца назад

      Alikufa Roma na kaburi lake lipo hadi leo pale Vatican.. ndipo ilipojengwa kanisa la mtakatifu petro..l

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 2 года назад +2

    shida ya kuwapa vijana madalaka makubwa huku wamekosa hekima na busara wanajiona wao ndio dunia yao

    • @samsonhumbe8220
      @samsonhumbe8220 Год назад

      Historia ni nzuri, ula yafaa makala hii ungetia kitabu chake ingefaa zaidi. Yote kwa yote ubarikiwe na Bwana Yesu, nakushukuru sana..

    • @ESTERMADIRISHA
      @ESTERMADIRISHA 6 месяцев назад

      ​@@samsonhumbe8220Kitabu kipo mpendwa kinaitwa Historia ya Watakatifu cha kanisa katoliki, Kila mwanafunzi wa Yesu anayo Historia yake pia na hatima yake

  • @yohana1242
    @yohana1242 5 месяцев назад +2

    Najiuliza san kuhusu Paulo utume kapewa na nani wakati yeye alikua akiupinga ukristo na wakati yesu kashaend mbinguni ndo akaanza Kuwa mtume na yesu akawa mungu wake😢

    • @kanezajoella6663
      @kanezajoella6663 2 месяца назад

      Ukisoma bibilia ukasoma historia yote utajuwa ukweri wote chanzo chake kuanza kumtumikia MUNGU na utajuwa alio ya pitia alipo mjuwa MUNGU na kuamini YESU CHRISTO Kama ni MUNGU

    • @EmanuelSule-k8q
      @EmanuelSule-k8q 11 дней назад

      soma matendo 9:1-19

  • @androidamanimmollel6662
    @androidamanimmollel6662 8 месяцев назад

    Huyu mtangazaji anaitwa nani

  • @pesaspy_tv
    @pesaspy_tv 2 года назад +1

    Yawezekana hata mwana marundi wa mwanza alikuwa mtume maana alinyongwa na hakufa

    • @gh7naa
      @gh7naa 2 года назад +2

      Nyiyi maingia motoni hakuna mtume akija bila kutajwa kila mtume mana bee huwa wanatajiana ktk vitabu kuna mitme wengi ila sio kuja tu

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 2 года назад

      Duh 🙄!

  • @charlesboniphace2249
    @charlesboniphace2249 Год назад

    Anakuja mjinga mmoja anakuambia Israeli sio ardhi ya wayahudi

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 года назад

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌️

  • @godwinmwakibibi274
    @godwinmwakibibi274 2 года назад +2

    Kanisa la Roma ukifatilia huwez salii viongoz wake walikiw makatili sna na Bado Wana part za unyonyaji mpka leoo

    • @gh7naa
      @gh7naa 2 года назад +1

      Wambie wale kwanza ni fremason ila kumkinga kwa uongo wao wa dini kumsingizia yesu kwanza waguasi wa yesu si mitume mitume walio shushiwa vitabu paulo alizidisha maneno

    • @madetetv6576
      @madetetv6576 2 года назад

      @@gh7naa hapana si kweli halafu kanisa Katoliki haliendani na dola la rumi ndio maana Mitume waliuwawa na himaya ya rumi Ila kanisa lilikueepo rumi fatilia ma papa wa Katoliki utagundua Mtume Petro alikuwa ppa wa kwanza wa Roman Catholic

    • @catherinechifebe5800
      @catherinechifebe5800 2 года назад

      UELEWA NI ZAWADI TOKA KWA MUNGU ROHO MTAKATIFU...HII HADITHI INATAJA UKATILI WA KAISARI NERO....MPAGANI NA WEWE UNACHANGANYA NA KANISA KATOLIKI....LOH WALIMU WANAKAZI

    • @paschalsafari9747
      @paschalsafari9747 4 месяца назад

      Acha upumbavu wa akili...Elewa kuwa dola ya rumi ni kitu kingine na kanisa katoliki ni kitu kingine...warumi waliuwa wakristo ..na wakristo waliouwawa ni wakristo wakatoliki...maana ndilo kanisa lililokuwepo... Makanisa yote ya kiprotestant unayoyaona leo yaliibuka karne ya kumi na tano .waanzilishi wa makanisa haya walikuwa ni wakatoliki. Mfano padre martini Luther ndiye mwanzilishi wa kanisa la. Lutherani..huyu aliasi kanisa katoliki na kufunguwa kanisa lake ...ukija kwa kanisa la Anglicana hili nalo lilianzishwa na mfalme Henry wa nane wa uingereza ..huyu alikuwa ni mkristo mkatoliki na mtawala wa uingereza.. kuanzia wakati huo kupitia makanisa haya ndipo yakazaliwa madhehebu mengi ya kikristo...ndiyo haya unayo yaona leo...

  • @pesaspy_tv
    @pesaspy_tv 2 года назад

    Ila uarabuni tu ndy hao mitume walishindw a kuhubiri injili

    • @dimitrimugravech
      @dimitrimugravech Год назад

      Acha dhihaka Kwan Mohammad alienda roma or European

  • @thisboyisgreat
    @thisboyisgreat 2 года назад +1

    Sijawahi kusikia kiundan kanisani kuhusu yesu na watumishi wake

    • @mustafamsatimuhenga253
      @mustafamsatimuhenga253 2 года назад

      Utasikia mitume wa yesu ila hapo kwa paulo ndio usiamini paulo hakua mtume wa yesu na sio mueslael hakuwai kutana na yesu na pia uchrist na pia soma biblia utagundua yesu hakua mchristo

    • @francisjoseph1074
      @francisjoseph1074 2 года назад +4

      @@mustafamsatimuhenga253 Yesu hawezi kua mkristo sababu yeye ndio Kristo wafuasi wake ndo wakristo, sababu wanamfuata tumia akili kabla hujaropoka na sio kukaririshwa

    • @زينبعليعبدالله-ز3س
      @زينبعليعبدالله-ز3س 2 года назад +2

      ​@@francisjoseph1074 hahaha sasa kama yesu ndo Kristo acha uongo yesu hakuwa Kristo wapi umeona waisrail ni wakirst kama ukristo umetokea huko roma

    • @mustafamsatimuhenga253
      @mustafamsatimuhenga253 2 года назад

      Hahaha sasa yesu kama nikweli hakua mchristo bas alikua muumini wa dinigani? Ili nanyi muifuate mimi situkani napenda kujifunza na swali jengine ni je huko alipotokea yesu islael kuna makao makuu ya kanisagani kamakweli ucchristo unamausiano na yesu

    • @mustafamsatimuhenga253
      @mustafamsatimuhenga253 2 года назад +2

      Matendo 22 28 poulo ni mrumi yesu hakua na mwanafunzi mrumi huyu poul ndio alishirikiana na petro na kuanzisha uchristo na kanisa la kwanza lipo rom italiy ndo kanisa lakwanza na ndiokubwa dunianzima yesu hakuwai kuingia kanisani yesu alikua akifubdisha na kufanya ibada kwenye miskiti hukokwao tusome vitabu ili tuelewe tusimezeshwe imani bila maandiko

  • @EstherKabika-b4v
    @EstherKabika-b4v Год назад

    WEWE UNAYESIMULIA UMEOKOKA ?

    • @paschalsafari9747
      @paschalsafari9747 4 месяца назад

      Ni mkristo..ila siyo mfuasi wa makanisa ya watu binafsi.

  • @jameswisdomtz8580
    @jameswisdomtz8580 2 года назад

    Hii makala imenigusa sana kabisa😒😒😒

  • @faridithomas4859
    @faridithomas4859 2 года назад

    Paulo hakuwa mtume, wanatheolojia wanathibitisha hivyo!! Huyo jamaa ndio aliyekuja kuvuruga mafundisho ya Yesu

    • @lydiarugemalira9182
      @lydiarugemalira9182 2 года назад +1

      Kivip kaka

    • @madetetv6576
      @madetetv6576 2 года назад +1

      Mbona unapotosha Kaka Yani unatumia Quran kumkosoa Paul? Acha hizo stori pelekeni msikitini

    • @audifansisafari5587
      @audifansisafari5587 Год назад

      Kama hujui Paulo ndiye aliyeinarisha zaidi Ukristo baada ya kupokea maono kutoka Kwa YESU

    • @faridithomas4859
      @faridithomas4859 Год назад

      @@audifansisafari5587 eti kupokea maono toka kwa yesu🤣🤣
      Binadamu atampaje ufunuo binadamu mwenzake!?? Zinduka wewe acha kuwa mjinga
      Fuatilia kauli za wanatheolojia wakubwa kumhusi mshenzi Paulo na si vijimaneno vya watu wajinga mfano wako

    • @audifansisafari5587
      @audifansisafari5587 Год назад

      @@faridithomas4859 we ndezi kweli YESU ni Mungu kweli na mtu kweli,

  • @abuluqmanal-athay8223
    @abuluqmanal-athay8223 2 года назад

    Try to go back to research... To confirm how Paulo becomes a real in Jesus propagation.

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr 2 года назад

    Issa RA alizaliwa Bethlehem, kwa nini kule isiwe ndio makao makuu ya Rom,,badala yake yapo 🇮🇹,,why

  • @africanproudly4004
    @africanproudly4004 2 года назад +1

    Achaneni na haya matangopori ndugu zangu nendeni kwa Imani Mcimbwa mpate kuijua asili yenu Muumba wa kweli Kristo wa kweli alikuwa mweusi historia yenye kueleweka bila maswali ....
    SnS najua mnatupenda il stori za dini na historia nyingi ni matangopori tunapewa
    Kama hujanielewa pita hutaki kudadisi pita comment yangu sina muda wa kubishana ukweli muutafute wenyewe mpime ya kubeba

    • @francisjoseph1074
      @francisjoseph1074 2 года назад +1

      We nae toa ukichaa wako, hapa Asili ya MTU ni MTU mweupe MTU mweusi production ya generatio Tu, Ndomana hata MTU mweusi akikutana kimwili na MTU mweupe lazima mtoto atoke Mweupe, Kwa asilimia kubawa, kama unabisha Nenda kaoe Mzungu, mchina mhindi mwarabu , uone kama utazaa mtoto mweusi

    • @jacksonngusi4122
      @jacksonngusi4122 2 года назад

      Labda nikutoe udish kichwani kwani waisraeli ni weusi au weupe ukijua ndio umjue Yesu achana na uo upofu

    • @africanproudly4004
      @africanproudly4004 2 года назад

      @@jacksonngusi4122 and who can produce all color 😳

    • @africanproudly4004
      @africanproudly4004 2 года назад

      @@jacksonngusi4122 huasilia wa historia hauendani na waIsrael wa sasa bali na watu weusi... Yesu ni mweupe uko sahihi but Kristo wa kweli ni mweusi

    • @africanproudly4004
      @africanproudly4004 2 года назад +1

      @@francisjoseph1074 mtu ni mweusi binadam ni mweupe...swali la kujiuliza nikupe ni mtu au binadamu anaweza kutoa rangi zote?
      Asili inasema mtu wa kwanza ni mweusi binadamu walipatikana baada ya malaika walioanguka kuzaliana na watu weusi ndo rangi nyingine zikaja
      Alafu ukitoa haja sio unanitukana mimi kichaa toa hoja yako kwa heshima kama kweli unaheshimu unachokiabudu