Sauti ya sky naipenda unasikiliza story hadi unasikia raha☺️ Big Love from Germany🇩🇪🙌🏼 Vatican Roma italy utalii wangu wa kwanza kabisa nilianza kutembelea kwenye jumba la Vatican kwanza nilishangaa sana viongozi walio kufa maiti zao zinaishi kwenye jeneza la vioo na wamelala vizuri tu wima😬🧐 kuhusu vitabu vinavyohusishwa na uchawi ni kweli vipo maktaba hizo tena uchawi huo unasoma tu nakufata maelekezo na uchawi unakuja live aswa huko UK na marekani kama vile tunavyoona kwa movies zao ni vitu vyakweli kabisa
You should have a podcast talking about history and i will subscribe. By far the best story i have listened from you. I love history myself but the Roman Empire is just something else. Talk about their architecture someday. It’s believed they had heated floors way even before electricity. I wonder how the modern architecture is so basic
Sky kila siku huwa nakufiatilia sana ILA Leo ndo nimekuwa kwenye Top list yangu ya watu ninaowakubari Duniani coz mko pafect na mnauelewa mkubwa mno, ASA kwenye story ya maktaba ILA nakuomba umtafute Mtumish mmoja anaitwa bishop Aurelian ngonyani mwanathiologia naimani utamuuliza maswali mazuli kuhusu historia ya kanisa na dunia Kwa ujumla jamaa anajua na ana iQ ya juu
Sky Walker.. we ni nomaa unajua kupanga matukio na kusimlia unafanya msikiliza sio tu kufurahia historia Bali pia kujifunza.. hakika hii SmS itafika Mbali Kwa ufanisi
Humo ndiyo mna siri ya jinsi kanisa katoliki lilivyo badili sabato ya kibiblia ya siku ya Saba jumamosi na kuifanya siku ya kwanza ya juma jumapili kuwa badala ya sabato
Sns nmekupongeza kwasababu umefuatilia kitu kilichokweli Rome empire ulifanya vitu visivyokawaida lkn pia ulipoungana serikali na Dini ulifanya kufuru ambazo ziliua zaid ya mamilioni ya waumin kikatili mno kuna agenda kubwa mno humo lkn pia hata freemasons waanzilishi wapo humo, na makundi makubwa ya sili Na mipango mipya ya Dunia na naamini hawataweza kuweka wazi mambo yao kwasababu watu watastaajabu mambo hayo
@@SimuliziNaSauti kanisa limepitia mateso zaidi ya miaka Mia mbili likiteswa na makaisali WA Roman empire makaisali wamewauwa watakatifu na wakristo WA kweli , ILA mungu alivyowaajabu neno liliwafikia na wakaaminki na kua wakristo ulisoma katika ufunuo kuna kumbe za makanisa Saba ya kinabii kama Unaakili ukisoma na ukaelewa hizo jumbe utagundua kitu
Nachokijua mimi na natamani wengine wakijue ni kuwa, endapo vatikan wataamua kufichua kila kitu kilicho kwenye hio maktaba basi naamini hakutakuwa na ukatoliki wala ukristo maana lisemwalo lipo na kama halipo laja. Nalo ni kwamba "dini ya asili na ya mwanzo tangia dunia kuumbwa ni UISILAMU" tuwe watafiti binafsi na tuwe wepesi kuukubali ukweli.
Hata Bible ya kwanza original imefichwa humo yenye muongozo sahihi isiyochakachuliwa na yenye utabiri wa Mtume Mohammad kuwa ndiye atakayefata baada ya yesu (Issa) na ukweli tofaut na bible ya kileo upo humo ila wakristo wa leo hawajui jambo hilo na hivyo wamepotezwa tayari na utawala wa kirumi (kanisa catholic la leo)
Protestant ni makanisa yote tofaut na roman Catholic. Yaan makanisa yote nje na roman Catholic au yaliyo kinyume na catholic ndio yanaitwa "protestant" . Protestant ina maana ya mpingaji
Tunaendeshwa na mifumo ya baadhi ya viumbe kwa kutimiza mambo yao. Humo kunatunzwa viumbe na taratib za hao viumbe ili kutimiza ujio wao wa kuwapumbaza viumbe binadamu
Hakuna siri isipokua kuna uchawi wa kiwango chajuu. Kwakua siri kwaaslimia kubwa hufanywa na wachawi ili watu wangi wasijue namna wanavyouawa. Na bibilia ni moja ya wachawi Hao Hao ambao wameiandika na kutugawagawa vikundi ambavyo havielewani hata kwa jambo moja. Ukweli huwaunganisha watu, wangekua wameficha ukweli sote wangetuachia tujue. Lakini kwakua wameficha uovu na mambo mabaya ya viumbe kutoka kwenye sayari tofauti. Wanajua kua tukijua, kesho tutakua kama wao kwenye uchawi
Mengi yamefichwa kwenye hizo maktaba na kibwa zaidi ni kuficha UKWELI WA MAMBO..MAMBO MENGI YAMEPINDISHWA NA WATU WAMEFANYWA VIPOFU KWA KUTOJUA ILA MINGU NI MWEMA, KILA JAMBO LIMEWEKWA WAZI, INGAWA BADO WATU HAWAONI..
Your story needs to be supplemented with primary sources. Otherwise it is based on unproved accusations and thus it does not qualify to be called scientific. Provide primary sources please
Kuna Tofauti Kati ya SIRI na UZEMBE WA KUSOMA. (nyingi si siri za kufichwa bali ujinga wa kusoma ndo unafanya zionekane siri. Maana kuna baadhi yaliyosemwa kama siri na sns, ki uhalali si siri bali kuwa na knowlege kutoka kwa secondary sources kama si mbali kabisa na ukweli halisi. Kwa kutokuwa na primary sources imformation, SNS mmpetupigw chuma kizito"🙏🙏)... maana kuna ulivyoviita siri, na wakati watu wana ufahamu navyo miaka dahali ilopita. Chunguza zaidi wasaa mwingine🙏🙏
@@josephsebe5857 🤣🤣🤣🤣 kwamba wamepita kama hii comment haramu maana inahalalisha vilivyokwisha kuharamishwa na ulimwengu wa kupewa pongezi bila kutiwa hata hoja moja ya kuonekana kuwa kuna pahala ngumu kufikika bila kupongeza asiyekupa zawadi ya kukupigia meza za wabunge🤣🤣
Je itakuwaje kama wameficha ukweli kwamba huyo Yesu hakuwahi kuwepo Bali ni mtu wakubuniwa,?,ikiwa ni hvyo bado utakuwa na nguvu yakujitapa na uislam wako
@@josephevaristi8923 kuna nguvu katika Yesu watu tumeshaprove ilo,soma biblia achana na mambo ya Siri haya hayakupeleki popote,biblia ndio msema kweli hawa wote Siri zao ni mambo ya giza tu
Ndiyo mmuelewe ukristo kwa ujumla uko chini ya uongoozi wa ibilisi. Kanisa katoliki ndilloo lililobebaa uhaalifu mkuuu kkuhusu ukweli wa kinsi walivyyotendaa mambo yao kwa siri ilii wasisemmwee , majumba hayo ni makazi ya ibilisi. Hatta Mungu waao wa utatu alittengenezwa katika ad 325,, wakati wa Constattine
Msimulizi.unakosea sana unapotowa maelezo ya uwongo dhidi ya kanisa katoliki...wewe unajuwa zaidi kuliko wakristo wakatoliki ? Embu weka Udini pembeni wa kisabato...weka chuki pembeni / acha husuda na wivu usiyo na faida yoyote...usipotoshe ukweli kuwa uwongo..tubu hiyo dhambi..
RONGORONGO ETI JUMBA KUBWA LINATISHA NA GOROFA ZA DUBAI NA SHANGHAI MBONA HUSEMI WEWE ACHA UJINGA. .KAWACHUNGE NGEDERE WASILE MIHOGO YA BIBI HUKO UWASEME NGEDERE NI WATU 🤣🤣🤣🤣
Hapa Kuna kikubwa cha kujifunza kutokana na taarifa ,Allahmdulilah A m Muslim
Sauti ya sky naipenda unasikiliza story hadi unasikia raha☺️
Big Love from Germany🇩🇪🙌🏼
Vatican Roma italy utalii wangu wa kwanza kabisa nilianza kutembelea kwenye jumba la Vatican kwanza nilishangaa sana viongozi walio kufa maiti zao zinaishi kwenye jeneza la vioo na wamelala vizuri tu wima😬🧐
kuhusu vitabu vinavyohusishwa na uchawi ni kweli vipo maktaba hizo tena uchawi huo unasoma tu nakufata maelekezo na uchawi unakuja live aswa huko UK na marekani kama vile tunavyoona kwa movies zao ni vitu vyakweli kabisa
Asante sana Bella
Kwa kweli.
simulizi hizi ndo zinaitajikwa
sauti la Sky Mashallah😍😍
5/5 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Asante sana naubarikiwe,Katoriki Mungu azidi kuisamia Roho Mt.azidi kutusimamia tusitenguke kiimani.
ujinga, yaani mmetengana wote nyinyi madhehebu ambapo siyo maagizo ya KRISTO.
You should have a podcast talking about history and i will subscribe. By far the best story i have listened from you. I love history myself but the Roman Empire is just something else. Talk about their architecture someday. It’s believed they had heated floors way even before electricity. I wonder how the modern architecture is so basic
Yes please show that primitive jealous angry man. THAT ROMA WASN'T BUILT IN HIS BRAIN 🤣 THAT'S WHY HE BRING US STUPID THINGS.
😅
Yaani wakati wengine wanatuandikia habar za hofu ya Ebola na Corona sky anatutuliza na story nzuri Kama hz bro Mungu azid kukuinua
Imani, Tumaini na Upendo.
Mungu ni UPENDO.
Inasisimua sanaaaa,ila bado Biblia tuliyonayo ina majibu ya maisha yetu,Maana Mungu wetu haokoi kwa wingi wala uchache,yanayosha tuliyoyasikia
Sky kila siku huwa nakufiatilia sana ILA Leo ndo nimekuwa kwenye Top list yangu ya watu ninaowakubari Duniani coz mko pafect na mnauelewa mkubwa mno, ASA kwenye story ya maktaba ILA nakuomba umtafute Mtumish mmoja anaitwa bishop Aurelian ngonyani mwanathiologia naimani utamuuliza maswali mazuli kuhusu historia ya kanisa na dunia Kwa ujumla jamaa anajua na ana iQ ya juu
Asante sana Francis kwa pongezi na pia suggestion, tutalifanyia kazi
Yaani kila tunapozidi kuelewa mambo ndipo tunajikuta tuko kwenye mvurugano mkubwa sana, sasa je ?? Tunaelewa au tunajikoroga???
Je ?? Hizi dini zote hizi , ni hadisi ya kutengeneza au ni kweli ,,,mengi tumefichwa.lakini iko siku
@@ezekieljacob5795dini ya kweli ni ukristo sababu inahushahidi WA kimaandishi kihistoria kisayanci na kithioligia
Ukitaka kujua dini Ya kweli ni ipi soma Yakobo 1. :27 @@francisjoseph1074
Thank you SNS ❣️❣️❣️❣️
Wafundishen uchawi mzul awa watu weus kama mkaa Mana wenzetu Wana uchawi mzul unao leta faida nasio kutiana hasara
Wanaoujua ulimwengu huu ndio wanaouendesha, kuna siri kubwa sana juu ya maendeleo ya dunia hii tunayoiona
Kweli Dunia Ina mambo mengi sana sisi tunaojifanya wajuaji ndo hatujui chochote..
Safi Sana bro nakupata kutokea Canada🇨🇦🍁🍁🍁🍁👍👍👍🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦
Sky Walker.. we ni nomaa unajua kupanga matukio na kusimlia unafanya msikiliza sio tu kufurahia historia Bali pia kujifunza.. hakika hii SmS itafika Mbali Kwa ufanisi
Bibilia ya kwanza original imefichwa humo piaa
Knowledge nyingi zipo kwenye maandishi ambapo Kuna Siri nyingi zimefichwa.
Sauti kama ni tv bas zaidi ya HD
Sns br unajua sana napenda sana kaz zako endelea nakaz nzuri
Asante sana
Ukute hii maktaba imejaaa siri za kichawi tu hakuna zaidi cc kitabu chetu kimoja tu kinatosha
Unaona wivu
Ukishafuga majini wew ni mchawi tayar😂
Majini humo humo neno la Mungu humo humo
😂😂😂😂
Humo ndiyo mna siri ya jinsi kanisa katoliki lilivyo badili sabato ya kibiblia ya siku ya Saba jumamosi na kuifanya siku ya kwanza ya juma jumapili kuwa badala ya sabato
Walio kiona kitabu cha ngoswe PENZI kitovu cha UZEMBE gonga like yako.
Hhhhhhhhhhhhhh
Thank you sky
Umesema sawa asimia Mia
Sky wewe ni mkatoriki ? maana umejus kuchambu. I like that. 👍
Ngoswe Penzi kitovu cha uzembe 🤣🤣🤣🤣
Nakubali blood
Kama ni siri wewe uliifahamu vipi?
Hapa sasa ndip mmenipata sns nime subscribe leo... asante sana Sky
Sns nmekupongeza kwasababu umefuatilia kitu kilichokweli Rome empire ulifanya vitu visivyokawaida lkn pia ulipoungana serikali na Dini ulifanya kufuru ambazo ziliua zaid ya mamilioni ya waumin kikatili mno kuna agenda kubwa mno humo lkn pia hata freemasons waanzilishi wapo humo, na makundi makubwa ya sili Na mipango mipya ya Dunia na naamini hawataweza kuweka wazi mambo yao kwasababu watu watastaajabu mambo hayo
Maskini wewe una mawazo ya kifara kweli
Shukrani sana Jackson
@@Expedito2512 njoo na reason usiende tu
@@SimuliziNaSauti kanisa limepitia mateso zaidi ya miaka Mia mbili likiteswa na makaisali WA Roman empire makaisali wamewauwa watakatifu na wakristo WA kweli , ILA mungu alivyowaajabu neno liliwafikia na wakaaminki na kua wakristo ulisoma katika ufunuo kuna kumbe za makanisa Saba ya kinabii kama Unaakili ukisoma na ukaelewa hizo jumbe utagundua kitu
@@francisjoseph1074k
Nachokijua mimi na natamani wengine wakijue ni kuwa, endapo vatikan wataamua kufichua kila kitu kilicho kwenye hio maktaba basi naamini hakutakuwa na ukatoliki wala ukristo maana lisemwalo lipo na kama halipo laja.
Nalo ni kwamba "dini ya asili na ya mwanzo tangia dunia kuumbwa ni UISILAMU" tuwe watafiti binafsi na tuwe wepesi kuukubali ukweli.
@ kheri Mombasa Toa ushahidi wowote wa kihistoria nje ya quran kwamba kulikuwa na uislam kabla ya nabii muhamad
Uislam ulikuja baada ya ukristu
@@abduljuma2214 umetoa hoja nzur
Punda we Islamic imeanza lini acha kijidanganya Dini ya majini nyiye
Ngoja waje mm nasikiliza tu
Hata Bible ya kwanza original imefichwa humo yenye muongozo sahihi isiyochakachuliwa na yenye utabiri wa Mtume Mohammad kuwa ndiye atakayefata baada ya yesu (Issa) na ukweli tofaut na bible ya kileo upo humo ila wakristo wa leo hawajui jambo hilo na hivyo wamepotezwa tayari na utawala wa kirumi (kanisa catholic la leo)
Hakuna sir inayofichwa ya kidin humo
Kunafichwa mambo yanayofanyika humo na baadhi ya viumbe vinavyo waongoza katika kutimiza mambo yao
Mmetoka ktk madam, mnaleta ukenge,nye zenu zi wapi?
Nimeipenda hii kinoma👏👏👏🇹🇿🇹🇿
Irmao você é bom talentoso ❤❤❤
Mwisho wao umekaribia
Aisee hii makala ndo pendwa kwangu.. nimeikubali mno kanisa lina hazina bhn na nahic kuna maandishi yale ambayo hayakuwekwa kwenye biblia yamo humu..
Kweli atamimi nasikiaga inavyosemekanaga mambo yote ayakuwekwa kwenye biblia
@@frankjosephmush4530
Ikiwa Biblia Haijakamilika Basi Hata Ukristo Upo Nusu Bado Dini Haijajitosheleza
Sasa hao wanaoficha jamani kwanini wafiche maagizo ya Mungu??
@@hashimalsaadat4905 rafiki okoka acha ushabiki wa dini
Yesu anakupenda mpatie maisha yako utajua ukweli usio ujua
@@Mariamkimaro2024 kuokoka ndiyo nini rafiki soma BIBILIA vizuri
Mungu atusaidie sana
Tumeipenda story hi ila itabidi. Nisome kwa kurudiarudia ndiyo nitaielewa vizuri zaidi. Nimeipenda story hi Ina mafundisho mengi mno
Napendaga simuliziii
Nipe history ya Lilith mke wa Kwanza wa Adam ambae Kwenye Bible wameficha na kumuweka Hawa
KISA CHA LILITH NA VITABU VILIVYOONDOLEWA KWENY BIBLE
Boss leo nimwkuelewa sana kwa be hii noma sanaa
Thanks for this dunia ina siri kubwa
Brother Sky ishu kama hizi jaribu kuelezea kiundani bila kuacha maana ya baadhi ya maneno ambayo hatuelewi. protestant ndio nini mfano🙋🏾♂️
Protestant ni makanisa yote tofaut na roman Catholic. Yaan makanisa yote nje na roman Catholic au yaliyo kinyume na catholic ndio yanaitwa "protestant" . Protestant ina maana ya mpingaji
Kaka hizi ndo vitu tunataka kusia
Tunaendeshwa na mifumo ya baadhi ya viumbe kwa kutimiza mambo yao. Humo kunatunzwa viumbe na taratib za hao viumbe ili kutimiza ujio wao wa kuwapumbaza viumbe binadamu
naomba hiz simulizi zipewe JINA
Kilomita 85 hiyo Ni corido yenye shelf iliyo jaa vitabu Dooh!! Hakika Ni kubwa kwa kweli!
Ni Siri Kwa wengine lakini sisi Waadventista wasabato tunaujua ukweli wote! Nabii Ellen White ameonyeshwa yote
Mimi naamini kuwa ni kweli hizo Maktaba zina siri nyingi ambazo hawataki kuzitoa.
Sauti nzuri
Nyaraka nyingi waliiba kwenye nchi mbàlimbali...misri,Israel ni
Your correct
Hakuna siri isipokua kuna uchawi wa kiwango chajuu. Kwakua siri kwaaslimia kubwa hufanywa na wachawi ili watu wangi wasijue namna wanavyouawa. Na bibilia ni moja ya wachawi Hao Hao ambao wameiandika na kutugawagawa vikundi ambavyo havielewani hata kwa jambo moja. Ukweli huwaunganisha watu, wangekua wameficha ukweli sote wangetuachia tujue. Lakini kwakua wameficha uovu na mambo mabaya ya viumbe kutoka kwenye sayari tofauti. Wanajua kua tukijua, kesho tutakua kama wao kwenye uchawi
Ndio maana inakuwa siri
Huo nimtazamo wako na fikra zako binafsi.
Maajabu umeweka profile picha ya harusi(umem-beba mke wako) baada ya kufunga ndoa kanisani
@Barry, mimi nakuelewa haya mambo yana siri kubwa sana sio rahisi mtu kuelewa unless you go deeper spiritually ,
Chuki za kidin zitakuuwa tatizo upo kwenye dini amboyo historia yake inaanza kwa mchungaji alikua kibaka 😂😂😂😂
Kwaiyo hiyo maktaba imehifadhi historia za wizi za kila pahal
Unaweza sana historian na uwe upande uo uko kwingine waachie vijana
Anaandaliwa story na mtu mwengine yeye ni msomaji tu
Upuuzi tu, tutakuamin vip
here we go👌
Nakubali kaka tunajifunza hakika
Tafta kitabu cha Great Controversy( pambano kuu) kimeandikwa na Ellen. G. White kuna siri za upapa nying
PIA KUFICHA UKWELI WA KUJA KWA MTUME MUHAMMAD KWAMBA HATAKUJA NA KITABIRIWA YA YESU
Kwani ni aya au sura gani ndani ya kuraani inayosema Nabii Issa Bin Mariam alitabili ujio wa Muhammad?
😂😂😂nam hata mchana siwezi nikiwa peke yangu maana mmh
Twende vatican
Mengi yamefichwa kwenye hizo maktaba na kibwa zaidi ni kuficha UKWELI WA MAMBO..MAMBO MENGI YAMEPINDISHWA NA WATU WAMEFANYWA VIPOFU KWA KUTOJUA
ILA MINGU NI MWEMA, KILA JAMBO LIMEWEKWA WAZI, INGAWA BADO WATU HAWAONI..
Km 83 hapana
Wakwanza Leo 🤪
Hii ndio *SIMULIZI NA SAUTI* SASA
Acha uongo.
Toa na simulizi ya Martin Luther pia
Nini: makitaba inakilomita 83!!!??
Kilometa 83 mmmhh mbona parefu
💥☺️
Kilometer 85.3!!!
Wanakula nyama au njama? Asante sana kwa ku share nasi habari nyeti
Njama. Ulimi hauna mfupa..naukakika alimaanisha neno Njama.
Makao makuu ya siri za freemason na devel
We unjiunga nao boya we
Mambo ni mazito sana
Km 85.3?
Your story needs to be supplemented with primary sources. Otherwise it is based on unproved accusations and thus it does not qualify to be called scientific. Provide primary sources please
Sky ww ni msimuliaji bora kwa ss aisee
Asante sana
Kuna Tofauti Kati ya SIRI na UZEMBE WA KUSOMA. (nyingi si siri za kufichwa bali ujinga wa kusoma ndo unafanya zionekane siri. Maana kuna baadhi yaliyosemwa kama siri na sns, ki uhalali si siri bali kuwa na knowlege kutoka kwa secondary sources kama si mbali kabisa na ukweli halisi. Kwa kutokuwa na primary sources imformation, SNS mmpetupigw chuma kizito"🙏🙏)... maana kuna ulivyoviita siri, na wakati watu wana ufahamu navyo miaka dahali ilopita. Chunguza zaidi wasaa mwingine🙏🙏
Mbuzi kimpigia zeze ndio kwanza ANAFIKIRI SASA FIMBO IMEKUWA BUYU RUNGU. 🤣
@@josephsebe5857 🤣🤣🤣🤣 kwamba wamepita kama hii comment haramu maana inahalalisha vilivyokwisha kuharamishwa na ulimwengu wa kupewa pongezi bila kutiwa hata hoja moja ya kuonekana kuwa kuna pahala ngumu kufikika bila kupongeza asiyekupa zawadi ya kukupigia meza za wabunge🤣🤣
Ujuaji ukizidi sana unakua ni upumbavu 🙌🏼Hilo ndo neno langu la leo
@@maalimseifk-gumuadui123 🤔🤔upumbavu nao ukizidi🤣🤣🤣🤣
Mkuu lete habari za ANNUNAK
Muongo sana.
Ukweli siku zote humuweka mtu huru na hawa jamaa hawataki tuwe huru kifkra kwamwe.
Wana ficha Siri kubwa ya juu ya yesu kumzunguzia mtume wetu Muhammad salallahu alehi wasalam
Ndio maana wanaficha mandishi kwa library
Hiyo ndio point 👉
Je itakuwaje kama wameficha ukweli kwamba huyo Yesu hakuwahi kuwepo Bali ni mtu wakubuniwa,?,ikiwa ni hvyo bado utakuwa na nguvu yakujitapa na uislam wako
@@josephevaristi8923 kuna nguvu katika Yesu watu tumeshaprove ilo,soma biblia achana na mambo ya Siri haya hayakupeleki popote,biblia ndio msema kweli hawa wote Siri zao ni mambo ya giza tu
Mwenyewe unajichanganya uko kwa kitu wewe Mwenyewe huna Imani nacho
Tuletee mwendelezo
Hiyo SIRI ya nini kwenye kutangaza neno la MUNGU? Bac kuna tatizo kwa hali hiyo!!! Kuna mambo yasiyofaa, wanaficha ili watu wasijue!
Maktaba ya Freemason
Ndiyo mmuelewe ukristo kwa ujumla uko chini ya uongoozi wa ibilisi. Kanisa katoliki ndilloo lililobebaa uhaalifu mkuuu kkuhusu ukweli wa kinsi walivyyotendaa mambo yao kwa siri ilii wasisemmwee , majumba hayo ni makazi ya ibilisi. Hatta Mungu waao wa utatu alittengenezwa katika ad 325,, wakati wa Constattine
Nao wanataka uishie kujua hvyo ili ubaki mjinga siku zote
Pole hujui mambo mengi hata uislamu una mambo unafanana na Ukatoriki mbona kama ukristo ni uibilisi.
vitabu vyote hvy ambavyo vimo humo basi ukisoma kitabu kimoja tu ( Qur -Ann ) basi utakuwa umesoma vyote hvy
Ingekua hivyo hao wanaotafuta majibu kule maktaba s wangeenda kusoma hyo Quran
Doh
Dunia yetu
👍🇿🇦🇿🇦
🇨🇭🇨🇭🇨🇭🇨🇭
🤣🤣🤣🤣🤣
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️👍.
Ombi kwann usiwe unaadisia wewe, story zote, unajua kwakweli
Msimulizi.unakosea sana unapotowa maelezo ya uwongo dhidi ya kanisa katoliki...wewe unajuwa zaidi kuliko wakristo wakatoliki ? Embu weka Udini pembeni wa kisabato...weka chuki pembeni / acha husuda na wivu usiyo na faida yoyote...usipotoshe ukweli kuwa uwongo..tubu hiyo dhambi..
RONGORONGO ETI JUMBA KUBWA LINATISHA NA GOROFA ZA DUBAI NA SHANGHAI MBONA HUSEMI WEWE ACHA UJINGA. .KAWACHUNGE NGEDERE WASILE MIHOGO YA BIBI HUKO UWASEME NGEDERE NI WATU 🤣🤣🤣🤣